Monday, December 22, 2014

Isn’t it time for Muslims to stop blaming the media for “distorting the image of Islam?”


It is Muslims themselves who are showing the world exactly how violent Islam is which is no distortion.

B0Nj2qIAAAzTFa_jpglarge-vi

Unfortunately, the author of the whiny drivel below is Huma Munir, a MUSLIM teacher in the San Antonio school distirct.

American Statesman  This past weekend, the world held its breath as a manMUSLIM who took control of a cafe in Sydney held more than a dozen people hostage for 16 hours.

The incident is deeply concerning not only because innocent lives were put at risk but also because the Islamic affirmation of faith was clearly visible from the window of the Lindt cafe in Martin Place. While Muslims around the world spoke against this atrocity and prayed for victims, they also saw their faith being defamed by a lunatic on live television. (But he wasn’t a lunatic, he was a normal Muslim doing what Muslims do around the world on a regular basis)

56665286_4817289843136831627_n-vi

As the situation unfolded, I felt a familiar feeling of guilt creeping into my heart.(Guilt? HAH! More like “Let me cry that I am the victim of Islamophobia”)

I moved to the United States 13 years ago — three weeks after 9/11 (Timing is everything). Like many Muslims in America and western nations, I have become strangely accustomed to this feeling every time the Islamic State or another terrorist organization rises to power and takes innocent lives in the name of Islam. (Pretty much on a weekly basis)

JE NI UPAGANI KAMA WAISLAMU NA MASHAHIDI WA JEHOVA WANAVYODAI?

FUNDISHO LA UTATU MTAKATIFU: 
JE NI UPAGANI KAMA WAISLAMU NA MASHAHIDI WA JEHOVA WANAVYODAI?
 IS TRINITY PAGANISM?
Utangulizi : Siku zote Mkristo Mwana wa Mungu ,anapomuelezea Mungu katika ukuu na uwezo wake,kwa wale wasioamini hususani Waislam na Mashahidi wa Jehova (Jehova’s Witness), na akamtaja Mungu huyo kuwa ni Mungu katika Utatu Mktakatifu, huzuka malumbano au mabishano kuhusu jambo hilo. Mashahidi wa Yehova husema wale wanaomini katika Utatu Mtakatifu wamefuata imani za kipagani kwa sababu katika Biblia nzima hakuna mahali popote palipoandikwa Utatu Mtakatifu upinzani huo huandikwa mara kwa mara katika vijarida mbali mbali .
Hoja kuu kuwahusu ni kuwa siku zote hawapendi kukupa nafasi uwaelekeze kwa nini unasema hivyo , bali wakati wote hukutaka uoneshe neno “Utatu Mtakatifu “ ndani ya Biblia. Na kwa hakika hupati neno hilo “ Utatu Mtakatifu” ndani ya Biblia .
Swali la ufahamu : Je kukosekana neno UTATU MTAKATIFU ndani ya Biblia kama wanavyodai mashahidi wa Yehova kuna mfanya Mungu asiwe wa Utatu ? Jibu la swali hili ni rahisi sana SI KWELI. Hii ni kwa sababu, kuna maneno ambayo hayapo ndani ya Bblia yakimhusu Mungu, lakini yatumikapo huleta maana nzuri na yenye uhakika kuhusu yeye Mungu .Maneno hayo yanapotamkwa kwa lugha ya kigeni ni Omnipotence yaani Mungu ni mwenye nguvu zisizo shindikana na chochote , Omnipresence yaani Mungu yupo mahali pote kwa wakati wote na Omniscience yaani Mungu anajua yote maneno haya yaani Omnipotence , Omnipresence na Omniscience hayajaandikwa katika Biblia ya lugha ya Kiingereza, lakini yatamkwapo hueleza jambo la maana na lenye umuhimu kumhusu Mungu. Ndivyo ilivyopia kwa neno “Utatu Mtakatifu” yaani Trinity”
Waislam wao hupinga utatu mtakatifu kwa kujaribu kusoma baadhi ya aya zilizomo ndani ya Quran, kitabu kinachoongoza imani yao hasa pale wanaposema katika Suratul Al- Maidah,(meza), 5:73 “Kwa hakika wamekufuru wale waliosema mwenyenzi Mungu ni mmoja katika (wale waungu) watatu (yeye ndiye watatu wao ) hali hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu mmoja ( tu peke yake) na kama hawataacha hayo wasemayo kwa yakini itawakamata wale wanaoendelea na ukafiri miongoni mwao adhabu iumizayo”.
Unaposoma ufafanuzi wa aya hiyo ya 73 iliyomo ndani ya Qurani hiyo hiyo unasema “unatajwa ukafiri wa kinasara (Ukristo) kwa itikadi zao zote tatu kuwa Nabii Issa (a) Mungu au (b) Mtoto wa Mungu au (c) Mmoja katika waungu hao watatu “yeyote katika itikadi hizi ni ukafiri usiokuwa na shaka na jaza yake ni moto tu”
Pengine jambo linalowasumbua waislam ni ukosefu wa ufahamu kuwa siku zote wanapomfikiria Issa kuwa ndiye Yesu wanapotoka sana .Hii ni kwa sababu Issa siye Yesu na tunatambua hayo hasa tunaposoma vitabu vya kiislam vilivyoandikwa na wanazuoni (wasomi ) wakubwa wa kiislam. Kwa mfano katika Qurani ya Tafsiri ya Imam Baidhwaw, juzuu 1 uk 160 ,anasema Issa maana yake ni wekundu unaozidiana na weupe, na wengine husema Issa maana yake ni dume la ngamia .Hoja hizi zinaungwa mkono na hadithi mbalimbali za kiislamu, zinazomzungumzia Issa, hasa ile inayopatikana katika Sahihi Bukhari Juzuu 4 Hadithi 653, na katika Al-lulu wal- Marjan,kitabu cha 3 Hadithi na 1528 uk.883 “Hadithi ya Abu Huraira (r.a) kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema “Issa Ibn Mariam (a,s) alimwona mtu anaiba akamuuliza !umeiba? akasema hapana ,Naapa kwa Allah ambaye hakuna mola isipokuwa yeye .Issa (a.s) akasema nimemuamini Allah na limeniongopea jicho langu”.
Huyu Issa hawezi kuwa ndiye Yesu kwa sababu Yesu anayajua yote hahitaji kuelezwa na mtu .Katika Injili ya Yohana 1:47-48 “ Basi Yesu akamwona Nathanael anakuja kwake, akanena habari zake “Tazama Mwizraeli kweli kweli hamna hila ndani yake. Nathaeli akamwambia umepataje kunitambua? Yesu akajibu akamwambia, Kabla Filipo hajakuita ulipokuwapo chini ya mtini nilikuona”
Hivyo maelezo yaliyomo katika Quran pamoja na vitabu vya hadithi za kiislam yana thibitisha kuwa Issa siyo Yesu kwa sababu jina Yesu ni sawa na jina la kiebrania Yehshua ambalo maana yake Mwokozi Math 1: 21, Lk 2: 10- 11. Pia Yesu aliyajua yote hata yaliyomo katika mioyo ya watu hata bila ya wao kusema Marko 2: 8 , Yoh 1: 48-50 tofauti na Issa ambaye hajui jambo lolote na kwa mujibu wa Quran na hadithi zake Issa atahukumiwa kwenda Jehanamu ya moto (Suratul Anbiyaa, (manabii) 21:98, na 5:116-117). Kwa msaada zaidi wa kujua tofauti ya Issa na Yesu agiza kwetu somo hili tunalo.
Hoja wanazotumia mashahidi wa Yehova kupinga fundisho la utatu.
Math 4: 1 “ Yesu alijaribiwa na Ibilisi”
Yakobo 1: 13 “ Mungu hajaribiwi “
Yoh 8: 40 “ Yesu alisema mimi mtu”
Yoh 17: 3 “ Yesu alisema wakujue wewe mungu wa pekee.
I Tim 2: 5 “ Yesu ni mwanadamu tu ( siyo Mungu)

Sunday, December 14, 2014

RIFQA BARY, who defied her Muslim parents by secretly converting to Christianity as a 17-year-old, still feels her life is in danger


Muslim convert to Christianity, Rifqa Bary, now 22, writes her first book about her secret conversion to Christianity when she was just 17 and running away from her Ohio home to live with a Christian pastor’s family in Florida who took her in after her father threatened to honor-kill her for her apostasy.

Aysha & Mohamed Bary (left) vs Rifqa (right)
Aysha & Mohamed Bary (left) vs Rifqa (right)

Columbus Dispatch  (h/t Reader) A 22-year-old woman has written a book about running away from her central Ohio home as a teenager after converting from Islam to Christianity — a case that gained national attention and pitted Christian fundamentalists against Muslims.

news11

Rifqa Bary’s Hiding in the Light: Why I Risked Everything to Leave Islam and Follow Jesus is scheduled for release on May 5.

rifqa-bary-book

Bary, a native of Sri Lanka, was 17 and living with her family near New Albany when she ran away to Florida in 2009. She claimed that her Muslim father had threatened her for converting, but authorities in Ohio and Florida found no evidence of that.

(Of course not, the Muslim parents denied it, so it was Rifqa’s word against theirs. The “authorities” never bothered to do any research on the punishment required for apostasy in Islam)

6a00d8341c60bf53ef0120a58f01d1970c-500wi

In a news release, publisher WaterBrook Press said Bary is now a college student living in an undisclosed location and still convinced her life is under threat.

“In the Islamic culture, women do not have a voice. My goal in writing is for my pen to be my voice,” Bary said in the release. A publicist said she was unavailable to comment.

ff_gatterdam_FNC_081110_07-57

RELATED STORIES/VIDEOS about the court battle between Rifqa and her parents

UNBELIEVABLE! Leave it to a filthy leftist writer at the UK Guardian to trash one of the biggest charitable Christian organizations in the world


OCC_slider2

The evangelical giftwrapping of “Islamophobia” marches on, by Giles Fraser. “It’s depressing that a decade after I wrote about a Christian charity’s thinly disguised Islamophobia, they’re still at it.”

The Guardian  It’s a simple idea. Find an empty shoe box. Fill it with toys, toothpaste or school crayons. And allow Operation Christmas Child to fly it out to some of the neediest children in the world. It’s the sort of thing that you can do together as a family. And it’s a pretty good way to introduce our children to how fortunate they are in comparison to others – not a bad lesson at Christmas.

graphic

Given this, it is unsurprising that hundreds of UK schools have become involved.  Samaritanspurse – What we do

So far, so good. Except all is not quite what it seems with this charity. Yes, it is open about the fact that it is an evangelical Christian organisation, with a mission to share the love of Jesus with those who do not believe in him. It is slightly shifty about the fact that it distributes evangelical literature along with the boxes – though not actually in them – and that this literature promotes an exclusivist version of Christianity in the form of innocuous-looking comic book with the sinister message slipped in:

?????????????????

“There is only one way to be friends with God.” In many places these boxes are distributed, this is thinly disguised code for: Islam is wrong. (It is!)

operation-christmas-child-2013panel

And here we come to the heart of the purpose of OCC. For, according to the boss and guiding force of OCC, Franklin Graham – son of the evangelist Billy Graham – Islam is not just wrong, it is “a very wicked and evil religion.” (It is!)And by that he does not mean that Islam has been taken over by dangerous radicals, but that Islam itself is intrinsically evil. (It is!)

there-is-no-tolerance-in-islam

He recently told the British journalist Ruth Gledhill that Islam has been the same for 1,500 years. It “has not been hijacked by radicals” but is essentially a “religion of war.” (Right again) But this comes from someone who, when recently asked about Muslim fundamentalism, insisted that they only respond to force… I think there is going to have to be much large US involvement militarily. 

operation_christmas_child_shoe-box-time

This is also a man who thinks the Muslim Brotherhood has infiltrated every level of our government (they have) and that President Obama’s “problem” is that “he was born a Muslim, his father was a Muslim. The seed of Islam is passed through the father”. (He was and it was)

111021-operation-christmas-child

This year 60,000 OCC shoe boxes have been shipped off to Islamic State-displaced children in northern Iraq. It’s an irresistible political move for Graham and his compatriots. “These children will be reminded that there is a God who loves them,” says OCC domestic director Randy Riddle, making a clear contrast to the Muslim God that doesn’t. “That is the point and purpose of Operation Christmas Child, to share the love of Jesus Christ.”

OCCThankYou

A lot of fuss has been made about Muslim charities like Islamic Relief supporting the political agenda of violent religious radicalism, something of which it has been cleared. But we seem unconcerned that many of our schools might be supporting something remarkably similar – in Christian form. More than a decade ago, in this paper, I wrote a column criticizing OCC for “giftwapping Islamophobia”. It is depressing to find that, since then, very little has changed. (No, idiots like you are what is depressing)

CANADA rewrites the book on asylum for refugees from war-torn Syria


Canada will now give first priority to Syrian refugees from ‘religious minorities’…NOT MUSLIMS!

maxresdefault
Refugee advocacy organizations in Canada have been asking the government to take in 10,000 more Syrians over the next two years, and the UN says it is in dire need of assistance as the civil war intensifies. Canada has agreed to open its doors..but with a unique stipulation…ONLY refugees from religious minorities, especially Christians, will be allowed to immigrate. 
Naturally the UN and Muslim advocacy groups have their panties in a bunch over this. The UNHCR’s policy on refugees says a resettlement state determines the “size and composition” of who and how many refugees it accepts, and “therefore has full control with respect to decisions on individual cases.”

Saturday, December 13, 2014

Show me where in the Koran that Allah loves me as the sinner that I am, and I will become a Muslim



"An 11-year old Arab Christian girl was listening to an Islamic scholar preach about Allah. When he was done, the little girl approached him and said this – “show me where in the Koran that Allah loves me as the sinner that I am, and I will become a Muslim.” The dumbstruck man was silent for a long time, and then walked away. He had no answer to give her. Why?

Because the Allah of the Koran does not love the sinner, or the unrighteous, or the lost, or the struggling, or the backslider. Allah of the Koran displays only a highly-qualified, conditional type of “love”, and it is for Muslims only. The Koran clearly teaches that Allah hates non-Muslims

Qur’an 3:31-32—Say [O Muhammad]: If you love Allah, then follow me, Allah will love you and forgive you your faults, and Allah is Forgiving, Merciful. Say: Obey Allah and the Apostle; but if they turn back, then surely Allah does not love the unbelievers.

Qur’an 30:43-45—Then turn thy face straight to the right religion before there come from Allah the day which cannot be averted; on that day they shall become separated. Whoever disbelieves, he shall be responsible for his disbelief, and whoever does good, they prepare (good) for their own souls, that He may reward those who believe and do good out of His grace; surely He does not love the unbelievers.

Je, Yesu alisema kuwa Yeye ni Mungu?




“Wahubiri wa injili” wa Kiislamu huwa wanapinga kuwa Yesu ni Mungu na unapowakatalia wanakwambia, “Lete andiko.” Maandiko yapo mengi sana ndani ya Biblia juu ya ukweli kwamba Yesu ni Mungu. Ni mengi mno!

Ukishawapa andiko, wanabadilika na kusema, “Nataka maneno aliyoongea Yesu mwenyewe.”

Hiki ni kigezo POTOFU na si cha kibiblia hata kidogo. Ukweli ni kwamba, Biblia YOTE ni Neno la Mungu. Haijalishi amezungumza Musa, Isaya, Yohana, Petro au Yesu mwenyewe. Imeandikwa:
Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. (2Petro 1:21).


Hivyo, kudai kwao eti, “Nataka maneno aliyosema Yesu mwenyewe,” ni kigezo batili na kisicho na mantiki hata kidogo.
  

Ufuatao ni ushahidi wa kibiblia kwamba YESU KRISTO  ni Mungu.

Yohana 8:58
Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye IBRAHIMU ASIJAKUWAKO, MIMI NIKO.
NIKO ni jina la Mungu peke yake. Tunakutana na jina hilo pale Musa alipoongea na Mungu na kutumwa kuwakomboa wana wa Israeli kutoka Misri. Imeandikwa:
Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n'nani? Niwaambie nini? Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-14).

Eti Biblia inataja mashehe, kwa hiyo inaunga mkono Uislamu!




Wahubiri wa ‘injili’ wa Kiislamu wanaendelea kuhaha kuhalalisha quran kupitia Biblia. Nasema ‘kuhaha’ kwa sababu hakika kabisa wana juhudi kubwa mno lakini inasikitisha kwa sababu hakuna hata siku moja waliyowahi kusema jambo lenye ukweli kibiblia linalounga mkono quran kama wasemavyo wao – Mungu ni shahidi yangu. Mara waseme Muhammad ametabiriwa kwenye Biblia; mara waseme Yesu aliposema kuwa ataletwa Msaidizi basi alimaanisha Muhammad, n.k. Ni kituko kimoja baada ya kingine. Na wanayemdanganya ni wao wenyewe pamoja na Wakristo wachache wasiojua Biblia.


Kwa msingi huohuo, wanasema eti Biblia imewataja mashehe; na kwa hiyo kwao huo ni ushahidi kuwa uislamu ulikuwapo tangu zamani.

Acha ninukuu hoja ya mmoja wao kama ilivyo, kuhusiana na suala hili, kisha kama kawaida, utaona jinsi hoja hiyo inavyosambaratika mbele za nuru ya Kristo, yaani neno lake.

Mtu huyu anasema:
Swali kwenu nyinyi ambao hamjabahatika kuwa waislam, yaani Wakristo. Kama uislam uliletwa na muhammad s.a.w, vipi masheikh watajwe ndani ya agano la kale?
Ndivyo walivyosimama mikutano miwili yao walioshukuru nyumbani mwa mungu, na mimi, na nusu ya mashehepamoja nami.” (Nehemia 12:40)
Mkristo jiulize mwenyewe hili swali; mashehe ni viongozi wa dini ipi? waislam...!? au wakristo?
Mwisho wa kunukuu.

Hapa huyu ndugu wa Kiislamu anaongea kwa ujasiri kabisa na kwa kituo. Na unaona kabisa kuwa moyoni mwake anawaza, “Hapa leo nimewapata Wakristo. Lazima waone kuwa Uislamu ndiyo dini ya kweli.”

Na hivi ndivyo ilivyo kwa hoja zao ZOTE kuhusiana na Ukristo. NI UONGO; NI UONGO; NI UONGO!! NI UPOTOVU MTUPU!!

Na mimi nilimpatia jibu fupi tu na rahisi. Kwanza nikamwambia acha nikupatie maana ya neno ‘shehe’ kutoka kwenye kamusi ya Kiswahili.



Kama inavyoonekana hapo juu, kuna maana mbili. Na ni wazi kabisa kuwa, kwa ufahamu wa kawaida kabisa, muktadha wa aya hii ya Nehemia haiongelei maana ya kwanza ya neno hili. Kwanza, wakati Nehemia anaandika, Uislamu haukuwapo. Uislamu ni wa juzijuzi tu; miaka 600 baada ya Yesu kuondoka duniani.

Friday, December 12, 2014

Mwanadamu ni Nini Hasa?



Wewe hujawahi kujiona hata siku moja! Biblia inasema kwamba sisi tumeumbwa kwa mfano wa Mungu. Mungu alipopanga kumwumba mwanadamu alisema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu. (Mwa. 1:26).


Biblia pia inasema: BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi(Mwa. 2:7). Na tena: Mungu ni Roho. (John 4:24).

Maandiko haya mawili yanatuonyesha mambo kadhaa kuhusu mwanadamu:
  • Mwanadamu ana sura ya Mungu (yaani anafanana na Mungu).
  • Mwanadamu ni udongo.
  • Mungu ni Roho; si udongo.
  • Pale ninapojitazama, kile ninachoona ni udongo (mwili).
  • Kwa vile Mungu si udongo, basi yule mtu ambaye Mungu alisema ni mfano wake si hiki ninachokiona, yaani udongo.
Mimi halisi lazima nitakuwa roho pia kama alivyo Mungu; si mwili. Kimsingi, baada ya Mungu kuumba, hata maandiko yanasema: akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. (Mwa. 2:7b).

Mimi halisi (ile roho ambayo ndiyo sura ya Mungu) ninaishi ndani ya huu udongo ninaouona.

Kwa vile mimi ni roho, kibiblia mwili wangu unaitwa nyumba ya maskani yetu iliyo ya dunia. (2 Kor. 5:1).

Nitakapotoka nje ya mwili huu ndipo nitakapokuwa katika ngazi ileile sawa na Mungu, malaika na hata mapepo, yaani nitakuwa ni roho kama wao walivyo roho. Hapo ndipo nitakuwa mimi halisi.

Nitakapokuwa nje ya mwili huu, bado nitakuwa ni mtu kamili kabisa, tofauti na watu wengine kama sasa. Hebu tuone anachosema mtume Paulo juu ya kuwa nje ya mwili: Namjua mtu mmoja katika Kristo, yapata sasa miaka kumi na minne, kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua. (2 Kor. 12:2).

Ukisoma aya zilizo kabla na baada ya aya hii, utagundua kuwa Paulo anajiongelea yeye mwenyewe. Sote tunafahamu kuwa mtu hawezi kwenda mbinguni na mwili huu wa udongo. Mungu anasema wazi kwamba: kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi. (Mwa. 3:19).

Tuesday, December 2, 2014

Somo:MAPEPO NI NINI? [SEHEMU YA TANO]


SEHEMU YA TANO

Somo:MAPEPO
Mada Ndogo: Njia 8 za kuyashinda mapepo.

Bwana Yesu asifiwe sana,
Ndugu mpendwa, katika sehemu Nne zilizotangulia,tumejifunza maana,asili/ chanzo cha mapepo na dalili kuu za mtu alievamiwa na mapepo. Natumai umebarikiwa sana. Haleluya! Ndugu mpendwa, napenda kukukaribisha katika mwendelezo wa mafundisho yetu juu ya mapepo,ambapo kwasasa tutaangalia kwa kina mbinu/njia za kumshinda pepo.

Ndugu yangu mpendwa, kanisa la leo, liko katika mapambano makubwa sana. Upinzani mkubwa unatoka kwa ibilisi alie shetani, mwenye sifa kuu ya uharibifu.


Hatahivyo, Mungu ameliweka kanisa kwa wakati huu wa mashambulizi kwaajili ya kuukomboa ulimwengu. Amelifanya kanisa kama asikari wa mwamvuli ambaye hushushwa katikati ya eneo ambalo bado liko mikononi mwa adui, ila ikikusudiwa kupambana na hata kushinda. Kwa mantiki hiyo, si hoja tena juu ya kushinda kwa kanisa, bali daima linashinda na litaendelea kushinda.


Katika mwendelezo wa somo letu, leo tutaziangalia njia/uwezo wa kuyashinda mapepo.


Kwanza; Yesu alitoa mamlaka kwa kanisa juu ya mapepo (Marko 16:17). Uweza huu wa ajabu, Mungu ameutoa kwa watu wote wanaomwamini Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wao (Yohana 17:20-23). Ujue, watu wengine wanateseka kwa kuwa hawajui, yule aliye ndani yao. Biblia inasema, aliyeko ndani ya aliyeokoka ni mkubwa mno, maana yake ni kuwa, anayashinda mapepo. Usikubali kuteswa na mapepo, kemea kwa jina la Yesu, lililo jina kuu kupita majina Yote, nawe utakuwa huru.


Pili; Mapepo huamriwa kwa jina la Yesu tu (Marko 16:17). Jina maagano na ahadi ni jina la Yesu tu. Usitumie jina lingine lolote lililo nje ya jina la Yesu. Ni jina la Yesu pekee huweza kuponya,kuokoa na kuhuisha, hata mapepo yanajua hivyo. Kutumia majina mengine ni sawa na kukosea anwani wakati wa kutuma barua, ni kweli barua itaenda ila usitegemee kupokea majibu uliyotarajia kwa kuwa barua haitaenda kwa mlengwa.


Tatu; Yafukuize kwa kutumia mamlaka uliyonayo kama ilivyoelezwa katika hoja ya kwanza. Usiyabembeleze. Tumia amri. Watu wengine hutumia majadiliano, huyafanyia sherehe, huyafukizia uvumba,udi na hata kuyachezea muziki wa asili. Ndugu yangu, waswahili wanasema” ukifanya urafiki na mkia wa fisi,utakufirisi” usikubali kukaa meza moja na mapepo, shetani habembelezwi, yatimue kwa mamlaka ya Jina la Yesu (Mathayo 12:28,Luka 11:20).


Nne; Usiyaruhusu kujieleza. Mpiganaji mzuri, hamuulizi adui ametoka wapi, yeye hushambulia hata kikosi kizimahukimaliza, kwa kuwa ni jasili na anajiamani, hababaishwi. Usikubalia kuhojiana na pepo, pepo ni waongo, watakudanganya kwa kutoa habari za uongo ili kulibomoa kanisa (mwili wa kristo) ili kuwatenganisha. Wataibua uadui kati yenu. We yaaamuru yaondoke, hata Yesu mwenyewe aliyaamuru tu yakaondoka (Luka 4:41,Marko 1:34).


Tano; Kwa kufunga na kuomba (Marko 9:29). Ndugu yangu mpendwa, kila mara, adui hushinwa kwa sala na kusoma neno. Jaama mamlaka ya mbinguni ili kumshinda ibilisi. Mtu asiye na maombi ni sawa na bunduki isiyo na risasi, na mtu asiyeomba anafanana na mlinzi anaetegea kazi yake, hutoa mwanya kwa mwizi kuvamia na kupora. Usikubali kuwa mlango wa ulegevu, daima jitahidi kuwekeza neno kwa wingi ili ujipatie maarifa zaidi.


Sita; Kuwa na Imani thabiti (Mathayo 17:19-20). Maombi pasipo imani, ni sawa na dhihaka. Ni bora ya majaribio, kuliko kudhihaki. Daima, kuwa jasili na umwamini Mungu na neno lake, ndipo litatimia kwako. Mtu asiyeamini, maombi yake hupeperushwa na mawimbi,hivyo hata majibu ya maombi yake hupeperushwa tu,kwakuwa hayana nguvu yoyote ndani yake.


Saba; Kwa Kumwamini Mungu (Marko 6:5&6), ukimwamini utamtegemea kwa kila jambo(Marko 9:23&24). Ukiwa na imani kwake, utakuwa na ujasili. Mwamini Mungu,ili athibitishe ujasili wako.


Nane; Kwa Muujiza. Mungu, ni Mungu wa maajabu, hufanya mambo yaliyojuu ya fahamu za mwanadamu. Hufanya mambo ya kushangaza, kuweza kufanya miujiza mikubwa mno,amabayo hata uwezo wa wasomi,hufikia kikomo. (Matendo 19:11&12), tunaonao nguo za Paulo zikifanya maajabu, ni muujiza wa nguo kutoa pepo. Ni kwa kuwa kuna upako unaokuwa sambamba na wamchao Bwana. Tegemea Miujiza kama uko kwenye uwepo muda wote. Kumbuka, imani wakati mwingine haionekani (Matendo 16:16-19), hivyo miujiza huithibitisha imani.

Swali la kujiuliza ni je, kila mtu anaweza kumtoa pepo?Jibu ni Hapana, si kila atakaye tumia jina la Yesu anaweza kutoa pepo, tena anaweza hata kujikuta yuko kwenye wakati mgumu zaidi kwa kuwa jina la Yesu lina uwezo wa ajabu, hivyo mtu anapaswa kulitumia kama silaha huku akihakikisha amejilinda vizuri mahali alipo (Matendo 16:13-16), mtu asiyejulikana katika ufalme wa Mungu, anapoliita jina la Yesu, huwa kama mtoto anaemlilia mama asiye wake, hata akimuonea huruma vipi, hawezi kuwa mama yake kabisa. Hii ni kwasababu, hawana utambulisho kwa Yesu, japo wanatumia jina lake(Luka 7:22&23).


Ifahamike kuwa, mtu ambaye hajamwamini Yesu,pengine ni mpagani kabisa, akiombewa, pepo hutii amri ya mwombaji na kuondoka, lakini kwa kuwa anayeombewa hajaamini, yule pepo huweza kurudi na kufanya makao tena ndani yake. Ni sawa na mpiganaji vitani anaevamia, na kupamabana na kuondoka bila kuacha walinzi. Adui, anakuwa na uwezo wa kurudi tena na kujimilikisha na hata akaweka ulinzi wake ulio imara zaidi kuliko ule wa awali (Mathayo 12:44&45).


Ndugu mpendwa, naimani unaendelea kubarikiwa kwa mafundisho yetu. Huu ndiyo utakuwa mwisho wa mada yetu. Usikose mada zijazo. Mungu akubariki. 

BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds

  BREAKING VIDEO: IDF pounding Hezbollah training compounds. The targets included a Radwan Force training facility used for weapons drills ...

TRENDING NOW