Tuesday, November 22, 2016
Monday, November 21, 2016
YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA TATU)

YESU HAKUWAI KUOMBA HUKU AKIANGALIA MAKKAH
Yesu hakuwai kusujudu huku akiangalia Makkah, jambo ambalo ni moja ya masharti katika kumwomba na au abudu “ALLAH”. Quran 2:149. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na hiyo ndiyo Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na mnayo yatenda. 150. Na popote wendako elekeza uso wako kwenye Msikiti Mtakatifu. Na popote mlipo elekezeni nyuso zenu upande huo ili watu wasiwe na hoja juu yenu, isipokuwa wale walio dhulumu miongoni mwao. Basi msiwaogope wao, lakini niogopeni Mimi - na ili nikutimizieni neema yangu, na ili mpate kuongoka.
Sasa tumsome Yesu katika Biblia, wapi aliangalia wakati akiomba.
Yesu aliomba huku akiangalia Mbinguni soma: Marko 6: 41 Akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akashukuru, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi wake wawaandikie; na wale samaki wawili akawagawia wote.
Katika aya tuliyo isoma hapo juu, imetupa ushaidi kuwa Yesu aliangalia Juu Mbinguni ambapo Baba yake alipo na si Makkah.
Yesu aliomba huku akiangalia Mbinguni soma: Marko 6: 41 Akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama mbinguni, akashukuru, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi wake wawaandikie; na wale samaki wawili akawagawia wote.
Katika aya tuliyo isoma hapo juu, imetupa ushaidi kuwa Yesu aliangalia Juu Mbinguni ambapo Baba yake alipo na si Makkah.
YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA PILI)

YESU HAKUWAI MWABUDU ALLAH
Yesu hakuwai kuomba na au kumwabudu “Allah”, lakini kutokana na Biblia, Yesu aliomba kwa Baba yake, Yohana 17:1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe. Koran na Uislam unakiri kuwa Allah si Baba na hakuna hata aya moja inayo mwita Allah Baba. Yesu hakuwa Muislam.
YESU NI MUNGU.
MAANA YA NAMBA 666? (SEHEMU YA KWANZA)

Kifungu kuu katika Biblia ambacho kinataja "alama ya mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Marejeo mengine yanaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4. Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo (mnyama wa pili) ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa katika mkono au paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Ufunuo 13:16-18 na imeandikwa:
"Naye awafanya wote wadogo kwa wakubwa, au katika vipaji vya nyuso zao; tena kwamba mtu aawaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake. Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu . Na hesabu yake ni mia sita sitini na sita(666)".
Katika siku za hivi karibunu, namba hii imeanza kujitokeza kwa nguvu sana katika bidhaa mbalimbali. Namba hii inakuwa imeandikwa katika vifungashio na hata kwenye bidhaa yenyewe. Watu wengine wanaihusisha namba hii na matandao wa siri wa Freemasons ambao athari zake zinaonekana duniani na inasemekana mtandao huo kuwa na nguvu na ushawishi mkubwa duniani katika kila kitu. Kulingana na lugha ya ishara yaani 'Symbolism' na mtiririko wa namba yaani 'numerical patterns' katika Biblia na mojawapo ya vifungu vinavyoamsha utata huu ni Ufunuo wa Yohane 13:16-18
Maana ya 666 ni siri pia. Baadhi ya uvumi kwamba kulikuwa na uhusiano na mwezi wa 6, 2006-06/06/06. Hata hivyo, katika Ufunuo sura ya 13, namba 666 hubainisha mtu, si tarehe. Ufunuo 13:18 inatuambia, "Hapa ndipo penye hekima. Yeye mnyama huyo; maan ni hesabu ya sita, sitini na sita." Kwa namna fulani, namba 666 humtambua Mpinga Kristo. Kwa karne silizopita watafsiri wa Biblia wamekuwa wakijaribu kutambua baadhi ya watu wenye 666. Hakuna kubaliano kamili. Hiyo ndio sababu Ufunuo 13:18 inasema namba hii inahitaji hekima. Wakati Mpinga Kristo atafunuliwa (2 Thes 2:3-4), itakuwa wazi yeye ni nani na jinsi ya namba 666 humbainisha yeye.
Lugha ya misemo ya kitabu cha Ufunuo (Greek,apokalypsis; English , revelation) inafanana na ie ya kitabu cha Daniel. Hivyo kuna kundi la watafiti linalodai kuwa huenda mwandishi wa vitabu hivi viwili (Daniel na Ufunuo wa Yohane) ni mmoja. Watafiti wengine wanasema kuwa Kitabu cha Ufunuo wa Yohanne kiliandikwa wakati ambao Kanisa / wakristo walipata mateso makubwa na ujumbe wa kitabu hicho ilikuwa ni kuwatia moyo wakristo waliokuwa wakiteswa kwa ajili ya imani yao wasikate tamaa na waamini kuwa Mungu yupo pamoja nao muda wote na kwamba yeye ndiye mwanzo na mwisho wa yote.
Hivyo, mateso ya hapa duniani siyo mwisho wa yote.
Ndiyo maana katika mateso yote hayo kuna ujumbe wa matumaini- Mungu atawaokoa watu wake na kuwafanya waishi naye milele katika maisha mapya na atafuta kila chozi walilo nalo. Kitabu hiki kiliandikwa mwishoni mwa utawala wa Domitian (81-97 AD).
Kulingana na lugha na ujumbe wa kitabu chenyewe, inaaminika kuwa kiliandikwa wakati wa mateso kwa hiyo, lugha na misemo iliyotumika, lazima isomwe sambamba na lugha ya zamani ya Greek. Katika Greek namba kama 1,2,3,4,6,7 na 12 au mara mbili yake zina maana fulani. Namba 6 ni namba ya uovu au mwovu na hivyo namba 6 tatu (666) ni alama ya mwovu na hasa (kusisitiza zaidi)-mwovu wa waovu-evil forces.
Kwa wakati ule, ujumbe uliwahusu-first addressees- wale waliokuwa wanatesa Kanisa kwa ajili ya imani yake hasa mfalme Nero kwani kwa Kigiriki herufi za jina hilo zinafanya 666 au mtawala yoyote ambaye alitawala kimabavu (kinyama) na kuwatesa watu na pia wakristo wenyewe ili wasikate tama. Hivyo,666 ilikuwa kama alama na jina la mtu mkatili na mpinga Kristo aliyekuwa anawatesa na kuwaua wakristo (Wafuasi wa Yesu Kristo)
Biblia inasema kwamba watu hupata ile “alama ya yule mnyama-mwitu” kwa sababu wanamfuata “kwa mshangao,” kufikia hatua ya kumwabudu. (Ufunuo 13:3, 4; 16:2) Wanafanya hivyo kwa kutukuza nchi yao kutia ndani nembo zake na uwezo wa kijeshi, kufikia hatua ya kuabudu mambo hayo. Kitabu The Encyclopedia of Religion kinasema hivi: “Utaifa umekuwa dini kuu katika ulimwengu wa leo.”
Mtu anapewaje alama hiyo ya mnyama-mwitu juu ya mkono na paji la uso wake? (Ufunuo 13:16) Mungu alipolipatia taifa la Israeli amri, alisema hivi: ‘Myafunge kama ishara juu ya mkono wenu, nayo yatakuwa kama utepe wa kipaji katikati ya macho yenu.’ (Kumbukumbu la Torati 11:18) Hilo halikumaanisha kwamba Waisraeli walipaswa kutia alama juu ya mikono na vipaji vyao kihalisi, bali kwamba maneno ya Mungu yangeongoza matendo na mawazo yao. Vivyo hivyo, ingawa kihalisi nambari 666 haipaswi kuonwa kuwa kama chanjo au chale ambayo mtu amechorwa, kwa njia ya mfano wale ambao huruhusu mifumo ya kisiasa itawale maisha yao wanatambulishwa kwa alama hiyo ya huyo mnyama-mwitu. Wale walio na alama ya mnyama-mwitu wanampinga Mungu.—Ufunuo 14:9, 10; 19:19-21.
Kwa mujibu wa ufun 13 fungu la 17, kuna sifa 3 muhimu za kumtabulisha
¨ Alama yake (Mamlaka yake)
¨ Jina lake
¨ Namba ya jina lake (666).
¨ Alama yake (Mamlaka yake)
¨ Jina lake
¨ Namba ya jina lake (666).
Angalia maana ya jina lake kwa Kigiriki = LATEINOS
¨ L = 30 lambda
¨ A = 1 alpha
¨ T = 300 tau
¨ E = 5 epsilon
¨ I = 10 iota
¨ N = 50 nu
¨ O = 70 omicron
¨ S = 200 sigma
————
666
Rejea hapa Encyclopedia Britannica under “Languages of the World”, Table 8.
¨ L = 30 lambda
¨ A = 1 alpha
¨ T = 300 tau
¨ E = 5 epsilon
¨ I = 10 iota
¨ N = 50 nu
¨ O = 70 omicron
¨ S = 200 sigma
————
666
Rejea hapa Encyclopedia Britannica under “Languages of the World”, Table 8.
Maana ya Kimaandishi:
VICARIUS – Asimamaye badala ya, au kwa
niaba ya.
FILII – Mwana/kijana wa kiume
DEI – Maana yake ni MUNGU
VICARIUS – Asimamaye badala ya, au kwa
niaba ya.
FILII – Mwana/kijana wa kiume
DEI – Maana yake ni MUNGU
Ufafanuzi wa jina lenyewe
V = 5 F = no value D = 500
I = 1 I = 1 E = no value
C = 100 L = 50 I = 1
A = no value I = 1 501
R = no value I = 1
I = 1 53
U/V = 5
S = no value
112
V = 5 F = no value D = 500
I = 1 I = 1 E = no value
C = 100 L = 50 I = 1
A = no value I = 1 501
R = no value I = 1
I = 1 53
U/V = 5
S = no value
112
Haya fanya mahesabu rahisi tu 112 + 53 + 501 = 666
Barikiwa sana na endelea kusoam Biblia mwenyewe na mwombe Roho Mtakatifu akufungua macho ya rohoni.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Shalom
MAANA YA NAMBA 666? (SEHEMU YA PILI)

JE, ALLAH, MUHAMMAD, UISLAM NA QURAN NDIO 666?
ALLAH SASA ATEUA MTUME KWA WANYAMA = 666. KUMBE BASI ALLAH NA MUHAMMAD NA DINI YAKE NDIO 666
Ndugu Msomaji,
Katika kijaridi hiki, tutajifunza kuhusu Mnyama aliye semwa kwenye Kitabu cha Ufunuo, Biblia Takatifu.
KATIKA kitabu cha Ufunuo 13:18 ametabiriwa mnyama ambaye idadi ya herufi za jina lake itakuwa 666. Wataalamu wa Biblia (wanatheologia) wamekhitilafiana katika aya hiyo.
Kifungu kuu katika Biblia ambacho kinataja "alama ya mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Marejeo mengine yanaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4. Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo (mnyama wa pili) ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa katika mkono au paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Kabla ya kusema wazi ni nani kati ya hao ni "mnyama" mwenye namba "666", kwanza niweke sawa mambo mawili yafuatayo: Kwanza tujue kuwa kitabu cha Yohana ni kitabu cha unabii (ufunuo).
Kabla ya kusema wazi ni nani kati ya hao ni "mnyama" mwenye namba "666", kwanza niweke sawa mambo mawili yafuatayo: Kwanza tujue kuwa kitabu cha Yohana ni kitabu cha unabii (ufunuo).
Mnyama - Ufunuo 13:1-18
Kila kitu kinatambulika kwa sifa zake na vitendo vyake. Jina pekee haliwezi kuthibitisha mtu au kitu. Kwani mara nyingi majina hufanana au hubadilishwa au kubadilika. Hivyo katika makala hii sitajihangaisha na utafiti wa majina kama hao wanatheolojia waliofilisika kielimu wanavyofanya. Hapa nitafafanua sifa zilizotajwa katika ufunuo ili kila msomaji mwenye akili zilizotulia aone mwenyewe ninani mnyama huyo.
Kila kitu kinatambulika kwa sifa zake na vitendo vyake. Jina pekee haliwezi kuthibitisha mtu au kitu. Kwani mara nyingi majina hufanana au hubadilishwa au kubadilika. Hivyo katika makala hii sitajihangaisha na utafiti wa majina kama hao wanatheolojia waliofilisika kielimu wanavyofanya. Hapa nitafafanua sifa zilizotajwa katika ufunuo ili kila msomaji mwenye akili zilizotulia aone mwenyewe ninani mnyama huyo.
Kwanza tujue "mnyama" huyu amepata kutoka wapi madaraka hayo makubwa. Kama inavyoeleweka, hadi sasa dunia iko chini ya miliki ya Shetani (Taz. Yohana 12:31, 16:11; 1 Yohana 5:19 nk). Hivyo naye mnyama amepewa mamlaka hayo na shetani, yaani "Joka". (Taz. Ufunuo 13:1-10, 12:7-9). Kwa hiyo "Mnyama" huyo ni Wakala wa Shetani duniani. Hivyo atafanya juhudi zote kinguvu, kiushawishi nk. ili wanadamu wamwasi Mwenyezi Mungu na wamtii Mkubwa wake (Shetani).
Sifa za Mnyama
(1) Atasifiwa, atatiiwa na kuogopwa na watu wote duniani. "...Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. Wakamsujudu yule joka (Shetani -kufanya maasi) kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama (yaani wakamtii na kumuogopa kupita kiasi), wakisema, ni nani afananaye na mnyama huyu?" (Ufunuo 13:3-4).
(1) Atasifiwa, atatiiwa na kuogopwa na watu wote duniani. "...Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. Wakamsujudu yule joka (Shetani -kufanya maasi) kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama (yaani wakamtii na kumuogopa kupita kiasi), wakisema, ni nani afananaye na mnyama huyu?" (Ufunuo 13:3-4).
(2) Wakuu wa dola (Marais, Wafalme, Masultani nk.) wote watamtegemea yeye na kumpa mamlaka na nguvu zao za kidola. Hivyo watatawala kwa kufuata apendavyo "mnyama". Kwa hiyo watakuwa mawakala wa mnyama katika nchi zao. Kwa hiyo nao watakuwa mawakala wa "Joka" (Shetani). "... Na zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme (watawala) kumi, ambao hawajapokea ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. Hawa wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao: (Ufunuo 17:12-13).
ALLAH ATEUWA NABII "MNYAMA"
Surat An Naml 82. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na Ishara zetu
Surat An Naml 82. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na Ishara zetu
Allah anasema kuwa ataleta Mnyama ambaye atawasemeza watu.
Kitabu cha Quran ndio namba 666. Ngoja nikuonyeshe jinsi namba 666 ilivyo ndani ya Quran.
Kitabu cha Quran ndio namba 666. Ngoja nikuonyeshe jinsi namba 666 ilivyo ndani ya Quran.
Kwanza fahamu kuwa, namba SITA ni namba thabit katika Mahesabu, ni namba pekee ambayo ukiijulimsha au zidisha namba tatu za kwanza unapata 6.
1 + 2 + 3 = 6
1 x 2 x 3 = 6
1 x 2 x 3 = 6
Sura 111 ina 100 letters na Gematrical Value of letter Qaf ni namba 100.
Sura 111 ina aya 6 ; 111 x 6 = 666 , The Quran
Sura 6 aya 111 ambayo ukizidisha unapa 666 aya katika jedwali la Qaf.
Waislam wanasema “ALLAHUAKBAR” mara 111 katika maombi yao ya kila siku "times in daily contact prayers".
Ukijumlisha namba zote 666 = 6+6+6 unapata 18, na mfano 111 ni sawa na 111 (100+10+1).
SASA BASI,
Sura 18 ina aya 111 na 18 x 111 = 1998 (666×3). Soma zaidi kwenye hii link http://freerepublic.com/focus/f-chat/1971221/posts
SIRI IMESHA FUNGUKA, SASA TUNAFAHAMU KUWA, ALLAH NDIE ATAKAYE LETA MPINGA KRISTO 666, NA ALLAH AMEKIRI KATIKA SURAT AN NAML KUWA YEYE AMESHA TEUA MTUME AMBAYE NI MNYAMA NA HUYO MTUME ANASOMA QURAN YA MUHAMMAD.
Sura 18 ina aya 111 na 18 x 111 = 1998 (666×3). Soma zaidi kwenye hii link http://freerepublic.com/focus/f-chat/1971221/posts
SIRI IMESHA FUNGUKA, SASA TUNAFAHAMU KUWA, ALLAH NDIE ATAKAYE LETA MPINGA KRISTO 666, NA ALLAH AMEKIRI KATIKA SURAT AN NAML KUWA YEYE AMESHA TEUA MTUME AMBAYE NI MNYAMA NA HUYO MTUME ANASOMA QURAN YA MUHAMMAD.
KAMA kweli Quran ni maneno ya Allah na aliiteremsha, basi, leo tunafahamu kuwa Allah sio tu ataleta Mpinga Kristo, bali Allah na Muhammad ndio Mpinga Kristo.
Kwanini Waislam wanasema kuwa "ISLAM WILL DOMINATE THE WORLD" ?
Kwanini Allah aliumba Mnyama na kumpta UTUME?
Hakika kuna siri kubwa kwenye Uislam ambao unapinga Kristo.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
Hakika kuna siri kubwa kwenye Uislam ambao unapinga Kristo.
Karibuni kwa Yesu ambaye ndie Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni.
Mungu awabariki sana.
USIKOSE SEHEMU YA TATU, JE QURAN NI 666?
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
MAANA YA NAMBA 666? (SEHEMU YA TATU)

1. KUMBE UISLAM NI 666
2. KUMBE UISLAM NI MPINGA KRISTO
2. KUMBE UISLAM NI MPINGA KRISTO
Ndugu msomaji,
Kristo, Mwana wa Mungu, alipokuwa duniani, alikuwa na maadui wengi. Ijapokuwa sasa hawezi kufikiwa na wanadamu, bado ana wapinzani leo. Ebu angalia baadhi ya wapinzani hao.
MAANA YA MPINGA KRISTO:
Neno la asili la Kiyunani la "anaye mpinga Kristo" laweza kuwa na maana mbili. Laweza kumaanisha 'aliye kinyume na Kristo', kwa maana ya mtu au mamlaka ipingayo kazi ya Kristo. Au kwa matumizi mengine, neno hilo laweza kumaanisha 'badala ya Kristo', likimaanisha mtu au mamlaka ichukuayo 'mahali pa Kristo', au ni 'Kristo bandia'.
Neno la asili la Kiyunani la "anaye mpinga Kristo" laweza kuwa na maana mbili. Laweza kumaanisha 'aliye kinyume na Kristo', kwa maana ya mtu au mamlaka ipingayo kazi ya Kristo. Au kwa matumizi mengine, neno hilo laweza kumaanisha 'badala ya Kristo', likimaanisha mtu au mamlaka ichukuayo 'mahali pa Kristo', au ni 'Kristo bandia'.
Mtume Yohana alisema: “Ni nani aliye mwongo ikiwa si yeye ambaye hukana kwamba Yesu ndiye Kristo? Huyu ndiye mpinga-Kristo, yeye ambaye hukana Baba na Mwana.” (1 Yohana 2:22) Waasi-imani na viongozi wa ibada bandia kama Uislam hupotosha mafundisho ya Yesu yaliyo wazi kuwa uwongo wa kidini unaotatanisha. Watu hao hukataa ukweli wa Biblia nao hueneza uwongo wakitumia jina la Allah na la Kristo. Wao hukana uhusiano wa kweli uliopo kati ya Baba na Mwana wa Mungu ambaye ni Kristo Yesu.
Biblia inasema Mpinga Kristo atakuja, ambaye kazi yake itakuwa kuwaua na kuwafunga gerezani Wakristo.
Leo nataka nikwambie huyo Mpinga Kristo ni nani na namna gani utamtambua.
UHUSIANO WA UISLAM NA NAMBA 666
Je! Uislam unahusiana vipi na namba 666?
Uislam umejengeka kupitia kitabu change kiongozi ambacho ni
qruani? Kitabu hiki kina jumla ya sura 114 na maneno 6666!
Kumbuka hesabu ya mpinga kristo ni 666! Sasa hapa ili shetani asijidhihishe wazi kwa Kuwa aliona Yesu amefunua siri hii kwa ulimwengu. Akaamua kuongeza sita moja nyuma ya mia sita sitini na sita. Lakini vile vile Sura hizo 114 ni sawa na 1+1+4 = 6. Hiyo ndio ile namba Sita ya nne kwenye maneno 666(6).
qruani? Kitabu hiki kina jumla ya sura 114 na maneno 6666!
Kumbuka hesabu ya mpinga kristo ni 666! Sasa hapa ili shetani asijidhihishe wazi kwa Kuwa aliona Yesu amefunua siri hii kwa ulimwengu. Akaamua kuongeza sita moja nyuma ya mia sita sitini na sita. Lakini vile vile Sura hizo 114 ni sawa na 1+1+4 = 6. Hiyo ndio ile namba Sita ya nne kwenye maneno 666(6).
Lakini hii haitoshi, moja ya dalili kubwa kabisa za mpinga Kristo ni kuwaua na kuwafunga gerezani wafuasi wa YESU. huu ushahid upo kwenye nchi zote za Kiislam.
Qruan imeagiza kwamba kama mtu ni Mwislam kisha akaamua kuuacha Uislam, mtu huyo auawe maana amekuwa kafiri!
Tumeona mara kwa mara waislamu wakitekeleza mauaji na uharibifu wa mali za Wakristo, wakichoma moto Mahekalu.
Mfano:Tumeona wakichoma moto makanisa hapa kwetu Dar Es Salaam na sehem zingine.
Tumeona mara kwa mara waislamu wakitekeleza mauaji na uharibifu wa mali za Wakristo, wakichoma moto Mahekalu.
Mfano:Tumeona wakichoma moto makanisa hapa kwetu Dar Es Salaam na sehem zingine.
Kwa sura hii moja kwa moja Uislamu ndiye mpinga Kristo.! Hivi umewahi kujiuliza ni kwanini hawachomi moto nyumba za Waganga wa Kienyeji, lakini wanashughulika na Wakristo tu! Ni kwa sababu misheni ya mpinga Kristo sio kuwasumbua watu ambao wako chini ya shetani, Bali ni kuwataabisha wafuasi wa YESU na kuhakikisha hawaendelei kuwepo duniani.
JINSI AMBAVYO MPINGA KRISTO ANAVYO FANYA KAZI
Namna gani huyu shetani anafanya kazi?
Ikumbukwe kwamba Mungu hutumia watu ili kutekeleza kazi zake duniani, ndiyo maana utasikia kuna watu wanaitwa watumishi wa Mungu. Vivyo hivyo shetani naye hutumia watu ili kutekeleza kazi zake. Shetani yeye anatumia Waislam kufanya hii kazi ya kupinga Kristo.
Kwa kifupi Biblia imesema wazi moja ya Siri za huyo mpinga Kristo kuwa hesabu yake (namba yake) itakuwa 666, na hii namba ipo kwenye Uislam. Jumla ya maneno yote katika Quran ni 6666, kukiwa na ziada ya sita moja ambayo ni jumla ya 114 sura za Quran 1+1+4 = 6.
Kwa kuangalia andiko hilo watu wengi walidhani kuwa mpinga Kristo atatoka Marekani, dhana hii ilikuja baada ya ndege na vifaru vya Marekani kuonekana na namba 666.
Je! Dhana hii ni sahihi?
Jibu ni hapana. Mpinga Kristo hatoki Marekani, bali anatoka katika miji ya Makka na Madina ambako aliishi bwana mmoja maarufu sana aliyejulikana kwa jina la Muhammad. Huyu bwana ndiye mwasisi wa dini ya uislam duniani na ni mpinga Kristo.
Jibu ni hapana. Mpinga Kristo hatoki Marekani, bali anatoka katika miji ya Makka na Madina ambako aliishi bwana mmoja maarufu sana aliyejulikana kwa jina la Muhammad. Huyu bwana ndiye mwasisi wa dini ya uislam duniani na ni mpinga Kristo.
Rafiki, tuko katika dunia ya shida. Na hizi ni nyakati za mwisho, kaza mwendo ukimtazama Bwana maana siku zetu hazikawii kuisha. Mungu akupe nguvu za kuweza kushindana siku ya uovu kwa Jina la YESU.
Tafakari
Jihoji
Chukua Hatua
YESU ANAKUPENDA
Ijue kweli nayo hiyo itakuweka Huru.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
For Max Shimba Ministries Org
KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA NNE)

Baada ya mfalme Nebukadneza kuuvamia Mji wa Yuda na kuushinda, aliwachukua wana wa Israeli hadi Babeli na kuwafanya watumwa. Mfalme Nebukadneza akaamuru watafutwe vijana wa kiizraeli ambao wanatoka katika uzao wa kifalme, na uzao wa kiungwana, vijana wasio na mawaa, wazuri wa uso, wajuzi wa Hekima wenye elimu na maarifa ili wapate kusimama mbele zake. Mfalme akaagiza kuwa walishwe posho ya chakula cha mfalme na divai aliyokunywa kwa muda wa miaka mitatu ili kwamba waweze kusimama mbele zake wenye afya.
Basi Ashpenazi ambaye ndiye aliyekuwa mkuu wa matowashi wote akawapata akina Daniel ambaye aliitwa Belteshaza na Azaria ambaye aliitwa Abednego na mishaeli ambaye aliitwa Meshaki na anania ambaye aliitwa shedraka. Biblia yasema hivi;’-Lakini Danieli aliazimu moyoni mwake ya kuwa hatajitia unajisi kwa chakula cha mfalme, wala kwa divai aliyokunywa; basi akamwomba yule mkuu wa matowashi ampe ruhusa asijitie unajisi. [Daniel1:8].
Danieli alifundishwa na Mama yake kuzitii sheria za Afya ambazo Mungu aliwaagiza wana wa izraeli kwamba wasile vyakula najisi ambavyo Mungu alivikataza ama kunywa divai ya mfalme. Hivyo Danieli alikataa kuzivunja kanuni hizi za afya. Hapa tunapata fundisho kubwa sana kwamba Afya ya miili yetu na uwezo wa akili na wa fahamu hutegemea ikiwa tutazitii kanuni za Mungu za Afya ambazo amezielekeza katika Neno lake na Mungu atatupatia afya ikiwa tutatii maelekezo yake.
Ndipo Danieli akamwomba yule msimamizi ambaye amewekwa na towashi mkuu kwamba awajaribu wa siku kumi kwa kuwapa chakula cha mtama na maji tu wanywe halafu baada ya siku hizo kumi awatazame nyuso zao na nyuso za wale wanaokula posho ya chakula cha mfalme ili kuona kama kitawapa afya ama la! Baada ya siku kumi Biblia yasema hivi;’-Hata mwisho wa zile siku kumi nyuso zao zilikuwa nzuri zaidi, na miili yao ilikuwa imenenepa zaidi, kuliko wale vijana wote waliokula chakula cha mfalme. Basi yule msimamizi akaiondoa posho yao ya chakula, na ile divai waliyopewa wanywe, akawapa mtama tu. [Daniel 1:15-16].
Akina Daniel na wenzake walikula chakula cha nafaka na matunda ambacho Mungu alikiagiza katika Kitabu cha Mwanzo1;26-27, na matokeo yake walikuwa na afya kuliko hata wale waliokuwa wanakula nyama na chakula cha mfalme. Hapa tunapata fundisho. Mungu alipomuumba mwanadamu alimpa chakula bora ambacho kama Mwanadamu akikitumia atakuwa na afya tele. Kuhusu akina Daniel Biblia inatoa ushuhuda huu;’-Na katika kila jambo la hekima na ufahamu alilowauliza mfalme, akawaona kuwa walifaa mara kumi zaidi ya waganga na wachawi waliokuwa katika ufalme wake. [Daniel 1:20].
Matunda, mbogamboga, na nafaka ni chakula bora kwa binadamu. Katika siku za Mwisho watu wa Mungu watakuwa wana matengenezo ya afya. Sharti wakatae kutumia vyakula vile vyenye kudhuru afya ya miili yao na kumtukuza Mungu kwa kutumia vyakula vile ambavyo vinauletea Miili yao afya njema na siha njema. Miili yetu ni hekalu ka Roho mtakatifu na imetupasa kumtumikia Mungu tukiwa na miili yenye afya, ndipo tunaweza kumtolea Mungu ibada yenye maana. Kuuharibu Mwili ambao ni Hekalu la Roho Mtakatifu kwa kula ama kutumia vyakula vinavyoharibu afya ni chukizo kwa Mungu.
MAJINA BELTESHAZA, SHADRAKA, MESHAKI NA ADENEGO MAANA YAKE NINI?
Sunday, November 20, 2016
KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA TATU)

Ni mwaka wa 617 K.W.K. Danieli na marafiki wake watatu, Shadraki, Meshaki, na Abednego, wako katika makao ya mfalme wa Babiloni. Wakati wa miaka mitatu ya mazoezi katika makao ya mfalme, vijana hao wanadumisha utimilifu wao kwa Mungu. Miaka minane hivi baadaye, Mfalme Nebukadneza anaota ndoto ambayo inamfadhaisha. Danieli anafunua ndoto hiyo na kisha anatafsiri maana yake. Mfalme anakiri kwamba Yehova ni “Mungu wa miungu na Bwana wa wafalme na Mfunuaji wa siri.” (Danieli 2:47) Hata hivyo, punde si punde, inaonekana Nebukadneza anasahau somo hilo. Marafiki watatu wa Danieli wanapokataa kuabudu sanamu kubwa, mfalme anaamuru watupwe ndani ya tanuru ya moto. Mungu wa kweli anawaokoa wanaume hao watatu, na Nebukadneza analazimika kutambua kwamba “hakuna mungu mwingine yeyote anayeweza kuokoa kama huyu.”—Danieli 3:29.
SWALI:
Daniel 1:1, tunajua nini kuhusu Nebukadneza II zaidi ya mambo yaliyomo kwenye Biblia?
Daniel 1:1, tunajua nini kuhusu Nebukadneza II zaidi ya mambo yaliyomo kwenye Biblia?
Jina lake limeandikwa kwa Kiingereza kama Nebukadneza na Nebukadreza, lakini la pili linafanana zaidi na jinsi Wababeli walivyolitamka. Linamaanisha Nabo [mungu] linda mpaka wangu.
Kwa mujibu wa Encyclopedia Britannica (1972) Nebukadneza II alikuwa mtoto wa kiume mkubwa zaidi wa Nabopolasa.
Kwa mujibu wa Encyclopedia Britannica (1972) Nebukadneza II alikuwa mtoto wa kiume mkubwa zaidi wa Nabopolasa.
Aliwashinda Wamisri huko Carchemish mwaka 605 KK.
Nabopolasa alipokufa, Nebukadneza II alirudi Babeli na alitawala toka mwaka 605 KK hadi Agosti/Septemba 562 KK. Kumbukumbu ya matukio ya Babeli inatoa maelezo ya mapigano yake huko Misri, kuiteka Tiro, na kuishinda Yuda mwaka 597 KK. Alipigana na Elam mwaka 596 KK na alizimisha maasi mwaka 595 KK. Baada ya hapo, kumbukumbu ya Babeli haipo hapa.
Nabopolasa alipokufa, Nebukadneza II alirudi Babeli na alitawala toka mwaka 605 KK hadi Agosti/Septemba 562 KK. Kumbukumbu ya matukio ya Babeli inatoa maelezo ya mapigano yake huko Misri, kuiteka Tiro, na kuishinda Yuda mwaka 597 KK. Alipigana na Elam mwaka 596 KK na alizimisha maasi mwaka 595 KK. Baada ya hapo, kumbukumbu ya Babeli haipo hapa.
New International Dictionary of the Bible, uk.696 ina picha ya amri ya Kibabeli ikiorodhesha matukio tokea mwaka wa mwisho wa Nabopolasa hadi mwaka wa 11 wa Nebukadneza II. Inataja kutekwa kwa Yerusalemu na Babeli.
Nebukadneza aliijenga bustani ya kunyongea ya Babeli, ambayo imeitwa moja ya maajabu saba ya ulimwengu wa kale. Alizijenga kwa ajili ya mke wake Amytis, na binti wa mfalme Astyages (kwa Kimidiani Ištumegu) wa Midiani.
SWALI:
Kwenye Daniel 1:1, je Nebukadneza aliivamia Yuda kwenye mwaka wa tatu wa Yehoyakimu, au mwaka wa nne kama Yer 46:2 inavyosema?
Kwenye Daniel 1:1, je Nebukadneza aliivamia Yuda kwenye mwaka wa tatu wa Yehoyakimu, au mwaka wa nne kama Yer 46:2 inavyosema?
Vyote, na huu ulikuwa ni uvamizi mmoja tu, kwa sababu mfumo wa tarehe uliotumika Uyahudi kwenye karne ya tano KK ulikuwa tofauti na ule uliotumika Babeli.
Kuna maelezo ya ziada yenye kufurahisha sana hapa. Kama 735 Baffling Bible Questions Answered, uk.192 inavyoonyesha, hakuna Myahudi aliyeandika karne za baadaye ambaye angetumia kalenda ya Kibabeli iliyoonyesha mwaka tofauti na jinsi Yeremia alivyoandika. Badala ya kuwa kosa kwenye Kitabu cha Danieli, jambo hili linathibitisha kuwa Danieli iliandikwa karne ya tano siyo baada ya hapo.
When Critics Ask, uk.291-293 inaeleza undani wa mifumo hii miwili ya kalenda. Kalenda ya mfumo wa "Nisani" ambayo Yeremia (na Waashuri) walitumia ilianza na mwezi wa Nisani (Aprili).
Yehoyakimu kwa sababu ya Yuda siku chache baada ya mwaka mpya, hivyo mwaka [mzima] wa kwanza ulianza siku ya kwanza ya mwaka uliokuwa unafuata. Danieli alitumia kalenda ya "Tishri" ambayo mwaka mpya ulianza mwezi wa "Tishri" karibu na Oktoba. Mwaka [mzima] wa kwanza wa kutawala kwa Yehoyakimu ulianza kwenye siku ya kwanza ya Tishri. Uvamizi wa Babeli ulitokea wakati wa majira ya joto ya mwaka 605 KK. Pia, The Bible Knowledge Commentary: Old Testament, uk.1328-1329 inaongeza kuwa Wababeli hawakuhesabu sehemu ya muda wa kutawala wa mfalme mpya kabla ya kuanza kwa mwaka mpya kama mwaka wake wa kwanza, wakati Wayahudi hawakufanya hivyo.
SWALI:
Daniel 1:2, je Shinari iko wapi?
Daniel 1:2, je Shinari iko wapi?
Shinari ni jina lenye maana karibu sawa na Babeli. Kitabu cha mwenye kushuku kiitwacho Asimov’s Guide to the Bible, uk.599 kinadai kuwa hili ni kosa la kikronolojia. Hata hivyo, waandishi wa riwaya mara nyingi hutumia neno lolote kati yale yenye maana karibu sawa, na Danieli anafanya hivi hapa.
SWALI:
Kwenye Dan 1:3-6, wanne hawa hawakuwa vijana pekee toka Yuda waliokuwa wakimhudumia mfalme. Kwa nini unadhani vijana wengine hawajatajwa sehemu yeyote ile kwenye Kitabu cha Danieli?
Kwenye Dan 1:3-6, wanne hawa hawakuwa vijana pekee toka Yuda waliokuwa wakimhudumia mfalme. Kwa nini unadhani vijana wengine hawajatajwa sehemu yeyote ile kwenye Kitabu cha Danieli?
Huenda vijana wengine walifikiri kuwa hawakuwa na uhuru wa kukataa kula chakula cha walichopewa kwa hiyo walikula. Mara baada ya kukubaliana na jambo hilo, waliweza kuafiki mambo mengine zaidi. Lakini kumbuka, unao uhuru wa kuchagua mambo wakati wowote ule.
SWALI:
Kwenye Dan 1:7, jina Belteshaza linatamkwaje?
Kwenye Dan 1:7, jina Belteshaza linatamkwaje?
Wycliffe Bible Dictionary, uk.216 inalitamka (kwa Kiingereza) bel-te-SHAZ-er. Silabi za kwanza na tatu zina voweli fupi, "te" ina voweli ndefu "e" yenye nukta juu yake, na "er" ina "e" yenye kiwimbi juu yake.
USIKOSE SEHEMU YA NNE Daniel 1:6, je majina haya yalimaanisha nini? Belteshaza, Shadraka, Meshaki, na Abednego.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo
ETI BIBLIA INASEMA NINI KUHUSU ALIYE ARABUNI?

Wakristo huyu aliye kuwa ARABUNI ni nani?
Waefeso 1:12-14
12 Nasi katika huyo tupate kuwa sifa ya utukufu wake, sisi tuliotangulia kumwekea Kristo tumaini letu 13 Nanyi pia katika huyo mmekwisha kulisikia neno la kweli, habari njema za wokovu wenu; tena mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa muhuri na Roho yule wa ahadi aliye Mtakatifu.14 Ndiye aliye ARABUNI ya urithi wetu, ili kuleta ukombozi wa milki yake, kuwa sifa ya utukufu wake....... Ili ni swali aliloleta Kaka Fadhili Baraka na ni swali ambalo utalikuta miongoni mwa Waislamu wa Afrika mashariki tu ambao usoma Biblia ya Kiswahili ; Kwa akili za Wailamu hawa waendesha Mihadhara bila shaka Huu ni Utabiri wa Muhammad ambaye kwao ni Mtume wa Allah. Sasa naomba kulijibu kwa kuzingatia mambo kadhaa ambayo yanatajwa kwenye andiko ili;
12 Nasi katika huyo tupate kuwa sifa ya utukufu wake, sisi tuliotangulia kumwekea Kristo tumaini letu 13 Nanyi pia katika huyo mmekwisha kulisikia neno la kweli, habari njema za wokovu wenu; tena mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa muhuri na Roho yule wa ahadi aliye Mtakatifu.14 Ndiye aliye ARABUNI ya urithi wetu, ili kuleta ukombozi wa milki yake, kuwa sifa ya utukufu wake....... Ili ni swali aliloleta Kaka Fadhili Baraka na ni swali ambalo utalikuta miongoni mwa Waislamu wa Afrika mashariki tu ambao usoma Biblia ya Kiswahili ; Kwa akili za Wailamu hawa waendesha Mihadhara bila shaka Huu ni Utabiri wa Muhammad ambaye kwao ni Mtume wa Allah. Sasa naomba kulijibu kwa kuzingatia mambo kadhaa ambayo yanatajwa kwenye andiko ili;
1. Mwanzo kabisa aya haisemi UARABUNI BALI arabuni tena kwa herufi ndogo sio UARABUNI
2. Wenzetu hawa Wana matatiso kibao, yaani kwao Mtume Paulo ni kama shetani ila akitaja tu Arabuni basi ashakuwa Malaika! ! Au sijui wanapodai Kuwe hapa Andiko ili ni utabiri wa mwana wa Amina wanatufundisha kuwa Mjumbe wa shetani kama wanavyomdai Paulo, ashakuwa Mtume ili awe mtabiri wa ujio wa mtume wa Mungu! !!
3. Halafu Ukizingatia Paulo anatumia kauli ya WAKATI ULIOPO, yaani NDIYE ALIYE ARABUNI, sio NDIYE atakayekuwa ARABUNI kimsingi basi neno Arabuni hapa limetumika kwa maana ya dhamana, guarantee, deposit yaani ROHO MTAKATIFU aliyewatia muhuri Waumini ndiye dhamana yetu kuwa tu milki ya MUNGU. Tazama 2korinto 5:5
4.Lakini pia Waislamu wanatikiwa waelewe ya kwamba neno moja linawezekana kuwa na maana tofauti tofauti kutegemea na sentesi na matumisi, mathalani Neno Paka, Paka rangi, Paka Mnyama wa nyumbani, Paa, kwa maana ya kupaa juu, Paa , Mnyama wa porini, Paa la nyumba, KAA, kaa chini yaani keti, Kaa yaani Mkaaa wa kuni yaani Kaa la moto, Kaa mnyama, Kaa kwa maana ya ishi, yaani Chaka anakaa Dar, sasa sio kila ukiona neno Arabuni wewe ukimbilie tu kwa maana ya UARABUNI ama ukisikia tu Arabuni tayari umwemwona mwana wa Amina! !!
KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA PILI)

Kwenye Kitabu cha Danieli, kuna vitu gani vinavyofanana na sehemu nyingine za Biblia?
Danieli inaweza kuchukuliwa kuwa Ufunuo ya Agano la Kale. Yafuatayo ni baadhi ya mambo yanayofanana na sehemu nyingine za Biblia.
Dhana au msemo Danieli = Sehemu nyingine za Biblia
1. Mnyama mwenye pembe kumi
Daniel 7:4-7 Ufunuo 13:1-3; 17:3
Daniel 7:4-7 Ufunuo 13:1-3; 17:3
2. Magurudumu ya moto kwenye kiti cha enzi cha mbinguni
Daniel 7:9 Ezekiel 1:15-28; 10:1-22
Daniel 7:9 Ezekiel 1:15-28; 10:1-22
3. Ten thousand times ten thousand and the river of fire in heaven Dananiel 7:10 Ufunuo 19:14. Angalia pia Mathayo 16:27; Jud 14
4. Yesu anakuja na mawingu; kila jicho litamwona Yesu akirudi
Dananiel 7:13 Ufunuo 1:7; Mathayo 24:30; Marko 13:26; Luka 21:27; Matendo 1:11
Dananiel 7:13 Ufunuo 1:7; Mathayo 24:30; Marko 13:26; Luka 21:27; Matendo 1:11
5. Joka akiangusha nyota
Daniel 8:10 Ufunuo 12:4
Daniel 8:10 Ufunuo 12:4
6. Gabrieli Dan 8:16; 9:21 Luka 1:19
7. Maombi ya toba ya pamoja
Daniel 9:4-19 Nehemiah 1:5-11
Daniel 9:4-19 Nehemiah 1:5-11
8. Mafuriko, au mto wenye maji
Daniel 9:26 Ufunuo 12:15; Nah 1:8
Daniel 9:26 Ufunuo 12:15; Nah 1:8
9. Miaka 3 ½
Daniel 9:26-27; 12:7,11 Ufunuo 11:1-3; 12:6; 13:5
Daniel 9:26-27; 12:7,11 Ufunuo 11:1-3; 12:6; 13:5
10. Chukizo la uharibifu
Daniel 9:27; 11:31; 12:11 Mathayo 24:15
Daniel 9:27; 11:31; 12:11 Mathayo 24:15
11. Mikaeli
Daniel 12:1 Ufunuo 12:7; Jud 9
Daniel 12:1 Ufunuo 12:7; Jud 9
12. Kitabu cha uzima
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...



