Tuesday, December 20, 2016

UK: Two Muslim savages jailed for firework attack sparking blaze which left learning disabled woman fighting for her life


Sabbir Ahmed and Muhammad Aktaruz Jaman Khan both pleaded guilty to firing the explosives into the Barking Care Home, with the fireworks starting a fire where victim Donna Stringer (right) was sleeping. As a result of the fire, she was left in a critical condition in the hospital for two months after the attack.

Scottish Sun  (h/t Colin W) Ahmed, 23 (below) from Bethnal Green was jailed for six years while Khan (2nd below), also 23 from Bethnal Green, was sentenced to seven years jail after pleading guilty to charges of intending to destroy or damage property and being reckless as to whether life was endangered.

Police have since revealed they believe the firework was a “Roman Candle” firework that has five internal shots that are discharged after a fire is lit at the top.

OOPS! Berlin police fear they might have arrested the wrong Muslim in the truck jihad attack on Christmas shoppers


Now, the sharia-compliant media will have another chance to speculate that the Muslim terrorist might not have been a Muslim at all.

UPDATE!  CNN  The man detained after a truck crashed into a Berlin Christmas market has been set free, Germany’s general prosecutor said in a statement Tuesday. “The investigations thus far have not produced urgent suspicion against the suspect,” the statement said.

Dr. Sebastian Gorka on the recent wave of terror attacks

POKEA NA MILIKI MUUJIZA WAKO WA KUMALIZA MWAKA 2016 KATIKA JINA LA YESU.

No automatic alt text available.
Mungu aweza kufanya mambo yasiyowekana. Imeandikwa katika Luka 18:27 "Akasema yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu." Tume ahidiwa moyo mpya na maisha mapya Imeandikwa Ezekieli 36:26 "Mimi nitawapa moyo mpya nami nitatia roho mpya ndani yenu nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama." Ametuahidi kutusamehe dhambi zetu. Imeandikwa katika 1Yohana 1:9 "Tukiziungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote."
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH AUMBA UCHAWI NA KUUTEREMSHA KWA NABII MUHAMMAD

Image may contain: one or more people and outdoor
Naam,
Huu ni Msiba Mkubwa sana katika taifa la Muhammad. Mara nyingi Wakristo wamekuwa wanajiuliza, hivi, uchawi ulitokea wapi na mwanzo wake ni nani?
Leo Quran inakujibu kuwa Uchawi ULIUMBWA NA Kuteremshwa na Allah, HIVYO BASI wachawi nambari moja ni Waislam. Nafahamu unafikiri kuwa Max Shimba anawasingizia Waislam au sio?
Hapa inafaa tufahamishane kuwa ushirikina ni jambo ovu linamtia mtu motoni. Kwenda kwa wachawi, wapiga ramli ni katika ukafiri na ushirikina.
Hebu soma Ushahid huu wa Quran:
SURAT TAHA: 73. Hakika sisi tumemuamini Mola wetu Mlezi ili atusamehe makosa yetu na uchawi ulio tulazimisha kuufanya. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mbora na Mwenye kudumu zaidi.
Kwenye Surat Taha ayat 73 kama ilivyo teremshwa Makka kwa Muhammad na kutafsiriwa na Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani inasema kuwa ALLAH ANAWALAZIMISHA WAISLAM KUUFANYA UCHAWI. Huu ni msiba ndugu zangu. Swali la kujiuliza, hivi, tokea lini Mungu akawa mchawi? Hivi huu uchawi ulio teremshwa na Allah unafaida gani kwa Wislamu?
Hebu tuingalie tafsir ya pili ya Surat Taha aya 73 kama ilivyo tafsiriwa na Sheikh Ali Muhsin inasema: 73. Kwani hakika sisi ni wenye kusimama juu ya Imani kumuamini Mola wetu Mlezi wa Haki, ili atufutie madhambi yetu yaliyo pita, na atusamehe huku kushughulikia uchawi ulio tulazimisha tujifunze na tuufanye! Na Mola wetu Mlezi ni Mbora wa malipo kuliko wewe, akit'iiwa; na ufalme wake na uwezo wake kulipa unadumu zaidi kuliko wako.
1. Inasema kuwa Waislam wanalazimishwa kujifunza Uchawi
2. Inasema kuwa Waislam wanalazimishwa kuufanya Uchawi.
Ndugu msomaji, leo sina mengi ya kusema maana umesoma Mwenyewe kutoka Quran kuwa Allah aliteremsha uchawi na kawalazimisha Waislam wajifunze na kuufanya uchawi.
Nawashauri Wakristo wenye marafiki wa Kiislam wawe makini, maana huyo rafiki yako anaweza kuwa ndiye anaye-kuroga kwasababu kalazimishwa na Allah kufanya hivyo.
Nimenukuu quran aya ya 2:102 na maelezo/ufafanuzi wake hapo chini kutoka tafsiri mbili za quran (Tafsiri ya Sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy na Tafsiri ya Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani). Aya hii na maelezo/ufafanuzi wake inaonesha mambo yafuatayo:

WAIMBA NA WASIKILIZA TAARABU WOTE KUINGIA JEHANNAM


“Na miongoni mwa watu wapo wanaonunua maneno ya upuuzi, ili wawapoteze watu na njia ya Mwenyezi Mungu pasipo kujua, na wanaichukulia ni maskhara. Hao watapata adhabu ya kuwafedhehesha” [Luqmaan: 6]. Na Ibn 'Abbaas (Radhiya Allaahu 'anhuma) pia amesema kuhusu Aayah: ((Na miongoni mwa watu wapo wanaonunua maneno ya upuuzi)) "Ni nyimbo na maneno ya yanayofanana (ya upuuzi)" [Isnaad Sahiyh kutoka kwa Shaykh Al-Albaaniy].

WENYE KUIMBA/KUSIKILIZA MUZIKI WATAGEUZWA NYANI NA NGURUWE

Na akasema Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): ((Watakuweko watu katika Ummah wangu watakaojaribu kuhalilisha zinaa, uvaaji wa hariri, pombe na muziki. Baadhi ya watu watakuwa pembeni mwa mlima na mchungaji wao atawajia jioni na kuwaomba haja [fulani]. Watasema: "Rudi kesho". Allaah Atawaangamiza usiku, Atawaangushia milima kisha Atawabadilisha waliobakia wawe nyani na nguruwe na watabakia hivyo hadi siku ya Qiyaamah))[Al-Bukhaariy] 

Hadiyth hii inatuthibitishia kuwa madhambi yote hayo yako sawa sawa uharamu wake, kama vile zinaa na pombe ilivyo haramu, basi na muziki pia haramu sawa sawa. 

Sasa vipi Muislamu aone kuwa muziki sio maasi makubwa ya kujiepusha nayo? 

Imaam Abu Haniyfah amesema: "Kuimba (nyimbo, ngoma) ni katika madhambi makubwa ambayo inatakiwa Muislamu kujiepusha nayo haraka" Khofu zaidi imuingie Muislamu kuwa anaweza kupata adhabu ya kugeuzwa nyani au nguruwe kwa maasi haya kama tulivyoonywa katika Hadiyth ifuatayo: 

Na kasema Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam): ((Watu katika Ummah wangu watakunywa pombe wakiipa jina jengine lisilokuwa hilo, miziki itapigwa kwa ajili yao na watakuweko waimbaji wanawake. Allaah Atawadidimiza ardhini na Atawageuza wawe nyani na nguruwe)) [Ibn Maajah na Shaykh Al-Albaaniy ameipa daraja ya Sahiyh]

POLENI SANA WAISLAM MAANA ALLAH HAPENDI MUZIKI WA TAARAB WALA MUZIKI WA BONGO FLEVA

Shalom,

Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

UDHAIFU WA DINI YA KIISLAM


1. Waislam hawana Kitabu cha Taurat.
2. Waislam hawana Kitabu cha Zaburi.
3. Waislam hawana Kitabu cha Injili.

Kama kuna Muuislam anaye bisha, basi nileteeni nakala ya hivyo vitabu vilivyo kuwepo kabla ya Quran.
Mkinipa nakala ambayo Allah anadai aliteremsha kwa Musa au Daudi au Yesu, basi leo hii MIMI MAX SHIMBA NITASILIMU NA KUWA MUISLAM.

Kumbuka mimi sina muda na aya zenu za Quran maana Quran ilikuja baadae. Mimi mniletee nakala ya hivyo vitabu kabla ya kuzaliwa Muhammad.
NATAKA KUSILIMU.

Shalom
Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

SHEHE NA FAMILIA YAKE WAOKOKA

Image may contain: 1 person, standing


WAONGOZWA SALA YA TOBA/WOKOVU NA MCHUNGAJI PETER MITIMINGI.
Pastor Peter Mitimingi, akiongea jambo kwenye Karakana ya VHM (Voice of Hope Ministr),
Yesu, anaokoa , Yesu anasamehe, njoo kwake upate Uzima wa Bure!!.
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH NA MUHAMMAD WAMEMKOPIA MTUME PAULO





1. Quran imegezea Biblia kwa asilimia kubwa.
2. Allah hakuteremsha Wahyi kwa Muhammad.
3. Mtume Paulo ni akbar
Huu ni msiba Mkubwa sana.
Ila Biblia ni kitabu cha vitabu ambacho hakija copy wala hakitoi rejea ya vitabu, bali inajisimamia yenyewe.
UTHIBITISHO:
Quran
Imebeba taarifa zilizo katika Biblia. Mfano
Habari za Yusufu ambaye Biblia inamwongelea miaka 3500 iliyopita. Ktk quran ipo sura yake nzima(sulatul Yusufu)
Habari za familia ya Imran baba yao Musa, Haruni na Miriam, ambayo biblia inawaongelea miaka 3000 iliyopita. Ktk quran ipo sura yake nzima(sulatul imran)
Habari za Yona mwana wa Mittai(Yunus bin Matta), ktk quran ipo sura yake nzima.
Ibrahimu baba wa imani, ambaye biblia inamwongelea miaka zaidi ya 3500 iliyopita. Ktk quran ipo sura inayoitwa sulatul Ibrahimu.
Bikira Maria, mama yake Yesu, ktk quran ipo sura yake inayoitwa sulatul Maryam
Habari za Elisha, Eliya, Daudi, Seleman, Haruni, Musa, Isaac, Yakobo, Ishamael, Enock, Lutu, Nimrod, Yethro, Zakaria, Yohana mbatizaji na Bwana Yesu Kristo.
Wote hao visa vyao vinapatikana katika Quran ingawa havina habari za kina juu yao km ilivyo ktk Biblia.
Waislam wanasema na kudai kuwa habari hizo muhamad alipewa wahyi(ufunuo) ila quran inabainisha kuwa alisimuliwa, maana huwezi pewa ufunuo kwa hbr zilizo bayana.
Quran inasema hivi....
Quran 4:164 Tuliwapelekea wahyi mitume tuliokuhadithia hbr zao zamani na mitume ambao hatukukuhadithia hbr zao na mwenyezi Mungu alimsemeza Musa.
Quran 40:78 Na kwa yakini tumewatuma mitume kabla yako wengine ktk wao tumekusimulia(majina yao na hbr zao) na wengine hatukukusimulia na haikuwa kwa mtume yeyote kuleta muujiza wowote ila kwa idhini ya mwenyezi Mungu.
👆👆👆 waliopewa wahyi ni mitume kabla ya muhamad, na hbr zao muhamad alisimuliwa na si wahy. Na kuna wengine Muhamad hakusimuliwa hbr zao, na ili uzipate sharti ufanye rejea ya biblia. Manabii km Daniel, Ezekiel, Yeremia, Mika, Samweli, Hosea, Ahiya, Malach, Debora, na wengine wengiii waislam hawawajui....sababu mtume wao hakusimuliwa habari zao.
Rejea katika Quran

KUMBE QURAN IMEJAA SHAKA NA HAIPO WAZIWAZI

Image may contain: meme and text
Je, madai ya kuwa Quran imekalika na ipo waziwazi ni ya kweli?
Allah ateremsha aya na kudai kuwa, Quran haijakamilika na haipo waziwazi.
Allah asema kuwa aya zingine ndani ya Quran hakuna ajua maana yake isipokuwa Allah.
Ndugu wasomaji;
Leo tutaangalia utata ulio jaa ndani ya Quran ambayo wanadhuoni wengi hudai kuwa imenyooka, huku Allah akiwapinga na kuteremsha aya ambayo inasema kuwa Quran haijanyooka na haipo waziwazi.
Kwanza tuanze kwa kuangalia aya ambayo inasema kuwa Quran ipo wazi na aya zake zimepambanuliwa ni uongofu kwa walio ongoka.
Surat HUD (11:1). Alif Lam Ra. Hiki ni Kitabu ambacho Aya zake zimewekwa wazi, kisha zikapambanuliwa, kilicho toka kwa Mwenye Hikima na Mwenye Khabari
Surat Al Anaam (6:114). Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi? Na hao tulio wapa Kitabu wanajua ya kwamba kimeteremshwa na Mola wako Mlezi kwa Haki. Basi usiwe katika wanao tia shaka.
Surat An nah’k (16:89). Na (waonye) siku tutakapo wainua mashahidi katika kila umma wakiwashuhudia kwa yanayo tokana na wao, na tutakuleta wewe uwe shahidi juu ya hao. Na tumekuteremshia Kitabu hiki kinacho bainisha kila kitu, na ni uwongofu, na rehema, na bishara kwa Waislamu Surah tulizo ziweka hapo juu, zinasema na kudai kuwa Quran imepambanuliwa na ni kitabu kilizo elezwa waziwazi. Ikimaanisha kuwa, unapoisoma Quran, hautapata maswali au kusoma utata katika aya zilizo teremshwa na Allah.
LAKINI HAYO MADAI, YANAPINGANA NA UTATA KATIKA AYA IFUATAYO INAYO DAI KUWA, NDANI YA KURAN KUNA AYA AMBAZO ALLAH PEKE YAKE NDIE ANAZO ZIFAHAMU

The Myth of Muhammad’s Fragrant Sweat: A Scientific and Theological Critique

  The Myth of Muhammad’s Fragrant Sweat: A Scientific and Theological Critique By Dr. Maxwell Shimba — Shimba Theological Institute Abstract...

TRENDING NOW