Friday, June 3, 2016

UTHIBITISHO WA KIMAANDIKO KUHUSU MACHO YA ALLAH

Ndugu zanguni,
Waislam huwa wanapenda kusema kuwa Allah yeye hana mfano. Lakini tunapo zisoma aya na hadith mbali mbali tunagundua kuwa, Allah anafanana na binadamu.
ALLAH KAANDIKWA KAFIR KATI YA MACHO YAKE
Hadithi ya Anas (r.a) amesema, Mtume (s.a.w) amesema, "Hakuna Mtume aliyetumwa, isipokuwa amewahadharisha watu wake na mwenye Jicho moja mrongo. Eleweni kuwa yeye ana jicho moja na hakika Bwana wenu hana Jicho moja kati ya Macho yake pameandikwa neno 'KAFIRI." (Bukhari, Hadithi Na. 245, Juzuu ya 9).
Teyari Waislam wanapata mshtuko baada ya kusoma kuwa, Kumbe Allah ana MHURI kati ya macho yake unao sema yeye ni KAFIRI.
ALLAH ALIUGUA MACHO
"Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwa ajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu. (Al Milal Wannihal J. 1 uk. 141)
Tokea lini Mungu akaugua macho? Kumbe Allah ndie aliye umba magonjwa.
Kumbukumbu na Bukhari katika al-Adab ul-Mufrad (namba 493), kuthibitishwa halisi na al-Albani
"Usitarajie mazuri, kwa sababu Allah ndiye huwapa magonjwa waumini wake kama kafara (kwa ajili ya dhambi yake) ili kumpumzisha, na kwa Makafiri ni kama ugonjwa ni kama Ngamia aliye fungwa na Bwana wake, humuachia huru pale anapotaka, ni hawezi kuelewa ni kwa nini alikuwa amefungwa, wala kwa nini ni huru. "
Kitu cha kushangaza, hawa Waislam wanakwenda Hospitali kupata matibabu huku wakifahamu kuwa Allah ndie aliye watupia Magonjwa. Huu ni Msiba katikaa Uislam.
ALLAH ANA MACHO MANGAPI?
Surat Muuminum 27. Tukampa wahyi: Unda jahazi MBELE YA MACHO YETU na uwongozi wetu! Basi itapo fika amri yetu na ikafurika tanuri, hapo waingize ndani yake wa kila namna dume na jike, na ahali zako, isipo kuwa yule ambaye katika wao juu yake imekwisha tangulia kauli. Wala usinitajie hao walio dhulumu. Kwani hao bila ya shaka watazamishwa.
Mkristo mwenye akili hawezi kumfuata Allah mwenye macho na anaye ugua macho kama viumbe.

USTAADH NA HAKIMU WA MAHAKAMA YA KADHI AOKOKA NA KUSEMA KUWA UISLAM NI NJIA YA KWENDA JEHANNAM - Sehemu ya 2


Ahmed alikuwa ni injinia. Baadaye alishawishiwa na Ulama mmoja na kupandikiziwa chuki dhidi ya Wakristo na Wayahudi kiasi kwamba aliamua kuacha kazi yake na kwenda kusomea masomo ya dini ya Kiislamu (licha ya mama yake kupinga sana).
Masomo hayo yalimwezesha kuwa hakimu wa mahakama ya sharia. Kutokana na ukandamizaji mkubwa aliouona kwenye mahakama hizo na kukosekana kwa haki na pia kukosekana kwa msimamo juu ya tafsiri sahihi ya sheria za kiislamu, moyo wake ulikosa kabisa amani.
Kwa neema za Yesu Kristo, Ahmed alifunguliwa macho yake na sasa anajiuliza ilikuwaje akaamini Uislamu?
Ufuatao ni ushuhuda wake kwa maneno yake mwenyewe ambao ameupa kichwa cha habari: “Njia ya Allah Kuelekea Jehanamu au Njia ya Yesu Kuelekea Mbinguni.”
Kwa kuwa hii ni sehemu ya 2, ili kupata picha kamili, tafadhali anza na Sehemu ya 1 HAPA.
*********************
Njia ya Allah Kuelekea Jehanamu au Njia ya
Yesu Kuelekea Mbinguni
Hadithi ya Kweli
Mafunzo yangu ya uhandisi yalinipa uwezo wa kuchambua jambo mojamoja. Mtume Muhammad hakuwa na unabii wowote kabla yake, lakini Yesu Kristo alikuwa nao. Allah hakuwahi kuzungumza moja kwa moja na nabii Muhammad (isipokuwa kwa kupitia malaika). Lakini Yesu Kristo alizungumza naye na alikuwa Mwana wa Mungu. Moja ya adhabu alizotoa Mtume Muhammad kwa mwizi ilikuwa ni kunyofoa macho ya mtu huyo (kulingana na Hadith za Bukhari), ambapo Kristo Yesu hakuwa na kingine zaidi ya msamaha na upendo kwa mtu yoyote. Wanawake katika Biblia hawalaumiwa kwa maovu yote katika ulimwengu huu kama ilivyo katika Uislamu, na wao na wanaume wanaangaliwa kwa usawa katika Ukristo. Allah alionekana yuko mbali sana, ilhali Yesu Kristo alionekana yuko karibu sana.
Katika Sura 3.7 ya Qur'ani, Allah anasema kuwa ni yeye tu ndiye anayeweza kutafsiri Quran vizuri. (Kwa mujibu wa Hadithi, ni aya takribani 700 tu kati ya aya zaidi ya 6,000 za Quran ndizo zinazoeleweka kwa mwanadamu – yaani ni chini ya 12%). Basi ni kwa nini Allah alitupatia Quran hiyo ambayo hakuna mtu anayeweza kuitafsiri sawasawa? Je, Qur'an si kwa ajili ya mwanadamu kama ilivyo Biblia? Tofauti na Biblia, aya nyingi za Qur'ani zinatafsirika kwa namna nyingi (open ended), hivyo zinafanya kuwepo na kubuni kwingi. (Hata kwa Mwarabu, haiwezi kueleweka wazi, kwa sababu imeandikwa kwa Kiarabu cha zamani - ni kama kwa Mwingereza wa sasa kujaribu kuelewa Kiingereza cha zamani au Kiingereza cha wakati wa Shakespeare).

UTHIBITISHO WA KIMAANDIKO KUHUSU MIKONO YA ALLAH


Ndugu msomaji,
Tunaendelea na mada kuhusu Allah ambaye ni kiumbe kama sisi.
Leo ninawaletea ushahidi kuwa, Allah ana MIKONO kama binadamu. Haya ungana nami na tuanze kusoma ushahid kutoka vitabu vya Kiislam.
ALLAH KAMUUMBA IBILISI KWA MIKONO YAKE
Muhammad bin Muslim alimuuliza Imam Muhammad al-Baqir (a.s.) kuhusu Ayah ifuatayo:2
قَالَ يَا إِبْلِيسُ مَا مَنَعَكَ أَنْ تَسْجُدَ لِمَا خَلَقْتُ بِيَدَيَّ ۖ {75}
“Akasema: Ewe Iblis, ni nini kimekuzuia kumtii yule niliyemuumba kwa mikono yangu?... (Swaad; 38: 75)
Swali ningependa kuwauliza Waislam, hivi kwanini mnasema kuwa Allah hana mfano wakati teyari Allah anajidhihirisha kuwa ana MIKONO? Je, Mikono sio mfano wa binadamu? Kwanini mnamzulia Allah uongo kuwa hana Mikono?
Kwanini Allah alimuumba IBILISI kwa Mikono yake?
ALLAH ANANYOOSHA MIKONO KAMA VIUMBE
“Mwenyezi Mungu huwa anashuka mpaka kwenye mbingu ya kwanza, na ananyoosha mikono Yake miwili na anasema…”
Halafu anaendelea kunukuu Ayah zifuatazo kwa ithibati ya madai yake:
وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنْفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ ۚ {64}
“Na Wayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndio iliyofumba, na wamelaaniwa kwa sababuya yale waliyoyasema. Lakini mikono ya Mwenyezi Mungu iwazi, hutoa apen- davyo …” (Al-Maida; 5: 64)
فَسُبْحَانَ الَّذِي بِيَدِهِ مَلَكُوتُ كُلِّ شَيْءٍ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ {83}
“Basi ametakasika yule ambaye mkononi mwake umo ufalme wa kila kitu, na kwake mtarejea.” (Yaasin; 36: 83)
قُلِ اللَّهُمَّ مَالِكَ الْمُلْكِ تُؤْتِي الْمُلْكَ مَنْ تَشَاءُ وَتَنْزِعُ الْمُلْكَ مِمَّنْ تَشَاءُ وَتُعِزُّ مَنْ تَشَاءُ وَتُذِلُّ مَنْ تَشَاءُ ۖ بِيَدِكَ الْخَيْرُ ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ {26}
“Sema: Ewe Mola Mwenye kumiliki ufalme, humpa ufalme umtakaye, na humnyang’anya ufalme umtakaye. Na humtukuza yule umtakaye na kumdhalilisha umtakaye. Kheri yote imo mikononi mwako. Hakika wewe ni Mweza juu ya kila kitu.” (Aali Imraan; 3: 26)
ALLAH ANA MIKONO MIWILI KAMA VIUMBE
Tunaamini kuwa Allah Anayo mikono miwili mitukufu.
Anasema:
بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنفِقُ كَيْفَ يَشَاء
"Bali mikono yake (miwili - yadaahu) iwazi. Hutoa Apendavyo."
Al-Maaidah – 64
Na Akasema:
وَمَا قَدَرُوا اللَّهَ حَقَّ قَدْرِهِ وَالأرْضُ جَمِيعًا قَبْضَتُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَالسَّماوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى عَمَّا يُشْرِكُونَ
"Na wala hawakumhishimu Allaah kama Anavyostahiki kadiri Yake. Na Siku ya Qiyaamah ardhi yote itakuwa mkononi Mwake, na mbingu zitakunjwa katika mkono Wake wa kuume. Subhaanahu wa Ta’ala Ametakasika na Ametukuka na hayo wanayomshirikisha nayo."
Az-Zumar – 67
(Siku ya Ridhwaan Waislamu walipofungamana na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) chini ya mti kwa kumpa mkono wote kwa pamoja, mmoja baada ya mwengine, na Allaah Akateremsha kauli Yake:
إِنَّ الَّذِينَ يُبَايِعُونَكَ إِنَّمَا يُبَايِعُونَ اللَّهَ يَدُ اللَّهِ فَوْقَ أَيْدِيهِمْ
"Bila Shaka wale wanaofungamana nawe, kwa hakika wanafungamana na Allaah. Mkono wa Allaah uko juu ya mikono yao."
Al-Fat-h – 10
Ieleweke kuwa Allaah Anaposema Anayo mikono au macho, ina maana kuwa mikono Yake ni sawa na mikono yetu, au macho Yake ni sawa na macho yetu - AstaghfiruLlaah.
ALLAH ATAKUNJA MBINGU KWA MIKONO YAKE
وَمَا قَدَرُوا اللَّهَ حَقَّ قَدْرِهِ وَالْأَرْضُ جَمِيعًا قَبْضَتُهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ وَالسَّمَاوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ ۚ {67}
“Na hawakumheshimu Mwenyezi Mungu heshima ipasayo, na siku ya Kiyama ardhi yote itakuwa mkononi mwake na mbingu zitakunjwa katika mkono wake wa kulia, …” (Az-Zumar; 39: 67)
“Mikono” Ya Mwenyezi Mungu Kama Ilivyosimuliwa Na Madhehebu Ya Makhalifa.
Wanazuoni wa madhehebu hiyo hapo juu wamesimulia ndani ya vitabu vyao kutoka kwa Abu Huraira ambaye amesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama ifuatavyo:
ETI MUSA ANAMWAMBIA ADAM KUWA, ALLAH ALIMUUMBA KWA MIKONO YAKE. HIVI MUSA ALIISHI WAKATI WA ADAM? HUU NI MSIBA.
“Adamu na Musa walikuwa na mazungumzo yafuatayo: Musa alisema: ‘Ewe Adamu! Mwenyezi Mungu alikuumba kwa mikono Yake Mwenyewe… Lakini uliwateremsha wanadamu kutoka kwenye bustani kwa sababu ya dhambi yako.’
Adamu akajibu: ‘Ewe Musa, Mwenyezi Mungu kwa hakika amekutukuza wewe, na akaandika Taurati kwa ajili yako kwa mikono Yake Mwenyewe.’”
ALLAH ANANYOOSHA MIKONO YAKE MIWILI
Katika hadithi nyingine iliyosimuliwa kutoka kwa Abu Huraira, tunakuta:
“Mwenyezi Mungu huwa anashuka mpaka kwenye mbingu ya kwanza, na ananyoosha mikono Yake miwili na anasema…”
Halafu anaendelea kunukuu Ayah zifuatazo kwa ithibati ya madai yake:
وَقَالَتِ الْيَهُودُ يَدُ اللَّهِ مَغْلُولَةٌ ۚ غُلَّتْ أَيْدِيهِمْ وَلُعِنُوا بِمَا قَالُوا ۘ بَلْ يَدَاهُ مَبْسُوطَتَانِ يُنْفِقُ كَيْفَ يَشَاءُ ۚ {64}
“Na Wayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndio iliyofumba, na wamelaaniwa kwa sababuya yale waliyoyasema. Lakini mikono ya Mwenyezi Mungu iwazi, hutoa apen- davyo …” (Al-Maida; 5: 64)
فَسُبْحَانَ الَّذِي بِيَدِهِ مَلَكُوتُ كُلِّ شَيْءٍ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ {83}
“Basi ametakasika yule ambaye mkononi mwake umo ufalme wa kila kitu, na kwake mtarejea.” (Yaasin; 36: 83)
قُلِ اللَّهُمَّ مَالِكَ الْمُلْكِ تُؤْتِي الْمُلْكَ مَنْ تَشَاءُ وَتَنْزِعُ الْمُلْكَ مِمَّنْ تَشَاءُ وَتُعِزُّ مَنْ تَشَاءُ وَتُذِلُّ مَنْ تَشَاءُ ۖ بِيَدِكَ الْخَيْرُ ۖ إِنَّكَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ {26}
HERI YA ALLAH IPO MIKONONI MWAKE
“Sema: Ewe Mola Mwenye kumiliki ufalme, humpa ufalme umtakaye, na humnyang’anya ufalme umtakaye. Na humtukuza yule umtakaye na kumdhalilisha umtakaye. Kheri yote imo mikononi mwako. Hakika wewe ni Mweza juu ya kila kitu.” (Aali Imraan; 3: 26)
Muhammad bin Muslim alimuuliza Imam Muhammad al-Baqir (a.s.) kuhusu Ayah ifuatayo:2
قَالَ يَا إِبْلِيسُ مَا مَنَعَكَ أَنْ تَسْجُدَ لِمَا خَلَقْتُ بِيَدَيَّ ۖ {75}
“Akasema: Ewe Iblis, ni nini kimekuzuia kumtii yule niliyemuumba kwa mikono yangu?... (Swaad; 38: 75)
Ndugu wasomaji, teyari mmesha uelewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu NA ANA MIKONO, KUMBE ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU.
Mungu awabariki sana.

UTHIBITISHO WA KIMAANDIKO KUHUSU MIGUU YA ALLAH


Ndugu msomaji,
ALLAH ANA MIGUU NA NYAYO KAMA VIUMBE
“Nyayo Za Mwenyezi Mungu” Na “Muundi Na Mguu” Wake!!”
Katika kitabu cha Tawhiid cha Ibn Khuzaimah, hadithi mbalimbali zinazohusiana na ‘MGUU’ na ‘NYAYO’ za ALLAH zimetajwa humo, aghalabu zikisimuliwa na Abu Huraira. Na zinaweza kupatikana vilevile katika Sahih Bukhari, Sahih Muslim, Sunan Tirmidhi, Musnad Ahmad Hanbal na Tafsiir za akina Tabari, Ibn Kathiir na Suyuti.
Abu Huraira anasimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.):
“Pepo na Jahannam zilikuwa na mzozo, kila kimoja kikijaribu kuonyesha ule ubora wake juu ya kingine.” Basi Jahannam ikazungumza: “Mimi nimependelewa kwa kuwepo kwa wale watu wenye kiburi na nguvu ndani yangu.” Pepo ikajibu: “Mimi sijui ni kwa nini hakuna mtu isipokuwa wale dhaifu na wanyenyekevu ndio walioingizwa ndani yangu!”
Hivyo Allah akaiambia Pepo:
“Wewe ndiye Msamaha Wangu, na kupitia kwako ninatoa msamaha kwa yeyote kati ya waja Wangu.”
Halafu Yeye akazungumza na Jahannam:
“Wewe ndio ghadhabu Yangu, na kupitia kwako wewe ninamuadhibu yeyote nitakaye kumuadhibu. Kila mmoja wenu atajaa.”
“Bali Jahannam haitajaa, hivyo ALLAH ATAINGIZA MGUU WAKE ndani yake.”
Kisha Jahannam itagutia:
“Tosha! Inatosha!”
HII HADITH INASEMA KUWA ALLAH ANA MIGUU MIWILI:
946- Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) Ana Miguu Miwili - ´Allaamah Muhammad al-Jaamiy
ALLAH HAS HUGE FEET
Allah has huge feet. He puts His foot over hell–fire.
That’s right. Commenting on verse 50:30, Sahih Bukhari says exactly this. Let us first read verse 50:30.
050.030
YUSUFALI: One Day We will ask Hell, "Art thou filled to the
full?" It will say, "Are there any more (to come)?"
Here are the ahadith from Sahih Bukhari:
50:30 Allah puts his foot over hell fire...(Sahih Bukhari,
6.60.371, 373)
Sahih Bukhari, Volume 6, Book 60, Number 371
Narrated Anas:
The Prophet said, "The people will be thrown into the (Hell)
Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30)
till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati!
(Enough Enough!)'"
Sahih Bukhari, Volume 6, Book 60, Number 373
Narrated Abu Huraira:
The Prophet said, "Paradise and the Fire (Hell) argued, and the
Fire (Hell) said, "I have been given the privilege of receiving
the arrogant and the tyrants.' Paradise said, 'What is the matter
with me? Why do only the weak and the humble among the
people enter me?' On that, Allah said to Paradise. 'You are My
Mercy which I bestow on whoever I wish of my servants.'
Then Allah said to the (Hell) Fire, 'You are my (means of)
punishment by which I punish whoever I wish of my slaves.
And each of you will have its fill.' As for the Fire (Hell), it will
not be filled till Allah puts His Foot over it whereupon it will
say, 'Qati! Qati!' At that time it will be filled, and its different
parts will come closer to each other; and Allah will not wrong
any of His created beings. As regards Paradise, Allah will
create a new creation to fill it with."
Ndugu wasomaji, teyari mmesha uelewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu, kina Miguu na nyayo.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

ALLAH ANASEMA YEYE NI MWENYE HILA NA MUONGO (Sehemu ya Kwanza)


Ndugu msomaji,
Kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo juu kuwa Allah amejaa hila.
Maana ya Hila:
Hila maana yake ni udanganyifu na ujanja.
SASA TUANZE KUSOMA HILA ZA ALLAH:
Sasa hapa naomba sana Waislamu wanisaidie mimi: katika Sura ya 13:42 Surat Al Rad panasema “Hila” zote ni zake Allah. Tena katika Sura ya 10:21 Surat Yunusi inasema: Allah ndiye mwepesi wa kufanya hila.
Swali ambalo watu wote tungejiuliza hivi hila ni nini?
Na je mtu anafanyaje,hila anakubalika na jamii?
Nasema hivyo kwasababu katika lawama ambazo marafiki zangu wa Kiislamu waminitwishwa wiki iliyopita na kuniita mpumbavu mtu nisiyejua kitu ni kitendo kile cha kusema Allah siye Mungu aliyeumba. Kuitwa Allah kwa maana ya Mungu au God au Mulungu hakumuharalishi kuwa Mugu muumbaji iko miungu mingi lakini yuko Mungu mmoja tu muumbaji aitwaye YEHOVA. Huyu si muongo hana hila maana hila haikai ndani mwake na watu wake pia wanatakiwa wasiwe na hila.
Kama nilivyo sema, hila maana yake ni udanganyifu na ujanja. YEHOVA alitufundisha kuwa tujiepushe na hila na ujanja wa aina yeyote uliyo na uovu ndani yake. Katika Mithali 12:20 tunasoma haya: “Hila imo mioyoni mwao wafikirio uovu bali wafanyao mashauri ya amani kwao kuna furaha”.
Kwahiyo ninaposema Allah siyo Mungu wa kweli ninasema nikijuacho.
Katika Sahihi Muslim Vol iv hadithi nambari 2667 Abuu huraira amekariri Muhammad akimuelezea Allah kuwa ndiye awatiaye wanadamu wote katika tamaa mbaya, uongo na uasherati kila mmoja kwa kipimo chake maalumu.
Waislamu wote duniani huamini kuwa Mungu anapaswa kuabudiwa ni yule ambaye Makureshi walimtambua kuwa aliitwa Allah, hawachunguzi wala hawajiulizi huyu "mungu" aitwaye Allah asili yake ni nini? Biblia inasema msiamini kila roho bali zichunguzeni kama zimetoka kwa Mungu aliye hai. 1Yoh 4:1
Kwa kule kusema Allah hana mfano wa kitu chochote je kwatosha kuthibitisha Uungu wake? Maana tumesikia na tumezoea kuambiwa na Waislamu kuwa Allah hana mfano wala hafananishwi na kitu chochote hakuzaaa wala hakuzaliwa. Nami nikafanya utafiti wa kutosha katika Qur’an na vitabu vingine vya Kiislamu kuona ukweli huo.
Je, ni kweli au kuna hila inayotumika katika jambo hili?
Katika Qur’an ya kiingereza iitwayo THE NOBLE QUR’AN nilitafuta maana ya neno Allah, hiyo ikaishia kusema ni neno lililotumika ndani ya Qur’an zaidi ya mara 3000 hakuna zaidi kilichosemwa. Lakini ndani ya GLORIOUS QUR’AN Tafsiri ya Mohamed Marmaduke pickth neno Allah limetafsiriwa hivi:-
(The word Allah the stress is on the last syllable) has neither feminine not plural and has never been applied to anything other than unimaginable supreme being.
Tafsiri yake neno Allah mkazo hasa kwenye silabi ile ya mwisho. Halina ukike wala halina wingi na halijatumika kwa ajili ya kitu chochote zaidi ya uwepo wa ukuu usiofikirika. Hii ndiyo imani ya Waislamu wote.
Tafsiri hii pia inaonesha kuwa Allah hana mfano wa kitu chochote tukijuacho au tunachokiwaza kwa akili.
Hii inafanana na Tauhidi ya Kiislamu ambayo msingi wake ni Sura ya 112:1-4 ya Surat ikhlas. Katika sura hiyo aya ya mwisho inahitimisha kuwa Allah hana mfano. Hapa Waislamu husimama na kuwabeza Wakristo katika maneno yaliyomo katika Mwanzo 1:26 yasemayo “Mungu akasema na tufanye mtu kwa mfano wetu kwa sura yetu” Waislamu kwa kukosa kujua hufikiri Mungu aliposema hivyo anafanana nasi kwa njia gani. Basi tukijifunza tutajua ukweli. Nilipokuwa nikitazama katika Qur’an kitu ambacho Waislamu wanakiamini kuwa kitabu cha Mungu wao nikasoma katika Sura ya 24:35 Surat ana Nuru nikaona maneno haya:
“Mwenyezi Mungu nuru ya mbingu na ardhi. Na mfano wa nuru yake ni kama kishubaka kilichomo taa…….”
Sijui kama Waislamu wanaisoma aya hiyo! Aya inasema mwenyezi Mungu ni nuru yaani Allah ni nuru ya mbingu na ardhi. Nataka nijue ewe Muislamu kama ingekuwa ni somo la darasani ukiulizwa Mwenyezi Mungu ni nini kwa mujibu wa Sura 24:35 Surat an nuru kama hatasema Mwenyezi Mungu ni nuru ya mbingu na ardhi usishangae ukikosa.
Kwahiyo kila mwenye ufahamu atajua kuwa nuru ya mbingu na ardhi ina mifano mingi sana. Tazama sentensi inayofuatia aya hii nayo inatoa mfano wa huyo Mwenyezi Mungu kwamba nuru yake ni kama taa ya kandili. Kumbe Allah ana mfano isipokuwa hila imetumika Sura 112:1-4 kuwapumbaza watu wajue kuwa Allah hana mfano. Labda Waislamu wangenisaidia kujibu swali hili. Je, Waislamu wanamuabudu Allah yupi yule asiye na mfano kwa mujibu wa Sura 112:1-4 au yuleAllah mwenye mfano kwa mujibu wa Sura ya 24:35?

Malaysia: Muslim convert wins battle with authorities to become a Christian again after 33 years

Roneey Rebit has finally won a hard fought legal battle to become a Christian again in Malaysia. After 33 years as a Muslim, he has finally been given the green light by the High Court to return to the faith he was born into.
The 41-year was only eight years old when his Christian parents embraced Islam. As a minor, he was forced to follow the religion of his guardians. He has been battling the authorities as an adult to have his classification as a Muslim removed from his government-issued identity card.
He also sought to revert to his former name from his Muslim name Azmi Azam Shah. In Malaysia, it is the norm to adopt new names when converting to the religion. Identity cards also state the religion of the citizens.

Thursday, June 2, 2016

Nearly 3,000 accept Christ in India as hundreds miraculously healed

“Simon Haq, our evangelist, accepted an invitation from a local pastor to speak at a pastor’s conference and feeding event in the state of Assam in the Northeast. When he arrived he handed the pastor money to help pay for the event. To his surprise the pastor said, ‘You do not understand, we are paying for everything including your expenses.’ The pastors were blessed and by the time the feeding ended over 800 people had prayed to receive Christ, but that is not the end of the story.
When Simon returned to Delhi a pastor from Kunduli, Orissa called and pleaded with him to come to his village. Because the churches in Assam were led by the Holy Spirit to pay for their event Simon was able to accept the invitation to go to Orissa (one of the most Hindu-dominated and poor states in India) and do a second evangelistic feeding event in January.   What started out as a one-day event ended up being a three-day evangelistic feeding event. Below is a picture of approximately 2,000 people raising their hands as they prayed to accept Jesus as God’s Son and their Savior.


The following is the report of the event from Pastor John Ambedkar written by Madhu Singh, Simon’s Administrative Assistant.

1,000,000 souls come to Christ at Tent Meeting in India

Simon Haqq is an Elijah Challenge-trained Pastor in India
Report on Bible Mission Guntur 2014 in India
Top: the tent sprawled over several acres
Below: Simon at left along with friend Bill Willis

VIDEO: Kuwaiti Prince Abdullah al-Sabah Gets Salvation Jesus Christ

Kuwaiti Prince Abdullah al-Sabah: “I Have Converted to Christianity”

Prince Abdullah al-Sabah of Kuwait Announces… “I Have Converted to Christianity”

Originally by Marco Tosatti, Rome. From sharia unveiled

In an audio file posted on a Christian satellite TV channel, prince Abdullah al-Sabah declared his faith in Jesus Christ. Muslims have attacked him saying “he isn’t a member of the royal family”
According to reports, a Kuwaiti royal prince has become a follower of Jesus Christ. In an audio file posted with his name, he affirms that if he is killed because of a recording he made where he talks about his conversion, he firmly believes that he will meet Jesus Christ face-to-face. The news comes from Middle Eastern sources which state that al-Haqiqa – a Christian satellite TV channel in Arabic that transmits Christian religious programmes – broadcast an audio file attributed to the Kuwaiti prince, identified as Abdullah al-Sabah. The al-Sabahs are the royal family of Kuwait, a country rich in oil. The name Abdullah (servant of God) frequently appears in the Emir’s family tree.
In his audio file, Abdullah declared: “First of all, I fully agree with the distribution of this audio file and I now declare that if they kill me because of it, then I will appear before Jesus Christ and be with him for all eternity.” In this statement, the prince demonstrates his awareness of the fate in store for a martyr of the faith, according to Christian doctrine. The television channel stated that Abdullah is a member of the royal family, and that he recently renounced his faith in Islam and became a Christian, without specifying which particular branch of Christianity he had chosen. After stating his full name, the prince declared: “I will accept whatever they do to me, because the truth in the Bible has guided me towards the right path.”
In the audio file, Abdullah talks about the Islamic groups that are winning the elections in Egypt and declares: “Islamic communities have always wanted to attack in different parts of the world but God has preserved the world and still protects it. This is why we have recently seen disagreements appearing among Islamic groups who are now fighting with each other. They are about to divide further into different groups.”
Mohabat News, a Christian Iranian website which has been following the fate of Christian minorities in the Middle East closely and which has monitored Abdullah’s statement, confirms that this news was published briefly by Arabic news agencies and also by the Iranian state news agency. Some independent websites with Shiite leanings denied the reports and quoted another Kuwaiti prince, Azbi al-Sabah, who said: “There’s no one by that name in the Kuwaiti royal family.” In actual fact, the name Abdullah does not appear on the list of the 15 members of the royal family who rule this small, extremely wealthy country in different capacities: from the Sheikh down to Princess Nijirah al-Sabah, who testified in the US Congress under the assumed name of “Nurse Nayirah” on the humanitarian situation in the country after the invasion by Saddam Hussein’s Iraq and just before the Gulf War. That isn’t to say that this high-profile convert is not hidden somewhere within the extended family, under a different name.

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW