Saturday, May 19, 2018

Aisha used to breastfeed men

Chapter: Breastfeeding An Adult

Narrated A'isha 'Sahlah bint Suhail came to the Prophet (saw) and said 'O Messenger of Allah (swt), I see signs of displeasure on the face of Abo Hudhaifah when Salim enters upon me', The Prophet (saw) said: "Breastfeed him!", She said: "How can I breastfeed him when he is a grown man!?" The messenger of Allah (swt) smiled and said 'I know that he is a grown man!'. So she did that, then she came to the Prophet (saw) and said "I have never seen any signs of displeasure on the face of Abo Hudhayfah after that. And he was present at the battle of Badar.

Hadith is sahih, (authentic) 

Footnote: Due to this hadith, A'isha had the opinion that the milk, in what ever age it is suckled, will prove the prohibition of fosterafe. But the other Mothers of believers did not agree.. 

Ref: Sunnah Ibn Majah, chapter. 36, hadithnumber 1943, page 113.



Umm Salama said to 'A'isha: 'A young boy who is at the threshold of puberty comes to you. I, however, do not like that he should come to me, whereupon 'A'isha (Allah be pleased with her) said: Don't you see in Allah's Messenger (may peace be upon him) a model for you? She also said: The wife of Abu Hudhaifa said: Messenger of Allah, Salim comes to me and now he is a (grown-up) person, and there is something that (rankles) in the mind of Abu Hudhaifa about him, whereupon Allah's Messenger (may peace be upon him) said: Suckle him (so that he may become your foster-child), and thus he may be able to come to you (freely). 

Ref: Sahih Muslim, book 8, hadithnumber 3426, page 846.


  
...A'isha took that as a precedent for whatever men she wanted to be able to come to see her. She ordered daughters of her sisters and brothers to give milk to whichever men she wanted to be able to come in to see her. The rest of the wives of the Prophet, may Allah bless him and grant him peace, refused to let anyone come in to them by such nursingThey said, 'No! By Allah! We think that what the Messenger of Allah, may Allah bless him and grant him peace, ordered Sahla bint Suhayl to do was only an indulgence concerning the nursing of Salim aloneNo! By Allah! No one will come in upon us by such nursing!' 

Hadith is sahih, (authentic) 

Ref: Musnad Ahmad bin Hanbal, page 192, hadithnumber 26208.



It was related that Umm Salama, the wife of the Messenger of Allah (pbuh) said "All the wives of the Messenger of Allah (saw) refuted the idea that someone who had been fostered in such a way should be permitted to enter their houses, and they told 'A'isha: "By God we see that this was only a conession which the Messenger of Allah (pbu) gave to Salim, but no one will be permitted to enter our houses through such a fosterage and we do not support such a opinion". 

Ref: Mokhtaser Sahih Muslim, volume 2, page 489 and 490, hadithnumber 881.




A'isha opined that adult breast feeding makes an individual mahram, and she practically breast fed a young man, and he would enter upon her, but the remainder mothers of the believers denied it (adult breast feeding) ...” 

Ref: 'Fatah ul-Mun’im Sharh Sahih Muslim', volume 5, page 622.



Friday, May 18, 2018

URITHI WA UISLAM KUTOKA KWENYE DINI ZA KIPAGANI (SEHEMU YA PILI)


Ka’aba
Katika Sehemu ya 1 ya makala haya tuliangalia kuhusu asili ya Allah. Katika sehemu hii ya 2 tutaongelea kuhusiana na mji wa Makka na ka'aba, ambayo ni madhabahu kuu ya Uislamu.
Mji wa Makka ndio kitovu cha Uislamu duniani. Kwenye mji huu ndiko iliko Ka’aba, au kama wanavyoamini na kuiita Waislamu Bait – ul- Haram; au Bait – ul- Allah, yaani ‘nyumba ya Allah’ au ‘nyumba ya Mungu’. Na kila Mwislamu kokote duniani anatakiwa kuswali swala 5 kila siku huku akielekeza uso wake Makka iliko hiyo nyumba ya Mungu wao. Vilevile, kila mmoja wao anatakiwa kwenda Makka kuhiji walau mara moja katika maisha yake, maana hija ni moja ya nguzo kuu katika Uislamu. Kwa maana nyingine, Ka’aba ndiyo madhabahu kuu katika Uislamu.
Ka’aba ni nyumba ya umbo la takriban mchemraba ambayo, pamoja na vitu vingine vichache iliyo navyo, kuna kipande cheusi cha jiwe ambacho kimejengewa ukutani kwenye kona mojawapo. Hivyo, Waislamu wanapoenda Makka kuhiji huzunguka Ka’aba na pia kulibusu jiwe hilo, au kuligusa tu, na kama ikishindi kana, basi japo kulinyoshea mkono.
Zamani, Allah anasema, kuwa Muhammad alikuwa akitazama mbinguni wakati anapoomba [nadhani kila mwenye imani juu ya Mungu anaamini kuwa Mungu yuko juu – na huo kusema kweli nadhani ndio mtazamo sahihi kabisa].
Lakini Allah akamwambia mtume wake:
We have certainly seen the turning of your face, [O Muhammad], toward the heaven, and We will surely turn you to a qiblah with which you will be pleased. So turn your face toward al-Masjid al-Haram. And wherever you [believers] are, turn your faces toward it [in prayer]. Indeed, those who have been given the Scripture well know that it is the truth from their Lord. And Allah is not unaware of what they do. (sura Al Baqarah 2:144) – Sahih International Version.
Yaani:
Hakika tumeona jinsi unavyogeuzia uso wako [ewe Muhammad], kuelekea mbinguni, nasi hakika tutakugeuzia kwenye qiblah utakachokifurahia. Hivyo elekeza uso wako kwenye al-Masjid al-Haram. Na kila mtakakokuwa [enyi mnaoamini] geuzieni nyuso zenu kuelekea huko [mswalipo]. Hakika, wale waliopewa Maandiko wanajua vema kuwa ni kweli kutoka kwa Bwana wao. Na Allah anajua kile wafanyacho.
Allah anasema hafurahii sana Muhammad na Waislamu kugeuzia nyuso zao juu mbinguni (aliko Mungu muumba wa vyote – ajabu sana! Ajabu mno!), badala yake akaamuru wageuzie nyuso zao kwenye ka’aba wawapo popote wakati wa kuswali.
Pia anasema kuwa wale waliopewa Maandiko (yaani watu wa kitabu) eti wanajua fika kwamba jambo hilo ni kweli kutoka kwa Bwana wao!
We Allah wewe! Bwana wao yupi tena wakati wewe unasema ndiwe uliyesema na Ibrahimu ili akajenge ka’aba akitokea Kaanani – kilometa zaidi ya 1,000 kutoka Makka? [Tena basi Makka ambayo hata haikuwapo duniani hadi takriban kwenye miaka 400 baada ya Kristo - sasa sijui Ibrahimu alienda kujenga ka'aba porini kusiko hata na mtu mmoja]!! Ina maana kuna Bwana wao ambaye si wewe basi! Basi huyo Bwana wao ana Ibrahimu na Ishmael wa kwake; na wewe una Ibrahimu na Ishmael wa kwako, au siyo?
Kulingana na Quran, ka’aba ilijengwa na Ibrahimu na mwanawe, Ishmael. Quran inasema kwamba:
Remember We made the House a place of assembly for men and a place of safety; and take ye the station of Abraham as a place of prayer; and We covenanted with Abraham and Isma'il, that they should sanctify My House for those who compass it round, or use it as a retreat, or bow, or prostrate themselves (therein in prayer). [Qur'an 2:125].
Yaani:
Kumbukeni, tuliifanya Nyumba ile mahali pa kukusanyikia kwa ajili ya wanadamu na mahali pa usalama; hivyo chukueni ninyi mahali pa Ibrahimu kama mahali pa swala; nasi tulifanya agano na Ibrahimu na Ishmael, kwamba waitakase Nyumba Yangu kwa ajili ya wale wanaoizunguka, au kuitumia kama mahali pa makimbilio, au kuinama, au kusujudu humo (kwa swala).
[Allah anasema kuwa aliifanya nyumba hii kwa ajili ya wanadamu, lakini waislamu hawaruhusu asiye mwislamu, na hasa aliye Mkristo, kwenda kwenye ka’aba; au hata kupita juu kwa ndege!! Inawezekana Allah anaposema ‘mwanadamu’ ana maana ya ‘mwislamu’!]
Kuhusiana na Ibrahimu, hilo ni jambo ambalo tunawaachia Waislamu wenyewe maana sisi wengine tunaamini na hata ushahidi wa kihistoria na kimaandiko unaonyesha wazi kwamba Ibrahimu hajawahi kamwe kukanyaga mguu wake Uarabuni.
Kwa mfano, ufuatao ni ushahidi mmojawapo juu ya jambo hili. Tunasoma kwamba:
Narrated Abu Dhaar: I said, "O Allah's Apostle! Which mosque was built first?" He replied, "Al-Masjid-ul-Haram." I asked, "Which (was built) next?" He replied, "Al-Masjid-ul-Aqs-a." I asked, "What was the period in between them?” He replied, “Forty years.” (Sahih Bukhari 4:55:636).
Yaani:
Imesimuliwa na Abu Dhaar: Nilisema, “Ewe Mtume wa Allah! Ni msikiti upi ulikuwa wa kwanza kujengwa?” Akajibu, "Al-Masjid-ul-Haram." Nikauliza, “Ni upi ulifuata?” Akajibu, “Al-Masjid-ul-Aqs-a.” Nikauliza, “Ulipita muda gani hapo katikati?” Akajibu, “Miaka arobaini.”
Muhammad naye ana mambo! Al-Masjid ul-Aqs-a ndiko hapo penye Ka’aba. Na Al-Masjid-ul-Haram ni hekalu la Mfalme Sulemani kule Uyahudi.
Sasa, hekalu la Yerusalemu lilijengwa na mfalme Sulemani kwenye takriban miaka ya 950 kabla ya Kristo (KK). Hii ni kusema kwamba, kama maneno ya Muhammad ni ya kweli – na ninaamini kwamba hakuna mwislamu ambaye anaweza kukiri kuwa Muhammad ni mwongo – basi, msikiti wa kwenye Ka’aba unatakiwa uwe ilijengwa kwenye 990 KK (ukiongeza hiyo tofauti ya miaka 40).
Hilo sio tatizo. Lakini shida inakuja unapomwingiza Ibrahimu. Ibrahimu aliishi takriban miaka 2000 kabla ya Kristo. Tazama hapa. Hii ni kusema, aliishi miaka takriban 1050 kabla ya kujengwa kwa hekalu la mfalme Sulemani. Sasa, kama Ibrahimu wa Muhammad aliyejenga Ka’aba aliijenga miaka 40 kabla ya hekalu la Sulemani, basi NI LAZIMA awe ni Ibrahimu mwingine na Ishmael mwingine tofauti kabisa na wale wa kwenye Biblia. Vyovyote iwavyo, hilo ni tatizo la Waislamu wenyewe kulitatua. Ni kazi kwao kujiridhisha na kujithibitishia wao wenyewe kwamba, kama wanataka imani yao itokane na Ibrahimu aliyeongea na Mungu wa Israeli, basi hali ndiyo hiyo!
Kutokana na ukweli huo hapo juu, tunabakia na uwezekano wa aina mbili: kwanza, kama Muhammad yuko sahihi juu ya hiyo miaka 40, basi Allah ndiye aliyekosea au aliongopa kusema kuwa Ibrahimu alijenga Ka’aba. Kama Allah yuko sahihi, basi Muhammad ndiye aliyekosea au kuongopa kwamba Ka’aba ilijengwa miaka 40 kabla ya hekalu la Sulemani. [Hata hivyo, kuna uwezekano kabisa huyu ni Ibrahimu mwingine kabisa. Hebu tutafakari yafuatayo:
Hata kama ka’aba ilijengwa na Ibrahimu (wa Biblia au mwingine tofauti), jambo moja ni dhahiri; kwamba wakati Muhammad anatokea na kuanzisha dini yake, ka’aba ilikuwa chini ya wapagani wa Uarabuni huku ndani na nje yake kukiwa na miungu zaidi ya mia tatu.
Ni mwaka 630 baada ya Kristo (BK), ndipo Muhammad na wafuasi wake walitwaa mamlaka ya mji wa Makka na kuifanya ka’aba kuwa sehemu ya kuabudia Mungu mmoja badala ya miungu zaidi ya mia tatu. [lakini usisahau kwenye sehemu ya 1 ya makala haya tulibainisha kwamba allah alikuwa ni mungu wa kipagani tangu maelfu ya miaka nyuma kabla ya kutokea kwa Muhammad. Na unajiuliza; hivi asili ya ‘allah akbar’, yaani ‘allah ni mkuu’ ni nini? Je, si kwa sababu kulikuwa na mamia ya miungu, na allah akiwamo, ndiyo maana Muhammad akawa, kimsingi, anasema, “Hapana. Hiyo miungu yote si kitu. Allah ndiye anayewazidi wote”? Huo ndio muktadha sahihi wa kutamka maneno kama hayo, au siyo? Hilo ni wazo tu ambalo linahitaji utafiti wako wewe unayemwamini Allah; maana mimi wala siamini kwamba Allah ndiye Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo.]
Basi turudi kwenye suala la kuwapo kwa mamia ya miungu kwenye ka’aba wakati Muhammad anaingia. Hivi ndivyo tunavyosoma:
Narrated 'Abdullah bin Masud: The Prophet entered Mecca and (at that time) there were three hundred-and-sixty idols around the Ka’aba. He started stabbing the idols with a stick he had in his hand and reciting: "Truth (Islam) has come and Falsehood (disbelief) has vanished." [Sahih Bukhari 3:43:658].
Yaani:
Imesimuliwa na Abdullah bin Masud: Mtume aliingia Makka na (wakati ule) kulikuwa na miungu mia tatu na sitini kuzunguka Ka’aba. Alianza kuichomachoma kwa fimbo aliyokuwa nayo mkononi huku akisema: “Kweli (Uislamu) imeshakuja na Uongo (kutokuamini) kumetoweka.”
Ndugu zangu waislamu, ka’aba wala haina uhusiano na Mungu Mkuu aliyeumba mbingu na nchi. Ilikuwa ni madhabahu tu ya kipagani kwa ajili ya kuabudia mwezi, jua na nyota.
Hivi ndivyo tunavyoambiwa:
Narrated Abu Huraira: “In the year prior to the last Hajj of the Prophet when Allahs Apostle made Abu Bakr the leader of the pilgrims, the latter (Abu Bakr) sent me in the company of a group of people to make a public announcement: 'No pagan is allowed to perform Hajj after this year, and no naked person is allowed to perform Tawaf of the Ka’aba.'” (Bukhari V2, B26, #689 (V1, B8, No 365).
Yaani:
Imesimuliwa na Abu Huraira: “Kwenye mwaka kabla ya Hija ya mwisho ya Mtume pale Mtume wa Allah alipomfanya Abu Bakr kuwa kiongozi wa mahujaji, Abu Bakr alinituma pamoja na kundi la watu wengine ili kutoa tangazo: ‘Hakuna mpagani anayeruhusiwa kufanya Hija baada ya mwaka huu, na hakuna mtu aliye uchi anayeruhusiwa kufanya Tawaf ya Ka’aba.
Sijui ndugu msomaji kama unaiona maana ya maneno haya? Hiki ndicho tunachosoma humu:
1. Waislamu na wapagani walikuwa wakifanya hija pamoja kwenye ka’aba kwa miaka mingi hadi hapo Abu Bakr alipofanywa kiongozi.
2. Wakati wawapo kwenye hija, wapagani walikuwa wakifanya Tawaf (kuzunguka ka’aba) wakiwa uchi.
3. Wapagani walikuwa wakiabudu miungu yao ya kipagani kwenye ka’aba na waislamu wakimwabudu Allah.
Ili uone uzito wa jambo hili vizuri, hebu piga picha ya Hekalu la Sulemani alilojenga Yerusalemu kwa ajili ya Yehova. Yaani humo ndani ya hekalu wawe wanasali Wayahudi wanaomwamini Yehova na pia wapagani wanaoabudu jua, na mwezi na nyota; tena wakiwa uchi!!!!!!!
Kwa kuwa jambo hilo haliingii kamwe akilini; na haliwezekani, jibu ni moja tu: ni Muhammad ndiye aliyeenda kuingilia madhabahu ya wapagani na si kinyume chake!
Na ndiyo maana Muhammad alikuwa na ujasiri wa kutaka kuibomoa ka’aba. Hivi ndivyo tunavyosoma:
Narrated Aswad: Ibn Az-Zubair said to me, "Aisha used to tell you secretly a number of things. What did she tell you about the Ka'ba?" I replied, "She told me that once the Prophet said, 'O 'Aisha! Had not your people been still close to the pre-Islamic period of ignorance (infidelity)! I would have dismantled the Ka'ba and would have made two doors in it; one for entrance and the other for exit." (Sahih Bukhari 1:3:128).
Yaani:
Imesimuliwa na Aswad: Ibn Az-Zubaid aliniambia, “Aisha alikuwa akikusimulia kwa siri mambo kadha wa kadha. Je, alikuambia nini kuhusiana na ka’aba? Nikajibu, “Aliniambia kwamba, kuna wakati Mtume alisema, ‘Ewe Aisha! Kama watu wa kwenu wangekuwa bado hawako karibu na enzi ya ujinga ya kabla ya Uislamu (ukafiri), ningebomoa Ka’aba na ningejenga milango miwili; mmoja wa kuingilia na mwingine wa kutokea.’”
Hebu piga picha hapa pia; kwamba Musa aliambiwa na Yehova atengeneze hema ya kukutania. Akapewa maelekezo kwa undani sana ya namna kila kitu kinavyotakiwa kuwa, na akaambiwa afanye sawasawa na alivyoonyeshwa na Yehova. Halafu anakuja kutokea mtume au nabii miaka mia kadhaa inayofuata anasema, “Mimi naona katika nyumba hii Yehova alikosea kuweka mlango mmoja. Inatakiwa milango miwili hapa.” Hivi inawezekana kweli?
Sasa, kama kweli ni Allah ndiye alimwambia Ibrahimu na Ishmael wajenge ka’aba, inaingia kweli akilini Muhammad kuja kusema angeweza kuibomoa na kuijengea milango miwili?? Mwanadamu anaweza kumsahihisha Mungu?
Lakini hilo linawezekana tu kama nyumba yenyewe haina uhusiano wowote na Mungu; kama ambavyo ka’aba haina kamwe uhusiano wowote na Mungu wa mbinguni.
Duniani leo kuna makanisa na mahekalu mengi, lakini tunapoongelea hema ya kukutania ya Musa au hekalu la mfalme Sulemani, tunakuwa tunaongelea mahali pa pekee sana ambako Mungu mwenyewe kibinafsi ndiye aliyetoa vipimo na kuchagua mahali pa kujenga. Vivyo hivyo, kuna misikiti mingi duniani, lakini unapoongelea msikiti wa kwenye ka’aba, basi ni allah mwenyewe (anayedaiwa kuwa ni Mungu wa Ibrahimu) kujihusisha moja kwa moja na kazi hiyo. Sasa, hebu pia tazama picha hii hapa chini, kisha ujiulize mwenyewe kama Mungu wa mbinguni anaweza kuagiza nyumba yake ijengwe kwenye eneo lenye sifa hizi:
Nimekwambia hapo mwanzo kwamba kwenye ka’aba kuna jiwe jeusi (wanaloliita Al-hajar Al-aswad) ambalo waislamu hulibusu au kuligusa kama sehemu ya ibada yao humo. Lakini tunaambiwa hivi kuhusiana na jiwe hilo:
Later, Umar said to the black stone, "I know that you are a stone, that neither helps nor hurts, and if the messenger of god had not kissed you, I would not kiss you." (Sahih Bukhari, volume 2, #667).
Yaani:
Baadaye, Umar aliliambia lile jiwe jeusi, “Najua kuwa wewe ni jiwe ambalo haumsaidii wala kumdhuru mtu, na kama mjumbe wa mungu asingekubusu wewe, kamwe nisingekubusu.”
Jiwe hilo ni linaloonekana kwa mbele kama doa jeusi
Hiyo ndiyo hali ya Uislamu na waislamu hadi leo. Karibu kila kitu kwenye uislamu kiko kinyume na hali halisi ya maisha; hata mioyo yao inakataa kuvikubali, lakini wafanye nini sasa na wao wameshajiungamanisha na Muhammad? Anachosema Umar, kimsingi, ni kuwa, “Moyoni najisikia kabisa kwamba hii habari ya kubusu jiwe ni ubatili mtupu, lakini sina namna ya kuacha maana mtume amelibusu.”
Naamini Waislamu wengi wanafikiri kuwa ka’aba iliyopo leo ndiyo hiyohiyo ambayo Allah amewaambia kuwa ilijengwa na Ibrahimu na Ishmael. Lakini ukweli ni kwamba, ka’aba ilishavunjwa na kujengwa zaidi ya mara kumi. Tazama hapa. Kwa hiyo, hii iliyopo leo ni ujenzi wa hivi karibuni tu wa serikali ya Saudia.
Hitimisho
Ni kweli kabisa ka’aba ni nyumba ya Allah, lakini KAMWE si nyumba ya Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo. Wala Ibrahimu wa Israeli hajawahi kwenda Uarabuni kujenga ka’aba. Hii ilikuwa ni madhabahu ya mungu mwezi, jua, nyota na miungu zaidi ya 360 iliyoabudiwa na wapagani wa Uarabuni. Ukweli ni kwamba hii wala haikuwa ka’aba pekee. Zilikuwapo ka’aba nyingi ambamo wapagani wa huko walikuwa wakiabudia miungu yao. Umeona mwenyewe jinsi ambavyo wapagani hao walikuwa wakienda kuhiji Makka kwenye ka’aba tena wakiwa uchi. Iweje leo useme kuwa mambo yaleyale; palepale kuwa ni mambo ya kumwabudu Mungu aliyeumba mbingu na nchi?
Ndiyo maana Yehova aliwaonya Waisraeli akisema: Basi zishikeni amri zangu zote, na hukumu zangu zote, na kuzifanya, .... Nanyi msiende kwa kuziandama desturi za taifa niitoayo mbele yenu; kwa kuwa wao waliyafanya mambo hayo yote, na kwa ajili ya hayo niliwachukia. (Walawi 20: 22-23). Lakini ajabu ni kwamba Allah anasema kinyume kabisa. Kimsingi, anachosema kwa Waislamu ni kwamba: "Enendeni kwa kuzifuata kawaida za watu waliokuwa wanaishi Makka"!!!
Je, Mungu wa mbinguni anahitaji nyumba hapa duniani ili aweze kuishi humo? Hivi kwa ukuu wake wote, Mungu huyu atakaa kwenye kachumba ambacho ndani yake hakuna hata kitu?
Yesu Kristo anakuita akupe uzima wa milele sasa. Muda unakimbia mbio!
Katika ulimwengu wa leo kupata taarifa si tatizo. Tunayo maktaba kubwa kuliko zote tangu kuumbwa kwa ulimwengu yenye kila taarifa uitakayo duniani - yaani Intaneti. Ni wewe tu kujua unataka nini.
Hoji mambo.
Chunguza.
Fanya utafiti.
Chukua hatua.
http://maxshimba.blogspot.com/…/urithi-wa-uislamu-kutoka-kw…
Mungu awabariki sana.
By permission
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
Image may contain: one or more people and text

JE, KUFUNGA KUPI KUMEKUBALIWA NA MUNGU?

Image may contain: one or more people and text
Kufunga maana yake nini?
Kufunga ni hali ya kuunyima mwili chakula, vinywaji, na starehe kwa muda fulani uliotengwa. Tena ni hali ya kuutesa mwili katika kawaida yake kwa ajili ya Mungu.
“Magoti yangu yamedhoofu kwa kufunga, na mwili wangu umekonda kwa kukosa mafuta.”Zaburi 109:24. Pia Zaburi 35:13c “… Nalijitesa nafsi yangu kwa kufunga;…”
Nyakati za Biblia, watu walifunga kwa sababu mbalimbali zilizokubaliwa na Mungu. Baadhi yao walifunga kwa sababu ya huzuni au toba (1 Samweli 7:4-6), wengine walifunga ili kuomba mwongozo wa Mungu au ili wapate kukubaliwa naye (Waamuzi 20:26-28; Luka 2:36, 37), au ili kukaza fikira walipotafakari.—Mathayo 4:1, 2.
Hata hivyo, Biblia inataja pia visa vya kufunga ambavyo Mungu hakuvikubali. Mfalme Sauli alifunga kabla ya kwenda kumwona mwanamke aliyewasiliana na pepo. (Mambo ya Walawi 20:6; 1 Samweli 28:20) Watu waovu, kama vile Yezebeli na watu washupavu ambao walitaka kumuua mtume Paulo, waliamua kufunga au kuwaamuru wengine wafunge. (1 Wafalme 21:7-12; Matendo 23:12-14) Mafarisayo walijulikana sana kwa kufunga kwa ukawaida. (Marko 2:18) Hata hivyo, Yesu aliwashutumu na hawakumpendeza Mungu. (Mathayo 6:16; Luka 18:12) Yehova alikataa vilevile kufunga kwa Waisraeli fulani kwa sababu ya mwenendo na nia zao mbaya.—Yeremia 14:12.
Visa hivyo vinaonyesha kwamba si tendo la kufunga hasa linalompendeza Mungu. Hata hivyo, watumishi wengi wa Mungu waliofunga kwa moyo mweupe walikubaliwa naye. Basi, je, Wakristo wanapaswa kufunga?
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13.

KATI YA YESU NA ALLAH NANI NI "AL BAETH الباعث " UFUFUO?


Swali la kujiuliza, kati ya Yesu na Allah ni nani alikuwa wa kwanza kujiita AL BAETH? Maana wa kwanza kujiita Al Baeth basi yeye ndie mwenye haki ya hilo jina, na anaye mfuata ni mkopiaji tu na kamwe si Al Baeth.
Yesu anakujibu miaka 632 kabla ya Muhammad na Quran kuwa yeye ni wa kwanza kujiita AL BAETH:
Yohana 11: 25 Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo (Al Baeth الباعث ), na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; 26 naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?
Moja ya majina ya Allah wa Waislam ni Al Baeth ikimaanisha Ufufuo. Kumbuka jina la Allah ni Allah mwenyewe, nikimaanisha kuwa hakuna tofauti kati ya Allah na majina yake 99. Allah = Al Baeth.
Surat Al-Haj 22: 5. Enyi watu! Ikiwa nyinyi mna shaka ya kufufuliwa basi kwa hakika Sisi tulikuumbeni kutokana na udongo, 7 Na kwamba hakika Saa itakuja hapana shaka kwa hilo, na kwamba hakika Mwenyezi Mungu atawafufua walio makaburini.
Hii aya ya 5 katika Suratul Al Haj inathibitisha watu walikuwa na SHAKA ya kufufuliwa na Allah kwasababu hawakuona kabla ya hapo Allah akimfufua mtu yeyote yule. Sasa, Allah atajiitaje Al Baeth bila ya kufufua mtu?
Ushahidi thabit wa tukio ni ule wa kwanza na ulichukuliwa wakati wa tukio. Yesu ni wa kwanza kujiita AL BAETH na alijiita AL BAETH wakati wa tukio la kumfufua Lazaro lililo tokea miaka 632 kabla ya kuzaliwa Muhammad na kuteremshwa kwa Quran. Tusome kwa undani zaidi hili tukio Yohana 11:23 Yesu akamwambia, Ndugu yako atafufuka. 24 Martha akamwambia, Najua ya kuwa atafufuka katika ufufuo siku ya mwisho. 25 Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. ENDELEA AYA YA 43 Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje. 44 Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.
Lakini nilipo isoma Quran kwa undani, hakuna sehemu Allah anamfufua mtu au kiumbe, bali alijipachika jina la AL BAETH bila ya muujizo huo na au kumfufua angalau kipenzi chake Muhammad. Allah yeye anawaaminisha watu tu kuwa eti, ata wafufua lakini hakuwai fanya hivyo hata mara moja na wala hana uwezo huo.
Sasa, kati ya Yesu na Allah nani ni AL BAETH?
Yesu aliyeweza kufufua watu au Allah aliyejipachika jina bila ya kufufua watu au kiumbe chochote?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

Wednesday, May 16, 2018

JE, UNABII KUHUSU MJI MTAKATIFU WA YERUSALEM UNATIMIA BAADA YA MAREKANI KUWEKA UBALOZI WAKE YERUSALEM, MJI MKUU WA ISRAEL?

Image may contain: text


Kwanza tuanze na mwaka wa 1948 May 14 ambao Israel ilitanganzwa kuwa taifa. Ukiangalia haraka haraka utagundua kuwa tarehe 14 Mwezi May 1948 na tarehe 14 Mwezi May 2018 siku ambayo Marekani imefungua Ubalozi wake Jerusalem ni miaka 70 [2018-1948 = 70].
Je, miaka 70 maana yake nini Kibilia?
NAMBA 7
Biblia ina mifano mingi ambapo namba saba imetumiwa kwa njia hiyohiyo. (Mambo ya Walawi 4:6; 25:8; 26:18; Zaburi 119:164; Ufunuo 1:20; 13:1; 17:10) Yesu alipomwambia Petro kwamba amsamehe ndugu yake “si, Mpaka mara 7, bali, Mpaka mara 70,” kurudia namba 7 kulionyesha kwamba alipaswa kuendelea kusamehe “bila kuacha”.—Mathayo 18:21, 22.
Namba 7 inatumika sana kwenye Biblia katika maana ya Ukamilifu wa Ki Mungu. Ukiomba kitu chochote katika Mungu mara 7 hakika Mungu atakupa jibu. Kwa mfano Ukuta wa Babeli ulidondoka baada waisrael kusunguka mara 6 na mara 7 ukuta kukadondoka. Naamani aliambiwa akajichofye mara saba na baada ya hapo ukoma ukapona kabisa.
NAMBA 10
Namba 10 ni sawa na namba 1 inaweza kuwa 10, 100, 1000, 10000…. Nk. Namba 10 ina maanisha Ukamilifu kamili. Biblia inasema kuhusu sarafu 10 (Luka 15:8), Kondoo 100 (luka 15:4) miaka 1,000 (2Petro 3:8),Vizazi 1000 (Kumbukumbu la Torati 7:9) n.k kwa hiyo kama namba 10 ni alama ya jambo fulani au ina maana fulani kiroho basi ni Ukamilifu. 10 Namba hii inaweza kuwakilisha jumla ya kitu, au kukusanya pamoja.—Kutoka 34:28; Luka 19:13; Ufunuo 2:10.
Hivyobasi, Miaka 70 [7 x 10] inamaana ni ukamili usio kuwa na mwisho. Ikimaanisha Yerusalem ni Mji Mkuu wa Israel milele yote.
UNABII WA KWANZA:
“Kwa sababu [Waisraeli] hamkuyatii maneno yangu [Mungu], tazama, ninatuma . . . Nebukadreza mfalme wa Babiloni, . . . , nami nitawaleta wao [Wababiloni] juu ya nchi hii na juu ya wakaaji wake . . . Na nchi hii yote itakuwa mahali palipoharibiwa, kitu cha kushangaza, na mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babiloni miaka 70.”—Yeremia 25:8-11.
UTIMIZO:
Baada ya kulizingira jiji hilo kwa muda mrefu, Nebukadneza alilipora na kuliharibu Yerusalemu katika mwaka 607 K.W.K. Pia aliyashinda majiji mengine ya Yudea, kutia ndani Lakishi na Azeka. (Yeremia 34:6, 7) Aliwahamisha waokokaji wengi na kuwapeleka Babiloni ambako walikaa wakiwa mateka kwa miaka 70.
Historia inafunua nini?
● Biblia inaonyesha kwamba Nebukadneza ndiye aliyekuwa mfalme wa Babiloni karibu na wakati ambapo Yerusalemu liliharibiwa. Vitu vya kale vilivyochimbuliwa vinaunga mkono kile ambacho Biblia inasema kuhusu kuwapo kwake. Jiwe fulani la shohamu lililo na mchongo limewekwa huko Florence, Italia. Sehemu fulani ya maandishi yaliyo juu ya jiwe hilo yanasema hivi: “Kwa heshima ya Merodaki, bwana wake, Nebukadneza, mfalme wa Babiloni, alipokuwa hai aliagiza hili lijengwe.” Nebukadneza alitawala kuanzia mwaka wa 624 hadi 582 K.W.K.
● Kitabu The Bible and Archaeology kinasema kwamba mambo yafuatayo yamethibitishwa baada ya eneo la Lakishi kuchimbuliwa na kufanyiwa uchunguzi: “Uharibifu wa mwisho ulikuwa wenye jeuri, na moto ulioharibu jiji [Lakishi] ulikuwa mkali sana hivi kwamba mawe ya chokaa yaligeuzwa kuwa ungaunga wa chokaa.”
UNABII WA PILI:
“Kupatana na kutimia kwa miaka 70 katika Babiloni [mimi Mungu] nitawakazia ninyi fikira [Wayahudi walio uhamishoni], nami nitawatimizia neno langu jema kwa kuwarudisha tena mahali hapa [nchi ya Yuda].”—Yeremia 29:10.
UTIMIZO:
Baada ya miaka 70 ya uhamisho, kuanzia 607 hadi 537 K.W.K., Mfalme Koreshi wa Uajemi aliwaachilia Wayahudi waliokuwa utekwani na kuwaruhusu warudi nyumbani kwao ili wakajenge upya hekalu huko Yerusalemu.—Ezra 1:2-4.
Historia inafunua nini?
● Je, Waisraeli waliendelea kuwa mateka Babiloni kwa miaka 70 kama Biblia ilivyotabiri? Hebu ona maelezo ya Ephraim Stern, ambaye ni mmoja wa wataalamu wakuu wa wachimbuaji wa vitu vya kale nchini Israel. “Kuanzia mwaka wa 604 K.W.K. hadi 538 K.W.K.—hakuna uthibitisho unaoonyesha kuwa kuna mtu aliyeishi nchini Israeli. Wakati huo, hakuna hata mji mmoja ulioharibiwa na Wababiloni unaoonekana kuwa ulikuwa na watu.” Kipindi hicho ambacho hakukuwa na mtu katika eneo lililoshindwa kinapatana sana na uhamisho wa Waisraeli kupelekwa Babiloni kuanzia 607 hadi 537 K.W.K.—2 Mambo ya Nyakati 36:20, 21.
Baada ya utawala wa Sulemani, taifa la Israeli likagawanyika sehemu mbili. Makabila kumi ya kaskazini waliitwa "Israel," na wao walidumu miaka 200 kabla ya hukumu ya Mungu kwa ajili ya ibada yao. Asiria ikatwaa Israeli kama watumwa karibu 721 BC. Makabila mawili katika kusini yaliitwa "Yuda," na wao walidumu muda mrefu kidogo, lakini hatimaye, pia, wakageuka kutoka kwa Mungu. Babeli aliwachukua mateka 600 BC
Miaka 70 baadaye, Mungu kwa neema aliwaleta mabaki ya wafungwa nyumbani kwa nchi yao wenyewe. Yerusalemu, mji mkuu, ulijengwa upya karibu 444 BC, na Israeli kwa mara nyingine tena ikawa na urahia wa taifa.
Kubomolewa kwa hekalu: Yesu alisema katika Mathayo 24:2, "...amin, amin nawaambieni, halitasalia hapa jiwe ambalo halitabomoshwa". Hii ni baada ya wanafunzi wake kumuonesha mawe ya hekalu na misingi yake ilivyo imara. Hekalu lilikuja kubomolewa miaka 70 AD. Na sasa eneo hilo lilipokuwepo hekalu limejengwa msikiti.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu. Tito 2:13

MWEZI RAMADHANI ULISHEREKEWA NA WAPAGANI WA MAKKA


Mwezi Ramadhan ulisherekewa na wapagani wa Makka huko Arabuni hata kabla ya Uislam kuwepo, rejea [Maisha ya nabii Muhamad uk 16, kifungu cha 3 sura ya 4 ama Al-bukhari vol 16 no. 28]
Mwezi huo ulikuwa mwezi wa mfungo kwa ibada ya miungu yao ya Kipagani hasa mungu mke Al-Uzza ambaye pia aliwekewa nyota hiyo.
Mwezi huo pia uliadhimishwa na wapagani wa Misri kwa kumtukuza mungu Remphan ama Remdan [Ra] kwa Kimisri na kiarabu ni Ramadan, ndo maana mwezi huo unaitwa mwezi wa Ramadan yaani wa mungu Remphan.
Ndio maana hizo nyota zimejaa misikitini pamoja na mwezi nusu ambao unamwakilisha mungu mke na uke wake mfano wa kipande cha mwezi. Mungu huyo anaitwa mungu wa uzazi na rutuba, ndo huyo anayeitwa Diana na Wagiriki, na Maddona kwa Warumi, na Ashtoresh kwa Kiebrania na Astarte kwa Wababel na Easter kwa Waingereza na al Uza kwa Waarabu. Mwezi na nyota ndo ishara ya dini ya Kislam.
Biblia inasema hivi "Nanyi mlichukua hema ya #Moleki, Na #nyota za mungu wenu #Refani, Sanamu mlizozifanya ili kuziabudu;Nami nitawafahamisha mwende mbali kupita Babeli. Matendo 7:43
MAKKA NI MJI WA KIPAGANI WENYE MIUNGU NA MASANAMU 360
Umeshawahi kujiuliza Makka ilikuwaje kabla Muhammad hajazaliwa?
Yaelekea ilikuwa sehemu ya kuvutia, kwani ilikuwa ni kituo cha biashara, mahali penye kusanyiko la tamaduni mbalimbali. Palikuwa na wafanya biashara wenye dini mbalimbali. Watu wa kabila la Kureshi wa Makka walimwabudu Hubal, Al-ilah na mabinti watatu wa Al- ilah. Mwamba mweusi kutoka mbinguni uliheshimiwa sana uliwekwa kwenye kona ya kaaba.
Kaaba ilikuwa ni kitovu cha kuabudia miungu/sanamu 360 kwa mujibu wa Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 43 sura ya 33 na.658 uk. 396 na juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 47 na.583 uk. 406.
Ensaiklopidia ya Uislam (iliyohaririwa na Eliade) uk.303 na kuendelea inasema, watu, kabla ya Uislam, waliomba mara 5 wakielekeza nyuso zao Makka na kufunga nusu siku kwa muda wa mwezi mzima. Wakureshi walifunga siku ya 10 ya Myharram/Muharam. Hii nayo Muhammad aliagiza ifanyike, lakini baadaye ikawa hiari. (Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 25 na.172 uk.109), pia Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 24 na.31 uk. 25.
Waarabu kabla ya Uislam walifanya hija (Umrah) Maka. Fiqh us-Sunnah juzuu ya 5 uk.122, na Bukhari juzuu ya 2 kitabu 26 sura ya 33 na.635 uk.371-372 zinasema walidhani kutokufanya 'Umrah ikijuwa ni moja ya dhambi kubwa sana duniani. Walipofika Makka waliifunika kaaba kwa nguo ya Fiqh juzuu ya 5 uk.131, na walikuwa na mwezi mtakatifu uliohitaji kujitenga na vita kabla ya kuja kwa Uislam (Bukhari juzuu ya 2 kitabu cha 23 sura ya 96 na.482 uk.273.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu

UNABII KUHUSU ISRAEL NA JERUSALEM

Image may contain: text
LEO ulimwengu unatazama Mashariki ya Kati kwa wasiwasi. Mashambulizi ya roketi, mapigano kati ya makundi yenye silaha, na mashambulizi ya mabomu yanayotekelezwa na magaidi, ni mambo yanayotokea mara nyingi. Zaidi ya hayo, kuna uwezekano wa kutumiwa kwa silaha za nyuklia. Si ajabu kwamba watu kila mahali wana wasiwasi!
Ulimwengu pia ulitazama Mashariki ya Kati kwa wasiwasi mnamo Mei 1948. Wakati huo, miaka 70 iliyopita, mamlaka ya Uingereza ya kusimamia maeneo ambayo wakati huo yaliitwa Palestina ilikuwa inakaribia kuisha, na vita vilikuwa karibu kuanza. Mwaka uliotangulia, Umoja wa Mataifa ulikuwa umetoa kibali cha kuanzishwa kwa Taifa huru la Wayahudi katika sehemu fulani ya maeneo hayo yaliyosimamiwa na Uingereza. Mataifa jirani ya Waarabu yalikuwa yameapa kufanya chochote kile ili kuzuia kuanzishwa kwa taifa hilo. “Mpaka wetu na taifa hilo utakuwa moto na damu,” ukaonya Ushirika wa Nchi za Kiarabu.
Ilikuwa Ijumaa saa 10:00 alasiri, Mei 14, 1948, na baada ya saa chache tu, mamlaka ya Uingereza ya kusimamia Palestina ingefikia mwisho. Kwenye Jumba la Makumbusho la Tel Aviv, kikundi cha watazamaji 350 waliokuwa wamefika baada ya kualikwa kisiri, walingoja kwa hamu kutangazwa rasmi kwa taifa la kisasa la Israeli. Kulikuwa na ulinzi mkali ili kuhakikisha kwamba maadui wa Taifa hilo jipya hawavurugi tukio hilo.
David Ben-Gurion, kiongozi wa Baraza la Taifa la Israeli, alisoma tangazo la kuundwa kwa Taifa la Israeli (The Declaration of the Establishment of the State of Israel). Tangazo hilo lilisema hivi kwa sehemu: “Sisi, washiriki wa Baraza la Watu, wawakilishi wa Jumuiya ya Nchi ya Israeli . . . kwa msingi wa haki yetu ya kiasili na ya kihistoria na kwa msingi wa Azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, tunatangaza kuanzishwa kwa Taifa la Wayahudi katika nchi ya Israeli, ambalo litaitwa Taifa la Israeli.”
Je, Tukio Hilo Ni Utimizo wa Unabii wa Biblia?
Waprotestanti fulani wa makanisa ya Kiinjilisti wanaamini kwamba kuanzishwa kwa Taifa la Israeli la kisasa kulitimiza unabii wa Biblia. Kwa mfano, katika kitabu fulani (Jerusalem Countdown), kasisi John Hagee anasema hivi: “Tukio hilo muhimu liliandikwa na nabii Isaya, akisema, ‘Nchi itazaliwa katika siku moja.’ (Ona Isaya 66:8.) . . . Huo ulikuwa utimizo mkubwa zaidi wa unabii katika karne ya ishirini. Ulikuwa uthibitisho ulio wazi kwa wanadamu wote kwamba Mungu wa Israeli yuko hai.”
Je, maneno hayo ni ya kweli? Je, andiko la Isaya 66:8 linatabiri kuanzishwa kwa Taifa la Israeli la kisasa? Je, Mei 14, 1948, ‘ilikuwa tarehe ambayo utimizo mkubwa zaidi wa unabii ulitokea katika karne ya ishirini’?
Unabii wa Isaya unasema: “Ni nani amesikia jambo kama hili? Ni nani ameona mambo kama haya? Je, nchi itazaliwa kwa uchungu katika siku moja? Au, je, taifa litazaliwa wakati uleule mmoja? Kwa maana Sayuni ameshikwa na uchungu wa kuzaa naye vilevile amezaa wanawe.” (Isaya 66:8) Mstari huo unatabiri waziwazi kuzaliwa ghafula kwa taifa zima, kana kwamba katika siku moja. Lakini ni nani angesababisha kuzaliwa huko? Mstari unaofuata unatoa dokezo hili: “‘Nami, je, nitasababisha kupasuka wala nisisababishe kuzaliwa?’ asema Yehova. ‘Au, je, mimi ninasababisha kuzaliwa na kwa kweli ninasababisha kufunga uzazi?’ Mungu wako amesema.” Yehova Mungu anaonyesha waziwazi kwamba yeye ndiye angefanya taifa hilo lizaliwe kwa njia hiyo ya ajabu.
USIKOSE SOMO LA " Vifo vya Saddam,Osama na Gaddafi ni kutimia kwa Unabii wa Ufunuo 16:12
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

KWANINI WAISLAM WANAABUDU MWEZI?

Image may contain: text
KWANINI MFUNGO WA RAMADHANI UNATEGEMEA KUANDAMA KWA MWEZI?
Mwanzo 13
Miaka ipatayo 2000 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu, aliishi mtu mmoja aliyeitwa Abram, anayezungumziwa katika Biblia kuwa alikuwa ‘rafiki wa Mungu’ (Isaya 41:8). Aliishi Uru, mji uliokuwa katika Mesopotamia, katika nchi tunayoiita leo Iraki, kama maili 800 mashariki ya nchi ya Israeli.
Wapagani wa Uru hawakujua lolote kumhusu Mungu wa Kweli; waliabudu miungu mingi ya uongo, mkubwa kati yao akiwa ni mungu-mwezi (Mke wa Allah/mungu jua) anaye abudiwa na Waislam. Mabaki ya hekalu alilojengewa yamegunduliwa katika eneo hilo.
Alama ya nyota na mwezi ni alama ambayo inatumka sana katika alama ya kuwakilisha uislamu. Alama hii ipo kwenye Misikiti ya Waislam duniani kote. Mwezi mchanga ukikaa kulia na nyota kushoto maana yake ni imani ya kimashetani. Ukikaa mwezi kushoto na nyota kulia maana yake ni uchawi. Naam, huu ndio Uislam, dini ya kimashetani na uchawi.
Alama ya mwezi mpevu na nyota ni alama ya uislamu, vilevile hii ni alama ya kimashetani na Freemason. Alama ya nyota na mwezi mpevu ni misingi ya alama (ishara) zilizokuwa zinapatikana katika ulimwengu wa kipagani kale pamoja na mifano ulioshuhudiwa kutoka Bahari ya Mashariki, Uajemi na Asia ya Kati. Alama hii ilitumiwa na wapagani na walimuabudu mungu Mwezi ambaye ni mke wa mungu Jua.
Mwezi mpevu umekuwa kawaida kuhusishwa na mungu mwezi Sin (Nanna kwa Wasumeri) na nyota (mara nyingi kutambuliwa kama Venus) na Ishtar (Inanna kwa Wasumeri). Na hii ilikuwa ikitumika mashariki ya zamani katika bara Asia, hii miungu mwezi na nyota (nanna , inanna ,sin au ishtari) ni miungu ya kipagani karne za kale huko mashariki ya kati.
Hivyobasi, leo ningependa kuwafahamisha kuwa, Allah na Waislam wote wanaabudu Mwezi ambaye ni mke wa mungu Jua! Unaweza kuniuliza kivipi hawa Waislam wanaabudu Mwezi.
Qurani 91:1-2 Suratul Ash-Shams (Jua)
Naapa kwa jua na kwa mwangaza wake. Na kwa mwezi unapoliandama.
Bila kupoteza wakati, Allah amesha apa kwa mwezi unao andama. Allah ameapa katika uumbwaji, huku ikifahamika kuwa hakuna aliye mkuu kuliko Mungu ambaye kwa huyo angeweza kuapa. Waebrania 6:13
Hivi kati ya Allah na Mwezi nani mwenye mamlaka? Nafahamu bado hujanipata nasema nini na ua nauliza nini. Hilo ni swali ambalo wengi wanaweza kukurupuka na kukosa kusema jibu sahihi. Jibu lake ni hili. MWEZI UNA MAMLAKA ZAIDI YA ALLAH.
Ngoja nikufungue macho.
Waislam wanapofunga Saumu/Ramadahani, kabla ya hiyo shughuli ya mfungo wanasubiri mwezi. Hilo ni la kwanza. Cha ajabu hata siku ya kufungua, dini hii ya Allah bado inategemea MWEZI, ni kimaanisha kuwa, ni MWEZI NDIO WENYE MAMLAKA YA MWISHO YA KUSEMA KUWA, HAWA WAISLAM WAFUNGUE MFUNGO. Kama bado hujanipata, basi ngoja nikufungue zaidi macho. Waislam wanafungua na kusherehekea Iddi baada ya MWEZI KUANDAMA.
Sasa kama kufunga ilikuwa ni kwa ajili ya ALLAH, kivipi ALLAH ashindwe kuwapa tarehe ya kufungua? Kwanini Mwezi ndio unakuwa na Mmlaka zaidi ya Allah? Kumbe basi, Mwezi ndio Allah mwenyewe. Wataalam wa dini wanasema kuwa Allah ni Mungu Mwezi (Allah is a God Moon).
Hakika leo tumejifunza kuwa kumbe Mwezi na Allah ni kitu mimoja na au Mwezi Unanguvu kuliko Allah.
Nategemea hili somo fupi limekufumbua macho kuhusu Uislam.
Allah si Mungu bali ni Mwezi.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu. Tito 2:13

MAJI YA BAHARI MBILI KUTO KUCHANGANYIKA. JE, HII NI MIUJIZA YA ALLAH AU NI UKOSEFU WA ELIMU?


MAJI YA BAHARI MBILI KUTO KUCHANGANYIKA.

JE, HII NI MIUJIZA YA ALLAH AU NI UKOSEFU WA ELIMU?

Leo nitajibu hoja dhaifu ya Waislam kuhusu madai ya maji ya Bahari mbili kuto kuchanganyika. Je, hii ni miujiza au ni ukosefu wa elimu ya fizikia?

Ili kufahamu nini kilitokea kuhusu kuto changanyika kwa maji, ni vema kwanza tujifunze Fizikia ya darasa la Nne kuhusu Densiti.

ALLAH katika Qurani Sura ya 18 aya 60 mpaka 82
"Nakumbukeni Musa alipomwambia kijana wake wake nitaendelea na safari mpaka nifike katika ya maungano ya bahari mbili au niendele karne na karne mpaka nikutane na huyo ninayetaka kukutana naye."

Basi, Waislam walipo ona picha ya ya bahari mbili (madai yao), wakaunganisha na hii aya kuwa ni miujiza ya Allah. Kwa bahati nzuri, hapa katika huduma ya Max Shimba Ministries, tunawasomi walio bobea wa Sayansi, Hisabati na Biologia. Hivyo leo tunawajibu Waislam kwa kutumia sayansi.

Tuanze na kanuni ya Densiti:

DENSITI NI NINI?

DENSITI = MASI/MJAO

DENSITI
Densiti ni kipimo cha kulinganisha masi na mjao wa gimba fulani. Alama yake ya kifizikia huwa ni ρ (rho).

Gimba lenye densiti kubwa huwa na mada nyingi katika mjao fulani. Gimba lenye densiti ndogo huwa na mada kidogo katika mjao uleule. Densiti kubwa husababisha ya kwamba sisi tunaita kitu "kizito".

Vipimo kwa kawaida vya densiti huwa ni g/cm3 na kg/m3.

Kwa kutumia maantiki:
Maji yasiyo na chumvi ndani yake huwa na densiti 1. Lita 1 huwa na masi ya kilogramu 1.

MASI NI NINI?
Masi katika elimu ya fizikia ni tabia ya mata, na kwa njia hii pia tabia ya gimba au dutu.

Kipimo sanifu cha kimataifa cha masi ni kilogramu. Alama yake katika fomula kwa kawaida ni {m}.

MJAO NI NINI?
Mjao (kwa Kiingereza volume) unaeleza ukubwa wa gimba la hisabati (mchemraba, tufe, mcheduara) kwa kupima nafasi ya yaliyomo yake.

Hupimwa katika vizio vya ujazo kama mita ujazo (m³) au sentimita ujazo (cm³).

Kila gimba lenye urefu, upana na kimo huwa na mjao.


MAJI YA CHUMVI:
Maji ya chumvi ni maji yenye kiasi cha myeyusho wa chumvi ndani yake. Kwa kawaida kila aina ya maji huwa na kiwango cha chumvi iliyoyeyushwa.

Kwa wastani, maji katika bahari ya dunia yana chumvi kwa karibu 3.5% (35 g / L, 599 mM). Hii ina maana kwamba kila kilo (takriban lita moja na kiasi) ya maji ya bahari ina takriban 35 gramu (1.2 oz) ya chumvi zilizoharibiwa (Zaidi ya sodiamu (Na+) Na kloridi (Cl-) Ions). Wastani wa wiani juu ya uso ni 1.025 kg / L.

Maji ya bahari ni denser/mazito kuliko maji safi na maji safi yana (wiani 1.0 kg / L saa 4 ° C (39 ° F)) kwa sababu chumvi zilizoharibiwa huongeza wingi kwa kiasi kikubwa. Sehemu ya kufungia ya maji ya bahari inapungua kama ongezeko la chumvi linapo ongezeka. Katika salinity ya kawaida, inafungia nyuzi 2 ° C (28 ° F). Maji ya bahari ya baridi (katika hali ya kioevu) ilikuwa mwaka 2010, katika mkondo chini ya glacier ya Antarctic, na kipimo cha -2.6 ° C (27.3 ° F). Maji ya bahari ya pH ni kawaida kwa kiwango cha kati ya 7.5 na 8.4. Hata hivyo, hakuna kiwango cha pH kinachokubaliwa kwa kiwango kikubwa kwa maji ya bahari na tofauti kati ya vipimo kulingana na mizani tofauti ya kumbukumbu inaweza kuwa hadi vipimo 0.14.

MAJI MATAMU:
Maji matamu ni maji yasiyo na chumvi nyingi ndani yake.

Kwa kawaida maji ya mvua, ya mtoni au ziwani huitwa "maji matamu" maana yake ya kwamba kimsingi inafaa kwa kunywa au kumwagilia mimea hata kama mara nyingi inaweza kupatikana na matope au machafuko ndani yake. Kinyume chake ni maji ya chumvi jinsi inavyopatikana baharini au katika maziwa kadhaa.

Kitaalamu maji huitwa "matamu" kama kiwango cha chumvi ndani yake ni chini ya asilimia 1 au gramu moja ya chumvi katika lita ya maji. Sehemu kubwa ya maji matamu yanayopatikana duniani ni theluji na barafu ambayo ni hasa mvua iliyowahi kuganda katika hali ya hewa baridi

SASA NITAELEZA KWA LUGHA YA KAWAIDA ILI WOTE WAELEWE KWANINI MAJI HAYA HAYACHANGANYI KWA HARAKA.

Kwanza ningependa mfahamu kuwa, SIO bahari mbili zinakutana. Hili dai la Waislam ni uongo na ukosefu wa elimu. Hii picha inayo tumiwa ni kukutana kwa "glacial melt water" na "off shore waters" ya ghuba ya Alaska.

Sababu ya tukio hili la ajabu ni TOFAUTI ya DENSITI YA MAJI, Joto la maji, ujazo wa chumvi katika hayo maji yaliyo yeyuka kutoka Barafu, na maji ya ghuba ya Alaska, yanashindwa kuchanganyika kwa sababu ya tofauti ya densiti yao.

Maji ya bahari huwa na kiwango cha chumvi cha asilimia 3.5 iliyoyeyushwa ndani yake. Wataalamu mara nyingi hutaja kiwango cha 0.1 % kuwa maji matamu.

Kwasababu maji haya yote ni ya baridi "temperature" sana kinacho tokea ki kwamba, mchangayiko wake unachukua muda.

Mmumunyo au myeyusho (kwa Kiingereza solution) ni tokeo la kuchanganya kabisa dutu mbili hadi kupata mchanganyiko wa aina moja usioonyesha sehemu zake. MFANO RAHISI: ni kukoroga sukari katika maji. Hapo sukari haionekani tena imechanganika kabisa na maji. Ikiwa maji ni baridi, sukari itachukua mda mrefu sana kuchanganyaki kulinganisha na maji ya moto au vuguvugu.

Hivi ndivyo inatokea katika ghuba kule Alaska ambapo maji yote ni baridi na majimyeyuko kutoka barafu yenye chumvi ndogo sana inachukua muda mrefu sana kuchanganyika na maji ya ghuba yenye chumvi ya asilimia mpaka 3.5

Je, huu ni muujiza au ni sayansi ya kawaida tu?

Ndio maana naendelea kusema Allah sio Mungu.

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW