Sunday, April 30, 2017

YESU NI MUNGU KUTOKANA NA QURAN (SEHEMU YA NNE)

Image may contain: text
1. Allah kasema Yesu ni NENO
2. Biblia inasema kuwa Neno ni Mungu
Allah anasema kuwa Yesu wa Quran ni NENO litokalo kwake. Ikiimaanisha kuwa, asili ya Yesu si binadamu bali ni Neno litokalo kwa Mungu. Quran hiyo hiyo inasema kuwa Neno la Allah halina mwanzo, ikiimaanisha kuwa NENO la Allah lilikuwa na Allah karne zote na NENO la Allah halikuumbwa. (Allah's word is eternal) Sura 6:115, Sura 10:64, Sura 18:27.
Hebu tusome aya kutoka Quran kuwa Yesu ni NENO:
Surat Al Imran 45. Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu).
Quran inakiri kuwa Maryam alipata MWANA KWA KUPITIA NENO LA ALLAH. Hivyo basi Yesu asili yane ni NENO na sio binadamu. Rejea Surat Al Imran aya 45.
Surat An Nisaai 171. Enyi Watu wa Kitabu! Msipite kiasi katika dini yenu, wala msimseme Mwenyezi Mungu ila kwa lilio kweli. Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na NENO LAKE tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme: Utatu. Komeni! Itakuwa kheri kwenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja tu. Ametukuka Yeye na kuwa na mwana. Ni vyake Yeye vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha.
Allah anaendelea kusema kuwa Yesu ni NENO LAKE. Kumbe basi Yesu ambaye ni Neno la Mungu alikuwa na Mungu siku zote. Soma Sura 6:115, Sura 10:64, Sura 18:27.
Je Biblia nayo inasema nini kuhusu NENO?
BIBLIA INASEMA KUWA NENO NI MUNGU
Yohana 1: 1 Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye NENO alikuwa Mungu.
Katika Yohana Sura ya Kwanza aya ya Kwanza, tunafundishwa kuwa NENO alikuwepo na Mungu hapo Mwanzo kabla ya kuumbwa kitu chochote kile. Wakati huo huo, Quran nayo inasema kuwa Allah aliumba Yesu kwa kutumia Neno ambalo lilikuwa na Allah tokea Mwanzo.
Ningependa mfahamu kuwa, Quran ambayo inasema kuwa Yesu aliumbwa kutoka NENO iliandikwa miaka 632 baada ya Biblia. Ikimaanisha kuwa Biblia ndio ya kwanza kuandikwa halafu Quran ndio ikafuata.
ALLAH ANAKWAMBIA WEWE MWENYE SHAKA KUWA, KAMA HUAMINI ASEMAYO MAX SHIMBA, Basi waulize watu wa Kitabu. Sisi Wakristo na Wayahudi ndio watu wa Kitabu. Allah anamaanisha kuwa, Watu wa Kitabu ambao ni Sisi Wakristo na Wayahudi ndio tunayo haki na mamlaka ya kuthibitisha maneno ya Quran kama ni ya kweli au uongo. Soma
Surat Yunus 94. Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.
Aya hiyo katika Surat Yunus iliyoteremka Makka na kutafsiriwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani inathibitisha kuwa Watu wa Kitabu ndio wenye Mamlaka ya kuhakikisha na au thibitisha ukweli wa Quran. Hakika Mimi nathibitisha kuwa YESU NI NENO na NENO NI MUNGU, maana hayo yalisema miaka mia 632 kabla ya kuteremshwa kwa Surat Yunus Makka na yamo katika Injili kutokana na Yohana aya ya kwanza na sura ya kwanza.
Allah anamwambia Muhammad katia Suratul Yunus aya 94 kuwa, kama Muhammad anashaka na ukweli kuwa Yesu ni Neno na Neno ni Mungu. Basi Muhammad atuulize Wakristo kuwa, Je, hayo madai ya Allah ni ya kweli? Hakika Biblia imekamilika na kusema bila ya shaka yeyote ile kuwa Yesu ni Neno na Neno alikuwa na Mungu kabla ya Mwanzo kuwepo. Allah na yeye amekiri hayo kuwa Yesu ni Neno ambalo lilikuwa na Mungu hata kabla ya Mwanzo kuwepo.
Leo nimejibu hoja ya Waislam kuwa, Je, Yesu ni Mungu? Koran pamoja na Allah wanasema kuwa Yesu ni NENO na Biblia inasema kuwa NENO NI MUNGU.
Katika huduma yake,
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2015

UNAZIJUA KAMBA ZA MAUTI ZILIZO KUFUNGA?

Image may contain: 1 person, text
Habari njema ni kuwa waliofungwa na kamba za mauti leo hii watawekwa huru na kufunguliwa kwa Jina la Yesu. Lengo la kufungwa na kamba za mauti ni kusababisha kifo; kifo katika uwezo wako wa kuomba, kifo cha uwezo wa kumtumikia Mungu, kifo cha uwezo wa kufanya kazi n.k.
Zaburi 18:4…[Kamba za mauti zilinizunguka, Mafuriko ya uovu yakanitia hofu.]…
Ina maana Daudi alikuwa anatembea kama wewe na mimi lakini tayari katika ulimwengu wa roho Daudi amejiona akiwa amefungwa kamba za mauti.
Zaburi 116:3….[Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata. Naliona taabu na huzuni;]...
Pindi ufungwapo kamba za mauti, shida za kuzimu zitaanza kukufuata. Kamba za mauti ni 'ishara ya kifo'. Sanda vivyo hivyo, huvishwa watu wanapokuwa wamepoteza uhai wao (wafu).
Endapo watoto wako watakuwa wamefungwa kamba za mauti, utakuta kuwa, wale waliowafunga wameshawafanya 'maiti' ingawa wanatembea. Kwa hiyo, mtu anakuwa hai kimwili lakini katika ulimwengu wa roho mtu huyo walishamuua na hata pengine walishaadhimisha ‘arobaini’ ya huyo mtu bila yeye kujua.
MAOMBI: kwa Jina la Yesu , Ewe kamba uliyefungwa kwenye hatua zangu za maendeleo, funguka, kamba iliyofunga elimu yangu, kamba iliyofunga sura yangu isionekane, nakuamuru funguka na uondoke kwa Jina la Yesu. Amen
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

WALEENI WATOTO KATIKA NJIA YA KRISTO

Image may contain: 4 people, people smiling, text
Mithali 22:6 inasema; “mlee mtoto katika njia impasayo, naye
hataiacha, hata atakapokuwa mzee”.
Hivyo ni malezi ndiyo yafanyayo watoto kuwa wema au wabaya au watukutu, kumbuka huwezi kuwatenga watoto na jamii, nchi au dunia hii iliyojaa yote mema na mabaya Isipokuwa kwa kuwajaza nguvu ya kushinda majaribu ya dunia ambayo imo katika Neno la Mungu.
Torati 6:6-7. "Na maneno haya ninayokuamuru leo yata kuwa katika moyo wako nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii nakuyanena uketipo katika nyumba yako na utembeapo njiani na ulalapo na uondokapo."
Nidhamu ni namna yakuonyesha upendo kwa mtoto. Imeandikwa katika Mithali 13:24 "Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; bali ampendaye humrudi mapema."
Nidhamu njema humfunza mtoto Imeandikwa Mithali 29:15 "Fimbo na maonyo hutia hekima bali mwana aliyeachiliwa humuaibisha mamaye."
Sababu ya kumwathibu mtoto nikumfanya akuwe vema. Imeandikwa Waefeso 6:4 "Nanyi akina baba msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maonyo ya Bwana."
Watoto hutoa matunda ya wazazi wao. Imeandikwa katika Kutoka 34:7 "Mwenye kuwaonea huruma watu elfu elfu mwenye kusamehe uovu na makosa na dhambi; Wala si mwenye kumhesabia mtu mwovu kuwa hana hatia kamwe; mwenye kuwapatiliza watoto uovu wa baba zao, na wana wa wana wao pia hata kizazi cha tatu na cha nne."
Mungu ana tarajia matokeo gani kwa watoto? Imeandikwa katika Waefeso 6:1 "Enyi watoto watiini wazazi wenu katika Bwana maana hii ndiyo haki."
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

MWANA MASUMBWI MANNY PACQUIAO ANASOMA BIBLIA ASUBUHI, MCHANA NA JIONI

Image may contain: 1 person, sitting, eating and indoor
Huu ni ushuhuda mzuri na utakutia moyo na wewe uwe na utamaduni wa kusoma Biblia kila siku. Manny Pacquiao - (Boxing Fighter) ni tajiri na anampenda Yesu na haoni haya kusema kuwa, Yesu ni Mungu na kamwe hato muacha.
Je, wewe unampenda Yesu? Je, unawashuhudia marafiki zako kuhusu Yesu? Usiogope na wala usikate tamaa, Mshuhudie Yesu, Kazini, Shuleni kwenye Basi na njiani popote pale.

JE, TALAKA INARUHUSIWA KWENYE UKRISTO?

No automatic alt text available.
Somo gumu sana hili na linatatanisha na kutikisa akili za watu. Hebu tusome Biblia kwa umakini sana na kuweka theolojia pembeni.
Haya tuanze utafiki kwa umakini.
Kwanza ni muhimu kukumbuka maneno ya Biblia katika Malaki 2:16a: “ nachukia talaka, asema Bwana Mungu wa Israeli,” kulengana na biblia, mpango wa Mungu juu ya ndoa ni iwe ushikamano wa siku zote za mwanadamu duniani. “ Hata si wawili tena bali mmoja. Kwa hivyo kile Mungu amekiunganisha mwanadamu asikitenganishe” (Mathayo 19:6). Mungu antambua ya kwamba kwa kuwa ndoa ni ya wenye dhambi wawili, talaka haina budi kutokea. Katika agano la kale aliweka sheria za kulinda haki za watalaka hasa wanawake (Kumbukumbu la Torati 24:1-4). Yesu akasema sheria hizi zilitolewa kwa sababu ya ugumu wa mioyo ya wanadamu lakini hayakuwa mapenzi ya Mungu (Mathayo 19:8).
JE, UASHERATI UNARUHUSU TALAKA?:
Utofauti wa maoni juu ya talaka na kuoa tena unatokana na maneno ya Yesu katika Mathayo 5:32 na 19:9. “isipokuwa kwa habari za uasherati” ndicho kipengele peke yake ambacho Mungu anatoa ruhusa ya talaka na kuoa tena katika maandiko. Wengi hutafsiri maneno haya kuwa ni kile kitendo cha zinaa kinachofanyika baada ya kuolewa. Katika mila na desturi za wayahudi mke na mme walihesabiwa kuwa wameoana toka wakati wa kuposwa kwa msichana. Kitendo cha mapenzi kilichofanyika wakati huu pia kingehesabiwa sababu ya kutosha talaka.
ARGUMENT YA KWANZA:
Neno la kigiriki lilitafsiriwa kumaanisha uasherati ni neno linaloweza kumaanisha kila aina ya uchafu wa kimapenzi kama zinaa, uasherati, ukahaba na kadhalika. Yesu anathibitisha kuwa talaka inakubalika mahali uchafu huu wa kimapenzi unapotendeka. Kitendo cha ngono ni cha umuhimu mkubwa katika ndoa “nao wawili watakuwa mwili mmoja” (Mwanzo 2:24; Mathayo 19:5; Waefeso 5:31). Kwa hivyo kosa la kufanya kitendo hicho nje ya ndoa inaweza kuwa sababu mwafaka ya talaka. Kama ni hivyo basi pia Yesu alikuwa na hoja ya kuoa tena.
ANGALIA NENO "KUOA MWENGINE" ALILO SEMA YESU:
Katika kusema “na kuoa mwingine” (Mathayo 19:9) inathibitisha talaka na kuoa tena vinakubalika. Jambo muhimu ni kutambua ya kwamba ni wale waathiriwa na hali mbaya ya mapenzi nje ya ndoa pekee wanaokubaliwa kuoa tena. Kukubaliwa huku, ijapokuwa hakukutajwa moja kwa moja katika maandiko, ni huruma ya Mungu kwa yule aliyetendewa dhambi wala si kwa aliyetenda dhambi ya zinaa. Katika maandiko haya hayaelezi kama mwenye kutenda dhambi ya zinaa naye aruhusiwa kuoa au la.
KITENDO CHA ZINAA SI SHARTI LA TALAKA BALI NI NAFASI YA TALAKA:
Kitendo hiki cha zinaa si sharti la talaka bali ni nafasi ya talaka. Hata kitendo hiki kikitendeka, kwa neema ya Mungu, mke na mme wanaweza kunusuru ndoa yao kwa kusameheana. Mungu ametusamehe mengi. Tunaweza kuiga mfano wake hata kiasi cha kusamehe dhambi ya zinaa (Waefeso 4:32). Lakini mara nyingi watu hukosa toba halisi katika swala hili hata kiasi cha kuishi katika maisha ya zinaa. Hapo ndipo Mathayo 19:9 hutumika. Wakati mwingine watu huoa mapema baada ya talaka hata kama Munhu baado anawataka wakae bila ndoa. Mungu wakati mwingine huita mtu akiwa peke yake ili ushirika wake na Mungu usitatizwe na mtu. (Wakorintho wa Kwanza 7:32-35). Kuoa tena baada ya talaka ni mapenzi ya mtu binafsi lakini haimaanishi kuwa ndilo suluhisho pekee.
SAMEHE SABA MARA SABINI:
Ni jambo la kusikitisha kuona kuwa talaka za wakristo zimekuwa nyingi karibu sawa na za wale wasioamini duniani kote. Biblia inasisitiza kuwa Mungu hapendezewi na talaka (Malaki 2:16 ) na kusameheana huko na kupatana upya ni alama mwafaka ya mwenye imani maishani (Luka 11:4; waefeso 4:32). Mungu anatambua kuwa talaka itatendeka hata kati ya wanawe. Mwenye kutalakiwa au mwenye kuoa tena asijisikie kuwa hapendwi na Mungu sawa na wengine kama jambo hili limetukia maishani mwake wala si sawa na Mathayo 19:9. Mungu hutumia hata hali ya dhambi ya mwanadamu kukamilisha mapenzi yake mema.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UPENDO WA YESU

Image may contain: 2 people, people standing and outdoor
Yesu alionyesha upendo wa kujidhabihu kwa njia bora sana. Kujidhabihu ni kutanguliza mahitaji na masilahi ya wengine bila ubinafsi. Yesu mwenyewe alieleza hivi: “Hakuna aliye na upendo mkubwa zaidi kuliko huu, kwamba mtu fulani aisalimishe nafsi yake kwa niaba ya marafiki wake.” (Yohana 15:13) Yesu alitoa uhai wake mkamilifu kwa hiari kwa ajili yetu. Huo ulikuwa wonyesho mkuu zaidi wa upendo kuwahi kuonyeshwa na mwanadamu yeyote. Lakini Yesu alionyesha upendo wa kujidhabihu kwa njia nyinginezo pia.
Yesu alisema hivi: “Nampenda Baba.” (Yohana 14:31) Hakuna mtu yeyote anayeweza kumpenda Mungu kama Mwana huyo, ambaye alikaa na Baba yake kwa muda mrefu sana kabla kiumbe yeyote hajaumbwa. Upendo ulimchochea Mwana huyo mwaminifu kutaka kumwiga Baba yake.—Yohana 14:9.
Wakati wa huduma yake duniani, Yesu alijidhabihu kwa upendo katika njia mbalimbali. Hakuwa na ubinafsi wowote. Alijishughulisha mno na huduma yake hivi kwamba alijinyima mambo ya kawaida ambayo wanadamu wamezoea. “Mbweha wana mapango na ndege wa mbinguni wana viota, lakini Mwana wa binadamu hana mahali popote pa kulaza kichwa chake.” (Mathayo 8:20) Yesu alikuwa seremala stadi sana, kwa hiyo angeweza kujijengea nyumba nzuri sana au angeweza kupata pesa kwa kutengeneza na kuuza fanicha maridadi sana. Lakini hakutumia ustadi wake kupata vitu vya kimwili.
Yesu alikuwa na huruma kama Baba yake. Maandiko yanaonyesha jinsi ambavyo Yesu alijitahidi kuwasaidia watu waliotaabika kwa sababu aliwahurumia sana. Biblia inafafanua huruma ya Yesu kwa kutumia neno la Kigiriki linalotafsiriwa “sukumwa na sikitiko.” Msomi mmoja anasema hivi: ‘Neno hilo linafafanua hisia ya ndani sana ambayo inamchochea mtu kutoka moyoni. Hakuna neno jingine la Kigiriki linalofafanua hisia ya huruma kwa mkazo sana kama neno hilo.’ Ebu ona pindi fulani-fulani ambapo huruma ilimchochea Yesu kutenda.
Yesu aliiga kikamili upendo wa Baba yake katika njia nyingine muhimu—alikuwa “tayari kusamehe.” (Zaburi 86:5) Jambo hilo lilionekana wazi hata alipokuwa kwenye mti wa mateso. Yesu alisema nini alipokuwa amepigiliwa misumari mikononi na miguuni, kabla ya kufa kifo cha aibu? Je, alimlilia Mungu awaadhibu wale wanaomwua? La hasha! Kati ya maneno ya mwisho ambayo Yesu alisema ni: “Baba, wasamehe, kwa maana hawajui wanalofanya.”—Luka 23:34.
Kumbuka kuwa, Yesu anakupenda sana na upendo wake ndio ulimfanya afe kwa ajili ya dhambi zako.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Friday, April 28, 2017

A Group Of LIONS Save Christians From Execution By Islamic Militants, Says Pastor

It is a remarkable story of God’s intervening hand to save his people. Pastor Paul Ciniraj, director of Bibles for Mideast, says that he and other Christians were rescued from the clutches of death by a group of three lions. Ciniraj and his group were under attack from Islamic militants when the giant cats attacked and scared the murderous group away.
“My risen Lord Jesus Christ has saved my life once again,” Pastor Paul wrote, “and I praise and thank God for His unspeakable grace!” It was Easter Sunday when the miracle took place. The pastor was recovering in the home of some friends following a stoning attack by Islamists earlier that day. “Suddenly, a group of militants reached the house, armed with steel bars and other weapons,” he reported to WND.
Pastor Ciniraj thought this was the end of the road for him, and feared for the life of the 80-year-old resident, and several children who were taking refuge in the house alongside him. “Losing all hope, we thought for sure this was our last day,” he said. They only had just one more thing to do: pray. Then, something truly Biblical took place!
“Completely unexpectedly, a lion ran from the forest, leapt toward the militants, and seized one by the neck. When other combatants tried to attack the lion, two other lions bounded toward them. The terrified militants fled the site, and the lions left us completely alone,” he said.
“Equally astonishing, records show no
https://hellochristian.com/7296-a-group-of-lions-save-christians-from-execution-by-islamic-militants-says-pastor

Thursday, April 27, 2017

BROOKLYN MOSQUE and Muslim-owned store were totally gutted in a fire


A fire ripped through a building housing a mosque and a deli in Bedford-Stuyvesant, Brooklyn Saturday morning. The building houses the Sunshine Express Deli and the Brooklyn Broadway Jame Masjid and Islamic Center.

CBS  The mosque, which has served the community there since 2004, has 250 members, who are now struggling to find a new place to worship for the holy month of Ramadan, which starts in a few weeks. “It’s horrible, it’s horrible. It’s a disaster, I don’t know. We’re like almost crying,” Hussein said. “People are asking, ‘Where are you going to pray?’ So I said, ‘I don’t know.” (There’s always the street, where Muslims love to lift their asses to Allah so they can throw their Islamic supremacy in our faces)
MIC  The New York Fire Department is currently investigating the cause of the fire incident. The New York Police Department said in an email that, at this time, there are no signs or reason to believe the fire was intentionally started as part of a hate-motivated crime. 
WARNING BNI Readers: be careful what you say in your comments:


Somali Muslim sues employer because the firm held an all-pork barbecue for employees


Not only that…Leyla Hashi has filed a discrimination suit against a national furniture retailer, Aaron’s, in Portland, Maine, claiming that she was harassed by fellow employees and ultimately fired from a job at its local branch in 2015 because she is Muslim, a Somali Muslim (not because she kept requesting time off to observe Muslim holidays?).

BangorDailyNews  According to the lawsuit, the termination allegedly followed a pattern of harassment in which other employees mocked and demeaned Hashi, a black Somali immigrant, based on her , appearance, attire and religion.

Somali Muslim women in Maine and other states are infamous for stirring up trouble:

Hashi is suing the store’s Georgia-based parent corporation, SEI/Aaron’s Inc., for reinstatement of her job, lost wages and benefits with interest, punitive damages and legal costs.

At Aaron’s, Hashi claims that she was subjected to a stream of verbal harassment that was brushed off by management and deliberately was excluded from workplace activities. At one point, after Hashi had told her boss that observant Muslims don’t eat pork, the Aaron’s “office put on an all pork barbecue,” the suit states.

When she asked to take off work on a Friday to celebrate the Eid holiday, she claims her request was denied at first, and then granted. 

The next Monday, when Hashi returned to work, she was greeted by a new person sitting behind her desk and laughter from other employees, the suit states. Her manager then allegedly fired her without providing an explanation. The manager later listed “Not a fit” as the reason for Hashi’s termination, according to the court documents.

Damn right, they don’t fit in, look at how they dress for work:

CHINA bans several Islamic baby names, including Mohammed, in volatile Muslim-majority region of Xinjiang


In its ongoing crackdown on Islam in China, dozens of popular Muslim baby names including Islam, Quran, Mecca, Jihad, Imam, Saddam, Hajj, and Medina are banned under ruling Chinese Communist Party’s “Naming Rules For Ethnic Minorities.”

Hindustan Times  China has banned dozens of Islamic names for babies belonging to the restive Muslim-majority Xinjiang province, in a move that would prevent children from getting access to education and government benefits, a leading rights group said on Tuesday.

Xinjiang authorities have recently banned dozens of names with religious connotations common to Muslims around the world on grounds that they could “exaggerate religious fervour,” the Human Rights Watch said. Children with banned names will not be able to obtain a “hukou,” or household registration, essential for accessing public school and other social services, it said.

The new measures are part of China’s fight against terrorism in this troubled region, home to 10 million Muslim Uyghur ethnic minority. This is the latest in a slew of new regulations restricting religious freedom in the name of countering “religious extremism,” the HRW said.

Conflicts between the Uyghur and the Han, the majority ethnic group in China that also controls the government, are common in Xinjiang. A full list of names has not yet been published and it is unclear exactly what qualifies as a religious name, it said.

On April 1, Xinjiang authorities imposed new rules prohibiting the wearing of “abnormal” beards or veils in public places, and imposing punishments for refusing to watch state TV or radio programmes.

These policies are blatant violations of domestic and international protections on the rights to freedom of belief and expression, the HRW said. Punishments also appear to be increasing for officials in Xinjiang who are deemed to be too lenient.

BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds

  BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds. The targets included a Radwan Force training facility used for weapons drills ...

TRENDING NOW