Tuesday, August 1, 2017

AUSTRALIAN SENATOR Cory Bernardi calls for deportation of Muslim ‘halal’ king who claimed Australians needed Muslim men to ‘fertilize its women with Muslim babies”


Australian Conservatives Senator Cory Bernardi has slammed halal boss Mohamed Elmouelhy, saying he does not want him in the country. Senator Bernardi’s comments come in response to remarks Elmouelhy made on social media predicting the ‘white race would be extinct’ within 40 years.

Daily Mail (h/t Sara S)  Mr Elmouelhy told his Facebook followers Australian women needed Muslim men to ‘fertilise them’ and ‘keep them surrounded by Muslim babies’.

Mr Elmouelhy made the comment after Hebrew University in Jerusalem published research which showed sperm counts in men from Australia, New Zealand, North America and Europe had declined by more than 50 per cent in less than 40 years.

‘Your men are a dying breed, Australian women need us to fertilise them and keep them surrounded by Muslim babies while beer swilling, cigarette smoking, drug injecting can only dream of what Muslim men are capable of,’ he said.  Mr Elmouelhy, who is the president of Halal Certification Authority, said Australia’s white race ‘will be extinct in another 40 years’ if the country is ‘left to bigots’. 

The senator says Mr Elmouelhy’s comments show why reform is needed to Australia’s immigration system. Halal Certification Authority president Mohamed Elmouelhy moved to Australia in 1975 and reportedly became a citizen in 1981, starting his business in 1993.  

The supremacist Muslim businessman called on these ‘bigots’ to kill themselves or plan to die. ‘Because you are declining, better go choose a plot for yourself at your local cemetery,’ he said. ‘If you can’t afford it, commit suicide. It is a cheaper alternative for bigots.’

The 2016 Census revealed that Muslims made up 2.6 per cent of the Australian population, up from 2.2 per cent in 2011. Australia’s Muslim population soared to more than 604,000 people, overtaking Buddhism as the most popular non-Christian religion, and marking a significant jump from 341,000 a decade earlier. 

CLICK VOLUME BUTTON FOR SOUND

ORIGINAL STORY/VIDEO:


BRITISH INSANITY: Muslim ringleader of child sex gang to be released from prison after just 5 years of a 22-year sentence


Mubarek Ali, the notorious MUSLIM leader of a paedophile sex gang in Telford, one of many in Britain, will be released from prison 17 years early. The sexual grooming gang had preyed on, raped, and pimped out girls as young as 12 years old to customers for at least two years.

METRO  (h/t Dallas B) Ali (below), 34, was then captured as part of a police investigation called Operation Chalice in 2013, and was jailed for 22 years. However, he is now reportedly set to be released as early as November.

Telford MP Lucy Allen said that Ali’s release was ‘wrong’, and could lead to him rejoining the community where his victims continue to live. In an open letter to local paper the Shropshire Star, she added that his victims are ‘living in fear’ and should have been properly consulted before his release.

‘Victims and members of the public would have expected a 22-year sentence to mean that the community could have time to heal and victims would be able to get on with their lives,’ she said.

Thousands of people have signed a petition calling for the Justice Secretary to prevent the early release of Mubarek Ali. People in Telford who know the case, or who know those affected by the crimes, have taken to social media to voice disgust after it was revealed that Ali is set to be released.

What we see in this case is that one of the main perpetrators is being released into the community only five years after the trial. ‘This is clearly of enormous concern to victims in this case, especially those who gave evidence in court.’

Four young women, who were aged 13 to 16 when they were abused between 2007 and 2009, gave evidence to Worcester Crown Court during the trial in 2013. Mubarek’s co-defendant, 27-year-old Ahdel Ali, was sentenced to 26 years in prison.


HOT MIC on Israeli PM talking to Eastern European leaders about Western Europe’s self-defeating relationship with Israel


This recording was released by the very far left Israeli news outlet, Haaretz, in an effort to embarrass Benjamin Netanyahu. It does just the opposite.

IsraelToday  When Indian Prime Minister Narendra Modi visited Israel in early July, he very conspicuously skipped Ramallah and the Palestinian leadership. A couple weeks later, Prime Minister Benjamin Netanyahu was meeting with 4 eastern European leaders in Budapest when a “hot mic” caught him explaining precisely why Modi shunned the Palestinians, and why everyone else should, too.

Indeed, the international community has poured a monumental amount of money into the Palestinian Authority (more per capita than what America spent rehabilitating post-World War II Europeand gotten exactly nothing in return. Yet Western Europe continues to threaten Israel with boycotts, divestment, and sanctions, instead of availing themselves of Israel’s groundbreaking technological innovations.

PORTUGAL: Two Muslim female tourists were kicked out of the resort pool and ‘humiliated’ because their Islamic burqini ‘swimwear’ was deemed ‘not acceptable’


MUSLIM sisters-in-law from the UK say they were forced to walk back to their holiday apartment after being told their swimwear was not acceptable and they ‘must wear a bathing suit more appropriate to Portuguese culture.’

UK Mirror  (h/t Susan K) Maryya Dean (photo above) and her sister-in-law Hina claim they were told they could not wear their burqinis in the swimming pool while on holiday in Albufeira, Portugal.

The family members were also outraged after a maintenance worker at the pool allegedly made Maryya’s nine-year-old daughter stand up to provide an example of what they should be wearing – a regular swimming costume.

Marrya, who suffers with bipolar disorder, says the week-long trip was supposed to be a getaway for her – but they were all affected by what happened. They had booked a private apartment which had a pool shared with other flats in the complex.

Maryya, who was on holiday with her four children plus her sister-in-law and other relatives, told the Mirror Online: “Given my cultural background I was wearing a burqini.

“I was approached by the building security manager as someone made a complaint that I was not wearing a bathing suit and therefore not appropriate to be in the pool.

“I was compared to my nine-year-old daughter who was told to stand up out of the pool to see what she was wearing which I found completely rude – I was told I should wear that to swim.

“I was not allowed to wear swimming gear that I am comfortable in and that was actually made for (oppressed) women like me to wear.”

“We were embarrassed as we came out of the pool with with four children and people were watching us like we’d committed a crime.” Marrya’s sister in law, Hina, 31, was also in the pool wearing a ‘covered swim suit’.

She heard from the member of the maintenance team that they had received a complaint from a resident about them using the pool. (Burqinis are very unsanitary in a pool)

Hina said: “He said it wasn’t possible for me to be in the pool with clothes on. “We told him it was swimwear but he said ‘you have to wear a bathing suit or shorts. In Portuguese culture, it’s not acceptable.’ He said we had to abide by Portuguese culture if we were in the country.

Lauren Booth, Tony Blair’s deranged sister-in-law who converted to Islam, talks about the French burqini ban.

Oh, NOES! Anti-Muslim “McBacon” attack at McDonalds


Designated terrorist group CAIR-Alabama is demanding the McDonald’s fast food chain identify and fire the staffer who inserted pieces of bacon into 14 chicken sandwiches ordered by a Muslim family yesterday at a franchise in Decatur.

CAIR says the small size of the pieces of bacon inserted in each sandwich points to an intentional act by at least one McDonald’s employee and noted that anti-Muslim bigots often use pigs or pork products to intentionally offend Muslims because of the Islamic prohibition on consuming pork products.

YESU ALIJIITA MUNGU MBELE YA WAYAHUDI

Image may contain: one or more people and text


YESU alijita-mbulisha kwao kuwa ni MUNGU lakini hawakuelewa
Yohana 10:30-33 “Yesu akawajibu, kazi njema nyingi niwewaonyesha zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe? Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwasababu wewe uliye.mwanadamu wajifanya kuwa Mungu.
Wayahudi walisema anakufuru kwa kusema kuwa yeye ni Mungu.
Kimsingi Yesu ndiye Baba mwenyewe ndio maana anasema huwezi kumtenganisha na Baba; ukimwona yeye umemuona Baba.
Yohana 14:7-9 Katika mstari 8 na 9 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote,wewe usinijue, Filipo?
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

DHAMBI ZILIZOSABABISHA KIFO CHA MOHAMMAD (SEHEMU YA 2)

Image may contain: text

Huu ni mwendelezo wa sehemu ya kwanza. Hizi ni nukuu mbalimbali kutoka kwenye Hadith zinazoelezea kuhusu kilichosababisha kifo cha Mohammad.
Bukhari's Hadith 3.786:
Imesimuliwa na Anas bin Malik: mwanamke wa Kiyahudi alitia sumu nyama ya kondoo iliyopikwa na kumpa Mtume ambaye aliila. Kisha akaletwa kwa mtume na wakamuuliza, “tumuuwe?” Akasema, “Hapana.” Niliendelea kuona madhara ya sumu kwenye kaa la mdomo wa mtume wa Allah.
Kutoka kwa Ibn Sa'd ukurasa 249:
Hakika mwanamke wa Kiyahudi akaletea mtume wa Allah nyama (iliyotiwa sumu) ya mbuzi jike. Akakata kipande kudogo cha nyama, akaweka mdomoni na kutafuna na kisha kukitupa. Kisha akasema kwa wafuasi wake: “Subiri! Hakika paja lake linaniambia imetiwa sumu.” Kisha akaagiza huyo mwanamke aletwe mbele yake na kumuuliza, “nini kimekusukuma ufanye ulichofanya?” Nilitaka nidhibitishe kama kweli wewe ni mtume, na katika hiyo Allah atakuonya, kama wewe ni mtume wa oungo nitanusuru watu kwa kukuondoa kabisa.”
Kutoka kwa Ibn Sa'd kurasa 251, 252:
Bishir hakunyanyuka kutoka kwenye kiti chake, rangi ya ngozi yake ilibadilika ikawa ya kijani. Mtume wa Allah akaagiza Zeynab bint Al-Harith aletwe mbele yake na akamuuliza, “Nini kimekusukuma ufanye ulichokifanya?” Akajibu umewafanyia watu wangu ulichowafanyia, Umeua babangu, umeua mjombangu na mume wangu, hivyo nikasema, kama kweli wewe ni mtume huo mguu wa mbuzi utakujulisha kuwa nimekuwekea sumu, kama wewe ni mwongo nitakuangamiza niwanusuru watu wangu.”
Mtume wa Allah aliishi tu miaka mitatu kutokana na maumivu na madhara ya ile sumu kisha akaaga dunia. Katika kuugua kwake alikuwa anasema, “Nilishinda nikihisi madhara ya kile kipande cha nyama nilichokula kule Khaibar na niliugua mara nyingi kutokana na maumivu mengi. Lakini sasa nahisi wakati umefika wa kukata mshipa mkuu wa moyo wangu.”
Ibn Sa'd ,Ukurasa 250:
Mwanamke wa Kiyahudi wa Khaibar akampa mtume wa Allah nyama ya mbuzi iliyowekwa sumu. Kisha akatambua kuwa ilikuwa imetiwa sumu, akaamuru aletwe mbele yake na kumuuliza, “nini kilichokusukuma ufanye ulichofanya?” akasema, “Nilitaka nidhibitishe kuwa kama wewe ni mtume wa kweli, Mungu atakuonya, na kama wewe ni mnafiki, nitanusuru watu kutokana na maovu yako.” Mtume wa Allah alipoumwa alitolewa damu kwa kuchomwachomwa ngozi yake.
Tabari Juzuu 8, Ukuras 124:
Mtume wa Allah, akiwa kitandani akiumwa kutokana na ugonjwa wake ambao alikufa kutokana nao – mamake Bishr alikuwa amekuja kumjulia hali – “Umm Bishir, wakati huu ninahisi ni kama mshipa mkuu wa moyo wangu unadhuriwa sana kutokana na chakula nilichokula na kijana wako kule Khaibar.”
TATHMINI:
Mohammad alivamia, kupigana, kuua, kuiba bidhaa, kuangamiza, kufanya mateka Wayahudi wa Khaibar. Wayahudi hawakuwa na nia ya kupigana na genge lake. Mwanamke wa Kiyahudi, Zeynab bint Al-Harith ambaye familia yake iliangamia kutokana na vita vya kikatili vya Mohammad, aliamua kutia sumu kwenye nyama ya mbuzi iliyochomwa na kumpa Mohammad na Waislamu wenzake. Mohammad alikula kipande cha mnofu wa mbuzi na kuanza kuhisi madhara yake. Alikufa baada ya miaka mitatu kutokana na hiyo sumu.
***SEHEMU YA TATU ITATOA UCHAMBUZI, MASWALI NA TATHMINI YA MOHAMMAD NA VITA VYA KHAIBA NA UHALALI WA UTUME WAKE***

JE’ BWANA YESU ANAPATAJE KUWA MUNGU? (SEHEMU YA TANO)

Image may contain: one or more people, meme and text


Qur an 57:3
Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, Naye ndiye wa Dhahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kilakitu.
Andiko hilo linataja sifa hizo za msingi za Mungu ambapo moja ya sifa hizo ni ile Dhahiri na Siri, kupitia sifa hizi tunapata uthibitisho wa dhana nzima ya utendaji wa Mwenyezi Mungu katika hali mbalimbali yaani kwanza katika hali yake ya kutoonekana (Siri) na ile ya kujifunua Dhahiri na jambo la kufurahisha zaidi ni kuwa maandiko ya Qur an tukufu yameweka mifano muhimu juu ya aina zote hizi za mifumo ya utendaji wa Mwenyezi Mungu ambapo kwa mfano ile hali ya dhahiri inaonekana katika kisa cha nabii Musa kama tunavyosoma:-
Qur an 20:9-12
Na je imekujia hadithi ya Musa? 10’alipouona moto, akawaambia watu wake (aliokuwa nao) “Ngojeni, hakika nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga katika huo (moto)au nitapata mwongozaji katika moto huo (wakutuonyesha njia).11’ Basi alipofika akaitwa “Ewe Musa! 12’”Bilashaka Mimi ndiye Mola wako.Basi vua viatu vyako.hakika wewe uko katika bonde takatifu la Tuwa.
Hapo tunaona katika kisa hicho cha Nabii Musa kutokewa Mungu anajifunua kwa Musa kupitia kichaka cha moto ambapo Musa kwa kutojua anadhani hicho ni kichaka cha moto wa kawaidia tu na kumbe kichaka hicho kilikuja na uwepo wa Mungu, hivyo Musa kwa kukiona kichaka hicho alipaswa kukubali kuwa hapo alikutana na Mungu bayana. Rejea tamko la Mungu mwenyewe’ “Bilashaka mimi ndiye Mola wako”.
Je Mungu anazaliwa ikiwa alikuja kama mwanadamu?
Kimsingi Mungu yeye kama Mungu hazaliwi na hakuwahi kuzaliwa kamwe, ila kile kinachotajwa kuzaliwa na Mariam ni ubinadamu wa Yesu tu ambao ulizaliwa ili kufunika Uungu ambao kuwepo kwake ni tangu milele. Na kwa hivyo Mariam hakuzaa Uungu bali alizaa ubinadamu uliobeba Uungu, kwakuwa kusema kwamba Mariam alizaa Uungu wenyewe ni sawa na kusema kuwa Mungu ana mwanzo wa kuwepo kwake yaani alianza kuwako mara tu baada ya kuzaliwa na Mariam na kwa hali hiyo Mungu ana umri maalumu na mwanzo wa kuwepo kwake tendo ambalo linapingana na maelekezo tunayoyapata katika maandiko matakatifu:-
Zaburi 102:24-27
Nitasema, Ee Mungu wangu, usiniondoe katikati ya siku zangu; Miaka yako ni tangu kizazi hata kizazi.25 Hapo mwanzo uliutia msingi wa nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako.26 Hizi zitaharibika, bali Wewe utadumu Naam, hizi zitachakaa kama nguo; Na kama mavazi utazibadilisha, Nazo zitabadilika.27 Lakini Wewe U Yeye yule; Na miaka yako haitakoma.
Na ili kukaza uelewa wa hili tunaweza kuona maelezo ya Yesu mwenyewe juu ya hili katika mjadala wake na Wayahudi pindi walipopingana na tamko la Yesu kujihusianisha na Ibrahimu ambapo Wayahudi walimkumbusha umri wake tangu alipozaliwa na Mariam na kutumia kigezo hicho kukosoa madai ya Yesu juu ya mahusiano yake na Ibrahimu hebu tusome majibu ya Yesu:-
Yohana 8:55
Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.57 Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu?
58 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
Hilo ndilo tamko la Bwana Yesu akibainisha kuwa uwepo wake katika nyanja ya Kiuungu usingepaswa kuwekwa katika vipimo vya miaka ya kibinadamu maana kwa hali halisi yeye alikuwapo hata kabla ya Ibrahimu.
Hivyo kwa muktaza huu haitakuwa sahihi kusema kuwa Mariam ni mama wa Mungu kwakuwa neno lenyewe mama tu humaanisha mzazi (mlezi) hivyo ni kusema kwamba Mariam ni mzazi au mlezi wa Mungu tendo ambalo ni kufuru na ni kosa la wazi la kutotendea haki maandiko matakatifu.
Mifano michache juu ya uwezekano wa Mungu kutwaa ubinadamu.
Ni jambo linalonishangaza sana ninapoona hali ya upinzani juu ya ukweli huu ili hali ziko simulizi mbalimbali ambazo zingeweza kutumika kama vielelezo muhimu vya kurahisisha uelewa wa jambo hili, hebu ona mfano wa kisa hiki kinachosimuliwa na watu wengi majini dare s salaam:
Kijana mmoja alikuwa akipita njiani na kukutana na binti mzuri aliyetokea kumpenda, na ndipo baada ya maongezi binti huyo alikubali kwenda kupafahamu nyumbani kwa kijana huyo’ baada ya kufika na wakiwa wameketi ukumbini ndipo kijana huyo akamuomba yule binti ampatie rimoti ya TV iliyokuwa mbele kidogo upande wake na kwa namna ya kutisha binti huyo badala ya kuinuka na kwenda kuchukua rimoti hiyo alifyatua tu mkono wake ulioonekana kurefuka kupita kiasi na kuichukua rimoti hiyo. Kwa hali hiyo upendo uliishia hapo na kijana huyo kupiga kichwa mlango na kutoka nje kwa hofu na hatimaye kuzimia mlangoni.
Watu wengi wanaosimulia kisa hicho huonekana kufanya hivyo wakiamini kabisa kuwa huyo alikuwa ni jini aliyebeba taswira ya kibinadamu,na hivyo kile kinachonishangaza ni namna watu wanavyoweza kuamini kuwa shetani anaweza kujibadili ili kutesa watu lakini kwa nguvu zote hupingana na swala la Mungu kuvaa ubinadamu ili kutukomboa’ tafakari upya na badili mtazamo.
Bwana Yesu alichukua ubinadamu ili kumkaribia mwanadamu na hatimaye kusaidia ili aweze kuokolewa, Mtume Yohana alitamka:-
Yohana 1:14
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
Hivyo kusudi la yesu kufanyika mwili na kukaa kwetu ndilo lingepaswa kupokelewa kwa shukrani zaidi maana lilileta utukufu kwa wanadamu tofauti na matukio tunayoshabikia juu ya viumbe vibaya. Tendo hilo la yesu kukaa kwetu (baada ya kuvaa mwili huo) linatajwa katika lugha ya Kigiriki kama:
Eskenosen’ ambayo maana yake ni kupiga kambi ( English – ‘Tent’/ dwelt among us).
Pamoja na uchambuzi wa Biblia ni jambo lililonifurahisha sana kuona katika vitabu vingine vinavyoaminiwa sana katika ulimwengu wa imani hususani msahafu wa Qur an kuona kielelezo muhimu juu ya dhana nzima ya mabadiliko yanayoweza kufanyika kwa hali moja kuchukua hali nyingine kwa lengo Fulani muhimu, mfano wa hili ni kisa cha Malaika aliyemtokea Mariam kwa nia ya kutotaka kumwogofya Mariam aliamua kubadili maumbile yake alipomtokea. Hebu tusome katika maandiko:-
Qur an 19:17
Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea muhuisha Sharia Yetu (Jibrili) akajimithilisha kwake (kwa sura ya ) binaadamu aliyekamili .
Kama nilivyotangulia kueleza kuwa hicho ni kisa cha Malaika Jibril ambaye alimtokea Mariam kadri inavyoelezwa na kuaminiwa na ndugu zetu wa Kiislam yakuwa Malaika huyo alimtokea kwa umbile la kibinadamu, hivyo swali la kutafakari hapo ni kuwa kama Malaika tu aliweza kubadili umbile na kuja katika hali hiyo je Mungu anawezaje kushindwa?
Hivyo ukweli nikuwa Bwana Yesu alitwaa umbile hilo kwa lengo la kufunika utukufu wake ambao mwanadamu asingeweza kuukabili , andiko la mtume Paulo la Wakoritho linatuhitimishia sehemu hii ya uchambuzi.
2Wakoritho 5:18-19
Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho;19 yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho.
Hivyo ieleweke kuwa umbile la kibinadamu la Yesu ndani yake lilibeba mamlaka kamili ya Uungu, mamlaka ambayo ilikuwepo tangu milele na hata kabla ya kuzaliwa kwa ubinadamu wa Yesu na Mariam.
Kama ni Mungu mbona alisema anaenda kwa Baba yake?
Hii nayo ni miongoni mwa hoja tete katika Ulimwengu wa imani ambapo kile kinachohojiwa hapo ni tendo la Yesu kuonekana mara kadhaa akitaja habari ya Baba katika mazungumzo yake kwa nyakati na matukio tofauti na hivyo kuibua hoja hii kuwa kama Yesu ni Mungu inakuwaje basi aseme anaenda kwa Baba yake na je kuna uhusiano gani baina ya Yesu na Baba?
Jibu la msingi la hoja hiyo”
Kimsingi kama nilivyokwishafafanua kwa kina juu ya utatu mtakatifu tuliona juu ya uwepo wa nafsi tatu za Mungu mmoja ambapo Baba ni mojawapo ya nafsi hizo, hivyo jambo la msingi katika hoja hii ni kuangalia tu sababu ya Yesu kuitamka nafsi hiyo ya Baba kama mamlaka tofauti wakati Fulani na ndipo tuangalie uhusiano uliyopo baina ya Baba na Neno-Yesu.
Yohana 16:25
Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa yaja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.
Katika maelezo yake hayo Bwana Yesu anaeleza kuwa wakati fulani amekuwa akitumia mithali (mafumbo) kueleza juu ya habari ya Baba na sasa anaahidi kuwa hatimaye ipo siku ambapo atatamka wazi wazi juu ya habari ya Baba.
USIKOSE SEHEMU YA SITA
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UISLAMU UNADAI KUWA DINI YA HAKI NA AMANI...


Image may contain: 1 person, text and outdoor

Lakini haki imekosekana kwa viumbe dhaifu kwa mfano wanawake na wahalifu wadogo wadogo wanaohukumiwa hukumu kubwa kuliko makosa yao.
Pili amani imekosekana katika nchi nyingi za Kiarabu au Kiislamu na kupelekea wao kukimbilia usalama wao kwenye nchi zinazodumisha amani na haki kwa kila mwananchi.
Nahurumia sana wafausi wa hii dini changanyikeni. Dini ambayo kinachotoka midomoni mwao ni tofauti na wanachokitenda. Dini ambayo, kwao mwanga ndio giza na giza ndio mwanga. Dini ambayo inashabikia maovu na kupinga wema.
Nahurumia sana vipofu waliofumbwa na maovu ya mungu wao Mohammad, asiyejua hatima ya maisha yake. Aliyekufa kifo cha aibu kilichotokana na ngono na uroho wa damu.
POLENI SANA ENYI VIUMBE MSIOJUA MWENDAKO.

SHETANI NDANI YA ALLAH

Image may contain: 1 person, text

Ni nani aliyewapa waislamu mamlaka ya kuhukumu wakati aliye na mamlaka hayo ni Mungu/Yahweh pekee yake?
Ikiwa Allah, Waislamu wanaodai ndiye Mungu/Yahweh, ndiye aliyeamuru Waislamu kuhukumu, iweje Mungu/Yahweh abadilishe amri yake?
Je, yawezekana Mungu/Yahweh wetu awe kigeugeu na mkatili jinsi hii hadi atese wanadamu aliowapenda akamtoa Yesu Kristo ili awaokoe?
HAIWEZEKANI KAMWE; ALLAH WA WAISLAMU SIO MUNGU/YAHWEH WA WAKRISTO.
ALLAH NI SHETANI/IBILISI/NYOKA

TRENDING NOW