Tuesday, March 14, 2017
CANADA: Muslims demand, yes, DEMAND, help for Muslim children “battling so-called Islamophobia,” whatever that is
Muslim leaders in Canada’s steel capital of Hamilton, Ontario say some kind of help is urgently needed for children under the age of 10 years who are allegedly subject to raging “Islamophobia,” the CBC reports.
What “instances” are they referring to? Well according to a list provided by the CBC, many of the incidents of “Islamophobia” are neither relevant to children nor the city of Hamilton.
YESU AMEKUBALI KUITWA MUNGU

Yohana 20:28
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso aliposema hivi, Bwana Yesu hakukanusha na kusema, “Mimi sio Mungu.” Badala yake: Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki. (Yohana 20:29).
Kama Thomaso alikuwa muongo, kwanini Yesu hakukataa kuitwa Mungu. Imani zote zinakiri kuwa Yesu hakufanya dhambi na hakuwa na dhambi.
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.
KATIKA YESU, KILA KITU KILIUMBWA

Wakolosai 1:16
Kwa kuwa KATIKA YEYE VITU VYOTE VILIUMBWA, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.
Kwa kuwa KATIKA YEYE VITU VYOTE VILIUMBWA, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.
Katika Yesu vitu vyote viliumbwa. Ina maana kuwa vitu vyote vilitokana na Yesu; maana Yesu ni Neno la Mungu. Na tunajua kuwa Muumba wa vitu vyote ni Mungu; hivyo, Yesu ni Muumba – Yesu ni Mungu!!
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo
UTHIBITISHO: ALLAH NA MUHAMMAD WAMEMKOPIA MTUME PAULO
1. Quran imegezea Biblia kwa asilimia kubwa.
2. Allah hakuteremsha Wahyi kwa Muhammad.
3. Mtume Paulo ni akbar
2. Allah hakuteremsha Wahyi kwa Muhammad.
3. Mtume Paulo ni akbar
Huu ni msiba Mkubwa sana.
Ila Biblia ni kitabu cha vitabu ambacho hakija copy wala hakitoi rejea ya vitabu, bali inajisimamia yenyewe.
Quran
Imebeba taarifa zilizo katika Biblia. Mfano
Habari za Yusufu ambaye Biblia inamwongelea miaka 3500 iliyopita. Ktk quran ipo sura yake nzima(sulatul Yusufu)
Habari za familia ya Imran baba yao Musa, Haruni na Miriam, ambayo biblia inawaongelea miaka 3000 iliyopita. Ktk quran ipo sura yake nzima(sulatul imran)
Imebeba taarifa zilizo katika Biblia. Mfano
Habari za Yusufu ambaye Biblia inamwongelea miaka 3500 iliyopita. Ktk quran ipo sura yake nzima(sulatul Yusufu)
Habari za familia ya Imran baba yao Musa, Haruni na Miriam, ambayo biblia inawaongelea miaka 3000 iliyopita. Ktk quran ipo sura yake nzima(sulatul imran)
Habari za Yona mwana wa Mittai(Yunus bin Matta), ktk quran ipo sura yake nzima.
Ibrahimu baba wa imani, ambaye biblia inamwongelea miaka zaidi ya 3500 iliyopita. Ktk quran ipo sura inayoitwa sulatul Ibrahimu.
Bikira Maria, mama yake Yesu, ktk quran ipo sura yake inayoitwa sulatul Maryam
Bikira Maria, mama yake Yesu, ktk quran ipo sura yake inayoitwa sulatul Maryam
Habari za Elisha, Eliya, Daudi, Seleman, Haruni, Musa, Isaac, Yakobo, Ishamael, Enock, Lutu, Nimrod, Yethro, Zakaria, Yohana mbatizaji na Bwana Yesu Kristo.
Wote hao visa vyao vinapatikana katika Quran ingawa havina habari za kina juu yao km ilivyo ktk Biblia.
Waislam wanasema na kudai kuwa habari hizo muhamad alipewa wahyi(ufunuo) ila quran inabainisha kuwa alisimuliwa, maana huwezi pewa ufunuo kwa hbr zilizo bayana.
Quran inasema hivi....
Quran inasema hivi....
Quran 4:164 Tuliwapelekea wahyi mitume tuliokuhadithia hbr zao zamani na mitume ambao hatukukuhadithia hbr zao na mwenyezi Mungu alimsemeza Musa.
Kwanini Allah na Muhammad hawapendi wanawake?

Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:-
“AKIMWITA MMOJA WENU MKEWE KITANDANI KWAKE (KUMUINGILIA), BASI AKIKATAA MKE KWENDA (KUTIMIZA HAJA YA MUMEWE), (BASI YULE MKE) ANALAANIWA NA MALAIKA MPAKA ASUBUHI.”
((Allah Amemlaani mwanamke anayefanya tatoo (chanjo za kujichora), na mwenye kuomba kufanyiwa, anaye paka hina, na anayetoa nyusi na mwenye kuomba kutolewa na anayechonga meno kuweka nafasi (mwanya), kubadilisha maumbile ya Allah kwa ajili ya kupata uzuri )) Al-Bukhaariy Imetoka kwa 'Abdullah Ibn Mas'uud (Radhiya Allaahu 'anhu) (BUKHARI ,HADITH NA.408 ,JUZUU YA 6)
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:-
“(MWILI WA) MWANAMKE NI UCHI, AKITOKA (NJE, BASI) SHETANI HUMKALIA MBELE YAKE, NA ANAKUWA KARIBU SANA NA (RADHI ZA) MWENYEZI MUNGU KILA ANAPOKUWA NYUMBANI KWAKE.”
“(MWILI WA) MWANAMKE NI UCHI, AKITOKA (NJE, BASI) SHETANI HUMKALIA MBELE YAKE, NA ANAKUWA KARIBU SANA NA (RADHI ZA) MWENYEZI MUNGU KILA ANAPOKUWA NYUMBANI KWAKE.”
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:-
“MWANAMKE YEYOTE YULE AKIINGIA MSALANI (CHOONI) BILA YA SABABU (MUHIMU) WALA UGONJWA (LAKINI KWA AJILI YA) KUJITAZAMA WEUPE (WA PAMBO) LA USO WAKE, BASI MWENYEZI MUNGU ATAUFANYA USO WAKE KUWA MWEUSI SIKU (YA KIYAMA, AMBAYO SIKU HIYO NYUSO ZA WAISLAM) ZITAKAPOFANYWA KUWA NYEUPE.”
“MWANAMKE YEYOTE YULE AKIINGIA MSALANI (CHOONI) BILA YA SABABU (MUHIMU) WALA UGONJWA (LAKINI KWA AJILI YA) KUJITAZAMA WEUPE (WA PAMBO) LA USO WAKE, BASI MWENYEZI MUNGU ATAUFANYA USO WAKE KUWA MWEUSI SIKU (YA KIYAMA, AMBAYO SIKU HIYO NYUSO ZA WAISLAM) ZITAKAPOFANYWA KUWA NYEUPE.”
Katika Sahih Bukhari, Vol 7, Bk 62, No. 126 Mtume alisema, “Niliangalia jehanamu na kuona kuwa walio wengi ni wanawake.”
Katika Sahih Bukhari, Vol 3, Bk 48, No. 826 Mtume alisema, “Je, ushahidi wa mwanamke si sawa na nusu ya ushahidi wa mwanamume?” Wanawake wakasema, “Ndiyo, ni hivyo.” Mtume akasema, “Hiyo ni kutokana na upungufu wa akili wa mwanamke.”
Katika Mishkat_al-Masabih, Vol. 2, p 105 Mtume alisema, “ Katika siku ya hukumu, mwanamume hataulizwa kwa nini alimpiga mkewe.”
Katika Sahih Muslim, Bk 004, No 1034 Abu Huraira anasema: Mjumbe wa Allah alisema, “Mwanamke, punda na mbwa huvuruga swala.”
WAKATI WA YESU ALIPO KUWA DUNIANI, NANI ALIKUWA MTUME WA UMMAA YA WAARABU?
WAISLAM WANATUMIA HII AYA NA KUDAI KUWA, YESU ALITUMWA KWA WANA WA ISRAEL TU.
Imeandikwa:
Akajibu akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 15:26).
SASA TUWAULIZENI WAISLAM WOTE DUNIANI AMBAO WANATUMIA HIYO AYA HAPO JUU KAMA IFUATAVYO:
Waislam, kwa kuwa mnasema na kukiri kuwa: Yesu yeye alikuwa Mtume kwa wana wa Israeli tu; Naomba mtueleze kwa uthibitisho wa aya kutoka Quran, wakati huo wa Yesu, nani alikuwa MTUME wa Ummah wa Kiarabu? Kwa lugha rahisi, Mtume wa Waarabu wakati wa Yesu alikuwa ni nani?
Ndugu zetu katika Adam, naomba mtuletee ushahidi wa maandiko wala sio matusi.
Hakika Sisi tumekutuma wewe kwa Haki, kuwa ni mbashiri na mwonyaji. Na hapana umma wowote ila ulipata mwonyaji kati yao." Quran 35:24
Sasa, mnaweza tuambia, WAKATI WA YESU ALIPO KUWA DUNIANI, Nani alikuwa Mtume wa Waarabu?
MKINILETEA AYA BILA YA MATUSI NA JAZBA, LEO HII NITASILIMU NA KUWA MUISLAM?
******
SASA MSOME YESU ANAKUJIBU WEWE MUISLAM:
SASA MSOME YESU ANAKUJIBU WEWE MUISLAM:
KUMBE YESU ANA KITI CHA ENZI NA ANAITWA MUNGU NA BABA YAKE

Waebrania 1:8, Baba asema juu ya Yesu, “Lakini juu ya mwana asema haya, “Na Kiti chako cha enzi, wewe Mungu, Kitadumu milele, na haki itakuwa fimbo ya ufalme wako.”
Huitaji Digrii kuelewa hii aya rahisi kabisa, na wala huitaji kufudhu chekechea kukubali kuwa YESU NI MUNGU.
Teyari Mungu Baba amesha kujibu wewe unaye pinga Uungu wa Yesu, kuwa
1. YESU ANA KITI CHA ENZI.
2. YESU NI MUNGU.
3. YESU ANA UFALME.
1. YESU ANA KITI CHA ENZI.
2. YESU NI MUNGU.
3. YESU ANA UFALME.
Shalom.
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.
MUNGU ALILINUNUA KANISA KWA DAMU YAKE MWENYEWE

''Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa Kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,”
Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe?
Yesu Kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua Kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!
Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili.
Kumbe basi KANISA NI LA MUNGU .
Shalom
Max Shimba Mtuwa wa Yesu Kristo.
MUHAMMAD SIO MTUME KWASABABU HAKUWAI ONGEA NA MUNGU

Leo ningependa tujikumbushe mambo machache ambayo labda hatukuyatilia maanani. Mitume wote na manabii wote wa Biblia waliwai ongea na Mungu. Lakini, Mtume wa Allah "Muhammad" hakuwai ongea na Mungu HATA MARA MOJA.
Je, utume wake tutauamini vipi maana hakuwai ongea na aliye mtuma?
Lakini Mitume wote wa Biblia waliongea na Mungu.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.
1. Musa anoangea na Mungu: Kutoka 3:1-21
2. Elia anaongea na Mungu: 1 Wafalme 19- Soma yote
3. Paulo anaongea na Mungu: Matendo ya Mitume 18:9
Hiyo ni mifano michache kutoka Biblia.
Kama Muhammad alikuwa Mtume wa Mungu, kwanini hakuongea na Mungu?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
NANI ALIKUWA MUISLAM WA KWANZA?

UTATA MKUBWA KATIKA KORAN
NANI ALIKUWA MUISLAM WA KWANZA?
NANI ALIKUWA MUISLAM WA KWANZA?
Ndugu zanguni:
Leo ningependa tuangalie kiundani kidogo kuhusu, “nani alikuwa Muislam wa Kwanza” kutokana na Koran iliyo teremshwa na Allah.
Kwa mujibu wa vifungu kadhaa katika Quran, Muhammad ni Muislamu kwanza :
Quran 6: 14. Sema: Je, nimchukue rafiki mlinzi asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye Muumba mbingu na ardhi, naye ndiye anaye lisha wala halishwi? Sema: Mimi nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wenye kusilimu. Na wala kabisa usiwe miongoni wa washirikina. 161. Sema: Kwa hakika mimi Mola wangu Mlezi ameniongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka, Dini iliyo sawa kabisa, ambayo ndiyo mila ya Ibrahim aliye kuwa mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina. 162. Sema: Hakika Sala yangu, na ibada zangu, na uhai wangu, na kufa kwangu, ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote. 163. Hana mshirika wake. Na hayo ndiyo niliyo amrishwa, na mimi ni wa kwanza wa Waislamu. (Wa ' Ana ' Awwalu Al- Muslimin ). S. 6:161-163
Sema (Ewe Muhammad): Hakika Mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, kwa kumsafishia Dini Yeye ( tu ). Na nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wale ambao ni Waislamu ( kujisalimisha kwake ). S. 39:11-12 Pickthall
Sura hizo hapo juu na aya hizo ulizo zisoma zinapingana vibaya sana na sura zingine katika Koran hiyo hiyo ambazo ziliteremshwa na Allah huyo huyo na kusema Manabii walio tangulia kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.
Kuran inadai kwamba Adam, Ibrahim, Nuhu, mababu, makabila kumi na mawili ya Israeli, Musa, Yesu nk, hao wote walikuwa waumini wa Allah na walikuwa Waislam, kumbuka hao wote waliishi kabla ya Muhammad ambaye anadai kuwa yeye ni Muislam wa Kwanza:
Sura hizo hapo juu na aya hizo ulizo zisoma zinapingana vibaya sana na sura zingine katika Koran hiyo hiyo ambazo ziliteremshwa na Allah huyo huyo na kusema Manabii walio tangulia kabla ya Muhammad ndio walikuwa Waislam wa Kwanza.
Kuran inadai kwamba Adam, Ibrahim, Nuhu, mababu, makabila kumi na mawili ya Israeli, Musa, Yesu nk, hao wote walikuwa waumini wa Allah na walikuwa Waislam, kumbuka hao wote waliishi kabla ya Muhammad ambaye anadai kuwa yeye ni Muislam wa Kwanza:
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...


.jpg)