Tuesday, March 14, 2017

YESU AMEKUBALI KUITWA MUNGU

Image may contain: text
Yohana 20:28
Tomaso akajibu, akamwambia, BWANA WANGU NA MUNGU WANGU!
Tomaso aliposema hivi, Bwana Yesu hakukanusha na kusema, “Mimi sio Mungu.” Badala yake: Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki. (Yohana 20:29).
Kama Thomaso alikuwa muongo, kwanini Yesu hakukataa kuitwa Mungu. Imani zote zinakiri kuwa Yesu hakufanya dhambi na hakuwa na dhambi.
Shalom
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

THE LIE OF THE ISLAMIC RELIGION

  THE LIE OF THE ISLAMIC RELIGION We believe that when you carefully follow this topic, you will obey the word of the true God, live it, and...

TRENDING NOW