Friday, June 3, 2016

UTHIBITISHO WA KIMAANDIKO KUHUSU MIGUU YA ALLAH


Ndugu msomaji,
ALLAH ANA MIGUU NA NYAYO KAMA VIUMBE
“Nyayo Za Mwenyezi Mungu” Na “Muundi Na Mguu” Wake!!”
Katika kitabu cha Tawhiid cha Ibn Khuzaimah, hadithi mbalimbali zinazohusiana na ‘MGUU’ na ‘NYAYO’ za ALLAH zimetajwa humo, aghalabu zikisimuliwa na Abu Huraira. Na zinaweza kupatikana vilevile katika Sahih Bukhari, Sahih Muslim, Sunan Tirmidhi, Musnad Ahmad Hanbal na Tafsiir za akina Tabari, Ibn Kathiir na Suyuti.
Abu Huraira anasimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.):
“Pepo na Jahannam zilikuwa na mzozo, kila kimoja kikijaribu kuonyesha ule ubora wake juu ya kingine.” Basi Jahannam ikazungumza: “Mimi nimependelewa kwa kuwepo kwa wale watu wenye kiburi na nguvu ndani yangu.” Pepo ikajibu: “Mimi sijui ni kwa nini hakuna mtu isipokuwa wale dhaifu na wanyenyekevu ndio walioingizwa ndani yangu!”
Hivyo Allah akaiambia Pepo:
“Wewe ndiye Msamaha Wangu, na kupitia kwako ninatoa msamaha kwa yeyote kati ya waja Wangu.”
Halafu Yeye akazungumza na Jahannam:
“Wewe ndio ghadhabu Yangu, na kupitia kwako wewe ninamuadhibu yeyote nitakaye kumuadhibu. Kila mmoja wenu atajaa.”
“Bali Jahannam haitajaa, hivyo ALLAH ATAINGIZA MGUU WAKE ndani yake.”
Kisha Jahannam itagutia:
“Tosha! Inatosha!”
HII HADITH INASEMA KUWA ALLAH ANA MIGUU MIWILI:
946- Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) Ana Miguu Miwili - ´Allaamah Muhammad al-Jaamiy
ALLAH HAS HUGE FEET
Allah has huge feet. He puts His foot over hell–fire.
That’s right. Commenting on verse 50:30, Sahih Bukhari says exactly this. Let us first read verse 50:30.
050.030
YUSUFALI: One Day We will ask Hell, "Art thou filled to the
full?" It will say, "Are there any more (to come)?"
Here are the ahadith from Sahih Bukhari:
50:30 Allah puts his foot over hell fire...(Sahih Bukhari,
6.60.371, 373)
Sahih Bukhari, Volume 6, Book 60, Number 371
Narrated Anas:
The Prophet said, "The people will be thrown into the (Hell)
Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30)
till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati!
(Enough Enough!)'"
Sahih Bukhari, Volume 6, Book 60, Number 373
Narrated Abu Huraira:
The Prophet said, "Paradise and the Fire (Hell) argued, and the
Fire (Hell) said, "I have been given the privilege of receiving
the arrogant and the tyrants.' Paradise said, 'What is the matter
with me? Why do only the weak and the humble among the
people enter me?' On that, Allah said to Paradise. 'You are My
Mercy which I bestow on whoever I wish of my servants.'
Then Allah said to the (Hell) Fire, 'You are my (means of)
punishment by which I punish whoever I wish of my slaves.
And each of you will have its fill.' As for the Fire (Hell), it will
not be filled till Allah puts His Foot over it whereupon it will
say, 'Qati! Qati!' At that time it will be filled, and its different
parts will come closer to each other; and Allah will not wrong
any of His created beings. As regards Paradise, Allah will
create a new creation to fill it with."
Ndugu wasomaji, teyari mmesha uelewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu, kina Miguu na nyayo.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW