Wednesday, August 10, 2016

TAFITI ZA KIMATAIFA ZAONYESHA KUWA UKRISTO WAFIKIA ASILIMIA 60 TANZANIA



UTAFITI UNAONYESHA KUWA WAKRISTO TANZANIA NI WASTANI WA ASILIMIA 60
Tafiti tatu zinaonyesha kuwa Ukristo unakua kwa kasi sana Tanzania, huku tafiti ya "INTERNATIONAL RELIGIOUS FREEDOM REPORThttp://www.state.gov/documents/organization/208416.pdf " ikionyesha kuwa Ukristo Tanzania ni asilimia 60.
Tafiti nyingine ya ACNUK inayonyesha kuwa Wakristo Tanzania ni asilimia 53.2 na Tafiti ya RE WORLD ORGhttp://www.refworld.org/pdfid/4d7621f72.pdf inaonyesha kuwa Wakristo Tanzania ni asilimia 62.
Tafiti kumi zinasema kuwa Uislam unakufa Tanzania, huku tafiti kumi zingine zinasema kuwa Ukristo umevuka asilimia 50.
Tuendelee kufanya kazi ya Bwana wetu Yesu, maana hata Tafiti za Kimataifa zinaonyesha kuwa Yesu anaendelea kuzoa malundo kwa malundo kila siku.
Tumsifu Yesu Kristo, mile na milele maana kazi yake ya Msalabani haikuwa ya bure. Matunda yake sasa yanaonekana Tanzania.
Mungu awabariki sana na kwa wale ambao hawajabahatika kuwa Wakristo, tunawakaribisha sana.
Max Shimba Ministries Org.

No comments:

FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE

  **URGENT UPDATE**   **FORMER MUSLIM EVANGELIST MUSA BELLO ARRESTED BY NIGERIAN POLICE** Shimba TV, New York has received distressing news ...

TRENDING NOW