Tuesday, September 6, 2016

ALLAH ATEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAMU




1. ALLAH ASEMA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM
2. MUHAMMAD AKIRI KUWA YEYE NA BABA YAKE WATAINGIA JEHANNAM
3. ALLAH NA YEYE ATHIBITISHA KUINGIA JEHANNAM
Jamani huu ni Msiba katika taifa la Islam kwa kushindwa kusoma aya hii ambayo ipo wazi (Quran 40:60) http://www.quranitukufu.net/040.html .
Katika mada hii, nitawawekea aya kutoka Koran na simulizi za Muhammad ambazo zinatushuhudia kuwa, Waislam wote wataingia Jehanamu.
Hebu tumsome kwanza Allah katika aya aliyo iteremsha kwa Mtume wake Muhammad (Pbuh).
Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
http://www.quranitukufu.net/040.html
Mungu wa Waislam ajulikanaye kwa Jina la Allah amesema kiuwazi kabisa kuwa “wale wote ambao wanajivunia Uislam na kumuabudu Allah wataingia Motoni ili wadhalilike”
Ndugu zanguni, huu ni Msiba, tena msiba mkubwa sana katika dini na taifa la Kiislam. Allah amesha toa hukumu kwa wamfuatao na inafahamika fika kuwa, Wale wote waingiao Jehannam, hao walikuwa hawafanyi Mapenzi ya Mungu wa Biblia. Allah anasema kuwa, ukifanya mapenzi yake, basi wewe utaingia Jehannam. Huu ushaidi ndio tulio usoma katika Quran 40:60.http://www.quranitukufu.net/040.html
Sasa tuwasikilize na maswahiba wa Mtume Muhammad.
Simulizi:Pia imesimuliwa na Ibn Jarir, iliyosimuliwa na Abu Kurayb, imesimuliwa na Ibn Yaman, imesimuliwa na Ibn Malik Maghul, imesimuliwa na Ibn Ishaq ambaye alisema, "Kila mara Abu Maysarah anapo kwenda kulala na akiwa kitandani kwake yeye husema, 'Mimi nasikia Uchungu kuzaliwa na Mama yangu. 'na kisha anaanza kulia kwa Machozi. Alipoulizwa kwa nini alikuwa akilia, alijibu yafuatayo,' Tuliambiwa na Mtume wa Allah kwamba SISI WAISLAMU tutaingia Jehannamu, LAKINI HATUKUAMBIWA kwamba TUTATOLEWAJE HUKO JEHANNAMU NA HATUKUAMBIWA NI KIVIPI TUTATOKA HUKO'"

ALLAH KASEMA KUWA WAISLAM SIO WATOTO WA MUNGU


1. Uislam ni dini ya yatima na Watwana.
2. Ukristo ni imani pekee yenye Mungu Baba na Wakristo ni watoto wa Mungu.
MUHAMMAD ANASEMA KUWA ALLAH SIO BABA
Surat Al Maida 18. Na Mayahudi na Wakristo wanasema: Sisi ni wana wa Mwenyezi Mungu na vipenzi vyake. Sema: Basi kwa nini anakuadhibuni kwa ajili ya dhambi zenu? Bali nyinyi ni watu tu kama wale wengine alio waumba. Humsamehe amtakaye na humuadhibu amtakaye. Na ni wa Mwenyezi Mungu tu ufalme wa mbingu na ardhi. Na marejeo ni kwake Yeye.
Kama aya inavyo sema hapo juu, Muhammad na Allah wanakana kuwa Wakristo na Wayahudi sio watoto wa Mungu, eti kwasababu ya Allah kuto kuwa na mwana bila ya Mke. Hii aya inapingana na Biblia ambayo inasema kuwa sisi ni watoto wa Mungu.
WAKRISTO NI WATOTO WA MUNGU
Waebrania 12: 7 Ni kwa ajili ya kurudiwa mwastahimili; Mungu awatendea kama wana; maana ni mwana yupi asiyerudiwa na babaye? 8 Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali. 9 Na pamoja na hayo tulikuwa na baba zetu wa mwili walioturudi, nasi tukawastahi; basi si afadhali sana kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi? 10 Maana ni hakika, hao kwa siku chache waliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali yeye kwa faida yetu, ili tuushiriki utakatifu wake.
Yeremia 31:
18 Hakika nimemsikia Efraimu, akijililia hivi, Umeniadhibu, nami nikaadhibika, kama ndama asiyeizoelea nira; unigeuze, nami nitageuzwa; kwa maana wewe u Bwana, Mungu wangu.
19 Hakika baada ya kugeuzwa kwangu, nalitubu; na baada ya kufundishwa kwangu, nalijipiga pajani; nalitahayarika, naam, nalifadhaika, kwa sababu naliichukua aibu ya ujana wangu.
Muhammad alikuwa bila ya matunzo na malezi ya Baba na mama yake. Baba yake alikufa kabla ya muhammad kuzaliwa, na Mama yake alikufa alipo kuwa na miaka sita [6] . Huyu Muhammad kwanza aliishi na babu yake na kwa muda mwingi aliishi na wajomba zake. MUHAMMAD ALIKOSA MALEZI BORA YA WAZAZI WAKE NDIO MAANA ANACHUKIA SANA WAKRISTO PALE WANAPO SEMA KUWA MUNGU NI BABA YETU. Hii chuki ilimuingia kwasababu yeye alikuwa hana baba na kuanza chuki kubwa kubwa kwa Mungu.

WANASAYANSI WA NASA WATHIBITISHA KUWA BIBLIA NI KITABU THABITI NA HAKINA SHAKA NDANI YAKE


Wanayansi baada ya kusoma kitabu cha Joshua 10:13 kuhusu kusimama kwa jua kwa siku moja, walipatwa na butwaa kwa jinsi Biblia livyo thabit na sahihi kuliko vitabu vyote duniani.
Bwana Harold Hill, Rais wa Curtis Engine Company huko Baltimore, Maryland, USA, na vile vile ni mshauri wa "SPACE PROGRAM" alisema baada ya kuisoma Biblia aligundua kuwa habari ya Joshua ni thabit na kama isinge tokea basi dunia ingepata matatizo miaka 1000 kutokea sasa.

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA PILI)

                        

ALLAH AMEKATAA KUITWA YEHOVA KWENYE QURAN
KUMBE ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU WA IBRAHIM, ISAKA, YAKOBO, NK.
Ndugu msomaji,
Wahadhiri wa Dini ya Uislamu hufundisha jamii kwa kutumia Qurani na Biblia na kusema Allah Sub-Hana Wataala ndiye YEHOVA. Fundisho hili wanalieneza kwa kupitia Radio, Vijarida, Mihadhara, vitabu na Kanda (cassettes) za Video na Audio. Na hivyo kuwafanya baadhi ya Wakristo kuacha Imani yao na kuingia katika Dini ya Uislamu. Na baadhi ya Wakristo wengine ingawa hawajabadili dini wanaamini hivyo. Swali la muhimu la kujiuliza kwa kila mkristo, je, ni kweli Allah anaye ogopa kutaja Jina la Yehova kwenye Quran ndiye Yehova kama Biblia inavyotufundisha?
Yehova ni Jina la Mungu ambalo kwa Kiingereza anaitwa Jehovah na kwa Kiebrania anaitwa יהוה (YHVH) na kwa Kiarabu anaitwa ( yahuh ) au ( يهوه ). ngoja niweke kwa urahisi ili wafuasi wa Muhmmad waelewe;
1. Kiebrania = יהוה (YHVH)
2. Kiingereza = Jehovah
3. Kiswahili = Yehova
4. Kiarabu = yahuh ( يهوه )
Nimeweka kwa kutenganisha kwa kila lugha kwa sababu moja. Waislam wao wanadanganya eti maana ya Yehova ni Allah, huki ikifaamika kuwa Yehova ni JINA LA MUNGU NA SIO WASIFA.
Katika Sahih hadith tunasoma kuwa:
Ime Hadithiwa na Abu Huraira:
Allah ana majina tisini na tisa, Mia toa moja, na yeyote atakayo amini maana zake na kufanya ya pasavyo, ataingia peponi. Na Mwenyezi Mungu ni witr(Mmoja) na anapenda witiri (idadi isiyo gawanyika kwa mbili ikajitosheleza).(Bukhari 6410)
Allah anakiri kuwa yeye ana majina 99, ona kupitia hii linkhttps://ibadhi.com/vipindi/416-dua-mchanganyiko/6238 NA HAKUNA JINA LA YEHOVA KATIKA HAYO MAJINA 99 YA ALLAH.
SASA TUMSIKILIZE MUNGU WA KWENYE BIBLIA ANAVYO JITAMBULISHA KWA WANADAMU.
Isaya 42:8 Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu; nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe, wala sitazipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.
"Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni Yehovah". (Kutoka 6:2).
Kutoka 6: 3 nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.https://www.wordproject.org/bibles/sw/02/6.htm#0
Mwenyezi Mungu ambaye ni Mungu wa Ibrahim, Isaka, Yakobo nk anatuambia kuwa, yeye Jina lake ni Yehova. SASA KWANINI ALLAH ANAKATAA AU OGOPA KUSEMA KUWA YEYE NI YEHOVA KWENYE QURAN?
SASA ANGALIA ALLAH ANAVYO JITAMBULISHA KWA MUHAMMAD:
"Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah..." (Qur’an. 47:19)
Unaona vituko vinaanza kwa huyu Allah. Allah anaogopa kutamka Jina la yehova?
SASA ANGALIA MUNGU ANAVYO JITAMBULISHA KWA DAUDI:
"Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehovah, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)
ANGALIA MUNGU ANAVYO JITAMBULISHA KWA ISAYA:
"Mimi ni YEHOVA, Hilo ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu". (Isaya 42:8)
Leo nimeweka ushahid wa tafsir kutoka lugha mbali mbali na tumeona kuwa Yehova kwa Kiarabu ni "yahuh ( يهوه )" na hilo Jina halipo kwenye Quran.
Zaidi ya hapo, nimeweka aya kadhaa kuonyesha jinsi Mungu alivyo jitambulisha kwa Manabii wake, na umeona tofauti hapo. Allah anajiita Allah kwa Muhammad, LAKINI MWENYEZI MUNGU alipo ongea na Manabii wake wa KWELI alijiita na kusema kuwa JINA LAKE NI YEHOVA.
SASA, kwanini nimfuate Allah ambaye anapinga Jina la Yehova Mungu wa kweli?
Kwanini Allah aliogopa kuweka Jina la Yehova kwenye Quran?
Nakusihi ufanye utafiti wako mwenyewe na uone kama kuna sehemu yeyote ile Allah amejiita Yehova kwenye, Quran, kama ukikosa aya, basi elewa kuwa ALLAH SIO MUNGU WALA MWENYEZI MUNGU WALA MUNGU WA ADAM, AU IBRAHIM, AU ISAKA, AU YAKOBO AU DAUDI, NK, bali Allah ni Mpinga Mungu.
Nawakaribisha Waislamu wote kwa Mungu wa Kweli anaye itwa YEHOVA.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Dr. Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu 
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

MASHOGA WA KIISLAM WAFUNGUA MSIKITI WAO KANADA, MAIMAMU WA KIKE KURUHUSIWA KUONGOZA IBADA.



Kundi la mashoga nchini Canada limetangaza mpango wa kufungua umoja na kujenga msikiti katika mji wa Halifax ulioko mashariki ya nchi hiyo jimbo la Nova Scotia ambapo jamii ya mashoga, waliobadili jinsia na maimamu wanawake wataruhusiwa.
Kwa mujibu wa Syed Adnan Hussein mwanachama wa 'mambo ya kipuuzi' alisema wanampango wa kufungua msikiti huo kwa kuwa wamekuwa wakitengwa na kubaguliwa.
Aidha ameongeza kuwa msikiti huo utaruhusu maimamu wa kike katika ibada ya swala. Pamoja na kwamba hakuna takwimu sahihi ya mashoga katika Nova Scotia, Hussien amedai ni muhimu kupata sehemu ya ibada kwa ajili ya watu wa aina yao.
Mwanazuoni wa kiislamu aliyeko huko Halifax profesa Jamal Badawi anayefundisha chuo kikuu cha Saint Mary amesema kwanza kwa kufanya hivyo ni kupingana na mafundisho ya uislamu.
Amesema uislamu umeharamisha ndoa za jinsia moja, ushoga na kubadilisha jinsia. "Qurani imesema wazi ushoga haukubaliki, hivyo hawatengwi wala hawabaguliwi wanaambiwa mnachofanya ni haramu acheni", alisema profesa Badawi.
Aidha aliongeza kuwa, "Kila mtu ana haki ya kukubaliana au kutokubaliana na mawazo ya mtu yeyote. Lakini ubaguzi umekatazwa katika uislamu, kwamba sisi sote tunapaswa kuwa dhidi ya ushoga".
"Misikiti yote, kila mtu anakaribisha kufanya ibada bila kujali rangi wala jinsia", alisema Imam Ibrahim Alshanti.
Novemba mwaka jana, mashoga nchini Ufaransa katika mji wa Paris walifungua msikiti unaoruhusu wanawake kuingia bila ya hijabu.
http://www.cbc.ca/…/halifax-s-first-gay-friendly-mosque-ope…
https://themuslimtimes.info/…/toronto-mosque-is-gay-friend…/

WAISLAM WA MISRI WAONGOZA KULA NYAMA YA NGURUWE

UFUGAJI WA NGURUWE WAONGEZA KASI NCHINI MISRI
Cairo Misri:
Biashara ya ufugaji wa Nguruwe nchini Misri inakuwa kwa kasi baada bidhaa hiyo kuwa muhimi na hadimu kama Almasi. Inafahamika kuwa Misri ni nchi ya Kiislam lakini wakati huo huo ufugaji wa Nguruwe ambaye ni haram kutoka na dini yao unakuwa kwa asilimia nyingi.
Mfanya biashara wa Nyama ya Nguruwe ajulikanaye kwa Jina la Samir amesema kuwa hivi sasa nyama ya Nguruwe imekuwa kama dhahabu. Kila siku wao wanachinja Nguruwe zaidi ya wa tatu na kuuza katika maduka yao ya Nyama hiyo. Samir alisema kuwa wafanya biashara ya Nyama ya Nguruwe sasa wameongeza kipato maana bidhaa hiyo sasa inanunuliwa kupita kiasi ukilinganisha na miaka ya nyuma.
Hivi sasa Kilo Moja ya Nyama hiyo hadimu imepanda bei na kufikia (£4.30 za Uingereza) sawa na Shilingi Elfu Kumi na NNE (14000) za Tanzania.
Kwa habari zaidi kuhusu ufugaji wa Nguruwe Misri ingia hapa.
http://www.theguardian.com/…/morsi-overthrow-egypt-pork-far…
http://www.maxshimbaministries.org/

KUMBE MAJINI HAYANA DINI ISIPOKUWA NI UISLAMU TU

Maneno haya tunayapata katika kitabu cha “ULIMWENGU WA MAJINI NA VITUKO VYAO” kilichoandikwa na sheikh Said Hamis Mkama. Phone namba +255754913480 DSM.
E.mail:mkamasaid@yahooo.com
Katika uk. wa 6 Sheikh anasema.
Ayah hii ni uthibitisho jinsi majini yanavyoshirikiana na wanadamu katika baadhi ya mambo kama Mwenyezi Mungu anavyosema.
”Na sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu mimi” (Quran 61:56 Surat Adh-dhaariyaat”)
Hiyo ndiyo hali halisi ya ushirikiano baina ya majini na Binadamu, kwa kweli majini tunajumuika nao katika mambo mengi kama vile Ibada, au kusikiliza Darasa bila ya sisi kuwaona, majini kitabu chao kwa sasa ni Quran iliyoteremshwa kwa mtume Muhammad (s.a.w)
KWA MUJIBU WA KAULI HIYO NI DHAHIRI KUWA MAJINI YANA USHIRIKIANO MKUBWA SANA NA WAISLAMU WENZAO WA KIBINADAMU kwa kuwa Sheikh anatuambia kuwa huwa wanajumuika nao katika Ibada na kusikiliza Darasa, pia Sheikh anaendelea kutuambia kuhusu Majini hayo ni namna gani ambavyo hayana imani yo yote zaidi ya Uislamu, katika Uk. wa 30 Sheikh Mkama anasema.
”Miongoni mwa mwa vituko vya majini ni pamoja na kujipa majina matukufu, kama vile Sharifu, Sheikh, Walii, Ruhani na mengine mfano wa hayo, vile vile majini hudai wanatoka miji mitakatifu kama vile Madina, Jiddah, Makkah, Hadharamaunt, na miji mingine mfano wa hiyo. Vile vile majini hudai vyakula vinavyotumiwa na miji hiyo kama vile Tende, Halwa, na mara nyingi hupenda adhana, Dhikri, Quran, na Swala”
Sheikh anaendelea kutupa habari katika uk. wa 31 anasema.
” Ibada iwe ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, jambo hilo limesababisha wasiokuwa Waislamu kuikashifu Dini ya kiislamu kwa kudai ni dini ya majini. Hatupingi, kwani majini wapo waislamu, na wala hawana kitabu ila Quran na hawana mtume ila Muhammad (S.a.w)”
KWA HIVYO TUNAFAHAMISHWA KUWA MAJINI HAYANA KITABU ISIPOKUWA NI QURAN, AKIMAANISHA KUWA IMANI YAO NI YA KIISLAMU TU KWA KUWA QURAN NDIYO MUONGOZO WA WAISLAMU WOTE DUNIANI, NA PIA SHEIKH ANAENDELEA KUTUPA HABARI YA KUWA JINI HAWEZI KUMPANDA MUISLAMU NA AJITAMBULISHE KUWA YEYE NI KIONGOZI WA IMANI YA KIKRISTO AU KUDAI MIJI YA WAKRISTO KATIKA UK. WA 32 ANASEMA:
”Kwa hivyo siyo rahisi Jini amuingie muislamu na aseme yeye ni Papa, au Askofu, Mchungaji, Padri, Kadinal, wa kanisa aidha Pentecoste, Sabato, Romani Catholic, Lutheran, Anglican, au Moravian,au kutaja miji kama vile Paris, Washington, London, Roma, nk. Au kuomba asomewe kitabu cha Biblia, au aseme asomewe 1 Wakorinthio au Waefeso au Mathayo, nk. Au kudai misa kama vile pasaka, krismas, na mengineyo, au kuanza na haleluya, badala yake husema Assalaam alaykum”
HATA MIMI NAKUBALI NI KWELI KABISA JINI HAWEZI KUYATAKA HAYO AMBAYO YAPO KATIKA IMANI YA KIKRISTO KWA KUWA MAJINI HAYANA KITABU ILA QURAN NA HAYANA MTUME ILA MUHAMMAD, MAANA MUHAMMAD NI MTUME WA MAJINI, NA PIA MAJINI HAYO HUWA YANATOA KHUTBA YA MWISHO KABLA YA KUINGIA MWEZI WA RAMADHANI KAMA AMBAVYO SHEIKH ANATUPA HABARI HIYO KATIKA UK. 32 MWISHONI MWA UK. HUO
Hotuba ya mashetani mwezi wa shaabani karibu ya ramadhani huwa kama ifuatavyo, “Assalaam alaykum, umeshuka kutoa taarifa, karibu itakuwa hatushuki kwa vile mwezi wa toba umekaribia na sisi mwezi wa toba hatufanyi kazi tunamuomba Mwenyezi Mungu akujalieni mfunge salama tutakutana mfungo mosi. Kwa hiyo kilinge kifungwe na kisifunguliwe ila kwa Tawassul na Maulid”
HAYO NDIYO MAMBO YA MAJINI A.K.A MASHETANI NAYO HUWA YANAFUNGA MWEZI WA TOBA NA KUSITISHA KUFANYA KAZI NA NDIYO MAANA MWEZI WA RAMADHANI MAOVU HUWA HAKUNA MAKAHABA, MAJAMBAZI NK/ HUWA WAKO RIKIZO KWA KUWA WACHOCHEZI WA MAOVU HUWA WAPO KATIKA MFUNGO WA RAMADHANI.

Published by Abel Suleiman Shiliwa

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA TATU)





ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU
(SEHEMU YA TATU)

Ikiwa Allah ndiye Yehova, basi ni wazi kuwa malaika mkuu atakuwa mmoja pia. Ikiwa si mmoja hata malaika mkuu watakuwa tofauti.
Tuanze kuangalia Allah anavyosimulia katika Qurani naye anasema hivi

Quran 81 au surat At-Takwyr 19-21 (Kukunja/jua litakapokunjwa)
Kwa hakika hii (Qurani) ni kauli (aliyokuja nayo) mjumbe mtukufu (Jibrili) Mwenye nguvu, mwenye cheo cha hishima kwa mwenyenzi Mungu. Anayetiiwa huko (mbinguni na malaika wenziwe) kisha muaminifu.

Ufafanuzi wa aya hizi. ulio ndani ya Qurani unaelezea aya hizi 19-21, unafundisha hivi…….

Mjumbe mtukufu na mwenye kutiiwa huko mbinguni ni Jibrili, ambaye ndiye mkubwa wa malaika wote
MALAIKA MKUU WA MUNGU YEHOVA NI HUYU
Yuda 1:9,
Lakini Mikaeli Malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthumbutu kumshitaki kwa kumlaumu bali alisema Bwana na akukemee
hapa tunaona aya zinatufundisha waziwazi kuwa malaika mkubwa wa Mungu aitwae Allah anaitwa Jibril na Malaika mkuu wa Mungu wetu Yehova anaitwa Mikaeli. Swali; Kwa kuwaMalaika hao ni tofauti, je, Allah ndiye Yehova? Kwa kujua zaidi tofauti ya malaika, jipatie nakala ya somo la: Malaika Jibrili na Gabrieli, je ni Malaika mmoja. Somo hilo tunalo, jipatie.
Mwanzo1:26-27
Mungu akasema “Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu, wakatawale samaki wa baharini, ndege wa angani na wanyama, na nchi yote, pia na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba mwanamume na mwanamke aliwaumba. Hapa tunaona Mungu wetu Yehova ameumba mtu kwa mfano wake, lakini Allah anasema hana anayefanana naye hata mmoja……Swali kwako mfuatiliaji:
Je, Allah ndiye Yehova?
Tafadhali usome aya hizi ili kujua zaidi (Mwanzo 5:1-2, 9:6, 1Korintho 11:7, Kolosai 1:15, 3:10, Matendo 17:28-29,Yakobo 3:9).
Pengine waweza kusema Je, Mungu amefanana na mimi kivipi? Jua kwamba Mungu ni Roho (Yohana 4:24) Naye alitupa pumzi (yaani roho ya uhai (Mwanzo 2:7) isitoshe Mungu ndiye Baba wa roho zetu (Waebrania 12:9) Mungu anasema Roho zetu ni mali yake (Ezekieli 18:4, Hesabu 16:22)
Leo tumejifunza kuwa Allah sio Mungu wa Biblia ajulikanaye kwa jina la YEHOVA.
Max Shimba Ministries Org

ALLAH ALIUGUA MACHO



"Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwa ajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu. (Al Milal Wannihal J. 1 uk. 141)
Hapa inaonekana Allah alijisahau na akajitupia ugonjwa wa Macho, RED EYES. Sasa Mungu gani huyu anaye Umwa kama Viumbe? Hakika Allah si Mungu bali ni kiumbe,
MKRISTO MWENYE KUJITAMBUA HAWEZI KUMFUATA ALLAH ANAYE UGUA MACHO KAMA VIUMBE
ALLAH ANA MACHO Na tunaamini kuwa Allah Anayo macho mawili kikweli, na hii inatokana na kauli Yake Subhaanahu wa Ta’ala Aliposema kumwambia Nuuh (‘Alayhis-Salaam):
وَاصْنَعِ الْفُلْكَ بِأَعْيُنِنَا وَوَحْيِنَا
"Na unda jahazi mbele ya macho yetu na kwa mujibu wa ufunuo wetu."
Huud – 37
Na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
"Pazia yake ni nuru, na lau kama Ataiondoa basi nuru ya Wajihi Wake ingeunguza kila kilichokifikia."
Na alipokuwa akihadithia juu ya Ad-Dajjaal alisema:
"Dajjaal ana chongo na Mola wenu Hana chongo."
Na tunaamini kuwa macho yetu hayamfikii kumuona Allaah.
Allaah Anasema:
لاَّ تُدْرِكُهُ الأَبْصَارُ وَهُوَ يُدْرِكُ الأَبْصَارَ وَهُوَ اللَّطِيفُ الْخَبِيرُ
"Macho hayamfikilii, bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari."
Al-An’aam – 103
Ndugu wasomaji, teyari mmesha elewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu kwasabau ana macho na zaidi ya hapo aliugua macho.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

ALLAH HAJUI SAYANSI YA DARASA LA TANO


Ili kumpima Allah kama kweli aliumba kila kitu, leo tutamia Sayansi na tuone kama atapasi "Litmus Test". Maana ni rahisi sana kujua kama Uislam ni dini ya Mwenyezi Mungu au ulitengenezwa tu na Muhammad.
SOMA:
Surat Al Kahf 18:86 inasema kuwa jua huzama kwenye chemchemi ya maji yenye tope. Unadhani hii ni sahihi. Jua lina joto la zaidi ya nyuzijoto 6000 kwenye uso wake. Lakini maji yakifika nyuzijoto 100 yanageuka mvuke. Je, maji yanayotajwa kwenye surat Al Kahf ni maji gani? Unadhani ni Mungu aliyeumba jua na maji ndiye anayesema haya?http://www.quranitukufu.net/018.html
SASA MUHAMMAD NA YEYE ANASEMA KUWA JUA LINAZAMA KWENYE CHEMCHEM YA MATOPE
Dhu al-Qarnaiyn [Zul Qarnain] "alishuhudia kuzama kwa jua kwenye sehemu yake ya kupumzikia kwenye bwawa lenye ute mweusi na wenye harufu mbaya sana." al-Tabari juzuu ya 5 uk.173-174 (Tazama Sura 18:82-97).
Katika Al Tabari hapo juu tumesoma kuwa jua hupumzika kwenye bwawa lenye ute mweusi. Unadhani hii ni sahihi. Jua lina joto la zaidi ya nyuzijoto 6000 kwenye uso wake. Lakini maji yakifika nyuzijoto 100 yanageuka mvuke. Je, maji yanayotajwa na Muhamamd kwenye hadith hii ni maji gani? Unadhani ni Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyeumba jua na maji ndiye anayesema haya?
MUHAMMAD ANASEMA KUWA ETI JUA LINAPOROMOKA TOKA KITI CHA ENZI MPAKA KWENYE BAHARI.
" [Muhammad] Aliendelea. Wakati jua linachomoza, linainuka juu ya kibandawazi (kinachokokotwa na farasi) toka kwenye moja ya chemchemi hizo likiwa pamoja na malaika 360 …. Wakati Mungu anataka kuvijaribu jua na mwezi, ili kuwaonyesha watumishi wake ishara na kwa njia hiyo kuwataka waache kutokumtii Yeye na kuanza kutii, jua huporomoka ghafla toka kwenye kibandawazi na kuanguka kwenye kina cha bahari, ambacho ni cha mduara.
Wakati Mungu anataka kuongeza umuhimu wa ishara kuwatisha zaidi watumishi wake, jua lote hunguka, na hapawi na sehemu yake yoyote inayobaki kwenye kibandawazi. Huko ndiko kupatwa kukamilifu kwa jua, wakati ambapo mchana hujiwa na giza na nyota hutokeza." al-Tabari juzuu ya1 uk.236.
Tunaendela na kumuumbua Allah na Muhammad: Kwenye hadith hapo juu, Muhammad anasema kuwa Jua linakokotwa na Farasi. (i) Jua lina kipenyo cha (radius of the sun is) 432,450 miles (696,000 kilometers) na ukubwa wa 1.4 x 1027 cubic meters. Ikimaanisha kuwa ni sawa na dunia milioni moja na nukta tatu (About 1.3 million Earths could fit inside the sun.). Uzito wa jua ni sawa 1.989 x 10 kipeo cha 30. [Nisawa na uzito wa dunia mara 333,000]
(ii)Lakini Allah anadai eti hilo Jua lenye huo uzito na huo ukubwa linabebwa na farasi. Zaidi ya hapo, joto la jua peke yake litawaunguza hao Farasi na kuwa masizi.
(iii) Allah anaendelea kudai kuwa Jua hilo lina anguka kwenye kina cha Bahari. Hivi jua lenye ukubwa mara milioni moja nukta tatu zaidi ya dunia, linawezaje kuingia kwenye kina cha bahari ambayo ni sehemu tu ya dunia?
Ndugu msomaji, je, wewe bado unaendelea kumfuata huyu Allah amabye hajui hata sayansi ya kawaida tu?
Muislam anasema eti, Allah kaumba kila kitu, huku akishindwa vibaya sana sayansi ya kawaida tu, tena ya darasa la Tano. HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAMU NA MUHAMMAD WAO.
ALLAH HAJUI SAYANSI NA HIVYO BASI HAWEZI KUWA MWENYEZI MUNGU ALIYE UMBA KILA KITU.
Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo.
Max Shimba Ministries Org.

JESUS IS GOD MALIK AL AMLAK

TRENDING NOW