Tuesday, August 1, 2017

HOT MIC on Israeli PM talking to Eastern European leaders about Western Europe’s self-defeating relationship with Israel


This recording was released by the very far left Israeli news outlet, Haaretz, in an effort to embarrass Benjamin Netanyahu. It does just the opposite.

IsraelToday  When Indian Prime Minister Narendra Modi visited Israel in early July, he very conspicuously skipped Ramallah and the Palestinian leadership. A couple weeks later, Prime Minister Benjamin Netanyahu was meeting with 4 eastern European leaders in Budapest when a “hot mic” caught him explaining precisely why Modi shunned the Palestinians, and why everyone else should, too.

Indeed, the international community has poured a monumental amount of money into the Palestinian Authority (more per capita than what America spent rehabilitating post-World War II Europeand gotten exactly nothing in return. Yet Western Europe continues to threaten Israel with boycotts, divestment, and sanctions, instead of availing themselves of Israel’s groundbreaking technological innovations.

PORTUGAL: Two Muslim female tourists were kicked out of the resort pool and ‘humiliated’ because their Islamic burqini ‘swimwear’ was deemed ‘not acceptable’


MUSLIM sisters-in-law from the UK say they were forced to walk back to their holiday apartment after being told their swimwear was not acceptable and they ‘must wear a bathing suit more appropriate to Portuguese culture.’

UK Mirror  (h/t Susan K) Maryya Dean (photo above) and her sister-in-law Hina claim they were told they could not wear their burqinis in the swimming pool while on holiday in Albufeira, Portugal.

The family members were also outraged after a maintenance worker at the pool allegedly made Maryya’s nine-year-old daughter stand up to provide an example of what they should be wearing – a regular swimming costume.

Marrya, who suffers with bipolar disorder, says the week-long trip was supposed to be a getaway for her – but they were all affected by what happened. They had booked a private apartment which had a pool shared with other flats in the complex.

Maryya, who was on holiday with her four children plus her sister-in-law and other relatives, told the Mirror Online: “Given my cultural background I was wearing a burqini.

“I was approached by the building security manager as someone made a complaint that I was not wearing a bathing suit and therefore not appropriate to be in the pool.

“I was compared to my nine-year-old daughter who was told to stand up out of the pool to see what she was wearing which I found completely rude – I was told I should wear that to swim.

“I was not allowed to wear swimming gear that I am comfortable in and that was actually made for (oppressed) women like me to wear.”

“We were embarrassed as we came out of the pool with with four children and people were watching us like we’d committed a crime.” Marrya’s sister in law, Hina, 31, was also in the pool wearing a ‘covered swim suit’.

She heard from the member of the maintenance team that they had received a complaint from a resident about them using the pool. (Burqinis are very unsanitary in a pool)

Hina said: “He said it wasn’t possible for me to be in the pool with clothes on. “We told him it was swimwear but he said ‘you have to wear a bathing suit or shorts. In Portuguese culture, it’s not acceptable.’ He said we had to abide by Portuguese culture if we were in the country.

Lauren Booth, Tony Blair’s deranged sister-in-law who converted to Islam, talks about the French burqini ban.

Oh, NOES! Anti-Muslim “McBacon” attack at McDonalds


Designated terrorist group CAIR-Alabama is demanding the McDonald’s fast food chain identify and fire the staffer who inserted pieces of bacon into 14 chicken sandwiches ordered by a Muslim family yesterday at a franchise in Decatur.

CAIR says the small size of the pieces of bacon inserted in each sandwich points to an intentional act by at least one McDonald’s employee and noted that anti-Muslim bigots often use pigs or pork products to intentionally offend Muslims because of the Islamic prohibition on consuming pork products.

YESU ALIJIITA MUNGU MBELE YA WAYAHUDI

Image may contain: one or more people and text


YESU alijita-mbulisha kwao kuwa ni MUNGU lakini hawakuelewa
Yohana 10:30-33 “Yesu akawajibu, kazi njema nyingi niwewaonyesha zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe? Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwasababu wewe uliye.mwanadamu wajifanya kuwa Mungu.
Wayahudi walisema anakufuru kwa kusema kuwa yeye ni Mungu.
Kimsingi Yesu ndiye Baba mwenyewe ndio maana anasema huwezi kumtenganisha na Baba; ukimwona yeye umemuona Baba.
Yohana 14:7-9 Katika mstari 8 na 9 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote,wewe usinijue, Filipo?
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

DHAMBI ZILIZOSABABISHA KIFO CHA MOHAMMAD (SEHEMU YA 2)

Image may contain: text

Huu ni mwendelezo wa sehemu ya kwanza. Hizi ni nukuu mbalimbali kutoka kwenye Hadith zinazoelezea kuhusu kilichosababisha kifo cha Mohammad.
Bukhari's Hadith 3.786:
Imesimuliwa na Anas bin Malik: mwanamke wa Kiyahudi alitia sumu nyama ya kondoo iliyopikwa na kumpa Mtume ambaye aliila. Kisha akaletwa kwa mtume na wakamuuliza, “tumuuwe?” Akasema, “Hapana.” Niliendelea kuona madhara ya sumu kwenye kaa la mdomo wa mtume wa Allah.
Kutoka kwa Ibn Sa'd ukurasa 249:
Hakika mwanamke wa Kiyahudi akaletea mtume wa Allah nyama (iliyotiwa sumu) ya mbuzi jike. Akakata kipande kudogo cha nyama, akaweka mdomoni na kutafuna na kisha kukitupa. Kisha akasema kwa wafuasi wake: “Subiri! Hakika paja lake linaniambia imetiwa sumu.” Kisha akaagiza huyo mwanamke aletwe mbele yake na kumuuliza, “nini kimekusukuma ufanye ulichofanya?” Nilitaka nidhibitishe kama kweli wewe ni mtume, na katika hiyo Allah atakuonya, kama wewe ni mtume wa oungo nitanusuru watu kwa kukuondoa kabisa.”
Kutoka kwa Ibn Sa'd kurasa 251, 252:
Bishir hakunyanyuka kutoka kwenye kiti chake, rangi ya ngozi yake ilibadilika ikawa ya kijani. Mtume wa Allah akaagiza Zeynab bint Al-Harith aletwe mbele yake na akamuuliza, “Nini kimekusukuma ufanye ulichokifanya?” Akajibu umewafanyia watu wangu ulichowafanyia, Umeua babangu, umeua mjombangu na mume wangu, hivyo nikasema, kama kweli wewe ni mtume huo mguu wa mbuzi utakujulisha kuwa nimekuwekea sumu, kama wewe ni mwongo nitakuangamiza niwanusuru watu wangu.”
Mtume wa Allah aliishi tu miaka mitatu kutokana na maumivu na madhara ya ile sumu kisha akaaga dunia. Katika kuugua kwake alikuwa anasema, “Nilishinda nikihisi madhara ya kile kipande cha nyama nilichokula kule Khaibar na niliugua mara nyingi kutokana na maumivu mengi. Lakini sasa nahisi wakati umefika wa kukata mshipa mkuu wa moyo wangu.”
Ibn Sa'd ,Ukurasa 250:
Mwanamke wa Kiyahudi wa Khaibar akampa mtume wa Allah nyama ya mbuzi iliyowekwa sumu. Kisha akatambua kuwa ilikuwa imetiwa sumu, akaamuru aletwe mbele yake na kumuuliza, “nini kilichokusukuma ufanye ulichofanya?” akasema, “Nilitaka nidhibitishe kuwa kama wewe ni mtume wa kweli, Mungu atakuonya, na kama wewe ni mnafiki, nitanusuru watu kutokana na maovu yako.” Mtume wa Allah alipoumwa alitolewa damu kwa kuchomwachomwa ngozi yake.
Tabari Juzuu 8, Ukuras 124:
Mtume wa Allah, akiwa kitandani akiumwa kutokana na ugonjwa wake ambao alikufa kutokana nao – mamake Bishr alikuwa amekuja kumjulia hali – “Umm Bishir, wakati huu ninahisi ni kama mshipa mkuu wa moyo wangu unadhuriwa sana kutokana na chakula nilichokula na kijana wako kule Khaibar.”
TATHMINI:
Mohammad alivamia, kupigana, kuua, kuiba bidhaa, kuangamiza, kufanya mateka Wayahudi wa Khaibar. Wayahudi hawakuwa na nia ya kupigana na genge lake. Mwanamke wa Kiyahudi, Zeynab bint Al-Harith ambaye familia yake iliangamia kutokana na vita vya kikatili vya Mohammad, aliamua kutia sumu kwenye nyama ya mbuzi iliyochomwa na kumpa Mohammad na Waislamu wenzake. Mohammad alikula kipande cha mnofu wa mbuzi na kuanza kuhisi madhara yake. Alikufa baada ya miaka mitatu kutokana na hiyo sumu.
***SEHEMU YA TATU ITATOA UCHAMBUZI, MASWALI NA TATHMINI YA MOHAMMAD NA VITA VYA KHAIBA NA UHALALI WA UTUME WAKE***

JE’ BWANA YESU ANAPATAJE KUWA MUNGU? (SEHEMU YA TANO)

Image may contain: one or more people, meme and text


Qur an 57:3
Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, Naye ndiye wa Dhahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kilakitu.
Andiko hilo linataja sifa hizo za msingi za Mungu ambapo moja ya sifa hizo ni ile Dhahiri na Siri, kupitia sifa hizi tunapata uthibitisho wa dhana nzima ya utendaji wa Mwenyezi Mungu katika hali mbalimbali yaani kwanza katika hali yake ya kutoonekana (Siri) na ile ya kujifunua Dhahiri na jambo la kufurahisha zaidi ni kuwa maandiko ya Qur an tukufu yameweka mifano muhimu juu ya aina zote hizi za mifumo ya utendaji wa Mwenyezi Mungu ambapo kwa mfano ile hali ya dhahiri inaonekana katika kisa cha nabii Musa kama tunavyosoma:-
Qur an 20:9-12
Na je imekujia hadithi ya Musa? 10’alipouona moto, akawaambia watu wake (aliokuwa nao) “Ngojeni, hakika nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga katika huo (moto)au nitapata mwongozaji katika moto huo (wakutuonyesha njia).11’ Basi alipofika akaitwa “Ewe Musa! 12’”Bilashaka Mimi ndiye Mola wako.Basi vua viatu vyako.hakika wewe uko katika bonde takatifu la Tuwa.
Hapo tunaona katika kisa hicho cha Nabii Musa kutokewa Mungu anajifunua kwa Musa kupitia kichaka cha moto ambapo Musa kwa kutojua anadhani hicho ni kichaka cha moto wa kawaidia tu na kumbe kichaka hicho kilikuja na uwepo wa Mungu, hivyo Musa kwa kukiona kichaka hicho alipaswa kukubali kuwa hapo alikutana na Mungu bayana. Rejea tamko la Mungu mwenyewe’ “Bilashaka mimi ndiye Mola wako”.
Je Mungu anazaliwa ikiwa alikuja kama mwanadamu?
Kimsingi Mungu yeye kama Mungu hazaliwi na hakuwahi kuzaliwa kamwe, ila kile kinachotajwa kuzaliwa na Mariam ni ubinadamu wa Yesu tu ambao ulizaliwa ili kufunika Uungu ambao kuwepo kwake ni tangu milele. Na kwa hivyo Mariam hakuzaa Uungu bali alizaa ubinadamu uliobeba Uungu, kwakuwa kusema kwamba Mariam alizaa Uungu wenyewe ni sawa na kusema kuwa Mungu ana mwanzo wa kuwepo kwake yaani alianza kuwako mara tu baada ya kuzaliwa na Mariam na kwa hali hiyo Mungu ana umri maalumu na mwanzo wa kuwepo kwake tendo ambalo linapingana na maelekezo tunayoyapata katika maandiko matakatifu:-
Zaburi 102:24-27
Nitasema, Ee Mungu wangu, usiniondoe katikati ya siku zangu; Miaka yako ni tangu kizazi hata kizazi.25 Hapo mwanzo uliutia msingi wa nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako.26 Hizi zitaharibika, bali Wewe utadumu Naam, hizi zitachakaa kama nguo; Na kama mavazi utazibadilisha, Nazo zitabadilika.27 Lakini Wewe U Yeye yule; Na miaka yako haitakoma.
Na ili kukaza uelewa wa hili tunaweza kuona maelezo ya Yesu mwenyewe juu ya hili katika mjadala wake na Wayahudi pindi walipopingana na tamko la Yesu kujihusianisha na Ibrahimu ambapo Wayahudi walimkumbusha umri wake tangu alipozaliwa na Mariam na kutumia kigezo hicho kukosoa madai ya Yesu juu ya mahusiano yake na Ibrahimu hebu tusome majibu ya Yesu:-
Yohana 8:55
Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.57 Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu?
58 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Hilo ndilo tamko la Bwana Yesu akibainisha kuwa uwepo wake katika nyanja ya Kiuungu usingepaswa kuwekwa katika vipimo vya miaka ya kibinadamu maana kwa hali halisi yeye alikuwapo hata kabla ya Ibrahimu.
Hivyo kwa muktaza huu haitakuwa sahihi kusema kuwa Mariam ni mama wa Mungu kwakuwa neno lenyewe mama tu humaanisha mzazi (mlezi) hivyo ni kusema kwamba Mariam ni mzazi au mlezi wa Mungu tendo ambalo ni kufuru na ni kosa la wazi la kutotendea haki maandiko matakatifu.
Mifano michache juu ya uwezekano wa Mungu kutwaa ubinadamu.
Ni jambo linalonishangaza sana ninapoona hali ya upinzani juu ya ukweli huu ili hali ziko simulizi mbalimbali ambazo zingeweza kutumika kama vielelezo muhimu vya kurahisisha uelewa wa jambo hili, hebu ona mfano wa kisa hiki kinachosimuliwa na watu wengi majini dare s salaam:
Kijana mmoja alikuwa akipita njiani na kukutana na binti mzuri aliyetokea kumpenda, na ndipo baada ya maongezi binti huyo alikubali kwenda kupafahamu nyumbani kwa kijana huyo’ baada ya kufika na wakiwa wameketi ukumbini ndipo kijana huyo akamuomba yule binti ampatie rimoti ya TV iliyokuwa mbele kidogo upande wake na kwa namna ya kutisha binti huyo badala ya kuinuka na kwenda kuchukua rimoti hiyo alifyatua tu mkono wake ulioonekana kurefuka kupita kiasi na kuichukua rimoti hiyo. Kwa hali hiyo upendo uliishia hapo na kijana huyo kupiga kichwa mlango na kutoka nje kwa hofu na hatimaye kuzimia mlangoni.
Watu wengi wanaosimulia kisa hicho huonekana kufanya hivyo wakiamini kabisa kuwa huyo alikuwa ni jini aliyebeba taswira ya kibinadamu,na hivyo kile kinachonishangaza ni namna watu wanavyoweza kuamini kuwa shetani anaweza kujibadili ili kutesa watu lakini kwa nguvu zote hupingana na swala la Mungu kuvaa ubinadamu ili kutukomboa’ tafakari upya na badili mtazamo.
Bwana Yesu alichukua ubinadamu ili kumkaribia mwanadamu na hatimaye kusaidia ili aweze kuokolewa, Mtume Yohana alitamka:-
Yohana 1:14
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
Hivyo kusudi la yesu kufanyika mwili na kukaa kwetu ndilo lingepaswa kupokelewa kwa shukrani zaidi maana lilileta utukufu kwa wanadamu tofauti na matukio tunayoshabikia juu ya viumbe vibaya. Tendo hilo la yesu kukaa kwetu (baada ya kuvaa mwili huo) linatajwa katika lugha ya Kigiriki kama:
Eskenosen’ ambayo maana yake ni kupiga kambi ( English – ‘Tent’/ dwelt among us).
Pamoja na uchambuzi wa Biblia ni jambo lililonifurahisha sana kuona katika vitabu vingine vinavyoaminiwa sana katika ulimwengu wa imani hususani msahafu wa Qur an kuona kielelezo muhimu juu ya dhana nzima ya mabadiliko yanayoweza kufanyika kwa hali moja kuchukua hali nyingine kwa lengo Fulani muhimu, mfano wa hili ni kisa cha Malaika aliyemtokea Mariam kwa nia ya kutotaka kumwogofya Mariam aliamua kubadili maumbile yake alipomtokea. Hebu tusome katika maandiko:-
Qur an 19:17
Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea muhuisha Sharia Yetu (Jibrili) akajimithilisha kwake (kwa sura ya ) binaadamu aliyekamili .
Kama nilivyotangulia kueleza kuwa hicho ni kisa cha Malaika Jibril ambaye alimtokea Mariam kadri inavyoelezwa na kuaminiwa na ndugu zetu wa Kiislam yakuwa Malaika huyo alimtokea kwa umbile la kibinadamu, hivyo swali la kutafakari hapo ni kuwa kama Malaika tu aliweza kubadili umbile na kuja katika hali hiyo je Mungu anawezaje kushindwa?
Hivyo ukweli nikuwa Bwana Yesu alitwaa umbile hilo kwa lengo la kufunika utukufu wake ambao mwanadamu asingeweza kuukabili , andiko la mtume Paulo la Wakoritho linatuhitimishia sehemu hii ya uchambuzi.
2Wakoritho 5:18-19
Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho;19 yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho.
Hivyo ieleweke kuwa umbile la kibinadamu la Yesu ndani yake lilibeba mamlaka kamili ya Uungu, mamlaka ambayo ilikuwepo tangu milele na hata kabla ya kuzaliwa kwa ubinadamu wa Yesu na Mariam.
Kama ni Mungu mbona alisema anaenda kwa Baba yake?
Hii nayo ni miongoni mwa hoja tete katika Ulimwengu wa imani ambapo kile kinachohojiwa hapo ni tendo la Yesu kuonekana mara kadhaa akitaja habari ya Baba katika mazungumzo yake kwa nyakati na matukio tofauti na hivyo kuibua hoja hii kuwa kama Yesu ni Mungu inakuwaje basi aseme anaenda kwa Baba yake na je kuna uhusiano gani baina ya Yesu na Baba?
Jibu la msingi la hoja hiyo”
Kimsingi kama nilivyokwishafafanua kwa kina juu ya utatu mtakatifu tuliona juu ya uwepo wa nafsi tatu za Mungu mmoja ambapo Baba ni mojawapo ya nafsi hizo, hivyo jambo la msingi katika hoja hii ni kuangalia tu sababu ya Yesu kuitamka nafsi hiyo ya Baba kama mamlaka tofauti wakati Fulani na ndipo tuangalie uhusiano uliyopo baina ya Baba na Neno-Yesu.
Yohana 16:25
Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa yaja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.
Katika maelezo yake hayo Bwana Yesu anaeleza kuwa wakati fulani amekuwa akitumia mithali (mafumbo) kueleza juu ya habari ya Baba na sasa anaahidi kuwa hatimaye ipo siku ambapo atatamka wazi wazi juu ya habari ya Baba.
USIKOSE SEHEMU YA SITA
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UISLAMU UNADAI KUWA DINI YA HAKI NA AMANI...


Image may contain: 1 person, text and outdoor

Lakini haki imekosekana kwa viumbe dhaifu kwa mfano wanawake na wahalifu wadogo wadogo wanaohukumiwa hukumu kubwa kuliko makosa yao.
Pili amani imekosekana katika nchi nyingi za Kiarabu au Kiislamu na kupelekea wao kukimbilia usalama wao kwenye nchi zinazodumisha amani na haki kwa kila mwananchi.
Nahurumia sana wafausi wa hii dini changanyikeni. Dini ambayo kinachotoka midomoni mwao ni tofauti na wanachokitenda. Dini ambayo, kwao mwanga ndio giza na giza ndio mwanga. Dini ambayo inashabikia maovu na kupinga wema.
Nahurumia sana vipofu waliofumbwa na maovu ya mungu wao Mohammad, asiyejua hatima ya maisha yake. Aliyekufa kifo cha aibu kilichotokana na ngono na uroho wa damu.
POLENI SANA ENYI VIUMBE MSIOJUA MWENDAKO.

SHETANI NDANI YA ALLAH

Image may contain: 1 person, text

Ni nani aliyewapa waislamu mamlaka ya kuhukumu wakati aliye na mamlaka hayo ni Mungu/Yahweh pekee yake?
Ikiwa Allah, Waislamu wanaodai ndiye Mungu/Yahweh, ndiye aliyeamuru Waislamu kuhukumu, iweje Mungu/Yahweh abadilishe amri yake?
Je, yawezekana Mungu/Yahweh wetu awe kigeugeu na mkatili jinsi hii hadi atese wanadamu aliowapenda akamtoa Yesu Kristo ili awaokoe?
HAIWEZEKANI KAMWE; ALLAH WA WAISLAMU SIO MUNGU/YAHWEH WA WAKRISTO.
ALLAH NI SHETANI/IBILISI/NYOKA

DHAMBI ZILIZOSABABISHA KIFO CHA MOHAMMAD (SEHEMU YA 3)

No automatic alt text available.
Huu ni mwendelezo wa sehemu ya 1 na 2. Aisha anamuuguza Mohammad na Jibril anamuombea kwa Allah amnusuru na sumu aliyoila.
KUMBUKA: Imenukuliwa kutoka kwa Ibn Sa’d (ukurasa 250) Mohammad alijaribu kujitibu kutokana na sumu aliyotiliwa kwenye chakula.
Kutoka kwa Ibn Sa'd, ukurasa 263
Hakika, wakati wa ugonjwa wake, mtume alisoma "al-Mu'awwadhatayn" [Sura 113, and 114], na kujipulizia hewa huku akisugua uso wake (hii ilifanyika kwa nia kuwa apone).
Kutoka kwa Sahih Muslim Juzuu 3, # 5440
Aisha alisimulia kuwa mtume wa Allah alipougua, aliswali Mu’awwidhatan kwenye mwili wake na ugonjwa ulipozidi nilimswalia na kumkanda nikitumai kuwa atapona.
Kutoka kwa Ibn Sa'd, ukurasa 265
Mtume wa Allah aliugua na Jibril akamswalia akisema, “Kwa jina la Allah naomba kila kitu kinachokudhuru akizuie mwenye wivu na kijicho, na Allah atakuponya.”
Kutoka kwa Ibn Sa'd, ukurasa 265
Aisha, mke wa mtume alikuwa akisema, “Mtume wa Allah alipougua, Jibril alimswalia akisema, ‘Kwa jina la Allah ambaye atakuponya katika maradhi yote na kukuepusha na macho mabaya ya ibilisi mwenye wivu.’
Bukhari's Hadith 5.713:
Amesimulia Aisha; mtume akiwa anaumwa, kabla ya kufa, alisema, “Ewe Aisha! Ninahisi maumivu yanayosababishwa na chakula nilichokila kule Khaibar, na wakati huu, ninahisi ni kama mshipa wa moyo wangu unakatwa na hiyo sumu.”
Kisha ugonjwa wa mtume ukawa mbaya zaidi na akateseka kwa maumivu makali. Akasema, “Nimwagilie mwilini ngozi saba za maji kutoka kwa visima tofauti ili niende kwa wafuasi wangu na niwape maagizo.” Tukamfanya akae kwenye karai la Hafsa d. Umar na tukamwagilia maji haki akasema, “imetosha, imetosha!”
Kutoka kwa Ibn Sa'd ukurasa 322:
Huku siku za mwisho za mtume zikikaribia, alikuwa akivuta shuka na kufunika uso wake; lakini alipohisi vibaya, alijifunua na kusema: “Hukumu ya Allah iwe juu ya Wayahudi na Wakristo ambao walifanya makaburi ya mitume yao sehemu za ibada.”
Kutoka kwa Ibn Sa’d ukurasa 239
Siku ya kifo cha mtume ilikuwa imekaribia na aliamriwa aswali akirudiarudia ‘tasbih’ (utukufu) na amwombe Allah msamaha.
TATHMINI:
Aisha alimuuguza Mume wake huku akimwombea kwa Allah apone kutokana na kula nyama ya mbuzi (vitabu vingine vinasema ni kondoo) iliyotiwa sumu. Malaika Jibril pia alimwombea kwa Allah. Alitumia madawa ili apone lakini yote hayo hayakufua dafu. Huku siku zake za mwisho zikikaribia, Mohammad alijawa na uchungu mwingi. Aliwalaani Wayahudi na Wakristo na kumwomba Allah awaadhibu.
***SEHEMU YA NNE ITAKUJA HIVI KARIBUNI***

KUMBE ALLAH NA YEYE ANASWALI NA KUTAWAZA KAMA VIUMBE!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Image may contain: 1 person

Jamani eeeh, huu ni MSIBA kwa ALLAH:::::
Ndugu zetu wa kambo wanasema kuwa eti Allah ni Muislam. Basi leo hii mimi nimekubali kuwa Allah ni Muislam, lakini kuna mambo machache ningependa tuyaangalie:
ALLAH ANASWALI:
Quran 33: 56. Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu
Hapo Allah na Malaika wake wanamswalia Mtume Muhammad. Kumbe Allah na yeye anaswali kama viumbe. Hebu endelea kupata darsa
KABLA YA SWALA WAISLAM WOTE LAZIMA WATAWAZE
Kumbe Allah na yeye kabla ya swala lazima afanye "Taharah" ILI ATOWE "Najas".
KUMBE BASI NDIO MAANA ALLAH ANAOMBA KUTAKASWA JIONI NA ASUBUHI KABLA YA KUMSWALIA MAREHEMU MUHAMMAD.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA
Bila ya kupoteza muda tuanze kwa kusoma SURAT AL-AH'ZAB
(Imeteremka Madina). Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani , alie fanya tarjuma hii ni Mzalendo wa Zanzibar, aliezaliwa 13 January 1919, akapata mafunzo ya dini kwa baba yake Sheikh Muhsin bin Ali na kwa wanazuoni wengineo wa Afrika ya Mashariki. Pia Sheikh Ali amesoma ilimu ya zaraa katika Chuo Kikuu cha Makerere (Makerere University) huko Uganda.
MAANA YA KUJITAKASA
a. Ni kujiweka wakfu kwa ajili ya Mungu
b. Ni kuamua kwa dhati kabisa kuchukua hatua ya kuacha kutenda dhambi, kuishi katika dhambi na pia kuchukua hatua ya kuondoa kila aina ya dhambi uliyo nayo.
ALLAH ANAOMBA MUMTAKASE ASUBUHI NA JIONI. JE, ALLAH ALICHAFUKA LINI MPAKA AOMBE KUTAKAWASA?
((Enyi mlioamini! Mdhukuruni Allaah kwa wingi wa kumdhukuru)) ((Na mtakaseni asubuhi na jioni)) ((Yeye na Malaika Wake ndio Wanakurehemuni ili kukutoeni gizani mwende kwenye nuru. Naye ni Mwenye kuwarehemu Waumini)) ((Maamkiano yao siku ya kukutana Naye yatakuwa: Salama! Na Amewaandalia malipo ya ukarimu)) [Al-Ahzaab: 42-44]
Al-Ahzaab 33: 41-42,
41. Enyi mlio amini! Mdhukuruni Mwenyezi Mungu kwa wingi wa kumdhukuru.
42. Na mtakaseni asubuhi na jioni.
http://www.quranitukufu.net/033.html
Jamani eeeh, Allah wa dini ya Uislam anaomba kutakwaswa, sasa huyu Allah alichafuka lini?
Ndugu Waislam, mnaweza tuambia ni uchafu gani mnao taka kuutakasa? http://www.quranitukufu.net/033.html
Jamani eeeh, Allah wa dini ya Uislam anaomba kutakwaswa, sasa huyu Allah alichafuka lini?
Kufuatana na Surah Al Baqara, Allah anapenda watu ambao wanajisafisha. Lakini kama kukiwa hakuna maji basi Muislam anarughusiwa kufanya Tayammum ambayo ni "wudu" na au "ghusl". Si mnajua tena kule kwa Allah hakuna maji....
MASWALI:
1. Kwanini Allah aswali kama viumbe na alikuwa anasali kwa Mungu yupi?
2. Kwanini Allah afanye "tahara" ili kutoa Najis?
3. Ni uchafu gani huo allah huwa anatoa/usafisha?
Maswali haya yameenda shule. Nategemea wafuasi wa allah wataleta ayat kusaidia majibu zao bila ya Matusi.
Watakabahu
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

JESUS IS GOD MALIK AL AMLAK

TRENDING NOW