Wednesday, February 1, 2017
AFGHANISTAN: Former child bride has her ears hacked off by her husband after he accused her of speaking to other men
Zarina from Afghanistan was forced into marriage at the age of 13 and her husband is on the run having attacked her.
UK Daily Mail (h/t John H) The couple were sleeping at their home in the northern province of Balkh when he suddenly woke her up, bound her and mutilated her. Zarina said her husband had tried to stop her from seeing her parents, and that she wanted to divorce him. ‘He is a very suspicious man and often accused me of talking to strange men when I went to visit my parents,’ she told Tolo News.
Girls as young as six in Afghanistan are being forced to marry men old enough to be their grandfather and into a life of sexual slavery, beatings, pregnancies and death during childbirth.
Severing women’s noses is not unheard of in Afghanistan and like most abuse probably happens more often than is publicly acknowledged. Reza Gul, 20, had her nose sliced off by her husband in an attack in January last year.
An Afghan woman married off as a 15-year-old has had her nose cut off by her enraged husband using a pocket knife. Her husband, Mohammad Khan, begun beating and torturing his wife, before also taking a second bride who was aged just seven years old.
Bibi Aisha bravely shows her new face after Taliban cut off her nose and ears. Bibi, who was forced into an abusive marriage aged16, had been sentenced to mutilation a year ago by a Taliban court for simply running away.
NPR US soldiers, who treated Bibi in Kabul, took her to a women’s refuge and the charity Women For Afghan Women in New York which arranged for her to have reconstructive surgery. The 19-year-old has bravely appeared in public wearing a prosthetic nose, fitted as part of the reconstructive treatment she is having in her new home, New York.
Her father-in-law Sulaiman was arrested but Bibi’s ex-husband and brother are still on the run. Her smile is in stark contrast to the haunted look she showed the world on the cover of Time magazine in August.
Acid attacks on women and girls by husbands, in-laws, and even by their family members in Afghanistan and Pakistan are quite common.
NSGD Their purpose is not to kill, but to cause pain and leave the victim with lifelong disfigurement and psychological scarring. They are carried out to create fear and to control.
Sunday, January 29, 2017
SAUDI ARABIA: Muslim woman beheaded in broad daylight as police look on
In this graphic video taken near the city of Mecca, a woman is punished for allegedly having committed what her husband alleges is the murder of his 7-year-old daughter. (If she did it, it was probably to stop the husband from raping the child)
IVN (h/t Judith R) It is unknown whether or not she was afforded due process during her defense, but the Saudi justice system is typically discriminatory against female defendants.
SOMALI ex-Muslim woman says “more Muslims would leave Islam if only they would read the quran”
COMING OUT! The danger, death threats, and alienation Muslims face when they decide to leave Islam
Here are some stories of ex-Muslims who have come out and as a result, risk being killed, maimed, or at best, being disowned by their families.
#ExMuslims - The untold battle within muslim communities.
"Mum said, 'You can't tell anybody else … they will kill you.'"
Sadia, British #ExMuslim
The #ExMuslim trap:
1. abused by family
2. law of silence in the community
3. misunderstood by the rest of us
4. murdered
TEXAS MOSQUE burns to the ground, cause and motive as yet unknown
An early-morning fire today destroyed the Islamic Center of Jihad Indoctrination in Victoria that was a target of hatred several years ago and experienced a burglary just a week ago.
NBC A clerk at a convenience store spotted smoke and flames billowing from the Islamic Center of Victoria at around 2 a.m. and called the fire department. “It’s sad to stand there and watch it collapse down, and the fire was so huge,” Shahid Hashmi, the Islamic center’s president, said. “It looks completely destroyed.”
The congregation’s pastor, known as an imam, was awake in the early morning hours and checked online surveillance of the mosque and found no alarm active and the doors unlocked, Hashmi said. (Inside job?)
On Jan. 7, a mosque under construction near Lake Travis in Austin was burned to the ground. There’s been no determination yet for the Austin blaze, Diane Kanawati, with CAIR-Austin, said Saturday. (Inside job?)
CANADA: QUEBEC CITY MOSQUE shooting, at least 5 dead, several wounded
One of the gunmen reportedly had an AK-47.
Five reportedly dead in 'barbaric' shooting at mosque in Quebec City, months after severed pig head left on doorstep http://bit.ly/2k74rbX
YESU ANAKUPENDA (SEHEMU YA KWANZA)

Swali la muhimu linazuka: Je, Mungu anampenda kila mmoja wetu?
Baadhi ya watu wanakubali kwamba Mungu anawapenda wanadamu kwa ujumla kama andiko la Yohana 3:16 linavyosema. Lakini wanahisi hivi: ‘Mungu hawezi kamwe kunipenda mimi.’
Shetani Ibilisi anataka sana tuamini kwamba Yesu hatupendi wala hatuthamini. Kwa upande mwingine, Yesu anatuhakikishia kuwa anamthamini kila mmoja wa watumishi wake waaminifu hata kama tunafikiri hatupendwi au hatuthaminiwi.
Kwa mfano, fikiria maneno ya Yesu kwenye Mathayo 10:29-31. Yesu alitoa mfano huu ili kuonyesha kwamba wanafunzi wake wana thamani: “Je, shore wawili hawauzwi kwa sarafu ya thamani ndogo? Na bado hakuna hata mmoja wao atakayeanguka kwenye ardhi bila Baba yenu kujua. Lakini nywele zenyewe za kichwa chenu zimehesabiwa zote. Kwa hiyo msiwe na hofu: nyinyi ni bora zaidi kuliko shore wengi.” Hebu fikiria jinsi wasikilizaji wa Yesu katika karne ya kwanza walivyoyaelewa maneno hayo.
Katika siku za Yesu, Shore alikuwa ndege wa bei rahisi sana aliyenunuliwa ili kuliwa. Mtu aliyelipa sarafu moja ya thamani ndogo sana, alipewa Shore wawili. Lakini kulingana na andiko la Luka 12:6, 7, baadaye Yesu alisema kwamba mtu aliyelipa sarafu mbili, alipewa shore watano badala ya shore wanne. Shore mmoja aliongezwa kana kwamba hakuwa na thamani yoyote. Huenda ndege hao hawakuwa na thamani machoni pa wanadamu, lakini Muumba aliwaonaje? Yesu alisema: “Hakuna hata mmoja wao [hata yule aliyeongezwa] hupata kusahaulika mbele ya Mungu.” Sasa huenda tumeanza kuelewa alilomaanisha Yesu. Ikiwa Mungu anamthamini sana shore mmoja, namna gani mwanadamu! Kama Yesu alivyosema, Mungu Baba anatujua vizuri sana. Kwani, hata nywele za kichwa chetu zimehesabiwa zote!
Kwa nini tunaweza kuwa na hakika kwamba Yesu hakutia chumvi aliposema kwamba nywele za kichwa chetu zimehesabiwa?
Huenda wengine wakafikiri kwamba Yesu alitia chumvi. Hata hivyo, hebu fikiria ufufuo. Ni lazima Mungu Baba awe anatujua vizuri sana ili aweze kutuumba upya! Anatuthamini sana hivi kwamba anakumbuka kila jambo, hata chembe zetu za urithi, kumbukumbu, na ujuzi wetu wote. Kichwa cha mtu huwa na nywele 100,000 hivi, kwa hiyo kuhesabu nywele za vichwa vyetu ni jambo rahisi sana ikilinganishwa na kukumbuka mambo hayo yote. Bila shaka, maneno hayo ya Yesu yanatuhakikishia kabisa kwamba Mungu Baba anamjali kila mmoja wetu.
Huenda wengine wakafikiri kwamba Yesu alitia chumvi. Hata hivyo, hebu fikiria ufufuo. Ni lazima Mungu Baba awe anatujua vizuri sana ili aweze kutuumba upya! Anatuthamini sana hivi kwamba anakumbuka kila jambo, hata chembe zetu za urithi, kumbukumbu, na ujuzi wetu wote. Kichwa cha mtu huwa na nywele 100,000 hivi, kwa hiyo kuhesabu nywele za vichwa vyetu ni jambo rahisi sana ikilinganishwa na kukumbuka mambo hayo yote. Bila shaka, maneno hayo ya Yesu yanatuhakikishia kabisa kwamba Mungu Baba anamjali kila mmoja wetu.
Kisa cha Mfalme Yehoshafati kinaonyeshaje kwamba Mungu hutafuta mema ndani yetu ingawa sisi si wakamilifu?
Biblia hufunua jambo lingine linalotuhakikishia kwamba Mungu anatupenda. Yeye hutafuta na huthamini mema yaliyo ndani yetu. Kwa mfano, fikiria Mfalme Yehoshafati aliyekuwa mwema. Mfalme huyo alipotenda jambo la kipumbavu, nabii wa Mungu alimwambia hivi: “Kwa ajili ya hayo ghadhabu i juu yako itokayo kwa BWANA.” Ulikuwa ujumbe wenye kuogofya kama nini! Lakini ujumbe wa Mungu haukukomea hapo. Uliendelea kusema hivi: “Walakini yameonekana mema ndani yako.” (2 Mambo ya Nyakati 19:1-3) Kwa hiyo, hasira adilifu ya Mungu haikumzuia asione “mema” yaliyokuwa ndani ya Yehoshafati. Inatia moyo sana kujua kwamba Mungu wetu hutafuta mema ndani yetu hata ingawa sisi si wakamilifu.
Kumbuka kuwa Yesu anakupenda.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Max Shimba Ministries @ 2015
YESU AKUBALI KUITWA MUNGU

Ndugu msomaji,
Kwenye somo letu la leo ninakuletea uthibitisho Saba (7) wa Yesu kuitwa Mungu.
Bila ya kupoteza muda tuanze kusoma aya za Biblia.
1. THOMASO ANAMWITA YESU MUNGU
Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). 28 Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! 29 Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.
Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). 28 Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! 29 Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.
Baada ya Thomaso kumwita Yesu "Bwana na Mungu wangu", tunasoma kuwa Yesu anakubali na kumwabia, wewe Thomaso unameniona ndio unasadiki. Sasa Thomaso anasadiki nini? Kumbe Thomaso sasa anasadiki aliyo sema kuwa Yesu ni Bwana na Mungu.
2. YESU ANAITWA MUNGU MKUU NA WAFUASI WAKE
Tito 2:13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
KUMBE HATA WANAFUNZI NA WAFUASI WA YESU WALIMWITA YESU MUNGU tena MKUU. Tumesoma katika Tito Mlango wa 2 na aya ya 13 kuwa, Kristo Yesu ni Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Sasa wapi Yesu alikataa kuitwa Mungu Mkuu?
KUMBE HATA WANAFUNZI NA WAFUASI WA YESU WALIMWITA YESU MUNGU tena MKUU. Tumesoma katika Tito Mlango wa 2 na aya ya 13 kuwa, Kristo Yesu ni Mungu Mkuu na Mwokozi wetu. Sasa wapi Yesu alikataa kuitwa Mungu Mkuu?
3. PETRO ANAKIRI KUWA YEYE NI MTUMWA WA YESU AMBAYE NI MUNGU WETU NA MWOKOZI WETU
2 Petro 1:1 Simoni Petro, mtumwa na mtume wa Yesu Kristo, kwa wale waliopata imani moja na sisi, yenye thamani, katika hali ya Mungu wetu, na Mwokozi Yesu Kristo.
Petro anajitambulisha kuwa yeye ni mtumwa wa Yesu Kristo ambaye ni Mungu wetu na Mwokozi wetu.
Kumbuka Petro aliishi WAKATI WA YESU NA ALIKUWA MMOJA WA WANAFUNZI WAKE. Kama Petro aliye kuwa na Yesu anamwita Yesu Mungu, je, wewe ni nani kupinga ukweli huu?
4. MUNGU BABA ANAMWITA MWANA - YESU "MUNGU"
THOMASO ANASADIKI UUNGU WA YESU

Tomaso mwanafunzi wa Yesu alisema kuhusu Yesu, “Bwana na Mungu wangu” (Yohana 20:28). 28 Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! 29 Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.
Baada ya Thomaso kumwita Yesu "Bwana na Mungu wangu", tunasoma kuwa Yesu anakubali na kumwabia, wewe Thomaso unameniona ndio unasadiki. Sasa Thomaso anasadiki nini? Kumbe Thomaso sasa anasadiki aliyo sema kuwa Yesu ni Bwana na Mungu.
Shalom.
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.
Subscribe to:
Comments (Atom)
Contradictions in the Quran: A Theological and Textual Examination
Contradictions in the Quran: A Theological and Textual Examination By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction Muslims ...
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...









