Wednesday, October 26, 2016

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA SITA)


Baada ya kusoma kwa undani Sehemu ya Tano kuhusu aina ya mavazi ya kisabato na au ya kitorati, hebu tuangalie aina za Sabato ambazo wana wa Israeli walipewa.
Sasa nitaanza kuelezea kuhusu mwanzo wa hii Sabato na Mungu alitoa hili agiza kwa nani. Kwa mara ya kwanza kabisa, Mwenyezi Mungu anatoa agizo kwa wanadamu, la kushika sheria kuhusu siku ya sabato, lilitolewa kwa Wana wa Israeli tu, na kwa mkono wa Nabii Musa. Hivyo basi, sio kosa nikisema kuwa hata Israeli mwenyewe yaani Yakobo alipo kuwa hai, hakuwai sikia habari ya kupumzika siku ya saba (sabato) na au Mungu hakuwai mwambia kuwa ashike Sabato.
Agizo hili la kuhusu siku ya saba, “Sabato” halikutolewa kwa mataifa mengine, bali kwa wana wa Israeli tu, na sababu kuu ya kupewa wana wa Israeli peke yao ni kwamba, katika karne hiyo, ni wana wa Israeli peke yao ndiyo waliokuwa wanamjua Mungu wa kweli yaani Yehova. Ni kwa sababu hiyo ya kumjua Mungu wa Kweli kabla ya mataifa mengine, Mungu aliwapa sheria (Torati), yaani Amri kumi “Ndio maana huwa nasema Amri kumi hazikuwa kwa Mataifa yote” ingawa si kosa kuzifuata.
Zaidi ya hapo, Mungu alitoa kwa wana wa Israeli sheria nyingine 613 na Hukumu zake.
UTHIBITISHO: Kumbukumbu la Torati 4:7-8 Biblia inasema, “Kwa maana liko taifa gani kubwa, lililo na Mungu aliye karibu nao, kama Bwana, Mungu wetu, alivyo, kila tumwitapo? Tena liko taifa gani kubwa, lililo na amri na hukumu zenye haki kama torati hii yote, ninayoiweka mbele yenu leo.” Sasa tumsikilize Musa: Musa mwenyewe alithibisha kwamba, sheria ya kushika siku ya sabato na sheria nyingine haikuanza na baba zao, bali ilianza na wao wenyewe yaani wana wa Israeli.
UTHIBITISHO: Kumbukumbu la torati 5:1-3 Biblia inasema, “Musa akawaita Israeli wote, akawaambia, Enyi Israeli, zisikieni amri na hukumu ninenazo masikioni mwenu leo, mpate kujifunza na kuangalia kuzitenda. Bwana Mungu wetu, alifanya agano nasi katika Horebu. Bwana hakufanya agano hili na baba zetu, bali na sisi, yaani sisi sote tulio hapa, tu hai.”
Musa anathibitisha kwa kutumia aya hapo juu kuwa hata baba zao hawakupewa Sheria. Sasa, Wasabato wanapo sema kuwa eti Adam alipewa sheria ya kutunza Sabato wanatoa wapi haya madai yao yasio na uthibitisho wa aya?
Kigezo ambacho Wasabato wa leo wanachotumia, ni kwamba Mungu alipumzika siku ya saba, hivyo husema kwamba, Adamu naye alipumzika ingawa Biblia haituambii kama Adamu alipumzika na hakuna kabisa uthibitisho wa aya Zaidi ya madai hewa. Sasa tuwaulize Wasabato, kama Adam alipumzika, alipumzika kwa sababu ya kazi ipi aliyoifanya? Musa ambaye ndiye aliyekuwa msabato halisi, anaipinga hoja hii katika mistari tuliyosoma hapo juu kwa kusema kwamba, Mungu hakufanya agano la zile sheria na baba zao, bali wao wenyewe. Kwa hiyo ni wazi kabisa, kuanzia Adamu mpaka Yakobo hawakuwahi kuambiwa na Mungu juu ya sheria ya kushika siku ya sabato.
JE, UNAZIFAHAMU IDADI YA SABATO AMBAZO WANA WA ISRAELI WALIAMRIWA KUZISHIKA NA MALENGO YAKE?

Tuesday, October 25, 2016

ALLAH KATEREMSHA AYA NA KUSEMA WAISLAM WOTE WATAINGIA JEHANNAM.

Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.
Kama wewe mbishi, ingia kwenye linki hapo juu, na ujisomee mwenye wapi hawa Waislam wataishia. JEHANNAM NI YA WAISLAM

Monday, October 24, 2016

KUMBE ALLAH ATAWALISHA CHAKULA NA KUWAPA MAJI WAISLAMU WAKIWA JEHANNAM?


CHAKULA CHA WAISLAM WAKIWA MOTONI
Vyakula vyao vimetajwa kua ni:
1-Dhari’i: Hii ni miba ichomayo koo na imetajwa katika Suratul Ghaashiyah aya ya 6.
2-Ghisliin: Amesema Allah kuhusiana na Ghisliin “ Hawatokua na chakula humo ila Usaha”. Suratu Haaqah aya ya 36. Hivyo ghisliin ni usaha ambao utawatoka wenyewe watu wa motoni kutokana na adhabu kali na kisha watakula usaha wao huo.
3-Zaquum: Ni mti mchungu huu ambao unaota katika jahannam, umoto wake umefananishwa na shaba iloyayushwa ambayo itachemkia tumboni. Matunda yake yanatisha kama vichwa vya mashetani. Umetajwa katika Suratu-Dukhaan aya ya 43-45 na Suratu Swaaffaat aya 62-66 na Suratul_Waaqiah 52-53
4-Ghuswah: Ni aina nyengine ya chakula cha watu wa motoni. Allah amekitaja katika suratul-Muzammil “Na chakula kikwamacho na adhabu iumizayo” 13
VINYWAJI VYA WAISLAMU WAKIWA MOTONI
Kabla ya kutaja vinywaji vya watu wa motoni, tukumbuke kua baada ya watu wa motoni kuingizwa Jahannam watashikwa na kiu kali kutokana na joto la Jahannam, hivyo watawapigia kelele watu wa peponi na kuwaambia kama anavyotusimulia Allah “Watu wa motoni watawanadia watu wa peponi: Tumiminieni maji au kile alichokuruzukuni Allah watasema (watu wa peponi kuwajibu): Hakika Allah ameviharamisha kwa kwa makafiri.(50) Ambao waliifanya dini yao kua ni upuuzi na mchezo,na yakawadanganya maisha ya dunia. Basi leo tutawasahau (na kuwaacha humohumo motoni)kama walivyosahau mkutano wa siku hii(51)” (Suratul Aaraf).
Baada ya joto la jahannam kuzidi wataoneshwa maji yachemkayo, kisha watayaendea lakini hawatoweza kunywa kwa umoto wake, watataka kurudi tena mahali walipokua na wakirudi, watazidiwa na kiu watataka kwenda kwenye yale maji na huo ndio utakua mzunguko wao. Amesema Allah katika suratu Rahman aya ya 44 “Watakua wakizunguka baina ya (Jahannam)na baina ya maji ya moto yachemkayo”. Amesema Allah kuhusiana na maji hayo katika Suratu-Muhammad aya ya 15“……na kunyweshwa maji yachemkayo yatakayokata chango zao” na wapo ambao maji hayo yatatoa ngozi zao na yalokuwemo kwenye matumbo yao kama anavyosema Allah katika Suratul-Hajj aya ya 20 “Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia”.
Ama vinywaji vyengine ni:
1- Maji ya usaha. Amesema Allah katika Suratu –Ibrahiim aya ya 16-17“ Na atanyeshwa humo maji ya usaha. Awe anayagugumiza na asiweze kuyameza. Na mauti yatamjia kutoka kila mahali na hatokufa”. 16-17.
2- Maji ya shaba. Amesema Allah kuhusiana na maji haya katka Suratul-Kahfi “ Na watakapoomba msaada (kutokana na kiu kali)watapewa maji kama ya shaba iliyoyayushwa itakayounguza nyuso zao, kinywaji kibaya kilioje hicho”
Ama kwa upande wa hadithi: Inasimuliwa kua watu wa jahannam wakiyasogelea maji kwa ajili ya kuyanywa basi itatoka ngozi ya uso na kuingia katika chombo chenye maji yale kutokana na shida ya vuke la moto.
SWALI:
Kwanini Allah atawapa watu wa Jehannam chakuna na vinywaji?
Na pia Mtume swalla Allahu alayhi wasalam amesema” Ameoneshwa moto na akawakuta wengi wao walokuwemo humo ni wanawake..”hivyo akawataka wazidishe kutoa sadaka.
Ili mtu aepukane na Jahaanam ni muhimu kuzidisha amali zifuatazo:
Kuzidisha kutoa sadaka kwani amesema Mtume wa Allah “Sadaka huondoa makosa kama moto unavyokula kuni.(Hadith sahih).
Natanguliza pole kwa Wanawake wa Kiislam maana Allah ataijaza Jehannam na wanawake.
Karibuni kwa Yesu ambaye anawapenda na amesha wasamehe dhambi.

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA TANO)


Baada ya kujifunza sheria mbali mbali za Sabato na jinsi ilivyo vigumu kuzifuata hizo sharia na adhabu yake ya kifo kwa kupigwa mawe kwenye Sehemu ya Nne. Sasa tuangalie kuhusu mavazi. Je, kuna mavazi ya kitorati?
MAVAZI
Imeandikwa: ... wala usivae mwilini mwako nguo ya namna mbili zilizochanganywa pamoja. (Mombo ya Walawi 19:19b). Usivae nguo iliyochanganyikana sufu na kitani pamoja. (Kumbukumbu ya Torati 22:11). Hii ilikuwa ni amri iliyohusu nguo halisi kabisa zinazovaliwa mwilini.
Hata leo sheria ya kutovaa mavazi yaliyochanganya rangi bado iko palepale.
Pia imeandikwa: Nitafurahi sana katika BWANA, nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu; maana amenivika mavazi ya wokovu, amenifunika vazi la haki ... (Isaya 61:10).
Mavazi ni ishara ya wokovu. Wokovu ni mmoja tu. Hauwezi kupatikana kwa njia nyingine tofauti na iliyowekwa na Mungu.
Maandiko yanasema: Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo. (Matendo ya Mitume 4:12), yaani ni jina la Yesu pekee. Kutafuta wokovu kwa kutumia dini, imani au jambo jingine lolote nje ya Yesu ni kujivika mavazi ya rangi nyingi. Vazi la wokovu ni la rangi moja tu; nyeupe!
Katika kipindi cha kwanza haikuruhusiwa kuvaa mavazi halisi yenye rangi tofautitofauti.
Katika kipindi cha pili, mavazi ni wokovu. Hivyo, kuwa na vazi la aina moja ni kusimama na wokovu halisi wa Yesu Kristo bila kuuchanganya na mambo ya kidunia.
Hata hivyo, katika kipindi cha utimilifu wa yote, mbinguni kuna mavazi halisi ya haki yaliyo ya milele, ambayo yatakuwa safi siku zote; milele na milele.
Imeandikwa: Baada ya hayo nikaona, na tazama, mkutano mkubwa sana ambao hapana mtu awezaye kuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na jamaa, na lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi, na mbele za Mwana-Kondoo, wamevikwa mavazi meupe ... (Ufunuo 7:9). Haya ni mavazi ambayo yameoshwa kwa damu ya Mwana-Kondoo wa Mungu.
Kutembelewa na Bwana
Bwana alipotaka kuwatembelea watu wake, watu walifua nguo halisi kabisa walizovaa mwilini. Imeandikwa: Bwana akamwambia Musa, Enenda kwa watu hawa, ukawatakase leo na kesho, wakazifue nguo zao, wawe tayari kwa siku ya tatu; maana siku ya tatu BWANA atashuka katika mlima wa Sinai machoni pa watu hawa wote. (Kutoka 19:10-11).
Katika kipindi cha kwanza, watu walifua mavazi yao halisi ya mwilini ndipo Bwana alikuja kusema nao. Mavazi hayo yalifuliwa kwa maji halisi.
Katika kipindi cha pili, kinachooshwa si mavazi halisi ya mwilini, bali ni dhambi katika mioyo yetu. Dhambi hizo zinaoshwa kwa njia ya damu ya Yesu Kristo.
Katika kipindi cha tatu, yaani cha utimilifu kwa yote, si tu kwamba hakutakuwa tena na haja ya kuoshwa (maana wote watakuwa watakatifu milele), lakini pia hakutakuwa na kusema kuwa kuna kutembelewa na Bwana, maana watakatifu watakuwa naye siku zote.
Imeandikwa: Nao watamwona uso wake, na jina lake litakuwa katika vipaji vya nyuso zao. wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala milele na milele. (Ufunuo 22:4-5).
Kwanini Yesu alisema hakuja kuitengua Torati?
Yesu Kristo anasema kwenye Injili kutokana na Mathayo kuwa: “Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza” (Mathayo 5:17).
Sasa tujiulize maswali machache:
1. Je, Yesu alichinja Mbuzi na Mafahali kila mwaka kwa ajili ya dhambi?
2. Je, Wanafunzi wa Yesu, walichinja Mbuzi na Mafahali kwa ajili ya dhambi zao?
3. Je, Wasabato wanachinja Mbuzi na Mafahali kwa ajili ya dhambi zao kila mwaka?
Nategemea jibu lako hapo juu ni hapana, maana sijawai soma aya ambayo inasema Yesu au Wanafunzi wake walichinja Mbuzi au Mafahali. Zaidi ya hapo, sijawai waona Wasabato wakichinja Mbuzi au Mafahali kwa ajili ya dhambi zao kila mwaka. Kumbe basi, hawa Wasabato hawatunzi Torati zaidi ya kuchagua kile ambacho wanataka ili kutengeneza dini yao. Sasa, kuna faida gani ya kuchagua chagua aya ili kukidhi matakwa binafsi?

BRITISH BLEEDING HEART who agreed to foster an alleged Muslim migrant ‘child’ shocked to learn the 12-year-old is actually a 21-year-old Afghan jihadi


Kind-hearted Rosie welcomed Jamal into her family after social workers said he was a 12-year-old orphan who had fled Afghanistan, but became suspicious when she noticed the lad was very ‘hairy’ for his age and was ‘adept at firing rifle.’

The pretend 12-year-old Afghan child
The pretend 12-year-old Afghan child

UK Sun  Jamal was outed when a dentist estimated he was a decade older than claimed. Taliban material and child abuse images were later found on his mobile. The blunder comes after migrants claiming to be children were bussed to the UK from Calais’ Jungle camp. It is feared terrorists could use the same ruse.

Rosie said: “Adults are playing the system. It’s putting families like mine and society as a whole at risk. “I don’t see anything wrong with dental and bone density checks. Some say they are intrusive and degrading. But having a potential terrorist in your home who’s pretending to be a child is far more intrusive.”

Computer analysis of photographs of other ‘child migrants’ who arrived in London from the Jungle camp this week suggests many could be in their 20s and 30s:

3987c45000000578-0-image-m-17_1476922596098

When Rosie and husband Pete, 57, took in Jamal they all switched to halal meat. She said: “He looked thin and I thought, ‘Bless him’. He was so humble, polite.” He roomed with a boy, aged 13. Two girls, 12 and 14, were also in the house.

Alarm bells rang when the family went swimming and Rosie’s 13-year-old commented on how hairy he was. At a climbing centre he shimmied up ropes with ease, and at a shooting range he stripped a gun before firing it.

3987c45000000578-3853816-image-a-25_1476923498963

On a bus to college he was told to get off by a driver who didn’t believe he was 16. Rosie, who lives in the South East, said: “It’s ridiculous how everybody else could see it but not the social workers.”

Jamal’s behaviour worsened. He put the 13-year-old in expert holds, demanded cash and got calls from unknown numbers. One day he claimed he couldn’t pray because there were too many posters on his wall. The interpreter told him, “What do you mean? Allah doesn’t mind?”

3987c45000000578-3853816-image-m-21_1476923362163

His last words to Rosie were: “I’ll kill you and I know where your children are.”

She added: “I can’t say he was a terrorist but I do think he came from a training camp. He was a great actor. “Every day I check the car, and that all the house windows are shut. I panic because I know he knows our routine.”

Since being arrested for an alleged assault, Jamal has been turned down for asylum but is appealing.

SERIOUSLY? Angela Merkel is blaming the German people for not singing Christmas caroles anymore


Surely, it has nothing to do with her disastrous policies of flooding Germany with Christian-hating Muslim reprobates?

SWEDEN: Lefitst politicians ‘weeping’ at the idea that they must now deport 80,000 Muslim invaders


They see the handwriting on the wall that if they don’t do something to stop the flood of Muslim illegal aliens, their political futures are lost. (One can only hope)

Karachi youth pour out their heart to Jesus


Karachi youth pour out their heart to Jesus.

Uroosa Willson described it as a “really blessed conference.” It was indeed as a large number of youth participated in the conference in Karachi where Pastor Nabeel Riaz from Lahore preached from the Bible. During the “Cornerstone Youth Conference Karachi 2016” he spoke on “Cry of the father” and a large number of youth drew closer to the Lord Jesus Christ. The conference was organised by Cornerstone Youth and Hosanna the Band, at YMCA Tennis Court, Aiwane-e-Saddar Road, Karachi on September 16. Jamshaid Jerome, was the national coordinator and the local coordinator was Jeddoun Francis. The hundreds of youth who attended the conference praised and glorified the name of Jesus.

111-year-old woman recites Psalm 23 from memory. From her 12 children, she has 53 grandchildren, 120 great-grandchildren and 126 great-great grandchildren

111-year-old woman recites Psalm 23 from memory.
From her 12 children, she has 53 grandchildren, 120 great-grandchildren and 126 great-great grandchildren.

An online video of a 111-year-old reciting the 23rd Psalm by heart has gone viral. Hester Ford of Charlotte, North Carolina was interviewed last month by local television station WBTV about the celebration of her 111th birthday and being the third oldest person in the state. “I married when I was 14 and I had 12 children,” she explained. “I worked on the farm. I did some of everything on the farm that a person could do.” Ford has 53 grandchildren, 120 great-grandchildren and 126 great-great grandchildren. Her family considers themselves blessed to still have her. “A lot of people have gone to rest in their younger years, so it’s a blessing that she’s been with us all these years,” her daughter Thomas told the outlet. While Ford suffers from dementia, when it comes to her faith in God and her recitation of Scripture, her memory is impeccable. She recited the 23rd Psalm for reporter Kristen Hampton, who was covering her birthday celebration, according to a report in Christiannews. “Time has taken its toll on Mrs. Ford, but one thing remains intact and untouched by 111 years of life; her faith,” Hampton wrote. “While we visited, Ford was able to recite Psalm 23 word for word and ended with a smile. Her family says her strong faith has followed her throughout her life, and they give credit to God for seeing her through so many years.”

OCT 1 Massive gathering in Amritsar at Paul Dinakaran’s meeting. Minister Daljit Singh also participates in prayer for peace on country’s borders

Massive gathering in Amritsar at Paul Dinakaran’s meeting.

Minister Daljit Singh also participates in prayer for peace on country’s borders.

A massive crowd of people heard the word of God preached by Paul Dinakaran in Amristar on September 30. The meetings will continue till October 2. Paul Dinakaran also prayed for peace on the borders of the country. Punjab education minister Daljit Singh Cheema, and former cabinet minister for agriculture, Sucha Singh Langah were also attended the meeting. Paul Dinakaran said on his FB that there were many testimonies of healing and Sis.Manjith from Ludhiana who had an abnormal discharge of blood was instantly healed when God called her name during a prayer in Jesus Calls Television Program. “The descent of the Holy Spirit was so mighty upon the people during the Prayer,” he said.  Evangeline Paul Dhinakaran prayed for God's bountiful blessings upon the gathering at the Bless Punjab Prayer Festival.

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW