Tuesday, March 14, 2017

MUNGU ALILINUNUA KANISA KWA DAMU YAKE MWENYEWE

Image may contain: text
''Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa Kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,”
Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe?
Yesu Kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua Kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!
Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili.
Kumbe basi KANISA NI LA MUNGU .
Shalom
Max Shimba Mtuwa wa Yesu Kristo.

No comments:

If the Bible is corrupted, why does the Quran confirm it? If the Bible is not corrupted, why does the Quran contradict it?

  A CHALLENGE TO THE ISLAMIC UMMAH: THE BIBLE IS NOT CORRUPTED—IT IS THE QUR'AN THAT CONTRADICTS THE PRIOR SCRIPTURES Introduction: The ...

TRENDING NOW