Wednesday, February 22, 2017

KUNYWA MAJI YA UZIMA

Image may contain: text
Njoo Kwake Kristo Yesu
“Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.” (Ufunuo Wa Yohana 22:17)
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

HABARI NJEMA

Image may contain: text
Injili, ambayo inamaanisha, “Habari Njema,” ni kwamba Mungu ametuandalia njia ya kumrudia huku akiadhibu dhambi zetu. Njia hiyo ni kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo.
“Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.” (Yohana 14:6)
“Bali Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.” (Warumi 5:8)
“Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu.” (Waefeso 2:8)
“Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye.” (Wakorintho Wa Pili 5:21)
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

MSIKITI WA IJUMAA TABORA WAUZWA

MSIKITI WA IJUMAA TABORA WAUZWA
Baadhi ya viongozi wa msikiti wa Ijumaa ambao ndio msikiti mkuu wa mkoa wa Tabora wametuhumiwa kula njama na kuuza msikiti huo bila kuwahusisha waumini na viongozi wenzao.
Chanzo cha kuaminika kilichopo mjini Tabora kimeiambia 100.5 Times Fm kuwa waumini waliingiwa na shaka baada kuona msikiti huo umefungwa ghafla kwa siku mbili mfululizo na kwamba baada ya kufuatilia waligunduamkuwa viongozi hao wameuuza kwa matajiri ambao ni wenyeji wa Nairobi,Kenya.
Hali ya sintofahamu ilibuka katika eneo hilo na kutokea mzozo mkubwa baina ya watuhumiwa na waumini wanaodai msikiti huo.
Imeelezwa kuwa ilimlazimu mufti kusafri haraka mpaka mjini Tabora ili kuutatua mgogoro huo.
Hadi taarifa hii inaenda hewani Mufti alikuwa akiendelea na zoezi la kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo huku akihoji sababu za kufungwa kwa msikiti huo ikiwa ni kinyume cha taratibu.
Bado haijafahamika lengo la matajiri hao kuununua msikiti huo.
http://www.habari5.com/zilizopita/item/5391-msikiti-wa-ijumaa-tabora-wauzwa-kimyakimya-mufti-simba-aingilia-kati-kuunusuru

WAUMINI WACHARUKA! VIONGOZI WA MSIKITI WADAIWA KUTAFUNA MILIONI 20/-


Na Dotto Mwaibale
TAFRANI kubwa imezuka katika msikiti wa Masjidi Pelapela uliopo eneo la Mtakuja Vingunguti jijini Dar es Salaam baada ya viongozi wa msikiti huo kudaiwa kutafuna zaidi ya shilingi milioni 20.
Fedha hizo imeelezwa kuwa zilichangwa na waumini wa msikiti huo kwa ajili ya ujenzi wa msikiti mpya baada ya unaotumika kuchakaa.
Imamu mkuu wa msikiti huo aliyetajwa kwa jina la Hamidu Mitanga alilazimika kutoweka ndani ya msikiti huo baada ya kuendesha swala ya Ijumaa iliyofanyika jana mchana kutokana na waumini kuwa na jaziba kufuatia imamu huyo kutamuka kuwa hakuhitaji kuulizwa maswali yoyote kuhusu upotevu wa fedha hizo na kuwa uongozi uliopo utaendelea kuwepo.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi msikitini hapo Dar es Salaam leo mchana wakati wa swala ya Ijumaa mmoja wa waumini wa msikiti huo Mbarouk Mohamed Makame alikiri kuwepo kwa ubadhilifu wa fedha za waumini zilizochangwa kwa ajili ya ujenzi wa msikiti mpya.
"Suala la upotevu wa fedha hizo lipo na limeleta changamoto kubwa kwa waumini na kusababisha kuwepo kwa makundi mawili moja likiwa lile linalolalamikiwa kutafuna fedha hizo na lile linalotaka fedha hizo zitolewe maelezo zilipo," alisema Mzee Makame.
Mzee wa msikiti huo na Mwenyekiti wa Kamati ya watu 10 Saidi Ngubi alisema fedha zinazoshindwa kutolewa maelezo ya matumizi yake na viongozi wa msikiti huo zilitokana na mradi wa maji na michango ya waumini.
"Mimi ndiye niliyeanza kuuliza matumizi ya fedha hizo lakini viongozi hao wakawa hawana majibu na badala yake waliivunja kamati yetu na kuchagua nyingine jambo lililoleta sintofahamu," alisema Ngubi.
Imamu mkuu wa msikiti huo Hamidu Mitanda alisema fedha hizo zilitumika kwa ajili ya mchakato mzima wa kupata umiliki wa kiwanja ulipo msikiti huo na michoro ya ujenzi wa msikiti mpya na kuwa yeye ndiye aliyeanzisha mpango wa kupata msikiti ulio bora na si bora msikiti.
"Binafsi sina shida na cheo hiki cha Uimamu kwani nina shughuli zangu nyingi mkitaka kuniondoa fuateni taratibu kama zili zilizoniweka madarakani na sisi kama viongozi dhamira yetu ni kuwa na msikiti uliobora wa ghorofa na si bora msikiti" alisema Mitanga.
Mitanga alisema chokochoko hizo zilianza tangu mwaka 2007 ambapo tulikubaliana kila muumini kati ya waumini 205 achangie sh.5000 za ujenzi lakini waliochangia walikuwa ni waumini wachache ambapo zilipatikana sh.milioni moja tu.
Imamu huyo alisema uongozi unaoendesha msikiti huo hauko tayari kuachia madaraka kwa tuhuma hizo ambazo hazina ukweli alizodai zinachochewa na baadhi ya waumini.
http://www.wavuti.com/2016/02/waumini-wacharuka-viongozi-wa-msikiti.html

Saturday, February 18, 2017

YAANI NILIKUWA NAJIULIZA TU – SINA JIBU – NAOMBA KUELEWESHWA.

Image may contain: one or more people
………..
Seba anakaa na Rama. Zena akaja akasema, “Seba, huyo kibaka wako unayekaa naye aliyeiba simu yako yupo?”
Rama akitokeza na kusema, “Nipo sijaondoka,” je, hata ungekuwa wewe, ukisikia jibu la Rama si utajua kuwa anakubali kuwa yeye ni kibaka? – maana hakanushi kuitwa kibaka.
………….
Katika Sahih Bukhari, Volume 6, Book 60, Number 475 tunasimuliwa na Jundub bin Sufyan kuwa siku moja mtume aliugua sana. Mama mmoja, mke wa Abu Lahab akaenda akamwambia, “O Muhammad! I think that YOUR SATAN HAS FORSAKEN YOU, for I have not seen him with you for two or three nights!”
……….
Yaani, “Muhammad, nadhani SHETANI WAKO AMEKUACHA”
…………
Kisha tunaambiwa kuwa: ON THAT, ALLAH REVEALED:“By the fore-noon, and by the night when it darkens, YOUR LORD (O MUHAMMAD) HAS NEITHER FORSAKEN YOU, NOR HATED YOU.” i.e. (Surah 93:1-3).
…………
Yaani Allah alishusha Sura 93:1-3 kumjibu mke wa Abu Lahab.
Lakini badala ya kusema, “We mwanamke, mimi sio shetani,” yeye akasema tu kuwa, “Naapa kwa mchana! Na kwa usiku unapo tanda! Mola wako Mlezi hakukuacha, wala hakukasirika nawe.”
…………..
Sasa, mimi nakuwa najiuliza tu – sina jibu:
1. Huyu mama alikuwa anamwongelea SHETANI, iweje atokeze ‘Mola’ kujibu swali hilo?
2. Kama mtu akija akasema, “Kaka yako yuko wapi?” je, anaweza kutoka DADA na kujibu, “Niko hapa?”
Shalom:
Imeletwa kwenu na Jimmy John:

NENO LAKO NI TAA YA MIGUU YANGU


Image may contain: text

UWEZA ULIO KATIKA NENO LA MUNGU

Neno ni nini?
Neno ni matamshi yenye maana yanayotoka kwenye kinywa cha mtu, au kitu !


Kibiblia Neno ni yale mambo yaliyojaza moyo wa mtu , Biblia inasema “Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake , hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoka yaliyo maovu; kwa kuwa mtu hunena yale yaujazayo moyo wake” Luka 6:45 Amplified Bible moyo umeandikwa kama (storehouse)

Neno la Mungu ni nini?
Neno la Mungu ni yale maneno yanayotoka kwa Mungu, na ni makusudio ya somo hili kujifunza uweza ulio katika neno la Mungu ili yamkini tupate kujua msaada tutakao upata kwenye neno hilo! Mungu anaongea sana kupita unavyofikilia lakkini unawezaje kulipokea neno na kulitumia hapo ndo wengi wanaposhindwa.

Uwezo wa NENO kukuongoza katika njia sahihi.

“Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu” Zaburi 119:105,

Neno linatuonyesha tunapoelekea, linatuongoza kutenda kwa usahihi kama vile nchi bila katiba inapotea, ndivyo mtu anayemwamini Yesu kutokuwa na neno la Mungu moyoni mwake! lazima atapotea! Mungu akamwambia Joshua “kitabu hiki cha torati kisitoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku…ndipo utakapoifanikisha njia yako…” Joshua 1:8. Ni kwa kufuata Neno la Mungu ndipo mtu anaweza ifanikisha njia yake!

Shalom,

Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

ALLAH KAMESA WAHUKUMU WAISLAM KUTUMIA INJILI NA SIO QURAN

Image may contain: one or more people, text and outdoor
Ndugu msomaji,
Surat AL Maida 47. Na wahukumu Watu wa Injili kwa yale aliyo teremsha Mwenyezi Mungu ndani yake. Na wasio hukumu kwa yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu basi hao ndio wapotofu.
http://www.quranitukufu.net/005.html
Allah kateremsha aya na kukiri mbele ya umma wake kuwa, INJILI NDIO IMEKAMILIKA NA HAINA SHAKA NDANI YAKE NA NDIO ITAKAYO TUMIKA KWENYE HUKUMU.
Jambo la kujiuliza, kwanini Allah hakusema tutahukumu kwa kutumia Quran?
Ushahidi zaidi wa Kiislam:
1. Sahih Al-Bukhari Hadith 4.657 Narrated by Abu Huraira
2. Sahih Al-Bukhari Hadith 4.658 Narrated by Abu Huraira
Je, Biblia nayo inasema nini kuhusu sisi Wakristo kutoa hukumu?
1 WAKORINTHO 6: 3 Hamjui ya kuwa mtawahukumu Malaika, basi si zaidi sana mambo ya maisha haya?
Biblia ndio imemaliza kabisaa na kusema kuwa, Wakristo wanahaki na uwezo na mamlaka ya kuhukumu mpaka Malaika.
Shauri ni lako, kuwa Muislam ambaye atahukumiwa kwa Injili, au kumfuata Yesu ambaye amekupa Mamlaka ya kutoa hukumu mpaka kwa Malaika.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Thursday, February 16, 2017

PARIS BURNING! Shouting “Allahu Akbar,” masked Muslim rioters turn several migrant areas into ‘NO-GO’ Zones


Five areas of Paris have been under attack for the past five nights over allegations that police raped an African Muslim male suspect during a drug raid. Masked men have been wilding in the streets, setting fire to cars, and attacking police, in areas where the rule of law seems not to apply.

UPDATE! The rape charge made by the suspect appears to be false as new evidence comes out. SOURCE

UK Express  For the past 5 days, massive crowds angered by the “alleged” rape by police of a black African Muslim suspect by a Paris police officer, have been rioting in the streets, torching cars, and damaging businesses.

Residents have been on lockdown as armed police tried to tackle the rioters who have caused millions of pounds of damage. Now there are fears the fall-out from allegations of police brutality could spread all over the country as unrest in the city grows.

French President Francois Hollande (above) at bedside of victim known as “Theo.”

In the wake of the alleged sodomization with a baton of a French citizen of African Muslim origin, known only as the 22-year-old ‘Theo‘,  by a French police officer during a drug raid, violent protests have erupted all over the French capital’s suburbs near Bobigny, housing a majority immigrant population.

In the video below, the Muslim faces of the rioters are much clearer: 

The French Government’s response to the latest outbreaks of violence is to put 2,600 cameras on police officers to record arrests, but the measure has done little to calm protesters.

Fears are rising that the allegations of police “brutality” could fuel more unrest in the rest of the country. Residents have been on lockdown as armed police tried to battle black and Arab Muslim rioters who have already caused millions of euros in damage.

“Several hundred violent and very mobile individuals” committed various “acts of violence and damage,” said the Paris police prefecture. In a statement it listed projectiles thrown against public buildings, four vehicles torched, two shops and a bus station damaged in one night alone.

Police were hit with molotov cocktails and the heavy metal balls used in the French game Petanque. Officers have been forced to fire live rounds of bullets after an ambulance was set on fire.

Meanwhile, a group calling itself Black Lives Matter France — an apparent offshoot of the US movement against police brutality — seized on the case and engaged in organizing protest rallies.



What do the world’s 15 worst countries for women all have in common?




ISLAM. Yet, Trump-hating feminazis claim that women have it worse in America than in the Middle East.

“AUSTRALIANS are fleeing areas housing Muslim migrants so as to protect their daughters (from rape and sexual assault)”


“Self-segregation has become a reality,”  says Senator Malcolm Roberts, with people “fleeing areas of heavy migrant settlement, specifically Islamic settlement.”

Breitbart  “This is not only white flight, it is every kind of flight. Every type of Australian is fleeing these new ghettos” claimed the One Nation populist, citing research on diversity and societal cohesion which suggests the country’s identity and social fabric are beginning to fray.

“Culture and integration matter to Australians,” he told colleagues in the Australian parliament’s upper house, condemning the “coldness and arrogance of [the] political elites” who refused to recognize this.

“In our fraying society, self-segregation has become a reality. We the people are seeking to protect our children, our daughters, our property, our liberty,” stated the Queensland senator to parliament Monday.

“If immigrants are to assimilate we should be choosing those from cultures with a track record of ready assimilation,” argued Senator Roberts, pointing out that Australians had few complaints about “Buddhists, or Sikhs, or Hindus, or Jews or Catholics or Protestants and so on”.

TRENDING NOW