Wednesday, August 10, 2016

SYLVESTER STALLONE MWANA SINEMA MASHUHURI DUNIANI AMEOKOKA NA KUMPOKEA YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKE



Sylvester Stallone amesema kuwa ameyasalimisha maisha yake kwa Bwana Yesu Kristo ambaye sasa ndie Bwana na Mwokozi wa Maisha yake.
Bwana Sylvester akizungumza na Pat Robertson kwenye TV ya 700 Club alikiri kuwa katika Yesu kuna raha sana na anamshukuru sana Mungu kwa kumwokoa.

NA UZIMA WA MILELE NDIO HUU, WAKUJUE WEWE ULIYE MUNGU WA PEKEE, WA KWELI NA YESU KRISTO ULIYE MTUMA


Ndugu wasomaji,
Leo nitaielezea aya ya Yohana 17: 3 ambayo Waislam wamekuwa wakiitumia mara nyingi sana kudai kuwa eti, Yesu amekana kuwa yeye ni Mungu.
Waislam kwa kupitia mihadhara ya kidini na kwa kutumia vijarida mbali mbali wanatishia Umma wa Wakristo kuwa, Yesu ameukana Uungu. Je, hayo madai ya Waislam ni kweli? Je, hiyo aya ina la zaidi la kujifunza?
Ili uielewe Biblia vizuri, nilazima usome aya kadhaa ili upate kuelewa nini hasa Mungu anasema kupitia Neno lake. Hivyo basi, nimeweka aya ya 4 na ya 5 ili kufafanua nini hasa Yesu alikuwa anasema katika Yohana 17.
Ngoja niziweke aya zote hapa:
Yohana 17: 3 Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue Wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma.4 Nimekutukuza Wewe duniani kwa kuitimizaile kazi uliyonipa niifanye. 5 Hivyo sasa, Baba, unitukuze mbele Zako kwa ule utukufu niliokuwa nao pamoja na Wewe kabla ulimwengu haujakuwako.
Yesu katika aya ya 5 [Hivyo sasa, Baba, unitukuze mbele Zako kwa ule utukufu niliokuwa nao pamoja na Wewe kabla ulimwengu haujakuwako]
==> YESU anasema kuwa
1. Yeye aliishi kabla ya Ulimwengu kuwepo! Hapo panaanza kukupa mwanga halisi, wa nini Yesu alikuwa anasema na Yesu ni nani. Imani zote zinakiri kuwa aliye kuwepo kabla ya vitu vyote ni Mungu. Lakini katika aya ya 5, Yesu nae anadai kuwepo kabla ya uumbaji.
2. Yesu anaendelea kusema katika aya hiyo hiyo kuwa, yeye alikuwa na adhama ya Mungu -"UTUKUFU". Yesu anamwambia Mungu Baba kuwa, AMTUKUZE YESU KWA UTUKUFU ALIOKUWA NAO KABLA YA ULIMWENGU HAUJAKUWAKO.
Sasa, kama Yesu, sio Mungu na alikuwa Binadamu wa kawaida, aliwezaje kuishi kabla ya ulimwengu kuwepo? Zaidi ya hapo, kwanini Yesu anamwambia BABA YAKE AMTUKUZE? Yesu anatumia mamlaka gani hayo kudai Utukufu ambao sio wake bali ni wa Mungu pekee?

JE, UNAFAHAMU KUWA QURAN NI KITABU KINACHO WAKAFIRISHA WAISLAM?


Ndugu msomaji,
Najua unafikiria kuwa nawasingizia Waislam, la hasha. Bila ya kupoteza muda tuangalie ni kivipi Quran inakafirisha Waislam.
Maana ya Kafiri ni kupinga au pindua maana au ficha ukweli au msingizia Mwenyezi Mungu uongo kwa kutumia vitabu au hadith zilizo kuja baada ya Taurat, Zaburi na Injili. Waislam hawaamini kuwa Biblia ni Neno la Mungu, hivyo basi Waislam wamefanikiwa kunyakua sifa ya KAFIRI.
Kwenye Taurat iliyo kuwepo miaka 2668 kabla ya Quran na Muhammad tunajifunza kuwa Jina la Mwenyezi Mungu ni Yehova au kwa Kiarabu ni YAHUH ( يهوه ) .
Hebu tusome ushahid kutoka Biblia:
Kutoka 6:2-3, Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, mimi ni YEHOVA; Nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
Unaona tofauti ya Allah na Yehova wa kwenye Biblia? Yehova hana kizungumkuti au longa longa kama Allah anaye sema yeye ana majina mazuri mazuri lakini ameshindwa kuthibitisha kuwa YEHOVA ni jina lake.
Mwenyezi Mungu kasema kwa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo miaka 2668 kabla ya Muhammad kuwa yeye anaitwa YEHOVA, LAKINI ALLAH hakuwai sema kwenye Quran kuwa Yehova ni Jina lake. KUMBE BASI ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU WA IBRAHIM, ISAKA, NA YAKOBO NA QURAN INAKAFIRISHA MPAKA ALLAH WA WAISLAM.
ALLAH ANADAI KUWA QURAN INATHIBITISHA TAURAT, INJIL NA ZABURI. AU SIO,
HEBU TUSOME KWANZA HIYO AYA.
Surat Al Baqara 89. Na kilipo wajia Kitabu kitokacho kwa Mwenyezi Mungu kinacho thibitisha waliyo nayo - na wao walikuwa wakitafutia ushindi kuwashinda makafiri - yalipo wajia yale waliyo kuwa wakiyajua waliyakanusha. Basi laana ya Mwenyezi Mungu juu ya wakanushao!http://www.quranitukufu.net/002.html
Soma ushahid zaidi:

KUMBE ALIYEANDIKA QURAN INAYO WAKAFIRISHA WAISLAM, ALIKUWA NA SHETANI?


Tunaendelea na uthibitisho kuwa Quran INAKAFIRISHA WAISLAM.
Mtu wa Awali, aliyejifundisha kusoma na kuandika katika Mji wa Makka alikuwa Bwana Harb bin Umayya-babu yake Bwana Muawiya. Alijifunza kwa watu wa Yaman, na yeye akaja kuwafundisha waliotaka katika mji wa Makka. Wakati Mtume alipopata utume walikuwako watu 6 tu katika Makka waliokuwa wakijiua kuandika. Wa 4 katika yao waliingia katika Uislamu, wakawa ndiyo waandikaji "Wahyi" (aya za Qur'an), watu hao walikuwa ni Sayyidna Abubakar. Sayydna Umar, Sayyidna Uthman na Sayyidna Ali.
Kitabu cha Maisha ya Nabii Muhammad uk. 8,na Sheiky A.Falsy)
SAYYIDNA ABUBAKAR,
Abubakar, Anasema: "Hakika mimi ninae shetani hunifikia mara kwa mara, basi wakati wowote atakaponifikia muniepuke" (Tabaqatul Kubra, J. 3 Uk. 212)
ETI KORAN IMETEREMSHWA NA ALLAH, THUBUTU
QURAN 2. SURA AL- BAQARA
97. Sema: Aliyekuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwaidhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na niuwongofu na bishara njema kwa Waumini.
SASA KAMA KILIANDIKWA NA MTU ALIYEKUWA NA SHETANI, KWANINI TUSIKUBALI KUWA NI AYA ZA SHETANI NA KITABU KINACHO WAKAFIRISHA WAISLAM?

MAKAFIRI WANASEMA KUWA ALLAH HANA MFANO, LAKINI ALLAH YEYE KAWAKANA TENA KWA AYA ZA QURAN?


1. Allah ana uso kama viumbe
2. Allah ana vaa Nguo kama viumbe
3. Allah ana kaa kwenye Kiti kama viumbe.
4. Allah ana mikono kama viumbe
5. Allah ana Miguu na nyayo kama viumbe
Ndugu zanguni,
Natanguliza kwa kusema huu ni Msiba Mkubwa sana kwa ndugu zetu kwa kupitia Adam wanao pinga kuwa Allah hana mfano. Hawa watu wanamzulia uongo Allah ambaye ni kiumbe. Hakika SIFA KUBWA YA MAKAFIR NI KUSEMA UONGO KWA KUTUMIA QURAN.
Leo nitawawekea mifano kadhaa kama ushahid kuwa Allah ni kiumbe.
Haya, ungana nami moja kwa moja na tujifunze kuhusu huyu Allah kiumbe.
ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO
1) Allah anasema: "Popote mutapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.
LAKINI MAKAFARI WA KIISLAM WATAPINGA HILI.
ALLAH ANA-VAA NGUO KAMA VIUMBE, LAKINI MAKAFIRI WA KIISLAM WANAPINGA HILI.
الكبرياء ردائي والعظمة إزاري
Allah ansema katika Hadithi hii Qudsi "Ukuu ndi vazi langu la juu na utukufu ndio vazi langu la chini".
Sasa kama Allah anavaa nguo inamana kuwa Allah ana mwili kama viumbe?

KAMA YESU NI MUNGU, ALIKUWA ANAMWOMBA NANI?


Hili ni moja ya Swali linalo ulizwa sana na Waislam na dini zinazo pinga uungu wa Yesu.
Kama Yesu alikuwa Mungu , ni jinsi gani aliomba kwa Mungu?
Je! Yesu alikuwa akijiomba mwenyewe?"
YESU ALIKUWEPO TOKEA MILELE YOTE
Ili umwuelewe Yesu kama Mungu duniani akiomba kwa Baba yake mbinguni , tunahitaji kutambua kwamba Baba wa milele na Mwana wa milele walikuwa na uhusiano wa milele kabla ya Yesu kuuchukua mwili wa mwanadamu. Tafadhali soma Yohana 5:19-27, hasa mstari wa 23 ambapo Yesu anafundisha kwamba Baba alimtuma Mwana (pia tazama Yohana 15:10). Yesu hakuwa Mwana wa Mungu wakati Yeye alizaliwa katika Bethlehemu. Yeye daima amekuwa Mwana wa Mungu kutoka milele iliyopita, bado ni Mwana wa Mungu, na daima atakuwa.
ISAYA ANAKUJIBU
Isaya 9:6 inatuambia kwamba Mwana alipeanwa na mtoto alizaliwa. Yesu alikuwa daima sehemu ya utatu, pamoja na Roho Mtakatifu. Utatu ulikuwa kila mara, kama, Mungu Baba , Mungu Mwana, na Mungu Roho, si miungu mitatu, lakini Mungu ni mmoja anajidhihirisha kama watu watatu. Yesu alifundisha kwamba Yeye na Baba yake ni kitu kimoja (Yohana 10:30), kumaanisha kwamba Yeye na Baba yake ni wa kiini kimoja na asili moja. Baba, Mwana na Roho ni watu watatu walio na ushirikiano sawa wakiwepo kama Mungu. Hawa watatu walikuwa, na wataendelea kuwa na uhusiano wa milele.
YESU NI MWANA WA MILELE
Wakati Yesu, Mwana wa milele wa Mungu, aliuchukua ule mwili wa mwanadamu usio na dhambi Yeye pia alichukua namna ya mtumwa, kupeana utukufu wake wa mbinguni (Wafilipi 2:5-11). Kama Mungu -mwanadamu, alikua na kujifunza utiifu (Waebrania 5:8) kwa Baba yake hasa wakati wa kujaribiwa na Shetani, mshitakiwa uongo na wanadamu, kukataliwa na watu wake, na hatimaye alisulubiwa. Kuomba kwa Baba yake mbinguni kulikuwa kwa kumwomba nguvu (Yohana 11:41-42) na hekima (Marko 1:35, 6:46). Kuomba kwake kulionyesha utegemezi wake kwa Baba yake katika ubinadamu wake ili atekeleze mpango wa ukombozi wa Baba yake, kama ilivyoshuhudiwa katika Sala ukuhani mkuu ya Kristo katika Yohana 17. Kuomba kwake kulionyesha kwamba Yeye hatimaye alijisalimisha kwa mapenzi ya Baba yake, ambayo ilikuwa kwenda msalabani kulipa adhabu (kifo) kwa kuvunja kwetu sheria Mungu (Mathayo 26:31-46). Bila shaka, Alifufuka katika mwili kutoka kaburini, akishinda msamaha na uzima wa milele kwa wale ambao watatubu dhambi zao na kumwamini kama Mwokozi.
HAKUNA TATIZO KWA UNGU KUWA NA MWANA

ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA KWANZA)


Kwanza Qruani inajua kabisa kwamba Allah si mungu na hakuumba Mbingu na Nchi! Ndiyo maana hakuna aya hata moja ndani ya Qruani ambayo Allah wa Qruan anasema kwamba “Mimi ndiye niliyeziumba Mbingu na Nchi” bali utakutana na aya ikisema “Mwenyezi Mungu aliziumba mbingu na nchi”

SASA, kama Allah ni Mungu, kwanini anasema kuwa Mwenyezi Mungu kaumba mbingu na Nchi na HASEMA Mimi nimeumba Mbingu na Nchi?

Pia ijulikane kwamba kila kitu hutambulika kwa majina yake. Hata wanadamu hutambulika kwa majina ndipo mtu utapata kuelewa kwamba anayekusudiwa ni fulani. Mungu wa Biblia anaitwa Niko ambaye Niko, Yehova, Bwana wa Majeshi, Alfa na Omega. Lakini Allah wa Qruani jina lake ni Allah, sasa hoja inakuja hapa, KAMA Allah wa waislam na Mungu wa Wakristo ni mmoja:
1. Ni andiko gani katika Biblia linalosema kwamba Mungu jina lake ni Allah?
2. Pia ni aya gani ndani ya Qruani inayokubali kwamba Allah jina lake ni Yehova?
Lakini katika kufanya utafiti nimegundua kwamba Allah si Mungu wa kweli bali ni Shetani kwamujibu wa Qruani Surat Muhamad aya ya 15. Inasema hivi “Mfano wa pepo aliyowaandalia waja wake mwenyezi Mungu iko hivi, ndani yake kuna mito ya maziwa na mito ya ulevi wenye ladha kwa wanywaji. Humo watapata kuburudishwa kwa matunda ya kila namna na samahani kutoka kwa mola wao.” Lakini ukisoma Qruani hiyo hiyo Sura ya 5 aya ya 90, inasema hivi: “Enyi mlioamini bila shaka ulevi na kamari na kuombwa yeyote asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni uchafu na ni kazi ya shetani.”

MUHAMMAD AKIRI KUWA ALLAH SIO MUNGU WA KWENYE INJIL NA TAURAT BALI NI MUNGU WA MAKAFIRI


Je, Wakristo na Waislam, wanaabudu Mungu mmoja?
Je, Allah ni Mungu wa Kipagani?
Ndugu wasomaji, kwa mara nyingine tena, Nabii wa Allah amekiri kuwa Wakristo na Waislam hawaabudu Mungu mmoja na Allah ni mungu wa Kipagani.
Katika hiki kijarida tunaangalia ushahidi mbalimbali kuwa, Allah sio Mungu wa Adam, Musa na Mitume wote walio tajwa kwenye Biblia Takatifu.
Kutokana na Surat Al Kafirun iliyoteremka Makka, Muhammad anakiri kwa mdomo wake kuwa Wakristo na Wayahudi hawaabudu Mungu mbaye anaabudiwa na Waislamu.
Sura 109 1. Sema: Enyi makafiri! 2. Siabudu mnacho kiabudu;
3. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 4. Wala sitaabudu mnacho abudu. 5. Wala nyinyi hamuabudu ninaye muabudu. 6. Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu.
Surah hii inamatatizo mengi sana ambayo ypo wazi kuwa, madai ya Wiaslam ya Mungu wa Wakrist na Mungu wao ni mmoja, ni batili na hayana ushahid.
TATIZO LA KWANZA:
Hivi, hii Surah inamzungumzia nani?
(a) Watu wa Kitabu (Wayahudi, Wakristo na labda Wasebia)?
(b) Makafir wa Makkah?
Quran hapa imeshindwa kutueleza kuwa, Muhammad alikuwa anaongea na ummah upi.
TATIZO LA PILI:
Hata kama ni moja ya dai la (a) au (b) hapo juu, hii Surah ya 109 imejaa utata na kupinga aya mbaimbali za Quran ambazo zinadai kuwa Wakristo, Wayahudi na wengine wote wanaabudu Mungu mmoja ambaye anaabudiwa na Waislamu.

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA QURAN IMECHAKACHULIWA NA IMEJAA SHAKA. KUMBE NDIO MAANA QURAN INAWAKAFIRISHA WAISLAM


NDIO MAANA NASEMA KUWA HII QURAN INAWAKAFIRISHA WAISLAM SIO KITABU CHA MWENYEZI MUNGU
Ndugu msomaji,
Bila ya kupoteza muda taunaanza na aya kutoka Quran inayosema kuwa, Allah alikuwa anafuta aya zake mwenyewee. Huu ni MSIBA mkubwa sana.
Hii tabia ya kufuta futa aya na kubadilisha balisha aya ndio inaitwa UKAFIRI. Neno kafiri linamaanisha kubadilisha ukweli, au ficha ukweli au sema uongo, au msingizia Mwenyezi Mungu uongo, au kupinga maelekezo ya Mwenyezi Mungu yalio kuja kabla ya Quran na kabla ya kuzaliwa Muhammad.
SASA TUISOME HII TABIA YA KIKAFIRI KWA ALLAH WA WAISLAM.
Quran 2:106
Aya yoyote TUNAYOIFUTA AU KUISAHAULIZA tunaleta iliyo bora kuliko hiyo au iliyo mfano wake. Hujui kuwa Mwenyezi Mungu anao uwezo juu ya kila kitu?
Kwanini Allah alikuwa anafuta aya zake? Je, tutawezaje iamini Quran iliyi futwa futwa? Ndio maana nasema hii Quran iliyo chakachuliwa ndio inayo wakafirisha Waislam.
Mwandishi maarufu wa Kiislamu-Caliph Uthman aliandika Quran na kuchoma aya ambazo hakupendezwa nazo! (Sahih Bukhari 6:61:510)
Hakuchoma tu aya za Quran bali Sura nzima ya kuran ilipotea na kusahaulika. (Sahih Muslim 5:2286)
Vile vile, aya zingine zilifutwa kwa maksudi. (Bukhari 6:61:527).
Mohammad aliwaagiza waislamu kujifunza uislamu kutoka kwa Quran ya Ubai na wala sio ambayo Zayd Ibn Thabit aliandika (ambayo ni ya kisasa) tazama (Bukhari 6:61:521).

HISTORIA FUPI YA BIBLIA NA UTHIBITISHO KUWA HAIJACHEZEWA WALA CHAKACHULIWA


Ndugu msomaji,
Katika nakala hii kuhusu Biblia, nitaanza kwa kujiuliza maswali:
Je, Biblia tunayo isoma hii leo imechakachuliwa?
Je, Biblia tunayo isoma hii leo imejaa shaka au imeharibika au ilibadilika au imechezewa?
Je, Biblia tunayo isoma hii leo, imetiwa mkono wa mtu?
Hayo ni maswali muhimu sana, maana waumini wa dini zingine ambazo hawatumii Biblia kama kitabu chao kikuu, huwa wanadai kuwa, eti Biblia imechakachuliwa na sio maneno ya Mungu.
Ikumbukwe kuwa vitabu vya Agano la Kale viliandikwa kutokea takribani 1400 BC (Kabla Yesu azaliwe) hadi 400 BC. Vitabu vya Agano Jipya viliandikwa kutoka wastani wa AD 40 hadi AD 90. Hivyo, popote kati ya 3400-1900 miaka imepita tangu kitabu cha Biblia kilipoandikwa. Pia wakati huu, vitabu vya Biblia vilikuwa vimenakiliwa tena na tena. Nakala ya nakala ya nakala zimechapishwa. Kwa mtazamo huu, tunaweza bado kuiamini Biblia kuwa bado ni thabiti na imekamilika.
Awali, Mungu aliwaongoza watu kuliandika neno lake, ilikuwa ni pumzi ya Mungu na isiyo na makosa (2 Timotheo 3:16-17; Yohana 17:17). Hakuna mahali Biblia inatumika nakala hizi za kitabu cha kwanza. Kwa kina kama walimu wa Sheria waliokuwa pamoja wametoa nakala zingine za maandiko, hakuna mtu mkamilifu. Kwa matokeo, tofauti ndogo ndogo za kiuchapishaji "typo" katika nakala mbalimbali za maandiko, hili ni jambo la kawaida katika uchapishaji wa kitabu chechote kile. Yote ya maelfu ya Kigiriki na Kiebrania ambazo ziko hii leo kama ilivyo gunduliwa mwaka 1500 AD.
Hata hivyo, msomi asiye na ubaguzi wowote atakubaliana nami kwamba Biblia imehifadhiwa vizuri sana katika karne zilizopita. Nakala ya Biblia ya karne ya 14 AD ii karibu sana kwa maudhui ya nakala kutoka karne ya 3 AD. Wakati nakala za bahari ya Shamu ziligunduliwa, wasomi walishangaa kwa kuona jinsi zimekaribiana na nakala nyingine ya kale ya Agano la Kale, hata kama nakala za Bahari ya Shamu zilikua za miaka Zaidi ya kitu chochote awali kugunduliwa. Hata wengi wa wakosoaji wa Biblia hukubali kwamba Biblia imevukishwa zaidi ya karne mbali kwa usahihi zaidi kuliko hati nyingine yoyote ya kale.

TRENDING NOW