Tuesday, December 13, 2016
KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA KUMI)

Daniel 6
Kisa cha Daniel ni fundisho kwa hao watakaoitwa kumtetea Mungu siku za Mwisho.Danieli alichaguliwa kuwa Mmoja wa Viongozi wakubwa aliye Juu ya maliwali wa Mfalme,na Mfalme alimpenda sababu alikuwa Mwaminifu.Biblia yasema,’’Basi Danieli Huyo alipata sifa kuliko wakubwa na maliwali,kwa kuwa Roho Bora ilikuwa ndani yake;naye Mfalme akaazimu kumweka juu ya ufalme wote[DAN6:3].
Kisa cha Daniel ni fundisho kwa hao watakaoitwa kumtetea Mungu siku za Mwisho.Danieli alichaguliwa kuwa Mmoja wa Viongozi wakubwa aliye Juu ya maliwali wa Mfalme,na Mfalme alimpenda sababu alikuwa Mwaminifu.Biblia yasema,’’Basi Danieli Huyo alipata sifa kuliko wakubwa na maliwali,kwa kuwa Roho Bora ilikuwa ndani yake;naye Mfalme akaazimu kumweka juu ya ufalme wote[DAN6:3].
Lakini mawaziri na Maamiri walimuonea wivu.Maadui hawa wa Daniel walitafuta kosa lilote ili wapate kumshitaki Daniel lakini walikosa.Biblia yasema,’’Basi mawaziri na maamiri wakatafuta sana kupata sababu za kumshitaki Daniel kwa habari za Mambo ya ufalme,lakini hawakuweza kuona sababu,wala kosa;kwa maana alikuwa mwaminifu,wala halikuonekana kosa wala hatia ndani yake[Danile6:4].
Ndipo Hao maadui wa Daniel wakashauriana kutafuta Sababu kuhusiana na Mambo yake ya kumwabudu Mungu,ili wapate kumshitaki.Biblia yasema,’’Ndipo wale watu wakasema,Hatutapata sababu ya kumshitaki Daniel Huyo,tusipoipata katika mambo ya sheria ya Mungu wake[Daniel 6:5].Ndipo wale viongozi wanaomchukia danieli wakakusanyana pamoja na kumwendea Mfalme na kumshawishi Mfalme ili Atie sahihi na kuidhinisha agizo kwamba Mtu yeyote asimwabidu Mungu yeyoye ama mtu yeyote isipokuwa Mfalme kwa mda wa siku thelathini.
Iliazimiwa kuwa Atakayekiuka Agizo hilo alitupwa katika tundu la Simba.Licha ya Agizo hilo ambalo lilitungwa makusudi ili Kutia hatiani Daniel,Danieli alibaki kuwa Mwaminifu katika Kumwomba Mungu wake kama ilivyo desturi yake,wala Hakuogopa Agizo hilo lenye sahihi ya Mfalme.Wale Maadui walipoona kuwa Danieli amekwenda kinyume na Agizo lao wakaenda kumshitaki Daniel kwa Mfalme kuwa amekiuka maagizo ya mfalme.Mfalme aligundua Hila yao na kuchukia sana ila Sababu sheria ya wamedi na waajemi ilikuwa haibadiliki,Aliazimu kuagiza kuwa Daniel Atupwe katika Tundu la Simba.
Siku inayofuata Mfalme alikwenda kuchungulia mle tunduni ili kuona kama Mungu wa Daniel Atamuokoa Daniel kwani Mfalme alimpenda Daniel.Kweli Mungu alimuokoa Daniel,wala Simba hawakumla.Biblia yasema,’’Mungu wangu amemtuma Malaika wake naye ameyafumba Makanwa ya Simba nao hawakunidhuru kwa kuwa Mbele zake Mimi nalionekana kuwa sina Hatia,wala Mbele zako ee mfalme Sikukosa neno[Daniel 6:22].
Pambano litakalowajia Watu wa Mungu katika siku za Mwisho litakuwa pia ni juu ya Ibada ya kweli dhidi ya ile ya Uongo na baina ya Amri za Mungu na Sheria za kibinadamu. Katika Siku za Mwisho zijazo Watu wa Mungu watajazwa roho Mtakatifu,na Mungu ataonyesha wazi kuwa Amewatia Mafuta na Kuwabariki kuliko watu wowote wale Duniani. Mamilioni ya watu wataisikia injili na kuwafuata watu wa Mungu.Hili litachochea wivu kwa viongozi na wachungaji wa mshahara,nao watafanya Shauri pamoja la kuwazimisha hao watu wa Mungu.
Monday, December 5, 2016
ASILI YA QURAN NA UISLAM NI SHETANI
Ndugu msomaji,
Leo tutajifunza asili na au mwanzo wa Quran na Uislam ni nini na au nani?
Bila ya kupoteza muda, hebu tuanze kusoma vitabu vya Waislamu.
KAMA MUHAMMAD ALIZALIWA NA SHETANI, AKACHEZEWA NA MASHETANI MNAMFUATA KWA LIPI?
1. KUZALIWA KWAKE MUHAMMAD,
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa "Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa na shetani tangu alipozaliwa, (Fat'hul Baary Juzuu ya 6 Uk. 389).
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa "Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa na shetani tangu alipozaliwa, (Fat'hul Baary Juzuu ya 6 Uk. 389).
Katika uthibitisho tulio usoma hapo juu, tumejifunza kuwa Muhammad alizaliwa kwa nguvu za Mashetani na huo mwanzo ni mbaya sana maana hatuna aya au hadith ambayo inasema kuwa, Muhammad alitolewa hayo Mashetani alipopewa unabii na kiumbe cha ajabu ajabu.
Cha kushangaza, Muhammad anapewa unabii na kiumbe cha ajabu ambacho kilimpiga kabali/loba mpaka Muhammad akaweeseka na kuona nyotanyota. Soma uthibitisho hapa chini.
2. MUHAMMAD BAADA YA KUTOKA PANGONI ANIKIRI YAFUATAYO,
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga"(Kitabu cha maisha ya Nabii Muhamaad s.a, uk.17 kilichoandikwa na Sheiky A.Farsy).
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga"(Kitabu cha maisha ya Nabii Muhamaad s.a, uk.17 kilichoandikwa na Sheiky A.Farsy).
Umesoma mwenyewe na kuelewa kuwa kitendo cha Muhammad kupigwa mpaka kuweweseka namna hii hakika hakitoki kwa Mungu wa Adam, Ibrahim, Musa na Mitume wengine wa Biblia. Maana hakuna aya hata moja kwenye Biblia Takatifu inayosema kuwa Manabii wake wapigwa kabali na Malaika, bali tunasoma kuwa Manabii wote wa kwenye Biblia wapiewa Utume na Mungu mwenyewe na sio kiumbe cha ajabu kilicho msimika utume Muhammad usiku tena kwenye pango.
3. KUROGWA KWAKE MUHAMMAD,
Amesema Mwanaisha Mkewe Mtume kuwa "Yahudi Mmoja aitwaye Labiid bin Al'answan alimroga Mtume Muhammad, ikawa Mtume baadhi ya Nyakati huchanganyikiwa na kuanza kuita Ovyo ovyo.
(Sahih Muslim J. 4 uk. 38-39)
Amesema Mwanaisha Mkewe Mtume kuwa "Yahudi Mmoja aitwaye Labiid bin Al'answan alimroga Mtume Muhammad, ikawa Mtume baadhi ya Nyakati huchanganyikiwa na kuanza kuita Ovyo ovyo.
(Sahih Muslim J. 4 uk. 38-39)
Sweden Burning…AGAIN!
Stockholm in flames as ‘arson jihad’ epidemic rages in Muslim NO-GO zones – areas where police, firefighters, and even ambulance crews are afraid to go for fear of being attacked by Muslim gangs.
The Muslim jihadist car fire epidemic sweeping across Stockholm continued to rage in the areas of Skarholmen and Ostberga on Thursday. Similar incidents occurred on Saturday and Sunday, in the nearby area of Hallunda and in the suburb of Norsborg on Monday.
ITALY: Neighbors outraged over secret mosque hidden in basement storeroom of apartment building
Islam is not an established religion in Italy and there is only one official mosque in the country, Rome’s Grand Mosque. Politicians from the ruling coalition cite radical imams, polygamy and failure to uphold women’s rights by Muslim immigrants as obstacles to recognizing Islam as an official religion in Italy.
WorksthatWork While the media is abuzz with talk of the large Muslim populations in France, Germany, Holland and England, Islam and Italy are terms not often heard in tandem. Italy is, in fact, home to 1.5 million practicing Muslims. In only two decades, Islam has become Italy’s second-largest religion—a figure that has grown rapidly within the last 10 to 15 years with new waves of immigration from countries such as Albania, Morocco, Egypt, Tunisia and Pakistan, among others.
Ten times as many Muslims live in the country now as compared to the 1990s, and their numbers are set to double again by 2030, boosted by immigration, mostly illegal, from North and Sub-Saharan Africa, the Balkans, South Asia and the Middle East.
Italian Islam is growing fast, but officially, it does not exist. Due to a lack of will from successive governments and divisions within the religious community itself, Islam has never been formally recognised by the Italian state. As a consequence, Muslims may pray, but they may not build mosques.
They worship instead at improvised ‘Islamic Cultural Centres’ in warehouses, shops, supermarkets, apartments, stadiums, gyms, garages and discos.
The country, however, contains a mere eight mosques on paper, only one of which holds official state recognition. In 2008, a bill was introduced to block the construction of mosques in much of the country, meaning the millions of Muslims in Italy have had to find other spaces in which to gather and pray.
SLOVAKIA joins Angola, Hungary, Myanmar, and Samoa In trying to ban Islam
Slovakia adopts law to effectively block Islam from becoming an official state religion. The Parliament in Bratislava has approved a bill that effectively will prevent Islam from being registered as a recognized religion. The small central European country’s population is 5.4 million, 62 percent of which is declared Roman Catholic.
IB Times President-elect Donald Trump may have raised eyebrows when he called for a ban on Muslims entering the U.S., but he isn’t alone when it comes to politicians targeting Islam in an effort to limit religious freedoms. The parliament of predominantly anti-migrant Slovakia passed a law on Wednesday making it difficult for Islam to qualify as a recognized religion in the former Communist state, Reuters reported.
The law raised the number of adherents to a particular religion to 50,000 from 20,000 in order for the sect to receive state funding, operate its own schools and be considered an official religion by the Slovakian government. There are approximately 2,000 Muslims in Slovakia, where Prime Minister Robert Fico has said “Islam has no place” in the country.
With Wednesday’s legislation, passed easily by a two-thirds majority, Slovakia joined several other nations in attempting to impose limits on religious freedom. Neighboring Hungary, another reluctant European Union recipient of refugees from the Middle East and Africa, recently faced criticism from a prominent national Muslim group when a southern town banned mosque construction at the end of November.
A little more than a year earlier, Hungarian Prime Minister Viktor Orban received backlash after writing in an op-ed in a German newspaper that Muslims must be kept out of the country as a way to “keep Europe Christian.” In a more direct plea shortly after the editorial was published, Orban said at a news conference that Hungary has “a right to decide that we do not want a large number of Muslim people in our country.”
Sunday, December 4, 2016
FAHAMU KUHUSU UCHAWI, BUNDUKI, NA MISHALE YA KICHAWI (SEHEMU YA KWANZA)
Ndugu msomaji wangu,
Kumekuwa na matukio mengi sana ya kichawi hapa duniani, na ni bora tuwafahamu hawa wachawi na jinsi ya kujikinga nao. Kwa kifupi njia pekee ya kujikinga na uchawi ni NJIA YA YESU.
NINI MAANA YA UCHAWI?
Kwanza tujifunze maana ya neno “UCHAWI” na tafsiri zake tofauti tofauti kutoka wanachuo mbali mbali:
Kwanza tujifunze maana ya neno “UCHAWI” na tafsiri zake tofauti tofauti kutoka wanachuo mbali mbali:
Al Azhari ambaye ni mtungaji wa kamusi maarafu ya kiarabu iitwayo “Lisanul Arab” amesema:
“Neno “Uchawi”, kwa kiarabu “As Sihr”, maana yake ni kitendo cha kujikurubisha na shetani na kwa msaada wake (shetani)”, na akasema pia kuwa; “Uchawi ni kulibadilisha jambo mbali na uhakika wake, nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli.”
“Neno “Uchawi”, kwa kiarabu “As Sihr”, maana yake ni kitendo cha kujikurubisha na shetani na kwa msaada wake (shetani)”, na akasema pia kuwa; “Uchawi ni kulibadilisha jambo mbali na uhakika wake, nako ni kuwadhihirishia watu jambo lisilo la kweli wakaliona kuwa ni la kweli.”
Ama Sahaba Ibni Abbas (Radhiya Llaahu ‘anhu) amesema:
"Uchawi ni kuidhirisha batili katika sura ya haki."
Hayo ni katika kamusi za lugha.
Amma katika kamusi ya dini ya Kiislam, maana ya neno Uchawi (As Sihr), kama alivyofasiri Mwanachuoni mkubwa Fakhruddin Al Razi kuwa;
"Ni kila jambo lililofichika sababu zake, linalotokeza kwa sababu zisizo za kawaida na ndani yake mna hadaa (khidaa)."
"Ni kila jambo lililofichika sababu zake, linalotokeza kwa sababu zisizo za kawaida na ndani yake mna hadaa (khidaa)."
Amma Sheikh Wahiyd Abdulsalaam Bali, mwandishi wa kitabu maarufu kiitwacho 'Al Saarim Al Batar fiy muhaarabat Al Saharatul ashraar', na kitabu kiitwacho "Al wiqaya mina l jinni wa shaytan", ambaye pia ni mtaalamu maarufu katika elimu ya majini na mashetani na uchawi na ambaye pia ni katika maulamaa maarufu wanaotoa majini kwa njia ya kusoma Qur-aan, yeye anasema:
"Uchawi ni makubaliano baina ya mchawi na Jinni akishurutishwa mchawi kufanya mambo ya haramu au ya shirki, na baada ya kufanya hayo, Jinni anashurutishwa kumsaidia na kumtii mchawi huyo kwa kila anachotaka."
Maana ya uchawi kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili:
Kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu, toleo la 3, neno ‘uchawi’ limefafanuliwa katika sehemu kuu mbili zifuatazo, Kwanza ni ‘ufundi wa kutumia dawa au vitabu maalum vya uganga ili kuleta madhara kwa viumbe; au juju. Pili ni ‘vifaa vinavyotumika katika shughuli za kurogea’
Kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu, toleo la 3, neno ‘uchawi’ limefafanuliwa katika sehemu kuu mbili zifuatazo, Kwanza ni ‘ufundi wa kutumia dawa au vitabu maalum vya uganga ili kuleta madhara kwa viumbe; au juju. Pili ni ‘vifaa vinavyotumika katika shughuli za kurogea’
Neno “mchawi’ limetafsiriwa kuwa ni mtu anayesadikiwa kuwa anaweza kuwadhuhuru watu kwa kuwaroga; mlozi, kahini. Wachawi mara nyingi hufanya kazi katika ulimwengu wa roho yaani ulimwengu ambao huwezi kuuona kwa macho ya kimwili.
KITABU CHA DANIEL (SEHEMU YA TISA)

Daniel Mlango wa 5:
Belshaza ambaye alirithi ufalme toka kwa mfalme Nebukadneza Baba yake hakujifunza juu ya Mungu wa Mbinguni licha ya kujua yote ambayo Mungu aliyafanya wakati wa utawala wa Baba yake. Siku Moja Mfalme Belshaza , aliwafanyia wakuu wake elfu karamu kubwa. Akiwa katika kilele cha ulevi na anasa, akaamuru wavilete vile vyombo vya dhahabu na fedha, ambavyo baba yake, Nebukadreza, alivitoa katika hekalu ililokuwako Yerusalemu; ili kwamba mfalme, na wakuu wake, na wake zake, na masuria wake, wapate kuvinywea.
Na kibaya Zaidi ya haya Mfalme Belshaza akiwa katika anasa zake hakumsifu Mungu wa Mbinguni wala kumtukuza, Bali wakaisifu miungu ya dhahabu, na ya fedha, na ya shaba, na ya chuma, na ya mti, na ya mawe. Saa iyo hiyo vikatokea vidole vya mkono wa mwanadamu, vikaandika katika chokaa ya ukuta wa nyumba ya enzi ya mfalme, mahali palipokikabili kinara maneno ambayo hakuna awezaye kuyasoma. Mfalme na wote waliokuweko katika ile sikukuu wakakiona kile kitanga cha Mkono kilichoandika.
Ndipo uso wa mfalme ukambadilika; fikira zake zikamfadhaisha; viungo vya viuno vyake vikalegea; magoti yake yakagongana. Mfalme akaagiza waletwe wachawi, na wanajimu na wakaldayo na wenye hekima wa Babeli ili kwamba wapate kumsomea Maneno yaliyoandikwa Ukutani na kile kitanga cha mkono. Walakini wenye hekima wote wa Babeli hawakuweza kuyasoma naneno yake yote yaliyoandikwa. Walakini Malkia alimwendea Mfalme katika ile karamu kisha akamwambia kuwa asifadhaike kwani yupo Mtu aitwaye Danieli ambaye Roho ya Miungu watakatifu inakaa ndani yake na ambaye wakati wa Baba yake alimtafsiria Mfalme Nebukadneza ndoto zake zote alizoziota.
Ndipo uso wa mfalme ukambadilika; fikira zake zikamfadhaisha; viungo vya viuno vyake vikalegea; magoti yake yakagongana. Mfalme akaagiza waletwe wachawi, na wanajimu na wakaldayo na wenye hekima wa Babeli ili kwamba wapate kumsomea Maneno yaliyoandikwa Ukutani na kile kitanga cha mkono. Walakini wenye hekima wote wa Babeli hawakuweza kuyasoma naneno yake yote yaliyoandikwa. Walakini Malkia alimwendea Mfalme katika ile karamu kisha akamwambia kuwa asifadhaike kwani yupo Mtu aitwaye Danieli ambaye Roho ya Miungu watakatifu inakaa ndani yake na ambaye wakati wa Baba yake alimtafsiria Mfalme Nebukadneza ndoto zake zote alizoziota.
Mfalme akaagiza Kwamba Danieli aletwe ilia some naneno yale na kumjulisha mfalme tafsiri ya maneno yale kwa ahadi kwamba atapewa zawadi kubwa na kufanywa awe mtu wa tatu katika Ufalme. Danieli alivyoletwa mbele za Mfalme na kuyasoma yake maandishi aligundua maana yake. Nabii danieli akamkumbushia Mfalme kisa cha Baba yake jinsi alivvyojitukuza dhidi ya Mungu wa Mbinguni, na jinsi Mungu alivyokinyenyekeza kiburi chake.
Alimwambia Mfalme kwambaIngawa aliyafahamu hayo yote yaliyompata Baba yake, hakumtukuza Mungu wa Mbinguni bali aliagiza vyombo vya Mungu wa Mbinguni viletwe ili vitumiwe katika Ulevi na Anasa, na Zaidi ya hayo yote akaitukuza miungu ya miti na ya shaba na ya Mawe na kumsahau Mungu wa Mbinguni.
Ndipo Danieli akamsomea yale maneno yaliyoandikwa katika ule ukuta. Biblia yasema hivi;”- Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI. Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha. TEKELI, umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka. PERESI, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi. Ndipo Mfalme kwa Hofu alamvika danieli mavazi ya rangi ya zambarau, wakatia mkufu wa dhahabu shingoni mwake na kumtangaza Daniel kama Mtu wa tatu katika Ufalme. Lakini Hukumu ya Mungu ilitekelezwa siku ileile. Wamedi na waajemi waliuvamia Ufalme wa Babeli usiku ule na mfalme akauawa na Wamedi wakaumiliki Ufalme.
Ndipo Danieli akamsomea yale maneno yaliyoandikwa katika ule ukuta. Biblia yasema hivi;”- Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI. Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha. TEKELI, umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka. PERESI, ufalme wako umegawanyika, nao wamepewa Wamedi na Waajemi. Ndipo Mfalme kwa Hofu alamvika danieli mavazi ya rangi ya zambarau, wakatia mkufu wa dhahabu shingoni mwake na kumtangaza Daniel kama Mtu wa tatu katika Ufalme. Lakini Hukumu ya Mungu ilitekelezwa siku ileile. Wamedi na waajemi waliuvamia Ufalme wa Babeli usiku ule na mfalme akauawa na Wamedi wakaumiliki Ufalme.
SWALI:
Kwenye Daniel 5:1 na 30, Belshaza alikuwa ni nani?
Kwenye Daniel 5:1 na 30, Belshaza alikuwa ni nani?
JINSI WACHAWI WANAVYOCHUKUA NYOTA YAKO
| ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA |
UTANGULIZI:
Huu ni mwendelezo wa somo la Nyota na Maisha mtu aliyonayo. Mathayo 2:1; Kama tulivyoona tangu mwanzo kuwa nyota ni kipawa, uweza, hatma au hali ya mtu ya baadaye. Tukaona nyota ya Yesu ilionekana kabla Yesu hajazaliwa na mamajusi wa mashariki walimwona kama Mfalme.
MAANA YA NYOTA:
Kama tulivyooa sehemu ya kwanza kuwa nyota ni kiashiria cha rohoni, kinachoonesha mtu atakuwa nani baadaye, mafanikio ya mtu au hatma ya mtu. Viashiria hivi ndivyo vinavyoitwa nyota.
NYOTA KATIKA BIBLIA:
Hesabu 24:14-17 Baraki alikuwa mfalme, na alipoona kuwa wanaisrael wanakuja ili kushambulia ufalme wake, akamtafuta Balaam amtabirie. Hayo ni maneno ya Balaamu aliyoona, Hivyo Balaamu alipoangalia taifa la Israel akaona nyota, kimsingi nyota ya mtu inaonyesha jinsi mtu atakavyokuwa baadaye. Hivyo balaamu aliweza kumuona Yesu tangu mwanzo na ndio maana mamajusi wa mashariki nao pia walimwona Yesu kama nyota.
Nyota yaweza kuonyesha kusudi la maisha ya mtu, na ndio maana ingawa Suleimani alizaliwa na mke wa Huria ambaye Daudi alimuua mumewe ili ampate lakini kwasababu nyota ya kujenga hekalu ilikuwa juu yake (yaani Suleimani), Mungu alimchagua kujenga Hekalu. Daudi alikuwa na watoto wengine wengi, lakini aliyechaguliwa kujenga ni Suleimani kwasababu ndio mwenye nyota ya kujenga yaani tangu anazaliwa
Isaya 47:8-12; Hapa biblia inataja neno “wajuao Falaki”, hii ni elimu inayohusu mambo ya nyota ambayo wachawi husoma. Katika Mathayo 2:1- Biblia inataja mamajusi, wao ni wasomaji wa nyota ambao waliiona nyota ya Yesu kabla ya Yesu hajazaliwa. Nyota ya Yesu iliwafanya mamajusi kumfuata kutoka mbali, na wakati huohuo Herode alifadhaika. Kumbe nyota ya mtu ikionekana watu wanaweza kuifuata na kukuletea unalohitaji. Watu wengi wapo katika vifungo mbalimbali kwasababu nyota zao zimefunikwa.
Saturday, December 3, 2016
Imam wa Msikiti wa Mayaha, Kisisi apokea Uponyaji kwa Jina la Yesu!

Mchungaji Michael Peter Imani wa WAPO Mission International Tawi la Mbagala Maji Matitu akiwa amemshikia kipaza sauti Mzee Musa Hombe (Idd Hussein Seba) (73) Imam wa Msikiti wa Mayaha, Kijiji cha Kisisi, Kata ya Ekhanoda Wilaya ya Singida Vijijini.
Aliyekuwa Imam wa Msikiti wa Mayaha, akishuhudia jinsi Yesu alivyomponya baada ya kuugua kwa miaka 15 “Sasa ninatafuta wa kuninunulia Biblia, Yesu anaponya mimi nimepona, ninyi waislamu wenzangu mnapoteza muda”
Christopher ambaye pia ni mtoto wa Juma Kombe, akifurahia kuuona Utukufu wa Mungu baada ya kuokoka, alikuwa amepagawa mapepo na biashara zake zikawa haziendi baada ya kuokoka kwa wiki tatu akaanza kuona mabadiliko ya biashara yake kushamiri kwa kasi. “Nilipofanyiwa maombi ya wiki 3, nikakaa sawa, nikaingia darasani kusoma, nilipojazwa Roho Mtakatifu, usiku nimelala walikuja wachawi, wakaniita jina la zamani, Abdallah, lakini sauti ya upole ikaniambia, usiitike”.
Kijana Christopher ndiye aliyesababisha baba yake Kumpokea Bwana Yesu.
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...






