Monday, November 7, 2016

JE, NENO LA MUNGU LINASEMA NINI KUHUSU KUANGALIA PICHA NA SINEMA ZA NGONO “PONOGRAFIA”? (SEHEMU YA KWANZA)


Kwanza nakukaribisha katika somo hili kuhusu ngono na picha za ngono na au ponografia. Ni somo la muhimu sana, maana labda kwenye Kanisa lenu au Msikini wenu au Sinagogi lenu hamjawai fundishwa hili so. Basi ni vema leo tujifunze kwa kutumia misingi ya NENO LA MUNGU.
Kufika sasa, jambo ambalo limefanyiwa utafiti wa mara nyingi sana kwa maneno katika mitandao linahusiana na ponografia. Kutokana utafiti ulio fanywa na “google” unasema kuwa neno “sex” “ngono kwa kiswahili” linaangaliwa mara milioni 506 kila mwezi.
Maana ya ngono:
Ngono ni kitendo cha mtu au watu kufanya kitendo cha kujamiana (Tendo la Ndoa) na pia ni ile hali ya kuwa uchi wa mnyama.
Maana ya picha:
Neno picha ni kivuli cha mtu, watu, kitu n.k. Picha si kitu halisi bali ni kivuli chake. Unaweza ukapewa picha ya mtu lakini usifahamu urefu wake au ni mfupi kiasi gani lakini sura yake ukawa umeiweka katika kumbukumbu yako ya fahamu.
Ponografia imeenea sana katika ulimwengu wa leo. Ingawa zaidi ya kitu cho chote, shetani amefaulu katika kugeuza na kupotosha jinsia. Amechukua jambo ambalo ni jema na zuri (mapenzi kati ya mume na mke) na kubadilisha na tamaa, ponografia, uzinzi, ubakaji, na ushoga.
Kwa ujumla picha za ngono ni dhambi kwa kuwa kuangalia picha za ngono ni kufanya zinaa. Hata kama ninyi ni wanandoa, bado kuangalia picha za ngono ni dhambi.
UTHIBITISHO WA AYA:
Bwana Yesu anasema katika Mathayo 5:28, “lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.”
Hakuna anayeangalia picha za ngono aidha mwanaume au mwanamke alafu asiwake tamaa. Na tamaa hiyo haiwaki kwa sababu ya mwenzi unayeangalia naye, bali inawaka kwa sababu ya wale mnaotazama picha zao, nikiwa na maana kwamba chanzo cha tamaa yako hapo ni utupu wa yule mwanaume na mwanamke wanaofanya ngono na si mwenzi wako. Kwa hiyo, kwa kufanya hivyo, tayari ninyi wanandoa wote mnaingia kwenye mtego wa kuwa wazinzi.
Picha za ngono ni mtego wa shetani katika kukiweka kizazi cha sasa kiweze kila wakati kutafakari mambo ya ngono na sio kumtafakari Mungu. Mtu aliyeathirika na picha za ngono kwenye mitandano kamwe hawezi kuwa na mahusiano ya kweli na Mungu.
UTHIBITISHO WA AYA:
Neno la Mungu linasema katika Wafilipi 4:8, “Hatimaye, ndugu zangu, mambo yo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya staha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye sifa njema; ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote, YATAFAKARINI HAYO.”
Picha za ngono zinamfanya mtu awe mateka wa ngono, na ni ngumu kwa mtu aliyeathirika na picha za ngono kujinasua kwenye mtego huo. Kila wakati hujisikia nguvu fulani inamvuta kutazama picha hizo. Kila akiingia kwenye mtandao kuna kitu kinamsukuma kutazama picha hizo. Hizo ni dalili za mtu kuwa mateka na mtumwa wa ngono. Tayari mtu huyo yupo kwenye gereza la shetani la ngono.

ALLAH AMETEREMSHA AYA NA KUSEMA MUHAMMAD NI NABII WA UONGO


WAISLAM BADO WAMENG'ANG'ANIA ETI MUHAMMAD NI MTUME WA MUNGU, LAHA HASHA.
USHAHIDI HUU HAPA!!!!
ALLAH ANASEMA ATAUKATA MSHIPA MKUBWA WA MOYO WA NABII WA UONGO:
Quran 69;44_46 Allah ataukata mshipa mkubwa wa Moyo wa Nabii wa uongo.
MUHAMMAD ANAKIRI KUWA MSHIPA WAKE MKUBWA MOYO UMEKATWA NA ALLAH:
USHAHIDI WA KWANZA:
Sahih Bukhari 5;59;713 Muhamadi amekiri wakati anakufa: Ninahisi kama mshipa mkubwa wa Moyo wangu unakatwa .
USHAHID WA PILI:
Abu Dawud 34;4498 huu ndio wakati ambapo mshipa mkubwa wa Moyo wangu unakatwa
Swali moja tu kwa Waislam: ..Allah kamwita Muhammad nabii wa uongo, Je kwa nini nyinyi Waislamu mnamfuata nabii wa Uongo?
Tafadhali toeni majibu yenye aya za Allah.

YESU NI MUNGU MILELE YOTE

YESU YUPO KILA MAHALI, KOTEKOTE DUNIANI.
MATHAYO 18:20 “Kwa kuwa walipo wawili watatu,wamekusanyika kwa jina langu, mimi nipo papo hapo katikati yao”.
Mwenye uwezo wa kukaa mahali pote ni Mungu.
"JESUS IS OMNIPRESENT"

KWA NINI YESU ALIVUNJA SABATO?

Ndugu msomaji,
Hebu tuangalie mifano kadhaa hapa:
MFANO WA KWANZA
Yesu alipomponya mtu ambaye alikuwa hawezi kwa muda wa miaka 38, alimwambia ‘jitwike godoro lako, uende.’ (Yohana 58). Hii ilikuwa ni siku ya sabato.
Lakini tunaona kwamba Wayahudi walipomwona mtu huyo walimwambia, Leo ni sabato, wala si halali kwako kujitwika godoro. (Yohana 5:10). Bila shaka walisema hivi kwa kuwa walifahamu fika jinsi sabato inavyotakiwa kutunzwa.
Hii ni kusema kwamba, kwa kadiri ya kanuni za utekelezaji wa sabato, hili lilikuwa ni kosa. Sasa, swali ni kwamba, kwa nini Yesu alivunja sabato kwa kumruhusu yule mtu abebe godoro?
MFANO WA PILI
Wayahudi walipomkasirikia Yesu kwa sababu ya kumruhusu yule mtu kubeba godoro siku ya sabato, Bwana Yesu aliwajibu kwamba: Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi. (Yohana 5:17). Haya ni maneno ya ajabu sana. Wewe uliye Mungu ulituambia kwamba siku ya sabato tusifanye kazi bali tupumzike; tumemwona mtu anafanya kazi ya kubeba godoro, tumekuja kwako, lakini wewe si tu kwamba hukumkemea, bali unasema tena kwamba na wewe unafanya kazi hata sasa (siku ya sabato)!
Kama sabato hasa ni kuacha kufanya kazi, iweje tena Yesu atamke jambo ambalo ni wazi kabisa linavunja sheria aliyoiweka mwenyewe ya kutofanya kazi; yaani aseme kuwa hata sasa yeye anafanya kazi?
MFANO WA TATU
Siku moja Yesu aliingia kwenye sinagogi ambamo mlikuwamo mwanamke mwenye pepo wa udhaifu. Yesu alimponya mama yule.
Hata hivyo, Biblia inasema: Basi mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu amemponya mtu siku ya sabato, akajibu, akawaambia mkutano, Kuna siku sita zifaazo kufanya kazi, basi njoni mponywe katika siku hizo, wala si katika siku ya sabato. (Luka. 13:14).
Maneno haya ya mkuu wa sinagogi yanatuonyesha kwamba, jambo alilofanya Yesu lilikuwa ni kuvunja sabato. Swali ni lilelile, kwa nini Yesu alivunja sabato?
Tunafahamu kuwa maandiko yanasema kwamba kuvunja sabato ni dhambi, tena ambayo iliadhibiwa vikali sana. Na katika mifano hiyo hapo juu, tunaona kwamba Yesu alivunja sabato kwa kufanya mambo ambayo jamii nzima ilikuwa haiyafanyi siku ya sabato. Kwa harakaharaka, mtu anaweza kusema kwamba, Yesu alitenda dhambi.
Lakini wakati huohuo, maandiko yanasema kwamba, katika kuishi kwake kote hapa duniani, Bwana Yesu hakuwahi kutenda dhambi. (Waebrania 4:15).
Swali la kujiuliza hapa ni kwamba, iweje uvunje sabato, jambo ambalo ni dhambi, halafu uhesabiwe kuwa hujatenda dhambi? Pili, iweje wewe ambaye ndiye ulisema watu wapumzike siku ya sabato, ndio uwe wa kufanya kinyume na agizo lako mwenyewe? (Maana Yesu ndiye Mungu aliyeagiza sheria ya sabato ifuatwe). Iweje hapa yeye ndiye awe wa kuivunja?

ADHABU YA KUVUNJA SABATO

Utunzaji wa sabato uliandamana na utoaji adhabu kwa yeyote ambaye alivunja sheria hiyo. Mtu ambaye aliasi sheria ya sabato, adhabu yake ilikuwa ni kuuawa. Maandiko yanasema: Kila mtu atakayefanya kazi yoyote siku ya sabato, hakika yake atauawa. Sasa tukija kwenye agizo la kushika sabato halikuwa ni siku ya kukusanayika, bali ni pumziko la kazi tu na kustarehe kama tunavyoweza kuona katika kitabu cha KUTOKA 31:14-15, “Basi mtaishika hiyo sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia unajisi hakika yake atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi siku hiyo, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake. Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa Bwana, kila mtu atakayefanya kazi yoyote katika siku ya sabato, HAKIKA YAKE ATAUAWA.”
Pia KUTOKA 35:2 Biblia inasema, “Fanyeni kazi siku sita, lakini siku ya saba itakuwa siku takatifu kwenu; ni sabato ya kustarehe kabisa kwa Bwana; mtu awaye yote atakayefanya kazi yoyote katika siku hiyo ATAUAWA”.
Maswali kwa watunza Sabato:
1. Je umesha wai vunja Sabato?
2. Je, umesha wai uwa mtu kwa sababu alivunja Sabato?
3. Kwanini hamfuati hii amri ya kuuwa watu wanao vunja Sabato?
Ndio maana ninasema kuwa Yesu ndio Mwishop wa Sabato na aliitengua.
Ni mimi Max Shimba Mtumwa Yes Kristo

Friday, November 4, 2016

University of Wisconsin Saudi Muslim student beaten to death


His name is Hussain Saeed Alnahdi (below) and the alleged attacker is being called a white man about six-feet tall. No other details available including whether or not his ‘white’ attacker was a fellow Muslim.

1585817_630x354

ABC  A $15,000 reward is being offered for the attacker as well as $5000 from designated terrorist group CAIR. An assistant professor tried to reassure Saudi exchange students. “I just wanted our Saudi students to know they are wanted, they are a deeply important part of this community, they are valued and we’ll do everything we can to keep them safe and let them feel that value,” Asst. Professor Emi Stumke said. (Especially because the Saudis pay full tuition, no student aid or scholarships required. They don’t even need good grades to get in, just a rich father who will make a big donation to the school)



“We are losing control of the streets,” say police as Angela Merkel’s Germany descends into chaos and lawlessness


84ceb1cebdceb1cf83cf84ceb5cf83-viGERMAN Chancellor Angela Merkel is facing catastrophe over her failed mass Muslim migration policy, according to a new report. Germany has been hit by a tidal wave of horrendous violent crime including rapes, sexual and physical assaults, stabbings, home invasions, robberies, burglaries and drug trafficking…not to mention Islamic terrorist attacks.

maxresdefault-vi

UK Express  Adding to the country’s woes is the fact that thousands of people have gone missing after travelling there on invitation from Anegla Merkel. Germany took in more than 1.1million migrants in the past year and parts of the country are crippled with a lack of infrastructure.

Now the true reality is hitting home ahead of next year’s elections as the far right surges in the polls threatening to topple the Christian Democratic Union (CDU) leader Mrs Merkel. According to a report by the international policy council the Gatestone Institute, local police in many parts of the country admit that they are stretched to the limit.

Despite  the mayhem caused by skyrocketing violent crime and terror attacks by Muslim migrants, German officials  insist on blaming the unrest on the rise of the “far right extremists” (aka German patriots).

NY elementary school calls off mock election because students were chanting “Trump” and “We don’t want Muslims here”


Jericho Elementary School in Centereach, New York, announced it had scrapped the mock vote that was due to take place this Friday after some young students started chanting “Trump” and repeated ‘negative rhetoric about Muslims.’ 

trump_mock

ABC News (h/t Susan K) Principal Glen Rogers revealed the decision was made after teachers complained about what some children had been chanting around the school and in the cafeteria. Teachers have said they’ve heard some kids in the cafeteria chanting “Trump! Trump! Trump!” or saying they don’t want Muslims here,’ Roger said.

‘I mean, kids often repeat what they hear on the TV or the news, but it doesn’t mean it’s OK. (In other words, you don’t think the First Amendment is OK) “We have a diverse community here. We want all our students to feel valued.” (So we don’t become the target of an Islamic terrorist attack?)

‘It’s important for our students to be able to express their opinions, but it’s also important for them to be informed about it and not just repeating what they happen to hear,’ Rogers said. (Especially if it goes against the Democrat talking points. This IS New York, after all)

GERMANY: Christian priest gets stoned by illegal alien Muslim children shouting “Allahu Akbar”


The Ethiopian vicar was visiting the town of Raunheim on the outskirts of Frankfurt when the pre-teens started throwing stones at him. The three Muslim children, aged between 10 and 12-years-old, shouted “Allahu Akhbar” as they threw the stones, the other priest who was visiting from a nearby church said.

priest-hit-stones-muslim-children-726659

UK Express  Dressed in traditional priest’s gear and wearing a cross around his neck, the 47-year-old was walking to the Russian Orthodox chapel in Frankfurter Straße with a local priest, who wished to remain anonymous, when he was attacked.

Both priests tried to take photos of the children with their mobile phones, but the youngsters were too quick and managed to escape. Raunheim social worker Dr Isack Majura said he was going to do everything possible to get hold of the children. He said: “What happened is absolutely unacceptable.” (Get used to it)

Man Born With Four Legs Begs Doctors To Remove Extra Limb So He Can Have A Normal Life. [Photos]

A young man who was brought into this world with four legs has used social media to appeal for doctors to amputate his two extra limbs.
22 year old Arun Kumar, was born with two extra legs growing from his lower back, one underdeveloped and the other permanently bent at the knee.

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW