![Image may contain: text](https://scontent-ort2-1.xx.fbcdn.net/v/t1.0-9/17190564_751549791661292_757228119296614368_n.jpg?oh=448f7ff2d0478e7c351409f7377a11b4&oe=5972746C)
Yohana 20:28
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso aliposema hivi, Bwana Yesu hakukanusha na kusema, “Mimi sio Mungu.” Badala yake: Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki. (Yohana 20:29).
Kama Thomaso alikuwa muongo, kwanini Yesu hakukataa kuitwa Mungu. Imani zote zinakiri kuwa Yesu hakufanya dhambi na hakuwa na dhambi.
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.
No comments:
Post a Comment