Friday, March 3, 2017

ALLAH HANA UWEZO WA KUPONYA MAGONJWA WAKATI MUNGU WA BIBLIA ANAPONYA WAGONJWA!!

Image may contain: one or more people and text
Kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea Muhammad ugonjwa uliosababishwa kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?
Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Gibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona..
Cha kushangaza, Allah na Jibril pamoja walishindwa kumponya Muhammad, huu sasa ni Ushahid tosha kuwa Allah hana uwezo wa kuponya bali ndie anaye tupia watu Magonjwa.
SASA KWANINI NIMFUATE ALLAH AMBAYE HAWEZI KUPONYA MAGONJWA?
Shalom
KARIBU KWA YESU MUNGU MKUU NA MGANGA MKUU.

KAA! JAMANI YAANI KILA WAKATI ALIKUWA ANAWAZA NGONO TU!

Image may contain: one or more people and shoes
Kasema Mtume (s.a.w) "Akimwita Mwanamme mkewe kwa haja ya kumuingilia, basi amjie hata ikiwa huyo mke yuko katika tanuri Jikoni anapika" aache kazi yake huko Jikoni amtimizie haja yake mumewe, hii ni haki ya mume. (Mkweli Mwaminifu, J. 1-2, Hadithi Na. 462, Uk. 204).
HATA ALIPOKUWA AKIUMWA!
''Mtume kuamka tu asubuhi aliamka na kichwa kikali na homa ndogo. Kila siku ikipambazuka na homa ilikuwa ikizidi. Lakini vivyo hivyo alikuwa akijikaza kwenda msikitini kusali na kwenda kumtimiizia ngono za kila mke katika wakeze tisa''
(Kitabu cha maisha ya mtume,Sheikh A.S.Farsy,uk.79)
HII DINI NI YA AJABU SANA.

KWANINI ALLAH HAPENDI WANAWAKE WA KIISLAM?

Image may contain: one or more people and text
ALLAH ANASEMA KUWA: WANAWAKE WOTE NI MASHETANI NA WACHAFU KAMA SEHEMU ZA SIRI!
Wanawake ni mashetani; wao ni kama uchafu wa sehemu za siri. 
Sahih Muslim - 8.3240, 3242; Ghazali - gombo la 2, p. 26, gombo la 2, p. 43
HAKIKA CHUKI HII YA ALLAH WA WAISLAM IMEZIDI!!!
WANAWAKE KWANINI MNAFUTA HUYU ALLAH ANAYE WATUKANA KILA SIKU?
LAANA NYINGINE KWA WANAWAKE WA KIISLAMU:
WANAWAKE NI WABAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH NA MTUME MUHAMMAD
Wanawake ni wabaya zaidi ya watu walio kufa (Maiti), hawaruhusiwi hata kufuata jeneza
Sahih Muslim - 4.2039
HIVI MWANAMKE WA KIISLAM UNAFANYA NINI HUKO?
WEWE NI MBAYA KULIKO MAITI ASEMA ALLAH
Shalom.
NAWAKARIBISHA WANAWAKE WOTE WA KIISLAM WAJE KWA YESU MUNGU MKUU NA ANAWAPENDA SANA.
PEACE

KWANINI MUHAMMAD ANASEMA JIBRIL NI SHETANI?

Image may contain: 1 person, text


YALIYOMKUTA MTUME BAADA YA KUTOKA PANGONI!
Basi Mtume akafanya khofu, akarejea kwa mkewe, akamhadithia, na pale pale homa kubwa kabisa, ikampanda, akataka afunikwe maguo, akawa anatetemeka kwa ngerema, na kuweweseka, na kusema, "Najikhofia nafsi yangu, kuchezewa na mashetani, na kuniharibu akili yangu na kunizuga".
MKEWE AMPA UTUME ILI KUMFARIJI!
Pale pale bibi Khadija akamdakiza, akamwambia, "Wacha hayo siyo yatakayokuwa hayo, wewe huwezi kuchezewa na mashetani, shetani hawezi kumchezea mtu mwenye sifa zako, wewe unatazama vema Jamaa zako, unawadhihirisha watu sifa nzuri, ambazo hukuwa mwenye nazo, unachukua mizigo ya watu wasiokuwa wako, unafanya hivi, unafanyi hivi, furahi ndugu yangu, pumua moyo wako, Wallahi mimi mkeo naona umekwisha kuwa mtume."
(Kitabu cha wakeze Mtume wakubwa na wanawe, uk. 12)
HIZO NI DALILI ZA MTU ALIPANDWA NA MALARIA KICHWANI!

Sunday, February 26, 2017

ENHEE, KUMBE ALLAH HAJUI KILA KITU

Image may contain: text
ANADAI KUWA ANAJUA KILA KITU
………….
Katika quran 6:101 anasema:
Yeye ndiye Muumbaji wa mbingu na ardhi bila ya ruwaza. Itakuwaje awe na mwana naye hakuwa na mke? Naye ndiye aliye umba kila kitu. Naye ni Mwenye kujua kila kitu.
…………..
Ukisikia mtu anasema, “Nitaendaje wakati sina nauli?” unajua tu kuwa anachomaanisha ni kwamba, wanaoenda kule LAZIMA wawe na nauli. Hiyo ndiyo mantiki ya swali lake, si ndio?
…………..
Sasa huyu allah anauliza kwamba, “Nitakuwaje na mwana wakati sina mke?”
…………..
Mantiki yake ni kwamba, eti:
1. Ili Mungu awe na mwana ni LAZIMA awe na mke.
2. Sisi tusemapo Yesu ni Mwana, eti tunamaanisha Mungu alioa ndipo akamzaa.
…………..
Cha ajabu anamalizia kwa kusema:
Naye (yaani allah) ni Mwenye kujua kila kitu. :O :O
Yaani hapo eti ndio anatudhihirishia ujuzi wake!! :O :O
Eti anajua kuwa sisi, Biblia na Mungu wetu tunamaanisha hivyo!! :O :O
………….
Mwenye kujua yote!! :D :D :D
…………
Hebu iweni wa kweli enyi familia ya allah, japo mara moja kwa mwaka.
Uongo kama huu mnauamini wa kazi gani?
Ingekuwa kweli hicho ndicho tunachomaanisha, ni kweli angekuwa mjuzi. Lakini hiyo siyo maana kamwe; sasa huyu allah ajuacho ni nini kama si kudanganyana tu hapa?
Imeletwa kwenu na Jimmy John

ALLAH ANAKIRI KUWA YEYE ANA USO

Image may contain: text
1) Allah anasema: "Popote mtapogeukia kuna Uso wa Mwenyezi Mungu". Sura 2, Aya 115.
Kwenye hiyo aya hapo juu, Allah amesha wajibu wanao bisha kuwa Allah hana uso. Je, kuwa na uso si sifa ya binadamu?
2) Allah anasema: "كل شيء هالك إلا وجهه" (Kila kitu kitaangamia isipokuwa Uso wake (Allah)." Sura 28 Aya 88.
Ndugu zanguni, Allah anaendelea kukiri kuwa yeye ana uso kama viumbe.
Sasa, kwanini Waislam wanasema kuwa Allah hana wakufanana naye?
HUU NI MSIBA,

ALLAH ANAVAA NGUO KAMA VIUMBE

Image may contain: one or more people and text
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA NDUGU ZANGUNI.
الكبرياء ردائي والعظمة إزاري
Allah anasema katika Hadithi hii Qudsi "Ukuu ndio vazi langu la juu na utukufu ndio vazi langu la chini".
Sasa kama Allah anavaa nguo inamana kuwa Allah ana mwili kama viumbe?
Msiba huu ni mkubwa sana ndugu wasomaji.
Katika Hadithi nyengine Qudsi, Allah anasema: "….Na mja wangu hajikurubishi kwangu kwa kitu nikipendacho zaidi kuliko yale niliomfaradhishia juu yake. Na mja huwa anaendelea kujikurubisha kwangu kwa nawafil (ibada zisizo za lazima) mpaka nampenda: "فإذا أحببته كنت سمعه الذي يسمع به، وبصره الذي يبصر به ويده التي يبطش بها ورجله) (التي يمشي بها" Basi nikimpenda nakuwa (Mimi ndio) sikio lake analosikia kwalo, na jicho lake analoonea na mkono wake anaoshikia na mguu wake anaoendea."
Hapo Allah kesha kiri kuwa yeye ana masikio, mikono na macho.

QURAN YATHIBITISHA KUWA, YESU NI ZAIDI YA MUHAMMAD

Image may contain: one or more people, people sitting, meme and text
KINACHOMFANYA YESU ASIWE SAWA NA MUHAMMADI, NI HII AYA YA QURAN 👇
( وَمَا يَسْتَوِي الْأَحْيَاءُ وَلَا الْأَمْوَاتُ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُسْمِعُ مَن يَشَاءُ ۖ وَمَا أَنتَ بِمُسْمِعٍ مَّن فِي الْقُبُورِ )
فاطر (22) Faatir
Wala hawalingani walio hai na maiti. Hakika Mwenyezi Mungu humsikilizisha amtakaye. Wala wewe si wa kuwasikilizisha walio makaburini.
Hapo 👆 Tunaambiwa hawalingani walio hai na Maiti,
YESU YEYE YUPO HAI 👇
Ufunuo 1:17 Nami nilipomwona, nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,
18 na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.
MUHAMMADI KAFA 👇
( قُلْ تَرَبَّصُوا فَإِنِّي مَعَكُم مِّنَ الْمُتَرَبِّصِينَ )
الطور (31) At-Tur
Sema: ngojeni na mimi pia ni pamoja nanyi katika wanaongojea (sifi mimi peke yangu, nanyi mtakufa vilevile)
YESU YEYE AMEWEZA KUWASIKILIZISHA SAUTI WALIO MAKABURINI 👇
Yohana 11:38 Basi Yesu, hali akiugua tena nafsini mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake.
39 Yesu akasema, Liondoeni jiwe. Martha, dada yake yule aliyefariki, akamwambia, Bwana, ananuka sasa; maana amekuwa maiti siku nne.
40 Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?
41 Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.
42 Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.
43 Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.
44 Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.
MUHAMMAD YEYE AMEAMBIWA KUWA HAWEZI KUWASIKILIZISHA SAUTI WALIOMO MAKABURINI 👇
( وَمَا يَسْتَوِي الْأَحْيَاءُ وَلَا الْأَمْوَاتُ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُسْمِعُ مَن يَشَاءُ ۖ وَمَا أَنتَ بِمُسْمِعٍ مَّن فِي الْقُبُورِ )
35:22
............. Hakika Mwenyezi Mungu humsikilizisha amtakaye. Wala wewe si wa kuwasikilizisha walio makaburini.

Wednesday, February 22, 2017

NENO LAKO NI TAA YA MIGUU YANGU

Image may contain: text
UWEZA ULIO KATIKA NENO LA MUNGU
Neno ni nini?
Neno ni matamshi yenye maana yanayotoka kwenye kinywa cha mtu, au kitu !
Kibiblia Neno ni yale mambo yaliyojaza moyo wa mtu , Biblia inasema “Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake , hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoka yaliyo maovu; kwa kuwa mtu hunena yale yaujazayo moyo wake” Luka 6:45 Amplified Bible moyo umeandikwa kama (storehouse)
Neno la Mungu ni nini?
Neno la Mungu ni yale maneno yanayotoka kwa Mungu, na ni makusudio ya somo hili kujifunza uweza ulio katika neno la Mungu ili yamkini tupate kujua msaada tutakao upata kwenye neno hilo! Mungu anaongea sana kupita unavyofikilia lakkini unawezaje kulipokea neno na kulitumia hapo ndo wengi wanaposhindwa.
Uwezo wa NENO kukuongoza katika njia sahihi.
“Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu” Zaburi 119:105,
Neno linatuonyesha tunapoelekea, linatuongoza kutenda kwa usahihi kama vile nchi bila katiba inapotea, ndivyo mtu anayemwamini Yesu kutokuwa na neno la Mungu moyoni mwake! lazima atapotea! Mungu akamwambia Joshua “kitabu hiki cha torati kisitoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku…ndipo utakapoifanikisha njia yako…” Joshua 1:8. Ni kwa kufuata Neno la Mungu ndipo mtu anaweza ifanikisha njia yake!
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

JE, MAJINI, MASHETANI, MAPEPO NA MAHAYAWANI YOTE YAMEUMBWA NA ALLAH?

Image may contain: ocean, sky and text
1. Kwanini Allah alimuumba Shetani?
2. Kwanini Allah aliumba Majini machafu?
3. Kwanini Allah aliumba Mapepo?
4. Kwanini Allah aliumba Mahayawani?
MAJIBU YA MASWALI HAYO MANNE HAPO JUU UTAYAPATA KWENYE KAZI ZA MAJINI.
MTUME MUHAMMAD AKUTANA NA MAJINI USKU
Allah S.W.T. ametuhakikishia wazi kuwa ujumbe aliopewa Mtume S.A.W. ulikuwa kwa Wanadamu na Majini na Mashetani pia. Na katika Qurani na Hadithi za Mtume S.A.W. kuna dalili zilizo wazi zinazoyakinisha kuwa Mtume S.A.W. alikuwa akikutana nao na kuwafundisha dini. Na hata wakati mwingine Majini walikuwa wakitoa majibu mazuri zaidi kuliko Binadamu kwenye masuala ya dini. Na mfano ni wakati waliposomewa Suratir Rahmaan. Hadithi iliyopokelewa na Jaabir bin Abdallah R.A.A. na iliyotolewa na Ttirmidhi kasema, “Wakati ambapo Mtume S.A.W. alipowasomea Majini Suratir Rahmaan, “
لَقَدْ قَرَأْتُهَا ‘‘يعني سُورَةَ الرَّحْمَنِ’’ عَلَى الْجِنِّ …، فَكَانُوا أَحْسَنَ مَرْدُودًا مِنْكُمْ ، كُنْتُ كُلَّمَا أَتَيْتُ عَلَى قَوْلِهِ ]فَبِأَيِّ آلاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ[ قَالُوا: لا بِشَيْءٍ مِنْ نِعَمِكَ رَبَّنَا نُكَذِّبُ ، فَلَكَ الحمد
Maana yake, “Hakika nimewasomea Majini (yaani Suratir Rahmaan)…wamejibu vizuri zaidi kuliko nyinyi. Kila nilipofikia kauli Yake (Mwenyezi Mungu S.W.T.) “Fabiayyi A-alaai Rabikumaa Tukadhibaan.) Maana yake, “Basi ipi katika neema za Mola wenu ambayo mnayoikanusha kuwa si kweli?” (Basi Majini) walijibu “Laa bishaay Min Niamika Rabbana Nukadhibu, Falakal Hamdu.”
Maana yake, “Hakuna neema yoyote katika neema Zako Mola wetu tunayoikadhibisha, bali tunashukuru.” Na Mtume S.A.W. alipowasomea Wanadamu hawakujibu chochote, akawaambia, “Ndugu zenu wa Ki-Jini wamejibu jawabu nzuri waliposikia haya.” Na dalili nyingine kuwa Mtume S.AW. pia alikuwa ametumwa kwao ni kisa cha baadhi ya Majini ambao baada ya kuisikiliza Qurani waliiamini na wakarejea kwao na kuanza kuwaita wenzao kwenye dini ya Kiislamu.
KUTOKANA NA BIBLIA
Majini au Mapepo au Mashetani (Malaika walio asi) ni viumbe ambavyo havionekani kwa macho, ni viumbe kama Malaika isipokuwa Majini na Mapepo yalifukuzwa Mbinguni pamoja na Shetani baada ya kuasi, na yalitupwa duniani yakisubiri siku ya mwisho ya hukumu. Hivyo Majini, Mashetani, Mapepo ni tokeo la kuasi kwa malaika. Ni sawa na kusema JAMBAZI ni tokeo au sifa ya mtu mwizi wa kutumia nguvu.

Contradictions in the Quran: A Theological and Textual Examination

Contradictions in the Quran: A Theological and Textual Examination By Dr. Maxwell Shimba, Shimba Theological Institute Introduction Muslims ...

TRENDING NOW