Thursday, October 20, 2016

JE, WAGANGA WA KIENYEJI WANAWEZA KUKUPA ULINZI NA MAFANIKIO KATIKA MAISHA YAKO?

Naamini umeshasikia mara kadhaa watu wakitaja kile kinachoitwa “sayansi ya kiafrika”. Kwa kifupi maneno haya yanaongelea kazi za waganga wa kienyeji. Ni wazi kuwa yanamaanisha upigaji ramli, uaguzi, usafishaji nyota, na hata ulozi na mengine kama hayo.
Siku hizi watu wengi wanakimbilia kwa waganga wa kienyeji kwa lengo la kupata “mafanikio”, wakiwamo wanasiasa, wafanyabiashara, wafanyakazi, wake, waume, wapenzi, wachumba, wanamuziki, na hata wale wanaotaka kuwakomesha wabaya wao.
Ukipita sehemu nyingi, utakutana na matangazo ambayo, japo yanashangaza, lakini watu wanaenda kwa hao walioyaweka!
Kumfunga mpenzi mkorofi, kuzindika nyumba, kusafisha nyota, kupata kazi, n.k. ni baadhi ya maneno yaliyo kwenye mabango hayo. Kilichonishangaza mimi ni kuwa, kuna hata matangazo yanayosema wazi kabisa “Njoo tukusaidie kupata utajiri wa majini”!!
Sisemi kuwa hakuna dawa za kienyeji. La hasha! Zipo nyingi na nzuri kabisa. Lakini linapofikia suala la kuaguana na kuambiana kutumia dawa huku mtu yuko uchi, au aangalie mashariki, au akanywee makaburini, n.k., hapo liko jambo.
Kabla sijamjua Yesu, niliwahi kwenda kwa mganga mmoja. Alinipa dawa kwenye kichupa kidogo. Na akanipa sharti la kwenda kuinywa usiku wakati watu wote wamelala; na nihakikishe hanioni mtu yeyote.
Lakini kabla ya kuondoka kwake, alinichanja chale, ambapo aliniambia nifumbe macho na nisifungue kabisa wakati anaponichanja! Haya ni mambo ambayo yanafanyika kila siku sehemu mbalimbali.
Alikuwapo mfalme mmoja wa Israeli aliyeitwa Sauli, ambaye alimwasi BWANA. Baada ya kuona mambo hayamwendei vema, siku moja aliwaambia watumishi wake: Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. (1 Samweli 28:7).

Wednesday, October 19, 2016

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA KWANZA)


Ni siku gani ya Sabato, Jumamosi au Jumapili? Je, Wakristo wastahili kuitunza hii siku?
Sabato (kwa Kiebrania: שבת, shabbāt, yaani pumziko kwa Kiswahili) ni siku ya pumziko ya kila juma katika Uyahudi kwa ujumla na hasa katika nchi ya Israeli.
Kumekuwa na maswali mengi sana kutoka imani tofauti kuhusu hii siku ya Jumamosi. Wafuasi wa dini na imani zote wanao fuata Torati wanajiuliza kuhusu Sabato, je, Mwenyezi Mungu anaikubali Jumamosi tu kama siku ya ibada? Katika Agano Jipya, tunajifunza kuwa siku ya Jumapili inaitwa siku ya kwanza ya juma na walio amini walikusanyika katika siku hii ya Jumapili. Matendo 20: 7 Hata siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekutana ili kumega mkate, Paulo akawahutubu, akiazimu kusafiri siku ya pili yake, naye akafuliza maneno yake hata usiku wa manane.
Siku ya kwanza ya juma ni Jumapili na hii ni siku ambayo walio mwamini Yesu walikusanyika na kuabudu. Huu ni ushaidi wa kuonekana kwa macho ambao Wakristo wanaabudu Jumapili tokea Karne ya kwanza.
“Hata sabato ilipokwisha, kupambazuka siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi.” (Mathayo 28:1). “Naye alipofufuka alfajiri siku ya kwanza ya juma…”. (Marko 16:9).
Bwana Yesu alifufuka kutoka wafu katika siku ya kwanza ya Juma. Zaidi ya hapo, tumesoma nyaraka za Mtume Paulo zikionyesha kuwa kuwa Wakristo wa kwanza walikuwa walikusanyika siku ya kwanza ya Juma, yaani Jumapili. “Hata siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekutana ili kuumega mkate, Paulo akawahutubu…” (Matendo 20:7). “Siku ya kwanza ya juma kila mtu kwenu na aweke akiba kwake, kwa kadiri ya kufanikiwa kwake; ili kwamba michango isifanyike hapo nitakapokuja…” (1 Wakor.16:2).

WHAT DOES THE WORD OF GOD SAY ABOUT THE SABBATH? (PART ONE)

 Wednesday, October 19, 2016

WHAT DOES THE WORD OF GOD SAY ABOUT THE SABBATH? (PART ONE)

Which day is the Sabbath, Saturday or Sunday? Should Christians observe this day?

Sabbath (in Hebrew: שבת, shabbāt, meaning rest in Swahili) is the weekly day of rest in Judaism in general, especially in the land of Israel.

There have been many questions from different faiths about this Saturday. Followers of religions and beliefs that observe the Torah ask themselves about the Sabbath: does Almighty God only accept Saturday as the day of worship? In the New Testament, we learn that Sunday is called the first day of the week, and the believers gathered on this day, Sunday.

Acts 20:7On the first day of the week, we came together to break bread. Paul spoke to the people, and because he intended to leave the next day, he kept on talking until midnight.

The first day of the week is Sunday, and this is the day on which believers in Jesus gathered and worshiped. This is visible evidence that Christians have worshiped on Sunday since the first century.

Matthew 28:1After the Sabbath, at dawn on the first day of the week, Mary Magdalene and the other Mary went to look at the tomb.
Mark 16:9When Jesus rose early on the first day of the week…

The Lord Jesus rose from the dead on the first day of the week. Furthermore, we read in the letters of the Apostle Paul that the first Christians gathered on the first day of the week, which is Sunday.

Acts 20:7On the first day of the week, we came together to break bread, Paul spoke to them…
1 Corinthians 16:2On the first day of the week, each one of you should set aside a sum of money in keeping with your income, saving it up, so that when I come no collections will have to be made.

Moreover, we do not read, nor is there any command in the New Testament, that believers, i.e., Christians, must gather on this first day of the week, “Sunday.” But we do have the example of the first Christians, “the Early Church during Pentecost,” and that tradition of worshiping on Sunday continues to this day. If you carefully read the New Testament, you will notice that THE FIRST CHRISTIANS DID NOT GATHER ON THE SABBATH. That is, there is no verse that directly says Christians gathered on the Sabbath, nor was there a tradition, custom, or law requiring them to do so.

However, some claim that Emperor Constantine’s decree in A.D. 321 changed the Sabbath from Saturday to Sunday. Which day did the early church meet for worship? The Bible does not mention any Christian assembly for worship on the Sabbath (Saturday). Instead, there are clear references to the first day of the week. For example:

  • Acts 20:7On the first day of the week, we came together to break bread.

  • 1 Corinthians 16:2On the first day of the week, each one of you should set aside a sum of money in keeping with your income.

Paul even calls these offerings a “service” in 2 Corinthians 9:12, meaning these contributions were part of the Christian Sunday worship. Historically, Sunday, not Saturday, became the recognized day of worship in the church, and this can be traced back to the time of the early church.

Critics of Christianity and other religions, like Muslims, associate Sunday with sun-worship by interpreting the English word “Sunday” as “SUN + DAY.” They claim that those who worship on Sunday worship the sun god. However, we have sufficient evidence that the first Christians worshiped Jesus, who died for our sins, not a sun god as they allege.

To understand why the days of the week exist and their meaning, it is important to examine their origins. For example: Saturday in English is derived from the planet Saturn (dies Saturni) because the Romans honored that planet. If we use the same logic of associating days with gods or planets, does that mean Seventh-Day Adventists (SDA), who worship on Saturday, are worshipers of the planet Saturn?

Dear reader, I decided to teach this lesson to respond to the many questions raised by Adventists about why we worship on Sunday and their accusations that we are breaking the Mosaic Law.

Therefore, I leave you with this reminder: the first Christians worshiped on Sunday, and there is no verse in the Bible that explicitly says CHRISTIANS GATHERED ON SATURDAY.

Now, read these verses carefully:

Romans 14:5–6One person considers one day more sacred than another; another considers every day alike. Each of them should be fully convinced in their own mind. Whoever regards one day as special does so to the Lord. Whoever eats meat does so to the Lord, for they give thanks to God; and whoever abstains does so to the Lord and gives thanks to God.

Brothers and sisters, according to Romans 14, we have been set free to choose any day to worship, and what to eat or not to eat, all as unto the Lord. Therefore, there is no sin if someone worships on Saturday, Sunday, Monday, or any other day of the week. Our God is present every day, for He created all days.

Acts 2:46Every day they continued to meet together in the temple courts. They broke bread in their homes and ate together with glad and sincere hearts.

Do you see what that verse says? Was Monday missing? What about Tuesday? That is why I said we are free from the curse of the Law, and now we are free to worship God on any day. God is not only for Saturday, or Sunday, or Friday. God is for every day.

WHY DO YOU LOVE WEAK TEACHINGS?

Galatians 4:8–10Formerly, when you did not know God, you were slaves to those who by nature are not gods. But now that you know God—or rather are known by God—how is it that you are turning back to those weak and miserable forces? Do you wish to be enslaved by them all over again? You are observing special days and months and seasons and years!

The Apostle Paul reminds us that the teachings we followed before being redeemed by Jesus were weak. Now we are filled with the Holy Spirit, who is our greatest Teacher. Therefore, let us cling to Him and learn from Him.

DO NOT MISS PART TWO …
“Why did the Lord Jesus enter the Synagogue on Saturday, the ‘SABBATH’?”

It is I, Max Shimba, servant of Jesus Christ.

© Copyright 1998–2016 Max Shimba Ministries - All Rights Reserved.

Tuesday, October 18, 2016

MWALIMU WA QURAN WA DINI YA KIISLAM AHMAD AMAN SURYADI AMESHITAKIWA KWA KOSA LA KUBAKA WAVULANA SHULE YA BOARDING


Polisi wamemkamata Kiongozi wa dini ya Kiislam, Mwalimu wa Quran Ahmad Aman Suryadi mwenye umri wa miaka 29 kwa kosa la kubaka wavulana kadhaa katika Shule ya boarding Yayasan Titipan Ilahi Muslim iliyopo Koja, Magharibi mwa Jakarta.
Alipo kuwa akihojiwa, na Polisi kiongozi huyo wa dini ya Kiislam na Mwalimu wa Quran, alikiri kuwabaka Wavulana zaidi ya kumi (10). Kiongozi huyo alisema kwamba, yeye hana Mke na hivyo alishindwa kujizuia na ndio maana akabaka hao wavulana 10.
Polisi mpaka sasa wamefanikiwa kuwapata Wavulana sita ambao wamebakwa na huyo kiongozi wa dini ya Kiislam. Hayo yalisemwa na Mkuu wa kituo cha Polisi cha Koja Komanda Supriyanto.

Did Abraham Observe the Sabbath?


Some denominations insist that Abraham and all the patriarchs kept the 7th day Sabbath. Their main reasoning centers on two sections of Scripture. For one, we are told that God rested on the 7th day of the week of creation and sanctified that day (Genesis 2:1–3). Coupled with this is a verse which says that Abraham “obeyed my voice, and kept my charge, my commandments, my statutes, and my laws” (Genesis 26:5). The combination of these two Scriptures has given confidence to some that Abraham must have kept the 7th day Sabbath because he was an obedient man who kept all of God’s commandments.
This proposition may seem plausible on the surface, but a close inspection shows some serious deficiencies. To begin with, the text says that God rested only on that 7th day, the last day of creation. Nowhere does it dogmatically state that each succeeding 7th day was to be a rest day for God or man. Indeed, it can be shown that God did not rest any of the subsequent Sabbaths. God never wearies and He did not need to rest:
“Have you not known? Have you not heard, that the everlasting God, YHWH, the Creator of the ends of the earth, faints not, neither is weary? there is no searching of his understanding.”
  • Isaiah 40:28
Christ was challenged on this and answered His critics:
“And therefore did the Jews persecute Jesus, and sought to slay him, because he had done these things on the sabbath day. But Jesus answered them, ‘My Father works hitherto, and I work.’”
  • John 5:16–17
This statement by Christ was uttered on the Sabbath day. Clearly, God was working on the later Sabbaths.

Sabbath Not Commanded

We are told that Abraham obeyed God’s voice, charge, commandments, statutes and laws, but where in the Book of Genesis did God relate a charge, utter a commandment, issue a statute, or legislate a law that demanded that each 7th day of the week must be observed? Nowhere did He do so! One might say that God’s example of rest on the 7th day should be taken as a command. But this is not proper reasoning.
If one day was an example, one may as well try to duplicate what God did on the previous six days because all of them must have been examples. Could mankind create trees every Tuesday, expose the heavenly bodies to view every Wednesday, make sea creatures every Thursday, and generate man every Friday? No one could consider the first six days as Godly examples for man to follow. Why should the 7th day be an example?
Furthermore, there is nothing in Genesis which shows that God was giving an example of a 7th day rest for mankind to follow. Just because God did things at certain times is not proof that man should perform the same — unless God commands it. As a matter of illustration, God was married to two women at the same time, Israel and Judah (Ezekiel 23:1–49; Jeremiah 3:6–10). It was a polygamous union. Is there anyone who would seriously suggest that God was showing this polygamous relationship as an example for man to follow? Of course not! We must be careful not to read all Bible illustrations as commands for us. Many of them simply do not apply.
There is one other point to consider concerning God’s rest on the 7th day of Creation. All real commandments or laws always have punishments associated with them if they are disobeyed1 If there are no penalties, such commands lack any force. Where in the Book of Genesis are there penalties for not resting on the 7th day of the week? There is not a syllable about any such thing. Had the Sabbath been a command, then punishment must have been connected with its disobedience. Yet nothing in Genesis shows any retribution for Sabbath breaking,

Quran-Teaching Imam Molests Children at Boarding School…


Image result for Greater Jakarta: N. Jakarta cleric accused of sex abuse
The police have arrested a Muslim cleric, identified as Ahmad “Aman” Suryadi, 29, for allegedly sexually assaulting several students in the Yayasan Titipan Ilahi Muslim boarding school in Koja, North Jakarta.

During questioning Aman is reported to have told the police he had abused more than 10 students. However, as of Tuesday, the police had identified only six of the victims.

“Currently, we have only identified six victims. Nonetheless, the suspect says he assaulted more than 10,” said Koja Police chief Comr. Supriyanto as quoted by wartakotalive.com on Tuesday. “We are investigating the possibility that the number of victims might be even higher than he claims.”

Meanwhile, Aman is alleged to have said he often assaulted the victims in his room in the boarding school.

He claimed that he committed the crimes because he was not married yet and, hence, had no one with whom to vent his sexual needs. 

“I’ve worked here for four years but I only committed it [the abuse] in the past six months,” said Aman, who taught Quran reading.

http://www.thejakartapost.com/news/2016/10/12/greater-jakarta-n-jakarta-cleric-accused-sex-abuse.html

Jammu: 11-year-old boy chained to keep him at madrasa, parents booked

madrasa, child abuse, children chained, child care, child abuse case, jammu child abuse, children chained, jammu madrasa, india newsThe boy had reportedly run away from the madrasa twice. (Express Photo)
Police on Monday booked a Myanmar refugee couple living here for allegedly putting chains on the feet of their 11-year-old son to prevent him from running away from a madrasa in Bhatindi, on the outskirts of Jammu city.
According to the police, the boy’s parents and the head moulvi at the madrasa, identified as Abdul Gafoor, have stated that the boy had run away from the madrasa earlier, too. His mother brought him back on Saturday and put chains on his feet.
The police acted on Monday after a local resident took a photograph of the boy and circulated it on WhatsApp. The boy was taken to the local police post, where the chain was opened and he was handed over to his parents.
http://indianexpress.com/article/india/india-news-india/jammu-madrasa-boy-chained-at-madrasa-child-abuse-3088800/

UISLAM NDIO DINI YA FREEMASON







KWANINI DINI YA UISLAM INARUHUSU KUKEKETA "KUTAIRIWA" WANAWAKE?


Ndugu msomaji,
Naanza kwa swali kwa Waislam:
Wapi kwenye Taurat au Zaburi au Injili panasema kuwa Wanawake wakeketwe?
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) anasema, “Itakapogusa [kitakapokutana] kilichotahiriwa kimoja kugusa kilichotahiriwa kingine, basi yapasa kuoga.” [Al-Bukhaariy].
Na amesema tena Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam), “Vitakapokutana viwili vilivyotahiriwa, basi ni wajibu kuoga.” [Ibn Maajah 611].
Na vilivyotahiriwa viwili hapo makusudio ni sehemu ya ngozi inayokatwa katika utupu wa mwanamme na ile ya utupu wa mwanamke. Na ni ushahidi kuwa wanawake walikuwa wakitahiriwa. [Rejea Swahiyh Fiqhus Sunnah mj.1, uk.99].
Pia katika kauli nyingine ya Imaam Hanbal ni 'Makrumah' kwa Hadiyth ya Mtume aliposema, “...kata kipande kidogo na wala usimalize”, na Hadiyth “Khitaan ni Sunnah kwa wanaume na Pendezo kwa wanawake.” [Hadiyth hizi tumeeleza juu hukmu zake].
Sahih hadith moja inasema kuwa: Muhammad alikutana na mwanamke aliye kuwa anamkeketa msichana ndogo, Muhammad akamwambia "AONDOE kisimi 'clitoris' (clitorectomy) chote pamoja na sehemu ya 'labia minora', ambacho kinashonwa chote na kubakiza uwazi"
Au kuondosha kisimi 'clitoris' chote, 'labia minora' na sehemu ya kati ya 'labia majora', pamoja na sehemu yote ya kiungo cha mwanamke kushonwa na kubakizwa tundu dogo tu. Na utaratibu huu unahitaji kumfunga miguu mtoto kwa kiasi cha wiki tatu.
Huu ndio UISLAM unao fanya TOHARA kwa WANAWAKE ili kumfuraisha Mwanaume tu. Hakika hii ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu.
Wapi kwenye Taurat au Zaburi au Injili panasema kuwa Wanawake wakeketwe?
Ni mimi Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

MKRISTO AUWAWA NA WAISLAM WA LIBYA KWA SABABU YA IMANI YAKE KATIKA YESU


NDIO MAANA NASEMA UISLAM NI DINI YA KULAZIMISHANA NA IMEJAA USHETANI.
Huyu ni kijana aliyeuwawa kwa kupigwa sana mawe na kisha kusulubiwa msalabani huko Libya baada, ya kugundulika kuwa ni Mkriso, tena mbele ya watoto wadogo, Mwenyezi Mungu mpokee mtumishi wako.
SOMA:
Surat Al Anfaal 39. Na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na Dini yote iwe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Lakini wakiacha, basi hakika Mwenyezi Mungu anayaona wanayo yatenda.
Kwa habari kamili ingia kwenye link hapa chini:
http://www.nigeriadailynews.news/…/234031-christian-man-cru…

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW