Tuesday, April 4, 2017

YESU NDIE MWOKOZI WETU PEKEE

Image may contain: ocean, sky, cloud, text, water, outdoor and nature
Yesu Kristo, alikuja duniani na akatufia pahali petu. Kifo chake Yesu,[kama Mungu katika mwili], ilikuwa ni malipo yasiyokuwa na mwisho kwa ajili ya dhambi zetu (2 Wakorintho 5:21). Yesu alikufa ili kutulipia mshahara wa dhambi zetu (Warumi 5:8).
Yesu alitulipia deni ili tukaweze kuwa na uhuru. Kufufuka kwake Yesu katika wafu kulidhihirisha yakwamba kifo chake kilitosha kulipa mshahara wa dhambi zetu. Hii ndiyo sababu yakuwa Yesu Kristo ndiye Mkombozi tu wa pekee (Yohana14:6; Matendo 4:12)!
Je, unamwamini Yesu kama mwokozi wako?
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

JE, YESU ALIKUWA AMEOA?

Image may contain: text
Ni kwa nini DaVinci code husema kwamba Yesu alikuwa ameoa?
Je, Yesu alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na Maria Magdalena?
Yesu Kristo ni dhahiri kwamba hakuwa ameoa na au bibi. Kuna hadithi maarufu leo hii (kama za Da Vince Code) ambazo husema kwamba Kristo amemwoa Maria Magdalene. Hadithi hizi ni za uongo kabisa na hazina msingi kiteolojia, kihistoria, au kibiblia.
Huku baadhi ya injili hutaja kuwa Yesu alikuwa na uhusiano wa karibu na Maria Magdalene, hakuna hata moja yao hasa inasema kwamba Yesu alikuwa amemwoa Maria Magdalene, au kuwa na uhusino wowote wa kimapenzi pamoja naye. Ukaribu unaokisiwa ni pale Yesu alimbusu Maria Magdalene, ambayo kwa urahisi inaweza kuwa “kumbukumbu ya busu ya kirafiki” Zaidi ya hayo, hata kama injili ya Aginostiki moja kwa moja ilisema kwamba Yesu alikuwa amemwoa na Maria Magdalene, hawatakua na mamlaka, kwa vile taarifa za Injili ya Agnostiki zimethibitika kuwa za udanganyifu zikinuia kujenga mtazamo Kiagnostiki kumhusu Yesu.
Kama Yesu alikuwa ameoa, Biblia ingekuwa imetuambia hivyo, au kungekuwa na baadhi ya taarifa zisizo na utata na ukweli kwa hoja hiyo. Maandiko kamwe hayawezi kimya kabisa juu ya suala hilo muhimu. Biblia inamtaja mama yake Yesu, baba mlezi, ndugu na dada zake wa kambo. Ni kwa nini iache kutaja ukweli kwamba Yesu alikuwa na mke? Wale wanaoamini / kufundisha kwamba Yesu alikuwa ameoa wanafanya hivyo katika jaribio la “kumfanya Yesu kuwa mwanadamu.” ili wamfanye kuwa kama mtu wa kawaida, hasa kama kila mtu mwingine. Watu kwa ufupi hawataki kuamini kwamba Yesu alikuwa Mungu katika mwili (Yohana 1:1, 14; 10:30). Kwa hivyo, wao hutunga na kuamini hadithi kuhusu Yesu kuwa na mke na watoto, na kuwa kama mtu wa kawaida.
MADAI YA DaVince:
Jacobovici si mtu wa kwanza kudai uhusiano wa kimapenzi unaowezekana kati ya Yesu na Maria . Sinema, Jaribio la Mwisho la Kristo, na vitabu kama Damu Takatifu, Kikombe Kitakatifu, na maandishi ya Da Vinci, yalifanya siri uhusiano kati ya Yesu na Maria kuwa sehemu kuu ya habari zao.
Maandishi ya Da Vinci yanaanza na ukurasa wa ukweli ambao unafanya hadithi ya kutunga kuonekana kuwa kweli katika madai yake yote. Kitabu kimevunja rekodi zote katika orodha ya mauzo bora ya New York, na imefuatiwa na sinema fanikifu kibiashara. Ukusanya hodari wa ukweli wa mtunzi Dan Brown pamoja na ubunifu umewaaminisha wasomaji wengi kwamba Yesu na Maria Magdalena walikuwa wameoana na walikuwa na mtoto (Angalia saa Tabasamu la MonaLisa). Lakini madai haya ya kimapenzi yanatangaza sana vitabu na sinema ingawa hakuna ushahid wa Kihistoria au kiteologia au Kibiblia kuwa Yesu alioa.
Swali la pili litakuwa, “
Je, Yesu Kristo angekuwa ameoa?
Hakuna dhambi kwa kuoa. Hamna dhambi juu ya kuwa na uhusiano wa kingono katika ndoa. Kwa hivyo, naam, Yesu angeweza kuwa ameoa na bado kuwa mwanakondoo Mungu asiye na hatia na Mkombozi wa ulimwengu. Wakati huo huo, hakuna sababu ya kibiblia ya Yesu kuoa. Hiyo sio hoja katika mjadala huu. Wale wanaoamini Yesu alikuwa ameolewa hawaamini kwamba alikuwa na dhambi, au kwamba yeye ni Masihi. Kuoa na kupata watoto sio sababu kuu ambayo Mungu alimtuma Yesu. Marko 10:45 inatuambia ni kwa nini Yesu alikuja, “ Kwa maana Mwana wa Adamu naye hakuja kutumikiwa bali kutumika, na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi”
Imeratibiwa na Max Shimba
Imenukuliwa kutoka:
Je, unaswali?
Y, Jesus Org.
Christ Nations Org.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo

JE, UNAFAHAMU JUKUMU LA ROHO MTAKATIFU KATIKA MAISHA YAKO?

Image may contain: cloud, bird, sky and text
Uwepo wa Roho Mtakatifu ndani yako unakuwezesha kuelewa na kutafsiri neno la Mungu. Yesu aliwaambia wanafunzi wake kwamba "wakati Yeye, Roho wa Kweli, atakuja, atawaongoza kwenye ukweli wote" (Yohana 16:13).
Yeye "Roho Mtakatifu" anaonyesha akili zetu kusudi lote la Mungu kama linahusiana na ibada, mafundisho, na maisha ya Kikristo. Yeye ndiye kiongozi wa mwisho, kwenda mbele, kuongoza njia, kuondoa vizuizi, kufungua akili, na kufanya mambo yote wazi na ya wazi. Yeye anaongoza katika njia tunayopaswa kwenda katika mambo yote ya kiroho. Bila mwongozo huo, tutakuwa watu wanaoweza kuanguka katika makosa. Sehemu muhimu ya ukweli Yeye inaonyesha ni kwamba Yesu ni nani vile alivyokiri yeye ni nani (Yohana 15:26, 1 Wakorintho 12:3). Roho anatusadikishia uungu wa Kristo na mwili wake, Yeye kuwa Masihi, mateso yake na kifo chake, ufufuo na kupaa kwake, kuadhimishwa kwake katika upande wa kulia wa Mungu, na jukumu lake kama hakimu wa wote. Anatoa utukufu wote kwa Kristo katika mambo yote (Yohana 16:14).
Mojawapo wa majukumu mengine ya Roho Mtakatifu ni kuwa yeye ndiye anatoa/peana karama. Wakorintho wa kwanza 12 inaeleza vipawa vya kiroho kwa ajili ya waumini ili tuweze kufanya kazi kama mwili wa Kristo hapa duniani. karama hizi zote, ndogo na kubwa, zinapewa na Roho ili sisi tuweze kuwa mabalozi wake kwa ulimwengu, kuonyesha neema yake na kumtukuza Yeye.
Zaidi ya yote kila karama zote zilizo tolewa kwa wanadamu na Mungu, hakuna iliyo kubwa zaidi kuliko uwepo wa Roho Mtakatifu. Roho ana kazi nyingi, majukumu, na kazi. Kwanza, anafanya kazi katika moyo wa kila mtu kila mahali. Yesu aliwaambia wanafunzi wake kwamba angemtuma Roho ulimwenguni "kuushawishi ulimwengu kuhusiana na hatia ya dhambi, haki na hukumu" (Yohana 16:7-11). Kila mtu ana "fahamu ya Mungu," hata kama watakubali au kukana hilo. Roho anatumia ukweli wa Mungu kwa mawazo ya watu kuwashawishi kwa hoja haki na kutosha kwamba wao ni wenye dhambi. Akijibu hili imani huleta watu katika wokovu.
Je, umesha ongea na Roho Mtakatifu hii leo?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

VIDEO: ANGOLA BECAME THE FIRST COUNTRY IN THE WORLD TO BAN ISLAM, AS MOSQUES CLOSED, DEMOLISHED



Angola has reportedly declared Islam illegal and ordered for all of the country’s mosques to be closed down.
Minister of culture Rosa Cruz e Silva said that mosques in the largely Christian country would be closed until further notice.
She described Islam as a ‘sect’ that would be banned as counter to Angolan customs and culture.
Angola (capital, Luanda, pictured) has reportedly declared Islam illegal and ordered for all mosques to be closed
There are unconfirmed reports that mosques across the African country are being destroyed, according to the International Business Times.
President Jose Edurado dos Santos reportedly told the Osun Defence daily: ‘This is the final end of Islamic influence in our country.’
Along with Islam, which is a religion associated with less than 1 per cent of the population of 19 million, 194 other ‘sects’ have been banned in the nation, where more than half the population is Christian.
Ms Cruz e Silva said: ‘The legalisation of Islam has not been approved by the Ministry of Justice and Human Rights [and] their mosques will be closed until further notice.’
Clashes between Christians and Muslim people are frequently reported in the local media.
Manuel Fernando, director of the Angolan Ministry of Culture’s National Institute for Religious Affairs, denied the reported measures.
‘There is no war in Angola against Islam or any other religion,’ Fernando told Agence France-Presse. ‘There is no official position that targets the destruction or closure of places of worship, whichever they are.’
Less than 1 per cent of the Angolan population of 19 million people are Muslim the majority of whom are migrants from West Africa and families of Lebanese origin, according to the US State Department.
The crackdown on Islam comes as Christians in the Middle East are being forced out from Muslim countries. China is said to have also taken major steps to ban Islam from The Nation.
http://africaupdates.info/angola-leads-the-way-as-the-first-country-in-the-world-to-ban-islam/

Sunday, April 2, 2017

USIKATE TAMAA: YOTE YANAWEZEKANA KATIKA JINA LA YESU!

Image may contain: ocean, text and water
Mtu Mmoja Alileta Kesi Kwa Yesu Akihitaji Msaada Juu Ya Tatizo La Ugonjwa Wa Kifafa Lililokuwa Linamtesa Mwanae Tangu Utoto Wake, Na Alikuja Na Kauli Za “HURUMA HURUMA” Naye Alimwambia BWANA Yesu, “Ukiweza Neno Lolote, Utuhurumie Na Utusaidie” (Marko 9:22)
Na Yesu Hakuanza Kumwambia Maneno Yaliyojaa AKILI ZA KIBINADAMU NA THEOLOJIA Bali Alizungumza Kwa UHAKIKA, Tena Kwa Mshangao, “Ukiweza! YOTE Yawezekana Kwake Aaminiye” (Marko 9:23)
Yesu Alikuwa Anamaanisha, “HAKUNA JAMBO LOLOTE AMBALO MTU WA IMANI HAWEZI KUFANYA; YOTE YANAWEZEKANA KWAKE AAMINIYE”
Mathayo 19: 26 Yesu akawakazia macho, akawaambia, Kwa wanadamu hilo haliwezekani; bali kwa Mungu yote yawezekana.
Yeremia 32:27 '' Tazama, mimi ni BWANA, MUNGU wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza? ''
Mpendwa, labda umejaribu kufanya yote kwa kutumia uwezo wako, lakini mambo bado hayakai vizuri. Labda umepoteza kazi na madeni yanakuzidi kila siku. Leo ningependa kukukumbusha kuwa, Yesu Kristo tunae mwanini ni MWEZA WA YOTE. Hakika hakuna jambo asilo liweza na hakuna jambo ambalo hakulimaliza pale Msalabani. AMINI NA YOTE YANAWEZEKANA. USIKATE TAMAA MAANA BARAKA ZAKO ZIPO MLANGONI NA ZINAKUSUBIRI.
AMINI NA YOTE YANAWEZEKANA.
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

Saturday, April 1, 2017

MAOMBI YA KUFUTA UCHAWI ULIOWAHI KUFANYIKA KATIKA MAISHA YAKO

Image may contain: one or more people, people standing and outdoor
Bwana YESU atukuzwe ndugu yangu.
karibu tujifunze Neno la MUNGU kisha tuombe maombi ya ushindi katika damu ya YESU KRISTO.
Maombi yetu yatahusu mambo matatu yafuatayo;
1. Maombi ya kufuta uchawi wa kutamkiwa.
A. Kutamkiwa wewe binafsi.
B. kutamkiwa uzao, iwe ni mababu au wazazi wako waliorogwa kwa kutamkiwa kisha uchawi huo ukakuathiri na wewe uliye sehemu ya uzao wao.
2. Maombi ya kufuta uchawi uliopitishiwa kwenye vitu kuja kwenye mwili wako.
3. Maombi ya kufuta uchawi kupitia ardhi.
Kutoka 22:18 '' Usimwache mwanamke mchawi kuishi.''
Kabla ya yote naomba ujue maana ya uchawi na mchawi.
Uchawi ni nini?
Uchawi ni ufundi wa kutumia dawa ili kuleta madhara.
Uchawi ndio usihiri, Uchawi ndio urogaji na ndio juju.
Kuroga maana yake ni kuzuru kwa kutumia uchawi
Mchawi ni mtu anayeweza kuwadhuru watu kwa njia ya kuwaroga
Kuna watu wengi sana wameathiriwa na uchawi katika maisha yao.
Kuna watu walirogwa zamani lakini madhara ya uchawi ule yapo hadi leo katika maisha yao.
Leo tunafuta uchawi wote uliowahi kufanyika zamani kutuhusu.
Tunafuta madhara ya uchawi yaliyotamkwa kutuelekea sisi.
Biblia ikataza uchawi na inakataza mwanadamu mwenye akili timamu kuwaendea wachawi na waganga.
Walawi 19:31 '' Msiwaendee wenye pepo, wala wachawi; msiwatafute; ili kutiwa unajisi na wao; Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.''
MUNGU anakataza uchawi maana ni kitu kinachoweza kumnajisi mtu.
Uchawi ni dhambi na uchawi ni uadui kwa MUNGU.
Mkristo hatakiwi kuwa mchawi.
Uchawi ni machukizo makuu.
Wachawi wapo sana na wanaroga sana lakini ashukuriwe MUNGU kwa kutupa jina la YESU KRISTO lililo kiboko ya wachawi wote na uchawi wao.
Biblia inathibitisha kwamba wachawi wapo na hutenda kazi zao mbovu za kichawi.
Nahumu 3:4 ''Kwa sababu ya wingi wa ukahaba wa yule kahaba mzuri, yule bibi wa mambo ya uchawi, auzaye mataifa kwa ukahaba wake, na jamaa za watu kwa uchawi wake.''
Kuna watu wamewahi kurogwa fahamu na akili zao zamani lakini hadi sasa hawajawahi kupona vyema.
Kuna watu biashara zao zimewahi kurogwa, uchumi na vipato vyao na hawajawahi kupona katika hayo, Leo uchumi wako utapona, biashara yako itapona na kipato chako kitapona kwa jina la YESU KRISTO.
Kuna watu wamewahi kurogwa afya zao ndio maana hadi sasa hupona magonjwa kwa muda tu kisha magonjwa yale yanarudi, Ndugu leo kuna kupona katika jina la YESU KRISTO.
Kuna watu uzao wa tumbo zao ulirogwa na walikuja kuzaa uzao uliorogwa yaani walipata watoto waliofungwa kipepo.
Kanisa la MUNGU nin lazima lijitenge na uchawi.
Kanisa la MUNGU ni lazima likemee uchawi.
Zamani wachawi walikuwa wanauawa kwa mawe ndivyo Biblia isemavyo, Leo tunauua uchawi ndani ya wachawi kwa njia ya maombi yetu.
Leo malaika wa MUNGU wako tayari kupeleka mapigo kwa wachawi wote waliotusumbua, na kama walikendelea na uchawi huo basi tunamuomba MUNGU wetu awaponde kupitia maombi yetu na damu yao itakuwa juu yao.
Walawi 20:27 ''Tena mtu mume au mtu mke aliye na pepo, au aliye mchawi, hakika atauawa; watawapiga kwa mawe; damu yao itakuwa juu yao.''
MUNGU wetu yuko tayari kutushindia leo dhidi ya wachawi wote waliofunga maisha yetu.
Leo kwa jina la YESU KRISTO maisha yetu yanaenda kuwa huru.
JEHOVAH MUNGU wetu anasema '' Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.-Malaki 3:5''
Kuna ukoo huwa wanazika kila mwaka kwa sababu tu ya maneno ya mchawi aliyoyatamka zamani kwa ukoo ule.
Kuna watu nyoka hutembea katika miili yao.
Kuna watu fahamu zao zimefungwa katika mafundo ya uchawi.
Leo kila fundo la uchawi linapasuka kwa jina la YESU KRISTO.
Kuna watu miguu yao imerogwa kiasi kwamba hata waende wapi hawawezi kufanikiwa.
Kuna watu mikono yao imerogwa hata wafanye kazi gani hakuna kufanikiwa kiuchumi.
Biblia inasema kwamba kwa sababu hiyo ya uonevu wa shetani na wachawi wake ndio maana Bwana YESU alikuja ili tu kuziharibu kazi zote za shetani wakiwemo na wachawi.
1 Yohana 3:8 '' atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa MUNGU alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.''
Hakikisha leo kazi zote za uchawi zilizowahi kufanyika zikikuhusu, hakika zinaharibika na kutoweka.
YESU KRISTO alithihirishwa ili azivunje na kuzifuta kazi zote za shetani.
Leo futa uchawi wote uliowekewa kwenye uti wako wa mgongo.
Leo futa kwa damu ya YESU KRISTO kila uchawi ulifanyika kuhusu tumbo lako.
Leo hakikisha uso wako hautumiki tena kichawi, utakase uso wako na hakikisha uchawi hauharibu kibali chako tena.
Leo ni siku ya kushinda kama ukiomba katika jina la YESU KRISTO.
Leo futa uchawi wa kutamkiwa uliowahi kutamkiwa, Futa kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Leo futa laana zote zilotamkwa na mchawi kwa wazazi wako au wazazi wa wazazi wako na laana hizo zimekupata na wewe, leo Futa kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Leo futa uchawi wote uliowekwa kwenye vitu ili uchawi huo uupate mwili wako, futa kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Futa uchawi wote uliotamkwa katika ardhi yeyote inayokuhusu.
Siku napata ufunuo wa somo hili nilifuta kila uliofanyika katika ardhi ambayo mimi Peter nimewahi kukanyaga, Kila mabaya yanayonena mabayo kuhusu mimi yaliyo katika ardhi ambako nimewahi kukanyaga nilifuta kwa jina la YESU KRISTO na kwa damu ya YESU KRISTO, nilitaja mikoa hadi wilaya maana mawakala wa shetani hutumia sana ardhi ili kuwafunga watu wa MUNGU.
Leo ni siku moja ya kushinda katika jina la YESU KRISTO kama ukiomba katika kweli, katika imani na katika utakatifu autakao MUNGU.
MUNGU akubariki sana na usikose kukunua kitabu changu cha MAOMBI YA KINA ambacho kimeshachapwa na kinasubiri tu kuwekwa wakfu kwa maombi siku chache zijazo na baada ya hapo kila mtu atakipata.
Ukipenda pia kunisapoti kwa sadaka yako nakukaribisha sana ili sadaka hiyo inisaidie katika uinjilisti.
Maombi haya chini naomba yamsaidie muombaji mchanga katika kuliendea hitaji lake mwenyewe. Kwa waombaji wazoefu naamini kabisa baada tu ya kusoma somo umeandika maeneo ya kuombea na utaomba maana ni siku ya ushindi. Nasubiri pia shuhuda maana MUNGU Baba atatenda muujiza leo katika jina la YESU KRISTO.
Baada ya kuomba maombi ya kutubu na kuacha dhambi omba maombi haya chini.
MAOMBI YA KUFUTA UCHAWI ULIOWAHI KUFANYIKA KATIKA MAISHA YAKO.
Katika jina la YESU KRISTO aliye hai.
Ninafuta kila uchawi uliotamkwa kunihusu mimi, naufuta huo uchawi na naharibu madhara yake kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila mchawi aliyenitamkia nikiwa nasikia au hata nikiwa sisikii, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi ulionenwa njia panda au dirishani mwa chumba changu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila neno la siri la kichawi alilolitamka mchawi wa aina yeyote kunihusu mimi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila mchawi anayeitamkia maneno mabaya ndoa yangu, uchumba wangu, biashara yangu, uzao wangu au masomo yangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila mchawi anayenitamkia kifo au kuumwa au ajali au kufukuzwa kazi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila mchawi aliyenena uchawi kuhusu mababu zangu zamani au wazazi wangu na uchawi huo unafuatilia maisha yangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Ninafuta kila kazi ya wachawi iliyofanyika zamani katika uzao wa babu yangu au wazazi wangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila laana ya mchawi iliyotamkwa ili inipate, leo napangua kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila majanga yaliyokusudiwa kichawi, kiba balaa zilizopangwa kichawi, kila ajali zilizopangwa kichwi, leo nakataa kwa jina la YESU KRISTO na Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila uchawi uliotegwa kwenye vyakula au nguo zangu ili nidhurike, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila uchawi nilioukanyaga na sasa unanitesa, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila uchawi uliowekwa vitu nilivyonunua, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila nguo yangu iliyoibwa kichawi leo naichoma moto kwa damu ya YESU KRISTO huko iliko na kuanzia leo hakuna antena ya mchawi itaniona.
Kila kiungo cha mwili wangu, kila kucha au nywele au nguo za ndani vilivyotumika kichawi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi uliowekwa katika mwili wangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Kila kiungo cha mwili cha bandia kilichopandwa na wachawi ndani ya mwili wangu, Leo nakifuta kitu hicho kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi uliowekwa kwenye vitu nilivyopewa kama zawadi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi ulitegwa katika ofisi yangu au kiti changu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Sasa pia nafuta kila uchawi unaonena katika ardhi, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO
Najua kabisa damu huwa haifi hivyo damu za wanyama zilizomwagwa katika ardhi zikiambatana na maneno ya laana kwangu, Nazifuta leo damu hizo kwa damu ya agano ya YESU KRISTO.
Kila mchanga uliowahi kuhukuliwa kwenuye nyayo zangu na ukatumika kichawi kunifunga,
Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Kila uchawi wa aina yeyote uliofanyika popote kunihusu mimi au ndoa yangu au uzao wangu au familia yangu au ukoo wangu, Leo naufuta uchawi huo kwa damu ya YESU KRISTO na kwa jina la YESU KRISTO.
Nakushukuru MUNGU BABA maana umenipa ushindi kupitia damu ya YESU KRISTO aliye hai.
Naamini nimeshinda katika kilaeneo la Miasha yangu lililokuwa limefungwa kichawi.
Katika jina la YESU KRISTO nimeomba na kupokea ushindi.
Amen Amen.
Asante kama umelielewa Neno la MUNGU ila nina neno moja la mwisho kwako leo.
BWANA YESU Amekaribia Kurudi.
Je, Umejiandaaje?
Je, Unaendeleza Dhambi Ili Siku Ile Uachwe Na BWANA YESU? Je, Umeshika Wokovu Na Utakatifu Hata Unyakuliwe Siku Ile Kwa Ajili Ya Kwenda Uzima Wa Milele?
Majibu Sahihi Yako Moyoni Mwako Ila Nakusihi Mpokee BWANA YESU Kama Hujampokea Na Nakusihi Ishi Maisha Matakatifu Ukiwa Ndani Ya Wokovu.
Vya Dunia Tulivikuta Na Tutaviacha.
Ndugu, Vya Dunia Visikupotezee Muda Wako Hata Ukasahau Kuokoka.
Vya Dunia Visikupotezee Muda Wako Hata Ukasahau Wokovu Wa BWANA YESU Kwako.
Ni mimi ndugu yako Peter M Mabula.
Mtenda kazi katika shamba la BWANA YESU.
0714252292.
mabula1986@gmail.com
Umeshashare sana jumbe zisizo na maana leo
Nakuomba share kwa marafiki zako ujumbe huu.

SIJIDA YA WAISLAM NI ALAMA YA MPINGA KRISTO

Image may contain: one or more people and text
Nabii wa uongo ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii kwenye paji ya nyuso zao.
Sehemu kuu katika Biblia ambayo inataja "alama ya mnyama" ni Ufunuo 13:15-18. Mistari mingine inaweza kupatikana katika Ufunuo 14: 9, 11, 15:2, 16:2, 19:20, na 20:4.
Alama hii hutumika kama muhuri kwa wafuasi wa Mpinga Kristo na nabii wa uongo (msemaji wa Mpinga Kristo). Nabii wa uongo ndiye ambaye husababisha watu kuchukua alama hii ya SIJIDA kwenye paji ya nyuso zao.
Alama ya mnyama itakuwa ni kitu kimepatiwa wale tu ambao huabudu Mpinga Kristo yaaani Allah. Alama ya mnyama itakuwa nyakati za mwisho kitambulisho cha Mpinga Kristo kinachohitajika ili kununua au kuuza (ISLAMIC BANKING), na kitapewa tu kwa wale ambao wanamwabudu Mpinga Kristo yaani Waislam.
Nabii wa uongo ndiye ambaye husababisha wafuasi wa Allah kuchukua alama hii. Alama hasa huwekwa paji la uso na sio kadi mtu atabeba.
Je, ni Nabii gani na dini gani wana alama hii ya SIJIDA?
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KORAN NI SAWA NA TANGAZO LA VITA

Image may contain: one or more people and text
Dhana ya Kiislamu ya Amani, kwa maana ya kufanya ulimwengu kuwa wa Kiislamu, ni mipango ya kishetani kwa ajili ya kufanya vita na kumwaga damu. Ilikuwa si jambo la kufikirika kuwa siku moja Ugaidi wa Kishetani utaweza ingia kwenye Nchi za Kistaarabu, kwa kupitia njia ya "dini" ya amani, nikimaanisha Uislam. Maantiki ya fikra yakinifu katika Uislamu ni tofauti na ile ya Wastani wa Mtu ..., nikimaanisha, katika Uislam, kuuwa kwao ndio amani wanayo itangaza.
Mtu KAMWE hawezi kuuacha Uislamu, unajua, wale ambao waliiuacha Uislam na kujiunga na Imani zingine, wale hawakupigwa Muhuri wa kwenda Jehanamu. Maana Allah ameahidi Jehanamu kwa Waislamu wote Soma: Quran 40: 60. Na Mola wenu Mlezi anasema: Niombeni nitakuitikieni. Kwa hakika wale ambao wanajivuna na kuniabudu Mimi wataingia Jahannamu wadhalilike. Kuukacha Uislam na kuingia kwenye hekima hilo ni kosa la kifo katika dini ya amani/Islam. Hapo ndipo panaanza kufanya mtu afikirie, Je, kweli Koran ni kitabu cha Mungu? Mbona kuna kulazimishana kwenye hii dini?
Hivyo, hii ni sehemu ya mantiki hiyo hiyo ya kuwa, Mtu ambaye anabadili dini na au shirika kama vile Al Shabaab au Uislamu ni tu kama nilivyoeleza, mtu wa namna hiyo hakupigwa Muhuru wa kwenda Jehannam na Allah, anyway. Hivyobasi, huyu mtu ni Msaliti na akikamatwa basi aelewe kuwa kifo kipo mkonini mwake, kwa kuikacha dini ha Amani/Islam.
Mwenye akili lazima ataelewa kuwa amani ya Allah na Muhammad ni vita na umwagaji damu. Hakuna jema kwenye hii dini ya Jibril zaidi ya kutangaza kifo kwa makafiri.

ALLAH ANAOMBA MSAADA WA KUNUSURIWA KWASABABU YEYE NI MPWEKE

Image may contain: one or more people and text
HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
Enyi mlioamini! mkimnusuru Mwenyezi Mungu ,naye atakunusuruni na ataithubutisha miguu yenu” (Quran 47:7)
Utasikia wakisema, yeye haitaji msaada na ni mjuzi wa kila kitu (Quran 41:53). Lakini nilipo isoma hii aya ya Quran 47:7, kumbe Allah yeye si lolote wala chochote kile zaidi ya kuonyesha unyonge na upweke kwa viumbe wake. Allah anaomba anusuriwe, je, ni wapi Allah amekwama?
Moja ya jina la Allah ni “Al-waahid”. Yaani “Mpweke” linalo toka kwenye neno la Kiarabu la ”Tawhiid”. Hivyo, hapa Allah anatukumbusha kuwa yeye ni MPWEKE na anahitaji msaada. Hivi, wapi tumesoma kwenye Biblia kuwa Yehova alikuwa Mpweke?
Ndugu zanguni, huyu Allah ni mpweke na hajiwezi kabisaa ndio maana anaomba anusuriwe.
Kumbe ndio maana Waislam wapo kutwa nzima wanapigania dini ya Allah ambaye ni Mpeweke na anaihitaji kunusuriwa.
Mkristo anaye jitambua, kamwe hawezi kupoteza muda wake kumpigania Allah ambaye ni MPWEKE NA ANAHITAJI KUNUSURIWA.
Mpokee Yesu aliye kupigania na kufa kwa ajili yako, na sio yule Allah dhaifu ambaye hata kujisaidia mwenye hawezi.
Shalom.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo,

MUHAMMAD KASEMA UISLAM NI BIASHARA NA SIO DINI

No automatic alt text available.

SALAALEEEEHHHHH

“Enyi mlioamini!Je! Niwajulishe BIASHARA ITAKAYOKUOKOENI na adhabu iumizayo? Biashara yenyewe ni hii, Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na piganieni dini ya Mwenyezi Mungu kwa mali zenu na nafsi zenu. Haya ni bora kwenu.Mkifanya hivi, atakusameheni dhambi zenu na atakuingizeni katika Mabustani
Yapitayo mito mbele yake na atakupeni maskani mazurimazuri katika Bustani za milele.Huku ndiko kufuzu kukubwa.Na atakupeni kingine mnachokipenda;Nayo ni nusura itokayo kwa Mwenyezi Mungu na ushindi ulio karibu!Na wapashe habari njema Waislam”
(Quran 61:10-13).

Waislam mara zote wamekuwa wanasema kuwa Ukristo ni Biashara na madai haya yapo kwenye tovuti zao. Ingawa tunapo waomba aya walete ili kutetea madai yao, mpka hii leo wameshindwa.

Uzuri wa Allah, yeye huwa hafikichi kitu na anasema ukweli kuwa UISLAM NI BIASHARA NA DINI YA KUTENGENEZA.

Ndio maana, Uislam haufundishiki bila ya kuutukana Ukristo, Imani ya kweli na thabiti mbele ya Mwenyezi Mungu.

SWALI KWA WAISLAM:
Tumabieni hiyo biashara ambayo Allah amekupeni kwa kutumia aya zake.

Kumbe Uislam ni dini ya biashara.

Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema, Mtume wa Allah (s.a.w) amesema, “Hakuna yeyote miongoni mwenu atayeokolewa na amali yake” Wakasema hata wewe mtume wa Allah? Mtume (S.A.W) akasema, “Wala mimi isipokuwa anifunike Allah kwa rehema zake; hivyo fanyeni amali njema kwa uadilifu” (Bukhari Hadithi Na. 470, Juzuu ya

Sasa kama mtume mwenyewe hajui hatima yake siku ya mwisho kuna haja gani Wakristo tunaojitambua kuufuata UISLAMU? Yaani tumwache Yesu mwenye uhakika na watu wake na kile atakachowapa wanaomfuata NA TUFUATE DINI YA BIASHARA ILIYO TUNGWA NA MUHAMMAD.

Karibuni kwa Yesu Mungu Mkuu.

Shalom.

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW