Saturday, April 26, 2014

JAMANI EEEE ALLAH AMEFIRISIKA SASA ANANUNUA WATU?

KUMBE ALLAH NI MFANYA BIASHARA..............

Suratut Tawba 111. Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu - wanauwa na wanauwawa. Hii ni ahadi aliyo jilazimisha kwa Haki katika Taurati na Injili na Qur'ani. Na nani atimizae ahadi kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko ndiko kufuzu kukubwa

UKIONA ALLAH ANANUNUA WATU, BASI ELEWA KUWA YESU ANABATIZA KWA MALUNDO.

Hakika hakuna Mbingu wataingia watu walio nunuliwa na Allah.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW