Friday, August 4, 2017

ALLAH KASEMA NGONO INAONDOA DHAMBI ZAKO

Image may contain: one or more people and indoor
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
ETI, TENDO LA NDOA LINATO DHAMBI ZAKO, HAYA KASEMA ALLAH NA MTUME WAKE MUHAMMAD
Bila ya kupoteza muda, soma ushahid huu hapa:
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu juzuu 1-2 cha Mohammed al-Kindy uk 206 Hadith 467 inasema
“ Hakika Mwanamme akimtazama mkewe (kwa matamanio ya kuingiliana) nae (mke) akamtazama mumewe (kwa ajili hiyo) basi anawatazama Mwenyezi Mungu utazamaji wa rehema, (mume) akimshika mkewe kwa mkono wake ( kwenda kutimiza haja yao) basi yanadondoka (yanatoka) madhambi yao kwenye vidole vyao”.
Ndio maana Muhammad kawaambia Waislam waoe wake wanne wanne. Kisa, wanafutiwa dhambi wanapo jamiiana.
Hakika kuna viroja na vihoja kwenye dini hii ya bandia.
YESU NI MUNGU NA ANASAMEHE WATU DHAMBI
Katika tukio moja ambalo Yesu alionesha mamlaka yake ya Uungu kwa kusamehe dhambi na wakuu wa dini walioina hiyo kama kufuru kwani mwenye uwezo wa kusamehe dhambi ni Mungu pekee kwa vile hata wao hawakufahamu mamlaka ya Yesu ni Mungu.
Marko.2:5-11
Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako. Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao, Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu? Mara Yesu akafahamu rohoni mwake kwamba wanafikiri hivyo nafsini mwao, akawaambia, Mbona mnafikiri hivi mioyoni mwenu? Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende? Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye kupooza), Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.
Hili ni mojawapo ya matendo ya Yesu kusamehe dhambi aliyotenda kuonesha Uungu wake na mamlaka yake.
HAKIKA YESU NI MUNGU.
Shalom,
Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.

BRUTAL REVENGE: 17- year old girl cuts PENIS of Muslim man during rape attempt, rapist’s condition serious

INDIA : 17- year old girl cuts PENIS of Muslim man during rape attempt, rapist’s condition serious
A 17-year-old Dalit girl bobbitised a man who allegedly attempted to rape her at knifepoint, police said today.
The incident took place last evening when the girl had gone to relieve herself at a jungle in Incholi area here, a police spokesperson said.
The girl snatched the knife from the accused Raees (23) when he attempted to force himself on her, and attacked his private parts with it.
Villagers arrived at the spot after hearing his cries and admitted him to a hospital, where his condition is stated to be serious.
Police said they have registered a case against the man after a complaint by the girl.
They said security has been stepped up in the village as a precautionary measure, since the accused and the girl belonged to different communities.
The media who took pleasure in highlighting the Rohtak girls who played victim but turned out to be the conspirators, but seem to have no knowledge of this incident of bravery. As a general trend, it can be observed nowadays that the media chooses to hide incidents when the culprit is from one particular community. Even the so called minority Messiah Rahul Gandhi, Arvind Kejriwal etc. who said Dalits were under attack when Rohith Vemula died now seem to be missing. We sincerely ask them, WHY THIS HYPOCRISY?

UTHIBITISHO KWAMBA MUNGU YUPO (SEHEMU YA TISA)

Image may contain: text
Tamaa ya asili hutimizwa na kitu halisi:
Kila hitaji asilia hutimizwa na kitu halisia. Njaa huzimwa na chakula. Upweke humalizwa na mpenzi. Kwa kila haja ya kimambile lipo jibu nje ya maumbile husika. Lakini ipo tamaa ya kibinadamu isiyoweza kutoshelezwa na mazingira ya mwanadamu. Elimu ya kidunia na ajira mali na madaraka na mapenzi haviwezi kukidhi haja hiyo. Nani asiyetamani kufurahia ua lisilonyauka, muziki usiochuja, na upendo usiopoa. Nani hana hamu ya kukutana na rafiki pasipo kuagana, kucheka pasipo kulia, na kuzaliwa pasipo kufa? Nani asiyependa kuongea na kusikilizwa, kugusa na kuguswa, kujua na kujulikana, na kupenda na kupendwa. Shauku ya kufaidi uzima katika ukamilifu wake ni kiu halisi ya ulimwengu huu na utimizo wake hupatikana katika uhalisia wake nje ya ulimwengu. Zaidi ya ulimwengu upo uhalisia, Mungu Baba halisi, utimilifu wa tamaa ya vizazi vyote. "Kila kipaji chema na kila zawadi kamilifu hutoka mbinguni; hutoka kwa Baba, Muumba wa mianga,...” (Yakobo 1:17)
BIBLIA NA MATAIFA
Unabii wa Daniel unao mpango wa kuvutia unaohusu kukua na
kuanguka kwa dola, na hali ya mataifa ya kile kilichokuwa kikiitwa 'Dunia iliyostaarabika,' yaani mataifa ya Ulaya, Mashariki ya Kati, Misri na pwani ya kaskazini mwa Afrika, yote yanayoizunguka Bahari ya Kati (Mediterranean sea). Unabii huu ulitolewa wakati Daniel alipokuwa mateka katika boma Babeli karne ya 6 K.K. Ukweli wake umejidhihirisha katika historia tangu siku hizo hadi sasa.
Nebukadreza, mfalme wa Babeli, akiwa amejaa kujikinai na ufahari, aliona katika ndoto sanamu moja kubwa sana ya mtu, yenye sehemu tano (tazama uk. 16,17):
1. Kichwa cha sanamu kilikuwa cha dhahabu.
2. Kifua chake na mikono kilikuwa cha fedha.
3. Tumbo lake na mapaja lilikuwa la shaba.
4. Miguu yake miwili ilikuwa ya Chuma.
5. Lakini nyayo na vidole zilikuwa mchanganyiko wa chuma na udongo wa mfinyanzi.
Kisha jiwe likatokeza 'lililokatwa kutoka mlimani bila kazi ya mikono.' Likaangukia nyayo za sanamu ile, likaiangusha yote chini, na kuzisaga sehemu zake kuwa unga, kiasi kwamba upepo ukaupeperushia mbali. Baada ya hapa lile jiwe likakua kuwa mlima mkubwa na kuijaza dunia yote.
Nebukadreza alisumbuliwa sana na hatima ya sanamu ile, kwa sababu hakuna kati ya watu wake wajuzi aliyeweza kumwambia ilikuwa na maana gani. lakini Daniel, nabii wa Israel alimwambia "kuna Mungu mbinguni afunuaye siri, naye amemjulisha mfalme Nebukadreza mambo yatakayokuwa siku za mwisho "Dal. 2:28
Kwa hiyo Daniel alielezea maana ya sanamu ile. Kichwa cha dhahabu kiliwakilisha utawala wa Nebukadreza mwenyewe. Ulikuwa ufuatiwe na mwingine, wa hali ya chini zaidi (kifua na mikono ya fedha); na baada ya huo wa tatu (wa shaba); alafu wa nne (miguu ya chuma) ambao ungekuwa na nguvu na kishindo, lakini nyayo na vidole viliwakilisha falme zilizogawanyika, nusu nguvu na nusu dhaifu". (Ms. 37 - 42)
Kitu kimoja ni wazi: Sanamu hii iliwakilisha makabidhiano ya falme zenye nguvu, na sio vigumu kuzitambua. Wa kwanza tunafahamu; ulikuwa ni dola ya Babeli. Katika kifungu cha 8 (Mstari wa 20 - 21) tunaambiwa afuataye angekuwa Mwajemi na Myunani. Dola ya nne, ' kuu na inayotisha', haikutajwa wazi wazi katika unabii wa Daniel. Historia inathibitisha tabiri hizi kwa wingi. Kama 530 K.K. mamlaka ya Babeli iliangushwa na Wamedi na Waajemi, ambao mwishoni walianzisha dola ya kiajemi. Ilidumu miaka 200, na baadaye kuangushwa kama 330 K.K. na Aleksanda Mkuu (Alexander the Great) aliyesimamisha dola ya Kiyunani.
Ni dola gani kubwa iliyofuata falme za mrithi wa Aleksanda? Hakuna mashaka juu ya jibu: ilikuwa dola ya Rumi. Warumi walivamia maeneo ya iliyokuwa dola ya Kiyunani kuanzia karne ya 2 K.K. na kuendelea. Kwa miaka 500 iliyofuata, Rumi ilikuwa mamlaka kuu kuliko zote duniani. Dola yake ilitanda kama sehemu yote ya dola zile tatu, na kuenea mbali ndani ya Ulaya, Mashariki ya Kati na nchi zote zinazozunguka Mediterranean. Walifanikisha uvamizi wao kwa ukatili mwingi kama ilivyodokezwa na maneno "nguvu kama chuma." Katika karne zake mbili za mwisho za kuwepo kwake, iligawanyika sehemu mbili: ya magharibi makao yake makuu yakiwa Rumi, na ya mashariki makao yake makuu yakiwa Constantinople - miguu miwili ya ile sanamu.
Mungu anayefunua siri
Lakini ni nini kilichotokea baada ya dola ya Warumi kuvunjika katika karne ya 5 B. K. Haikufuatiwa na dola nyingine yoyote kuu, na kwa kweli haijakuwapo dola ya tano ya kulinganishwa kimamlaka, pamoja na kuwepo jitihada kubwa za watu wenye tamaa kuunda nyingine. Maeneo ya dola ya Kirumi yalimeguka kutokana na uvamizi wa makabila jeuri ya Kihan, Kigoti, Kivisigoti na Kivandali, yaliyoanzisha tawala zao wenyewe tofauti. Mataifa ya sasa ya Ulaya yametokana na falme hizo. Katika kipindi chote cha historia ya miaka 1500 mpaka sasa, mataifa hayo yamebakia katika mgawanyiko, kama ilivyoashiriwa na nyayo za ile sanamu - nusu chuma na nusu udongo: " nusu una nguvu, na nusu yake umevunjika ... hawatashikamana. "(Dan. 2:42-43)
Angewezaje Daniel kujua kuwa mamlaka ile kuu ya Nebukadreza ingefuatiwa na zingine tatu, ya nne ikiwa na nguvu zisizo za kawaida, ambayo kamwe isingelifuatiwa na ya tano? Angejuaje kuwa baada ya ile ya nne kuanguka, watu wake wangesambaratika kuwa nchi zilizomeguka, zisizo na umoja kati yake? Kwa vyovyote, kwa yeye mwenyewe asingeweza kujua kitu, wala yeyote mwingine. Lakini Daniel hatuachi bila maelezo:
"Yupo Mungu mbinguni afunuaye siri.. Mungu aliye mkuu amemjulisha mfalme mambo yatakayokuwa baadaye, na ndoto hii ni ya hakika, na tafsiri yake ni thabiti." (Ms. 28,45)
Unawezaje kuuelezea uwepo wa unabii wa Daniel 2, karne kadhaa K.K, na bado kuwa na mtizamo sahihi wa madola na mataifa mpaka hivi leo, baada ya zaidi ya miaka 2000? Kama kweli kuna 'Mungu mbinguni,' unaweza kuelewa. Kama Hayupo, hakuna maelezo yanayoridhisha.
Tutatoa maoni katika sehemu ya hitimisho, juu ya jiwe linaloigonga ile sanamu miguuni na kuiangusha yote chini. Kwa ajili ya mfano wetu wa mwisho wa kinabii tuone kwanza.
====USIKOSE SEHEMU YA KUMI ==== NYAKATI TULIZO NAZO
Ingawa unabii tuliouzingatia mpaka sasa umeendelea kutimia hadi hivi leo, ulihusu zaidi matukio ya siku nyingi za nyuma (ukiacha urudishwaji upya wa Waisraeli hivi karibuni katika ardhi yao ya kale).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KWANINI MUHAMMAD ALISEMA WAAFRIKA WANAFANANA NA SHETANI?


KUMBE UISLAM NI DINI YA WAARABU.
Ndugu Waislamu;
Je, mnamfahamu vizuri mtume wenu? Je, huyu ni mtu mnaedai ni mtume wa mwisho na mkuu kati ya mitume wote wakati matendo yake yanasema tofauti? Soma hapa ufunguke macho....
Ishaq: 243 ''
Mtume wa Allah akasema: “Anayetaka kumwona Shetani yapaswa amtazame Nabtal.” Alikuwa mtu MWEUSI WA KUTOKA AFRIKA mwenye miraba minne aliyekuwa na nywele ndefu, macho makali na mashavu mekundu.
Sahih Muslim 5:2334
Nabii akasema, “Kiumbe chenye CHUKIZO miongoni mwa viumbe wa Allah ni mtu mmoja MWEUSI akiwemo Khwarij. Mojawapo ya vidole vyake ni kama chuchu za matiti ya mbuzi.”
Sahih Bukhari 1:11:664
Mtume akamwambia Abu-Dhar, “Msikilize na mtii mkuu, hata kama ni Mhabeshi aliye na kichwa kama zabibu.”
Ishaq: 450’’
Mtume akasema, “tuliwakusanya hapo, WATUMWA WEUSI, watu wasio na asili.”
Al-Tabari, Vol. 2, p. 11, p. 11
Mtume akaswali kwamba rangi ya maumbile ya MWAFRIKA ingebadilika ili kizazi chao kiwe watumwa wa Waarabu na Waturuki.
Ishaq: 374
Mtume wa Allah akasema, “Jeshi na WATUMWA WEUSI wa Makka wakalia na Waislamu wakasema, Allah awaangamize enyi walaghai waovu.”
Sahih Bukhari 9:87:161
Mtume akasema, “ndoto kuhusu WANAWAKE WEUSI ni ishara ya majanga.”
Ishaq:243
Mtume akasema, “Hapa yuaja kukaa nanyi MTU MWEUSI mwenye nyele ndefu, mashavu mekundu na macho mekundu kama vyungu viwili vya shaba. Moyo wake ni mkaidi kuliko wa punda.”
Ibn Musa al-Yahsubi, Qadi ‘Iyad, p.375
Ahmad ibn Abi Sulayman, mwendani wa Sahnun akasema, “yeyote atakayesema kuwa mtume alikuwa MTU MWEUSI yafaa auliwe.”
Kwa taarifa zenu enyi ndugu zangu Waislamu Waafrika, haya sio maneno yangu, maandishi na vitabu vya Kiislamu yamejaa tele kwenye mitandao ikiwemo Google kwa utafiti zaidi.
Inashangaza ni kwanini mtu kama huyu anafuatwa na watu zaidi ya 1.4 billioni duniani pamoja na kuwa mahubiri yake yalijawa machukizo kama haya. Inashangaza ni kwanini kuna vipofu wengi wa macho na akili.
Kumbe ndio maana Waafrika weusi waliopo katka nchi za Kiarabu wangali wanaishi kama watumwa na Waarabu wakiwa mabwana wao! Watu weusi wanajulikana kama ABDI yaani WATUMWA, kwa kila nchi za Kiarabu.
Mimi kamwe siwezi kumfuata huyu Marehemu Muhammad mwenye chuki kubwa na Waafrika, kiasi cha kuwaita ni sawa na Shetani.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UNAJUA KWANINI WAISLAM WANAOGA MARA MOJA TU, TENA NI SIKU YA IJUMAA?

Image may contain: one or more people and text
Katika Kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu kilichoandikwa na Sheikh Moosa Mohammed al-Kindy Juzuu ya 1-2 Hadith no 66 uk 41 inasema
“ Ogeni siku ya ijumaa, kwani anaeoga siku ya Ijumaa basi inakuwa kafara kwake (yanafutwa madhambi yake) baina ya Ijumaa mpaka Ijumaa, na nyongeza siku tatu”
HIVI MTU NA AKILI ZAKO, UNAWEZA AMINI HUU UONGO WA ALLAH NA MUHAMMAD, ETI DHAMBI ZAKO ZINAFUTWA UKIOGA SIKU YA IJUMAA?
Lakini tunaposoma Biblia Takatifu Yeremia 2:22 “Maana ujapojiosha kwa magadi na kujipatia sabuni nyingi, lakini uovu wako umeandikwa mbele zangu asema Bwana MUNGU”
Hivi ndivyo mafundisho ya Kiislamu yanavyofundisha kuhusu kuondoa dhambi.
Jambo ambalo ningependa ulijue katika Uislamu , mbali ya kufanya swala mara tano kama walivyoamriwa, bado Muislamu huyu hana uhakika wa Msamaha wake wa dhambi.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KWANINI ALLAH WA WAISLAM SIO MUNGU (SEHEMU YA NNE)

Image may contain: one or more people
Ndugu msomaji,
Leo tutaangalia nyama zinazo liwa na Waislam ambazo ni haram na Najisi kutokana na Biblia.
Mambo ya Walawi 7: 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; NGAMIA, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu. 6 Na SUNGURA, kwa sababu hucheua, lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
Lakini nilipo soma vitabu vya Kiislam, nikagundua kuwa, wao wana chuki kubwa na Nguruwe tu, huku wakila kwa furaha nyama ya Ngamia pamoja na kunywa mikojo yake na maziwa yake.
ALLAH KARUHUSU WAISLAM KULA NYAMA YA NGAMIA
Surat Al Hajj 36 Na ngamia wa sadaka tumekufanyieni kuwa ni kudhihirisha matukuzo kwa Mwenyezi Mungu; kwa hao mna kheri nyingi. Basi litajeni jina la Mwenyezi Mungu juu yao wanapo simama kwa safu. Na waangukapo ubavu kuleni katika hao na walisheni walio kinai na wanao lazimika kuomba. Ndio kama hivi tumewafanya hawa wanyama dhalili kwenu ili mpate kushukuru.
Swali la kujiuliza, kama kweli Yehova Mungu wa Musa ndie huyo huyo Allah wa Waislam, kwanini WAISLAM wanapinga aya ya kula NGAMIA? Mambo ya Walawi 7: 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; NGAMIA, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu.
Zaidi ya hapo, Waislam wanakunywa Mikojo ya Ngamia na maziwa ya Ngamia. Je, huko si kuvunja amri ambayo ilisemwa katika Mambo ya Walawi 7 aya ya 4?
Abdallah Ibn Umar anasema kuwa kula Nyama ya Ngamia, na kunywa Maziwa yake ni HARAM. Lakini waislam wao wanaendelea kula Nyama ya Ngamia na kunywa Maziwa na Mikojo ya NGAMIA. (‘Abdallah Ibn ‘Umar al-Baydawi, Tafsir al-baydawi)
MUHAMAMD AWARUHUSU WAISLAM KUNYWA MIKOJO NA MAZIWA YA NGAMIA AMBAYE NI HARAMU KATIKA [WALAWI 7: 4]
Hata hivyo Muhammad aliwaamuru baadhi ya watu kumfuata mchungaji wake na kunywa maziwa na mikojo ya ngamia.
Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 6 na.589, 590 uk.398, 399 na juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 29 na.623 uk.418.
Muhammad pia alisema kuwa mkojo wa ngamia ni dawa nzuri. Ibn-i-Majah juzuu ya 5 kitabu cha 31 na.3503 uk.38.
Baadhi ya Waislam waliambiwa kunywa mkojo wa Ngamia, waliishia kuwa waasi na kumuua mchungaji. Muhammad aliamuru wakatwe miguu na mikono yao na macho yao yachomwe. Sunan Nasa’i juzuu ya 1 na.308-309 uk.255-256. Tazama pia Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 52 sura ya 152 na.261 uk.162.
Sasa, kama Ngamia ni haramu katika Mambo ya Walawi 7 aya ya 4, kwanini Muhammad aliruhusu Waislam wale Nyama yake na kunywa Mikojo na maziwa yake?
Mbona Muhammad na Allah wanaruhusu kula na kunywa mikojo na Maziwa ya Ngamia ambaye ni haramu kwenye Mambo ya Walawi?
Huu ni MSIBA mkubwa sana kwa Waislam na Mtume wao Muhammad kwa kuvunja sheria ya Mungu Mkuu ya kuto kula nyama ya Ngamia.
Ndio maana Allah sio Mungu,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

DUBAI: Massive inferno breaks out at the 86-floor residential “Torch Tower”


The aptly-named ‘TORCH TOWER’ near the Dubai Marina, which is one of the tallest (1142-feet) residential buildings in the world, was the site of another big fire in February 2015.

UK Express  Within minutes the fire had taken over one side of the 86-storey high building after breaking out near the top just before 1am local time. Dubai Media Office confirmed the building had been “successfully evacuated” but did not comment on whether there were any casualties.

The structure is the fifth tallest residential building in the world. The tower houses 676 apartments and six shops.

FINALLY! Senate Committee passes legislation cutting off funding to the Palestinian Authority


The Senate Foreign Relations Committee on Thursday passed the Taylor Force Act, which would cut U.S. funding to the Palestinian Authority (PA) until it stops payments to terrorists and their families.

INN  The bill passed the committee by a 17 to 4 vote, reported The Washington Free Beacon. It was supported by all of the Republican members of the committee and six of the Democrats.

The bill would cut off U.S. aid to the PA until it ends its policy which distributes $300 million to terrorists and their families annually.

The bill is named after Taylor Force, a former United States Army officer who was murdered in a stabbing attack in 2016, while walking along the Jaffa boardwalk.

Earlier this week, the Foreign Relations Committee modified the legislation, adding provisions that would make it significantly harder for the PA to continue receiving its annual $300 million from the United States in aid money while it continues to pay terrorists and their families.

A recent report found that more then half of the PA’s yearly budget goes to terrorists, and Brig. Gen. (Res.) Yossi Kuperwasser told the Knesset that the PA has dedicated more then $1 billion for such purposes in the last four years alone.

The issue of the PA paying terrorists’ salaries was brought to the forefront in recent weeks.

During a recent meeting between President Donald Trump and Abbas in Washington, the president brought up the issue of the PA’s paying salaries to terrorists and their families.

Later, leading Republican senators wrote a letter to Trump, urging him to demand that Abbas end his practice of paying terrorists and their families for attacks committed against Israel. A top Abbas Adviser said, It would be “insane” for Palestinian Authority to stop paying terrorists

Secretary of State Rex Tillerson recently claimed that the PA had stopped its policy of paying terrorists following pressure from the Trump administration, but a senior Israeli official later said there was no evidence the PA had taken any steps to change its policy.


Thursday, August 3, 2017

JE, UNAJUA KWANINIA ALLAH, MUHAMMAD NA WAISLAM WANAWACHUKIA WAKRISTO?

Image may contain: 3 people, shoes and outdoor


Ndugu msomaji,
Leo ningependa tujifunze kuhusu chuki iliyo ndani ya Allah na dini yake ya Uislam. Wengi wenu huwa mnadai na au fikiria kuwa Mungu wa Biblia aliye jaa upendo ni huyo huyo wa kwenye Quran ya Jibril. La hasha.
Allah ambaye ndie munguwa Waislam yeye amejaa chuki na anawataka na kuwaamrisha Waislam wote kufanye chuki iliyo ndani ya Quran.
Hebu anza moja kwa moja kusoma chuki za Allah:
ALLAH ANAWAAMBIA WAISLAM WOTE KUWA: NI MARUFUKU KUWA MARAFIKI NA WAKRISTO:
Surat Al Maida 51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. http://www.quranitukufu.net/005.html
SASA, kama Allah ni Yehovah wa Biblia, mbona hatusomi Mungu wa Biblia akisema muwachukie watu ambao sio wa imani yenu?
SOMA Luka 6:35 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
35 Bali, wapendeni adui zenu, watendeeni mema. Wakopesheni bila kutegemea kurudishiwa mlichokopesha. Ndipo mtapata zawadi kubwa nanyi mtakuwa wana wa Mungu Aliye Juu. Yeye ni mwema kwa watu wasio na shukrani na watu waovu.
MUNGU WA BIBLIA ANSEMA Wapendini adui zenu, ni tofauti kabisa na Allah anaye sema WACHUKIENI WAKRISTO NA WAYAHUDI. Allah wa Quran sio Mungu wa Biblia.
ALLAH ANASEMA KUWA, WAISLAM HAWARUHUSIWI KUWAPENDA WAKRISTO HATA KAMA NI BABA ZAO AU MAMA ZAO AU NDUGU ZAO:
Suratul Al Mujaadalah 22. Huwakuti watu wanao muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho kuwa wanawapenda wanao mpinga Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hata wakiwa ni baba zao, au watoto wao, au ndugu zao, au jamaa zao. Hao ameandika katika nyoyo zao Imani, na amewapa nguvu kwa Roho itokayo kwake. Na atawaingiza katika Mabustani yapitayo mito kati yake. Humo watakaa daima. Mwenyezi Mungu awe radhi nao, na wao wawe radhi naye. Hao ndio Hizbullahi, Kundi la Mwenyezi Mungu. Hakika Kundi la Mwenyezi Mungu ndilo lenye kufanikiwa. http://www.quranitukufu.net/058.html
HIVI, kweli bado unaamini kuwa Allah ni? Mbona sifa zake zote ni za SHETANI wa aliye semwa kwenye Biblia?
ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUSEMA WAISLAM WASIWAFANYE WAKRISTO NA WAYAHUDI KUWA MARAFIKI ZAO.
Surat An Nisaai 144. Enyi mlio amini! Msiwafanye Wakristo na Mayahudi kuwa ndio marafiki badala ya Waumini. Je, mnataka Mwenyezi Mungu awe na hoja iliyo wazi juu yenu? http://www.quranitukufu.net/004.html
Allah anaendelea kuonyesha sifa za Shetani. Leo anasema na kuwaamrisha Waislam kuwa, WASIWE NA URAFIKI NA WAKRISTO. Hivi Mungu gani huyu anaye penda kuchonganisha watu? Hii tabia ya chuki ni ya nani kama si SHETANI?
Hebu tumsome YESU WA KWENYE BIBLIA ANASEMA NINI?
‘Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo. Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho. MWIVI HAJI ILA AIBE NA KUCHINJA NA KUHARIBU; MIMI NALIKUJA ILI WAWE NA UZIMA, KISHA WAWE NAO TELE. Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo. Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya. Yule hukimbia kwa kuwa ni mtu wa mshahara; wala mambo ya kondoo si kitu kwake. Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi; kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo. ‪#‎YOHANA‬ 10:7-15
ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUSEMA WAISLAM NI MARUFUKU KUWA NA UMOJA NA WASIO WAISLAM
Surat Al Imran 118. Enyi mlio amini! Msiwafanye wasiri wenu watu wasio kuwa katika nyinyi. Hawataacha kukufanyieni ubaya. Wanayapenda yanayo kudhuruni. Imekwisha fichuka chuki yao katika midomo yao. Na yanayo ficha vifua vyao ni makubwa zaidi. Tumekwisha kubainishieni Ishara ikiwa nyinyi mtayatia akilini.
Allah anaendelea kupanda chuki kubwa kubwa kwa Waislam, sasa anasema kuwa Waislam wasiwe na wasiri na watu ambao sio Waislam, hata kama huyo mtu ni Baba yao, mama yao nk. Hii chuki inapatika kwa SHETANI na sio Mungu wa kwenye Biblia.
ALLAH ATEREMSHA YA NA KUSEMA KUWA WAKRISTO NI MAADUI ZA WAISLAM.
Surat An Nisaai 101. Na mnapo safiri katika nchi si vibaya kwenu kama mkifupisha Sala, iwapo mnachelea wasije wale walio kufuru wakakuleteeni maudhi. Hakika makafiri ni maadui zenu walio wazi wazi.
ALLAH AWAAMRISHA WAISLAM KUWAKATAA WAKRISTO
Surat Al Mumtahinah 4 ...............Tunakukataeni; na umekwisha dhihiri uadui na chuki baina yetu na nyinyi mpaka mtakapo muamini Mwenyezi Mungu peke yake.
ALLAH AWAAMRISHA WAISLAM KUPIGANA NA KUWAUWA WAKRISTO.
Surat Tawba 123. Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wacha- Mngu
Mwana wa Mungu siku zote Shetani kazi yake ni kuiba, kuua na kuharibu. Ndiyo kazi yake. Hajawahi kubadilika. Toka afukuzwe mbinguni hiyo ndo imekuwa kazi yake hapa duniani. Na Bwana Yesu amelisema hilo bila kumung’unya maneno. Bwana Yesu dhamira yake ni kutupa uzima tele.
Adui siku zote amekuwa ni muuaji tu. Kila sehemu anakopita yeye ni mharibifu. Huwa inafika mahala najiitisha kikao na kujiuliza sisi wanadamu tuna matatizo gani. Kwa nini kufanya urafiki na Shetani na kukubali kuwa mtumwa wake? Unapokubali kuwa mtenda dhambi maanake umekubali kufanya urafiki na Shetani maishani mwako.
Mwana wa Mungu Bwana Yesu anasema yeye amekuja ili wanadamu WAWE NA UZIMA, KISHA WAWE NAO TELE.
Ikiwa adui amepora chochote ndani yako, ameua chochote ndani yako, amefanya uharibifu wowote ndani yako, ndani ya ndoa yako, au ndani ya familia yako, ndani ya kazi yako, ndani ya biashara yako, katika ukoo wako, kwa watoto wako, kwa wazazi wako, basi nakutangazia BWANA YESU ALIKUJA ILI UWE NA UZIMA, KISHA UWE NAO TELE. Ni ombi langu Bwana akupe uzima tele katika kila eneo adui alifanya uharibifu. Kama ilikuwa kwenye ndoa, kwenye biashara, kwenye kazi, kwenye kuutafuta uso wa Mungu. katika kupata watoto, kupata mume, kupata mke n.k Bwana akupe hitaji lako.
Shetani yuko chini ya miguu yako mpendwa, simama kurudisha chochote adui alikuwa amefanya uharibifu dhidi yako na usikubali kushindwa na Shetani. Yesu aliyemo ndani yako ni mkuu kuliko Shetani. Anataka akupe uzima tena uzima tele.
Barikiwa sana.
Yamkini unataka kuokoka? Basi wasiliana nasi tukusaidie
kuchukua uamuzi mwema wenye busara maishani mwako.
Yesu anakupenda.
Max Shimba Ministries

KWANINI ALLAH WA WAISLAM SIO MUNGU (SEHEMU YA TATU)

Image may contain: 1 person, text
MPANGO WA MUNGU KWA MWANADAMU
Mungu aliudhihirisha mpango wake kwa Mwanadamu kupitia Mitume na Manabii wake. Tunapo soma Zaburi Mlango wa Pili iliyo andikwa miaka 1000 KK tunajifunza kuwa Mungu alimfunua na kumtabulisha "MWANA WAKE WA PEKEE" na katika Zaburi 22 aliifunua kwa undani kuwa Mwana Wake wa Pekee atasulubiwa Msalabani.
Zaidi ya hapo, Mtume wa Mungu Isaya na yeye anatabiri hayo hayo katika Isaya 48 kuwa kuna Utatu katika Mungu miaka 700 KK.
Mungu anamtabulisha Mwana wake wa Pekee; Wakati Allah anapinga hili. Tukisoma Zaburi 2:7-8: 7 Nitaihubiri amri; Bwana aliniambia, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa. 8 Uniombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako, Na miisho ya dunia kuwa milki yako.
Lakini miaka 1600 baada ya Zaburi, Quran inakuja na kupinga haya.
[Sura 6.101] Yeye ndiye Muumbaji wa mbingu na ardhi bila ya ruwaza. Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu. Naye ni Mwenye kujua kila kitu.
Allah anapinga maneno ya Yehova aliyo ambiwa Daudi miaka 1000 Kabla ya Kuzaliwa Yesu.
Zaidi ya hapo, Allah anaendelea kupinga Utabiri wa Isaya unao husu Utatu. Isaya alisema: Nikaribieni, sikieni haya; tokea mwanzo sikunena kwa siri; tangu yalipokuwapo, mimi nipo; na sasa Bwana MUNGU amenituma, na roho yake. [Isaiah 48:16]
Lakini katika Sura 5:73 Allah anasema kuwa: Al Maida 73. Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.
Yehova anasema kuhusu kusulubiwa kwa Yesu, wakati Allah anakuja mika mingi baadae na kupinga hilo:
Isaya 7:14 Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli Na atazaliwa Bethlehem. Soma Mika 5:2 inazungumzia Yesu.
Zaidi ya hapo, Mitume na Manabii walitabiri kufa kwa Yesu kwa undani. Soma Zaburi 22, Isaya 53, Yuda kuchukia vipande 30 vya Silva Zakaria 11 na Jua litazama mchana saa 6 soma Amos 8 aya 9.
LAKINI, Allah anapinga haya yote mika mingi baadae kwa kusema: Surat An Nisaai 157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini
Yehova alimtambulisha Mwana na kuelezea kifo chake miaka 1000KK na zaidi ya hapo, alitueleza kuhusu Utatu Mtakatifu miaka 700KK, LAKINI Allah anapinga haya yote.
Kwa kiingereza naweza kusema kuwa:
God announces the sonship and describes the crucifixion about 1000BC and announces the Holy Trinity about 700BC, but Allah denies each element of God’s plan. Allah is not God.
ALLAH SIO MUNGU.
Shalom,
Max Shimba mtumnwa wa Yesu Kristo.

JESUS IS GOD MALIK AL AMLAK

TRENDING NOW