Monday, October 17, 2016

MAOMBI YA KUMTEKETEZA SHETANI "NGUVU ZA GIZA"


Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaidia familia yako.
Biblia inapozungumza habari ya watu waliofungwa wapate kufunguliwa, hii ina maana ya kuwa kuna watu wamefungwa chini ya utawala wa nguvu za giza katika ulimwengu wa Roho. Watu hawa wamefungwa kwenye magereza na Ibilisi.
Tutambue ya kuwa Yesu aliposema amekuja kutuokoa hii inamaanisha kwamba kuna mahali ambako tusingeweza kujikwamua wenyewe bila nguvu yake yeye mwenywe kuingia kati yetu.
MAOMBI YA KUMTEKETEZA SHETANI:
Baba katika Jina la Yesu:
1. Ninayaharibu na kuyateketeza mamlaka yote aliyopewa shetani na mababu/ mababa, ndugu zangu katika Jina la Yesu.
2. Nina zilaani na kuziteketeza kwa damu ya Yesu roho zote zinazoendelea kutilia mkazo hayo maagano katika maisha yangu na naziteketeza na kuzivunavunja kwa Jina la Yesu.
3. Kitu chochote kilichoingizwa kwenye maisha yangu,kwa mkono wa kipepo, au majini ninakiamuru kiachie kwa JIna la Yesu.
4. Kila aina ya sumu iliyopenyezwa kwenye maisha yangu nina iamuru itoke nje sasa, katika jina la Yesu, nina sukuma nje kwa damu ya Yesu.
5. Ee Bwana Yesu, shusha moto juu ya kila roho ya mauti na kuzimu, iliyoandaliwa kwa ajili yangu, katika jina la Yesu
6. Nina ponda kichwa na kukanyaga kila mkia wa majoka ya kiroho, katika jina la Yesu
7. Upanga wa moto, na uanze kukata kila kifungo walichokifunga wazazi, katika jina la Yesu
8. Ee Bwana, nifunulie agano lolote la siri ambalo shetani amefunga na nafsi yangu au anataka kufunga na nafsi yangu, katika jina la Yesu.
9. Kila pando,ambalo baba yangu wa mbinguni hakulipanda katika maisha yangu, nina kungo’a katika jina la Yesu.

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA KUMI NA MBILI)


MUHAMMAD ANASEMA KUWA ALLAH SIO BABA
Surat Al Maida 18. Na Mayahudi na Wakristo wanasema: Sisi ni wana wa Mwenyezi Mungu na vipenzi vyake. Sema: Basi kwa nini anakuadhibuni kwa ajili ya dhambi zenu? Bali nyinyi ni watu tu kama wale wengine alio waumba. Humsamehe amtakaye na humuadhibu amtakaye. Na ni wa Mwenyezi Mungu tu ufalme wa mbingu na ardhi. Na marejeo ni kwake Yeye.
Kama aya inavyo sema hapo juu, Muhamma na Allah wanakana kuwa Wakristo na Wayahudi sio watoto wa Mungu, eti kwasababu ya Allah kuto kuwa na mwana bila ya Mke. Hii aya inapingana na Biblia ambayo inasema kuwa sisi ni watoto wa Mungu.

LAKINI KATIKA BIBLIA TUNASOMA KUWA MWENYEZI MUNGU NI BABA YETU:
Kumbukumbu la Torati 32: 6........Je! Yeye siye Baba yako aliyekununua? Amekufanya, na kukuweka imara.
Zaburi 2: 7 Nitaihubiri amri; Bwana aliniambia, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa.
Isaya 63: 16 Maana wewe ndiwe Baba yetu, ijapokuwa Ibrahimu hatujui, wala Israeli hatukiri; wewe, Bwana, ndiwe Baba yetu, mkombozi wetu tangu milele ndilo jina lako.
Mathayo 6: 9 Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje,
Yohana 20: 17 Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
UISLAM HAUNA BABA KAMA ALIVYO KIRI ALLAH KWENYE QURAN YAKE. Ngoja nitumbue jipu, Allah ambaye ni "miungu" wa Waislam SIO YEHOVA ambaye ni Mungu wa Wakristo. Allah yeye ni dhaifu, duni, na yupo chini ya YEHOVAH ambaye ni Mungu Mkuu.
SABABU inayo mfanya Allah kushindwa kuwapenda binadamu ni jibu tosha kuwa Allah hakuumba binadamu na ndio maana amejaa chuki kubwa kubwa kwa bianadamu.
Surat Azzumar 10. Sema: Enyi waja wangu mlio amini! Mcheni Mola wenu Mlezi. Wale wafanyao wema katika dunia hii watapata wema. Na ardhi ya Mwenyezi Mungu ni kunjufu. Hakika wenye subira watapewa ujira wao bila ya hisabu.
Surat Azzumar 36. Je! Mwenyezi Mungu si wa kumtosheleza mja wake? Na ati wanakutishia kwa hao wenginewe wasio kuwa Yeye! Na aliye hukumiwa na Mwenyezi Mungu kupotea hana wa kumwongoa.
Aya hapo juu zinakiri kuwa Allah yeye anawatumwa na ni tofauti na Yehovah wa kwenye Biblia ambaye yeye anatuita sisi ni watoto wake.
Mungu awabariki sana,
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
Max Shimba Ministries Org.

Sunday, October 16, 2016

UTATA: NUHU WA QURAN NI TOFAUTI NA NUHU WA BIBLIA


Ndugu Msomaji:
Siku zote Waislam huwa mnatutambia kuwa, Quran ni kitabu kilichoeleza kila kitu, ni kitabu ambacho kinajitosheleza, kitabu ambacho kimeshuka kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na kuikandia BIBLIA, kuwa haitokanani na Mungu, sasa nitatoa aya mbili kutoka Katika BIBLIA, na kisha aya 2 kutoka ndani ya Quran, kisha nitawauliza swali,
GHARIKA ILITOKEA LINI KUTOKANA NA BIBLIA:
Mwanzo 7:6 Naye Nuhu alikuwa mtu wa miaka mia sita hapo hiyo gharika ya maji ilipokuwa juu ya nchi.
BIBLIA ambayo mnasema haitokani na Mungu, imesema kuwa, Nuhu, alikuwa ni mwenye Umri wa miaka mia sita (600) GHARIKA lilipotokea, pia ikaeleza miaka ya NUHU baada ya Gharika.
Mwanzo 9:28 Na Nuhu akaishi baada ya ile gharika miaka mia tatu na hamsini.
NUHU ALIKUFA NA MIAKA MINGAPI?
29 Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia kenda na hamsini, akafa.
Tunaambiwa na BIBLIA kuwa, Nuhu aliishi miaka mia tatu na hamsini (350) baada ya gharika ya maji, akafa akiwa na miaka mia tisa na hamsini (950) HIYO NDIYO MIAKA ya maisha yote ya NUHU hakuishi zaidi ya miaka hiyo, sasa twende Quran kisha niulize swali.
GHARIKA ILITOKEA LINI KUTOKANA NA QURAN?
Quran 29 وَلَقَدْ أَرْسَلْنَا نُوحًا إِلَى قَوْمِهِ فَلَبِثَ فِيهِمْ أَلْفَ سَنَةٍ إِلَّا خَمْسِينَ عَامًا فَأَخَذَهُمُ الطُّوفَانُ وَهُمْ ظَالِمُون
َ14. Na bila shaka tulimpeleka Nuhu kwa watu wake na akakaa nao miaka elfu kasoro miaka hamsini, basi mafuriko yakawaangamiza hali walikuwa madhalimu.
فَأَنجَيْنَاهُ وَأَصْحَابَ السَّفِينَةِ وَجَعَلْنَاهَا آيَةً لِّلْعَالَمِين
َ15. Na tukamuokoa yeye na watu wa (ndani ya ) safina, na tukaifanya (iwe mazingatio kwa walimwengu).
MADA KAMILI:
BIBLIA imesema, Gharika limetokea Nuhu akiwa na miaka 600 Quran inasema, Gharika la Nuhu limetokea akiwa na miaka 950, sawa na miaka ya kufa kwa Nuhu, kwa mujibu wa BIBLIA, Biblia imesema, Nuhu akaishi miaka 350 baada ya Gharika, akafa na miaka 950 sawa na miaka ya gharika la Nuhu wa Ndani wa Quran.
MASWALI:-
1. Kwa kuwa ndani ya Quran, Nuhu alikuwa na miaka 950 Ndipo gharika likaja, na Biblia imesema ni miaka 600 gharika lilipokuja, na akafa akiwa na miaka 950 Sasa kwa mujibu wa Quran, Nuhu aliishi miaka mingapi kutoka katika Miaka hiyo 950 ya gharika?
2. au alikufa mwaka huo huo wa Gharika, akiwa na miaka hiyo 950 tuliyoambiwa alikuwa nayo wakati wa gharika ndani ya Quran?
NB. Majibu yatokane na Quran, tu kitabu ambacho mnatuambia ni cha Mungu, kama hakijitoshelezi, semeni, niwape ruhusa mtumie hata magazeti, na majarida.
Imeratibiwa na Abel Suleiman Shiliwa
For Max Shimba Ministries Org.
By Permission 2015

KUSHEREKEA MAULID YA MTUME MUHAMMAD NI UPAGANI NA HAIKUTAJWA KWENYE QURAN


Natanguliza maswali kwa waislam:
(a)Aya gani ya quran inawaagiza kufanya sikukuu au sherehe ya Maulid ya Mtume?
(b)Waislam nini/nani mnafuata, Allah au Muhammad au Quran au Sahihi Hadith au Nguzo au Sharia?
UTANGULIZI
Upagani wa maulid unadhihirika kwa kuangalia maeneo makubwa matatu:
(a) Historia ya Maulid.
(b) Kutokuwepo kwa uhakika wa tarehe aliyozaliwa mtume Muhammad kutoka kwenye quran au hadithi
(c) Ushahidi wa wanazuoni juu ya upagani wa maulid.
(a) HISTORIA YA MAULID
Historia hii inatuonesha vitu vitatu vya msingi:
(i) Si Muhammad wala maswahaba walisherekea Maulid
(ii) Maulid ilianza miaka zaidi ya mia tatu baada ya mtume.
(iii) Waanzilishi wa Maulid wana nasibishwa na kizazi cha wakanaji Mungu (Wapagani na makafiri).
Yeyote mwenye kutazama maisha ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na historia ya Maswahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum), Taabi‘iyna na waliowafuata kwa wema mpaka kufikia zaidi ya mwaka wa 350 Hijri hatumuoni hata mwanachuoni mmoja wala mahakimu (viongozi) na wala watu wa kawaida waliokuwa wakifanya mawlid au wakaamrisha au wakahimiza au wakazungumza juu yake. Amesema al-Haafidh as-Sakhawiy: “Shughuli za kufanya Mawlid matukufu hayakupokelewa na watangu wema (Salafus Swaalih) wa karne tatu bora za mwanzo. Kwa hakika jambo hili lilizuliwa baada yake” (Imenukuliwa kutoka kwa Subulul Hudaa war Rashaad cha As-Salihiy, Mj. 1, uk. 439).
Suala la sisi kujiuliza ni kuwa; Je, haya Mawlid yalianza lini? Jawabu ya suala hili kwa mwanachuoni wa Ki-Sunnah, Al-Imaam al-Maqriiziyni:

MAOMBI KUHUSU UCHUMI WA MAISHA YAKO


Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa #MATHAYO 6:33
Tumsifu Yesu Kristo mwana wa Mungu.
Ninamtukuza Mungu mkuu kwa neema zake nyingi zilizotufunika kwenye sherehe hizi za pasaka. Binafsi nimemuona Bwana kipekee.
Mwana wa Mungu, Kila eneo la maisha yetu tunavyoishi sote tunaomwamini Kristo ni sehemu ya utumishi wetu mbele za Mungu. Na Bwana anatamani sana aone namna gani kila mmoja wetu tunampa nafasi ya yeye kufanyika kuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku kila jambo tulifanyalo. Mtume Paulo anasema kwa lolote tufanyayo kwa tendo au kwa neno tulifanye kwa jina la Yesu.
Hakika ni mapenzi ya Mungu kwamba tufanikiwe katika maisha yetu kwenye kipengele cha kiuchumi. Ni mapenzi yake. Na sio kwamba Bwana anatamani tuwe maskini. Hapana. Lakini bahati mbaya kwa sababu ya kuutafuta utajiri injili imegeuzwa na kuwa deal kwa baadhi yetu ‘watumishi’. Sasa Injili ya utajirisho imeziba msingi wa injili ambao ni toba na msamaha na kuwa utajiri na kufanikiwa. Mungu atusaidie sana sana.
Ni mapenzi ya Mungu tufanikie kiuchumi. Bwana anasema ‘NA ITAKUWA, KWA SABABU MWAZISIKILIZA HUKUMU HIZI, NA KUZISHIKA NA KUZITENDA, BASI BWANA, MUNGU WAKO, ATAKUTIMILIZIA AGANO NA REHEMA ALIYOWAAPIA BABA ZAKO; NAYE ATAKUPENDA NA KUKUBARIKIA NA KUKUONGEZA TENA ATAUBARIKIA UZAO WA TUMBO LAKO, NA UZAO WA NCHI YAKO, NAFAKA ZAKO NA DIVAI YAKO, NA MAFUTA YAKO, MAONGEO YA NG'OMBE ZAKO, NA WADOGO WA KONDOO ZAKO, KATIKA NCHI ALIYOWAAPIA BABA ZAKO KUWA ATAKUPA. UTABARIKIWA KULIKO MATAIFA YOTE’ #KUMBUKUMBU 7:12-14.
Hapa Bwana anazungumzia habari ya kufanikiwa kiuchumi. Kwetu Wakristo kufanikiwa kwetu msingi wake uko kiroho zaidi kuliko kimwili. Mungu anatamani tufanikiwe kiuchumi lakini kufanikiwa huku kuwe ndani ya mapenzi yake ili yeye awe sehemu ya furaha ya kufanikiwa kwako katika mali zako. Lakini pia anatamani kwanza roho zetu zianze kupona ndipo mambo mengine yote ya kimwili yapone na kufanikiwa. Anatamani hilo.

ZAHRA BUHARI MTOTO WA RAIS WA NAIJERIA AMESEMA WAKRISTO WA NCHINI NIGERIA WATAENDELEA KUUWAWA MPAKA WASILIMU NA KUWA WAISLAMU.


http://cryztabelnikyu.blogspot.com.au/…/killings-will-go-on…

UTATA NA SHAKA KUBWA KATIKA QURAN KUHUSU MUSA KUMSHUTUMU HARUN NA MSAMARIA KWA KUTENGENEZA NDAMA WA DHAHABU


Ndugu Msomaji,
Hebu rejea katika Surat Taha iliyo teremka Maka katika aya ya 92 mpaka 95.
92. (Musa) akasema: Ewe Harun! Ni nini kilicho kuzuia, ulipo waona wamepotea, ***
93. Hata usinifuate? Je, umeasi amri yangu? ***
94. Akasema: Ewe mwana wa mama yangu! Usinishike ndevu zangu, wala kichwa changu. Kwa hakika naliogopa usije sema: Umewafarikisha Wana wa Israil, na hukungojea kauli yangu. ***
95. (Musa) akasema: Ewe Msamaria! Unataka nini ? ***
Aya hapo juu zinasema kuwa Musa alimkaripia Harun na “Msamaria Mwema” kwa kutengeneza Ndama wa Dhahabu kwa wana wa Israeli wakati Musa alipo kuwa katika Mlima wa Sinai. Je, haya madai ni kweli?
HEBU TUANGALIE USHAHID WA KIHISTORIA
Wa Assyria waliwashinda Wayahudi wa Ufalme wa Kaskazini katika mwaka 722 BC (Kabla ya kuzaliwa Kristo), na kuhamia uhamishioni na kuleta watu wengine walio tekwa kutoka falme mbali mbali, ambao baadae waliona na Wayahudi wa kabila la chini ambao waliruhusiwa kukaaa hapo na wa Assyria.
Sasa basi, watoto wao ndio waliitwa “Wasamaria” kwasababu walikaa katika ardhi ya Samaria ambayo iliitwa kutoka mwenye ardhi hiyo aliye julikana kwa jina la “Shermer” (Soma 1 Wafalme 16:24) .
1 Wafalme 16: 24 Alinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa talanta mbilia za fedha na akajenga mji juu ya hicho kilima, akiuita Samaria, kutokana na Shemeri, jina la mmiliki wa kwanza wa kilima hicho.
Wayahudi waliwadharau Wasamaria kwa sababu mbili, moja kwa mchanganyiko wao damu “mixed race” na kwa ajili ya kuanzisha mahekalu yao wenyewe kushindana dhidi hekalu la Yerusalemu.
MASHAKA NA UTATA UNAANZIA HAPA:
Tukio la Ndama wa Dhahabu lililo tokea karibu na Mlima Sinai kama lilivyo tajwa kwenye Quran Sura 20: 92-95 hapo juu lilitokea miaka 1446 BC (Kabla ya Kristo), ambayo ilikuwa ni miaka 725 kabla ya Msamaria wa kwanza kuzaliwa mwaka wa 721 BC.
Ndugu zanguni,

USHUHUDA: Abel Suleiman, part 01 of 05

KILA SIKU WAISLAM 16,000 BARANI AFRIKA WANAOKOKA NA KUWA WAKRISTO


Uchunguzi uliofanywa na Al Jazeerah na kutanganzwa na Sheikh Al Katani, Rais wa " The Companions Lighthouse for the Science of Islamic Law in Libya" unaonyesha kuwa, kila baada ya Saa moja Waislam 667 Barani Afrika wanaokoka na kuwa WAKRISTO,
Hii inamaanisha kuwa kila Masaa 24 Waislam zaidi ya elfu kumi na sita "16000" wanaokoka na kuwa Wakristo katika bara la Afrika peke yake. Sasa fikiria ni Waislam wangapi wanaachana na Uislam na kuwa Wakristo, au Buda au Hindu au Judaism au wapinga Mungu "Atheism"? Ndio maana Kitengo hicho kikasema kuwa Uislam unapuputika kwa kasi sana.
- Snip-
“Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja” (Mathayo 24:14).
-Snip-

Friday, October 14, 2016

FINALLY! Anti-Muslim backlash drives a Muslim family out of America


“I’m done with the U.S.,” Zeeshan-ul-hassan Usmani’s wife told him on Friday. Seeing her youngest son, just 7 years old, walk off the school bus bruised and battered that afternoon outside their apartment building in Cary, North Carolina, was the final straw. 

39563abc00000578-0-image-a-67_1476301537978

HUFFPOST  Little Abdul Aziz, a first-grader and the youngest child of Usmani and Binish Bhagwanee, was traumatized. He told his parents a classmate had tried to force him to eat food that wasn’t halal. (Oh, NOES!) When Abdul Aziz refused, he claims five of his classmates allegedly ganged up on him, making fun of his name. He said they punched him in the face, kicked him in the stomach, and twisted his arm while calling him “Muslim” again and again, Usmani said. (Somehow, no witnesses saw this)

“He was born and raised in the United States. As American as you can think of(Hardly, Muslims are never real Americans). He likes Captain America. He wants to be president of the United States of America,” Usmani told The Huffington Post on Tuesday, speaking over Skype from Pakistan. (Sorry, we’ve had more than enough of having a Muslim as president)

The Usmani family
The Usmani family

Bhagwanee landed in Islamabad on Monday with their three sons. Usmani has an apartment there, and it’s where they all plan to live now, because America doesn’t feel safe. “It’s not the America we know about, care about and want to live in,” he said. 

Usmani remembers his middle son, 8 years old, being very angry one day after being picked up from school. Apparently his classmates had told him his dad ― a Pakistani man with a beard ― was a terrorist. “He asked me if I was a terrorist,” Usmani recalled. After that, Bhagwanee asked him not to go to the school anymore, “just so my children would not face any discrimination because of my face.” 

Zeeshan-ul-hassan Usmani
Zeeshan-ul-hassan Usmani

After Abdul Aziz walked off the school bus Friday, Usmani said he and Bhagwanee reported the incident to the school. Lisa Luten, a spokeswoman for Wake County Public School System, said Principal Tim Chadwick immediately launched an investigation into the alleged attack, but said that initial interviews with other students and the bus driver didn’t corroborate Abdul Aziz’s version of events.   No students on the bus, nor the bus driver, reported seeing an altercation, Luten said. One student, however, did remember seeing “play-fighting” on the bus. 

Luten also said the Usmani family did not report that students made references to Islam, Muslims and Pakistan, as designated terrorist group CAIR Council on American-Islamic Relations claims they did in a Monday press release.

hot20150921at10_55_37am550x537-vi

But in an email Usmani sent to Chadwick early Tuesday, he explained that he had talked to Abdul Aziz “in detail” about the alleged attack. “The kids who beat him up mentioned Muslims, makes fun of his name starts with Abdul and reference his preference of eating only certain (halal) food,” Usmani wrote. “My son is very traumatized and shocked as he has just celebrated his birthday with his classmates few days ago.”

When Usmani’s other son brought a knife into school that his dad had bought in Pakistan, students called him “ISIS” and “terrorist.” The school went on lockdown and he was suspended for six months, Usmani said. He added that the experience was traumatic for his son, who’s been homeschooled ever since and now suffers from depression and anxiety.

57fe4aac1b0000df1cef67dd

Usmani said his family had planned on moving out of Cary anyway, perhaps to Berkeley, California, where his current employer is based. But after what happened to Abdul Aziz on the school bus, Bhagwanee decided it was time to go back to Pakistan. 

He also said his family would consider moving back to the U.S. if Donald Trump loses the election next month. They would “absolutely” feel safer in the U.S. if Trump loses, Usmani said. 

cvwxqpjwiaafx3qvi-vi

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW