Tuesday, January 10, 2017

MASWALI WANAYO YAKIMBIA WAISLAM KILA SIKU.

No automatic alt text available.
Ni kivipi madhehebu manne ya Ahlu-Sunna yalipatikana, na kwa nini mlango wa ijitihadi ndani ya madhehebu hayo ulifungwa?
Zaidi ya hapo, ni nani kwa mara ya kwanza kabisa aliye ufungua mlango wa ijitihadi, kwa upande wa Ahlu-Sunna?
Kati ya madhehebu hayo, ni lipi liliteremshwa na Allah?
Kwanini Dhehebu la Sunni hawaelewani na dhehebu la Shia?
Naomba majibu kwa aya.
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

FACTS ABOUT ISLAM EVERY MUSLIM SHOULD KNOW

This article provides compelling reasons to help Muslims make an unbiased evaluation of Islam. The article is intentionally written in an as...

TRENDING NOW