Friday, May 6, 2016

MUHAMMAD AKIRI KUWA ALLAH NI MUNGU WA KIPAGANI




Je, Allah ametajwa kwenye Taurat, Zaburi au Injili?
Je, Wakristo na Waislam, wanaabudu Mungu mmoja?
Je, Allah ni Mungu wa Kipagani?
Ndugu wasomaji, kwa mara nyingine tena, Nabii wa Allah amekiri kuwa Wakristo na Waislam hawaabudu Mungu mmoja na Allah ni mungu wa Kipagani.
Katika hiki kijarida tunaangalia ushahidi mbalimbali kuwa, Allah sio Mungu wa Adam, Musa na Mitume wote walio tajwa kwenye Biblia Takatifu.http://www.biblebelievers.org.au/moongod.htm
Kutokana na Surat Al Kafirun iliyoteremka Makka, Nabii Muhammad anakiri kwa mdomo wake kuwa Wakristo na Wayahudi hawaabudu Mungu mbaye anaabudiwa na Waislamu.
Sura 109 1. Sema: Enyi makafiri! 2. Siabudu mnacho kiabudu;
3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 4. Wala sitaabudu mnacho abudu. 5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Surah hii inamatatizo mengi sana ambayo ypo wazi kuwa, madai ya Wiaslam ya Mungu wa Wakrist na Mungu wao ni mmoja, ni batili na hayana ushahid.
TATIZO LA KWANZA: Hivi, hii Surah inamzungumzia nani?
(a) Watu wa Kitabu (Wayahudi, Wakristo na labda Wasebia)?
(b) Makafir wa Makkah?
Quran hapa imeshindwa kutueleza kuwa, Muhamamd alikuwa naongoa na ummah upi.
TATIZO LA PILI: Hata kama ni moja ya dai la (a) au (b) hapo juu, hii Surah ya 109 imejaa utata na kupinga aya mbaimbali za Quran ambazo zinadai kuwa Wakristo, Wayahudi na wengine wote wanaabudu Mungu mmoja ambaye anaabudiwa na Waislamu.
Surat Al Baqara 62. Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.
2: 139. Sema: Mnahojiana nasi juu ya Mwenyezi Mungu, naye ni Mola wetu Mlezi na Mola wenu Mlezi, na sisi tuna vitendo vyetu na nyinyi mna vitendo vyenu? Nasi tunamsafia Yeye tu
Surah 3: 64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu.

LINI ALLAH ATAZUNGUMZA NA MUHAMMAD?


Ndugu zanguni,
Hili swali limeenda shule.
Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA. Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9Wagalatia 1:1 Paulo, mtume, si mtume wa wanadamu aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu
Biblia ipo wazi kabisaa, kuwa Paulo alitumwa na Mungu, wakati Muhammad alitumwa na Jibril ambaye si Mungu. Koran inakiri kuwa Muhammad alikutana na Jibril na hakuwai kukutana na au ongea na Mungu hata mara moja. Lakini tunasoma katika Biblia kuwa, Paulo alipewa utume na Mungu mwenyewee.
Warumi 1:1 Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, ALIYEITWA KUWA MTUME na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu.
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu aliye Mtuma? Maana ya neno Mtume kwa kifupi: Ni Mtu aliye tumwa.
HEBU TUANGALIE, HUYU MUHAMMAD ALIZALIWAJE?
1.KUZALIWA KWAKE,
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa "Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa na shetani tangu alipozaliwa, (Fat'hul Baary Juzuu ya 6 Uk. 389).
Je, kuna ushahid wowote ule kuwa Muhammad alitolewa Shetani? Kama upo Basi Waislam, tuleteeni tuuone.
2.BAADA YA KUTOKA PANGONI,
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga"(Kitabu cha maisha ya Nabii Muhamaad s.a,uk.17 kilichoandikwa na Sheiky A.Farsy).
KUFUATANA KITABU CHA MAISHA YA NABII MUHAMMAD, tunajifunza kuwa Muhammad kwa mara ya kwanza kabisa alipata utume wake pangoni baada ya NAFSI YAKE KUCHEZEWA NA MASHETANI.
MASWALI:
(i). Kama Jibril ndie alitumwa na Allah, na huyo Allah ni Mungu, kwanini Muhammad alisema kuwa nafsi yake imechezewa na MASHETANI baada ya kukutana na Jibril?
(ii). Kama Jibril alitoka kwa Allah, kwanini Muhammad alipo toka pangoni alisema kuwa Jibril AMEMZUGA AKILI YAKE?
3.KUROGWA KWAKE,
Amesema Mwanaisha Mkewe Mtume kuwa "Yahudi Mmoja aitwaye Labiid bin Al'answan alimroga Mtume Muhammad, ikawa Mtume baadhi ya Nyakati huchanganyikiwa na kuanza kuita Ovyo ovyo na kupiga makelele. (Sahih Muslim J. 4 uk. 38-39)
MASWALI:
(a) Hivi, kuna Mtume au Nabii yeyote yule ambaye alikiri kurogwa?
(b) Hivi Allah alikuwa wapi wakati Muhammad anarogwa?
(c) Wapi tunasoma kuwa Muhammad aliombewa na kutoa huo uchawi/urogi aliofanyiwa na Labiid bin Al'answan?
YAANI INA MAANA MUNGU ALIKOSA MTU WA KUTUMA MPAKA ATUME MTU ALIYECHEWA NA MASHETANI KAMA HUYU?
Ndugu msomaji,
Muhammad hakuwa Mtume wa Mungu na wala hana sifa za KITUME.
1. Muhammad hakuwai ongea na Allah aliye mtuma.
2. Muhammad alikuwa na Shetani tokea kuzaliwa kwake.
3. Muhammad alikiri kuchezewa na Shetani wakati wa kusimikwa utume wake Pangoni.
4. Muhammad alikiri kuwa Shetani amechezea akili na nafsi yake.
5. Muhammad alikiri kuwa alirogwa na Labiid bin Al'answan.
SASA WAISLAM, NIONYESHENI, wapi kwenye Taurat, au Zaburi au Injili kama kuna Mtume aliye na sifa za ajabu kama za Muhammad.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Max Shimba Ministries

WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA MUISLAMU? NA KAMA KASILIMU JE ALISILIMU LINI?

(SEHEMU YA KWANZA)
Ndugu msomaji,
Leo tunaanza na mada hii kubwa ambayo inauliza na kuwaomba Waislam watuletee uthibitisho wa Muhamamd akisilimu na kuwa Muislam.
Tunaposoma kitabu cha maisha ya Muhammad S.A.W. kilichoandikwa na aliyekuwa kadhi mkuu wa Kenya na Zanzibar Sheikh Farsy ukurasa wa 5 kuna maneno haya…
Pale pale alfajiri alipokwisha kuzaliwa mtume alikwenda kuitwa babu yake kuja kumwona mjukuu wake. Babu huyu alifurahi sama na akamfunika maguo mjukuu wake, akajikongoja naye mpaka kwenye Al-ka’ba akafungua mlango akaingia ndani, akasimama, akamwombea dua kwa mashairi mazuri ya kiarabu aliyoyatunga mwenyewe wakati ule ule, kisha akarejea naye na jua bado halikuchomoza.
Hapa tunaona Babu yake Muhammad akimchukua mjukuu wake Ndani ya alkaaba alfajiri kwenda kumfanyia ibada, kumkabidhi kwa Mola wake, kutia wakfu.
Lakini je Kuna nini Hapa cha kuzingatia?
(1) imani ya Abdul muttalib ilikuwa hii.
Katika kitabu " Acha Biblia Iseme" kilichoandikwa na mwanachuoni maarufu wa kiislamu aitwae Ali muhsin Barwani ukurasa wa 153 tunasoma maneno haya; “hapakutokea mwarabu ambaye alipewa jina hilo(Muhammad) na babu yake tangu kuzaliwa kwake, na huyo babu hakuwa Mkristo bali alikuwa akifuata mila za kishirikina.” Na wala hakujua taurati wala injili." mwisho wa Nukuu
Ushahidi wa wazi unaothibitisha kuwa babu yake Muhammad Abdul muttalib pamoja na kuomba miungu haswa mungu Hubaal sanamu kuu ndani ya alkaaba; vilevile aliomba dua kwa Allah; Mungu atakayerithiwa baadaye na mjukuu wake katika uislamu; ushahidi tunaupata tunaposoma utangulizi wa suratul al-fyl ulio katika juzuu ya ukurada wa 946 Qurani iliyotafsiriwa kwa kiswahili chapa ya nane tunasoma maneno hayo. “chifu mkuu wa makka zama hizo alikuwa Abdul muttalib, alikwenda al ka’ba pamoja na baadhi ya machifu wa kikuraish na akilishika komeo la chuma la mlango wa al-ka’ba, akamwambia Allah (S.W.0 kuilinda nyumba yake pamoja na wahudumu wake. Zama hizo kulikuwa na masanamu 360 ndani na kando ya Al- ka’ba.”
Ndugu zetu kiuanadamu waislamu Wanadai kwa mujibu wa Quran 30:30 sote tunapozaliwa tunazaliwa Hali tukiwa waislamu ila wazazi wetu uja na kutuondoa kwa uislamu Ima kwa Mfano kubatiswa na kadhalika. Hivyo na Hapa tunaona Mtoto huyu alipozaliwa mwanzo alipewa Jina na babu yake aliyekuwa mshirikina Kisha babu huyu Zamani za kabla ya uislamu alijikokota na mjukuu wake hadi alkaaba na alfajiri Ile kumtoa wakfu.

WAPI USHAHIDI KUWA MUHAMMAD KASILIMU AKAWA MUISLAMU? NA KAMA KASILIMU JE ALISILIMU LINI?


(SEHEMU YA PILI)
Ndugu Waislam,
Asanteni kwa majibu yenu katika Sehemu ya Kwanza ya Huu Mjadala Mzito ambao mpka sasa bado hamjatoa majibu kuthibitisha lini Muhamamd alisimu, badala ya Waislam kutoonyesha wapi Muhammad Kawa mwislamu kwa hoja hii na hii wenzetu wanabaki tu kwenye Hali ya kujaribu kujibu Yale niliyokuwa naelezea pasina mwanzo kutupa somo kuonyesha wazi mwezetu huyu Hana hoja. Pili Waislam wanadai tu kuwa kwa mujibu wa Qurani 30:30 Muhammad atakuwa kazaliwa muislamu na hili pia linazua balaa kama tutakavyoona , na ndio maana nikaanza kwa kutuonyesha kuwa Babu yake ambaye alikuwa mshirikina tena alikufa katika hiyo Hali ya ujahiliwa aliwahi kumpeleka mjukuu wake Ndani ya alkaaba wakati huo ikiwa na miungu 360 ya kikafiri wakati wa swala ya alfajiri akamtia wakfu kwa dua ila kumwandaa kwa siku za usoni. Kupanga pia kafiri huyu mshirikina ndiye aliyemchagulia mjukuu wake jina sio kama jina la Yohana au Ishmael au Yesu yaliyoletwa na Malaika. Jina ili ndilo alilotumia hata baada ya kujibashiria utume.
Lakini pia tunapo soma kwenye sura ya 93: kuna maneno haya; "Naapa kwa mchana! 2. Na kwa usiku unapo tanda! 3. Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe. 4. Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia. 5. Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike. 6 Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi? 7. Na akakukuta umepotea akakuongoa? 8 Akakukuta mhitaji akakutosheleza? 9. Basi yatima usimwonee! ZINGATIA MANENO HAYA :::::: NA AKAKUKUTA UMEPOTEA AKAKUONGOA!!!
Hapa kwa mwenye kutaka kufahamu Kuna mazingatio. Neno ambalo mabingwa wa tafsiri ya Qurani wamelifasiri kupotea njia ni neno "Dhaallan" kwenye Aya ya saba. Tazama the noble Quran pia hivi ndivyo walifasiri kina Ibn Kathir, Jalalayneen
Pili katika Surah ya 42:52 tunasoma "Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa amri yetu. Ulikuwa hujui Kitabu ni nini, wala Imani. Lakini tumekifanya kuwa ni Nuru ambayo kwayo tunammwongoa tumtakaye katika waja wetu. Na hakika wewe unaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka."
Zingatia kauli hii ULIKUWA HUJUI KITABU WALA IMANI na ndio maana allah akasema akimwambia muhammad ulikuwa umepotea njia!!!!
MASWALI:

ALLAH WA WAISLAM SIO YEHOVA - MUNGU ALIYE UMBA KILA KITU


Ndugu msomaji,
Leo tutajifunza tofauti kati ya Allah wa Waislam na YEHOVA MUNGU ALIYE UMBA KILA KITU.
QURAN 92 1-3
1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa katika aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.
Qr. 15 au surat Hijr 30-39,
Basi Malaika wote pamoja walimsujududia, Isipokuwa Ibilisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na waliosujudu. (Mwenyezi Mungu) akasema: ewe Ibilisi! Una nini hata hukuwa pamoja na waliosujudu?
Akasema: Hiwi mimi nimsujudiemtu uliyemuumba kwa udongo unaotoa sauti! Unaotokana na matope yenye sura.
Mwenyezi Mungu akasema: Basi toka humo, kwani hakika wewe ni maluuni! Na hakika juu yako ipo laana mpaka siku ya malipo.
Akasema (Ibilisi): Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watakapofufuliwa.
(Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika waliopewa muhula, mpaka siku maalum.
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyokuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapo duniani na nitawapoteza wote.
Qr. 51 au Surat Adh-Dhaariyat 56 (sur aya upepo),
Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu
Kumbe Allah ni Mola Mlezi wa Shetani. Sasa kuna haja gani ya kumfuata Allah anaye mlea Shetani?
Kumbe malezi ya Allah kwa Shetani ndio yaliyo mfanya Shetani awe mbaya namna hii.
Kumbe Shetani kafundishwa ushetwain na mlezi wake Allah.
Nilipo endelea kuisoma Biblia Takatifu ambayo imekamilika, Mungu alimwabia Musa katika Kutoka 6:2, 3Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni YEHOVA; nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao. https://www.wordproject.org/bibles/sw/02/6.htm#0
ALLAH NI MDOGO KINYUME NA YEHOVA MUMGU MKUU
Qr.92 au surat Al-Layl 1-3,
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
Naapa kwa usiku unapofunika! Na mchana unapodhihiri! Na kwa aliyeumba dume na jike! Kuapa kwa Mungu kuhusu viumbe

MUHAMMAD AWANYANG'ANYA MALI MASWAHIBA WAKE


Ndugu msomaji,
Kama ulikuwa haujui, basi leo utafahamu kuwa, Muhammad alikuwa anatabia mbaya sana ya kunyang'amya Maswahiba wake mali.
Quran Surat Al Anfaal aya 1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Mwenyezi Mungu na Mtume. Basi mcheni Mwenyezi Mungu na suluhisheni mambo baina yenu, na mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake ikiwa nyinyi ni Waumini. http://www.quranitukufu.net/008.html#8:1
Tarjuma ya Qur'ani Tukufu Kwa Kiswahili
Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani
Ewe Nabii! Waambie: Hizo ngawira ni za Mwenyezi Mungu kwanza na Mtume wake. Basi wacheni kukhitalifiana kwa ajili ya hayo. Na uwe mtindo wenu ni kumkhofu Mwenyezi Mungu na kumt'ii. Na tengenezeni yaliyo baina yenu, na mfanye mapenzi na uadilifu ndio makhusiano baina yenu. Kwani hakika hizi ndizo sifa za watu wa Imani.
Ndugu msomaji, baada ya kuisoma aya iliyo teremshwa huko Madina, Muhammad anasema kuwa MALI WALIYO ITEKA YEYE NA MASWAHIBA YAKE, ni za kwake yeye na Allah.
Sasa, kama mali iliyotekwa vitani itagaiwaje kwa Allah ambaye Muhammad hakuwai muona?
Kwanini Muhammad alizikwapua mali zote na kuwanyima Maswahiba wake?
Ipo wapi aya ambayo Muhammad anamgawia Allah sehemu yake ya mali walizo ziteka kwenye vita?
Hakika Muhammad alikuwa mroho wa mali na alitumia ujanja ujanja katika kutengeneza dini yake ya Uislam.
MUHAMMAD ANASEMA KUWA MALI NI YA KWAKE NA ALLAH, HIVI TOKEA LINI ALLAH ANASHIDA NA AU HITAJI MALI YA MATEKA NA KUWAACHA MASWAHIBA WA MUHAMMAD MIKONO MITUPU?
Eti Muhammad anawaaambia Maswahiba wake kuwa, wao washike sala tu, lakini kwenye mali, ni zakwake yeye na Allah. Hakika huu ni wizi wa wazi wazi ambao Muhammad alikuwa anaufanya kwa Maswhiba wake.
Poleni sana Waislam kwa kumfuata huyu jamaa aliye kuwa anawaingiza Maswahiba wake Mjini.
In His Service
Max Shimba Ministries Org

MUHAMMAD APASULIWA NA KUTOLEWA SHETANI


Huu ni msiba mkubwa sana kwa Waislam.
Katika vitabu vya hadithi na vya siira yaani Maisha ya Muhammad, tunasoma: Mtume Muhammad alipasuliwa (akatolewa fungu la shetani) mara nne. Mara ya kwanza, Muhammad akiwa katika umri wa miaka mitatu. Mara ya pili, akiwa katika umri wa miaka kumi. Mara ya tatu, akiwa katika umri wa miaka arobaini. Mara ya nne pale alipoandaliwa kupelekwa Israa, akiwa katika umri wa miaka arobaini na tatu.
Naomba kunukuu
Imepokewa kutoka kwa Anas bin Malik kuwa "Mtume s.a.w alikuwa akicheza pamoja na watoto, mara akafikiwa na Malaika Jibril (a.s) ndipo alipomchukua na akamtupa chini, kisha akapasua kwenye moyo wake, mara akautoa moyo, tena akatoa humo pande la damu akasema: Hili ni fungu la shetani (nimelitoa) kutoka kwako! kisha akaukosha (moyo wake) katika chombo cha dhahabu chenye maji ya Zamzam, kisha akaufunga na akaurejesha mahali pake.
Swali la kujiuliza, hili fungu la Shetani liliingiaje kwenye moyo wa Muhammad?
Swali la pili: Hivi tokea lini Shetani anatoka kwa kuoshwa kwa maji?
Taz: Sahih Muslim J.l Uk. 147 713.
Ujumbe tunaoupata kutokana na hadith hii ni: Malaika Jibril alimfanyia upasuaji Mtume ili atoe fungu la shetani lilikuamo ndani ya moyo wa Muhammad.
Kwa hiyo, kabla ya upasuaji huu, Mtume Muhammad alikuwa na shetani ndani yake, lakini cha ajabu Anasema Abu Huraira: amesema Mtume kuwa: "Kila mwanadamu anapozaliwa, shetani huingia katika mbavu zake kwa vidole vyake, isipokuwa Isa bin Mariam, alikwenda kumwingia, lakini akakuta pazia."..... Sasa mbona basi msije kwa Yesu amabaye hakuwai guswa na Shetani tokea kuzaliwa kwake?
Kwanini Muhammad aliingiwa na Shetani?
Natanguliza pole kwa Waislam ambao wao wanamsafisha Shetani na maji kama vile Shetani anamwili au ni uchafu fulani.
Hakika hakuna Allah sio Mungu bali ni kiumbe cha ajabu ajabu kinacho sema kuwa, eti Shetani anasafishwa na maji ya Zamzam.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
May 6, 2016

MAMA YAKE NA MUHAMMAD ALIKUFA KAFIRI


Bi Amina mamake na Muhammad kafa kafiri. tunasoma
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ قَالَ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ ((اسْتَأْذَنْتُ رَبِّي أَنْ أَسْتَغْفِرَ لأُمِّي فَلَمْ يَأْذَنْ لِي ، وَاسْتَأْذَنْتُهُ أَنْ أَزُورَ قَبْرَهَا فَأَذِنَ لِي )) مسلم 
Kutoka kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ‘anhu) ambaye amesema: Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Niliomba ruhusa kutoka kwa Allaah kumuombea msamaha mamangu, lakini Hakunipa ruhusa. Nikamuomba idhini nilizuru kaburi lake (mamangu), Naye Akanipatia ruhusa)) [Muslim]

Inaelezwa katika Kitabu cha ‘Awn al-Ma’abuud:
“Kauli yake (Muhammad) ((lakini Hakunipa ruhusa)) ina maana kuwa (mama yake) alikuwa kafiri na hairuhusiwi kumuombea maghfirah kafiri.”

Huu ni msiba mwengine kwa Waislam. Wazazi wake Muhammad wote wamekufa na dhambu kubwa kubwa na huku wakiwa MAKAFIRI.

Hivi huyu Allah mbaona aliwachukiwa sana wazazi wa Muhammad?
Je, unafahamu kuwa baba yake Muhammad na yeye alikufa akiwa KAFIRI na yupoe Jehannam?
Hakika kuna mamb ya ajabu ajabu kwenye uislamu.

LAKINI HATUSOMI KUWA MAMA YAKE YESU ALIKUFA NA DHAMBI.
Mungu awabariki sana.

Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,

For Max Shimba Ministries Org,

MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED

Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

May 6, 2016

Tuesday, May 3, 2016

ALLAH WA WAISLAM SIO YEHOVA - MUNGU ALIYE UMBA KILA KITU


Ndugu msomaji,

Leo tutajifunza tofauti kati ya Allah wa Waislam na YEHOVA MUNGU ALIYE UMBA KILA KITU.

Qr. 15 au surat Hijr 30-39,
Basi Malaika wote pamoja walimsujududia, Isipokuwa Ibilisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na waliosujudu. (Mwenyezi Mungu) akasema: ewe Ibilisi! Una nini hata hukuwa pamoja na waliosujudu?

Akasema: Hiwi mimi nimsujudiemtu uliyemuumba kwa udongo unaotoa sauti! Unaotokana na matope yenye sura.

Mwenyezi Mungu akasema: Basi toka humo, kwani hakika wewe ni maluuni! Na hakika juu yako ipo laana mpaka siku ya malipo.
Akasema (Ibilisi): Mola wangu Mlezi! Nipe muhula mpaka siku watakapofufuliwa.

(Mwenyezi Mungu) akasema: Hakika wewe ni katika waliopewa muhula, mpaka siku maalum.

Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyokuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapo duniani na nitawapoteza wote.
Qr. 51 au Surat Adh-Dhaariyat 56 (sur aya upepo),
Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu

ALLAH NI MDOGO KINYUME NA YEHOVA MUMGU MKUU

Qr.92 au surat Al-Layl 1-3,
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
Naapa kwa usiku unapofunika! Na mchana unapodhihiri! Na kwa aliyeumba dume na jike! Kuapa kwa Mungu kuhusu viumbe

Qr. 91 au surat Ash-Shams 1-7 (sura ya Jua)
Naapa kwa jua na kwa mwangaza wake. Na kwa mwezi unapoliandama. Na kwa mchana unapolidhihirisha. Na kwa usiku unapolifunika. Na kwa mbingu na kwa Aliyezijenga. Na kwa ardhi na Aliyeitandaza. Na kwa nafsi (roho) na Aliyeitengeneza.

Qr. 92 au surat Al-Layl 1-3 (Usiku),
Naapa kwa usiku ufunikapo (kila kitu). Na kwa mchana uangazapo. Na kwa aliyeumba kiume na kike.

Hapa tunaona Allah Mungu anayeabudiwa na Waislamu anaapa kwa mbingu na kwa aliyezinjenga, kwa ardhi na aliyeitandaza. Je, huyo mtandazi wa ardhi na mjengaji wa mbingu ni nani? Qurani inaendelea kuhadithia hivi…

Qr. 45 au surat AL- Jathiyah 22 (kiyama/ kupiga magoti), Na mwenyenzi Mungu ameziumba mbingu na ardhi kwa haki…
Qr. 44 au surat Ad-Dukhan 7-8 (sura ya moshi)

Mola wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake, ikiwa mnayo yakini (basi yakinisheni haya) Hakuna aabudiwaye kwa haki ila yeye anahuisha na kufisha. Mola wetu na ni mola wa wazee wenu (wote) wa mwanzo (na mola wa kila kitu)

Hapa tunaona kuwa Allah kupitia Qurani anasema kuwa mwenyenzi Mungu ameziumba mbingu na ardhi na tena anasema hakuna aabudiwaye ila yeye.

Mjengaji wa mbingu na mtandazaji wa ardhi anajieleza hivi ……
Isaya 44:24

BWANA, mkombozi wako yeye aliyekuumba tumboni, asema hivi, “Mimi ni BWANA, nifanyaye vitu vyote, nizitandaye mbingu peke yangu, niienezaye nchi. Ni nani aliye pamoja nami?”
Mungu wetu Yehova anasema mimi ninafanya vitu vyote.
(Soma Isaya 45:6-7, 11-12, Yeremia 27:5) Bila shaka Yehova ndiye muumbaji wa vitu vyote
JE Mungu Yehova aliapia vitu alivyoviumba kama Allah?

Isaya 45:22-23
Niangalieni MIMI mkaokolewe, Enyi ncha zote za dunia. Maana MIMI ni Mungu hapana mwingine. Kwa nafsi yangu nimeapa, neno hili limetoka kinywani mwangu katika haki, wala halitarudi, ya kwamba, mbele zangu kila goti litapigwa, kila ulimi utaapa.

Waebrania 6:13-16
Kwa maana Mungu alipompa Ibrahimu ahadi, Kwa sababu alikuwa hana mkubwa kuliko yeye mwenyewe wa kumwapa, aliapa kwa nafsi yake. Akisema “Hakika yangu kubariki nitakubariki, na kuongeza nitakuongeza, Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi. Maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao na kwao ukomo wa mashindano yote ya maneno ni kiapo kwa kuyathibitisha.

Hapa tunaona Mungu wetu Yehova haapi kwa mtu wala vitu alivyoviumba kama Allah anavyoapa, bali Yehova anasema “Naapa kwa nafsi yangu”.Waweza pia kusoma jinsi Yehova alivyoapa kwa nafsi yake katika aya hizi;
Isaya 14:24 na Mwanzo 22:16

Hapa anayeapa ni Allah,
Hivi mtu anayeapa kwa mwingine anakuwa Mungu au mwanadamu?

Je, nani aliyeumba hapo?
Maana Allah anaapa katika aliyeumba, na kuumba ni moja kati ya sifa zake Yehova Mungu kumbe Allah hakuumba chohote!


ALLAH NI MUONGO!

Tukiyachunguza maandiko matukufu ya kiislamu yaani Quran na maandiko matakatifu yaani Biblia tutawapata hao wanaume wawili kuwa na utofauti wa mbali sana.

Tukianza na Quran hizi hapa kweli za wazi kabisa:
Allah wa quran anamkana na kumkataa Yesu Kristo kama si mwana wa Mungu yaani Yehova,
Qr. 19 au surat Maryam 35
Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanau, Yeye ametakasika! Anapolihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa.
Qr. 112 au suratAl-Ikhlas 1-4 (sur aya utakaso)
Sema: Yeye ni Mwenyenzi Mungu mmoja (tu) Mwenyenzi Mungu (tu) ndiye anayestahiki kukusudiwa (na viumbe vyake vyote kwa kumuabudu na kumuomba na kumtegemea) Hakuzaa wala hakuzaliwa Wala hana anayefanana naye hata mmoja.
Kadiri ya aya hii Allah asema kuwa mungu hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana mfano wa mtu au watu Yehova anasema hivi kuhusu mtu au watu……

Kila wanapoingizwa watu wajinga katika wavu wa huyo Mpinga-Kristoanayeitwa kwa jina ALLAH haya ndiyo maneno ya kukiri kumwabudu na kumtumikia:

Kwa kiarabu:
Ashihadu Allah ilaha inla ilah
Washihadu ana Muhamad rasuruhlah
Kwa kiswahili:
Nashuhudia kwamba hakuna Mungu isipokuwa Allah,
Na nashuhudia kwamba Muhammad (amani na rehema ziwe juu yake) nimtumishi wake na mjumbe

Biblia inasemaje ?
1Yohane 2:22-26,
Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana. Kila amkanayeMwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia. Ninyi basi, hilo mlilolisikia tangu mwanzo na likae ndani yenu. Ikiwa hilo mlilolisikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya Mwana, na ndani ya Baba.

Na hii ndiyo ahadi aliyoyuahidia, yaani, uzima wa milele.
Nimewaandikia haya katika habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza.

Wakolosai 1:13-15,
Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake; ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi; Naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana,mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.

Yohane 3:16-17,
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoaMwanawe pekee, ili kila mtu amwaminie asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Kwa maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.


Bila shaka Biblia Takatifu inamweka wazi ALLAH wa kila muislamu kama mwongo na Anti-Kristo ambaye waislamu wanamwita Dadjal bila ya wengi wao kujuwa kama ndiye wanaomwabudu

Sunday, May 1, 2016

KWANINI ALLAH HAWEZI KUWA NA MWANA BILA YA MKE?



Ndugu msomaji,
Leo nitawaeleza kwa kutumia aya kwanini Allah wa Waislam hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya kufanya tendo la ndoa, nikimaanisha kuwa na mke.
Hebu kwanza tuanze kusoma aya yake kutoka Surat AL An A'am iliyo teremk Makka:
Surat Al An A'am ayat 101. Yeye ndiye Muumbaji wa mbingu na ardhi bila ya ruwaza. Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu. Naye ni Mwenye kujua kila kitu.
Allah anaye dai kuumba kila kitu na kudai kuwa ni mjuzi wa kila kitu anatutaarifu katika Surat Al An A'am kuwa hawezi kuwa na mwana bila ya kufanya tendo la ndao kwa Mkewe Allat. Huu ni msiba mkubwa sana, maana iweje Mungu mwenye uwezo wa kufanya atakalo sasa anashindwa kuwa na mwana mpaka afanye tendo la ndoa?
Kama kweli Allah aliumba kila kitu, mbona Miti inaweza kuongezeka bila ya tendo la ndoa? http://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK9980/
Mbona Seli zako zinazaana au ongezeka bila ya kuwa na Seli Jike na Seli Dume. Wote tunafahamu hii "Mitosis" na stages zake Nne ambazo ni "Prophase" "Metaphase" "Anaphase" na "Telophase". Sasa Allah yeye anadai ndie aliye umba Seli za zetu tena zinazaliana bila ya kuwa an Seli Dume na Seli Jike, lakini cha kushangaza, Allah yeye hawezi kuwa na Mwana bila ya Mke, je, tunawezaje muamini huyu Allah mwenye udhaifu namna hii? https://ghr.nlm.nih.gov/primer/howgeneswork/cellsdivide
Sasa, tumsome Maryamu, je aliweza kuwa na Mwana bila ya kuwa na Mume?
Maajabu ya dunia, Maryamu anauwezo wa kuwa na Mwana bila ya Mume, lakini Allah hana uwezo wa kuwa na Mwana bila ya Mke. Hakika haya ni maajabu makubwa sana, ingawa Allah atadai eti alimpa yeye huo uwezo.
Kama ni kweli, je , kwanini Allah alishindwa kujipa huo uwezo yeye mwenyewe na aweze kuwa na Mwana bila ya tendo la ndoa?
Hebu tuanze kwa kusoma Surat I'mran iliyo teremka Madina:
Surat I’mran 45. Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu).
Surat Im'mran 47. Maryamu akasema: Mola wangu Mlezi! Vipi nitampata mwana na hali hajanigusa mwanaadamu? Mwenyezi Mungu akasema: Ndivyo vivyo hivyo, Mwenyezi Mungu huumba apendacho. Anapo hukumu jambo, huliambia: Kuwa! Likawa. http://www.quranitukufu.net/003.html
Maryam anamuuliza Allah, iweje niweze kuwa na Mwana bila ya Mume, Allah anadai kuwa, eti Mwenyezi Mungu hufanya apendalo, kwa kuliambia jambo, kuwa na LIKAWA. Sasa, kama huu uwezo wote ni wa Allah, kwanini anashindw akuutumia kwake yeye mwenyewe na kusema kuwa na Isa Akawa bila ya kuwa na Mama wala Baba?
Hakika Allah ni dhaif na kamwe hakuumba kitu chechote kile. Uthibitisho ni huu hapa, Quran 92 1. Naapa kwa usiku ufunikapo, 2 kwa mchana uingiapo, 3. na kwa aliye umba kiume na kike..
Hivi mtu anaye apa kwa mwengine anakuwa Mungu au binadamu? Je, nani kaumba hapo. Maana Allah anaapa kwa aliye umba, na kuumba ni sifa ya Mungu. Kumbe Allah hakuumba.
Kumbe ndio maana Allah alikiri kuwa, yeye hawezi kuwa na Mwana bila ya kuwa na Mke. Waswahili wanasema kuwa njia ya mwongo ni fupi. Leo tumesha mgundua Allah anaye apa kwa Aliye umba kiume na kike.
Kama Allah ndie aliye umba kila kitu,
1. Kwanini hawezi kuwa na Mwana bila ya Mke?
2. Kwanini Maryamu aliweza kuwa na Mwana bila Ya Mume?
3. Kwanini Allah anashindwa kutumia uwezo wake anao dai kumpa Maryamu aliye weza kuwa na Mwana bila ya Mume, kwa kupata Mwana bila ya MKE?
Hapa kuna maswali mengi sana ya kujiuliza kuhusu huyu Allah ambaye anaonyesha udhaifu mkubwa sana baada ya kushindwa kupata Mwana bila ya Mme.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
May 1, 2016

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW