Friday, November 4, 2016

YESU KWA KIARABU NI YASU NA SIO ISSA


Katika somo letu hili tutajifunza kuhusu jina sahihi la Yesu/Yashua na tafsiri yake katika Kiarabu. Je, Isa ni jina la Yesu wa Biblia?
Jibu sahihi la kihistoria na la wataalam wa kutafsiri litatupa ukweli halisi wa Jina la Yesu na kwanini alipewa Jina hilo katika " sherehe ya kumtaja " (Luka 2:21). Jina ambalo aliitwa na Mama yake, Baba yake wa Kambo, Ndugu zake na jamaa wengine, majirani zake , marafiki zake na wanafunzi wake wakati wa maisha yake duniani. Hakuna kutokuelewana kuhusu ukweli kwamba jina la Yeshua halikuwa la Kiarabu bali la Kiyahudi na Yesu/Yeshua mwenyewe aliishi katika Israeli, na alizaliwa katika familia ya Wayahudi wacha Mungu.
Jina la Yesu bila ya shaka yeyote ile ni la Kiyahudi. (Maana yake ni “kweli”). Tafsir ya jina la Yeshua Kiebrania katika Kiingereza itakuwa ni Jesus. Jina la Yesu halikuchaguliwa kiholela na wazazi wake, lakini yeye alipata jina lake moja kwa moja kutoka kwa Mungu (Mathayo 1:21 , Luka 1:31) kwa sababu ya maana ya jina lake na nani alilileta, basi leo hii tunaelewa madhumuni ya Yesu kuzaliwa na kuja hapa duniani (Mathayo 1:21 ).
Katika utamaduni na jadi ya Kiarabu. Jina la Yesu ni Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislam. Na hata leo, jina la Yasu linatumiwa na zaidi ya 99.99% ya Wakristo wote wa Kiarabu. Tembea katika kanisa lolote la Kiarabu huto sikia wanatumia jina la Isa, Sikiliza matangazo ya Wakristo wa Kiarabu katika Radio na Televisheni (za Kiarabu) huto sikiwa Mkristo anatumia jina la Isa, bali wanatumia jina la Yasu. Matangazo yote ya Kikristo katika Uarabu wanatumia jina la Yasu. Kamwe huto ona jina la Isa kama lilivyo kwenye Koran ya Waislamu.
Katika jadi ya Kiarabu na utoaji wa tafsiri wa jina, jina sahihi la Kiebrania (Yeshua) ni Yasu katika Kiarabu. Kila uchaguzi wa tafsiri ya jina la kigeni katika lugha tofauti ni uvumbuzi wa binadamu.
Kiisimu ipo wazi jinsi jina la Yeshua Kiebrania lilivyo tafsiriwa na kuwa Yesu Kiswahili na Jesus Kiingereza:
Yeshua '(Kiebrania) -> Ιησους (Kiyunani) -> Yesu (Kilatini) -> Jesus (Kiingereza) -> Yesu (Kiswahili).
Mpito muhimu ni kutoka Kiyahudi kwenda Kigiriki. Hatua hii ilifanyika miaka 200 kabla ya Yesu kuzaliwa. Watafsiri wa Septuaginta (LXX), classical Kigiriki tafsiri ya maandiko ya Kiyahudi, kutokaa Yeshua Kiebrania jina kama Ιησους katika Kigiriki. Injili ziliandikwa katika lugha ya Kigiriki ilitumia utamaduni huu wa kutafsir kwa muda mrefu.

Praise Jesus more...Best Arabic Christian Song(Middle East)

YESU HAKUWA MUISLAM


USHAIDI WA KIBIBLIA NA KORAN
Waumini wa dini ya Kiislam wamekuwa na tabia ya kuseka kuwa, eti, Yesu alikuwa ni Muislam. Madai haya ya Waislam yamekuwa yakisemwa katika mihadhara yao ya kidini bila ya kuwa na ushaidi yakinifu kusaidia madai yao.
Leo nitajibu madai haya kwa kutumia Biblia na Koran kama ifuatavyo:
YESU HAKUWAI SEMA SHAHADA
Kufuatana na sharia za Kiislam, ili mtu awe Muislam lazima aseme na au afanya shahada. Yesu hakusema SHAHADA (La ilaha illallah) na hakuna ushaidi wa Kibiblia au Koran unao sema kuwa Yesu alisema SHAHADA. Hivyo basi, Yesu hakuwa Muislam.
YESU HAKUWAI KUMWABUDU ALLAH
Yesu hakuwai kuomba na au kumwabudu “Allah”, lakini kutokana na Biblia, Yesu aliomba kwa Baba yake, Yohana 17:1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe. Koran na Uislam unakiri kuwa Allah si Baba na hakuna hata aya moja inayo mwita Allah Baba. Yesu hakuwa Muislam.
YESU HAKUWAI KUOMBA HUKU AKIANGALIA MAKKAH
Yesu hakuwai kusujudu huku akiangalia Makkah, jambo ambalo ni moja ya masharti katika kumwomba na au abudu “ALLAH”. Quran 2:149. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na hiyo ndiyo Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda. 150. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na popote mlipo elekezeni nyuso zenu upande huo ili watu wasiwe na hoja juu yenu, isipokuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Basi msiwaogope wao, lakini niogopeni Mimi - na ili nikutimizieni neema yangu, na ili mpate kuongoka.
Sasa tumsome Yesu katika Biblia, wapi aliangalia wakati akiomba.
Yesu aliomba huku akiangalia Mbinguni soma: Marko 6: 41 Akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akashukuru, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi wake wawaandikie; na wale samaki wawili akawagawia wote.
Katika aya tuliyo isoma hapo juu, imetupa ushaidi kuwa Yesu aliangalia Juu Mbinguni ambapo Baba yake alipo na si Makkah.
YESU HAKUFUNDISHA KUHUSU KAABA

PAPUA NEW GUINEA: WAISLAMU ZAIDI YA 4,500 WABATIZWA KWA MAJI MENGI.


-Zaidi ya Waislamu 4,500 wamebatizwa kwa ubatizo wa maji mengi katika mkutano wa injili uliofanyika katika nchi ya Papua new Guinea ambayo ipo kusini mwa Bahari ya Pasifiki Barani Afrika.
-Wachungaji wapatao 50 walihusika katika ubatizo huo , àmbapo wabatizwa walikua wakijipanga kwenye mstari ili kuelekea kwenye ubatizo.
-Katika mkutano huo uliokua ukifanyika katika uwanja wa "Sir John Guise Stadium", watu zaidi ya 100,000 walikua wakihudhuria na baadhi ya watu walikua wakikaa nje ya uwanja kwa kukosa nafasi kutokana na wingi wa watu , Idadi hiyo inakadiriwa kuwa nusu ya Wakazi wa nchi hiyo ..
-Wabatizwa wote walipewa vyeti vya ubatizo na Biblia.
-Endelea ku like page yetu kwa habari zaidi za injili.
—with information from the Carter Report ministry

YESU NI MFALME WA WAFALME


Ufunuo 17:14
Hawa watafanya vita na Mwana Kondoo na Mwana Kondoo atawashinda, kwamaana yeye ni Bwana wa Bwana na Mfalme wa Wafalme.
Katika aya hii tunasoma kuwa Yesu anaitwa “Mfalme wa Wafalme” ambayo ni SIFA ya Mwenyezi Mungu kama ilivyo shaidiwa na Koran Surah ya 59 na aya 23. Hivyo basi , Allah na Koran wamekiri kuwa Yesu ni Mungu kwasababu Biblia imetuthibitishia kuwa Yesu ni Mfalme wa Wafalme katika Ufunuo 17 na aya 14 miaka 600 kabla ya kuzaliwa Muhammad.
YESU NI MUNGU

QURAN ILITEREMSHWA NA ADUI WA JIBRIL NA SIO ALLAH


Quran 2:97. Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini. http://www.quranitukufu.net/002.html
Aya hapo juu ipo wazi kabisa kuwa aliye iteremsha Quran kwa Muhammad ni adui wa Jibril.
Sasa Waislam anzeni kujipanga maana mnasoma kitabu cha adui wa Jibril.
Ndio maana huwa nasema kuwa "UISLAM NI DINI YA KUJITUNGIA TU".
Copyright © Max Shimba Ministries 2013

NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU SABATO? (SEHEMU YA KUMI NA TATU)


Baada ya kusoma katika Sehemu ya Kumi na Mbili kwanini Wakristo wanasali Jumapili, basi tuendelee kuona je, sheria inaweza batilishwa?
Maana ya Sheria:
Neno sheria lina maana nyingi.Lina maana kama kama;
.Desturi
.Kanuni,au
.Amri zilizo na lazima kufuatwa.
Vilevile neno sheria lina maana ya utaratibu wa maisha unaowekekewa kanuni zilizopitishwa na bunge; na pamoja na desturi zinazokabiliwa na Taifa zitumike kwa jamii (yaani sheria za mila). Ili kuakikisha kwamba sheria zinaheshimiwa na kufuatwa Taifa (Serikali) hutumia vyombo vya dola kama;
Polisi-kwa kuwakamata na kuwafikisha wahalifu mahakamani;
Mahakama-kwa kuwaadhibu wahalifu; na Magereza -kutekeleza adhabu ya mahakama kwa kuwafunga waalifu.

SASA TUJIFUNZE MAREKEBISHO YA SHERIA KATIKA AGANO JIPYA KUPITIA CHEKECHO LA MSALABA
Mungu habadiliki katika tabia na sifa zake, lakini Yeye mwenyewe amekuwa akiweka amri na kuzibadili kama apendavyo Yeye, katika vizazi mbalimbali. Na pia amekuwa akifanya maagano na vizazi mbalimbali kwa kadiri ya kusudi lake.
ADAM NA HAWA HAWAKUPEWA TORATI:
Adamu na Hawa hawakupewa torati, bali walipewa amri moja tu, yaani kutokula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya kama Biblia inavyosema katika kitabu cha Mwanzo 2:16-17.
Mungu hakumpa Adamu amri ya ‘usizini’ kwa kuwa hakuwapo mwanamke mwingine ila mkewe Hawa. Vivyo hivyo hakumpa amri ya ‘usiibe’ kwa kuwa vitu vyote vilivyo kuwapo katika bustani ya edeni alipewa na Mungu kuwa vyake. Pia Mungu asingeweza kumwambia Adamu aheshimu wazazi wake kwa kuwa hawakuwapo. Katika maandiko hatuoni Mungu akimwagiza Adamu ashike sabato. Kwa hiyo zama za Adamu na Hawa walipewa amri moja tu.
AGANO LA MUNGU NA NUHU:
Tukija zama za Nuhu, tunaona Nuhu naye anafanya agano na Mungu na kupewa sheria zifuatazo katika Mwanzo 9:1-7; sheria ya kwanza Nuhu anaambiwa asile nyama pamoja na uhai wake yaani damu (Mwanzo 9:4-5), na sheria ya pili, Nuhu na kizazi chake wanakatazwa kuua (Mwanzo 9:6).

AGANO LA MUNGU NA IBRAHIMU:
Tukija kwa Ibrahimu tunaona Mungu anafanya agano na Ibrahimu na kumwambia awe mkamilifu (Mwanzo 17:1). Lakini pia anampa sheria mpya ya kutahiri nyama ya magovi yao, kitu ambacho Nuhu hakuamriwa kufanya.

SASA TUONE JINSI TORATI ILIVYO KUJA:

Wednesday, November 2, 2016

EVOLUTION IS SATANISM!! Abortion Holocaust



If I were you I would BLOW UP MYSELF!
Your existence is totally POINTLESS.

This was my way of thinking for ten years, after the DEMONIC PUBLIC school system had POISONED my mind with 'the THEORY of evolution', which was concocted by the SATANIC JESUITS, which I know now.

EVOLUTION IS SATANISM!!!!!!

It's a MONSTROSITY from the PITS of HELL and from the EVIL VATICAN and Satan himself.

Satan is a JESUIT https://ezekiel38rapture.blogspot.nl/2016/09/satan-is-jesuit_3.html

===
angela jakob
7:38 AM

It seems you do not seem to understand the difference between facts and belief. Ever heard of cognitive dissonance, just google it. If ask if they can explain some biblical contradictions and they 

avoid it by cursing me as some imaginary devil it seems they cannot handle the scientific facts.



Tuesday, November 1, 2016

WHY MASTURBATION IS A SIN…..Please read this!


To start with, masturbation is self service by which one derives pleasure; it’s a sexual stimulation of the genitals, usually to the point of orgasm. So the question: Is it sinful for a child of God to masturbate? The sincere and simple answer is that, it is biblically sinful based on these three points:
(1) IT’S DISHONORING YOUR BODY.
Pastors and preachers who claim that masturbation is not a sin are the same people who say a godly woman can dress any how; their base is that God’s is not concern about what you do with your body, watch out!
Such teaching of your body is not God’s business is satanic and unbiblical. Romans 12:1, “I beseech you therefore, brethren, by the mercies of God, that you present your bodies a living sacrifice, holy, acceptable to God, which is your reasonable service.” Your heart is the throne of God, and your body is His temple; when you defile God’s temple – your body – with masturbation or any uncleanness, you expose yourself to God’s destruction.

Inside Fiery Gbazango, Where Preacher Olawale Was Murdered

For many years, Deaconess Eunice Olawale played the role of an evangelist in Gbazango, a sprawling settlement in Kubwa, one of the satellite towns of Abuja. Like the town crier in a typical African village, she was usually the first to hit the streets, announcing her message loudly to the hearing of early risers and even those who were still on their beds.
It was a daily routine undertaken just before the break of dawn. Her only tools were a copy of The Bible and a megaphone with which she amplified her message to everyone who cared to listen.

TRENDING NOW