Tuesday, November 29, 2016

SHETANI NI MUISLAM


Ndugu zanguni,
Leo nawaletea ushahidi mwingine kuwa Shetani alisilimu na kuwa Muislam. Hebu ungana nami moja kwa moja.
Shet'ani kwa mara ya kwanza ameapa kiapo cha utii kutoka Abu Bakr katika msikiti na Shet'ani alisilimu na kumfuata Allah. (Israr-e-Muhammad, Page No 30)
Ni bahati mbaya kwamba Adamu Hawa hawakufanikiwa kufanya jitihada za kumwezesha shetani na wanae kuuomba msamaha kwa mwenyezi Mungu na kuwa Waislamu, ni mtume Muhammad tu ndiye aliyemsilimisha shetani akawa muislamu… (KITABU CHA ASILI YA MAJINI UK 20)
Sasa Ikiwa shetani ni muislamu, na sisi tunajua kuwa shetani yeye ndiye adui yetu namba moja ambaye sisi hatupaswi kushirikiana nae,
Yakobo 4:7 Basi mtiini Mungu. Mpingeni shetani, nae atawakimbia.
Sasa iweje tena tumfuate shetani katika uislamu? Kwa kuwa shetani ambaye aliwadanganya Adamu na Hawa.
KUMBE SHETANI NI MUISLAMU. HUU NI MSIBA KWA WAISLAM
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

MUHAMMAD AMTUKANA NA KUMLAANI MTOTO YATIMA





Nabii Muhammad alimtukana na kumlaani mtoto yatima aliye kuwa na Umm Sulaim (Ambaye ni mama ya Anas). Sahih Muslim, Book 032, Number 6297)

TOWENI ''ILIMU'' BILA MATUSI!
Kumbuka dini zote zinakataza matusi! 

UISLAMU:
Amesema Muhammad: "Hakika muumini wa kweli hawi ni mwenye kuwatuhumu watu, wala KUWALAANI watu, wala hawi na maneno MACHAFU" {Musnadu Ahmad juzu ya 1 ukurasa 416, hadith nambari:3948}

UKRISTO:
(Waefeso 4:31)-Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na MATUKANO yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya.

KUNA HUKUMU KWA WATUKANAJI!
(1Wakorintho 6:9-10)-Au hamjui wadhalimu hawataurithi Ufalme wa Mungu? Msidanganyike;Waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu wala wevi, wala walevi,wala WATUKANAJI.
Mungu awabariki sana.

Ni mimi Dr. Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu. Tito 2:13

For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

MATUSI KWA WAISLAM NI IBADA TAKATIFU KWA MAREHEMU MUHAMMAD


KWAHIYO WAKRISTO, MSISHANGAE HAWA WATUKANAJI WA MUHAMMAD. WOTE WAMEJAMBIWA NA SHETANI MDOMONI MWAO.
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)
Kwa hivyo wenzetu hawa wapo katika himaya ya shetani, tusiwashangae sana bali tuzidi kuwapa Injili, Ili wazinduke waache kujambiwa midomoni mwao na shetani, maana shetani amewatawala sana, Licha ya kuwajambia midomoni, lakini pia, hujikita kulala katika tundu za pua zao waislamu.
ZAIDI YA HAPO:
Kasema Mtume (s.a.w) “Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
Kwa hivyo sisi Wakristo tunalo jukumu kubwa sana la kuwafikishia Injili hawa watumwa wa shetani yaani Waislamu, Ili waache Kujambiwa na shetani, waache kufanywa vitanda vya shetani, Waachwe kufanywa sehemu ya michezo ya shetani kupitia matako yao.

ALLAH ATAWAINGIZA WAISLAM WOTE JEHANNAM ILI WADHALILIKE.



HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM.

Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike.

Allah wa Waislam amesema kiuwazi kabisa kuwa “wale wote ambao wanajivunia Uislam na kumuabudu Allah wataingia Motoni”.
Poleni sana waenda Jehannam.
Shalom
Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo anakwambia kuwa, MPOKEE YESU ILI USIDHARIRISHWE NA ALLAH.
PEACE TO YOU ALL.

POMBE YA ALLAH LUCIFER YAANZA KUUZWA MITAANI

MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI.
JAMANI HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
Quran 4 :43. Enyi mlio amini! Msikaribie Sala, hali MMELEWA,………
Hii aya haikatazi pombe bali inatoa ushauri juu ya Waislam ambao walikuwa wanasali huku wamelewa.
MUHAMMAD ALIKUWA MLEVI:
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume wa Allah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je, UNATAKA KUNYWA MVINYO? Mtume Muhammad akasema: NDIO. Basi yule Mtu alikwenda kuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete MVINYO ULIO MKALI ILI NINYWE; Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule MVINYO MKALI ALILEWA"
Biblia ishaonya vileo kabla ya Muhammad, na Muhammad anadai anasadikisha ya manabii waliopita, swali halishindwa kusadikisha ayah ii ifuatayo mpaka akanywa mvinyo mkali? Tazama…
Isaya 5:22 Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watu waume wenye nguvu kuchanganya vileo;
Muslim-3721 Mtume wa Allah alikuwa anatumia chombo(bakuri) cha jiwe kunywea mvinyo.
Mithali 23:31,32 Usiitazame mvinyo iwapo ni nyekundu; Iitiapo bilauri rangi yake, ishukapo taratibu.Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.
(Muslim-AlHayd-451). Aisha alikuwa anammiminia mvinyo mtume wa Allah asubuhi na usiku na pia alikuwa anampelekea ndani ya msikiti.
Quran 16: 67. Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ULEVI na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili
Quran 47:15. Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ULEVI yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?

SHOGA WA KIISLAM IBRAHIMU MUHAMED "ANTI SUZY" AELEZA YALIO MSIBU BAADA YA KUVAMIWA


BAADA ya shoga maarufu jijini Dar es Salaam, Ibrahimu Mohamed ‘Anti Suzy’ (25), kutoboa siri kwenye vyombo vya habari jinsi watoto wa kiume wanavyoharibiwa na wanaume na kueleza namna alivyobwagiwa mtoto wa mwaka amtunze, mwanamume aliyembwagia mtoto ameibuka na kumjeruhi kwa visu akitaka kumuua.
Mwanamume huyo mwenye mke, awali alikuwa akiishi na Anti Suzy kama mume na mke eneo la Jangwani, baada ya kumkimbia mkewe na alikorofishana na shoga huyo baada ya kumfanyia fujo na kumuibia.
Akizungumza na gazeti la Habari Leo jana nyumbani kwake, ‘Anti Suzy’ aliyejitangaza kuwa ni muathirika wa Virusi Vya Ukimwi kwa zaidi ya miaka 10 sasa, alisema mwanamume huyo alikuwa akimsumbua warudiane, lakini yeye alikataa na kumtaka aishi na mkewe na kutunza watoto badala ya kumng’ang’ania.
“Nilimwambia simtaki, vituko alivyonifanyia ukiacha kuniletea mtoto wa mwaka na nusu wa kike nimlee hapa nyumbani, alikuwa akinipiga, kunitukana na aliniibia vitu vyangu vyote. Kwanza nilishamwambia nimeathirika na Ukimwi ananifuata nini?” Alihoji shoga huyo.
“Jana (juzi) alinipigia simu akinitaka turidiane nikamwambia asinifuate kwanza nimeshaenda kwenye vyombo vya habari.”
Alisema alimwambia hivyo ili asimfuate, lakini baada ya kumweleza hayo, alimvamia nyumbani juzi kati ya saa nne na tano asubuhi akiwa na panga na visu akimtishia kumuua kama hawatarudiana na kama ataendelea kwenda kwenye vyombo vya habari kumuanika mambo yake.
“Nilikimbilia ndani na yeye akanifuata humo, akarusha panga anikate shingoni huku akisema ataniua, nikakwepa, lakini likanijeruhi shingo, kama haitoshi akachukua kisu alichokuwa nacho akanikata vidole.
“Damu ikaanza kutoka nyingi, alivyoona hivyo akanikaba kooni ili aninyonge, majirani waliposikia nakoroma, wakavunja mlango na kuniokoa,” alidai Anti Suzy.
Shoga huyo aliyeanza vitendo hivyo akiwa mkoani Mwanza, alisema aliamua yeye na mama mwenye nyumba kwenda Kituo Kidogo cha Polisi Jangwani kutoa taarifa na kupewa hati yenye namba MS/RB/10695/20....

KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA NANE)


Mfalme Nebukadneza aliota Mti Mrefu na Mkubwa sana ulioota katikati ya nchi ambao ulikua na kuwa na nguvu, na Urefu wake ukafika Mpaka Mbinguni na kuonekana kwake mpaka Mwisho wa dunia. Majani ya Mti ule yalikuwa ni Mazuri, na matunda yake Mengi na ndani yake palikuwa na chakula cha kutosha kuwalisha watu wote. Wanyama wa kondeni walipata uvuli chini yake, na ndege wa angani walikaa katika matawi yake; kila kitu chenye mwili kilipata chakula kwake.
Kisha katika Njozi Mfalme akaona Mlinzi ambaye ni Mtakatifu akishuka toka Mbinguni. Akapaza sauti yake, akasema, Ukateni mti huu, yafyekeni matawi yake, yapukusieni mbali majani yake, na kuyatawanya matunda yake, wanyama na waondoke hapo chini yake, na ndege katika matawi yake. Walakini kiacheni kisiki cha shina lake katika ardhi, pamoja na pingu ya chuma na shaba, katika majani mororo ya kondeni; kikapate maji kwa umande wa mbinguni, na sehemu yake iwe pamoja na wanyama katika majani ya nchi; moyo wake ubadilike, usiwe moyo wa binadamu, na apewe moyo wa mnyama; nyakati saba zikapite juu yake. Hukumu hii imekuja kwa agizo la walinzi, na amri hii kwa neno la watakatifu; kusudi walio hai wapate kujua ya kuwa Aliye juu anatawala katika ufalme wa wanadamu, naye humpa amtakaye, tena humtawaza juu yake aliye mnyonge.
Baada ya Mfalme Nebukadneza kuiota ndoto Hii, aliwaita waganga na wachawi na wanajimu na wenye Hekima ili wapate kumtafsiria ndoto ile walakini walishindwa kutafsiri ile ndoto. Ndipo Mfalme akamwita Danieli maana aliona kuwa Roho ya Miungu watakatifu inakaa ndani yake. Mfalme Alipoisikia ile ndoto alifadhaika maana alifahamu tafsiri yake. Nabii Danieli Kwa Hekima akamfafanulia Mfalme kwamba Yeye ndiye alikuwa ule Mti mrefu na Mkubwa uliofika Mpaka Mbinguni, na ambao wanyama wa kondeni walipata uvuli chini yake na ndege walikaa juu ya matawi yake, na ndani yake palikuwa na chakula cha kuwatosha watu wote.
Ufalme wa Babeli uliitawala dunia yote walakini Danieli alimfafanulia Mfalme kuwa sababu ya Kiburi chake na kutomtukuza Mungu ataondolewa roho ya Binadamu na kupewa moyo wa Mnyama, naye atafukuzwa mbali na wanadamu na kuishi porini kama wanyama wa mwituni na kula majani kama ng’ombe hata miaka saba ipite hata apate kujua kuwa Yeye aliye Juu ndiye anayetawala wafalme wote naye humpa Ufalme kila amtakaye.
Walakini ule ufalme wake hautang’olewa wote bali kama wale walinzi walivyoambiwa kuwa wakiache kisiki katika shina lake maana yake ni kwamba baada ya Miaka saba Ufalme wake utarudishwa. Nabii Danieli alimshauri Mfalme kutubu na kumrudia Mungu pengine Mungu anaweza kughairi na kuacha kumtenda Mfalme mambo aliyokusudia kuyafanya juu yake.
SWALI: Kwenye Daniel 4:1-3, je Nebukadneza alisema maneno haya kabla au baada ya mkasa wa Danieli?
Jambo hili lilitokea baada ya mkasa wa Danieli, kwa sababu maelezo haya ya Nebukadneza yenye kutumia nafsi ya kwanza yanatoka kwenye barua ambayo aliiandika baadaye.
*******

Monday, November 28, 2016

But what did the Muslim student do to provoke the teacher?”


Designated terrorist group CAIR is calling for a “hate crime” investigation of a North Carolina teacher who allegedly grabbed a 5-year-old Muslim boy by the neck and called him a “bad Muslim boy” multiple times over several weeks. 

But as usual, we only get CAIR’s version of this story.

It will take you only about 10 seconds to see how many people are interested in hearing Muslims talk about “Islamophobia”


And at least half of the attendees are Muslims themselves.

ENVER TV ANCHOR forced to quit her job after getting death threats from accused Muslim fraudster whom she exposed


3acec0da00000578-3976682-heidi_hemmat_a_reporter_at_kdvr_fox_31_claims_to_have_quit_her_j-a-12_1480284931511A six-time Emmy award-winning reporter, Heidi Hemmat, had no choice but to quit her job at a Denver TV station after being warned of death threats allegedly from a crooked Muslim businessman, Muhammed Murib, whose fraudulent activities she had uncovered for a story broadcast on KDVR Fox31 TV.

UK Daily Mail  Heidi Hemmat, an investigative reporter at KDVR Fox 31, penned a post on her website on Thursday confirming details of her departure from the news station saying she felt her life was in danger because of threats from Muslim store owner Muhammed Murib.

Muhammed Murib
Muhammed Murib

Hemmat, who has won six Emmy awards, claims to have received ‘downright terrifying’ threats from the Muslim store owner she had investigated at length in 2015 over his alleged dumping of customers’ receipts and documents top defraud the IRS. 

Jesus is good because He is God

 

TRENDING NOW