Sunday, February 12, 2017

KUMBE MUHAMMAD KARUHUSU KUVAA VIATU MSIKITI

Image may contain: one or more people and text
MUHAMMAD AWAAGIZA WAISLAM WOTE KUVAA VIATU WAKATI WANASWALI MSIKITINI
KUMBE KUVUA VIATU NI UTAMADUNI WA WAYAHUDI.
Ndugu msomaji,
Leo ningependa tujikumbushe na kujifunza kuhusu kusali na viatu katika nyumba za ibada. Hususan Msikitini.
Waislam mara nyingi wamekuwa wakiwashutumu Wakristo na kuwakejeli kuwa, eti wanasali na viatu Kanisani.
Je, Mtume wa Allah aitwaye Muhammad alivaa viatu alipo kuwa anaswali Msikitini?
Hebu tuangalie ushahidi huu hapa:
Ukisoma kitabu cha Al-u-lu wal-marjan Uk. 179
14. Mlango:
Ruhusa ya kusali na Viatu.
325. Hadithi ya Anas Bin Malik (R.a) kutoka kwa Said Bin Yazid Al-Azid (r.a) amesema, Nilimuuliza Anas Bin Malik (r.a) “Hivi Mtume (s.a.w) alisali huku amevaa viatu vyake?” Akanijibu, “Ndiyo” (Bukhari, Hadithi N. 383, Juzuu ya 1)
Hapo tunamuona Muhammad akisali na Viatu, na mlango hapo umesema, Ruhusa ya kusali na Viatu, maana yake waislamu hapo wameruhusiwa kusali na Viatu, pia haikuishia hapo, Muhammad akasema tena kuwaambia Waislamu.
Ukisoma kitabu kinachoitwa “TAFSIRI YA BULUGH AL-MARAM MIN JAM’I ADILLATIL AHKAM
Ukurasa wa 101 Hadithi Na. 171
Abu Said (r.a) amesimulia: Mtume (S.a.w) amesema: “Ye yote miongoni mwenu atakapoenda msikitini kusali, basi atizame, akiona uchafu au najisi katika viatu vyake aondoe kisha aswali navyo”. Abu Dawud Ibnu Khuzaimah ameipa daraja ya Sahih.
*Murad wa kutwaharisha viatu:

Iwapo mtu amekanyaga najisi kwa kiatu, atakitwaharisha kwa kusugua chini mchangani*
Image may contain: one or more people, text and indoor

Hapo kwa mtu mwenye akili zake timilifu, hawezi kukomaa na kuanza kuwalaumu Wakristo, eti kwa nini wana Sali na viatu? Wakati Muhammad mwenyewe, alisali huku amevaa viatu, na pia akawaambia waislamu wanapoenda kusali, basi watazame viatu vyao kama kuna najisi, basi wavisugue chini mchangani, labda waislamu watuambie wao kusali na viatu, ni Uviviu wa kusugua viatu mchangani? Au mazingira yao wanayoishi hayana mchanga?

KATIKA YESU, UNAKAA UTIMILIFU WA MUNGU


Wakolosai 2:9
Maana KATIKA YEYE UNAKAA UTIMILIFU WOTE WA MUNGU, kwa jinsi ya kimwili.
Sisi sote ni watu wasio wakamilifu. Tunaanguka tena na tena kwenye dhambi. Kwa hiyo, hakuna mwanadamu wa kawaida ambaye anaweza kujigamba kwamba yeye ametimia kama alivyo Mungu.
Lakini katika Yesu “utimilifu WOTE wa Mungu unakaa.” Kwa nini? Kwa sababu Yeye ndiye Mungu huyohuyo.

YESU NI MUNGU PAMOJA NASI "EMMANUEL"


1Timotheo 3:16
Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. MUNGU ALIDHIHIRISHWA KATIKA MWILI, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.
Ni Mungu gani aliyedhihirishwa katika mwili? Jibu liko wazi. Ni Yesu Kristo peke yake.

Friday, February 10, 2017

MJUE MSAIDIZI ALIYETABIRIWA NA YESU

Image may contain: cloud and text


Na Mtumishi: Zacharia Maseke
Kabla YESU hajaondoka duniani, aliahidi kutuletea 'MSAIDIZI', Rejea YOHANA 16:7-8 👉 "Lakini mimi nawaambia iliyo kweli, yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana mimi nisipoondoka, huyo MSAIDIZI hatakuja kwenu, bali mimi nikienda zangu nitampeleka kwenu. Naye akiisha kuja huyo, atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu."👈
Sasa makafiri waislamu wanasema kuwa hapo YESU, Alitabiri ujio wa mtume Muhammad, wanadai kuwa mtume Muhammad ndiye MSAIDIZI ambaye BWANA YESU Aliahidi kumleta!
JE, NI KWELI MTUME MUHAMMAD NDIYE MSAIDIZI ALIYETABIRIWA NA YESU?
Fuatana nami katika somo hili, ili tuweze kumbaini huyo MSAIDIZI ni nani?👇👇👇
Basi, bila kupoteza wakati, awali ya yote napenda turejee maneno ya BWANA YESU, Akizungumza kuhusu huyo MSAIDIZI, Anasema 👉"Mkinipenda, mtazishika amri zangu. Nami nitamwomba Baba, naye atawapa MSAIDIZI mwingine, 👍ILI AKAE NANYI HATA MILELE, ndiye ROHO wa kweli, ambaye ulimwengu HAUWEZI KUMPOKEA, Kwa kuwa HAUMWONI WALA HAUMTAMBUI, bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, Naye atakuwa NDANI yenu."👈
YOHANA 14:15-17
Hapo tunapata sifa za huyo MSAIDIZI, ambazo ni kama ifuatavyo:👇
1:MSAIDIZI ATAKAA NA SISI MILELE,
Hiyo ndio sifa ya kwanza ya MSAIDIZI, lazima akae na sisi milele. Je, mtume Muhammad yuko wapi sasa? Kama Muhammad ndiye huyo MSAIDIZI mbona amekufa ametuacha, kwa nini hakukaa na sisi MILELE? Hapo utagundua kuwa Muhammad sio MSAIDIZI, maana MSAIDIZI wetu hafi, YESU alisema 👉"Nami nitamwomba Baba, naye atawapa MSAIDIZI mwingine, ILI AKAE NANYI HATA MILELE".👈 YOHANA 14:16. Sasa mtume Muhammad alishakufa kitambo sana. 😥😳😢 Hivyo Muhammad hana sifa ya kuwa MSAIDIZI.

MIRIAM: THE PROPHETESS



"I will pour out My Spirit upon all flesh: and your sons and your daughters shall prophesy."-Joel 2:28.

Miriam, the prophetess, the sister of Aaron (Exd 15:20.), is the first of her order mentioned in the Word of God. While the Lord never ordained a woman to be priest, nor do we read of women as bishops or pastors in the New Testament, the vocation of "prophetess" is common to both dispensations. Hannah (1Sa 1:2) was practically a prophetess, and so was Huldah, to whom King Josiah went in his time of perplexity. Deborah (Jdg 4:5) was a prophetess (2Ki 22:14), and there were also false prophetesses, such as Noadiah (Neh 6:14), as well as false prophets.
In the New Testament, Peter specially declares that the pouring out of the Spirit of God upon all flesh should be upon sons and daughters, servants, and handmaids, "and they shall prophesy," quoting from the Old Testament. (Joel 2:28-32); compare (Act 2:17-18.) A number of those who "spake"
"AS THE SPIRIT GAVE THEM UTTERANCE," (Act 2:4.)
of the wonderful works of God on the Day of Pentecost, were women speaking in the spirit of prophecy. Philip, the deacon, we read, had four daughters "which did prophesy" (Act 21:9); the Apostle Paul speaks of those women who laboured with him in the Gospel. (Phl 4:3.) It is he who specially recommends that, when women pray and prophesy, their heads should be covered; and explains what is this office of prophesying in the words: "He that prophesieth speaketh unto men to edification, and exhortation, and comfort." (1Cr 11:51Cr 14:3.) And while he commands that women should not speak in church, he ordains that all, i.e., both men and women, may prophesy, one by one, that all may learn, and may be comforted. (1Cr 14:31-34.)

JE, MANABII WA KIKE NI WA KIBIBLIA?


No automatic alt text available.
Leo ningependa kujibu hoja ambayo inaulizwa kila siku kuhusu Manabii/Mitume wa kike. Je, hawa Manabii/Mitume wa kike ni wa Kibiblia?

Biblia inatujibu kuwa Manabii wa Kike ni wa Kibiblia na zipo aya zinawaruhusu wanawake kuwa Manabii. Soma:

Yoeli 2: 28 Hata itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba nitamimina roho yangu juu ya wote wenye mwili; na wana wenu, waume kwa wake, watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono;

Nukuu zaidi soma 1 Wakoritho 11:5, Matendo 2:17-18, Matendo 21:9, Phl 4:3,

Baada ya kusoma hiyo aya, swali linafuata, nionyeshe Nabii wa Kike kwenye Biblia? Hili ni swali nililo ulizwa na Muislam. Bila ya kupoteza muda naweka uthibitisho wa aya.

Kutoka 15: 20 Na Miriamu, nabii wa kike, ndugu yake Haruni, akatwaa tari mkononi mwake; wanawake wakatoka wote wakaenda nyuma yake, wenye matari na kucheza.

Lakini kwenye imani zingine na au dini zingine kama Waislam, wao hawana Nabii wa kike kwasababu Allah wao hapendi Wanawake. Hii ndio tofauti kubwa sana kati ya YEHOVA "YAHUH" na ALLAH.

Miriam, Mtume wa Kike AU KWA KIINGEREZA TUNAMWITA "THE PROPHETESS" alikuwa dada ya Haruni "Aaron" Soma Kutoka 15:20, ni mwanamke wa kwanza kutajwa kwenye Biblia mwenye wadhifa huo wa Kitume. Hannah katika 1 Samuel 1:2 naye alifanya kazi kama Mtume na vile vile Huldah, ambaye alimtabiria Mfalme Josiah mara kadhaa. Debora katika Judges 4:5 alitajwa kama Mtume, 2 Wafalme 22:14.

Ndugu msomaji, kuna sababu kubwa sana ya mimi kuwa Mkristo, na moja ni hii ya Yehova wetu kuwa ni Mwenyezi Mungu mweye upendo na asiye bagua bagua kama yule Allah ambaye hapendi Wanawake.

SASA KAMA ALLAH NI MUNGU, NA ALLAH ANAWAPENDA WATU WOTE, KWANINI HAKUNA NABII AU MTUME WA KIKE KWENYE UISLAM?

Ndio maana huwa nasema Uislam ni dini ya kutengeneza tu.

Shalom.

Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

Wednesday, February 8, 2017

ALLAH ALIJUAJE KUWA NYAMA YA NGURUWE NI TAMU BILA YA KUIONJA?

Image may contain: one or more people and text
Allah anasema nyama ya Nguruwe ni TAMU.
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA KWA WAISLAM.
(Surat an-Nisaa 4;160). Quran inasema hivi katika aya hiyo “Basi kwa dhulma yao hao Mayahudi tuliwaharimisha VITU VIZURI walivyohalalishiwa na vilevile kwa sababu ya kuzuiliwa kwao watu wengi na njia ya mwenyezi Mungu” http://www.quranitukufu.net/004.html
Hii ni aya iliyo wazi kuwa Wayahudi PEKE YAO NDIO walizuiliwa KULA VITU VUZIRI kwaajili ya dhuluma, Mungu alitaka kuwahukumu kwa kuwanyima baadhi ya VITU VIZURI Quran inakiri wazi kuwa Nguruwe ni KITU KIZURI Umeona?
Surat An Nisaa aya 160 INASEMA:
1. Wayahudi ndio walio haramishiwa VITU VIZURI "NGURUWE"
2. Hii aya inasema kuwa, NGURUWE NI NYAMA NZURI.
SWALI KWA WAISLAM:
Allah alijuaje kuwa nyama ya Nguruweni tamu na nyama nzuri bila ya kuila?
Waislam nijibunu kwa aya kutoka Quran.
Watakabahu

YESU NI MUNGU KATIKA MWILI

Image may contain: 3 people, text
Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,”
Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe?
Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe.
Kwa hivyo Yesu ni Mungu!
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

WAYAHUDI WANASEMA YESU KAKUFURU KWA KUJIITA MUNGU

Image may contain: 6 people, text
KUMBE YESU ALIJIITA MUNGU
Yohana 10:30, “ Mimi na Baba yangu ni mmoja.”
Kwa mtazamo wa kwanza, hili linaweza kuwa si dai la kuwa Mungu. Lakini angalia mapokezi ya ujumbe huu kwa Wayahudi, “hatukupigi mawe kwa lengine lile ila kufuru, kwa sababu wewe ni mwanadamu, unayejidai kuwa Mungu” (Yohana 10:33).
Wayahudi walielewa matamshi ya Yesu kuwa alijijulisha kwao kuwa yeye ni Mungu.
Katika aya zifuatazo hawasahihishi Wayahudi kwa kusema, “si kusema mimi ni Mungu.” Hii ina maana ya kuwa aliposema haya yafuatayo alikuwa akimaanisha kweli kuwa ni Mungu, “Mimi na Baba yangu ni mmoja” (Yohana 10:30).
Yohana 8:58 ni mfano mwingine. Yesu akasema, Amini, Amini nawaambia, kabla ya Abrahamu kuweko mimi nilikuwa.” Tena kwa ajili ya hayo Wayahudi wakashika mawe ili wampige nayo Yesu (Yohana 8:59).
Je, Wayahudi wangetaka kumpiga mawe Yesu kama haingekuwa ya kuwa alisikika akikufuru kwa kusema yeye ni Mungu?
Shalom.
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

NANI ALIKUWA MUISLAM WA KWANZA?

Image may contain: outdoor and text
Ndugu zanguni:
Leo ningependa tuangalie kiundani kidogo kuhusu, “nani alikuwa Muislam wa Kwanza” kutokana na Koran iliyo teremshwa na Allah.
Kwa mujibu wa vifungu kadhaa katika Quran, Muhammad ni Muislamu kwanza :
Quran 6: 14. Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina. 161. Sema: Kwa hakika mimi Mola wangu Mlezi ameniongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka, Dini iliyo sawa kabisa, ambayo ndiyo mila ya Ibrahim aliye kuwa mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina. 162. Sema: Hakika Sala yangu, na ibada zangu, na uhai wangu, na kufa kwangu, ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote. 163. Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu. (Wa ' Ana ' Awwalu Al- Muslimin ). S. 6:161-163
Sema (Ewe Muhammad): Hakika Mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, kwa kumsafishia Dini Yeye ( tu ). Na nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wale ambao ni Waislamu ( kujisalimisha kwake ). S. 39:11-12 Pickthall
Sura hizo hapo juu na aya hizo ulizo zisoma zinapingana vibaya sana na sura zingine katika Koran hiyo hiyo ambazo ziliteremshwa na Allah huyo huyo na kusema Manabii walio tangulia kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.
Kuran inadai kwamba Adam, Ibrahim, Nuhu, mababu, makabila kumi na mawili ya Israeli, Musa, Yesu nk, hao wote walikuwa waumini wa Allah na walikuwa Waislam, kumbuka hao wote waliishi kabla ya Muhammad ambaye anadai kuwa yeye ni Muislam wa Kwanza:

John chapter 10 that clearly highlight Jesus’ divinity, His unity with the Father, and His sovereign authority

Suggested Captions from John 10 “I am the Good Shepherd” — a divine title Yahweh reserved for Himself (John 10:11; cf. Psalm 23). Jesus does...

TRENDING NOW