Katika somo letu la leo, ningependa tusome mambo kadhaa ambayo Allah wa Uislam hana uwezo na mamlaka juu yake.
Waislam wanatuambia kuwa Uislam ni dini ya Allah ambaye hana uwezo wa kufanya yafuatayo:
Anasema hakuna wa kumsaidia katika udhaifu wake!
Q17:111 Na sema: Alhamdulillah,Himdi zote ni za Allah ambaye hana mwana,wala hana mshirika katika ufalme,wala hana rafiki wa kumsaidia KWA SABABU YA UDHAIFU WAKE. Na mtukuze kwa utukufu mkubwa.
MASWALI!
MASWALI!
1. Udhaifu wake ni upi?
2. Kwanini Waislam wanampigania huyu Allah dhaifu?
Allah hana uwezo wa kuishi ndani ya binadamu. [Allah is not omnipresent]
Allah hana uwezo wa kuzungumza na kusikia lugha yeyote ile zaidi ya Kiarabu. Majlisi, Bihar al-Anwar, vol. 11, pg. 56; vol. 8, pg. 218 and 286 and vol. 10, pg. 81, al-Wafa Institute, Beirut, 1404 ah. and Tabarsi, Aminuddin, Tafsir Majma’ul-Bayan, vol. 2, pg. 206, Beyrut, Dar al-Ihya’ al-Torath al-Arabi.
Allah hasikii na hajibu maombi ambayo hayakuombwa Kiarabu See: Tawfiqi, Husein, Arabi, Nemune’i az Zabane Moqaddas, the Haft Aseman Periodical, no. 27. and Ibid, vol. 12, pg. 87.
Allah hawezi kusikia maombi ambayo yanaombwa bila ya kuangalia Makkah. Quran 2:148-149
Allah hana uwezo wa kumzuia Shetani kuishi ndani ya Pua yako wakati umelala. (Sahih Muslim, Book 002, Number 0462)
Allah hana uwezo wa kumkataza Shetani asikojoe kwenye masikio yako unapo pitiwa na usingizi. The Hadith (Bukari vol. 2 no. 245)
Allah hana uwezo wa kutetea vitabu vyake, ingawa alidai anaweza. S. 15:90-93 Shakir
Allah hawezi kusikia maombi yako kama kuna Mwanamke au Mbwa au Punda karibu na sehemu unayo fanyia maombi. Sahih Bukhari 1:9:490, Sahih Bukhari 1:9:493






