Friday, April 7, 2017

UNAWAFAHAMU MALAIKA WAKUU SABA WA MUNGU "ARCHANGELS OF GOD? (SEHEMU YA TANO)

Image may contain: text
Kabla ya kuendelea na somo letu, na kuzungumza kuhusu MALAIKA MICHAEL, hebu tujikumbushe kidogo kuhusu Malaika katika Agano la Kale.
MALAIKA KATIKA AGANO LA KALE WALIFANYA NINI?
Mjumbe muhimu anayetumwa na Mungu anayeitwa “Malaika wa Bwana”, au “Malaika wa Mungu” katika Biblia za Kingereza. Majina haya yenye vyeo hivi huitwa Malaika Maalumu (au wajumbe) ambao wanamwakilisha Mungu.
Wakati malaika wa Yehova alikuwa pamoja nao, ilimaanisha ya kwamba Mungu alikuwa yuko pia pamoja nao. Malaika alisema na kutenda kwa niaba ya Mungu Mmoja wa kweli.
Malaika wa Yehova ambaye mara kwa mara alishughulika na wanadamu, alimwakilisha Mungu wa kweli ambaye Waisraeli walimwabudu.
Hebu tuangalie matukio mengine mengi, ambayo Malaika huyu, alionekana na kuzungumza na wanadamu katika nyakati za zamani.
• Malaika alizungumza na Hajiri mara mbili (Mwanzo 16:7-13; 21:17-18)
• Malaika alizungumza na Ibrahim (Mwanzo 12:1-3; 22:11-18).
• Malaika alizungumza na Yakobo katika ndoto (Mwa. 28:11-21; na 31:11-13; Angalia pia Mwa. 32:24-30).
• Malaika alimtokea na kuzungumza na Musa (Kutoka 3:1-6; 24:12-16).
• Malaika katika mawingu (Kutoka. 13:21; 14:24)
• Malaika akiwa kama mhifadhi, Mlinzi na Mwokoaji (Zaburi 34:7; 35:5-6).

Mtume Paulo alisema ndiye aliyewavusha wana wa Israel katika bahari (1 Korintho 10:1-4). Paulo pia anamtambulisaha Malaika wa Mungu katika Wagalatia 4:14.

Matukio mengine ambayo Malaika aliwatokea Wanadamu;
• Baalamu na Malaika (Hesabu 22:22-35)
• Yoshua na Malaika (Yos. 5:15)
• Gidioni na Malaika (Amu. 6:12-24)
• Wazazi wa Samsoni na Malaika (Amu. 13:2-20)
• Daudi na Malaika (2 Samuel 24:16-17)
• Eliya na Malaika (1 Falme 19:5-12 na 2 Falme 1:15)
• Malaika na Daniel (Daniel 3:24-25, 28)
• Malaika na Zekaria (Zekiel 1:9,13-14,18-21; 2:3; 4:1,4-5; 5:5,10)
USIKOSE SEHEMU YA SITA. MAKERUBI NA MASERAFI NA KAZI ZOA...
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

YESU ANAKUJA UPESI, JE UPO TAYARI?

Image may contain: night and text


BWANA YESU ANASEMA;
Yohana 22:7 
Na tazama, naja upesi; heri yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.
Ufunuo 22:12
Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.
NJOO SASA, YESU ANAKUSUBIRI.
Yohana 6:37
"Wote anipao Baba watakuja kwangu; wala ye yote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe."
Mpendwa,
Yesu Kristo anasema hivi: Yu karibu sana kurudi na kulichukua Kanisa lake. Kumbuka Yesu haji kuchukua dini au watu wa dini, bali anakuja kulichukua Kanisa lake alilo linunua kwa damu yake.
Je, wewe ni mmoja wapo wa walio kombolewa kwa Damu ya Yesu?
Au wewe ni mmoja ya wale wanao enda Kanisani kama desturi lakini bado haujakombolewa?
Hili si jambo la mzaha. Chukua hatua sasa na mpokee Yesu aliye kufa kwa ajili ya maisha yako.
Kama bado haujaokoka, sema hii sala haraka sana.
"BWANA YESU NINAKUJA KWAKO MIMI NI MWENYE DHAMBI NINAOMBA UNISAMEHE NA KUNIOKOA. KARIBU KWENYE MAISHA YANGU NA MOYO WANGU,UNISAMEHE MAOVU YANGU YOTE, UNIOSHE NA KUNITAKASA. KUANZIA SASA MIMI NI WAKO. NINAKUSHUKURU KWA KUWA ULIKUFA MSALABANI KWA AJILI YA DHAMBI ZANGU NA KWA KUNIPOKEA.SASA NIMEOKOKA.MIMI NI MWANA WA MUNGU, Amen"
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

USIWAOGOPE MAADUI ZAKO, MKABIDHI BWANA AWASHUGHULIKIE

Image may contain: sky and outdoor
Kumbukumbu La Torati 28:7
7 Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.
Ayubu 8:22
22 Hao wakuchukiao watavikwa aibu; Nayo hema yake mwovu haitakuwako tena.
Isaya 54:15,17
15 Tazama, yamkini watakusanyana; lakini si kwa shauri langu. Watu wo wote watakaokusanyana juu yako wataanguka kwa ajili yako.
17 Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema Bwana.
Kumbukumbu la Torati 20:4
4 kwa maana Bwana, Mungu wenu, ndiye awaandamaye kwenda kuwapigania juu ya adui zenu, ili kuwaokoa ninyi.
Ipo mistari mingi mno kwenye Biblia inayotueleza nini msimamo wa Mungu juu ya adui zetu. Lakini pia Bwana Yesu alisema jambo hili katika Matayo 5:44
44 lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi
Ni ngumu kumeza lakini inawezekana. Kumbuka Stephano wakati anapigwa mawe anakufa alifanyaje? Aliwaombea waliokuwa wakimuua kwa mawe Matendo 7:54-60
Ukishayafahamu haya ni vyema kabisa kuyazingatia na kamwe vita inapoinuka juu yako haitakusumbua, tena utashangilia maana kwanza fahamu umemtia wivu shetani mpaka kafikia kukuchukia. Ujue sasa muda umefika wa kutumia silaha ulizonazo.
Mimi Max Shimba nimesha tumiwa vitisho vikubwa sana, na watu kadhaa kunihakikishia kuwa sita vuka mwaka 2016 na kuingia 2017. Waliapa kwa miungu yao, lakini leo hii naandika huu ujumbe wa upendo kwao kuwa, VITA VYOTE NI VYA BWANA.
Mimi sina wasiwasi kabisa, ninaendelea kuitangaza Injiri ya Bwana wetu Yesu Kristo aliye kufa kwa ajili yetu na kutupa uzima wa milele. Kamwe vitisho vya maadui havinizuii bali kunipa nguvu zaidi ya kulitangaza Jina la Yesu.
Mungu awabariki sana, USIOGOPE VITA, MPE VITA YAKO BWANA, MPE TATIZO LAKO BWANA na hakika yote yanawezekana kwake.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Tuesday, April 4, 2017

FINALLY, Muslims get their own set of smilies and emoticons


Not so fast, there are strict rules in Islam for using emoticons, many of which are ‘haram’ (forbidden), according to Hate Preacher Wajdi Akkari:

Another “scholar” says it’s OK for Muslims to use emoticons, but ONLY with persons of the same gender.



How about these? They symbolize Islam, are gender neutral, not sexually explicit, and likely won’t result in your getting a fatwa on your head.

IOWA STATE UNIVERSITY professor asks students to write an account of 9/11 from the al-Qaeda terrorists point of view

That’s right, we are just so tired of hearing all the weeping accounts of mass devastation, lives in ruin, loved-ones lost, businesses destroyed, worldwide panic, yada, yada, yada. So, let’s look at 9/11 from a happier perspective – that of the 9/11 Muslim terrorists themselves.

Breitbart  According to a report from The College FixProfessor James Strohman, who teaches International Relations, asked students to write a 500-word essay giving a “historical account of 9/11 from the perspective of the terrorist network. In other words, how might Al-Qaeda or a non-Western historian describe what happened.”

“Don’t worry about the fact you don’t agree with the terrorists, the point of the exercise is to consider completely different perspectives,” the assignment continues. 

People soon reacted angrily to the assignment on Twitter, describing it as “sick” and “shameful.” 

However, ISU’s communications officer told The College Fix that the exercise was “no way an attempt to diminish the tragic events of September 11, 2001, nor was it designed to support the goals of Al-Qaeda and other terrorist organizations.”

Professor Strohman, who is a registered Democrat, has taught at the university for over 10 years and has “written extensively on American government and politics. He is also a member of the Iowa Employment Appeal Board.”

Since a picture is worth a thousand words, I decided to use photos to present al-Qaeda’s point of view:

“Look, Muhammad, wouldn’t that be a fantastic spot for a new NYC Mega Mosque”
“Hey Jameel, did you bring your video camera?”
“How hot do you think it is up there?”
“Not to worry, Abdul, the world will blame it on the evil Zionists”
“Hussein, come look, I think that jumper is a Jew”
“Nothing like being coated in albestos dust in the morning”
“Hey, Ahmed, How the hell did we miss that damn cross?”
“Gee, we never expected the whole building to collapse. Allahu Akbar!”
“UH OH, I hope we didn’t destroy the mosque that’s in the Pentagon”
Oh, look, crispy critters”

Isn’t it ‘haram’ for Muslim women to make such fools of themselves in public?


 Shouldn’t they be stoned to death? After all, there are boys in the audience.

When a Muslim invites you to EID Festival of Sacrifice dinner, remember these photos and videos (VIEWER DISCRETION ADVISED)


Animals Australia has been working tirelessly to end the Live Export business of Australian live animals being sent to Muslim countries where they are tortured to death in accordance with barbaric Islamic ‘halal’ slaughter laws.

Animals Australia  Undercover Animals Australia investigators have just returned from a harrowing investigation in the Middle East and Asia — where streets have literally run red with the blood of animals.

Exporting animals across the world only to be slaughtered is always cruel. But there’s one time of year when cruelty is at its peak. During the EID ‘Festival of Sacrifice’ we’ve seen terrified animals having their eyes stabbed, tendons slashed, and throats clumsily cut open.

Recently in Malaysia, Oman, Lebanon, Dubai and Kuwait we saw more carnage: panicked sheep and goats being tied up, beaten, shoved into car boots in scorching heat, and brutally slaughtered in the streets. Even in a so-called ‘approved’ slaughterhouse, suffering was extreme — with helpless animals left to die slowly as they choked on their own blood.

The introduction of Australian live export laws in 2011 makes much of this abuse illegal. But new evidence shows live exporters are still breaking these laws — abandoning thousands of cattle, sheep and goats to shocking abuse. Even the Australian Government admits the system is ‘not perfect’ — and that while live export continues, so will the atrocities.

In other words, extreme acts of cruelty have become the accepted cost of keeping the live export trade afloat. Defenders of live export insist they are providing ‘safe protein’ to the world but the truth is many overseas Islamic abattoirs that slaughter Australian animals would fail basic hygiene audits.

Animals Australia Despite a few ‘tough Australian regulations’ on live exports put in place more than two years ago, tragically, the inhumane and barbaric Islam-compliant halal slaughter of live Australian animals shipped to Muslim nations is still going strong…reaching new heights every year during the Muslim holiday of Eid (The Festival of Sacrifice)

The live export industry publicly hailed their new abattoir in Egypt as ‘first-class’ and ‘state-of-the-art’. Only when the horrors inside this slaughterhouse were exposed in 2012 did they admit practices were in fact ‘horrific’ and ‘unconscionable’ with cattle being stabbed, slashed and butchered while still alive.

For decades, the live export industry has capitalized on this time of year when live animals are sold and ‘sacrificed’ en masse. And for decades, animals have suffered horrific consequences. 

 Live animals exported from Australia are beaten, whipped, stabbed, and brutally killed… Australian laws are supposed to prevent this. But with the Australian Government yet to lay charges against any live export company — despite ongoing evidence of breached regulations — it inevitably happen all over again.

The Australian government has an abundance of evidence that ear tags are being removed from sheep and cattle being illegally sold and slaughtered in Jordan, Kuwait and Gaza — to prevent identification of the exporter. Akin to a burglar wiping away their fingerprints to avoid detection, nothing has been done to curb this destruction of evidence.

In Jordan, investigators documenting illegal sheep sales in roadside markets have reported that one company was offering locals four live sheep in exchange for beating up anyone with a camera. Australian sheep continue to be illegally sold from and slaughtered at a notorious livestock market in Kuwait despite five legal complaints and additional conditions being placed on exporters.

Malaysia, Mauritius, Jordan, Kuwait, Indonesia, West Bank, Gaza, Egypt — everywhere we’ve looked laws are being broken whether it be illegal sales, cruel methods of restraint, or brutal street slaughter — Australian animals are suffering the horrendous consequences.

Tens of thousands of animals are destined to suffer illegal and egregious abuse until the Australian Government enforces its own laws.

Take action at BAN LIVE EXPORT

Did you know that Britain is now in the TOP TEN most dangerous countries in the world based on Muslim terrorist and rebel activity over the past 30 days


IntelCenter’s Country Threat Index (CTI) examines the volume of terrorist and rebel alerts, messaging traffic, videos, photos, incidents and the number killed and injured in a country over the past 30 days and runs it through an algorithm to assign the country its CTI. The higher the CTI the greater the risk.

The top 10 most dangerous countries in the world are shown below with their CTI rankings and score.

RankCountry         CTI Score
1Syria         1,451         87% MUSLIM
2Iraq         1,347         99% MUSLIM
3Afghanistan         541            99% MUSLIM 
4Somalia         216            99% MUSLIM
5Egypt         90              90% MUSLIM
6Yemen         88              92% MUSLIM 
7Pakistan         87               98% MUSLIM
8United Kingdom         73                  5% MUSLIM
9Nigeria         68               49% MUSLIM
10Philippines         52                  6% MUSLIM

INTEL Center  A low CTI does not necessarily reflect the absence of risk as the US in the lead-up to 9-11 would have had a low CTI. It does, however, reflect a lower level of activity over the preceding 30 days which means high-volume activity is unlikely but one-off events are always a possibility.

The CTI should never be the sole measure of risk in a country but rather one factor to take into consideration. The CTI is based solely on terrorist and rebel related activity. It does not evaluate other risk factors such as crime and political instability. The Global CTI is arrived at by adding up each individual country’s CTI. It serves as an overall indicator of global terrorist and rebel activity.

ITALY: ISIS-inspired Muslim plot to blow up Venice’s Rialto Bridge foiled by police


Police in Italy have arrested three Kosovo Muslim men and a child on suspicion of trying to blow up Venice’s iconic Rialto Bridge. The detentions follow a series of overnight raids in the northern Italian city.

Authorities say the alleged Islamic terror cell had expressed unconditional support for ISIS in wiretapped conversations. They said they had decided to target the historic landmark in the hope of killing hundreds of non-Muslim tourists.


The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW