Tuesday, January 10, 2017

MUHAMMAD ALIKUWA AMEROGWA MPAKA AKAPOTEZA FAHAMU

No automatic alt text available.
Muhammad Aliwahi Kulogwa (Kwa Apizo, ‘Under a Spell’)
" ‘Aisha anasimulia: Nabii alifanyiwa uchawi hata akaanza kudhani kuwa anafanya kitu fulani wakati hakuwa anafanya. Siku moja alimwomba (Allah) kwa muda mrefu sana kisha akasema, ‘Naona kuwa Allah amenipa mwongozo wa namna ya kujitibu mwenyewe.’..." Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 54 (Mwanzo wa Uumbaji) sura ya 10 na.490 uk.317.
Tazama pia juzuu ya 4 kitabu cha 53 (Wajibu wa Khumus) sura ya 34 na.400 uk.267, juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.56-57, juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266-267. Juzuu ya 7 na.658-660 uk.441-443.
Pia tazama Muislam Sahihi juzuu ya 2 kitabu cha 4 (Kitabu cha Sala) sura ya 309 na.1888 uk.411
Muhammad alilogwa. Alisimulia ‘Aisha: Nabii aliendelea kwa kipindi fulani akidhania kuwa anafanya tendo la ndoa na mke wake, lakini haikuwa hivyo. Siku moja alisema kwangu, "O ‘Aisha! Mungu ameniagiza kuhusiana na suala nililomuuliza. Watu wawili walikuja, mmoja alikaa karibu na miguu yangu na mwingine karibu na kichwa changu. Yule aliyekuwa karibu na miguu yangu alimuuliza yule wa karibu na kichwa changu (akininyooshea kidole), ‘Mtu huyu ana shida gani? Yule mwingine akamjibu, ‘Ameathirika na uchawi. Yule wa kwanza akauliza, ‘Ni nani aliyemfanyia uchawi?’ Yule mwingine akajibu, ‘Lubaid bin A’sam." Yule wa kwanza akauliza, ‘(Alitumia) nyenzo gani?.’ Yule mwingine alijibu ‘Ngozi ya chavua ya mtende wa kiume na chanio lililowekwa nywele, na kuwekwa chini ya jiwe kwenye bwawa la Dharwan.’" Kisha Nabii alikwenda kwenye bwawa lile na kusema, "Hili ndilo bwawa lilelile nililoonyeshwa kwenye ndoto. Ncha za mitende yake inaonekana kama vichwa vya mashetani, na maji yake yanaonekana kama mchanganyiko wa hina."… ‘Aisha aliongeza, "(Mchawi) Lubaid bin A’sam alikuwa anatokea Bani Zuraiq, mshirika wa Wayahudi." Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 73 (Mienendo Myema) sura ya 56 na.89 uk.57. Tazama pia Bukhari juzuu ya 8 kitabu cha 75 (Kitabu cha Maombi ‘Book of Invocations’) sura ya 59 na.400 uk.266
1. Kwanini tumfuate Mtume aliyerogwa na kupoteza fahamu?
2. Hivi kuna Mtume au Nabii yeyote yule kwenye Biblia na yeye alirogwa?
3. Kwanini Allah alishindwa kumlinda Mtume wake kutoka nguvu za kurogwa?
4. Hivi wapi tunasoma kuwa Muhammad alifanyiwa maombi na urogi ukamtoka?
Hakuna ushahid wowote ule ambao unasema kuwa Muhammad aliombewa na kutokwa huo uchawi. Huu ni msiba kwa Nabii wa Allah kufa huku akiwa amefanyiwa urogi.
Ndugu msomaji,
Mtu yeyote yule akifa kwa kurogwa na huku akiwa amejaa Mashetani, basi huyo mtu yeye ataishia kwenye Jehannam ya moto.
Karibuni kwa Yesu aliye hai.
Max Shimba Ministries Org.

MUHAMMAD ALIKUWA NA UGONJWA WA KUSAHAU SAHAU

Image may contain: text
Katika Sahihi Al-Bukhar Vol vi hadithi nambari 556-558 zinamuelezea Muhammad naye Nabii wa Allah alivyokuwa ni mmoja kati ya watu waliosahau aya na sura za Qur’an. Tazama Qur’an 87:6-7. tena Sahihi al-Bukhari Vol vi hadithi nambari 530-557. sijawahi kusoma wala kusikia habari za Nabii yeyote wa Mungu wa kweli aliesahau ujumbe wake.
Maana sisi Wakristo tunasoma katika 2Petro 1:20-21 maneno haya.
“Mkijua neno hili kwanza ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu bali mwanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu”.
Kwa hiyo kwa maana ya maneno haya tunakuwa na shaka na imani ya Kiislamu kuwa Nabii anasahau aya na sura za ujumbe wa Mungu.
Sababu nyingine ambayo ni ya kushangaza ni kuondoshwa kwa baadhi ya aya kwa makusudi tu. Imeelezwa katika Sahihi al-Bukhari Vol vi hadithi nambaro 8 na 527 jinsi Sayyidina Umar alivyoziondoa sura za “ HAFD” na “KHAL’A”. Inasemekana sura hizo zilihifadhiwa na Ibn Ka’b. katika maelezo ya mwanazuoni mmoja Ibn majah yanasema katika heke heka ya mazishi ya Muhammad aya zingine ambazo zilihifadhiwa uchagani mwa kitanda cha bibi Aisha zilikuwa na mnyama wa kufugwa. Hii inashangaza sana, inanishangaza mimi hasa kutokana na yale wayasemayo kinyume na Ukristo. Maana ni wepesi wa kusema kudharau, kubeza na hata kutamka maneno yasiyofaa kwa Wakristo. Ukisema wewe utasikia tu huyo anamkashifu Mtume! Mara nyingi sana hujiuliza mbona Waislamu wengi katika mihadhara humkashifu Yesu tena hadharani? Isitoshe Mtume Paulo kwao amekuwa kama taka taka jinsi wanavyomtukana na kumdharau. Sijasikia watu wanapopiga kelele wakionya na kuwaambia waache kumkashifu Mtume.
Waislamu wengi na wanadamu mamia kwa maelfu kila siku wanamtukana Mungu kwa matendo yao, lakini sijawahi kusikia Waislamu wakiandamana na kuwaonya watu waache mara moja laa sivyo watasusia kila kitu kwa wale ambao wamehusika. Je, huyu Muhammad amekuwa bora kuliko Mungu? Nimechunguza kwa miaka mingi kwamba ukiongea lolote juu ya Allah hutasikia Waislamu duniani wakidai lolote, lakini ukiongea juu ya Muhammad tegemea nlipuko wa Waislamu wakikuzomea karibia dunia nzima. Wakianza mtu mashuhuri au kikundi cha watu mashuhuri hawa wengine watafanya bila kuuliza wala kufikiri. Jambo la kutisha lile ambalo mtu anafedha ambazo fedha hizo si zake bali ni za YEHOVA. Yeye atazitumia kwa kuweka dau eti yule atakaye muua mtu fulani kwa kumsema Muhammad nitampa kiasi fulani cha fedha. Na Waislamu wengine wakishangilia na pengine wakimuombea dua kwa Allah.
Kwa maana hiyo hiyo ukiwaambia ukweli kama haya niyasemayo utasikia wewe hujui, Qur’an siyo mchezo bwana!! Lakini ukiwauliza kwa nini aya za Qur’an zilikuwa katika mchago wa kitanda cha Aisha mke wa Muhammad? Hapo utakosa jibu la msingi. Na kwa wale ambao hawakusoma wataona haya niyasemayo hayakuandikwa katika vitabu vya Kiislamu.
Katika Qur’an Sura 5:48 Surat maida kuna maneno haya ya Allah.
Sisi ndiyo tulioshusha mawaidha haya na sisi ndio tutakao yalinda.
Je, maneno haya ambayo Allah ameyasema yana ukweli gani?
Maana tunajifunza katika mikasa mbali mbali za kupotea kabisa sura na aya za Qur’an kwamba mpaka sasa hazipo kabisa. Je, sisi tunajifunza nini? Je, kama kweli Qur’an ni maneno ya Mungu aliyehai zingewezaje sura na aya zake zipotezwe kabisa kwa mikono ya wanadamu na isiwepo kumbukumbu? Nitakupa mfano mmoja ili upate kuthibitisha kuwa maneno ya Mungu aliye hai hayawezi kupotea kwa mikono ya wanadamu na Mungu asiyalinde. Katika Yeremia 36:1-4 na 21-32 Hapo tunasoma kisa cha mfalme mmoja ambaye alichukizwa na maneno ya Mungu yenye kumuonya akaamuru liletwe na kulikata kwa kijembe hadi lote likamalizika. Lakini mfalme aligundua kuwa kama ataviacha vile vipande watu wangeviokota na kuviunganisha na neno hilo la Mungu aliye hai likaendelea. Mfalme akaamuru vile vipande vichomwe moto vyote.
Mfalme alijua kuwa kwa kufanya hivyo atayafuta kabisa maneno ya YEHOVA. Lakini tunaposoma katika mstari wa Sura hiyo hiyo tunasikia maneno haya:
Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia hapo mfalme hapo mfalne alipokuwa amekwisha kulliteketeza Gombo lile na maneno yote ya kwanza aliyoyaandika Baruku yaliyotoka katika kinywa cha Yeremia akasema: Haya twaa wewe Gombo lingine ukaandike ndani yake maneno yote ya kwanza yaliyokuwa katika Gombo la kwanza ambalo Yehoyakimu mfalme wa Yuda ameliteketeza.
Mungu hakuridhika kuona maneno yake yanapotezwa na mwanadamu. Akaamuru kuyarudisha maneno yale yale ambayo mfalme alichukizwa nayo.
Swali ambalo Waislamu wote wangejiuliza iweje maneno ya Allah yapotee tu hata yasiwe na kumbukumbu? Tunamuaminije yule yule aliyeshusha maneno ya Qur’an kuwa anauwezo wa Kimungu?
Katika hili mimi nimeona mambo mawilli muhimu.
1. Kutoaminika kwa madai ya sura 5:48, kupotea kwa sura na aya kadhaa ambazo Allah anadai alizishusha kuwaonesha sio kuaminika tu bali kukosa uwezo na mamlaka ya Kiungu (Divinity Authority) ya kutunza aya alizo ahidi kuzilinda.
2. Kuhusu madai ya Allah ya NASKH na MANSUWKH yaani aya moja inaweza kufutwa na nyingine hii ni ulaghai wa kibinadamu ili kutoa nafasi ya kubadilisha mambo kwa madai ya kwamba Mungu amesema.
Kwa mfano aya nyingi katika Qur’an inasemekana ni maneno ya watu mbalimbali. Nitakukumbusha tena jambo hili. Katika Sahihi al-Bukhar Vol vi musnad Harba Vol I Saifa ya 23-24 inamtaja sana Ibn Hanbal akimkaririAnnas akisema:
Umar bin Khatab baba mkwe wa Muhammad alisema nimekubaliwa mambo matatu. Nikasema ewe Mtumme wa Allah lau kama tungeweka kisimamo cha Ibrahimu ndipo ilipoteremka aya ya kuweka kisimamo cha Ibrahimu. Tazama Sura 2:125 Surat Bakara.
Neno la Kiarabu la WAAFAQTU (Yaani nimekubaliwa) katika hadithi hiyo lilionesha kuwa Umar bin Khatab alitoa pendekezo kuwa Qibla ya Waislamu kiwe Al-Kaaba na sio kwamba badiliko lile lilitoka kwa Allah Mungu wa Waislamu. Je, mashekhe hili mmnasemaje? Je, kisa cha aya hii ya 125 ya Surat Bakara ni Sahihi aliyosema Bukhari katika hadithi aliyoipokea? Kama sawa basi wapasheni Waislamu waiojua ukweli huu. Na kama siyo sawa toweni ukweli kinyume na yale ambayo Bukhari ameyapokea.
Ikumbukwe katika Sahihi Muslimu Vol:I hadithi 525 na 527 inaeleza kuwa miezi 17 tangu Muhammad ahamie Makka Waislamu walisali huku wameelekea Yerusalemu sawa na Wayahudi. Lakini ilipofika aya ya 125 ya Surat Bakara Qibla kilibadilika na kuwa Al-Kaaba.
Je inatupasa kusemama nini? Ya kusema ni haya: Ashukuriwe Umar bin Khatab kwa pendekezo lake lililomfanya Allah ahamishe Qibla kukipeleka AL-kaaba.
Si hilo tu Umar bin Khatib alilopendekeza bali anasema nikasema ewe Mtume wa Allah hakika wake zako wanaingia nyumbani hali vichwa vyao havijafunikwa? Ndipo alipoamrisha wavae Hijab. Hapo napo ndipo ilipoteremka aya ya kuvaa Hijab sura 33:59. Hili ni pendekezo la Umar na Allah akalikubali.
Haya ni baadhi tu ya mambo yanayoonesha kuwa madai ambayo wanadai Waislamu dhidi ya Wakristo hayana ukweli wowote.
Uislamu kamwe hata siku moja hauwezi kabisa kuufananisha au kuwa na nafasi ya kusema lolote juu yake. Uislamu na Ukristo ni sawa na watu wawili waliovaa nguo mmoja nguo nyeupe isiyo na doa na mwingine amevaa nguo nyeusi iliyo na uchafu wa grisi ya magari. Yohana aliwaona hao waliovaa nguo katika maoni anaandika katika Uf 7:13-18. katika mlango huo anajibiwa na wale wazee maalumu lile swali alilouliza. Akaambiwa hao waliovaa nguo nyeupe ni wale ambao wamepokea wokovu na nguo zao wamezifua kwa damu ya mwana kondoo. Nini maana yake? Ni kwamba hao ni Wakristo waliokubali kulitii neno la Mungu na kuamini kuwa Yesu ni mwana wa Mungu.
Bahati mbaya Wakristo tunapoongelea kuwa Yesu ni mwana wa Mungu Waislamu wasiosoma wale wanaofikiri mambo yaliyo nje ya mwilli wanauliza Mungu alioa lini?
Mke wake ni nani? Inashangaza kweli. Mungu kutamka yeye mwenyewe kuwaambia watu wale wa kwanza kwamba Yesu ni mwana wake aliyependezwa naye hana maana ya kuzaa. Nia ni kuwafundisha watu katika mazingira yao. Mtu anapokujulisha kwamba huyu ni mwanangu maana yake ujumbe wowote atakao muagiza huyo mtoto wake kwako lazima utauamini kwasababu umetoka kwa baba yake. Mungu alitufundisha katika mazingira yetu. Waislamu kwasababu wao huwaza sana mambo ya kimwili ya kidunia utasikia Yesu sio mwana wa Mungu. Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa. Je, ni nani anayepinga hayo mambo ya kidunia. Wakristo wanaamini kuwa Mungu hakuzaa kidunia wala hakuzaliwa kidunia. Lakini kiroho akatamka kuwa Yesu ni mwana wake aliyependezwa naye tumsikie yeye.
Njoo kwa Yesu upate kupona.

MKRISTO MWENYE KUJITAMBUA HAWEZI KUMFUATA ALLAH ANAYE UGUA MACHO KAMA VIUMBE

Image may contain: one or more people


ALLAH ANA MACHO Na tunaamini kuwa Allah Anayo macho mawili kikweli, na hii inatokana na kauli Yake Subhaanahu wa Ta’ala Aliposema kumwambia Nuuh (‘Alayhis-Salaam):
وَاصْنَعِ الْفُلْكَ بِأَعْيُنِنَا وَوَحْيِنَا
"Na unda jahazi mbele ya macho yetu na kwa mujibu wa ufunuo wetu."
"Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwa ajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu. (Al Milal Wannihal J. 1 uk. 141)
Hapa inaonekana Allah alijisahau na akajitupia ugonjwa wa Macho, RED EYES. Sasa Mungu gani huyu anaye Umwa kama Viumbe? Hakika Allah si Mungu bali ni kiumbe,

KWANINI TUNAKULA NGURUWE? (SEHEMU YA PILI)


Image may contain: 2 people, outdoor

Kiti moto mdudu mwenye mjadala mkali duniani.
Biblia inasema hivi katika Wakolosai 2 : 16 ‘Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato;’ Kwa tafasiri nyepesi biblia inasema usimuache mtu yeyote akuhukumu ‘do not let anyone judge you’ kwa habari ya nunakula nini unakunywa nini, au kama huandami mwezi au kushika sabato mtu asikuhukumu, maana yake ni kuwa mafundisho yoyote duniani ya imani yoyote yanayokataza ule nini usile nini ni mafundisho ya Mashetani, sisi wakristo hatuna miiko, ukienda kwa wapunga pepo wanganga watakupangia ule nini usile nini haya ni mafundisho ya mashetani ona 1Timotheo 4 1-5 Biblia inasema :-
‘1. Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; 2. kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe; 3. wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli. 4. Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani; 5. kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.’
Ndugu zangu unaweza kuona maandiko haya yako wazi kabisa kwamba kumzuia mtu ajiepushe na chakula fulani ni mafundisho ya roho zidanganyazo yaani mapepo na mashetani biblia iko wazi kuwa kila kiumbe kilichoumbwa na Mungu ni kizuri kama ukikipkea kwa shukurani kwa vile vimeatakaswa na neno la Mungu !
Wakati najenga Msingi huu napenda pia nikufahamishe vema somo hili kwa kuzingatia vipengele vitatu vifuatavyo :-
Ufahamu kuhusu Nyakati saba za Maongozi ya Mungu.
Mafundisho ya Quran kuhusu Nyama ya Nguruwe.
Mafundisho ya Agano jipya kuhusu kula Nguruwe.
Ufahamu kuhusu nyakati saba za maongozi ya Mungu.
Moja ya sababu zinazopelekeabaadhi ya watu kupinga aina Fulani ya vyakula ikiwemo nyama ya nguruwe ni kuto kuyajua maandiko na kutofahamu juu ya nyakati saba za Maongozi ya Mungu ambapo Mungu aliongoza kwa Sheria tofauti tofauti, ikumbukwe kuwa Mungu ndie mtunga sheria na huweza kupanga au kupangua sheria “Amendments” kulingana na nyakati Yeye mwenyewe, kama apendavyo, Kama bunge linavyoweza kupitisha sheria na hatimaye kuibadili wakati Fulani kama wapendavyo ndivyo ilivyo kwa Mungu wetu, Mungu ameiongoza Dunia hii kwa nyakati tofauti tofauti zipatazo saba, maeneo sita kati yake yametimizwa na eneo la saba litakuwa ni wakati ujao
Nyakati za Maongozi ya Mungu kibiblia Zimegawanyika katika Maeneo makuu saba yafuatayo
Innocence Period-Hiki ni kipindi cha uumbaji mpaka anguko la Adamu(mwanadamu)
Concience Period-Hiki ni kipindi cha dhamiri mpaka gharika
Human Government Period-Hiki ni kipindi cha kujitawala mpaka wakati wa Ibrahimu
Promise au Patriach Period-Hiki ni kipindi cha mababa mpaka wakati wa Musa.
Dispensation of Law- hiki ni kipindi cha sheria ya Musa.
Dispensation of Grace-Hiki ni kipindi cha neema au wakati wa Mataifa.
Escatological times-Kipindi cha mambo yajayo (Dhiki kuu, hukumu ya mataifa, utawala wa miaka 1000,vita ya gogu na magogu, ziwa la moto, Mbingu mpya na nchi mpya.)
Katika vipindi hivi vyoote Mungu aliweka sheria mbalimbali za kuongoza vipindi hivyo,Mtu asipofahamu vizuri anaweza kuchanganya mambo katika vipindi hivyo Mungu aliweka au kubadili sheria zake kulingana na nyakati hizo na makusudi yake aliyoyakusudia kwa wakati huo.
Mfano sheria kuhusu Vyakula;-
Kipindi cha uumbaji mpaka anguko la Adamu (Innocence Period).
Sheria ilikuwa moja tu wasile tunda la ujuzi wa mema na mabaya tu wakati huu mwanadamu hakula nyama (Mwanzo 2;16-17,1;28-30) Mungu aliweka sheria hii moja kwa sababu Adamu na Eva walikuwa Peke yao na Mungu aliwapa vitu vyote hebu jaribu kuwaza kama Mungu angesema Usizini, usiibe hizo sheria pale Bustanini zingemuhusu nani wakati Adam yuko peke yake na mkewe
Kipindi cha dhamiri Anguko mpaka wakati wa gharika Gharika (Concience period.)
Wakati huu Mungu aliamuru wale vitu vyoote isipokuwa Damu tu (Mwanzo 9;1-4).Baada ya gharika Mungu alimruhusu Nabii Nuhu na wanawe kula kila kitu yaani vitu vyote isipokuwa Damu tu yaani lazima damu ya mnyama imwagike unapotaka kumla, soma biblia yako Mwanzo 9: 1-4 waliruhusiwa kula kila kitu yaani vyote akiwemo Yule mdudu Nguruwe!
Wakati wa sheria ya Musa (Mungu aliamuru wale baadhi ya vitu na baadhi vilikatazwa).
hii ilikuwa ni kwa sababu za kiafya na kutafuta utii wa Israel, baadhi ya vitu vilivyokatazwa ni pamoja na Ngamia, Sungura, Nguruwe, Kambale, Taa, Pweza, Ngisi, n.k. Mungu aliwakataza WAYAHUDI peke yao wasile baadhi ya wanyama na samaki wote wasio na Magamba na wanyama wasio na kwato zilizopasuliwa kati, au wenye kwato zilizopasuliwa kati lakini hawacheui soma (Walawi 11;1-47).
Wakati wa Neema,
Wakati huu Mungu aliamuru kuliwa kwa vitu vyoote isipokuwa damu ambayo kibiblia imekatazwa milele. ( Luka 17;10,1Koritho 10;25-27,Kolosai 2;16,1Timotheo 4;1-5). Wakati wa neema ndio wakati huu wa agano jipya wakati huu tunaruhusiwa kula kila kitu bila kujali wala kuulizauliza soma maandiko yale juu.
Tatizo kubwa la waislamu ni kutokujua nyakati hizi za maongozi ya Mungu na Sheria alizoweka, wanachanganya mambo. Aidha katika namna ya kushangaza waislamu wanaona Nguruwe tu kuwa ni haramu, huku wamesahau kuwa Mungu alikataza hata ngamia ambao mara nyingi huchinjwa na waislamu wakati wa iddi alhaji. wavuvi wengi wa pwani ni waislamu mara nyingi huvua taa, pweza na ngisi, Mtu anayeamua kuishika sheria na ashike yoote na asiyedumu katika yoote amelaaniwa (Galatia 3;10). Wanyama wengi miongoni mwa waliokatazwa wanahitilafu za kiafya kama wasipoandaliwa vema mfano Nguruwe ana tegu wengi katika nyama yake pia huharibika kwa Haraka nyama yake inapokaa zaidi ya wakati hivyo kutokana na mazingira ya jangwani walikokuwa wanasafiri Israel isingelikuwa vema kuruhusiwa kutumia aina hizi za nyama. Mungu aliwapa sheria hii Wayahudi peke yao wakiwa chini ya nabii Musa. Baada ya kuyaelewa haya sasa hebu tuangalie Mafundisho ya Quran kuhusu Nguruwe!
=====> USIKOSE SEHEMU YA TATU..........

MASWALI WANAYO YAKIMBIA WAISLAM KILA SIKU.

No automatic alt text available.
Ni kivipi madhehebu manne ya Ahlu-Sunna yalipatikana, na kwa nini mlango wa ijitihadi ndani ya madhehebu hayo ulifungwa?
Zaidi ya hapo, ni nani kwa mara ya kwanza kabisa aliye ufungua mlango wa ijitihadi, kwa upande wa Ahlu-Sunna?
Kati ya madhehebu hayo, ni lipi liliteremshwa na Allah?
Kwanini Dhehebu la Sunni hawaelewani na dhehebu la Shia?
Naomba majibu kwa aya.
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH ATHIBITISHA KUWA MAIMAMU, MASHEHE NA USTAADH NI VIONGOZI BANDIA

Image may contain: one or more people, meme and text


1. ALLAH HAKUWATAJA KWENYE QURAN
2. KUMBE MAIMAMU, MASHEHE NA USTAADHI NI VIONGOZI BANDI NA FAKE.
Ndugu msomaji,
Tukisema kuwa Uislam ni bandia, ndugu zetu wanakuja na madai kuwa tunasema uongo na maneno mengi yasio na hata ushahid wa aya.
Leo ningependa kuwauliza Waislam.
1. Wapi katika Quran Allah kasema Uislam uwe na Ma-Imamu, Mashehe na Maustaadhi?
2. Tupeni sifa za Imamu kwa kutumia aya za Quran.
3. Tupeni sifa za Mashehe kwa kutumia aya za Quran.
4. Tupeni sifa za Ustaadh kwa kutumia aya za Quran.
Ningependa ndugu Waislam watupe aya moja kwa moja. Mimi leo hii sina muda wa ngonjera zisizo na aya. Watuletee aya. Mimi nataka kusilimu.
Waislam wanasema eti hii aya kwenye Surat Al Baqara inazungumzia Imam: 124. Na Mola wake Mlezi alipo mjaribu Ibrahim kwa kumpa amri fulani, naye akazitimiza, akamwambia: Hakika Mimi nitakufanya uwe mwongozi wa watu. Akasema: Je, na katika vizazi vyangu pia? Akasema: Ahadi yangu haitawafikia wenye kudhulumu. Link: http://www.quranitukufu.net/002.html
Hapo kwenye hiyo aya hakuna cha Imamu wala Shehe zaidi ya Allah kudai anampa uongozi Ibrahimu.
Mkishindwa kutuletea aya kutoka Quran zinaso sema kuwa muwe na hao viongozi wenu wa dini, basi ifahamike kuwa Uislam ni dini ya bandia na kujitungia wenyewe.
Lakini tunapo soma Biblia iliyo kamilika tunapewa aya kuhusu viongozi wa Kanisa. Ngoja niweka aya chache ili kusaidia mada:
SIFA ZA WAANGALIZI WA KANISA
Bwana alikuwa wazi sana katika neno lake kuhusu jinsi Yeye anataka kanisa lake duniani kwa lipangwe na kusimamiwa. Kwanza, Kristo ni kichwa cha kanisa na mamlaka yake makuu (Waefeso 1:22; 4:15, Wakolosai 1:18). Pili, kanisa lenyewe linafaa kujitawala, liko huru kutoka mamlaka yoyote ya nje au udhibiti, na haki ya kujitawala na uhuru kutokana na kuingiliwa na uongozi wowote wa watu binafsi au mashirika (Tito 1:5). Tatu, kanisa linastahili kutawaliwa na viongozi wa kiroho likiwa na ofisi mbili kuu - wazee na mashemasi.
MA-ASKOFU NA WACHUNGAJI

ASILI YA QURAN NA UISLAM NI SHETANI


Ndugu msomaji,
Leo tutajifunza asili na au mwanzo wa Quran na Uislam ni nini na au nani?
Bila ya kupoteza muda, hebu tuanze kusoma vitabu vya Waislamu.
KAMA MUHAMMAD ALIZALIWA NA SHETANI, AKACHEZEWA NA MASHETANI MNAMFUATA KWA LIPI?
1. KUZALIWA KWAKE MUHAMMAD,
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa "Mtume Muhammad (s.a.w) alikuwa na shetani tangu alipozaliwa, (Fat'hul Baary Juzuu ya 6 Uk. 389).
Katika uthibitisho tulio usoma hapo juu, tumejifunza kuwa Muhammad alizaliwa kwa nguvu za Mashetani na huo mwanzo ni mbaya sana maana hatuna aya au hadith ambayo inasema kuwa, Muhammad alitolewa hayo Mashetani alipopewa unabii na kiumbe cha ajabu ajabu.
Cha kushangaza, Muhammad anapewa unabii na kiumbe cha ajabu ambacho kilimpiga kabali/loba mpaka Muhammad akaweeseka na kuona nyotanyota. Soma uthibitisho hapa chini.
2. MUHAMMAD BAADA YA KUTOKA PANGONI ANIKIRI YAFUATAYO,
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga"(Kitabu cha maisha ya Nabii Muhamaad s.a, uk.17 kilichoandikwa na Sheiky A.Farsy).
Umesoma mwenyewe na kuelewa kuwa kitendo cha Muhammad kupigwa mpaka kuweweseka namna hii hakika hakitoki kwa Mungu wa Adam, Ibrahim, Musa na Mitume wengine wa Biblia. Maana hakuna aya hata moja kwenye Biblia Takatifu inayosema kuwa Manabii wake wapigwa kabali na Malaika, bali tunasoma kuwa Manabii wote wa kwenye Biblia wapiewa Utume na Mungu mwenyewe na sio kiumbe cha ajabu kilicho msimika utume Muhammad usiku tena kwenye pango.
3. KUROGWA KWAKE MUHAMMAD,
Amesema Mwanaisha Mkewe Mtume kuwa "Yahudi Mmoja aitwaye Labiid bin Al'answan alimroga Mtume Muhammad, ikawa Mtume baadhi ya Nyakati huchanganyikiwa na kuanza kuita Ovyo ovyo.
(Sahih Muslim J. 4 uk. 38-39)
YAANI INA MAANA MUNGU ALIKOSA MTU WA KUTUMA MPAKA ATUME MUHAMMAD ALIYECHEWA NA MASHETANI?
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM, MAANA SASA TUNAFAHAMU KUWA MUHAMMAD SIO TU ALIZALIWA NA MASHETANI BALI ALIONGEZEWA MASHETANI KWA KUROGWA.
Ingawa hakuna aya au hadith inayo sema kuwa Muhammad alitolewa Mashetani, hivyo sio kosa kukiri kuwa Muhammad alikufa akiwa na Mashetani ndani ya nyoyo yake na hivyo mwisho wake ni Jehannam ya moto.
Msiba ukaendelea baadae, sasa na Mwandishi wa Quran na yeye kapagawa na Mashetani.
Jamani, hivi, kwanini Waislam hawasomi vitabu vyao?
KUMBE ALIYEANDIKA QURAN ALIKUWA NA SHETANI?

MUHAMMAD AKIRI KUWA YEYE HANA UWEZO WA KUFANYA MIUJIZA KAMA MTUME PAULO

Image may contain: 1 person, text
Muhammad(SAW) alikiri kuwa yeye hakuwa na uwezo wa kufanya Miujuza hata mmoja.
Ndugu zanguni huu NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM. Leo ningependa tusome kidogo kuhusu huyu Muhammad aliye dai kuwa yeye katumwa na Mungu. Hebu soma kwanza:
17. SURA AL ISRAAI (BANI ISRAIL)
90. Na walisema: Hatutakuamini mpaka ututimbulie chemchem katika ardhi hii.
91. Au uwe na kitalu cha mitende na mizabibu, na utupitishie mito kati yake ikimiminika.
92. Au utuangushie mbingu vipande vipande kama ulivyo dai; au utuletee Mwenyezi Mungu na Malaika uso kwa uso.
93. Au uwe na nyumba ya dhahabu, au upae mbinguni. Wala hatutaamini kupaa kwako mpaka ututeremshie kitabu tukisome. Sema: Subhana Rabbi, Ametakasika Mola wangu Mlezi! Kwani mimi ni nani isipo kuwa ni mwanaadamu na Mtume?
(Qur-Sura 17:90-93)
Baada ya kuombwa afanye angalau muujiza mmoja tu, Muhammad alishindwa vibaya sana na kuto fanya hata muujiza mmoja.
Alipo shindwa kufanya Miujiza walimuita Mwendawazimu: Hebu tusome aya hapa chini.
Quran 15: 6. Na walisema: Ewe uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe ni mwendawazimu.
Baada ya hali kumwia ngumu, Muhammad alikiri kuwa yeye ana wazimu:
Hebu tusome Simulizi zake kidogo: "Kitab al-Tabaqat al-Kabir", (Kitabu cha Madarasa Meja), na Ibn Sad, kutafsiriwa na S. Moinal Haq, [4], ukurasa wa 225; Muhammad akisema:
O Khadija, Ninaona Mwanga, na nasikia Masautisauti, nina hofu kuwa mimi nina Wazimu.
Swali:
1. Kwanini Muhammad alishindwa kufanya miujiza kama alivyo ombwa afanye?
2. Muhammad ni Nabii peke yake alieshindwa kufanya Miujiza tokea dunia iumbwe, Je, anaa kufuatwa na kuaminiwa?
3. Kwanini Allah nayeye hakumsaidia Nabii wake kufanya muujiza?
4. Kwanini Muhammad alikuwa kuwa yeye ana wazimu?
HAKIKA MUHAMMAD ALIKUWA NABII WA UONGO
Max Shimba Ministries Org

UKRISTO SIO DINI


Ukristo ni imani maalum kulinganisha na nyinginezo, Kwa sababu inasimamia zaidi ushirika na Mungu kuliko matendo ya kidini. Kinyume na kushikilia orodha ya masharti ya fanya haya na usifanye yale, Lengo la Mkristo ni kutafuta ushirika wa karibu na Mungu Baba. Ushirika huo unawezeshwa na kazi aliyoifanya Yesu pamoja na huduma ndani ya maisha ya Mkristo ya Roho Mtakatifu.
Wakristo huamini ya kuwa Biblia ni Neno la Mungu na mafundisho yake ndiyo mamlaka ya mwisho (Timotheo wa pili 3:16, Petro wa pili 1: 20-21). Wakristo huamini juu ya Mungu mmoja akaaye katika utatu, Baba na Mwana (Yesu kristo), na Roho Mtakatifu.
NINI MAANA YA DINI:
Dini ni jaribio la mwanadamu mwenye dhambi kuwa na uhusiano na Mungu Mtakatifu. Imani ya kikristo ni uhusiano na Mungu kwa sababu yale ametufanyia kupitia kwa kusulubiwa kwa Yesu Kristo.
UKRISTO SIO DINI BALI NI IMANI MAALUM INAYO SIMAMIA ZAIDI NA KUSHIRIKIANA NA MUNGU KULIKO MATENDO YA KIDINI AMBAYO HAYATO KUFIKISHA MBINGUNI.
Kuna njia moja tu ya kushirikiana na Mungu .
YESU KRISTO NI NJIA YA PEKEE YA KUONDOA DHAMBI.
Alikufa kwa ajili yetu ili tujue upendo na mpango wa Mungu kwa maisha yetu.
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo

YESU ANAWAPENDA SANA WATOTO WADOGO

Image may contain: outdoor
Nyakati nyingine pia, Yesu anaonyesha namna anavyopenda sana watoto wadogo. Miezi michache baadaye watu fulani wanaleta watoto wamwone Yesu. Mitume wanajaribu kuwazuia. Lakini Yesu anawaambia mitume wake hivi: ‘Acheni watoto waje kwangu, msiwazuie, kwa sababu ufalme wa Mungu ni wa watu kama hao.’ Ndipo Yesu anachukua watoto mikononi mwake, anawabariki. Ni vizuri kujua kwamba Yesu anawapenda watoto wadogo.
Mathayo 18:1-4; 19:13-15; Marko 9:33-37; 10:13-16.

Jesus demonstrated He is God

 

TRENDING NOW