Wednesday, August 10, 2016

UDHAIFU WA ALLAH NA SABABU ZINAZO MFANYA ALLAH KUTO KUWA AKBAR.


Katika somo letu la leo, ningependa tusome mambo kadhaa ambayo Allah wa Uislam hana uwezo na mamlaka juu yake.
Waislam wanatuambia kuwa Uislam ni dini ya Allah ambaye hana uwezo wa kufanya yafuatayo:
Anasema hakuna wa kumsaidia katika udhaifu wake!
Q17:111 Na sema: Alhamdulillah,Himdi zote ni za Allah ambaye hana mwana,wala hana mshirika katika ufalme,wala hana rafiki wa kumsaidia KWA SABABU YA UDHAIFU WAKE. Na mtukuze kwa utukufu mkubwa.
MASWALI!
1. Udhaifu wake ni upi?
2. Kwanini Waislam wanampigania huyu Allah dhaifu?
Allah hana uwezo wa kuishi ndani ya binadamu. [Allah is not omnipresent]
Allah hana uwezo wa kuzungumza na kusikia lugha yeyote ile zaidi ya Kiarabu. Majlisi, Bihar al-Anwar, vol. 11, pg. 56; vol. 8, pg. 218 and 286 and vol. 10, pg. 81, al-Wafa Institute, Beirut, 1404 ah. and Tabarsi, Aminuddin, Tafsir Majma’ul-Bayan, vol. 2, pg. 206, Beyrut, Dar al-Ihya’ al-Torath al-Arabi.
Allah hasikii na hajibu maombi ambayo hayakuombwa Kiarabu See: Tawfiqi, Husein, Arabi, Nemune’i az Zabane Moqaddas, the Haft Aseman Periodical, no. 27. and Ibid, vol. 12, pg. 87.
Allah hawezi kusikia maombi ambayo yanaombwa bila ya kuangalia Makkah. Quran 2:148-149
Allah hana uwezo wa kumzuia Shetani kuishi ndani ya Pua yako wakati umelala. (Sahih Muslim, Book 002, Number 0462)
Allah hana uwezo wa kumkataza Shetani asikojoe kwenye masikio yako unapo pitiwa na usingizi. The Hadith (Bukari vol. 2 no. 245)
Allah hana uwezo wa kutetea vitabu vyake, ingawa alidai anaweza. S. 15:90-93 Shakir
Allah hawezi kusikia maombi yako kama kuna Mwanamke au Mbwa au Punda karibu na sehemu unayo fanyia maombi. Sahih Bukhari 1:9:490, Sahih Bukhari 1:9:493

MAPEPO NI NINI? (SEHEMU YA KWANZA)


Lengo Kuu: Kujua Mapepo na kazi zake.
Lengo Mahsusi: Kujua namna ya kuzishinda roho za kipepo na kazi zake.
MAPEPO
Ni roho chafu, roho za mashetani, ziwaingiazo watu ili kuwatesa kwa magonjwa na mateso anuwai.
“Naye Yesu akisha kuona kuwa mkutano unakusanyika mbio, akamkemea yule pepo mchafu akamwambia, Ewe pepo bubu na kiziwi,mimi nakuamuru mtoke huyu, wala usimwingie tena”(Marko 9:25) pia (Mt 4:24 &7:22).
Sifa kuu ya Mapepo ni kuwa, hayana umbo, nyama wala mifupa. Ni roho, na roho haiwezi kuwa na mwili wala mifupa (Luka 24:39)”....ni shikenishikeni, mwone; kwa kuwa roho haina mwili wala mifupa...” Isipokuwa, Huweza kuingia ndani ya mwili wa kiumbe hai na kuvaa umbo na sura yake.
Kumbuka: Hii ziyo mizimu au Roho za wafu. Mtu akishakufa, roho yake haina uwezo wa kurudi duniani. Usidanganyike. Fuatilia kisa cha tajiri na masikini, roho ya tajiri haikuweza kurudi duniani. (Luka 16:27-31)
Wala, roho hizi (mapepo) siyo malaika walioasi, kwa kuwa wao wametekwa na tayali wako kwenye kamaba zao wakingoja siku ya hukumu (Yuda 1:16,2Petro 2:4)
Swali: Je, mkuu wa mapepo ni nani? Ili kupata jibu fuatana nami.....
Biblia katika kitabu cha Marko 3:22, imeeleza wazi, aliye mkuu wa mapepo. Naye ni Beelzebuli. Hili ni dhahili, kuwa huyu ndiye mkuu wa mapepo na ndiye pepo mkuu.
Je, mapepo yanamfahamu Mungu, yanamchukuliaje?Mepepo yanafahamu fika kuwa Mungu yupo. Tena yanajua kuwa Mungu anauwezo na nguvu zaidi yao, ndiyo maana humwogopa. (Yakobo 2:19).”Wewe waamuni ya kuwa Mungu ni mmoja; watenad vema.mashetani nao wanaamini na kutetemeka”
Kama vile mapepo yanavyomogopa Mungu na hata kutetemeka, kadharika mtu asiye na roho wa Mungu, huyaogopa mapepo. Je, hujaona mtu anaogopa kulala peke yake ndani, pengine hata mchana huogopa kubaki nyumbani peke yake wengine wanapokuwa hawapo? Hata wanafunzi wa Yesu, kabla ya kumpokea Roho Mtakatifu, walikuwa waoga juu ya pepo. (Mathayo 14:26,Luka 24:37). Hivyo, watu wote, wanapaswa kuokoka na kupokea nguvu ya Roho mtakatifu ili kuwashinda mapepo na kazi zao zote.
Zingatia hili, mapepo yananao uwezo wa kutenda miujiza kupitia watu, vitu na hata wanayama ili kuwadanganya watu na miujiza yao ya uongo (Ufunuo 16:14).
Hakika, kazi za mapepo zikidhibitiwa vilivyo, kazi zote za adui/ shetani zitakuwa zimeshindwa na maangamizi yote ya kipepo hayatapata nafasi tena. Amen.
Je, kuna uhusiano gani kati ya watu/ binadamu na mapepo? Chanzo/asili yake ni nini? Endelea kufuatana nami toleo lijilo....... Somo: Mapepo ni nini?
FUATILIA SEHEMU YA PILI

TAFITI ZA KIMATAIFA ZAONYESHA KUWA UKRISTO WAFIKIA ASILIMIA 60 TANZANIA



UTAFITI UNAONYESHA KUWA WAKRISTO TANZANIA NI WASTANI WA ASILIMIA 60
Tafiti tatu zinaonyesha kuwa Ukristo unakua kwa kasi sana Tanzania, huku tafiti ya "INTERNATIONAL RELIGIOUS FREEDOM REPORThttp://www.state.gov/documents/organization/208416.pdf " ikionyesha kuwa Ukristo Tanzania ni asilimia 60.
Tafiti nyingine ya ACNUK inayonyesha kuwa Wakristo Tanzania ni asilimia 53.2 na Tafiti ya RE WORLD ORGhttp://www.refworld.org/pdfid/4d7621f72.pdf inaonyesha kuwa Wakristo Tanzania ni asilimia 62.
Tafiti kumi zinasema kuwa Uislam unakufa Tanzania, huku tafiti kumi zingine zinasema kuwa Ukristo umevuka asilimia 50.
Tuendelee kufanya kazi ya Bwana wetu Yesu, maana hata Tafiti za Kimataifa zinaonyesha kuwa Yesu anaendelea kuzoa malundo kwa malundo kila siku.
Tumsifu Yesu Kristo, mile na milele maana kazi yake ya Msalabani haikuwa ya bure. Matunda yake sasa yanaonekana Tanzania.
Mungu awabariki sana na kwa wale ambao hawajabahatika kuwa Wakristo, tunawakaribisha sana.
Max Shimba Ministries Org.

MUNGU NDIYE MWEMA. JE, YESU NI MWEMA?



Leo nitajibu HOJA ya Waislam ya Mungu Ndiye Mwema.
Waumini wa dini ya Kiislam katika Mihadhara mbalimbali ya kidni wamekuwa na tabia ya kutumia aya 18-19 iliyopo katika Luka Sura ya 18, inayo sema Mungu Ndiye Mwema. Waislam wanadai kuwa, katika aya hii, Yesu amekana kuwa yeye si "MWEMA" na kuwa Mungu Pekee ni Mwema, hivyobasi, kukana kwa Yesu kuwa yeye si Mwema kunapinga Madai ya Wakristo kuwa Yesu ni Mungu.
Kwa hivyo utaona kuwa wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu hufundisha jamii kwa kutumia Qurani na Biblia na kusema kuwa eti Yesu amekana kuwa yeye si MWEMA. Fundisho hili la "MUNGU PEKEE NDIYE MWEMA" wanalieneza kwa kupitia Mitandao mbalimbali kama ya Radio, Vijarida, Mihadhara, vitabu na Kanda (cassettes) za Video na Audio. Na hivyo kuwafanya baadhi ya Wakristo kuacha Imani yao na kuingia katika Dini ya Uislamu. Na baadhi ya Wakristo wengine ingawa hawajabadili dini wanaamini hivyo. Swali la muhimu la kujiuliza kwa kila Mkristo, je, ni kweli Yesu alikana kuwa yeye si MWEMA? Nakusihi fuatilia somo hili kwa makini ili kujua Ukweli wa aya hii:
Luka 18.18-19 "Tena mtu mkubwa mmoja alimuuliza Yesu, akisema, Mwalimu Mwema, nifanye nini ili kuuruthi uzima wa milele? Yesu akamwambia mbona unaniita Mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, Naye ndiye Mungu".
Ukitazama kwa haraka haraka namna wahadhiri hao wa Dini ya Uislamu wanavyoifunda hii aya ya Biblia unaweza ukashawishika kuamini hicho wanachokifundisha, lakini ni vyema tukajifundisha kwa undani kadiri majibu ya Yesu kuwa "Mungu Pekee Ndiye Mwema" kisha tuone kama kuna ukweli juu ya hayo mafundisho yao, ya kusema kuwa Yesu kakataa kuwa yeye si Mwema na hivyo kunamfanya kuwa yeye si Mungu.
Haya tuanze utafiti wetu.

JE, UNAFAHAMU KUWA ALLAH WA WAISLAM NA SHETANI NI YULE YULE MMOJA KUTOKANA NA QURAN YAO WENYEWE?



Katika ujumbe wa leo, nitaweka ushaidi wa Kibiblia na Koran ambao unatuambia kuwa, Allah ambaye ndie mungu wa dini ya Kiislamu anasifa zote za Shetani wa kwenye Biblia.
Biblia inasema kuwa MUONGO ni yeyote yule anaye sema Yesu si Kristo na anaye mkana Baba(Jehovah) na Mwana (Yesu).
Hebu tusome kwanza Biblia:
1 Yohana 2:22-26; Je, mwongo ni nani? Mwongo ni yule anayekana kwamba Yesu si Kristo. Mtu huyo ndiye mpinga-Kristo, anayemkana Baba na Mwana. 23 Mtu anayemkana Mwana hawezi kumjua Baba; mtu anayemkiri Mwana anamjua na Baba pia. 24 Hakikisheni kwamba ujumbe mliosikia tangu mwanzo unadumu mioyoni mwenu. Ujumbe huo ukikaa mioyoni mwenu, ninyi pia mtadumu ndani ya Mwana na ndani ya Baba. 25 Na yeye ametuahidi uzima wa milele. 26 Ninawaandikia mambo haya kuhusu wale wanaojaribu kuwapo tosha.
Biblia inatufundisha kuwa, mwongo ni mtu yeyote yule anaye pinga kuwa Yesu si Kristo, zaidi ya hapo, Biblia inaendelea kutufundisha kuwa mtu anaye mkana Yesu hawezi kumjua Baba yake. Kumbe ndio maana Waislam wanasema kuwa Mungu hawezi kuwa Baba na wala hana Mwana!
Allah wa Koran anamkata Yesu kama Mwana na anakana kuwa Jehovah si Baba wa Yesu. Soma Quran hapa chini.
Quran 19:35. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapo lihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa.
Katika Surah Maryam hapo juu, Allah anasema kuwa Mwenyezi Mungu hana Mwana, jambo ambalo ni kinyume na aya tuliyo isoma kutoka Biblia kuwa, Muongo ni mtu na au kiumbe chechote kile kinacho pinga kuwa Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu na anaye mkana Baba yake (1Yohana 2: 22-26). Allah amesha mkana Baba, hivyo basi Allah teyari amenyakuwa sifa ya uongo.

JE, UNAFAHAMU KUWA SIFA YA KWANZA YA KAFIRI NI KUPINGA UWEPO WA MUNGU AMBAYO NI SHAHADA YA WAISLAM?



Ndugu msomaji,
Hakuna ubishi katika hili, kuwa Dini inayo thibitisha kuwa wao ni Makafiri ni ya Uislam.
Ngoja niweke maana ya hiyo SHAHADA neno kwa neno:
Maneno hayo manne "lâ ilâha illâ allâh" yana maanisha hivi:
:
lâ = HAKUNA, no, not, none, neither
ilâha = MUNGU, a god, deity, object of worship
illâ = ISIPOKUWA but, except (illâ is a contraction of in-lâ, literally if not)
allâh = ALLAH, allâh
Kama tulivyo soma hapo juu maana ya hayo maneno Manne. Utangundua kuwa Neno ILAHA maana yake ni MUNGU na Neno ALLAH halina Tafsir na kubakia ALLAH (Thibitisha kupitia Al Tafsir Kitengo cha Tafsir cha Serikali ya Saudi Arabia/ http://www.altafsir.com/).
Huo ndio mtego wenyewe. Kumbuka Allah hana wa kufananishwa na au linganishwa.
Allah Anasema:
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ وَهُوَ السَّمِيعُ البَصِيرُ
"Hapana kitu kama mfano wake. Naye ni Mwenye kusikia Mwenye kuona."
Ash-Shuuraa – 11
Hivyo basi, Allah ni Kafir. Muhammad ni Kafir na Waislam wote ni Makafir maana wote wanapinga Uwepo wa Mungu kwa kusema Shahada.
Hivyo Kumfananisha Allah na Mungu wa Buddah, au Mungu wa Rasta Fari au na Mungu wa Wabantu ni KUKUFUR. Allah yeye kasema hana wa kufananishwa wala linganishwa. Kumbe basi Allah sio Mungu.
Nini Maana ya Kafiri?

MAPEPO NI NINI? (SEHEMU YA PILI)



Somo: Mapepo ni nini?
Lengo Kuu: Uhusiano Baina ya Mtu na mapepo
Lengo Mahsusi: Kujua namna ya kuzishinda roho za kipepo na kazi zake.
Uhusiano Baina ya Mtu na mapepo.
Bwana Yesu asifiwe sana,
Ndugu zangu wapendwa, karibu katika mwendelezo wa somo letu. Katika sehemu iliyotangulia, tulijifunza dhana ya pepo, asili na mkuu wa mapepo. Pia, tuligusia kwa ufupi juu ya utiifu wao juu ya Mungu na hatua ya kuchukua ili kukabiliana na uhalifu unaoendelezwa na mapepo kupitia maombi, toba na kulishika neno la Bwana.
Ndugu mpendwa, katika sehemu hii, tutachunguza Uhusiano uliopo baina ya mtu/binadamu na mapepo.
Tunaposema uhusiano katika muktadha huu, tunamaanaisha, vitu vinavyoweza kumkutanisha mwanadamu na pepo/ roho wabaya.
Yafuatayo ni baadhi ya maeneo yanayoweza kuwakutanisha binadamu na mapepo:-
(a) Sadaka- mwanadamu katika kukamilisha ibada zake, huweza kujikuta anatoa sadaka kwa mapepo. Tukio hili huweza kudumisha uhusiano baina yake na pepo. Zoezi hili, linafahamika sana kama tambiko, amabapo zawadi za wanyama, pombe, mazao mbali mbali na pesa pia hutolewa kwaajili ya masuala ya kiibada.
Sambamba na hili, wakuu wa ibada hizi, hujihusisha na shughuli za uaguzi, uganga, utabili na kubashiri,ramuli n.k.
Kwakufanya ibada hizi,mwanadamu hujifungamanisha na mapepo/ roho wachafu na kuongozwa nao.
Mara nyingine, watu hufanya ibada hizi wakidhani wanamwabudu Mungu na sadaka hizi wanamtolea Mungu, kumbe siyo kweli (Kumbukumbu la Torati 32:17).
Ndugu zangu, ibada hizi ni machukizo kwa Mungu na hapendezwi nazo. Mungu huchukia ibada hizi, yeye hafurahii ibada za namna hii kwakuwa ni ibada za mashetani.(1Wakorintho 10:20-30)
(b) Dhambi na Upagani- huu ni mlango mkuu wakuwanganisha watu na mapepo. Watu wengine hudhania kuwa wapagani hawatahukumiwa, ndugu yangu hukumu ipo tuu, ili mradi tu wewe ni binadamu, lazima hukumu ipo. Kujitenga na Mungu kwa kutenda dhambi adhabu yake ni hukumu, na hata mpagani atahukumiwa kwa dhamili yake. (1Timotheo4:1&2). Ndugu mpendwa, kubali leo umpokee Yesu, awe Bwana mwokozi wako, uwe huru.

SIFA KUBWA YA KAFIRI NI KUPINGA KUWA YESU NI MWANA WA MUNGU



KAFIRI SIO TUSI BALI NI JINA TUU LENYE MAANA YA MPINGA IMANI AU DINI AU ANAEENDA KINYUME NA AMRI ZA MWENYEZI MUNGU ZILIZO KUWEPO KABLA YA QURAN.
KUMBE WAISLAM NI MAKAFIRI MAANA WANAPINGA KUWA YESU NI MWANA WA MUNGU.
SHALOM TENA,
Kwa mara nyingine twamshukuru Yehova Mungu kwa kutupa neema hii tena ili tuweze kukufikishia ujumbe huu wa Biblia na kweli zake kuhusu sifa ya Makafir. Watu wengi hawajua Kafiri ni nani na au tabia za Makfiri ni zipi.
Watu wengi huchukia na wengine kupigana kisa kaitwa kafiri.
Wengi hufuata mkumbo tuu bila kujua maana halisi ya neno Kafiri. Baada ya kuangalia katika wikipedia utakuta neno Kaffir ni neno la kiarabu lenye maana “non believer” yaani asiye muumini/mpingaji au mpinzani (protestant) wa dini au imani flani. Zaidi ya hapo, iliisha fafanuliwa katika Qur'an kuwa Kafiri ni mtu anaye kufuru, na au pinga Maneno ya Mwenyezi Mungu.
Biblia iliyo kuwepo miaka 632 kabla ya kuandikwa kwa Quran na kabla ya kuzaliwa kwa Muhammad inatuambia kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu. Hivyo basi, kufuatana na ushahid wa NENO KAFIRI la MPINGAJI WA IMANI AU DINI FULANI, yeyote yule atakae kuja baada ya Hizi aya za Luka 1-30-35 ZINAZOKIRI KUWA YESU NI MWANA WA MUNGUI LAZIMA AWE KAFIR. Maana anapinga maneno ya Yehova Mwenyezi Mungu aliye umba kila kitu aliyoyasema miaka 632 kabla ya Quran.
Allah analifahamu hilo kuwa Yesu aliitwa Mwana wa Mungu na hakusema chochote kile kwa miaka 632. Lakini baada ya kuzaliwa Muhammad Allah anapinga Maneno ya Yehova wa kwenye Biblia kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu. HII TABIA YA KUPINGA KILICHO KUWEPO KABLA NDIO SIFA MOJA WAPO YA KAFIRI. ALLAH NA WAISLAM WAMEFANIKIWA KUINYAKUA HII SIFA YA KAFIRI.
Hebu tuisome kwanza hiyo aya ya Yesu kuitwa Mwana wa Mungu.
YESU KRISTO: YEYE NI MWANA WA MUNGU.

JE, UNAFAHAMU KUWA UISLAM NDIO DINI YA MPINGA KRISTO?


1. Biblia inathibitisha kuwa Allah na Uislam ni Wapinga Kristo
2. Quran inakiri kuwa Yesu si Mwana wa Mungu
3. Kumbe Dini ya Uislam ni ya Mpinga Kristo
Ndugu Msomaji,
Leo nitawathibitishia kwa kutumia Biblia na Quran kuhusu nani ni Mpinga Kristo. Hebu tuanze kwa kusoam neno la Mungu.
WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 4:1-6
Wapenzi msiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho kwamba zimetokana na Mungu, kwa sababu manabii wa uongo wametokea duniani. Katika hili mwamjua Roho wa Mungu , kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu. Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya Mpinga Kristo, ambayo mmeisikia kwa yaja , na sasa imekwisha kuwako duniani, ninyi watoto wadogo mwatokana na Mungu nanyi mmewashinda kwa sababu yeye aliye ndanii yenu ni mkuu kuliko yeye aliyeko katika dunia.hao ni wa dunia , kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia. Sisi twatokana na Mungu . yeye amjua Mungu atusikia na yeye asiyetokana na Mungu hatusikii. Katika hili twamjua Roho wa kweli, na roho ya upotevu.
Kwanza: Biblia inatufundisha kuwa Mpinga Kristo ni yule ANAYEKATAA KUWA YESU KRISTO HAJAJA KATIKA MWILI…YANI SIYE MWANA WA MUNGU, Soma (2 Yohana 1:7) na hapa tunawaona Waisilamu ndiyo namba moja wa kukataa hilo, sasa je, ni nani ni Mpinga Kristo kama si nyinyi waislamu? Isitoshe bado mnakazania kuwa YESU SIYE KRISTO Kwa madai kuwa eti huyo Kristo ni wa Paulo, na hapo pia Biblia inatuthibitishia kuwa nyinyi waislamu ndiyo haswa ni Wapinga Kristo…tazama na uthibitishe mwenyewe kwenye (1 Yohana 2:22).
Sisi Wakristo lazima tufahamu kuwa Mpinga Kristo kwa mujibu wa Biblia ni yule anayekataa kuwa YESU KRISTO NI MWANA WA MUNGU ALIYESHUKA KATIKA MWILI ILI KUTUOKOA SISI WANADAMU HAPA DUNIANI…Huu ndiyo msingi wetu sisi Wakristo ambao Waislamu wote duniani wamefundishwa na mungu wao Allah kuupinga kabisa kabisa msingi huu…Sasa lazima tujiulize Mpinga Kristo haswa ni nani? Jibu ni rahisi mno ‘ALLAH NA DINI YAKE YA UISILAMU’.

WATU ZAIDI YA MILIONI MOJA NCHINI INDIA WAMEMPOKEA YESU NA KUWA WAKRISTO



Mkutano mkubwa wa Injili ya Bwana wetu Yesu Kristo uliofanyika India umethibitisha kuwa YESU NI YULE YULE JANA LEO NA HATA MILELE.
Bill Wills ambaye ni mmoja ya watu ambao wapo kwenye kampeni ya kuitangza Injili ya Yesu Kristo amesema kuwa, Yesu anaokoa kwa njia ya ajabu sana. Alisema, baadhi ya vijiji VIZIMA VIMEMPOKEA YESU KWA MPIGO.
HII NI HABARI NJEMA KWA MATAIFA YOTE. YESU NI YULE YULE JANA LEO NA HATA MILELE.
Isoma habari kamili hapa:

TRENDING NOW