Friday, May 27, 2016

WAKATI WA YESU ALIPO KUWA DUNIANI, NANI ALIKUWA MTUME WA UMMAA YA WAARABU?



WAISLAM WANATUMIA HII AYA NA KUDAI KUWA, YESU ALITUMWA KWA WANA WA ISRAEL TU.
Imeandikwa:
Akajibu akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 15:26).
SASA TUWAULIZENI WAISLAM WOTE DUNIANI AMBAO WANATUMIA HIYO AYA HAPO JUU KAMA IFUATAVYO:
Waislam, kwa kuwa mnasema na kukiri kuwa: Yesu yeye alikuwa Mtume kwa wana wa Israeli tu; Naomba mtueleze kwa uthibitisho wa aya kutoka Quran, wakati huo wa Yesu, nani alikuwa MTUME wa Ummah wa Kiarabu? Kwa lugha rahisi, Mtume wa Waarabu wakati wa Yesu alikuwa ni nani?
Ndugu zetu katika Adam, naomba mtuletee ushahidi wa maandiko wala sio matusi.
Hakika Sisi tumekutuma wewe kwa Haki, kuwa ni mbashiri na mwonyaji. Na hapana umma wowote ila ulipata mwonyaji kati yao." Quran 35:24
Sasa, mnaweza tuambia, WAKATI WA YESU ALIPO KUWA DUNIANI, Nani alikuwa Mtume wa Waarabu?
MKINILETEA AYA BILA YA MATUSI NA JAZBA, LEO HII NITASILIMU NA KUWA MUISLAM?
******
SASA MSOME YESU ANAKUJIBU WEWE MUISLAM:
Bwana Yesu alipoongea na mwanamke Msamaria pale kisimani alimwambia hivi:
Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi. (Yohana 2:22).
Wokovu unatoka kwa Wayahudi kwa sababu hakuna taifa jingine lolote duniani ambalo lilimjua Mungu wa kweli – yote yalikuwa na dini za kipagani – iwe ni wazungu, Waafrika, Wahindi, Waarabu, n.k. Huo ndio ukweli.
Kumbe basi wakati wa Yesu, WAARABU WALIKUWA NA DINI ZA KIPAGANI KAMA ALIVYO SEMA YESU HAPO JUU KUWA "Wokovu unatoka kwa Wayahudi.
UTHIBITISHO KUHUSU UISLAMU NI DINI YA WAPAGANI
Haya maelezo yatakupa taswira kamili kuhusu chimbuko la Uislamu na kukupa majibu ya maswali ambayo Mohammad hakutaka wafuasi wake wajue, kama vile, kuwa Uislamu ni ibada za mwezi na nyota ambao ulivumbuliwa kwa minajili ya kueneza ugaidi kupitia vita.
1. Je, Hubal alichukuliwa kama mungu-mwezi? NDIYO.
2. Je, Kabah ilikuwa nyumba ya mungu-mwezi? NDIYO.
3. Je, jina la Allah hatimaye lilichukua nafasi ya lile la Hubal kama jina la mungu-mwezi? NDIYO.
4. Je, waliita Kabah kuwa ‘nyumba ya Allah’ ? NDIYO.
5. Je, wapagani walianzisha matambiko/ibada zilizoambatana na kuabudu miungu yao? NDIYO.
6. Je, wapagani walifanya hijj, Ramadan, kukimbia wakizunguka Kabah mara saba, kubusu jiwe jeusi, kunyoa upara, kutoa kafara za wanyama, kukimbia juu na chini kwenye milima miwili, kupiga shetani na mawe, kupuliza maji kutoka mapuani, kuabudu mara nyingi wakitazama Makka, kutoa misaada, kuswali ijumaa, n.k. NDIYO.
7. Je, mohammad aliamuru wafuasi wake kushiriki kwenye hizi sherehe za kipagani wakati wapagani walikuwa wakitawala Makka? NDIYO. (Yusuf Ali, fn. 214, pg. 78).
8. Je, Uislamu ulichukua na kufanya hizi ibada za kipagani kama sehemu ya ibada zao? NDIYO. (Yusuf Ali: fn. 223 pg. 80).
9. Je, waliitwa ‘mabinti zake Allah’? NDIYO.
10. Je, Kuran kwa wakati mmoja iliwaamuru Waislamu waabudu al-Lat, al-Uzza and Manat? NDIYO. In Surah 53:19-20.

Max Shimba Ministries Org
2016, May 27

Thursday, May 26, 2016

WATU MILIONI MOJA WAHUDHURIA MKUTANO WA INJIRI INDIA


MAELFU WAOKOKA NA KUMPOKEA YESU KRISTO
Yesu bado anaendelea kuokoa watu kwa maelfu kila siku. Huko India katika mji wa Gujarat, India, watu karibia Milioni Moja wamehudhuria mkutano wa Injiri. Maelfu kwa Maelfu wameokoka na kuwa Wakristo.
Hakika Yesu yupo hai na anawapenda wote. Huu ni ushuhuda tosha kuwa Yesu ni Bwana wa Mabwana

YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH


Ndugu msomaji,
Ninaendelea kuweka ukweli kuhusu Allah ambaye sio Yehova na wala hajawai sema yeye ni Yehova kwenye Quran yake.
Wakati Biblia inatumia jina la Yehova kwa zaidi ya mara 9000, Allah yeye anasema hivi kwa Muhammad:
"Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)
Unaona Allah anavyo likwepa jina la Yehova? Sasa tujifunze maana ya neno "JINA" . Waislam wengi kama sio wote hawajui tofauti ya JINA na [Jina la Sifa/wasifa kama Rais].
NINI MAANA YA JINA?
Ngoja kwanza nieleze kiurefu maana ya "JINA" na ASILI YAKE:
Kila mtu au kiumbe au Malaika ana jina lake na jina hilo linabeba kitu kikubwa sana.
Chimbuko ya neno ‘’jina’’ linatokana na neno la kigiriki liitwalo ‘’Sum’’
‘’Sum’’ maana yake ni ukumbusho au kumbukumbu. Ukumbusho au Sum kama ilivyoandikwa katika Biblia ya Kigiriki maana yake ni jina.
-Kwa hiyo maana ya kwanza ya jina/sum ni ukumbusho ambao mtu au kiumbe au Malaika anapewa.
-Jina/sum maana yake ni alama ya pekee ambayo anapewa mtu au kiumbe au Malaima ili kumtofautisha na wengine.
-Jina/sum ni zawadi ya pekee ambayo mtu au Malaika au Kiumbe anapewa.
Vigezo vya kumpatia mtu jina hutofautiana.
Majina mengine huwakilisha heshima ya kipekee.
Wafilipi 2:9-11( Kwa hiyo tena MUNGU alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina; ili kwa jina la YESU kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa MUNGU Baba. )
Majina mengine huwakilisha sifa ya huyo anayepewa jina .
Mfano rais wanchi ni [jina la sifa] ambalo anapewa mhusika.
Majina mengine ni kuonyesha mamlaka mfano [Askari ni jina ambalo linaonyesha mamlaka].
Kwa sababu ya tabia Fulani Fulani baadhi ya majina hutokea.
Mfano mwingine JEHOVAH SHALOM maana yake MUNGU ni Amani yetu hili ni jina jema ambalo linatokana na sifa ya MUNGU katika kuleta amani kwa watu wake.
SASA TURUDI KWENYE MADA YETU: YEHOVA KWA KIARABU NI YAHUH ( يهوه ) NA SIO ALLAH
Nini tafisri ya YEHOVA KWA KIARABU?
Kutokana na Tovuti ya Serikali ya Saudi Arabia ya AL TAFSIRhttp://www.altafsir.com/ Jina la Yehova kwa KIARABU NI YAHUH ( يهوه ). Umeona kuwa Kumbe Yehova sio Allah wa Waislam. Sasa, kwanini Waislam wanalazimisha kuwa Allah ni Yehova?
Majina yana tafsiri yake na yana utaalamu wake wa kuyafsir.
Mungu wa kwenye Biblia anaitwa Yehova (Jehovah/Yahweh) kwa zaidi ya mara 9000. LAKINI Allah hajaitwa kwa jina la Yehova kwenye Quran yake hata mara moja. Kama Allah ni Yehova kwanini Quran imekataa kumwita hivyo?
Mungu vile vile anaitwa Elohim kwenye Biblia kwa zaidi ya mara 2500, LAKINI hilo Jina la Elohim halipo kwenye Quran ya ALLAH.
Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;
1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )
Umeona kuwa Tafsir ya Yehova ni YAHUH kwa KIARABU na sio ALLAH. Ingia hapa http://translation.babylon-software.com/…/to-arabic/jehovah/kwa msaada zaidi.
Ndugu msomaji, kwa mara nyingine tean, tunaendelea kuona utofauti wa Allah ambaye ni MPINGA YEHOVA na Mwenyezi Mungu ambaye ni Yehova. "Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)https://www.wordproject.org/bibles/sw/19/83.htm#0
Kutoka 6: 6 Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa; https://www.wordproject.org/bibles/sw/02/6.htm#0
Ndugu zanguni,
Kama bado hamuelewi kuwa Yehova ambaye ni YAHUH kwa Kiarabu sio Allah, basi wewe umeamua mwenyewe kwenda kwenye njia iliyo potea ya Jehannam.
ALLAH SIO YAHUH NA HAJASEMA HIVYO KWENYE QURAN.
ALLAH SIO YEHOVA NA HAJASEMA HIVYO KWENYE QURAN.
Nawakaribisha Waislamu wote kwa Mungu wa Kweli anaye itwa YEHOVA.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
Footnotes
http://ivarfjeld.wordpress.com/…/apostasy-40-born-again-ch…/
http://en.wikipedia.org/wiki/Bible_translations_into_Arabic
Correspondence with Robert Morey, Ph.D. May 11. 2012
http://www.islam-watch.org/…/Muhammad-Killing-Jews-of-Banu-…
Correspondence with Robert Morey, Ph.D. May 11. 2012
Correspondence with Bill Warner May 21, 2011
Winning the War with Radical Islam. Robert Morey Ph.D. Christian Scholar Press 2002 p.14.
Bukari Hadith vol.5 book 59 ch.13 no.362 p.241
Correspondence with Craig Blomberg, Ph.D. May 8, 2012
Ibid.
http://www.juancole.com/…/riots-by-some-muslims-in-malaysia…
http://www.adherents.com/Religions_By_Adherents.html
Correspondence with Messianic Rabbi R. Drebenshedt May 11. 2012
http://www.islamicity.com/Mosque/99names.htm

Wednesday, May 25, 2016

ALLAH AMEKATAA KUITWA YEHOVA KWENYE QURAN; KUMBE ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU WA IBRAHIM, ISAKA, YAKOBO, NK


Ndugu msomaji,
Wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu hufundisha jamii kwa kutumia Qurani na Biblia na kusema Allah Sub-Hana Wataala ndiye YEHOVA. Fundisho hili wanalieneza kwa kupitia Radio, Vijarida, Mihadhara, vitabu na Kanda (cassettes) za Video na Audio. Na hivyo kuwafanya baadhi ya Wakristo kuacha Imani yao na kuingia katika Dini ya Uislamu. Na baadhi ya Wakristo wengine ingawa hawajabadili dini wanaamini hivyo. Swali la muhimu la kujiuliza kwa kila mkristo, je, ni kweli Allah anaye ogopa kutaja Jina la Yehova kwenye Quran ndiye Yehova kama Biblia inavyotufundisha?
Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;
1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )
Nimeweka kwa kutenganisha kwa kila lugha kwa sababu moja. Waislam wao wanadanganya eti maana ya Yehova ni Allah, huki ikifaamika kuwa Yehova ni JINA LA MUNGU NA SIO WASIFA.
Katika Sahih hadith tunasoma kuwa:
Ime Hadithiwa na Abu Huraira:
Allah ana majina tisini na tisa, Mia toa moja, na yeyote atakayo amini maana zake na kufanya ya pasavyo, ataingia peponi. Na Mwenyezi Mungu ni witr(Mmoja) na anapenda witiri (idadi isiyo gawanyika kwa mbili ikajitosheleza).(Bukhari 6410)
Allah anakiri kuwa yeye ana majina 99, ona kupitia hii linkhttps://ibadhi.com/vipindi/416-dua-mchanganyiko/6238 NA HAKUNA JINA LA YEHOVA KATIKA HAYO MAJINA 99 YA ALLAH.
SASA TUMSIKILIZE MUNGU WA KWENYE BIBLIA ANAVYO JITAMBULISHA KWA WANADAMU.
Isaya 42:8 Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu; nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe, wala sitazipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.
"Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni Yehovah". (Kutoka 6:2).
Kutoka 6: 3 nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.https://www.wordproject.org/bibles/sw/02/6.htm#0
Mwenyezi Mungu ambaye ni Mungu wa Ibrahim, Isaka, Yakobo nk anatuambia kuwa, yeye Jina lake ni Yehova. SASA KWANINI ALLAH ANAKATAA AU OGOPA KUSEMA KUWA YEYE NI YEHOVA KWENYE QURAN?
SASA ANGALIA ALLAH ANAVYO JITAMBULISHA KWA MUHAMMAD:
"Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)
Unaona vituko vinaanza kwa huyu Allah. Allah anaogopa kutamka Jina la yehova?
SASA ANGALIA MUNGU ANAVYO JITAMBULISHA KWA DAUDI:
"Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)
ANGALIA MUNGU ANAVYO JITAMBULISHA KWA ISAYA:
"Mimi ni YEHOVA, Hilo ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu". (Isaya 42:8)
Leo nimeweka ushahid wa tafsir kutoka lugha mbali mbali na tumeona kuwa Yehova kwa Kiarabu ni "yahuh ( يهوه )" na hilo Jina halipo kwenye Quran.
Zaidi ya hapo, nimeweka aya kadhaa kuonyesha jinsi Mungu alivyo jitambuliza kwa Manabii wake, na umeona tofauti hapo. Allah anajiita Allah kwa Muhammad, LAKINI MWENYEZI MUNGU alipo ongea na Manabii wake wa KWELI alijiita na kusema kuwa JINA LAKE NI YEHOVA.
SASA, kwanini nimfuate Allah ambaye anapinga Jina la Yehova Mungu wa kweli?
Kwanini Allah aliogopa kuweka Jina la Yehova kwenye Quran?
Nakusihi ufanye utafiti wako mwenyewe na uone kama kuna sehemu yeyote ile Allah amejiita Yehova kwenye, Quran, kama ukikosa aya, basi elewa kuwa ALLAH SIO MUNGU WALA MWENYEZI MUNGU WALA MUNGU WA ADAM, AU IBRAHIM, AU ISAKA, AU YAKOBO AU DAUDI, NK, bali Allah ni Mpinga Mungu.
Nawakaribisha Waislamu wote kwa Mungu wa Kweli anaye itwa YEHOVA.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

Tuesday, May 24, 2016

UISLAM NI DINI YA KIPAGANI

Urithi wa Uislamu kutoka kwenye dini za kipagani za Uarabuni - Sehemu ya 1
Allah alitokea wapi?
Uislamu unajinadi kwamba Allah ndiye Mungu yuleyule aliyejishughulisha ya Wayahudi tokea nyakati za Ibrahimu katika Agano la Kale. Je, jambo hilo ni kweli?
Uislamu ulianza na Muhammad kwenye miaka 600 baada Kristo. Je, kabla yake imani za Waarabu zilikuwaje? Je, yako mambo yoyote kutoka kwenye imani hizo ambayo yaliingia kwenye Uislamu? Kwa maneno mengine, je, Uislamu hauna upagani ndani yake?
Fuatana nami kwenye makala haya marefu yanayochambua chimbuko la Uislamu ili tuweze kuona iwapo upo uhusiano wowote kati ya Uislamu na upagani uliokuwa ukitawala miongoni mwa jamii za Waarabu kabla ya kutokea kwa Muhammad?
Asili Ya Allah
Jamii za wanadamu KOTE duniani zimekuwa na kawaida ya kujiuliza ni wapi ulimwengu huu umetokea, nini maana ya maisha na wapi watu huenda baada ya kufa. Matokeo yake, kila jamii ilifikia kuamini kuwa kuna aliye na nguvu (au walio na nguvu) kuliko wanadamu wote ambao ndio wanapaswa kuabudiwa na kuombwa msaada pale matatizo yanapotokea.
Hawa wenye nguvu wakajulikana kwa majina mbalimbali kwenye jamii tofauti. Vilevile, kila jamii ilianzisha utaratibu maalum wa kuwasiliana na hawa wenye nguvu, yaani miungu.
Lakini jambo moja ni dhahiri, kwamba UKIACHA JAMII YA WAYAHUDI PEKE YAO, jamii zote za wanadamu zilizobakia duniani – iwe ni Afrika, Ulaya, Asia, n.k. - zimeanzia kwenye ibada za kipagani. Jamii hizi ziliabudu miungu mbalimbali. Na miungu hii iliwakilishwa na vitu kama vile milima, miti mikubwa, jua, mwezi, majoka makubwa, sanamu, wafalme, n.k. Kwa mfano, Warumi walikuwa na miungu kama vile artemi, jupiter, minerva, atlas, n.k. Tazama hapa. Wagiriki walikuwa na miungu kama vile chronos, dionysus, eros, ares, appolo, hermes, poseidon, n.k. Tazama hapa. Wahindi wana miungu kama vile durga, ganesha, garusha, brahma, n.k. Tazama hapa. Imani hizi za kipagani ziliweza hata kukua sana na kuenea maeneo mengi. Kwa mfano, imani ya ubudha ni imani ya kipagani lakini iliweza kuenea sehemu kubwa sana ya Asia – India, Japan, Sri Lanka, Uchina, n.k.
Kwa hiyo, jamii za Kiarabu, kama ilivyo kwa wanadamu wengine, vilevile hazikuwa tofauti. Jamii hizi nazo zilikuwa zina ibada zao za kipagani.

UONGO NDANI YA QUR'AN



*NILIHAIDI KUUKOMESHA UONGO WA QURAN NA WAISLAMU*
Jana nilisema kwa habari za uongo katika Quran walakini kama ilivyo hada waislamu siasa wakaja na maneno lukuki sasa siku zote njia za muongo fupi leo kamba waliokuwa wameishikilia isikatike imekatika atamaye wameanguka
Quran 19:28 ilisema uongo kwa kumwita Mariamu mama yake Yesu kuwa ni dada wa Haruni jambo ambalo sio kweli tutathibitisha ili, Quran 66:12 ikaja kuthibitisha uongo huo pale ilipomwita Mariamu mama wa Yesu kuwa ni binti Amran/ Imran jambo ambalo sio kweli
Mariamu mama yake Yesu akutokea kwenye ukoo wa Lawi hivyo uenda Quran imechanganya Mariamu mama yake Yesu na Miriamu dada wa Haruni{Kuto 15:20}
Na pia Quran kumtambulisha kuwa Mariamu mama yake Yesu kuwa ni binti Amran itakuwa ilimchanganya na Miriamu binti Amran soma {Hesabu 26:59.........maana Miriamu pekee ndiye aliyekuwa binti Amran maana yake waislamu wanajua kuwa Quran imesema uongo ila wameamua kudanganyika wenyewe
Sura ambayo waislamu wamekubali itafsriwe kimatakwa yao ili iendane na matakwa yao na kuhalalisha juu ya uongo wao ni Luka 1:36 panapo mtaja mariamu kuwa alikuwa ni jamaa wa Elizabethi neno jamaa hapa lina maana ya watu waliokaribu sio maana ya ndugu yaani ya udada, na jambo ilo sio kweli kuwa watu hawa walikuwa ndugu kwa sababu jambo ilo alithibitishwi Kibiblia wala hata katika historia za kimwili za wayahudi
Maana inatambulika wazi kuwa watu hawa wawili yaani Elizabeth na Mariamu walikuwa ni jamaa walakini jamaa sio lazima awe ndugu, ujamaa uenda ni hali za watu kufahamiana hivyo basi hawa wawili walikuwa wakitokea katika makabila mawili tofauti kabisa
USHAIDI UNAOTHIBITISHA UONGO WA QURAN

KWANINI ALLAH ATAWAPELEKA WAISLAMU JEHANNAM? ENYI WENYE ILMU HEBU MTUSHAWISHI HAPA



Sahih Bukhari Volume 9, Book 93, Number 532
….. Allah atakapokuwa amemaliza hukumu miongoni mwa watu, atamtoa jehanamu yule amtakaye kwa rehema zake. Kisha atawaamuru malaika kuwatoa motoni wote ambao hawakumwabudu yeyote isipokuwa Allah miongoni mwa wale ambao Allah ametaka kuwarehemu na wale walioshuhudia (duniani) kwamba hakuna apasaye kuwabudiwa ila Allah. Malaika watawatambua motoni kutokana na sijda (nyusoni mwao), maana moto utakula mwili wote wa kibinadamu isipokuwa sijda maana Allah ameuzuia moto kuila sijda. Watatoka jehanamu wakiwa wameungua kabisa kisha watamwagiwa maji ya uzima nao watakua kama mbegu itokayo kwenye udongo …….
TAFSIRI YAKE:
Sahih Bukhari Volume 9, Book 93, Number 532 inasema:
........When Allah has finished His Judgments among the people, He will take whomever He will out of Hell through His Mercy. He will then order the angels to take out of the Fire all those who used to worship none but Allah from among those whom Allah wanted to be merciful to and those who testified (in the world) that none has the right to be worshipped but Allah. The angels will recognize them in the Fire by the marks of prostration (on their foreheads), for the Fire will eat up all the human body except the mark caused by prostration as Allah has forbidden the Fire to eat the mark of prostration. They will come out of the (Hell) Fire, completely burnt and then the water of life will be poured over them and they will grow under it as does a seed that comes in the mud of the torrent.....
MASWALI
1. Huko jehanamu mtakuwa mlienda kufanya nini?
2. Tangu lini wanadamu wakaenda jehanamu wakiwa na mwili wa kibinadamu?
3. Kuna haja gani ya kutekeleza amri za Mungu kama bado atakutoa jehanamu? Si tuendelee kufanya tu tupendavyo?
…………………
SIKIA INJILI YA KWELI KUHUSU WENYE DHAMBI
(Mat 25:46) Na hao watakwenda zao kuingia KATIKA ADHABU YA MILELE; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele………(umeona neno YA MILELE?)
Ufunuo 20:15 Na iwapo mtu ye yote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, ALITUPWA KATIKA LILE ZIWA LA MOTO.
Ufunuo 14:11 Na moshi wa maumivu yao hupanda juu HATA MILELE NA MILELE, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake. (umeona maneno MILELE NA MILELE?)
…………………
Ukitupwa jehanamu ndio basi!
Hutoki humo milele na milele.
Umedanganywa kwamba eti utatolewa.
…………………….
NJOO KWA YESU UPONE WEWE!
(1Yohana 2:23) Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia.

WAISLAM ZAIDI YA ELFU TATU (3000) WAMPOKEA YESU NCHINI FILIPIN NA KUACHANA NA ALLAH NA MUHAMMAD




Waislamu zaidi ya 3000 wampokea Yesu Kristo na kubatizwa. Haya mavuno ni makubwa sana, ingawa wavunaji ni wachache.
Over 3,000 precious souls accepted Jesus through baptism
“The harvest truly is plenteous, but the laborers are few…” Here are just a few of the reports that were received in the past few weeks. Again, I am appealing to you to please support the Lord’s work through the work of the adopted ministers.

SITAKI KUWA MUISLAM KWASABABU ALLAH ATAINGIA JEHANNAM KAMA VIUMBE VYENYE DHAMBI



Katika ulimwengu wa leo kuna njia nyingi za kutumaini. Furaha ya milele na Mbinguni vina hubiriwa kila mahali. Hata hivyo kuna dini nyingi tofauti, filosophia na mawazo juu ya tumaini hilo (furaha ya milele) vinatofautiana. Na kila mmoja katika tofauti hizo za dini na filosophia na mawazo juu ya tumaini hilo; anaamini ya kuwa amesimama katika ukweli.
Katika Surat Maryam, Kuruan inasema kuwa (19) 71.72. Inasema, wala hapana yoyote ila mwenye kuifikia jehanamu, maana ni wajibu wa Mola wako umekwisha kuhukumiwa, nasi tutawaokoa wale wamchao na kuwaacha madharimu hali wamepiga magoti.
ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA =>WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM
Kuruan inakiri kuwan kila bin-adam amekwisha hukumiwa kuingia Jehannam kwa maana huo ndio wajibu wa Allah kuwaingiza watu Jihannam. Allah anaendelea kusema kuwa, yeye atawaokoa Waislam baada kuingia Jehanam. Je, haya madai ni kweli?
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Katika Surat Ghaafir inakiri kuwa Allah anaendelea kusema kuwa Waislam wote wataingia Jehannam. Mimi kama Mkristo siwezi kuipenda dini hii ambayo teyari mungu wake amesha toa hukumu ya kwenda Jehannam kwa wote wanao ufuata Uislam.
ALLAH KASEMA MGUU WAKE UTAISHI JEHANNAM MILELE YOTE

UKRISTO SIO DINI BALI NI IMANI YENYE USHIRIKA NA MWENYEZI MUNGU

Ndugu msomaji,
Mara nyingi katika mihadhara ya Waislam, kumekuwa na maneno ya kusengenya Ukristo, eti, Uislam ndio dini ya Allah na Ukristo sio dini. Maneno hayo yamekuwa yakiwaumiza sana Wakristo, hasa pale wanapoambiwa walete aya kutoka Biblia inayo sema kuwa Ukristo ni Dini.
Ndugu zanguni, leo ningependa kujibu hii shutuma ya kuusingizia Ukristo na kumsingizia Mwenyezi Mungu kuwa anayo dini.
ASILI YA NENO UKRISTO NI NINI?
Neno Ukristo ni tegemezi ya kutoka kwa Jina "KRISTO". Hivyobasi, Mkristo ni mfuasi wa Kristo. Ni kama unavyoweza sema Mtanzania anatoka Tanzania na/au neno Mtanzania ni tegemezi kutoka Tanzania au Utanzania litakoka kwenye muungano wa U na Tanzania.
Lengo la Mkristo ni kutafuta ushirika wa karibu na Mungu Baba. Ushirika huo unawezeshwa na kazi aliyoifanya Yesu pamoja na huduma ndani ya maisha ya Mkristo ya Roho Mtakatifu.
Mungu Mtakatifu hana ushirika na dhambi. Kati yake na mwanadamu kuna ufa mkubwa wa dhambi. Mwanadamu hujaribu kumfikia Mungu kwa nija nyingi: DINI, matendo mema, sala, n.k., lakini hizi zote hazitoshi. Mwanadamu bado ni mwenye dhambi.
MAANA YA UKRISTO NI NINI?
Ukristo ni imani maalum kulinganisha na nyinginezo, Kwa sababu inasimamia zaidi ushirika na Mungu kuliko matendo ya kidini. Kinyume na kushikilia orodha ya masharti ya fanya haya na usifanye yale, Lengo la mkristo ni kutafuta ushirika wa karibu na Mungu Baba. Ushirika huo unawezeshwa na kazi aliyoifanya Yesu pamoja na huduma ndani ya maisha ya mkristo ya Roho Mtakatifu.
Wakristo huamini ya kuwa biblia ni Neno la Mungu na mafundisho yake ndiyo mamlaka ya mwisho (Timotheo wa pili 3:16, Petro wa pili 1: 20-21). Wakristo huamini juu ya Mungu mmoja akaaye katika utatu, Baba na Mwana (Yesu kristo), na Roho Mtakatifu.

TRENDING NOW