Monday, November 7, 2016

YESU NI MUNGU MILELE YOTE

YESU YUPO KILA MAHALI, KOTEKOTE DUNIANI.
MATHAYO 18:20 “Kwa kuwa walipo wawili watatu,wamekusanyika kwa jina langu, mimi nipo papo hapo katikati yao”.
Mwenye uwezo wa kukaa mahali pote ni Mungu.
"JESUS IS OMNIPRESENT"

KWA NINI YESU ALIVUNJA SABATO?

Ndugu msomaji,
Hebu tuangalie mifano kadhaa hapa:
MFANO WA KWANZA
Yesu alipomponya mtu ambaye alikuwa hawezi kwa muda wa miaka 38, alimwambia ‘jitwike godoro lako, uende.’ (Yohana 58). Hii ilikuwa ni siku ya sabato.
Lakini tunaona kwamba Wayahudi walipomwona mtu huyo walimwambia, Leo ni sabato, wala si halali kwako kujitwika godoro. (Yohana 5:10). Bila shaka walisema hivi kwa kuwa walifahamu fika jinsi sabato inavyotakiwa kutunzwa.
Hii ni kusema kwamba, kwa kadiri ya kanuni za utekelezaji wa sabato, hili lilikuwa ni kosa. Sasa, swali ni kwamba, kwa nini Yesu alivunja sabato kwa kumruhusu yule mtu abebe godoro?
MFANO WA PILI
Wayahudi walipomkasirikia Yesu kwa sababu ya kumruhusu yule mtu kubeba godoro siku ya sabato, Bwana Yesu aliwajibu kwamba: Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi. (Yohana 5:17). Haya ni maneno ya ajabu sana. Wewe uliye Mungu ulituambia kwamba siku ya sabato tusifanye kazi bali tupumzike; tumemwona mtu anafanya kazi ya kubeba godoro, tumekuja kwako, lakini wewe si tu kwamba hukumkemea, bali unasema tena kwamba na wewe unafanya kazi hata sasa (siku ya sabato)!
Kama sabato hasa ni kuacha kufanya kazi, iweje tena Yesu atamke jambo ambalo ni wazi kabisa linavunja sheria aliyoiweka mwenyewe ya kutofanya kazi; yaani aseme kuwa hata sasa yeye anafanya kazi?
MFANO WA TATU
Siku moja Yesu aliingia kwenye sinagogi ambamo mlikuwamo mwanamke mwenye pepo wa udhaifu. Yesu alimponya mama yule.
Hata hivyo, Biblia inasema: Basi mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu amemponya mtu siku ya sabato, akajibu, akawaambia mkutano, Kuna siku sita zifaazo kufanya kazi, basi njoni mponywe katika siku hizo, wala si katika siku ya sabato. (Luka. 13:14).
Maneno haya ya mkuu wa sinagogi yanatuonyesha kwamba, jambo alilofanya Yesu lilikuwa ni kuvunja sabato. Swali ni lilelile, kwa nini Yesu alivunja sabato?
Tunafahamu kuwa maandiko yanasema kwamba kuvunja sabato ni dhambi, tena ambayo iliadhibiwa vikali sana. Na katika mifano hiyo hapo juu, tunaona kwamba Yesu alivunja sabato kwa kufanya mambo ambayo jamii nzima ilikuwa haiyafanyi siku ya sabato. Kwa harakaharaka, mtu anaweza kusema kwamba, Yesu alitenda dhambi.
Lakini wakati huohuo, maandiko yanasema kwamba, katika kuishi kwake kote hapa duniani, Bwana Yesu hakuwahi kutenda dhambi. (Waebrania 4:15).
Swali la kujiuliza hapa ni kwamba, iweje uvunje sabato, jambo ambalo ni dhambi, halafu uhesabiwe kuwa hujatenda dhambi? Pili, iweje wewe ambaye ndiye ulisema watu wapumzike siku ya sabato, ndio uwe wa kufanya kinyume na agizo lako mwenyewe? (Maana Yesu ndiye Mungu aliyeagiza sheria ya sabato ifuatwe). Iweje hapa yeye ndiye awe wa kuivunja?

ADHABU YA KUVUNJA SABATO

Utunzaji wa sabato uliandamana na utoaji adhabu kwa yeyote ambaye alivunja sheria hiyo. Mtu ambaye aliasi sheria ya sabato, adhabu yake ilikuwa ni kuuawa. Maandiko yanasema: Kila mtu atakayefanya kazi yoyote siku ya sabato, hakika yake atauawa. Sasa tukija kwenye agizo la kushika sabato halikuwa ni siku ya kukusanayika, bali ni pumziko la kazi tu na kustarehe kama tunavyoweza kuona katika kitabu cha KUTOKA 31:14-15, “Basi mtaishika hiyo sabato; kwa kuwa ni takatifu kwenu; kila mtu atakayeitia unajisi hakika yake atauawa; kwa kuwa kila mtu afanyaye kazi siku hiyo, nafsi hiyo itakatiliwa mbali na watu wake. Kazi itafanywa siku sita; lakini siku ya saba ni sabato ya kustarehe kabisa, takatifu kwa Bwana, kila mtu atakayefanya kazi yoyote katika siku ya sabato, HAKIKA YAKE ATAUAWA.”
Pia KUTOKA 35:2 Biblia inasema, “Fanyeni kazi siku sita, lakini siku ya saba itakuwa siku takatifu kwenu; ni sabato ya kustarehe kabisa kwa Bwana; mtu awaye yote atakayefanya kazi yoyote katika siku hiyo ATAUAWA”.
Maswali kwa watunza Sabato:
1. Je umesha wai vunja Sabato?
2. Je, umesha wai uwa mtu kwa sababu alivunja Sabato?
3. Kwanini hamfuati hii amri ya kuuwa watu wanao vunja Sabato?
Ndio maana ninasema kuwa Yesu ndio Mwishop wa Sabato na aliitengua.
Ni mimi Max Shimba Mtumwa Yes Kristo

Friday, November 4, 2016

University of Wisconsin Saudi Muslim student beaten to death


His name is Hussain Saeed Alnahdi (below) and the alleged attacker is being called a white man about six-feet tall. No other details available including whether or not his ‘white’ attacker was a fellow Muslim.

1585817_630x354

ABC  A $15,000 reward is being offered for the attacker as well as $5000 from designated terrorist group CAIR. An assistant professor tried to reassure Saudi exchange students. “I just wanted our Saudi students to know they are wanted, they are a deeply important part of this community, they are valued and we’ll do everything we can to keep them safe and let them feel that value,” Asst. Professor Emi Stumke said. (Especially because the Saudis pay full tuition, no student aid or scholarships required. They don’t even need good grades to get in, just a rich father who will make a big donation to the school)



“We are losing control of the streets,” say police as Angela Merkel’s Germany descends into chaos and lawlessness


84ceb1cebdceb1cf83cf84ceb5cf83-viGERMAN Chancellor Angela Merkel is facing catastrophe over her failed mass Muslim migration policy, according to a new report. Germany has been hit by a tidal wave of horrendous violent crime including rapes, sexual and physical assaults, stabbings, home invasions, robberies, burglaries and drug trafficking…not to mention Islamic terrorist attacks.

maxresdefault-vi

UK Express  Adding to the country’s woes is the fact that thousands of people have gone missing after travelling there on invitation from Anegla Merkel. Germany took in more than 1.1million migrants in the past year and parts of the country are crippled with a lack of infrastructure.

Now the true reality is hitting home ahead of next year’s elections as the far right surges in the polls threatening to topple the Christian Democratic Union (CDU) leader Mrs Merkel. According to a report by the international policy council the Gatestone Institute, local police in many parts of the country admit that they are stretched to the limit.

Despite  the mayhem caused by skyrocketing violent crime and terror attacks by Muslim migrants, German officials  insist on blaming the unrest on the rise of the “far right extremists” (aka German patriots).

NY elementary school calls off mock election because students were chanting “Trump” and “We don’t want Muslims here”


Jericho Elementary School in Centereach, New York, announced it had scrapped the mock vote that was due to take place this Friday after some young students started chanting “Trump” and repeated ‘negative rhetoric about Muslims.’ 

trump_mock

ABC News (h/t Susan K) Principal Glen Rogers revealed the decision was made after teachers complained about what some children had been chanting around the school and in the cafeteria. Teachers have said they’ve heard some kids in the cafeteria chanting “Trump! Trump! Trump!” or saying they don’t want Muslims here,’ Roger said.

‘I mean, kids often repeat what they hear on the TV or the news, but it doesn’t mean it’s OK. (In other words, you don’t think the First Amendment is OK) “We have a diverse community here. We want all our students to feel valued.” (So we don’t become the target of an Islamic terrorist attack?)

‘It’s important for our students to be able to express their opinions, but it’s also important for them to be informed about it and not just repeating what they happen to hear,’ Rogers said. (Especially if it goes against the Democrat talking points. This IS New York, after all)

GERMANY: Christian priest gets stoned by illegal alien Muslim children shouting “Allahu Akbar”


The Ethiopian vicar was visiting the town of Raunheim on the outskirts of Frankfurt when the pre-teens started throwing stones at him. The three Muslim children, aged between 10 and 12-years-old, shouted “Allahu Akhbar” as they threw the stones, the other priest who was visiting from a nearby church said.

priest-hit-stones-muslim-children-726659

UK Express  Dressed in traditional priest’s gear and wearing a cross around his neck, the 47-year-old was walking to the Russian Orthodox chapel in Frankfurter Straße with a local priest, who wished to remain anonymous, when he was attacked.

Both priests tried to take photos of the children with their mobile phones, but the youngsters were too quick and managed to escape. Raunheim social worker Dr Isack Majura said he was going to do everything possible to get hold of the children. He said: “What happened is absolutely unacceptable.” (Get used to it)

Man Born With Four Legs Begs Doctors To Remove Extra Limb So He Can Have A Normal Life. [Photos]

A young man who was brought into this world with four legs has used social media to appeal for doctors to amputate his two extra limbs.
22 year old Arun Kumar, was born with two extra legs growing from his lower back, one underdeveloped and the other permanently bent at the knee.

ALLAH SIO YEHOVA "YAHUH" ( يهوه ) MWENYEZI MUNGU (SEHEMU YA KUMI NA TANO)


Huu ni msiba mwengine kwa Waislam na kwa Muhammad.
Allah katika Surat Bani Israil anasema kuwa yeye anamajina mazuri mazuri na kasema kuwa Allah ni Jina na sio Wasifa. Nilipo chunguza kwa makini katika Majina yake 99, sikuliona jina la Allah katika hayo 99. Ingia hapa na thibitsiha mwenyewehttp://www.searchtruth.com/Allah/99Names.php
Lakini cha ajabu Allah anadai katika Surat Bani Israil 110 kuwa "ALLAH" ni jina lake angalia ushahid hapa chini.
Quran 17 Surat Bani Israil 110 (Wana wa Israil)
Sema; muombeni (Mwenyenzi Mungu) kwa (jina la) Allah au muombeni (kwa jina la) Rahman. Kwa jina lolote mnalomwita (katika haya itafaa). Kwani ana majina mazuri mazuri………
Hivi huyu Allah anamatatizo gani? Maana ameshindwa kutupa jina lake. Sasa anasema kuwa Allah ni Jina lake, na nilipo angalia kwenye yale majina 99, ALLAH HALIPO. Na hata kama tukiliweka, basi ALLAH ATAKUWA NA MAJINA 100 na sio 99. Huu ni msiba mwengine kwa Waislam.
Allah ana majina mangapi, 99 au 100?
SASA TUMSOME MUNGU WA KWENYE BIBLIA:
Mungu anayejulikana
Kutoka 6:2-3,
Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, mimi ni YEHOVA;
Nami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu YEHOVA sikujulikana kwao.
Unaona tofauti ya Allah na Yehova wa kwenye Biblia? Yehova hana kizungumkuti au longa longa kama Allah anaye sema yeye ana majina mazuri mazuri lakini ameshindwa kuthibitisha kuwa YEHOVA ni jina lake.
Mwenyezi Mungu kasema kwa Ibrahimu, Isaka, na Yakobo miaka 2668 kabla ya Muhammad kuwa yeye anaitwa YEHOVA, LAKINI ALLAH hakuwai sema kwenye Quran kuwa Yehova ni Jina lake. KUMBE BASI ALLAH SIO MWENYEZI MUNGU WA IBRAHIM, ISAKA, NA YAKOBO.
Sasa, kati ya Mwenyezi Mungu aliye sema katika Taurat miaka 2668 kabla ya Muhammad kuwa Jina lake ni YEHOVA, NA Allah aliye shindwa kuthibitisha kuwa yeye ni Yehova zaidi ya kusema yeye ana majina mazurimazuri tumwanini nani?
Kumbuka kuwa, katika Agano la Kale peke yake, JINA Yehova limetajwa mara 6800, Huku katika Quran HAKUNA Jina la YEHOVA hata mara moja.

YESU NI ALFA NA OMEGA, MWANZO NA MWISHO


Bwana Yesu Asifiwe,
Yesu Kristo alipokuwa akijitambulisha kwa Yohana katika kisiwa cha Patmo alisema: "Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja,Mwenyezi"(Ufunuo wa Yohana 1:8)
Yesu alitaka tujue ya kuwa ndani ya jina lake kuna nguvu za( au upako wa) Afla na tena kuna nguvu za (au upako wa) Omega. Yaani ni mwanzilishi wa jambo na pia ni mkamilishaji wa jambo. Yeye ni mwaminifu kiasi cha kwamba akianzisha kazi njema ndani yako uwe na uhakika ataikamilisha.
Je una wazo ndani yako unalojua ni la Mungu na unapata shida kuanza kulitekeleza?...itia jina la Yesu likusaidie. Je una wazo uliloanza kulitekeleza na una uhakika ni Mungu alikupa lakini linakupa kusuasua katika kulitekeleza?....itia jina la Yesu likusaidie.
Kesho (LEO) tutakuelekeza kwa nini Yesu alijiitia ya kuwa Yeye anatambulikana kama "aliyeko, na aliyekuwako na atakayekuja"!
Ubarikiwe.

TRENDING NOW