Sunday, August 6, 2017

MCHUNGAJI FAISAL HASSAN JAMA WA HUKO SOMALIA AVAMIWA NA WAISLAM KWA KOSA LA KUWA MKRISTO.

Image may contain: 1 person, closeup
Tuendelee kuwaombea ndugu zetu wa huko Somalia wanao ishi kwa kutishiwa kila siku.
Surat Tawba 29. Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii
Surat Al Anfaal 38. Waambie wale walio kufuru: Wakikoma watasamehewa yaliyo kwisha pita. Na wakiyarudia basi imekwisha pita mifano ya wa zamani.
39. Na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na Dini yote iwe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Lakini wakiacha, basi hakika Mwenyezi Mungu anayaona wanayo yatenda.
Surat Tawba 5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
Surat Al Baqaara 193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu
UISLAM NI DINI YA VITA NA KULAZIMISHANA

MAGAIDI WA KIISLAM WA HEZBOLLAH WAMEBAMBWA WAKIUZA MADAWA YA KULEVYA KUTOKA KOLOMBIA

Kikundi cha Kigaidi cha Kiislam cha Hezbolla kimegundulika kuwa ni wauza madawa ya kulevya wakubwa kwa njia za magendo na kusambaza madawa hayo katika nchi za Ulaya. Pesa wanazo pata kutoka uuzaji wa madwa hayo ya kulevya wazipitishia Lebanon kwa kusaidia ugaidi wao.
Kikundi hiki za Hezbollah chenye makao yake Lebanon kimekuwa kikipitisha madawa hayo kimagendo kutoka Kolombia, hayo yalisema na aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha kuzuia madawa ya kulevya wa Marekani bwana Michael Braun.
Bwana Michael Braun alisema: "Hezbollah is “moving [multiple] tons of cocaine” from South America to Europe and has developed “the most sophisticated money laundering scheme or schemes that we have ever witnessed,” the Washington Times reported."
Ingia hapa kwa habari kamili.

UTHIBITISHO KWAMBA MUNGU YUPO (SEHEMU YA KUMI)

Image may contain: text
Naam, tumefikia sehemu yetu ya Mwisho:
Uzoefu wa wengi ni ushuhuda wa nguvu:
Historia na anthropolojia hushuhudia kuwa uzoefu wa dini ni wa kiulimwengu. Watu wa kila zama na tamaduni wamedai kuwa na uzoefu na "Uungu." Wamemkaribia “Mungu” kwa kusujudu, kuheshimu, kusifu, na kushukuru. Je! Yawezekana waabudu wote hao wanainama kiti kilicho tupu? Kwamba uzoefu wanaoujua sio halisia? Kweli, hapo kale walimwengu wengi walijua kimakosa kuwa jua linaizunguka dunia. Lakini uzoefu wao ulikuwa sahii. Kwa uzoefu walijua bila kukosea kuwa jua lipo, dunia ipo na mzunguko upo. Huenda waabudu wakakosea kujua Mungu yukoje, lakini haiwezekani wakakosea kujua yupo. Ikiwa wengine hawajui uzoefu unaojulikana sana, huenda shida ni mishipa ya fahamu, mishipa iliyopoteza uwezo wake wa kuhisi na kujua. “Kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.” (Warumi 1:21)
NYAKATI TULIZO NAZO
Ingawa unabii tuliouzingatia mpaka sasa umeendelea kutimia hadi hivi leo, ulihusu zaidi matukio ya siku nyingi za nyuma (ukiacha urudishwaji upya wa Waisraeli hivi karibuni katika ardhi yao ya kale). Je, kuna kinachosemwa na unabii wa Biblia juu ya nyakati tulizo nazo kuweza kutuongoza katika siku hizi?
Kipo hasa! Tena ni ajabu kinavyotofautiana sana na matazamio na fikra za kibinadamu. Karne ya 19 ilikuwa kipindi cha matumaini. Maendeleo makubwa yalikuwa yakipigwa. Ujuzi wa Kisayansi ulivyoongezeka ulileta maendeleo haraka kiufundi na uzalishaji mkubwa viwandani. Hili lilikuwa lilete neema (ingawa sio kwa walio maskini sana). Elimu ilipanuliwa kuwafikia wengi, na matumaini ya maana yalipatikana. Watu walioelimika zaidi, ilidaiwa, wangejishughulisha na sanaa kama fasihi, muziki na uchoraji. Maadili ya jamii kwa ujumla yengeboreka. Wanasiasa waliahidi kuleta mpango mpya wa kijamii wa haki na usawa kwa wote. Vile ambavyo watu wangetajirika, ndivyo ambavyo wasingeoneana kijicho. "Tokomeza umaskini, na ndivyo utakavyotokomeza uovu, lilikuwa ndilo bango. Wakati uwezo wa juu wa akili ya mwanadamu ukitumiwa, ilikuwa amani ijengeke kati ya mataifa. Viongozi wa kanisa nao wakatazamia kwa dhati kueneza Injili dunia nzima. Kujiendeleza mwanadamu na kuboresha maisha, kwa mtu binafsi na kwa jamii, vilichukuliwa juu juu tu. Hali ya baadaye ikaonekana nzuri.
Amani na maendeleo?
Kinyume cha matazamio hayo, matukio ya karne ya 20 yamekuwa mfadhaiko. Ndoto za maendeleo na amani zimefifia. Vita viwili vibaya sana vya dunia, vikiwa vimechinja mamilioni na kuleta uharibifu usiosemekana wa mali na mateso, vimefuatiwa na uundaji wa silaha kali za maangamizi ambazo hazijawahi kutengenezwa. Mawazo ya utatuzi ya aina mbalimbali ya 'wenye busara' wa karne ya 19 yamekuwa bure. Kupanuliwa elimu hakujafuatiwa na maadili zaidi, badala yake na kukua kwa dhuluma, choyo, vurugu na uvunjaji sheria. Dini ya Kikristo, mbali na kuwabadili mataifa, imekuwa katika kurudi nyuma duniani pote. Demokrasia katika siasa haijajidhihirisha kuwa muarobaini wa maovu katika jamii kama ilivyotarajiwa. Mwishowe pigo baya zaidi - sayansi imethibitika kuwa silaha ya kutisha ya makali kuwili. Mbali na kuwa enzi ya amani, karne ya 20, ya ustaarabu, imekuwa wakati wa migogoro na mapambano. Ndio maana mtizamo wa wengi umekuwa ule wa kukata tamaa. Inaonekana kama hakuna anayeweza kufanya kitu.
Sasa unabii wa Biblia unasemeaje hali hizi?
Biblia ina utabiri wa kueleweka kabisa juu ya siku za mwisho, 'nyakati za mwisho,' wakati harakati za mwanadamu katika nchi zitakapofikia hatua mbaya. Sio picha ya maendeleo endelevu na amani, bali ya matatizo duniani na hofu. Mfano wa wazi sana na unaotugusa upo katika yale Yesu aliyowaambia wanafunzi wake walipomuuliza nini ingekuwa ishara ya kurudi kwake duniani na ya 'mwisho wa dunia.' Anawaambia kwanza juu ya hatima ya Wayahudi.
" Wataanguka (Wayahudi) kwa ukali wa upanga, nao watatekwa nyara na kuchukuliwa katika mataifa yote; na Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa (wasio Wayahudi), hata majira ya Mataifa yatakapotimia." (Luka 21:24)
Sasa haya ni maelezo mafupi juu ya yale tuliyoyaangalia yahusuyo unabii kwa Israeli. Wayahudi wangeng'olewa kuwa mateka kati ya mataifa yote; Yerusalemu ingekaliwa na mamlaka za kimataifa. Gundua kwamba Yesu anasemea mwisho wa hili 'hata majira ya Mataifa yatakapotimia.' Tumeona mwanzo wa jambo hili katika wakati wetu. Yerusalemu haikaliwi tena na watu wa nje - unakaliwa na Israeli yenyewe.
Mashaka na hofu duniani:
Kwa hiyo yale anayoendelea kusema lazima yahusiane na siku hizo - siku za Israeli kurudishwa katika nchi yao wenyewe. Hivi ndivyo anavyotabiri.
"Tena, kutakuwa na ishara katika jua, na mwezi, na nyota; na katika nchi dhiki ya Mataifa wakishangaa kwa uvumi wa bahari na msukosuko wake; watu wakivunjika mioyo kwa hofu, na kwa kutazamia mambo yatakayoupata ulimwengu; kwa kuwa nguvu za mbinguni zitatikisika." (Ms. 25 - 26)
Hii sio picha ya amani na maendeleo. Ni dunia ya hekaheka na
kuchanganyikiwa, hofu ikiikumba mioyo ya watu wanapofikiria mambo yanayotokea katika 'makao ya watu duniani' kama neno alilotumia Yesu linavyomaanisha.
Mtume Paulo, akiwa anaandika kama miaka 35 baada ya unabii huo wa Yesu, anasema hivi juu ya hali ya siku za mwisho.
"...siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, na wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio safi, wasiopenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema, wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu; wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake;.."
Hii ni sura ya ajabu ya ustaarabu; mtu anatupilia mbali vizuizi vyote na kuzifuata tamaa zake mwenyewe bila kujali matokeo yake. Hakuna asiyeona uwiano wa hali hiyo na mambo yalivyo katika dunia yetu ya sasa.
Kwa hiyo hali ni hiyo; wakati wajuzi wa mambo miaka 100 tu iliyopita walitazamia kwa dhati sana, kipindi cha maendeleo na amani kwa mataifa ya dunia, Biblia, katika maneno ya Yesu na Paulo ilitabiria dunia ya fujo, hofu na kuchanganyikiwa, nyakati za migogoro, kujifanyia mtu atakacho, na chuki. Wanafalsafa wetu wa kibinadamu walikosea; Yesu na Paulo walikuwa sawa! Lakini waliongea na kuandika zaidi ya miaka 1900 iliyopita. Waliwezaje kujua? Sababu pekee ni kwamba hawakusema maneno yao wenyewe, bali maneno ya Mungu Mwenyewe. Ni Mungu aliyejua, akampa uwezo Mwanawe na mtume wake kutufunulia hali ya siku za mwisho.
HITIMISHO
Kuna majumuisho kadhaa muhimu tunayoweza kuyafikia kutokana na kuchunguza kwetu unabii wa Biblia.
Kama Biblia imejithibitisha kuwa sahihi kiasi hiki katika utabiri wake wa matukio katika historia ya mwanadamu - hatima ya Babeli, Misri na Israeli, na pia katika kukua na kuanguka dola, na hali ya dunia kwa wakati huu - itakosa kuwa sawa katika utabiri wake wa matukio yaliyobaki?
Chukulia yale maono katika sanamu katika Daniel, kwa mfano.
Hatujatolea maoni bado juu ya ile hatua ya mwisho: Jiwe, " lililokatwa kutoka mlimani bila kazi ya mikono," liliipiga ile sanamu chini ya miguu, likaivunjavunja, na lenyewe "likawa mlima mkubwa, na kuijaza dunia yote (Dan. 2:35).
Sasa maana ya jumla ya hili iko wazi: kitu kigeni, kisichokuwa sehemu ya dola za sanamu na falme, kinaziharibu na kuchukua nafasi zake duniani. Kwa kuwa 'bila mikono,' maana yake ni 'bila mikono ya mwanadamu', lile jiwe lazima litakuwa linasimama badala ya nguvu isiyokuwa ya kawaida ya kibinadamu.
Lakini Daniel anatuambia mwenyewe maana yake:
" Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele... utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele. " (Mstari. 44)
Serikali za sasa na mamlaka za dunia zitaondolewa, katika tukio moja la aina yake, Mungu atakapoingilia kati na kusimamisha Serikali yake Mwenyewe. Kuondoa utata ieleweke kwamba, sio umati wa watu unaoangamizwa: ni nguvu na mamlaka za falme za kibinadamu, zitakazong'olewa na ufalme mpya wa Mungu.
Unabii mwingi mwingine unatueleza jinsi ufalme huo utakavyokuwa; maongozi yake timamu, mafundisho yake yenye kweli, na amani utakayoleta hatimaye duniani kwa watu wote kutokana na kumtambua kwao 'Mungu wa mbinguni!' Soma kwa mfano Isaya 2:1-4 kupata picha kamili na ya kusisimua juu ya mataifa katika enzi hiyo ijayo.
Lakini ni kwa namna gani mageuzi hayo makubwa yanaweza
kufanikishwa duniani? Agano jipya linatupa jibu. Na hasa ni Yesu mwenyewe anayetuambia katika unabii ule wa nyakati za taabu na hofu kwa mataifa yote. Maneno yake yaliyofuata ni haya
"Hapo ndipo watakapomwona mwana wa Adamu akija katika wingu pamoja na nguvu na utukufu mwingi" (Luka 21:27)
Anasema atarudi tena mwenyewe. Kurudi kwa Kristo duniani ni wazo mojawapo kuu katika mafundisho ya Yesu na mitume katika Agano Jipya na linakubaliana kabisa na manabii. Soma zaburi 72 kupata kinachosemwa juu ya utawala wake.
Sasa, kwa hakika, hili ndilo linalopaswa kutushughulisha sana: Kama unabii wa Biblia kuhusu mataifa na dola umekuwa kweli kama ilivyo kwa zaidi ya miaka 2000, hayo mengine yaliyotabiriwa yatakosa kutimia? Sio kukosa busara kusema: "sawa nakubali manabii walikuwa sahihi katika utabiri wao katika mambo haya ya kihistoria, lakini siamini wanayosema juu ya yajayo kutuhusu sisi." Kwa nini? Wametoa uthibitisho kwamba hawakuwa wakitoa mawazo yao wenyewe, bali makusudio hasa ya Mungu. Yote yale wanayosema yanapaswa kutufanya tujali sana.
Kitu cha muhimu
Lakini bila shaka kuna zaidi. Unabii huu wa ajabu unapatikana katika Biblia, na sio mahali pengine popote duniani. Hakuna maandiko mengine, hakuna vitabu, hakuna matamko mengine yoyote ya mwanadamu yanayoweza hata kwa mbali kulinganishwa na Biblia. Lakini Biblia inatuambia kwamba Yesu alikuwa mwana wa Mungu; mambo aliyosema yamehifadhiwa kwa ajili yetu katika Injili za Agano Jipya. Pamoja na mafundisho ya mitume wake Petro, Yohana na Paulo, wanatufunulia ukweli ambao hatuwezi vinginevyo kuujua. Wanatuonya juu ya ukweli kuhusu kifo; wanaeleza kwa nini Injili ni 'habari njema,' 'uweza wa Mungu uuletao wokovu' (Warumi 1:16). Wanatutia moyo na ahadi ya uzima wa milele katika mpango mpya atakaouanzisha Kristo atakapokuja. Ndio maana inatupasa kuisoma Bilia. Inaweza kutupa utofauti wa muhimu kati ya utupu wa kifo, na tumaini la nguvu la maisha yasiyo na mwisho.
Usomaji wa makini wa Biblia utatuhakikishia kuwa Mungu yupo,
anatawala, na kwamba anatuita tuwe wafuasi wa mwanawe. Biblia ipo kwa ajili yetu. Tunafanya vizuri kujali inachosema.
Hauko mwenyewe kama ungali unasita kuamini Mungu yupo. Lakini ikiwa yupo, Mungu aliye na uwezo wote na wema wote, basi utajiumiza mwenyewe usipomwamini. Ukimkataa, utakuwa unakataa uzima na upendo.
Wapo waliotafuta kumjua Mungu na kumpata; wakawa na hekima na furaha. Wapo waliotafuta kumjua na kumkosa; wakaonekana wana “hekima” lakini hawana furaha. Na wapo wasiomtafuta na wamepungukiwa hekima na furaha. Kuamini ni kuchagua. Ikiwa utachagua kuamini Mungu yupo, uwezekano wa kupata maana ya maisha upo. Yesu Kristo amekwisha sema, “tafuteni, nanyi mtaona” (Mathayo 7:7).
​Kama unataka kumjua Mungu binafsi, lakini unaona woga, waweza kuomba ombi hili: “Mungu, sijui kama unaishi au la, lakini kama upo, tafadhali jifunue kwangu jinsi ulivyo.”
Hongera, ombi lako limesikiwa! Mungu amekwisha anza kujifunua kwako!
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

USHOGA NA USAGAJI KUKITHIRI ZANZIBAR.

Image may contain: 1 person, sitting and indoor
Baadhi ya dondoo katika utafiti uliofanywa na Jumuiya ya Maimam Zanzibar (JUMAZA)
1.Zanzibar imetokea Mama mtu amefanya sherehe ya mtoto wake wa kiume kuolewa na mwanamme mwenzake
2.Wilaya ya Mjini pekee Mabaradhuli waliojitokeza wenyewe kujitambulisha ni 2,000
3.Asilimia 42 ya watoto wanaharibiwa na Walim wa Madrassa hasa katika baadhi ya vyuo vya dufu.
4. Wazee wa kiume wanawalawiti kwa kuwabaka watoto wao wa kuwazaa kike kiume Zanzibar
6.Utafiti uliofanywa mwaka 2012 na wataalam kutoka nchi za nje umebainisha kuwa kati ya vijana 10 wa Zanzibar watatu kati yao wameshaathirika na Ubaradhuli au ushoga
7. Wengi wenye kutenda amali hii chafu ya liwati na wanaobaka hulindwa katika jamii, vyombo vya usalama na vyombo vya dola
8. Vita ya kupambana na amali hii chafu ya liwati ni sawa na vita ya madawa ya kulevya na ujambazi
9. Wanaopambana na kuuzuwia uchafu huu wa liwati tayari
wanatishiwa usalama wa uhai wao
10. Asilimia 90 ya wanaoharibu watoto na vijana ni baadhi ya viongozi wa serikali na wa vyama vya kisiasa
11. Kati ya wanawake vijana 10 Zanzibar wawili mpaka wanne kati yao wameshaathirika na usagaji wengi kati yao ni wanafunzi mashuleni hasa za mjini
12. Wasagaji ambao ni jamii ya wanawake wanapeana mafunzo na kufadhiliwa na taasisi za nje na za ndani ktk kumbi za starehe kwa njia za siri

UNAJUA KWANINI WANAWAKE WA KIISLAM WANASAKIZIA WATOTO WAO WAJILIPUE KWA AJILI YA ALLAH?

Image may contain: 3 people
Walahi, kuna dhambi mbaya sana kwenye hii dini ya Jibril.
Muhammad anasema kuwa, mtu aliyefiwa watoto watatu nasamehewa dhambi zake zote.
Katika sahih Bukhar na Muslim juzuu ya 9 Hadith 413
“Hadith ya Abu Said Al-khudri (r.a) amesema, alikuja mwanamke fulani kwa Mtume wa Allah! Na akasema kumwambia mtume wa Allah (SAW) “ Wanaume ndio pekee wenye kufaidika na mafundisho yako, kwa hiyo tutengee siku moja, tunakuja, unatufundisha katika katika aliyokufundisha Allah. Mtume (SAW) jikusanyeni siku kadha wa kadha mahala kadha wa kadha, wakajikusanya. Mtume wa Allah (SAW) akawaendea akafundisha katika aliyomfundisha Allah kisha akasema, Hakuna Mwanamke miongoni mwenu atakayetanguliza watoto wake watatu, isipokuwa watakuwa pazia ya kumkinga na moto, Mwanamke mmoja katika wao akauliza, Ewe mtume wa Allah, Wawili je? Yule mwanamke akalirudia swali lake mara mbili, Mtume (SAW) akasema wawili na wawili na wawili.
Hivi, hawa ndugu zetu wamerukwa na akili, au ndio wamejaa majini kiasi cha kupoteza akili za kawaida tu.
Wakati mwingine najua ulikuwa unajiuliza, kwanini hawa Waislam wanaruhusu watoto wao wafe kwenye Jihad ya Allah. Jibu umesha lipata leo, kuwa wanajilipua ili namba yao ifikie tatu, na familia yao inasamehewa dhambi.
Hakika Allah hawezi kuwa Mungu mwenye upendo.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UNAJUA KWANINI ALLAH ALIUMBA UGONJWA WA HOMA?

Image may contain: 1 person, closeup


SOMA MAAJABU MAKUBWA YA ALLAH KUHUSU HOMA YA SIKU MOJA.
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu kilichoandikwa na Sheikh Said Moosa Mohammed al-Kindy wa Muscat Oman. Juzuu 3-4 uk 74 hadith na 924 inasema 
“Homa ni bahati ya kila Muislamu kwa (adhabu ya) moto. Na homa ya siku moja inafuta (madhambi ya) mwaka (mmoja) kamili.
Nikisema hii dini ni ya kutengeneza mnabisha, lakini leo mtaelewa kuwa hakuna dini hapa bali ni usanii mtupu.
Mimi nawauliza Waislam, kama homa ya Siku moja inakufutia madhambi ya mwaka mzima Je, homa ya wiki moja mnafutiwa dhambi za miaka mingapi?
Mwiba Huondoa Dhambi:
Katika Sahih Bukhari na Muslim juzuu ya 7 Hadith 544
“ Hadith ya Aisha (r.a), mke wa mtume (SAW) alisema mtume wa Allah amesema “Hakuna tatizo litakalompata Muislamu isipokuwa Allah atafuta madhambi kwa tatizo hilo kwake, hata kama ni mwiba utakaomtoboa” (al lu’lu war-marjan vol.3 H.1663 UK.969)
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU NI MUNGU MKUU WA MUHAMMAD NA ALLAH.

Image may contain: ocean, sky, cloud and text
Biblia iliyo kuja miaka zaidi ya 690 kabla ya Quran na kuzaliwa kwa Muhammad na dini yake, inasema kuwa:
Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Ukiona kiumbe mwengine anakuja baada ya hii aya na kupinga, basi huyo ni Kafiri na hafai kufuatwa.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

MAMA ANYANG'ANYWA WATOTO WAKE BAADA YA KUUACHA UISLAM NA KUINGIA UKRISTO


Mahakama huko UAE, Ras Al Khaimah imemnyang'anya watoto mwanamke wa Kiislam kwa kosa la kuuacha Uislam na kuingia Ukristo.
Mahakama hiyo imedai kuwa, kosa la kuuacha Uislam ni kunyongwa mpaka kufa, lakini wamemsamehe na kumpa adhabu ya kuto waona watoto wake tena katika maisha yake hapa duniani.
NUKUU KWA KIINGEREZA:
The higher court said that the mother lost the custody of her children on the basis of the fact that she changed her religion and became a non-Muslim.
“As such, the mother cannot keep her children..."
As per court records, the father filed a lawsuit against his wife at the Ras Al Khaimah Personal Status Court of First Instance….
Kwa habari kamili ingia hapa:

UTATA MKUMBWA NDANI YA KORAN:

Image may contain: sky and outdoor
Nini kitaingia PEPONI: Roho/Nafsi au Mwili au zote mbili?
Somo letu la leo ni la swali kwa Allah ambaye ameshindwa kujieleza, kuwa ni kipi kinaingia Peponi kati ya Roho/Nafsi au Mwili?
Koran inadai kuwa, baada ya ufufuo, ni mwili (baada ya kuungana na roho?) Ambayo inaingia peponi. Haya madai yamewekewa mkazo katika Koran. Angalia mistari ifuatayo 13:05, 17:98-99, 20:55, 34:7, 75:3-4.
Hata hivyo mistari ya 27-30 kwenye Sura 89 ipinga aya zilizo pita kwa kusema kuwa ni nafsi (Nafs) tu ambayo inaingia Peponi!
Quran 17:99. Kwani hawakuona ya kwamba Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi ni Mwenye kuweza kuumba mfano wao? Na Yeye amewawekea muda usio na shaka yoyote. Lakini madhaalimu hawataki ila ukafiri.
Quran 75:3. Anadhani mtu kuwa Sisi hatutaikusanya mifupa yake? 4. Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
Aya hizo hapo juu, zinadai kuwa Nafsi na Mwili vitaungana na kuingia Peponi, hayo ni maneno ya Allah kama alivyo yashusha kupitia Quran yake. Lakini Allah huyohuyo anabadilika na kusema kuwa Nafsi ndio itaingia Peponi. Hebu soma aya zifuatazo.
Quran 89 27. Ewe nafsi iliyo tua! 28. Rejea kwa Mola wako Mlezi umeridhika, na umemridhisha.
Katika aya hapo juu, Allah anaiamuru Nafsi irejee kwake. Sasa ni ipi kati ya Nafsi na Mwili vitaingia Peponi? Utata huu ni Msiba Mkubwa kwa Allah ambaye hafamu nini kati ya Nafsi na Mwili vitaingia Peponi.
Quran 31:28. Hakukuwa kuumbwa kwenu, wala kufufuliwa kwenu ila ni kama nafsi moja tu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia Mwenye kuona.
Allah anaendelea kusema kuwa ni Nafsi ndio itaingia Peponi. Aya hizi zinapingana na maneno yake ya kwanza kuwa ni Nafsi pamoja na Mwili vinaingia Peponi. Hivi Allah ni kweli aliumba Binadamu? Mbona hafahamu nini kati ya Nafsi na Mwili itaingia Peponi?
Katika Uislamu, neema ya peponi haikamiliki bila raha ya pamoja ya Mwili na akili, maana Allah katoa ahadi ya wake 72 kwa wale wote watakao ingia Peponi. Vinginevyo, mtu atawezaje kunywa Zanzabil (76:17), na kuifurahia hicho kinywaji (76:13), kufurahia wanawali (55:56) na kunywa asali na maziwa (47:16-17) bila ya kuwa na Mwili?
Yousuf Ali (Nakala 6128 kwa aya 89:27-30) pia anasema kwamba ni roho ambayo inaingia mbinguni, na si mwili ambao utaharibika (Maoni yake ni kupingana na aya 75:3-4 zinavyo sema!). Soma aya 31:28 pia. Inasema kuundwa kwa mtu au ufufuo ni katika nafsi.
Ndugu wasomaji, Allah anaendelea kutoa utata katika uumbaji wake. Allah kwa mara nyingine tena ameshindwa kuufahamisha umma wake kuwa, ni nini kati ya Nafsir na Mwili vitaingia Peponi.
Koran si kitabu cha Mungu bali ni maneno ya Muham-mad ambayo alindika ili kukuza maono yake ya kisiasa. Kama Allah ni mungu, basi ifahamike leo kuwa Allah si Mungu aliye umba Mbingu na Nchi. Si Mungu aliye muumba Adamu na Hawa, bali ni Mpinga Mungu.
Katika huduma Yake.
Max Shimba
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUAPA KWA YESU KRISTO MUNGU WAKE MKUU

Image may contain: text
Kwanza tujifunze maana ya kuapa ili tuweze elewa kwanini Allah aliapa kwa Yehova.
Nini maana ya kuapa?
Kuapa, au Kula kiapo, au Kula Yamini, kunamaanisha kumthibitishia, kwa kutumia Jina la Mwenyezi Mungu, kwamba jambo fulani linaloapiwa – na ambalo halina ushahidi wazi wazi- ni kweli na sahihi kama linavyodaiwa na mwenye kula kiapo hicho na hivyo basi ni budi kusadikiwa madai hayo kwani Mdhamini Mkuu ni Mwenyezi Mungu, Mjuzi Pekee wa ukweli au uwongo wa mambo yaliyofichika nyoyoni!
katika Hadithi iliyopokelewe na Abdallah bin `Umar R.A.A. na iliyotolewa na L-Bukhari, “
"إِنَّ اللَّهَ يَنْهَاكُمْ أَنْ تَحْلِفُوا بِآبَائِكُمْ ، فَمَنْ كَانَ حَالِفًا فَلْيَحْلِفْ بِاللَّهِ أو فَلْيَصْمُتْ"
Maana yake, “Hakika Mwenyezi Mungu anakukatazeni kuapa kwa baba zenu, atakaeapa aape kwa Mwenyezi Mungu au anyamaze
Sasa tumsome Allah ambaye sio Yehova "Yahuh", je yeye anaapa kwa nani?
Qurani 91:1-7 Suratul Ash-Shams (Jua)
Naapa kwa jua na kwa mwangaza wake. Na kwa mwezi napoliandama. Na kwa mchana unapolidhihirisha. Na kwa usiku unapolifunika.Na kwa mbingu na kwa Aliyezijenga. Na kwa ardhi na Aliyeitandaza. Na kwa nafsi (roho) na Aliyeitengeneza.
Qurani 92:1-3 Suratul Al-Layl (Usiku)
Naapa kwa usiku ufunikapo (kila kitu). Na kwa mchana uangazapo. Na kwa aliyeumba kiume na kike.
Hapa tunaona Allah anayeabudiwa na Waislamu anaapa kwa mbingu na kwa aliyezinjenga, kwa ardhi na aliyeitandaza.
Je, huyo mtandazi wa ardhi na mjengaji wa mbingu ni nani?
Kwa maana Allah wa Islam, anaapa kwake. Jibu unalo, Mungu Yehova Kaumba kiume na Kike, Mungu Yehova Kaumba Mbingu na Nchi, lakini Allah anaapa kwa aliye umba Mbingu na Nchi pamoja na aliye umba kiume na Kike. Allah anaapa kwa Yehova, Mungu wa Wakristo.
Je Nani kaumba Kiume na Kike?
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu?
Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa kwa aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.
Je, ni nani huyu aliye umba Kiume na Kike ambaye Allah wa Islam anaapa kwake?
Endelea kusoma...kutoka Biblia Takatifu….
Yeremia 27: 5 Mimi nimeiumba dunia hii, wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo.
Sasa tunamsoma Yehovah ambaye ni Mungu wa Biblia kuwa yeye ndie aliye umba kila kitu, pamoja na Kiume na Kike ambacho Allah wa Islam anaapa kwake. Kwahiyo, Jehovah aliumba kiume na kike, na Allah wa Islam anaapa kwake, sasa jaza mwenyewe nani ni Mungu?
Je, Mungu anaweza kuapa kwa Mwengine? Endelea kupata elimu …
Waebrania 6:13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, aliapa kwa jina lake mwenyewe, maana hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa.
Jehova anasema hakuna Mkubwa wangu wa kuapa kwake, lakini Allah katika Kuran anasema kuwa yeye anaapa kwa aliye umba kiume na kike.
Hivyo basi leo tunafahamu kuwa aliye umba ni Jehona na Allah anaapa kwa Jehovah Mungu wa Biblia na Wakristo.
Mungu awabairiki sana
Max Shimba Ministries
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

TRENDING NOW