Tuesday, August 1, 2017

YESU ALIJIITA MUNGU MBELE YA WAYAHUDI

Image may contain: one or more people and text


YESU alijita-mbulisha kwao kuwa ni MUNGU lakini hawakuelewa
Yohana 10:30-33 “Yesu akawajibu, kazi njema nyingi niwewaonyesha zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe? Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwasababu wewe uliye.mwanadamu wajifanya kuwa Mungu.
Wayahudi walisema anakufuru kwa kusema kuwa yeye ni Mungu.
Kimsingi Yesu ndiye Baba mwenyewe ndio maana anasema huwezi kumtenganisha na Baba; ukimwona yeye umemuona Baba.
Yohana 14:7-9 Katika mstari 8 na 9 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote,wewe usinijue, Filipo?
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

WAS MUHAMMAD PROPHESIED IN THE BIBLE?

SURAH 61:6 Muslims believe that the coming of Muhammad was foretold in the Bible. For centuries, Muslims have tried to find predictions of t...

TRENDING NOW