Saturday, April 26, 2014

JAMANI EEEE ALLAH AMEFIRISIKA SASA ANANUNUA WATU?

KUMBE ALLAH NI MFANYA BIASHARA..............

Suratut Tawba 111. Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu - wanauwa na wanauwawa. Hii ni ahadi aliyo jilazimisha kwa Haki katika Taurati na Injili na Qur'ani. Na nani atimizae ahadi kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko ndiko kufuzu kukubwa

UKIONA ALLAH ANANUNUA WATU, BASI ELEWA KUWA YESU ANABATIZA KWA MALUNDO.

Hakika hakuna Mbingu wataingia watu walio nunuliwa na Allah.

No comments:

God

  Theology 101 When we attempt to conceive what God is like, we are immediately confronted with the limitation of human imagination, for ou...

TRENDING NOW