Sunday, February 12, 2017

KATIKA YESU, UNAKAA UTIMILIFU WA MUNGU


Wakolosai 2:9
Maana KATIKA YEYE UNAKAA UTIMILIFU WOTE WA MUNGU, kwa jinsi ya kimwili.
Sisi sote ni watu wasio wakamilifu. Tunaanguka tena na tena kwenye dhambi. Kwa hiyo, hakuna mwanadamu wa kawaida ambaye anaweza kujigamba kwamba yeye ametimia kama alivyo Mungu.
Lakini katika Yesu “utimilifu WOTE wa Mungu unakaa.” Kwa nini? Kwa sababu Yeye ndiye Mungu huyohuyo.

No comments:

FACTS ABOUT ISLAM EVERY MUSLIM SHOULD KNOW

This article provides compelling reasons to help Muslims make an unbiased evaluation of Islam. The article is intentionally written in an as...

TRENDING NOW