Sunday, August 2, 2015

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA NNE)

SABABU 12 ALLAH SIO MUNGU
Leo nitawapa Sababu 12 kwanini allah sio mungu.

1. ALLAH NI MUNGU ASIYE NA JINA KAMILIQr. 17 au surat Bani Israil 110 (Wana wa Israil)
Sema; muombeni (Mwenyenzi Mungu) kwa (jina la) Allah au muombeni (kwa jina la) Rahman. Kwa jina lolote mnalomwita (katika haya itafaa). Kwani ana majina mazuri mazuri………

2. ALLAH NI MUNGU MWENYE MAADUI AMBAO NI WAKRISTO NA WAYAHUDImungu wao ana maadui wake ambao ni wakristo na wayahudi
Qr. 4:51 na 57 (surat Al Maida)
Enyi mlioamini! Msiwafanye mayahudi na wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika hao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

3. ALLAH NA WAISLAM WOTE KUINGIA JEHANNAMWafuasi wote wa Allah wanangojea moto wa jehanam kisha waokolewe waislam baadaye kutoka motoni
Qr. 19:70-72
Tena hakika sisi tunawajuwa vyema Zaidi wanaostahiki kuunguzwa humo Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia.
Hiyo ni hukumu ya Mola wako mlezi ambayo lazima itimizwe. Kisha tutawaokoa wale waliomcha Mungu; na tutawaacha madhalimu humo hali wamepiga magoti motoni.

4. ALLAH ANAINGIA JEHANNAM WAKATI MUNGU WA BIBLIA HATA INGIA JEHANNAMAllah wao ataionja jehanamu pia
Qr. 50 au Surat Qaf 30 (kuapa)
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Imesimuliwa na Anas kuwa: Mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha

5. ALLAH HANA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA WAKATI MUNGU WA BIBLIA ANAPONYA WAGONJWA!!Kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea Muhammad ugonjwa uliosababishwa kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?
Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Gibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..
Cha kushangaza, Allah na Jibril pamoja walishindwa kumponya Muhammad, huu sasa ni Ushahid tosha kuwa Allah hana uwezo wa kuponya bali ndie anaye tupia watu Magonjwa.

6. ALLAH NDIE HUWAPA WATU MAGONJWAKumbukumbu na Bukhari katika al-Adab ul-Mufrad (namba 493), kuthibitishwa halisi na al-Albani
"Usitarajie mazuri, kwa sababu Allah ndiye huwapa magonjwa waumini wake kama kafara (kwa ajili ya dhambi yake) ili kumpumzisha, na kwa Makafiri ni kama ugonjwa ni kama Ngamia aliye fungwa na Bwana wake, humuachia huru pale anapotaka, ni hawezi kuelewa ni kwa nini alikuwa amefungwa, wala kwa nini ni huru. "
Kitu cha kushangaza, hawa Waislam wanakwenda Hospitali kupata matibabu huku wakifahamu kuwa Allah ndie aliye watupia Magonjwa. Huu ni Msiba katikaa Uislam.

7. JAMANI KWANINI TUMFUATE ALLAH ANAYE TOA MAGONJWA?
ALLAH ALIUGUA MACHO:
Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwa ajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu. (Al Milal Wannihal J. 1 uk. 141)
Hapa inaonekana Allah alijisahau na akajitupia Ugonjwa wa Macho, RED EYES. Sasa Mungu gani huyu anaye Umwa kama Viumbe? Hakika Allah si Mungu bali ni kiumbe,
Karibu kwa Yesu aliye hai na Mungu Mkuu,

8. ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO1) Allah anasema: "Popote mutapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.

9. ALLAH ANA-VAA NGUO KAMA VIUMBE
الكبرياء ردائي والعظمة إزاري
Allah ansema katika Hadithi hii Qudsi "Ukuu ndi vazi langu la juu na utukufu ndio vazi langu la chini".
Sasa kama Allah anavaa nguo inamana kuwa Allah ana mwili kama viumbe?
Msiba huu ni mkubwa sana ndugu wasomaji.
Katika Hadithi nyengine Qudsi, Allah anasema: "….Na mja wangu hajikurubishi kwangu kwa kitu nikipendacho zaidi kuliko yale niliomfaradhishia juu yake. Na mja huwa anaendelea kujikurubisha kwangu kwa nawafil (ibada zisizo za lazima) mpaka nampenda: "فإذا أحببته كنت سمعه الذي يسمع به، وبصره الذي يبصر به ويده التي يبطش بها ورجله) (التي يمشي بها" Basi nikimpenda nakuwa (Mimi ndio) sikio lake analosikia kwalo, na jicho lake analoonea na mkono wake anaoshikia na mguu wake anaoendea."
Hapo Allah kesha kiri kuwa yeye ana masikio, mikono na macho.

10. ALLAH ANAKAA KWENYE KITI KAMA VIUMBE
Katika Sura 69:17 Surat al-Haaqqah tunasoma maneno haya:
“Na malaika watakuwa kandoni mwake na malaika wa namna nane watachukua kiti cha enzi cha Mola wako juu ya…”
Tena katika Sura 85:15 Syrat Buruj inamtaja Mungu wa Waislamu aitwaye Allah kuwa yeye ndiye mmiliki wa kiti cha enzi.

Swali ambalo napenda kuwauliza Waislamu wote Allah kumiliki kiti cha enzi. Je, kiti hicho anakifanyia nini? Huenda watu wakanishangaa. Nasema hivyo nikiwa na maana ya je, Allah naye anakaa katika kiti kama wakaavyo wanadamu? Je, ana miguu kama mwanadamu kama anakaa kama mwanadamu katika kiti cha enzi, basi haikosi hana tofauti na mwanadamu.
Angalia katika Sura ya 69: 44-45 Surat Al-haqqah twasoma.
“Na kama (mtume) angelizuia juu yetu baadhi ya maneno tu bila shaka tungalimshika kwa mkono wa kuume”.
Aya hii inaonesha kuwa Allah ana mkono wa kuume. Na kama Allah ana mkono wa kuume atakosaje mkono wa kushoto? Na kama Allah anasema atakosaje mdomo? Basi ondoeni dhana ya kwamba Allah hana mfano.

11. ALLAH ANA MIKONO KAMA VIUMBE

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA TATU)

ALLAH NA WOTE WANAOMWABUDU WATAISHIA JEHANAM
Mwisho wa wanaomwabudu Allah ni wapi? Tunajua kuwa Wakristo tutaishi na Mungu wetu Yehova milele (tazama 1Thesalonike 4:13-17 na Ufunuo 21:3-7) Hivyo Mungu wetu hana mwisho ni wa milele. Lakini tunaposoma Qurani na Hadithi za Muhammad, mtume wa Waislamu tunaona mafundisho haya…
Qr. 51 au Surat Adh-Dhaariyat 56 (sur aya upepo) yasema, Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu

Qr. 6 Surat Al An-Am 128 (Sura ya wanyama)
Na (wakumbushe) siku atakapowakusanya wote (awaambie) "Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu" na marafiki wao katika wanadamu (watawagombania) waseme "mola wetu! Tulinufaishana sisi na wao, na tumefikia muda wetu uliotuwekea" Basi (Mungu) atasema:"moto ndio makazi yenu, mtakaa humo milele.. katika aya hizi tunaona kuwa majini pamoja na watu wote watatupwa motoni. Je Allah naye ni vipi? Tunaposoma kitabu cha hadith za mtume (s.a.w) cha Sahih al-Bukhari Vol: VI Hadithi No: 371.ukurasa wa 353 Kuna maneno haya:

Qr. 50 au Surat Qaf 30 (kuapa)
Siku tutakayoiambia Jahanamu, ‘Je! Umejaa?’ Nayo itasema ‘Je kuna ziada (zaidi? Naije tu!
Imesimuliwa na Anas kuwa: mtume alisema watu watatupwa jahanamu, Naye Allah ataiuliza jahanamu akisema je umejaa nayo jahanamu itasema kwani kuna nyingine zaidi na ije tu? Mpaka Allah atakapo ingiza mguu wake nayo jahanamu itasema inatosha! Inatosha

Hadithi hii ya Anas inasomeka hivi:
Na Allah atasema Je, kuna wa ziada (kuja)? Nayo Jehanam itamuuliza Mwenyezi mola, wakisema je, kuna waziada (kuja)? hadi Mwenyezi Mungu atakapouweka mguu wake ndani ya moto wa jehanam na kisha moto utasema, YATOSHA!

Katika aya hii tunaona Allah mungu wa Waislamu anaiuliza Jehanamu kama imejaa, nayo Jehanamu itamuuliza Allah je, kuna zaidi. Yaani swali hili linaonyesha kuwa Jahanamu ilikuwa bado haijajaa, Maelezo ya Hadithi hii inadhibitisha kuwa Allah ataingiza mguu katika Jahanamu na ndipo Jahanamu itakaposema kuwa inatosha! Inatosha!, yaani imejaa kwa tendo la Allah kuingiza mguu wake humo. Jambo hili ni tofauti kabisa na ilivyo kwa Mungu wetu Yehova., Mungu wetu ameiweka jahanamu maalum kwa ajili ya watu wabaya, na ibilisi, pamoja na malaika zake. Tafadhali soma aya hizi; Mathayo 25:41,46, Ufunuo 20:10, 21:8.

Aya hizi zote zinaonyesha kuwa mwisho wa wabaya, Ibilisi na malaika zake ni katika ziwa la moto. Swali kwako Ndugu mpendwa,

Je, Allah ni nani?Ni matumaini yangu kuwa umeweza kujua kwa undani kupitia Qurani na Biblia na vitabu vya Hadith za mtume wa Waislamu aitwae Muhammad kuwa Allah Sub-Haana Wataala Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Siyo Yehova Mungu tunaye muabudu Wakristo.
Unapoijuwa hii kweli ukiwa Muislamu nakuomba kwa neema yake Kristo Bwana wetu umpokee KRISTO YESU maishani mwako ili uweze kuitoroka ibada ya shetani na kujiokoa nafsi yako na mauti ya milele………
Karibu kwa Yesu Kristo wetu.
Ufunuo 3:30 Yeye anasimama mlangoni kwako anabisha!!! Usichelewe kumfungulia.

ALLAH SIO MUNGU (SEHEMU YA PILI)

JE, MALAIKA MKUU WA YEHOVA NDIO YULE YULE WA ALLAH?
Ikiwa Allah ndiye Yehova, basi ni wazi kuwa malaika mkuu atakuwa mmoja pia. Ikiwa si mmoja hata malaika mkuu watakuwa tofauti.

Tuanze kuangalia Allah anavyosimulia katika Qurani naye anasema hivi
Qr. 81 au surat At-Takwyr 19-21 (Kukunja/jua litakapokunjwa)
Kwa hakika hii (Qurani) ni kauli (aliyokuja nayo) mjumbe mtukufu (Jibrili) Mwenye nguvu, mwenye cheo cha hishima kwa mwenyenzi Mungu. Anayetiiwa huko (mbinguni na malaika wenziwe) kisha muaminifu.
Ufafanuzi wa aya hizi. ulio ndani ya Qurani unaelezea aya hizi 19-21, unafundisha hivi…….
Mjumbe mtukufu na mwenye kutiiwa huko mbinguni ni Jibrili, ambaye ndiye mkubwa wa malaika wote

MALAIKA MKUU WA MUNGU YEHOVA NI HUYU
Yuda 1:9,
Lakini Mikaeli Malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthumbutu kumshitaki kwa kumlaumu bali alisema Bwana na akukemee
hapa tunaona aya zinatufundisha waziwazi kuwa malaika mkubwa wa Mungu aitwae Allah anaitwa Jibril na Malaika mkuu wa Mungu wetu Yehova anaitwa Mikaeli. Swali; Kwa kuwaMalaika hao ni tofauti, je, Allah ndiye Yehova? Kwa kujua zaidi tofauti ya malaika, jipatie nakala ya somo la: Malaika Jibrili na Gabrieli, je ni Malaika mmoja. Somo hilo tunalo, jipatie.

Mwanzo1:26-27
Mungu akasema “Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale samaki wa baharini, ndege wa angani na wanyama, na nchi yote, pia na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba mwanamume na mwanamke aliwaumba. Hapa tunaona Mungu wetu Yehova ameumba mtu kwa mfano wake, lakini Allah anasema hana anayefanana naye hata mmoja……Swali kwako mfuatiliaji:

Je, Allah ndiye Yehova?
Tafadhali usome aya hizi ili kujua zaidi (Mwanzo 5:1-2, 9:6, 1Korintho 11:7, Kolosai 1:15, 3:10, Matendo 17:28-29,Yakobo 3:9).

Pengine waweza kusema Je, Mungu amefanana na mimi kivipi? Jua kwamba Mungu ni Roho (Yohana 4:24) Naye alitupa pumzi (yaani roho ya uhai (Mwanzo 2:7) isitoshe Mungu ndiye Baba wa roho zetu (Waebrania 12:9) Mungu anasema Roho zetu ni mali yake (Ezekieli 18:4, Hesabu 16:22)
Leo tumejifunza kuwa Allah sio Mungu wa Biblia ajulikanaye kwa jina la YEHOVA.

NGUVU YA MSALABA WA YESU KRISTO

Unaweza kujiuliza kwanini ukiweka msalaba wa Yesu kwenye nchi kama Iran, au nchi nyingi za kiarabu utapingwa sana na unaweza hata kuuawa, Hii ni kwasababu msalaba wa Yesu kristo una nguvu.. kuna nguvu ipatikanayo kwenye msalaba inaitwa ¨NGUVU YA MSALABA¨ 1 Wakorintho 1:18 ¨ujumbe wa msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi lakini kwetu sisi tunaoamini ni nguvu ya Mungu¨ kumbe kwenye msalaba wa Yesu Kristo kuna uweza uletao wokovu. Msalaba wa Kristo una nguvu.
Kwanini ujumbe wa msalaba unabeba nguvu?Unaweza kujiuliza ni kwanini, iwe nguvu ya msalaba na isiwe nguvu ya kitu kingine kama jua, mwezi, dunia au nabii?

MANENO 7 ALIYOYASEMA YESU KABLA YA KUFA..
i.) Mathayo 27:46, Kwa wakati ule alibeba dhambi zetu zote. Na ndio maana Mungu akamwacha pale msalabani tunajua kuwa Mungu alimwacha kwa maneno ambayo Yesu alitamka akisema ´´ baba mbona umeniacha´´ baada ya Yesu kubeba dhambi za ulimwengu, Mungu akamwacha na Yesu akasurubishwa kwa dhambi ambazo hakutenda bali alitenda.. Yesu alisulubiwa kwa makosa YETU..
ii.) Luka 23: 34 -Katikati ya maumivu Yesu alisamehe.. watu wa dunia wanaweza kukwambia nimekusamehe lakini sitasahau lakini Yesu akiwa msalabani na katikati ya maumivu makuu ya msalaba akasema ´´baba wasamehe maana hawajui walitendalo´´ ZABURI 103:3 Nguvu ya msalaba unatupa nguvu ya kusamehe, kuna watu wengi wapo kwenye matatizo kwasababu ya kuto kusamehe.. ni kanuni ya Mungu kusamehe na kuponya . tunajifunza hili kwa wale waliomleta mtu kwa Yesu , mgonjwa akiwa kwenye godolo.. na Yesu kabla ya kumponya alimtangazia msamaha wa dhambi kwanza na baada ya hapo akamponya.. Kumbe msalaba unatuwezesha kusamehewa..
iii.) Luka 23:42-43 - ¨..Leo utakuwa pamoja nami peponi ..¨ hili ni neno ambalo Yesu alimwambia mmoja kati ya wale wanyang´anyi, akimwambia kuwa tutakuwa wote peponi, Yesu alisurubiwa pamoja na wanang´anyi.. kumbe usitishe na mtu anaye vaa msalaba akasema ni mtu wa Mungu, kwasababu wengine wanaweza kuvaa msalaba wa wanyang´anyi.. na kwa andiko hili tunajifunza kuwa nguvu ya msalaba inatupa nguvu ya kukumbukwa kwenye Ufalme wa Yesu.. kumbe msalaba unatupa nguvu ya kukumbukwa .. Mungu anakumbuka maombi yako, kazi yako, maisha yako na hata taifa lako.. Mtu yeyote awezi kukuhakikishia kwenda na kuuona ufalme wa Yesu isipokuwa msalaba wa Yesu ndio unaotupa uwakika wa kuuona Ufalme wa Mungu ´´hakuna jina jingine duniani, litupasalo kuokolewa kwalo isipokuwa jina la Yesu..
iv.)Luka 23:46, Kwa mtu yeyote aliyeokoka ,amekabidhiwa kwenye mikono ya Yesu kristo.. na hutakufa mpaka siku ya Bwana , kwasababu roho yako imekabidhiwa kwenye mikono ya Yesu Kristo.. huu ni ulinzi ambao kila mtu aliyeokoka anakuwa nao.. tupo mikononi mwa Mungu na hakuna mtu awezaye kututoa kutoka katika mikono ya Yesu Kristo..
v.) Yohana 19:29 Yesu akiwa msalabani , alikuwa anajali mahusiano.. hii inaonyesha kuwa msalaba wa Yesu unatupa usalama ndani ya mahusiano na wazazi na watu wengine.. Msalaba wa Yesu unatupa mahusihano bora . ukimwomba Mungu akupe nguvu ya mahusiano.. Kumbe msalaba ulileta Nguvu ya upatanisho.. Nguvu ya msalaba inaleta watu pamoja , watumishi wa Mungu pamoja, familia pamoja.. ujumbe wa msalaba ni upuuzi kwao wasioamini lakini kwetu sisi ni NGUVU YA UPATANISHO.
vi.) Yohana 19:28 ¨..ninasikia kiu..¨ hapa Yesu alikuwa amekaa msalabani kwa muda , na alisikia kiu.. kwa kuwa hakuwa amekunywa maji.. kumbe msalaba wa Yesu unakupa kiu ya kumtafuta Mungu, kiu ya kuomba, kiu ya kuponya na kuokoa na rahisi kusikia watu wakisema nyinyi watu wa ufufuo na uzima kwanini kila kitu mnataka mtende nyinyi.. ni muhimu kujua kuwa msalaba wa kristo unatupa kiu ya kutenda na kuthibitisha nguvu ya Mungu.. na inawezeka ulipokuwa umeokoka ulipata hamu sana ya kuomba na kumtafuta Mungu..lakini baada ya muda ile kiu imepotea basi kama unatatizo hilo ni wakati wa kwenda mbele ya msalaba wa Yesu kristo.. na kuomba KIU ya kumtafuta Mungu na Mungu atakupa.. unaweza kuniuliza mimi( Mch. Gwajima) kiu yako ni nini? Mi nitakwambia kiu yangu ni kuona watu milioni moja wanakuja ndani ya ufufuo na uzima Dar es salaam.. nah ii ni kiu nilionayo… kuwa dunia iokolewe na waarabu waokolewe.. ninaona njia kuu ya udhihirisho wa nguvu ya Mungu itakayo tikisa mataifa kutoka katika msalaba wa Yesu.. Nguvu ya msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi lakini kwetu sisi ni KIU YA KUMTAFUTA MUNGU.
vii.) Yohana 19:30 ´´.. Yesu alipopokea kile kinywaji akasema IMEKWISHA´´ Kimsingi hakuna aliyemuua Yesu bali aliutoa uhai wake , ili aupokee tena.. na kimsingi Yesu alitenda mambo makubwa ya ufalme wa Mungu, na kwasababu hiyo shetani akakusanya watawala na watu wamuue Yesu na alipokuwa msalabani na kupiga kelele kusema imekwisha.. shetani akafikiri kuwa amemuangamiza na inawezekana kabisa kule kuzimu mashetani walianza kushangilia na inawezekana hata wachawi wa kipindi kile walienda kwenye sherehe .. lakini katikati ya sherehe yao. na Yesu akiwa nanig´inia msalabani Yesu akasema IMEKWISHA..
Baada ya Yesu kusema kuwa IMEKWISHA.. BIBLIA inasema
I. Dunia ikatikisika,.. kumbe Nguvu ya msalaba inaweza kutikisa dunia,
II. Makaburi yakafunguka, miili mingi ya watakatifu wengi ikafufuka. Kumbe Nguvu ya msalaba yaweza kurudisha. Na ndio maana mimi nashangaa watu wanaokataa kuwa wafu hawafufuki..najiuliza ni msalaba gani wanao uhubiri.. labda ni misalaba ya wale wanyang´anyi ..
III. Miamba ikavunjika kumbe msalaba wa Yesu unaweza kuvunja miamba.
IV. Jua likatiwa giza
V. Pazia la hekalu likapasuka.

KWELI KADHAA KUHUSU NGUVU YA MSALABA..
Kipindi cha zamani kulikuwa na aina za usulubishaji.. aina ya kwanza ni ya mti mmoja kama namba moja, ya pili ilikuwa alama ya kuzidisha yaani ´X´ , tatu ni wa alama ya T, na alama ya kujumlisha nah ii inamaanisha msalaba wa Yesu unatupa kujumlisha , kuongezeka, na kukua.. sisi tumesulubishwa pamoja na kristo
Yesu alisurubishwa kwenye mlima, na mahali pale kila mtu aliweza kumuona ,, watu kutoka kila mahali walimuona.. kumbe Yesu alisurubiwa mlimani ili kila mtu aone nakama Yesu alivyoinuliwa mlimani ili kila mtu amuone..´´kama vile Musa alivyomuinua nyoka jangwani mwana wa adamu naye aliinuliwa..
Na unagundua watu walimuona Yesu akisurubiwa mbele ya watu, njiani, mlimani na alipo taka kupaa akaenda mlimani pia..ili watu wote wamuone,, kumbe kama ulikuwa chini na watu walikuona chini Msalaba wa Yesu utakuinua mbele ya watu wote walikuona ukiahibika..
Yesu akashuka kuzimu katika zile siku tatu alipokuwa amekufa, akamnyang´anya funguo za mamlaka.. na hapo akamkanyaga kichwa shetani .. kutimiza andiko ´´uzao wa mwanamke utamkanyaga nyoka kichwa´´
Source: King James Virsion, J,J Gwajima, Christ Nation, and Max Shimba Ministries Org.
Mungu awabariki sana.
Max Shimba Ministries Org

MAMILIONI YA WAISLAM AFRIKA WANAMKIMBILIA YESU KRISTO ISIVYO KAWAIDA

“Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika 
ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa
yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja”
(Mathayo 24:14).
Ukisoma kurasa mbalimbali za kwenye mtandao juu ya kukua kwa dini ya Kiislamu, utakuta wengi wanasema kwamba Uislamu ni dini inayokua kwa kasi sana. Je, hilo ni kweli? Ni jambo gani linaloonyesha ukweli wa hoja hiyo?
Lakini tunao ushahidi wa Neno la Kristo kwamba siku za mwisho (yaani hizi tulizo nao), Injili itahubiriwa ulimwenguni kote. Pia, Mungu Yehova anaahidi kuwa hizi ni siku za kumwaga Roho wake kwa wanadamu wote. Hakika hizi ni nyakati za Injili ya Yesu Kristo kusonga mbele na kushinda na kubomoa kila upinzani na ukuta uliojengwa na adui ili kuwazuia wanadamu kumjua Mungu wa kweli na Mwokozi pekee, Yesu Kristo.
Uzuri ni kwamba, hili si jambo la mwanadamu. Hii ni kazi ya Mungu, Muumba mbingu na nchi Yeye mwenyewe. Ukristo si kama dini zingine ambazo zinajipigania zenyewe. Ukristo ni kazi ya Kristo mwenyewe! Kuipinga kazi hii ni kupingana naye. Na kuikataa kazi hii ni kumkataa Yeye mwenyewe. Mamilioni ya Waislamu wametambua sasa ni wapi uzima uliko.
Je, ndugu msomaji, umeshaingia kwenye safina ambayo ni Yesu Kristo? Usikubali kuachwa nje ya safina. Hakuna wokovu kwa mwingine awaye yote ila kwa Yesu Kristo peke yake!
Suala si dini. Suala ni maisha ya amani na furaha na mafanikio hapa duniani na kisha uzima wa milele mbinguni baada ya maisha haya. Dini hazitusaidii lolote kamwe – iwe ni Ukristo au dini nyingine!
Kama ingekuwa ni kuhesabu mafanikio ya dini katika historia nzima ya mwanadamu, basi dini zimefanikiwa sana kuleta mafarakano, chuki na uhasama baina ya wanadamu. Hakika hicho ndicho ambacho dini zimefanikiwa kufanya! Lakini Yesu – ah Yesu! Bwana wa amani! Bwana wa upendo! Bwana wa uzima na uzima tele! Yeye ni njia, ni kweli, ni uzima! Dini bila Yesu ni kupoteza kila kitu …!
Yafuatayo ni mahojiano kati ya mtangazaji Maher Abdallah wa kituo cha Al-Jazeera na Sheikh Ahmad Al Katani kuhusiana na suala la Waislamu milioni 6 kuingia kwenye Ukristo kila mwaka.
****************
Mtangazaji Maher:
Idadi ya Waislamu hivi sasa haizidi theluthi ya watu wa bara lote la Afrika. Hii inatilia maanani pia ukweli kwamba, sehemu kubwa ya Waislamu katika Afrika ni Waislamu wa Kiarabu. (Yaani ambao wanapatikana kaskazini mwa Afrika).
Ni wazi kuwa suala la uinjilisti na kuwageuza watu kuwa Wakristo kunakofanywa na Wakristo vimesaidia katika kugeuza hali hii ya mambo katika bara hili.
Katika kujadili mada hii, ninayo furaha kumkaribisha mtu ambaye ni mtaalamu wa suala hili la uinjilisti na kuwageuza watu kuwa Wakristo katika Afrika. Atalenga kwanza kuzungumzia zaidi suala la kuenea kwa Ukristo. Shekhe Ahmad Al Katani, rais wa Companions Lighthouse for Science in Libya, ambayo ni taasisi iliyojikita kwenye kusomesha maimamu na wahubiri wa Kiislamu.
Shekhe Ahmad:

YESU KRISTO NI NJIA YA PEKEE YA KUONDOA DHAMBI

Alikufa kwa ajili yetu ili tujue upendo na mpango wa Mungu kwa maisha yetu.
ALIKUFA ILI ATULETE KWA MUNGU
Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu.1 Petro 3:18
YESU YU HAI
Kristo alikufa kwa ojili ya dhambi zetu, kama yanenavyo maandiko; na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alitufuka siku ya tatu, kama yanenavyojil maandiko.1 Wakorintho 15:3,4
YESU NDIYE NJIA YA PEKEE
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.Yohana 14:6
Mwanadamu peke yake hawezi kushirikiana na Mungu. Mungu alimtuma Yesu afe msalabani kwa ajili ya dhambi zetu na tena awe daraja kati yetu na Mungu ili atulete kwa Mungu.
UNAWEZA KUMPOKEA KRISTO SASA
Mungu anaufahamu moyo wako. Yafuatayo katika sala hii yanaweza kukusaidia kumpokea Kristo ukiomba kwa moyo wa kweli.
Bwana Yesu Kristo, ninakuhitaji, mimi ni mwenye dhambi. Nimekubali kwamba nimejitawala maisha yangu mwenyewe, na kutengana nawe. Asante kwa kifo chako msalabani kwa ajili ya dhambi zangu na kwa kunisamehe zote. Sasa nageuka na kutubu. Bwana, nakuomba uingie ndani ya maisha yangu na kunitawala kabisa. Badili maisha yangu yawe kama upendavyo wewe. Amin.
Je, sala hii ni sawa na haja ya moyo wako?
Kama sala hii ni sawa na haja ya moyo wako, basi omba sasa na umkaribishe Kristo aingie maishani mwako.

Friday, July 31, 2015

YESU NI MUNGU

(Sehemu ya Nne)
“Marafiki na maadui wa Yesu waligawanyika tena na tena na kile alichosema na alichofanya [Yesu]. Alikuwa alitembea barabarani, dhahiri kama mtu yeyote, kisha akageuka na kusema kitu fulani mfano ‘Kabla ya Abraham kuwako, nipo.’ Au iIkiwa umeniona, basi umemuona baba. Kisha kwa utulivu baada ya kulaumiwa kukufuru, alisema, ‘Mwana wa Adamu ana mamlaka duniani kusamehe dhambi’ Kwa wafu, alisema ‘Njoo mbele’, au, ‘Inuka’ na walitii. Kwa tufani baharini aliweza kusema ‘Tulia’ na kwa kipande cha mkate, alisema ‘Kuwa vipande elfu moja’ na vilifanyika mara moja.”

Baadhi ya watu wanadai hakuwai waziwazi kusema “Mimi ni Mungu”. Je, ni kweli kwamba hakuwai kunena maneno hayo? “Mimi ni Mungu”. Vilevile, Yesu hakuwai waziwazi kusema “Mimi ni binadamu” au “Mimi ni Nabii” Na Yesu alikuwa binadamu bila shaka, na wafuasi wake walimchukulia kama nabii kama Musa na Eliya. Kwa hiyo hatuwezi kuamua kwamba Yesu kuwa mtakatifu ni kwa sababu hakusema maneno hayo, kama ambavyo hatuwezi kusema hakuwa Nabii.

“Wahubiri wa injili” wa Kiislamu huwa wanapinga kuwa Yesu ni Mungu na unapowakatalia wanakwambia, “Lete andiko.” Maandiko yapo mengi sana ndani ya Biblia juu ya ukweli kwamba Yesu ni Mungu. Ni mengi mno!
Ukishawapa andiko, wanabadilika na kusema, “Nataka maneno aliyoongea Yesu mwenyewe.”

Hiki ni kigezo POTOFU na si cha kibiblia hata kidogo. Ukweli ni kwamba, Biblia YOTE ni Neno la Mungu. Haijalishi amezungumza Musa, Isaya, Yohana, Petro au Yesu mwenyewe. Imeandikwa:

Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu. (2Petro 1:21).

Hivyo, kudai kwao eti, “Nataka maneno aliyosema Yesu mwenyewe,” ni kigezo batili na kisicho na mantiki hata kidogo.

Ufuatao ni ushahidi wa kibiblia kwamba YESU KRISTO ni Mungu.
Yohana 8:58
Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye IBRAHIMU ASIJAKUWAKO, MIMI NIKO.

NIKO ni jina la Mungu peke yake. Tunakutana na jina hilo pale Musa alipoongea na Mungu na kutumwa kuwakomboa wana wa Israeli kutoka Misri. Imeandikwa:

Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n'nani? Niwaambie nini? Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO (Kutoka 3:13-14).

Mwanadamu yuko kwa sababu Mungu alisababisha awepo. Gari liko kwa sababu injinia au mbunifu alisababisha liwepo. Nyumba ipo kwa sababu fundi alisababisha iwepo. Lakini Mungu YEYE YUKO TU!! Hayupo kwa kusababishwa na yeyote! Ndiyo maana akasema MIMI NIKO AMBAYE NIKO! Yesu ni NIKO. Kwa hiyo, Yeye ni Mungu.

Yohana 10:30
Mimi na Baba tu umoja.

Waislamu wana msemo wao kwamba eti, Yesu na Mungu ni wamoja katika malengo, si katika asili yao. Basi huwa nawauliza swali kuhusu aya ifuatayo ya Isaya, nao wanazimika na kukosa jibu:

Thursday, July 30, 2015

UONGO WA DINI YA KIISLAM



Tunaamini unapofuata kwa makini mada hii utatii neno la Mungu wa kweli, kuliishi, na kulitenda.
Mkristo wa kweli hatorudi katika ubishi wa ki dini pamoja na wapagani ambao ni miongoni mwa Anti-Kristo waitwao waislamu.
Huu ni utafiti wa ki maandiko tulioufanya tukilinganisha ujumbe wa Qur’an Tukufu pamoja na Biblia Takatifu pamoja na kwamba mimi nimeishi msikitini nikajaliwa neema kuujuwa ukweli. Karibu na twakutakieni usomaji mwema.
MWANZONI KABISA
Tunakusalimu tena katika jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo,
Ni kwa mara ingine Mungu wetu ambaye jina lake ni YEHOVA ametupa neema yake ili tuweze kuchangia pamoja haya maneno ya uzima yaani ‘UKWELI WA NENO LA MUNGU, BIBLIA’
Kwanza kabisa nataka niendelee kukujulisha kama hii wavuti yetu siyo ya kidini bali ni kwa ajili ya kuipiga tarumbeta ili wana wa Mungu wa pekee na wa kweli waweze kuikimbilia kwa mbali ibada kinyume na mapenzi ya Mungu!
Hatujali wewe wa ni dini gani? taifagani? au lugha gani? sisi tunachokifanya ni kujaribu kuyachnguza maandiko matakatifu pamoja na kugundua ukweli wake!
Bwana Mungu akubariki unapokuwa sehemu ya kuitafuta kweli.
JE, SISI NA WAISLAM TWAENDA NJIA MOJA?

Amosi 3:3
‘Je, Watu wawili waweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?’
Yaani hata mtoto wa miaka mitano atakuletea jibu lisemalo APANA!!!

Sababu No.1
WAO NI DINI ILA SISI NI KANISA
Qr. 5 au surat Al Maida 2-3,

Enyi mlioamini! Msivunje hishima ya alama ya dini ya Mwenyezi Mungu wala mwezi mtakatifu, wala wanyama wanaopelekwa Makka kuchinjwa, wala vigwe vyao, wala wanaoelekea kwendea Nyumba Takatifu, wakitafuta fadhila na radhi za Mola wao mlezi. Namkishatoka Hija yenu basi windeni. Wala kuwachukia watu kwa kuwa walikuzuilieni kufika Msikiti mtakatifu kusikupelekeeni kuwafanyia uadui. Na saidianeni katika wema na uchamngu. Wala msisaidiane katika dhambi na uadui. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni mkali wa kuadhibu.
Mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na myama aliyechinjwa si kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliyekufa kwa kunyongeka koo, na aliyekufa kwa kupigwa, na aliyekufa kwa kuanguka, na aliyekufa kwa kupigwa pembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. Na pia ni haramu kula nyama aliyechinjiwa sanamu. Na ni haramu kupiga ramli. Hayo yote ni upotovu.
Leo waliokufuru wamekata tamaa na DINI yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni msamehevu na Mwenye kurehemu.
Qr. 4 Au surat An Nisaai 171,

Enyi watu wa kitabu! Msipite kiasi katika DINI yenu, wala msiseme Mwenyezi Mungu ila kwa lililo kweli…..
Biblia inasemaje?
Mathayo 16:16, 18,

Simoni Petro akasema akajibu akasema, Wewe ndiwe KRISTO, Mwana wa Mungu aliye hai.
Nami nakwambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Matendo ya mitume 2:41, 47,

Naowaliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapata elfu tatu.Wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha KANISA kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.
1Wakorintho 3:23, Nanyi ni WAKRISTO, na Kristo ni wa Mungu
Matendo ya itume 11:26Hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa WAKRISTO kwanza hapo Antiokia.

               Sababu NO.2      MUNGU MMOJA

Ukitazama kwa haraka haraka namna wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu wanavyolinganisha aya za Qurani na Biblia unaweza ukashawishika kuamini hicho wanachokifundisha, lakini ni vyema tukajifundisha kwa undani kadiri ya Qurani na Biblia na kisha tuone kama kuna ukweli juu ya hayo mafundisho yao, ya kusema Allah Sub-hana Wataala ndiye Yehova.tukumbuke kuwa Mungu tunayeabudu alitutahadhalisha sana Wakristo kwa kusema hivi.

Kutoka 20:1-3
Mungu akanena maneno haya yote akasema Mimi ni BWANA Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa usiwe na Miungu mingine ila mimi.
Tahadhari hii Ya Mungu wetu ya kusema usiwe na Miungu inamaanisha kuwa Miungu mingine yenye kuabundiwa na watu ipo. Kwa sababu katika Biblia neno Mungu Kiebrania“Elohim” Kiyunani "Theos" limetanjwa mara 3979 lakini pia miungu ya uongo imetanjwa mara 271. Baadhi ya miungu hiyo ya uongo ni hii:
mungu Dargoni  Waamuzi16:23
mungu Baal  Wafalme 18:21
mungu mke wa Waefeso aitwae Artemi  Matendo 19:24-28.
Aidha tusomapo Qurani pia imetaja miungu mbalimbali iliyokuwa inaabundiwa kule Makka nayo ni hii;
Qurani 53:19-20,23 Suratul An- Najm (Nyota).
Je, mumewaona Lata na Uzza? Na Manata (mungu wenu) mwingine wa tatu (kuwa ndio waungu hao badala ya mwenyenzi mungu)? ayakuwa haya (majina ya Lata mungu mwanamke na Uzza mungu mwanamke mwenye enzi. Na Manata mungu mwanamke anayeneemesha ila ni majina tu mliowapa nyinyi na baba zenu…..
Hivyo basi tunaona kuwa miungu yenyewe kuabudiwa ni mingi na kila mwenye kuabudu humtegemea huyo mungu wake na kusema ni mmoja. Mfano waliyemuabudu Dagoni walisema ni mungu mmoja, waliyemwabudu Baali walisema ni mungu mmoja, waliyemwabudu Artemi walisema Artemi ndiye mungu mkuu. Kadharika Manabii.walimtumikia Mungu mmoja aitwaye Yehova, naye Muhammad alimwabudu mungu mmoja aitwaye Allah. Ninachotaka kukifundisha kwa jamii ijue je, huyo Allah ndiye Yehova?,

Nabii Musa alivyosema:
Kumbukumbu la Torati 6:4
Sikiza ee Israeli; BWANA Mungu wetu BWANA ndiye mmoja.
Nabii Isaya alisema hivi
Isaya 45:18, 21,
Maana BWANA, aliyeumba mbingu, asema hivi, yeye ni Mungu,ndiye aliyeumba Dunia na kuifanya ….. si mimi BWANA? Wala hapana Mungu zaidi ya mimi. Mungu mwenye haki, mwokozi hapana mwingine zaidi ya mimi.
Nabii Daudi Alisema:
Zaburi 86:10Kwa kuwa ndiwe uliye mkuu, wewe ndiwe mfanya miujiza, ndiwe Mungu peke yako.
Yesu alisema hivi:
Yohana 17:3, Na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliye mtuma
Paulo naye Alisema hivi
1 Wakorintho 8:4
Basi kwa habari ya kuvila vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu; twajua ya kuwa sanamu si kitu katika ulimwengu, na yakuwa hakuna Mungu ila mmoja tu
.
Sababu NO.3
ALLAH WAO SIYE YEHOVA MUNGU

NANI KAMPA UTUME NA UNABII MTUME MUHAMMAD?


           


Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu.

Twazidi pia kukushukuru kwa ajili yakuyafuata mafundisho haya ya Biblia Takatifu.

Twaamini mada ile ile lakini ya tatu kuhusu imani ya kiislamu itakusaidia ukiwa mkristo wa kweli kutoishiriki mihadhara ya ubishi kati ya waislamu na wakristo.
Sababu ya pili, ni kwako ndugu na dada ambaye ungali bado katika upotevu wauislamu bila yako kujuwa ukweli kwa wazi.

Katika zile sababu zaidi ya 25 zinazotudhihirishia uongo na upotevu wa dini ya uislamu tumetamani kuchimbua «Utume na unabii wa nabii Muhammad s.a.w» 

Tunazo sababu zaidi ya mia (100) kuwauliza waislamu na kitabu chao qura'n swali tulilolitaja hapo juu na maswali mengine kuhusu UISLAMU na Qura'n! na moja ya hayo maswali ni sababu kitabu chao yaani Qur’ani kinatutaka sisi wakristo kusilimu, lakini kabla tusilimu nakuingia dini ya uislamu ni sherti tumjuwe vyema vilivyo huyu nabii sababu Yesu Kristo anatuonya kwamba manabii wengi wa uongo watatokea na kuwadanganya wengi yamkini hata wachaguliwa wa Mungu. Mathayo 7 :15-20. Kwa hivi ni sherti Muhammad atumbukizwe ndani ya Biblia iliyokitangulia kitabu alichopewa ijapokuwa baadaye tutajuwa alikipewa na nani ? na akizama ndani ya Biblia hatuna budi kumfwata na kumtumikia Allah subhanahu wa tahalah! Lakini ikimtema kando huyo si nabii na mtume wa Yehova Mungu.

Kama mimi mwenyewe Fred Nguli MWAMBA niliyewahi kunaswa nakujikuta katika wavu wa hiyo imani nilizidi kujiswali maswali mengi huku nikifanya uchumguzi kwakulinganisha maandiko ya kiislamu na yale ya kikristo lakini nisiupate ukweli huko na neema yake Kristo Yesu ikanirudisha kwa mara ingine katika imani ya kweli katika yeye Kristo Yesu na ukristo wake.

Ukweli ambao hatuwezi kuupinga ni kwamba Biblia Takatifu ambayo waislamu pia huitumia kwakuichezea-chezea na isitoshe pia kwakuitumia kuwapiga wakristo waliopofushwa wakidhani kwamba waislamu wanaiamini, hiyo Biblia imekuwapo duniani zaidi ya miaka 2000 kabla ya Qur’ani tukufu kuwepo.
Biblia Takatifu inasema hivi:
Kutoaka 20:1-3
«Mungu akanena maneno haya yote akasema,  Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa. Usiwe na miungu mingine ila mimi
Hapa Mungu alitutahazarisha mapema kumpitia mtumishi wake nabii Musa ya kwamba tuepuke kuwa na miungu mingine ila yeye pekee ambaye jina lake ni Yehova!
Haya maneno sawa na Mathayo 7:15-20 Mungu aliyasema kabla ya Muhammad kuwepo, kabla ya Qur’ani kuwepo na kabla kuwepo kwa wanaume 4 walioiandika Qur’ani tukufu ambao ni:Seidinah Umar, Osman, Abubakar na Ali.

Inamaanisha nini?
Ni kwamba kama Mungu mwenyezi anavyokuwa na watumishi kama vile mitume na manabii, vilevile miungu nayo yaweza kuwa namitume na manabii wake.
Kwa mujibu wa Mathayo 7:15-20, Yesu Kristo anatupatia alama yakuwatambuwa manabii wa uongo akisema katika mstari wa 16 hivi « Mtawatambua kwa matunda yao » 
Basi natujaribu kuliangalia andiko lingine jinsi gani twaweza kuwatambua,
1Yohana 4:1-3, 15
«Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. 
Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. 
Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.»

15 «Kila akiriye ya kuwa Yesu ni mwana wa Mungu, Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya Mungu
Hiki ni kipimo tunachokitumia kuwapima mitume na manabii! 
Mathayo 7:15-20
Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.

Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?
Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazurina mti mwovu huzaa matunda mabaya.
Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri.
Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni.
Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.»

Hebu niseme hivi kulingana na tahazari ambayo Mungu ametupatia katika maandiko hayo mawili hapo juu:

‘Muhammad namlinganisha na mti, sasa matunda yake yakiwa mazuri sina ubishi nitamfuata, lakini yakiwa ni matunda kinyume na hayo nitamhesabu kama nabi iwa uongo’.

Je, katika Qurani Allah wa waislamu na Muhammad anasemaje?

Qr. 112 au surat Al-Ikhlas’
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.

Qr. 19 au surat Maryam 35
Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanau, Yeye ametakasika! Anapolihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa.
Huyu ni mungu tofauti na Mungu wa mbinguni ambaye jina lake ni Yehova! na tukilinganisha na yale maandiko ya Mathayo na waraka wa kwanza wa Yohana ukweli uko wazi kama huyu hatokani na Mungu na kwamba huyu ni Anti-Kristo! Kwani Biblia inasemaje ?
1Yohane 2:22-26,
Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana. Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia. Ninyi basi, hilo mlilolisikia tangu mwanzo na likae ndani yenu. Ikiwa hilo mlilolisikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya Mwana, na ndani ya Baba.
Na hii ndiyo ahadi aliyoyuahidia, yaani, uzima wa milele.
Nimewaandikia haya katika habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.
Wakolosai 1:13-15,
Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi; Naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
Yohane 3:16-17,
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminie asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Kwa maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.

Kwahivi sisi wakristo tunazo sababu zaidi ya 100 kwanini hatumtambui mtume Muhammad, dini yake na mungu wake ambazo Mungu akituwezesha tutaziweka wazi moja kwa moja.

Ila hatuwezi kutosema hii moja ambayo ni hii:

Katika kitabu cha Qura’n tukufu kuanza na surat Al-Faatihah hadi surat Al-Nasmaandishi yake yanampinga Yehova Mungu wa israel.

CHIMBUKO NA UKOO WA UTUME NA UNABII WA MUHAMMAD

Kwanza kabisa, sote twajuwa kama kila mtoto huenda na kabila, lugha na mil aya babaake ila si ya mamaake. Hilo halina shaka hata kidogo!
Ibrahimu babaake Isaka na Ismail kabla aitwe na Mungu alikuwa ni mwarabu wa ki kurdi na baadaye Mungu aliyeviumba vyote akambadilisha na uzao wake wote baadaye ukawa ni waebrania.

Mwanzo 12:1-3
«Bwana akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa

Lakini Muhammad, Qur’ani na wafuasi wake huzidi kuhakikisha kuwa Muhammad ni wa ukoo wa Ibrahimu wakati Ibrahimu si mwarabu tena!

Katika kitabu cha «maisha ya mtume Muhammad sw», twahakikishiwa kwamba Muhammad ni mwarabu wa kabila la Makureshi. 

                   KUPEWA UTUME

TRENDING NOW