Baada ya kujifunza sababu ya kukomeshwa kwa Sabato katika Sehemu ya Kumi na Moja, sasa tunagalie, kwanini Wakristo wanaabudu Jumapili.
Siku ya JUMAPILI, ambayo ndiyo siku ya kwanza ya juma, SIKU YA BWANA aliyoshinda mauti na kufufuka, Ufunuo 1:10, tunaitenga maalum kumwabudu Bwana:-
Wasabato na au Mafarisayo wa karne hii wamekuwa waliwashutumu Wakristo kuhusu siku halali ya kufanya ibada. Wakristo wanaoshika sheria ya siku ya sabato waliyo pewa wana wa Israel wamekuwa wakidai kuwa siku halali ya kufanya ibada ni Jumamosi, kadhalika, na Wakristo wanao fuata mafundisho ya Yesu na wanaofanya ibada zao siku ya Jumapili husema kuwa siku halali ya kufanya ibada ni siku ya Jumapili, na zaidi ya hapo wansema kuwa siku zote za Bwana ni halali kufanya ibada. Kama majadiliano haya yangefanywa kwa msingi wa kimaadiko, basi nina amini kabisa kwamba, kamwe kusingekuwa na mgogolo wowote, kwa kuwa Neno la Mungu liko wazi kabisa. Ni vema ifahamike kwamba, Mungu wetu anapenda sana kuona watoto wake wakimwadudu kila siku na kila saa, na wala siyo katika siku fulani au masaa fulani. Matendo 26:7 Biblia inasema, “Ambayo kabila zenu kumi na mbili wanataraji kuifikia, wakimwabudu Mungu kwa bidii mchana na usiku……”
Lakini kwa vile sisi ni wanadamu, na tunahitaji kufanya shughuli za kutupatia mkate wa kila siku, hatuwezi kufanya kusanyiko la kumwabudu Mungu kila saa, hivyo hatuna budi kuwa na siku maalumu za makusanyiko.
ANGALIZO:
Bwana Yesu, kupitia Mutme Paulo amefundisha wazi wazi kuhusu siku za kufanya makusanyiko;
UTHIBITISHO:
Warumi 14:5-6, Biblia inasema, “Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitke katika akili zake mwenyewe. Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye hula kwa Bwana…….”
Swala la siku ipi watu wafanye kusanyiko, lipo chini ya maamuzi ya watu husika, kwa kuwa siku zote ni sawa, wanaweza wakachagua siku fulani na wakawa wanafanya makusanyiko, kwa kuwa kila aadhimishaye siku huiadhimisha kwa Bwana. Kama watu wataamua kufanya makusanyiko kila siku bado ni jambo jema.
KUSHIKA SIKU, SIYO NJIA YA KUOKOKA
Kushika siku yoyote hata iwe Jumapili, sio njia ya kuokoka.Tunaokolewa kwa kumuamini Yesu kuwa ni BWANA na MWOKOZI na sio kwa kushika siku yoyote [WARUMI 10:9-10,13].
An advertisement for ALTRA FIREARMS warns potential customers that Muslims and supporters of Hillary Clinton, who are “terrorists” in the store’s parlance, are not welcome. “Please NO Muslims or Hillary Supporters — We do not feel safe selling to terrorists!” Altra Firearms in Jackson Center, Pennsylvania advertised in local papers this week.
TalkingPointsMemo The “Politically Incorrect Firearms” store also invited readers to “Visit our underground bunker and speak with our unique and deplorable sales associates.”
Altra Firearms’ owner Paul Chandler, 54, told TPM Friday that he’s had a sign in front of his store advertising that supporters of President Obama aren’t welcome to come inside, either.
“We did have, in three-foot letters, ‘No radical Muslims,’ but I changed that to ‘No Muslims,’ period,” Chandler said in a phone interview, noting rhetoric from Iranian television motivated the change.
“They’re saying that America is the great Satan and it’s got to be destroyed. They’re basically teaching that if it’s an infidel, either they convert or kill them. And that’s what they’re doing in our country now,” he said, comparing the actions of modern Islamic nations to the expansion of Muslim influence into Europe before the Crusades.
“If the gun store in Florida wouldn’t have sold to that man, there’s be 40 or 50 more people alive,” he continued, referring to Omar Mateen, who killed 49 people in Orlando when he opened fire in an LGBT nightclub.
Chandler told TPM he’s never actually denied service to any Muslims or Clinton supporters, although he said he’d told one woman with an Obama bumper sticker on her car that the store was closed. He also said he’d denied service to one man who told him “I hate niggers, I want a gun.”
Chandler said he didn’t extend the same blanket ban to potential Christian customers after a series of abortion clinic bombings years ago because “hundreds of Christian preachers got up and said ‘that is wrong.’”
“Do you hear any Muslim clerics condemning what is going on today?” he asked. “I haven’t heard one.”
In 2015, designated terrorist group CAIR (Council on American-Islamic Relations) sued a different store in Florida (FLORIDA GUN SUPPLY) which declared itself a ‘Muslim Free Zone’ but the case was dismissed.