Tuesday, May 9, 2017

BIBLIA YATHIBITISHA KUWA YESU NI MUNGU

Image may contain: text
USHAIDI
Isaya 9: 6
Kwa maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, tumepewa mtoto mwanamume, nao utawala utakuwa mabegani mwake.
Naye ataitwa: Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.
Huu ni ushaidi unatufahamisha kuwa Yesu atazaliwa na ataitwa Mungu mwenye Nguvu.
Katika Agano Jipya, kuna ushaidi ambao unakiri Umungu wa Yesu Kristo.
USHAIDI
Hebu tusome Wafilipi 2: 5-11
5 Tuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu.
6 Yeye ingawa alikuwa sawa na Mungu, hakuona kule kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kushikamana nacho,
7 bali alijifanya si kitu, akajifanya sawa na mtumwa, akazaliwa katika umbo la mwanadamu.
8 Naye akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza hata mauti, naam, mauti ya msalaba!
9 Kwa hiyo, Mungu alimtukuza sana na kumpa Jina lililo kuu kuliko kila jina,
 10 ili kwa Jina la Yesu, kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, vya duniani na vya chini ya nchi
11 na kila ulimi ukiri ya kwamba YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu comment Baba.
NENO la "Kuwa sawa na Mungu" kwa Kigiriki ni MORPHE-: Ikimanaisha Yesu alikuwa na adhama zote za Kimungu na Mungu. (God's attributes)
Hivyo basi katika ushaidi huu wa katika kitabu cha Wafilipi tunasoma kuwa Yesu hakuwa mtu wa kawaida bali alikuwa ni Mungu pamoja nasi yaani Imanueli.
USHAIDI
WAEBRANIA 1:
Mwana Ni Mkuu Kuliko Malaika
1 Zamani Mungu alisema na baba zetu kwa njia ya manabii mara nyingi na kwa njia mbalimbali, 2 lakini katika siku hizi za mwisho amesema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, ambaye kwa Yeye aliuumba ulimwengu. 3 Mwana ni mng'ao wa utukufu wa Mungu na mfano halisi wa nafsi Yake, akivihifadhi vitu vyote kwa neno Lake lenye uweza. Akiisha kufanya utakaso kwa ajili ya dhambi aliketi mkono wa kuume wa Ukuu huko mbinguni.
NENO: Mfano halisi wa nafsi yake. Katika Kigiriki linamaanisha "CHARAKTER" this is not merely similarity of being, but qualitative identity.
KATIKA aya ya 8 inasema:
Lakini kwa habari za Mwana asema, "Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitadumu milele na milele, nayo haki itakuwa fimbo ya utawala ya Ufalme Wako.
Hpa tunaona Mungu anamuita Mtoto wake Mungu. Ushaidi huu upo vile vile katika Zaburi 45 aya 6.
Ndugu wasomaji, ushaidi wa Umungu wa Yesu umejaa kwenye Biblia na katika Maagano yote Mawili.
USHAIDI
LUKA 19: 10
Yesu anasema yeye ni MWOKOZI: Kazi ambayo ni ya Mungu Pekee.
Luka 19: 10Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea." Ambayo inalingana na Ezekiel 34:16, 22.
Hapa tusoma kuwa Yesu anasema kuwa yeye ni Mkombozi na amekuja kutafuta walio potea, Madai haya yanamfanya Yesu kuwa ndie MOJA: MKOMBOZI. MBILI: MUUMBA WA WATU.
USHAIDI
MATAYO 26:63-65 Inasema
" 63Lakini Yesu alikuwa kimya. Ndipo Kuhani Mkuu akamwambia, "Nakuapisha mbele za Mungu aliye hai, tuambie ikiwa wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu."
64 Yesu akajibu, "Wewe umenena. Lakini ninawaambia nyote, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu akiwa ameketi mkono wa kuume wa Mungu Mwenye Nguvu na akija juu ya mawingu ya mbinguni.'' 65 Ndipo Kuhani Mkuu akararua nguo zake na kusema, "Amekufuru! Kwa nini tunahitaji ushahidi zaidi? Tazama, sasa ninyi mmesikia hayo makufuru. 66 Uamuzi wenu ni nini?" Wakajibu, ''Anastahili kufa "
JIBU la Yesu ukilikiliza unaweza kufikiri kuwa Yesu hakukubali kuwa YEYE NI Mungu. Lakini THE REACTION ya Kuhani Mkuu na Mafarisayo na wengine walio kuwepo pale inaonyesha wao walimuelewa kivingine. Biblia inasema Kuhani Mkuu akararua nguo zake.!!! AKASEMA: Yesu amekufuru mbele yetu, kwanini tutafute ushaidi zaidi ya huu?
Kama hii hukumu ya kudai kuwa Yesu amekufuru, basi Yesu hapa alikuwa na nafasi nzuri ya kupinga madai ya huyu Kuhani Mkuu na wengine walio kuwa pale. Lakini Yesu alikubali hii charge ya kujiita yeye Mungu kama Alivyo sema Kuhani Mkuu.
Barikiwa sana.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KUMBE ALLAH NI MNYONYA DAMU

Image may contain: text
Ungana nami katika somo letu la leo na uone siri kubwa ambayo Allah ameifanya na kuificha kwa karne kadhaa.
Wengi wenu mnashangaa hizi ajali za magari za kila siku na hamjui nani yupo nyuma yake.
Ndugu zanguni.
Leo ningependa tusome kuhusu Dhabihu ya Damu ambayo Waislam huwa wanaifanya kwa Allah wao kwa kutumia mtego wa Halal wakati wakichinja Wanyama. Uchinjaji wa "Halal" ni ibada ambayo wanaifanya kila wachinjapo Mnyamahuku wakimwomba mungu wao ajulikanaye kwa jina la Allah. Soma Alameye Tabataba i, p 177.
Allah anapenda kunywa damu za Watu na Wanyama.
Soma "Blood of Allah Chapter 5". Ndio maana Allah anadai kuwa uchinjaji wa Wanyama ni kwa Waislam pekee, kumbe Allah anataka damu ya Mnyama ifanyiwe dhabihu ili aweze kuinywa.
Zaidi ya hapo, Waislam ndio wenye tabia na utamaduni wa kuchinja watu kwa madai kuwa eti, umeikashif dini ya Allah na Mtume wake, kumbe huu ni mtego ule ule wa Allah wa kutaka kunywa damu za Watu na Wanyama; soma Shaykh al Kulayni, al-kafi v1 p 149.
Mkristo unapo nunua nyama kutoka maduka ya Kiislam ambayo ni halal, basi elewa kuwa unanunua nyama ambayo imefanyiwa ibada kwa Allah wao ambaye alikunywa damu yake
baada ya kuchinja huyo mnyama.
Allah ni mnyonya damu
Soma Al Bahrani, Al Buhran Fi Tafsir- Al Quran v 3, p 528. Unaweza niuliza kivipi Allah ananyonya damu? Mtego ambao Allah anautumia mara nyingi ni ule wa Jihad kwa Waislam wote. Allah anasema kuwa, unapo jiua kwa sababu ya Allah "Mataya" basi wewe unakwenda moja kwa moja AKhera, lakini kinacho tokea hapo ni Allah anapata damu ya Binadamu na Nyama yake kama kitoweo.
Hadith ya Msema Kweli Bhukar V4, Kitabu 52, Namba 41 inasema kuwa jambo jema ambalo Muislam anawea kulifanya ni kupigana mpaka kufa kwa ajili ya Allah. Hii ndio mbinu ambayo Allah anaitumia kupata damu na nyama za watu. Ukienda kwenye Nchi za Mashariki ya Kati, hii tabia ya Kujilipua na kufa huku wakisema Allahu Akbar ni mbinu ya kumfanyia dhabihu ya damu kwa Allah ambaye maisha yake yanatemea damu za Watu na wanyama.
Ndugu zanguni, leo tumeoa jinsi Allah anavyo tega watu kwa kuwaambia wapigane mpaka kufa kwa Ajili ya Allah. Kumbe Allah anatafuta damu za watu ili anywe.
Nafahamu Waislam wengi watapinga huu ukweli, lakini wenye macho na masikio wanaona na kusikia jinsi Waislam wanavyo jitoa mhanga na kufa kwa ajili ya Allah.
Hakika hawa wamepotea na kufanya mauaji ya miili yao. Kujiua kwa ajili ya Allah ni kufanya Mauaji ya mwili wako. Hilo ni kosa na dhambi mbele ya Mungu. Biblia inasema katika Amri moja ya zile kumi za Mungu, kuwa Usi Uwe. Sasa Ndugu zetu wao wanauwa miili yao kwa Allah. Hiyo ni dhambi ya kwenda Jehannam.
Allah si Mungu na hana sifa za Mungu.
Katika huduma yake
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Max Shimba Ministries Org.

MUHAMMAD AKIRI KUWA ALLAH SIO MUNGU WA KWENYE INJIL NA TAURAT BALI NI MUNGU WA KIPAGANI

Image may contain: text
Je, Wakristo na Waislam, wanaabudu Mungu mmoja?
Je, Allah ni Mungu wa Kipagani?
Ndugu wasomaji, kwa mara nyingine tena, Nabii wa Allah amekiri kuwa Wakristo na Waislam hawaabudu Mungu mmoja na Allah ni mungu wa Kipagani.
Katika hiki kijarida tunaangalia ushahidi mbalimbali kuwa, Allah sio Mungu wa Adam, Musa na Mitume wote walio tajwa kwenye Biblia Takatifu.
Kutokana na Surat Al Kafirun iliyoteremka Makka, Muhammad anakiri kwa mdomo wake kuwa Wakristo na Wayahudi hawaabudu Allah ambaye anaabudiwa na Waislamu.
Sura 109 1. Sema: Enyi makafiri! 2. Siabudu mnacho kiabudu;
3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 4. Wala sitaabudu mnacho abudu. 5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Surah hii inamatatizo mengi sana ambayo ypo wazi kuwa, madai ya Wiaslam ya Mungu wa Wakrist na Mungu wao ni mmoja, ni batili na hayana ushahid.
TATIZO LA KWANZA: Hivi, hii Surah inamzungumzia nani?
(a) Watu wa Kitabu (Wayahudi, Wakristo na labda Wasebia)?
(b) Makafir wa Makkah?
Quran hapa imeshindwa kutueleza kuwa, Muhamamd alikuwa naongoa na ummah upi.
TATIZO LA PILI: Hata kama ni moja ya dai la (a) au (b) hapo juu, hii Surah ya 109 imejaa utata na kupinga aya mbaimbali za Quran ambazo zinadai kuwa Wakristo, Wayahudi na wengine wote wanaabudu Mungu mmoja ambaye anaabudiwa na Waislamu.
Surat Al Baqara 62. Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.
2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu
Surah 3: 64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.
KWENYE Surat Al Ankabut 46. Wala msijadiliane na Watu wa Kitabu ila kwa njia iliyo nzuri kabisa, isipo kuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Na semeni: Tumeyaamini yaliyo teremshwa kwetu na yaliyo teremshwa kwenu. Na Mungu wetu na Mungu wenu ni Mmoja. Na sisi ni wenye kusilimu kwake.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Muhammad anadai kuwa Mungu wa Wakristo, Wayahudi na Waislam ni mmoja.
Hivyo basi, kwenye ushahidi tulio soma unaonyesha kuwa kikundi cha (b) nacho kinaabud Allah wa Waislam ingawa vilevile kinaabudu miungu mingine na mbalimbali.
Surah 29: 61. Na ukiwauliza; Nani aliye umba mbingu na ardhi na akafanya jua na mwezi kuti'ii amri yake? Bila ya shaka, watasema: Mwenyezi Mungu. Wapi basi wanako geuzwa? ***
62. Mwenyezi Mungu humkunjulia, na humdhikishia, riziki amtakaye katika waja wake. Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu. ***
63. Na ukiwauliza: Ni nani anaye teremsha maji kutoka mbinguni, na akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake? Bila ya shaka watasema: Ni Mwenyezi Mungu. Sema: Alhamdu Lillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Bali wengi katika wao hawafahamu. ***
Surat An Nahl 35. Na washirikina wanasema: Mwenyezi Mungu angeli taka tusingeli abudu chochote badala yake, sisi wala baba zetu, wala tusingeli harimisha chochote bila ya Yeye. Kama hivyo walifanya walio kuwa kabla yao. Basi lipo lolote juu ya Mitume isipo kuwa kubalighisha kwa uwazi? ***
Wapagani tulio wasoma hapo juu, walikuwa wanarudia na au sema maneno ambayo Allah aliyasema kwa Muhammad.
Surat Al Ana’am 107. Na lau Mwenyezi Mungu angeli penda, wasingeli shiriki. Na Sisi hatukukufanya wewe uwe mtunzaji wao. Wala wewe si mlinzi juu yao. ***
Mwisho basi:
Surat Azzumar 3. Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri. ***
Katika aya hapo juu, tumejifunza kuwa mungu wa Wapagani ni Allah, na hao miungu wao wengine walikuwa ni wasaidizi katika kumwabudu Allah. Hivyo basi, Allah, ndie aliye kuwa MUNGU WA MKUU WA KIPAGANI.
Kuna aya moja katika Quran ambayo inawasema watu ambao wanamwamini Allah kama muumba wa vitu vyote:
Surah Luqman (31:25). Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema: Mwenyezi Mungu. Wewe sema: Alhamdulillahi! Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Lakini wengi wao hawajui kama hii aya inazungumzia kundi la A au B, au yote mawili, hii aya ipo wazi kuwa, Muhamamd alijua ni kuwa anamwamini Allah wa Magani wa Mekkah.
Ngoja niweke kwa kifupi hiyo aya:
1. Wakristo na Wayahudi wanadaiwa kumwabudu Allah.
2. Wapagani na waislam vilevile nao wanamwabudu Allah, ingawa walikuwa na miungu wengine.
Kama hii ndio dai letu, ni kivipi Surah 109 idai kuwa Makafiri hawamwabudu mungu wa Muhammad na hawaabudu anacho abudu Muhammad?
Kusema kuwa hii aya inahusu waabudu “idols” ni Wapagani peke yao, ni uongo kwasababu zifuatazo:
1. Waislam wanafahamuje kuwa hii aya iliteremshwa kwa ajili ya Wapagani peke yao?
2. Hata kama hii aya ilikuwa inawaongelea Wapagani peke yao, je, Quran si inasema kuwa Wapagani walijua kuwa wanamwabudu Allah, na hivyobasi walikuwa wanaabudu alicho kuwa anaabudu Muhammad.
Ni kweli kuwa Muhamamd hakuabudu miungu wao wote, lakini ukweli unabakia palepale kuwa wote Muhammad na Wapagani waliabudu mungu wa Kipagani aitwaye Allah kama ilivyo semwa kwenye sura 109:3.
Kwa mfano, Quran inadai kuwa Muhamamd aabudu ambacho Wapagani waliabudu isipokuwa Allah:
Surat Yunus (10: 104). Sema: Enyi watu! Ikiwa nyinyi mnayo shaka katika Dini yangu, basi mimi siwaabudu mnao waabudu nyinyi badala ya Mwenyezi Mungu. Lakini mimi namuabudu Mwenyezi Mungu anaye kufisheni. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waumini.
Surat Ghafir (40:66). Sema: Mimi nimekatazwa kuwaabudu hao mnao waomba badala ya Mwenyezi Mungu, zilipo nijia hoja zilizo dhaahiri kutokana na Mola wangu Mlezi. Na nimeamrishwa nisilimu kwa Mola wa walimwengu wote.
Hizo aya hapo juu zinasema kuwa, Wapagani walikuwa wanamwabudu Allah, pamoja na miungu wengine wa kipagani.
Hivyo basi, leo tumejifunza kwa undani kabisha kuwa Muhammad alikuwa anamwabudu Allah ambaye ni mungu wa kipagani. Jina la Baba yake Muhamamd ni Abdallah, likimaanisha slave of allah. Inafahamika kuwa Muhammad ndie muislam wa kwanza, au sio. Kama hayo madai ni kweli, je, baba yake Muhammad alilipata wapi jina la Badallah kama si yule Allah mungu wa kipagani?
Hakika Allah aabudiwe na Wapagani ni yule yule ambaye aliabudiwa na Muhammad.
Katika Hudma yake
Max Shimba Ministries

JE, MWANAMKE ANARUHUSIWA KUMTUMIKIA MUNGU AU KUWA MCHUNGAJI?

Image may contain: 2 people, text
Ndugu msomaji:
Ni uongo wa Shetani kwamba wanawake hawawezi kuwa Watumishi wa Mungu, wakahubiri, wakafundisha, wakatoa pepo au kumtumikia Mungu kwa namna nyinginezo. Wanawake kumtumikia Mungu, ni jambo la Ki-Biblia hasa.
Nyakati hizi za mwisho, Roho wa Mungu atamwagwa kwa WOTE, binti watatabiri (kuhubiri ni kutabiri pia) na Roho huyu wa Mungu atamwagwa kwa WATUMISHI WA MUNGU WANAUME NA WANAWAKE (MATENDO 2:17-18).
Nyakati za Kanisa la Kwanza, wanaume na wanawake, wote walikuwa watendakazi, wakilihubiri Neno na kulifundisha (MATENDO 8: 1, 4). Inatupasa kufuata mfumo huu wa ki-Biblia. Mara kwa mara, katika Biblia, wanawake, wamekuwa na ujasiri wa kumtumikia Mungu na kuwa wanyenyekevu na watii kwa Yesu Kristo na Neno lake, kuliko wanaume. Hapa tunaona wanawake waliomfuata Yesu kutoka Galilaya, karibu maili 100 kutoka Yerusalemu, wakija kumtumikia Yesu. Hapa msalabani, hawakuwako wanafunzi wale kumi na moja wa Yesu kasoro Yohana (YOHANA 19: 25-26). Wengi walikuwa wanawake waliokuwa wakijipiga vifua na kumwombolezea (LUKA 23:27).
Wanawake walikuwepo msalabani mpaka mwisho na tena walikuwapo kwenye mazishi yake (MST 61) na pia wanawake ndiyo waliokuwa wa kwanza kwenda kulitazama kaburi siku ya kufufuka kwa Yesu (MATHAYO 28:1). Mwanamke ndiye aliyewapelekea habari za kufufuka kwa Yesu, Petro na Yohana, na kuwatia moyo, NDIPO nao wakachangamka! Hapo mwanzo, walikuwa wamekata tamaa na kwenda kuvua samaki (YOHANA 20:1-3; 21:1-3).
Mwanamke Priska au Prisila alikuwa tayari kukatwa kichwa kwa ajili ya Injili aliyokuwa anaihubiri Paulo na Mwanamke Fibi aliwasaidia wengi mno (WARUMI 16:1-3). Shime wanawake, tutende kazi ya Bwana! Wanaume pia tupate changamoto kwa watendakazi wanawake ambao wanatenda kazi ya Mungu kwa bidii pamoja na majukumu mengi ya kifamilia waliyo nayo.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

ROHO MTAKATIFU NA KAZI ZAKE KWETU SOMO LA 4

Image may contain: text
UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU
Ili tuweze kuwa mashahidi wa Mungu,tunahitajika kubatizwa kwa Roho Mtakatifu baada ya kuokoka na kutakaswa. Ili tumtendee Mungu kazi kikamilifu, ni lazima tupokee nguvu ya Roho Mtakatifu (Matendo 1:8;Luka 24:49). Kwa sababu hili, somo hili, ni la muhimu sana kwa mtu yeyote anayetaka kuwa mtendakazi mzuri wa Mungu. Tutaligawa somo hili katika vipengere vinne:-
A. MAANA YA UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU
B. UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU,UWEZA WA KUTUWEZESHA KUWA MASHAHIDI WA MUNGU
C. ALAMA 9 ZA ROHO MTAKATIFU NA JINSI ZINAVYOTUPA UFAHAMU KUHUSU UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU
D. JINSI YA KUBATIZWA KWA ROHO MTAKATIFU
E. ISHARA YA KWANZA YA KUBATIZWA KWA ROHO MTAKATIFU NA NIDHAMU INAYOAMBATANA
F. UMUHIMU WA KUUCHOCHEA MOTO WA ROHO MTAKATIFU
A. MAANA YA UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU
Baada ya mtu kuokolewa,inambidi kubatizwa kwa maji kwa jina la baba,Mwana na Roho Mtakatifu (Mathayo 28:19). Hata hivyo,huo siyo ubatizo wa mwisho.Baada ya mtu kutakaswa,anahitajika kubatizwa kwa Roho Mtakatifu (Mathayo 3:11) Ubatizo wa maji, unamfanya mtu azamishwe ndani ya maji na kuzungukwa na maji pande zote. Vivyo hivyo, Ubatizo wa Roho Mtakatifu unamfanya mtu aliyeokoka,kuzamishwa ndani ya Roho Mtakatifu na kuzungukwa na Roho Mtakatifu pande zake zote.Roho Mtakatifu,anakuwa msaidizi wake (Yohana 15:26). Ubatizo wa maji,tunabatizwa na wanadamu waliopewa Agizo la Mungu lakini Ubatizo wa Roho Mtakatifu, tunabatizwa na Yesu mwenyewe (Mathayo 3:11).
B. UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU, UWEZA WA KUTUWEZESHA KUWA MASHAHIDI WA MUNGU
Neno “mashahidi” katika (Matendo 1:8), linatokana na neno la lugha ya Kiyunani “Martus” ambalo linatafsiriwa katika Kiingereza" Martyr” ambalo maana yake ni “Mtu anayekuwa tayari kuteswa sana au hata kuuawa kwa sababu ya imani yake,pamoja na hayo, hawezi kuiacha imani yake”.Bila ubatizo wa Roho Mtakatifu, hatuwezi kuwa mashahidi kama walivyokuwa Stefano na Antipa (Matendo 22:20; Ufunuo 2:13). Kabla ya kubatizwa kwa Roho Mtakatifu,Petro alisema asingemkana Yesu hata ikibidi kuuawa, lakini kinyume chake alimkana mara tatu,na yeye pamoja na wanafunzi wenzake walipoyaona mateso yanakuja,walimwacha na
kumkimbia Yesu (Mathayo 26:31-35,56) Lakini baada ya ubatizo walikuwa na ujasiri mkubwa. Matendo 4:13
C. ALAMA 9 ZA ROHO MTAKATIFU NA JINSI ZINAVYOTUPA UFAHAMU KUHUSU UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU
§ Maji (Yohana 7:37-39)Hakuna maisha bila ya maji.Mwanadamu ni asilimia 60%maji.Kuharisha na kutapika sana humfanya mtu kupoteza maji mengi na huweza kusababisha mtu kupoteza uhai. Vilevile sisi tunaosema tumeokoka, hatuwezi kabisakuwa na maisha ya kiroho yaliyo hai yenye nguvu, bila Ubatizo wa Roho Mtakatifu.Ni lazima tunyweshwe Roho (1Wakorintho 12:13).
Jambo jingine, maji ni muhimu katika usafi wa miili yetu hutuondolea kunuka n.k Roho Mtakatifu hutumulikia dhambi au uchafu wowote.
§ Moto (Mathayo 3:11).Kuwepo kwa moto ni alama ya uwepo wa Mungu (Kutoka 3:1-5; Matendo 2:2-3). Moto vilevile,unangarisha madini kama dhahabu na fedha (Malaki 3:2-3). Ubatizo wa Roho Mtakatifu hufanya uwepo wa Mungu uwe dhahiri kwa mtu na pia humng’arisha mtu na kuwa mtumishi wa Mungu anayeng’aa . Siyo hayo tu, moto huleta mwanga.Ubatizo wa Roho Mtakatifu hutupa mwanga mkubwa wa maandiko yaani Biblia na kutupa mwanga wa uzuri wa mbinguni na ubaya wa Jehenam.Ukiwa na mwanga huo hakutakuwa na gharama kubwa yoyote ya kukufanya ushindwe kufanya mapenzi ya Mungu. Moto pia huleta nguvu ya kuendesha, magari, treni, Ndege n.k vifaa vyote hivyo huendeshwa kutokana na moto unaotokea baada ya cheche za umeme kuunguza mafuta.
Kazi ya Mungu inaendeshwa kwa nguvu ya moto, ubatizo wa Roho Mtakatifu na kwa moto. Mtu aliyebatizwa kwa Roho Mtakatifu, moto unawake ndani yake na hawezi kuacha kushuhudia au kuhubiri na kufundisha (Yeremia 20:9; Isaya 62:1; Matendo4:20). Mtu aliyebatizwa kwa Roho Mtakatifu,maneno yake huwa moto unaoteketeza kila ugumu wa mioyo ya watu kwa kuwa Roho Mtakatifu hushuhudia pamoja naye na hivyo matokeo yake ya utumishi wake huwa makubwa. Ni nguvu kwa ajili ya Utumishi (Yeremia 5:14; Yohana 15:26-27;16:6-8;Mika 3:8).
§ Upepo (Yohana 3:8) Upepo wakati wote unatembea, na uko mahali pote. Roho Mtakatifu hakufanya kazi wakati wa mitume tu, hata sasa anatembea na yuko kwetu tayari, ni wajibu wetu kumpokea tu. Upepo huvuma upendako.
Ni vigumu kuubadilisha mkondo wa upepo tunavyotaka sisi,jahazi hufuata mkondo wa upepo. Ni muhimu kutakaswa kwanza kabla ya Ubatizo huu.
Utakaso humfanya mtu kuwa mtii mno katika yote na Roho Mtakatifu ni mshirika wa wale wamtiio(Matendo 5:32) Upepo pia hutuletea hewa safi inayotuburudisha wakati wa joto, moshi n.k Mazingira yoyote magumu tukiyakabili katika utumishi wa Mungu, Roho Mtakatifu huwa hewa safi kwetu inayorekebisha mazingira.
§ Mafuta (Luka 4:16-21) Roho Mtakatifu hututia mafuta au kutuweka katika utumishi wa Mungu (1Samweli 16:13; Kutoka 30:30; 1Wafalme 19:16;Yohana 2:27) Rais kabla hajaapishwa huitwa Rais mteule na hana mamlaka sana wakati huo kisheria.
Kuapishwa kwa leo ndiyo kutiwa mafuta kwa zamani.Bila ubatizo huu,mamlaka yetu huwa hafifu. Mafuta yanalainisha na kuzuia msuguano.Ubatizo wa Roho Mtakatifu hutupa hekima ya kuvuta roho za watu(Mithali 11:30) mafuta huufanya mwili uwe laini.
Ubatizo wa Roho Mtakatifu hulainisha ukavu wa maombi yetu (Warumi 8:26).
§ Mvua (Zaburi 72:6;Hosea 6:3) Nchi haiwezi kutoa matunda bila mvua.Mtu aliyeokoka hawezi kuwa na matunda mengi bila mvua yaani ubatizo wa Roho Mtakatifu (Yohana 15:16).
§ Mvinyo (Waefeso 5:18;Matendo 2:12-13) mvinyo kwa walevi unasahaulisha shida. Ubatizo wa Roho Mtakatifu, humwezesha mtu kudharau majaribu na kuondoa wasiwasi na kubabaishwa na mambo madogo madogo tu. Mvinyo kwa walevi, pia unawapa ujasiri wa kufanya lolote lile, aibu, woga vinatoweka. Ubatizo wa Roho Mtakatifu humfanya mtu kuwa jasiri kama simba na mtu aliye kuwa mwoga kama Petro, kuwa jasiri (Mithali 28:1; Mathayo 26:31-35,56; Matendo 4:13).
§ Hua (njiwa)- (Yohana 1:32) Ubatizo wa Roho Mtakatifu haufanyiki kwa mtu wa ulimwengu huu yaani ambaye
hajaokoka. Njiwa hakutua kwenye ulimwengu,alirudi safinani kwa waliookoka (Mwanzo 8:8-9)Roho Mtakatifu ni mweupe, kama hua.Ni Mtakatifu,huja kwa watakatifu waliotakaswa.
§ Muhuri (Waefeso 1:13) Muhuri ni alama ya mamlaka.Bila muhuri barua hupungua mamlaka yake. Ubatizo wa Roho Mtakatifu humfanya mtu kuwa na mamlaka ya Yesu kwake na shetani husema “ Yesu namjua na Paulo namfahamu (Matendo 19:15) Ubatizo wa Roho Mtakatifu ni mamlaka au uwezo kutoka juu wa kuzifanya kazi za Yesu.
§ Arabuni (2Wakorintho 1:21-22)Neno arabuni maana yake- Uhakikisho au uthibitisho wa Uimara.Ubatizo wa Roho Mtakatifu, hutufanya kuwa na uthibitisho wa uimara wa Neno la Mungu, hutuongezea imani ya kufanya maajabu.Shetani hawezi kumpeperusha huku na kule mtu aliyebatizwa kwa Roho Mtakatifu.
D. JINSI YA KUBATIZWA KWA ROHO MTAKATIFU
Kuokoka au kuzaliwa mara ya pili.Mafuta haya hayatiwi kwa mtu mgeni ambaye jina lake haliko katika kitabu cha Uzima mbinguni (Kutoka 30:31-33)
Kutakaswa (Yohana 17:17;1Wathesalonike 5:23) Wanafunzi 120 orofani,walitakaswa kabla ya Ubatizo wa Roho Mtakatifu.
Kuwa na Imani kama Roho Mtakatifu yuko kwetu tayari na kwamba ni ahadi ya Mungu kwetu(Matendo 2:38-39); Luka 11:10-13)
Kuwa na kiu ya kumtumikia Mungu (Isaya 44:3)
Kuomba kwa kufumbua sana kinywa na kutokuruhusu kutumia akili,wala kuwaza kwambatutasema lugha ya mapepo. (Luka 11:10-13; Zaburi 81:10).
E. ISHARA YA KWANZA YA KUBATIZWA KWA ROHO MTAKATIFU NA NIDHAMU INAYOAMBATANA
Mtu akibatizwa kwa Roho Mtakatifu,kutakuwa na mambo ya kusikia kwake na ya kuyaona kwake(Mathayo 3:16-17).
Ishara ya kwanza ni kusikia kutoka kwake kabla ya kuona mengine. Atasema au ananena kwa lugha mpya asiyoifahamu
ambayo siyo ya dunia hii (Matendo 2:4;10:44-46;19:6). Ni muhimu mno kwa mtu aliyeokoka kuomba kwa kunena kwa lugha hii (1Wakorintho 14:2,4-5,15). Hata hivyo hatupaswi kunena kwa lugha mbele ya mataifa wasioelewa kitu. Watadhani sisi ni wendawazimu (1Wakorintho14:18-25)
Kunena kwa lugha mbele ya mataifa wasiojua kitu nikuwapa mbwa kilicho kitakatifu na kutupa lulu zetu mbele ya nguruwe matokeo yake watatudhihaki kwa kuwa hawajui maana (Mathayo 7:6).
F. UMUHIMU WA KUUCHOCHEA MOTO WA ROHO MTAKATIFU
Moto bila kuchochewa huzimika (Mithali 26:20). Hatuna budi kuwa waombaji na kuomba kwa Roho, yaani kunena kwa lugha katika maombi mara kwa mara katika maombi yetu binafsi (1Wakorintho 14:14-15; Yuda 1:20) Vile vile hatuna budi kudumu katika usafi kwa Neno (Zaburi 51:4,11;119:11; Yohana 15:3).
Hatuna budi pia kujihusisha katika kushuhudia na kuwaleta watu kwa Yesu (Mika 3:8).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Muslim Who Tried to Kill African Pastor Gives Life to Christ Days Later

Bibles for Mideast, a group of missionaries that delivers Bibles to underground house churches in the Middle East and Africa, has reported that Ibn Yakoobi was among the extremists who attacked worshipers at an Assembly of Loving God church in a central African nation last Wednesday.
In a report published to its website on Monday, the organization explained that Yakoobi even tried to kill the congregation's pastor, Musthafa, with his sword. However, the organization claims that Yakoobi witnessed a miracle, as an angel allegedly pulled Musthafa to safety.
Also according to the report, worshiping Christians were kept dry by a miraculous cloud while rain and hailstones fell on the persecutors after the roof of the church had been destroyed.
Although Yakoobi was a devout Muslim, he and others couldn't deny the supernatural events that had occurred that day.
"While Yakoobi remained full of questions, many in the neighborhood were softening in their attitudes towards Pastor Musthafa and the assembly, all former Muslims. Some, mostly women from neighboring houses, had begun joining them for their prayer services over the next two days," the report reads. "But the Imam of the mosque and other religious leaders became only angrier with the new developments.
On Friday, the local imam told the worshipers at his mosque that they were forbidden from believing the Christians and attending their prayer meetings. The imam reasoned that the Christians were no better than the black magicians and their magic destroyed by Moses.
After the imam warned his mosque about going to pray with the Christians, Yakoobi stood up to ask a question, knowing that sharia law forbids the asking of questions during a sermon.

Read more at http://www.christianpost.com/news/muslim-who-tried-to-kill-african-pastor-gives-life-to-christ-days-later-report-claims-178840/#ffmuA2qgYUDkfMjz.99


Bibles for Mideast, a group of missionaries that delivers Bibles to underground house churches in the Middle East and Africa, has reported that Ibn Yakoobi was among the extremists who attacked worshipers at an Assembly of Loving God church in a central African nation last Wednesday.

In a report published to its website on Monday, the organization explained that Yakoobi even tried to kill the congregation's pastor, Musthafa, with his sword. However, the organization claims that Yakoobi witnessed a miracle, as an angel allegedly pulled Musthafa to safety.

Also according to the report, worshiping Christians were kept dry by a miraculous cloud while rain and hailstones fell on the persecutors after the roof of the church had been destroyed.

Although Yakoobi was a devout Muslim, he and others couldn't deny the supernatural events that had occurred that day.
"While Yakoobi remained full of questions, many in the neighborhood were softening in their attitudes towards Pastor Musthafa and the assembly, all former Muslims. Some, mostly women from neighboring houses, had begun joining them for their prayer services over the next two days," the report reads. "But the Imam of the mosque and other religious leaders became only angrier with the new developments.

On Friday, the local imam told the worshipers at his mosque that they were forbidden from believing the Christians and attending their prayer meetings. The imam reasoned that the Christians were no better than the black magicians and their magic destroyed by Moses.

After the imam warned his mosque about going to pray with the Christians, Yakoobi stood up to ask a question, knowing that sharia law forbids the asking of questions during a sermon.


"Why then, imam, can't you do miracles as Prophet Moses did and destroy their black magic?" Yakoobi asked. "If you can't, don't talk about it!"

Yakoobi's comment angered the imam, who ordered Yakoobi to leave the mosque. He was escorted out by other mosque leaders.

Bibles for Mideast reports that Yakoobi was beaten mercilessly and dragged into an open drainage ditch.

Yakoobi was severely injured and suffered numerous broken bones, the report states. After all the mosque attendees walked right by Yakoobi's broken body without a care for his well-being, the report claims that Yakoobi saw a strange cloud shadow over him. It was much like the same cloud he saw days earlier that had shadowed over and protected the Christians.

"He then saw a bright and mighty man in the cloud, sitting on a throne. That man showed his hands to Jakoobi, and they were nail-scarred," the report claims. "He could also see blood-stained marks on his legs, and on the side of his chest."

After "blood-colored" rays beamed down from the cloud onto Yakoobi, he realized that the man was Jesus Christ.

"I was brutally beaten, wounded, crucified and died on the cross of Calvary," Yakoobi recalls Jesus telling him. "After death, they pierced my side with a spear. But I rose from the dead. You are healed by my wounds. You are purified by my blood. You have salvation by my death. And you have eternal life by my resurrection. Now I give you a new heart and new life. Be faithful."

After that moment, Yakoobi was reportedly healed. He then bowed down and told Jesus, "I believe in you Lord Jesus. You alone are my Lord and my Saviour."

After the cloud vanished, Yakoobi went home and shared his experience with friends and family.

Some extremists who were also involved in the attack on the church and witnessed the miracle protection of the Christians also put their faith in Christ after Yakoobi shared his testimony, Bibles for Mideast reports.

After having caused so much damage to the church, the group went last Saturday to the church to help rebuild its roof and ask for forgiveness. They later joined in the church prayer service, which consisted of over 200 people.

"Pastor Musthafa explained the Gospel to them more fully," the report explains. "He then asked those who had not yet accepted the Lord Jesus as their personal savior to do so, with their own hearts and mouths. All knelt down and declared the Lord Jesus Christ to be their own personal savior and Lord."

In response to the news that Yakoobi and other Muslims converted to Christianity, according to the report, the local imam has allegedly vowed to retaliate and fight the "Christian scourge."

"Our Lord Jesus does not want us to fight against our enemies in a physical way," Pastor Paul, director of Bibles for Mideast, said in a statement. "His will is that we war against Satan and his people with our fasting and prayers. Our Lord said 'this kind does not come out except by prayer and fasting.' Also God says in the book of Ezekiel that He has no pleasure in the death of the wicked; but that the wicked turn from his way and live. So pray for the people who are trying to persecute you. The Lord can change them by your prayers. Be courageous. The whole church and the children of God around the globe are praying for you."
http://www.christianpost.com/news/muslim-who-tried-to-kill-african-pastor-gives-life-to-christ-days-later-report-claims-178840/

Friday, May 5, 2017

Robert Mugabe Thankful for Absence of Islam in ‘Highly Developed’ Zimbabwe



Zimbabwe President Robert Mugabe has blamed Islam for the violence plaguing many African countries.
The 93-year-old Mugabe was on a panel discussing fragile states at the World Economic Forum on Africa in Durban, South Africa on Thursday when he said some countries on the continent are destabilized by religious influences, News 24 reported.
After stating that splits within the Christian church did not lead to violence, Mugabe said: “In the Islamic world, the belief is that the more violence you exert on the population, the more they listen.
“In Africa you also had a touch of the Muslim world in some countries, but in the south it wasn’t our experience, thank God,” he said.
Nearly 84.5 percent of Zimbabwe’s population of 15.6 million people is Christian with an estimated 1 percent Muslim, according to the 2015 International Religious Freedom Report by the U.S. Bureau of Democracy, Human Rights and Labor.
The Islamic Welfare Organization based in the capital Harare has not responded to a request for comment on Mugabe’s remarks.  
Mugabe also denied Thursday that Zimbabwe was a fragile state.
from Newsweek

Thursday, May 4, 2017

KWANINI MUNGU ANAIJARIBU IMANI YA IBRAHIMU KUMTOA ISAKA KAFARA?

Image may contain: 1 person, text and outdoor
Ibrahimu alikuwa amemtii Mungu mara nyingi katika kutembea kwake pamoja naye, lakini hakuna jaribio ambalo lingekuwa kali zaidi kuliko lililo katika Mwanzo 22 Mungu aliamuru, "Akasema, umchukue mwanao, mwana wako wa pekee, umpendaye, Isaka, ukaende zako mpaka nchi ya Moria, ukamtoe sadaka ya kuteketezwa huko juu ya mlima mmojawapo nitakaokuambia" (Mwanzo 22: 2a).
Mwanzo 22: 6 Baada ya hayo Abrahamu alichukua kuni za toleo la kuteketezwa akamtwika Isaka mwana wake, naye akachukua mikononi mwake moto na kisu cha kuchinjia, na wote wawili wakasonga mbele pamoja. 7 Na Isaka akaanza kumwambia Abrahamu baba yake: “Baba yangu!” Naye akasema: “Mimi hapa, mwanangu!” Basi akaendelea kusema: “Hapa pana moto na kuni, lakini yuko wapi kondoo kwa ajili ya toleo la kuteketezwa?”
Unaweza kuona Ibrahimu anafanya nini hapa? Ana kisu, ni kama anataka kumwua mwanawe Isaka. Kwa nini afanye hivyo?
Hebu kwanza yuone namna Ibrahimu na Sara walivyopata mwana wao, Isaka.
Kumbuka, Mungu aliwaahidi kwamba wangezaa mwana. Lakini lilikuwa jambo gumu, kwa sababu Ibrahimu na Sara walikuwa wazee sana. Lakini Ibrahimu aliamini kwamba Mungu anaweza kufanya jambo gumu. Basi jambo gani lilitokea?
Mungu alipokwisha kutoa ahadi yake, mwaka mzima ukapita. Ndipo, Ibrahimu alipokuwa mwenye miaka 100 na Sara 90, wakazaa mtoto wa kiume jina lake Isaka. Mungu alikuwa ametimiza ahadi yake!
Lakini Isaka alipokuwa mtu mzima, Mungu alijaribu imani ya Ibrahimu. Akasema: ‘Mchukue mwana wako Isaka uende kwenye mlima ambao nitakuonyesha. Ukamwue huko mwana wako umtoe dhabihu.’ Lakini kumbuka, Mungu alikuwa ameahidi kwamba watoto wa Ibrahimu wangekaa Kanaani. Ingekuwa namna gani kama Isaka angekufa? Ibrahimu hakufahamu hilo, lakini alimtii Mungu.
Alipofika kwenye mlima, Ibrahimu alimfunga Isaka na kumweka juu ya madhabahu aliyojenga. Lakini alipotaka kumwua Isaka, malaika wa Mungu alitoa sauti kubwa: ‘Ibrahimu, usimwumize mtoto wala kumfanya lolote. Sasa najua kwamba unaniamini, kwa sababu hukuninyima mwana wako mmoja tu!’
Lo! Ibrahimu alimwamini Mungu sana! Aliamini kwamba hakuna jambo gumu kwa Mungu, hata angemfufua Isaka katika wafu. Lakini Mungu hakutaka Ibrahimu amwue Isaka. Basi Mungu aliongoza kondoo akamatwe na miti midogo iliyokuwa karibu. Kisha akamwambia Ibrahimu amtoe kondoo huyo awe dhabihu mahali pa mwana wake.
Kwanini Mungu aliijaribu imani ya Ibrahimu?
Mungu anatumia imani ya Ibrahimu kama mfano kwa wote waliokuja baada yake kama njia pekee ya wokovu. Mwanzo 15: 6 inasema, "Akamwamini Bwana, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki." Ukweli huu ni msingi wa imani ya kikristo, kama ilivyorudiwa kusemwa katika Warumi 4: 3 na Yakobo 2:23. Haki ambayo ilikuwa sifa kwa Ibrahimu ni haki sawa na ile tuliyopewa wakati sisi tulipokea kwa imani sadaka abayo Mungu aliitoa kwa ajili ya dhambi zetu - Yesu Kristo. "Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika yeye" (2 Wakorintho 5:21).
Mwanzo 21:1-7; 22:1-18.
Hadithi ya Agano la Kale kuhusu Ibrahimu ni msingi wa mafundisho ya Agano Jipya ya upatanisho,toleo la sadaka ya Bwana Yesu juu ya msalaba kwa ajili ya dhambi ya mwanadamu. Yesu alisema, karne nyingi baadaye, "Ibrahimu baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi "(Yohana 8:56).
Zifuatazo ni baadhi ya tofauti kati agano mbili za Biblia:
• "Chukua mwanao, mwana wako wa pekee, Isaka" (v 2.); "Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwana wake wa pekee ..." (Yohana 3:16).
• "Nenda mkoa wa Moria. mtoe sadaka huko ... "(v 2.); inaaminika kwamba eneo hili ndipo mji wa Yerusalemu ulijengwa miaka mingi baadaye, mahali ambapo Yesu alisulubiwa nje ya kuta zake (Waebrania 13:12)
• "mtoe sadaka hapo kama sadaka ya kuchomwa" (v 2.); "Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na Maandiko" (1 Wakorintho 15: 3).
• "Ibrahimu akazichukua kuni za sadaka ya kuchomwa na kuziweka juu ya mwana wake Isaka" (mstari 6.); Yesu, "akibeba msalaba wake mwenyewe. . . "(Yohana 19:17).
• "Lakini ipo wapi mwana-kondoo kwa sadaka ya kuchomwa?" (V 7.);yohana akasema, "Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, achukuaye dhambi za ulimwengu!" (Yohana 1:29).
• Isaka, mwana, alifanya kwa imani kwa baba yake katika kuwa sadaka (v 9.); Yesu akaomba, "Baba yangu, kama inawezekana, kikombe hiki kinipite. Hata hivyo si kama mimi nitakavyo, bali kama wewe utakavyo "(Mathayo 26:39).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

USITAZAME NYUMA KAMA MKE WA LUTU

Image may contain: one or more people and text
Lutu (kwa Kiebrania לוט - [lōṭ]; kwa Kiarabu لوط - [lūṭ]) alikuwa mtoto wa Haran, mdogo wa Abrahamu kadiri ya Biblia, ambaye alimfuata kutoka Mesopotamia hadi Kanaani.
Lutu akaitazama nchi. Akaona sehemu ya nchi iliyo nzuri sana yenye maji na majani mazuri mengi ya wanyama wake. Hiyo ilikuwa Wilaya ya Yordani. Basi Lutu alipeleka jamaa yake na wanyama huko. Mwishowe wakakaa katika mji wa Sodoma.
Watu wa Sodoma walikuwa wabaya sana. Lutu alisumbuliwa, maana alikuwa mtu mzuri. Hata Mungu alisumbuliwa. Mwishowe, Mungu alituma malaika wawili wakamwonye Lutu kwamba Mungu ataharibu Sodoma, na Gomora mji wa karibu, maana ni miji mibaya.
Malaika hao wakamwambia Lutu hivi: ‘Fanya haraka! Chukua mke wako na binti zako wawili mwondoke huku!’ Malaika mmoja alisema: ‘Kimbieni mponye uhai wenu! Msitazame nyuma. Kimbieni kwenye milima msiuawe.’
Lutu na binti zake walitii, wakatoka Sodoma. Lakini mke wa Lutu hakutii. Walipokwisha kutembea mwendo fulani kutoka Sodoma, mke alisimama akatazama nyuma, akawa nguzo ya chumvi.
Tunaweza kujifunza somo zuri kwa hayo. Yanatuonyesha kwamba Mungu anaokoa wale wanaomtii, lakini wale wasiomtii watapoteza uhai wao.
Mwanzo 13:5-13; 18:20-33; 19:1-29; Luka 17:28-32; 2 Petro 2:6-8.
Tafakari yetu inatutadharisha na matendo yetu ya kuangalia Nyuma; Tumeagizwa tuangalie mbele ili tuweze kufuzu kuingia katika nyumba ya Mungu; lakini kwa kuangalia nyuma kama mke wa Lutu tunakuwa tumejiondoa wenyewe katika kushiriki utukufu wa Mungu; tukisoma Luka 9: 61-62 Mtu mwingine pia akamwambia, Bwana, nitakufuata; lakini, nipe ruhusa kwanza nikawaage watu wa nyumbani mwangu.
Yesu akamwambia, Mtu aliyetia mkono wake kulima, kisha akaangalia nyuma, hafai kwa ufalme wa Mungu. Hatutakiwi kabisa kuangalia nyuma tunapoutafuta ufalme wa Mungu;
Kuangalia nyuma hapa maana yake ni nini?
Tunayaangalia maisha yale ya zamani, ya ulevi, uzinzi, uwongo, wizi, chuki, na kadhalika; tukumbuke kuwa hakuna maisha ya baadae bila mipango hiyo kupokea maelekezo ya
Mungu ndani ya Mioyo yetu. Agizo ambalo tunapata leo hatutakiwi kugeuka nyuma na kuyarudia maisha yaliyojaa dhambi. Tumepata Baraka ya kukombolewa na damu ya Yesu jukumu letu sasa ni kusonga mbele na kamwe kuto geuka Nyuma.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU NI MUNGU KUTOKANA NA QURAN (Sehemu ya Kwanza)

No automatic alt text available.
Waumini wa dini ya Kiislam katika Mihadhara mbalimbali ya kidini kupitia wahadhiri wao wa Dini wamekuwa wakipinga kuwa Yesu Kristo si Mungu kwa madai kuwa, Mungu hawezi kuzaliwa.
Ndugu msomaji, nakusihi ufuatilie somo hili kwa makini ili ujue ukweli kuhusu Umungu wa Yesu Kristo katika Koran:
Je Yesu anazo sifa za kipekee za Mungu kutokana na Quran? Hebu tuanze utafiti wetu kwa kusoma Quran na tujionee wenyewe kama kweli Yesu ni Mungu au la.
UTHIBITISHO WA KWANZA:
Adhama ya Kwanza kutokana na Quran: Mungu ni Mfalme:
Koran inasema kuwa, sifa Moja ya Mungu ni “Mfalme”. Je, Yesu anayo hii sifa ya “Mfalme”? Haya tusome Quran kwanza.
Quran 59: 23
Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana Mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake, Mwenye nguvu, Anaye fanya analo litaka, Mkubwa, Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo.
Sasa tuangalie kama kweli Yesu anayo hii sifa ya Mfalme ambayo ni adhama ya Mungu pekee kutokana na Koran.
Biblia takatifi inasema yafuatayo kuhusu Yesu Kristo:
Ufunuo 17:14
Hawa watafanya vita na Mwana Kondoo na Mwana Kondoo atawashinda, kwamaana yeye ni Bwana wa Bwana na Mfalme wa Wafalme.
Katika aya hii tunasoma kuwa Yesu anaitwa “Mfalme wa Wafalme” ambayo ni adhama ya Mwenyezi Mungu kama ilivyo shaidiwa na Koran Surah ya 59 na aya 23. Hivyo basi , Allah na Koran wamekiri kuwa Yesu ni Mungu kwasababu Biblia imetuthibitishia kuwa Yesu ni Mfalme wa Wafalme katika Ufunuo 17 na aya 14.
Tuendelee na ushaidi mwingine kutoka Koran ambao unatuhakikishia kuwa Yesu ni Mungu.
UTHIBITISHO WA PILI:
Adhama ya Pili kutokana na Quran: Mungu ni Mtakatifu:
Je, Yesu anayo hii sifa ya “Mtakatifu”? Tusome Quran kwanza:
Quran 59: 23 Yeye ndiye Mwenyezi Mungu ambaye hapana Mungu isipo kuwa Yeye tu. Mfalme, Mtakatifu, Mwenye salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha Mwenyewe mambo yake, Mwenye nguvu, Anaye fanya analo litaka, Mkubwa, Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo mshirikisha nayo.
Katika Quran tumesoma kuwa, moja ya sifa za Mungu ni “Mtakatifu”, Je sifa hii ya utakatifu Yesu anayo?
Nenda kwenye hihiyo Kuran 19:19 Malaika akasema hakika mimi ni mjumbe ili nikupe Mwana Mtakatifu -Isa Bin Maryam.
Koran hiyo hiyo inatuhakikishia na kutujibu kuwa Yesu ambaye anajulikana kwa jina la Isa Bin Maryam katika Quran ni Mwana Mtakatifu. Hivyobasi, hii adhama ya Utakatifu ambayo ni ya Mungu pekee, tunasoma katika Quran iliyoteremshwa an Allah kuwa Yesu ameinyakua. Yesu anaitwa Mwana Mtakatifu.
Adhama ya Tatu kutokana na Quran: Bwana ni Mwenyezi Mungu
Hebu tufungue Quran na tusome kuhusu Bwana:
Quran 3:39 Alipo kuwa kasimama chumbani akisali, Malaika kamnadia: Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria Yahya, ataye kuwa mwenye kusadikisha neno litokalo kwa Mwenyezi Mungu, na ni Bwana na mt'awa na Nabii kwa watu wema naye ni Nabii Isa.
Quran 39: 29
Mwenyezi Mungu amepiga mfano wa mtu mwenye mabwana washirika wanao gombana, na wa mtu mwengine aliye khusika na Bwana Mmoja tu. Je! Wako sawa katika hali zao?
Alhamdulillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu! Lakini wengi wao hawajui.
Quran 39:29 inasema kuwa Mwenyezi Mungu ni Bwana na hiyo ni sifa njema kwa Mwenyezi Mungu. Zaidi ya hapo, Koran hiyo hiyo (Quran 3:39) inasema kuwa Isa Bin Maryam ni Neno litokalo kwa Mwenyezi Mungu na ni Bwana. Koran imejibu kuwa, sifa ya Bwana ambayo ni ya Mungu pekee ni ya Yesu. Sasa tusome na Biblia kwa ushaidi zaidi kuhusu Yesu ni Bwana.
Ufunuo 17:14
Hawa watafanya vita na Mwana Kondoo na Mwana Kondoo atawashinda, kwamaana yeye ni Bwana wa MaBwana na Mfalme wa Wafalme.
Katika Ufunuo tunasoma kuwa Mwana Kondoo ambaye ni Yesu Kristo anaitwa Bwana wa Mabwana. Hivyobasi, hii adhama ya “Bwana” ambayo ni ya Mungu pekee tunasoma katika Quran iliyoteremshwa an Allah kuwa Yesu ni Bwana na ameinyakua, vilevile, katika Biblia Takatifu tumesoma kuwa Yesu anaitwa Bwana, ambayo ni Sifa ya Mungu Pekee kutokana na Quran.
Leo nimejibu hoja ya Waislam kuwa, Je, Yesu ni Mungu? Koran pamoja na Allah wanasema kuwa Yesu ni Mungu kwa kuwa Yesu anazo adhama zote na/au sifa zote za Mungu.
Katika huduma yake,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds

  BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds. The targets included a Radwan Force training facility used for weapons drills ...

TRENDING NOW