Tuesday, April 18, 2017

GREAT NEWS! Turkish Muslim immigrant who went on a shooting rampage at Cascade Mall in Washington hangs himself


Arcan Cetin, 20, the Muslim immigrant accused of killing five people at Cascade Mall in Burlington last fall was found dead in the Snohomish County Jail on Sunday night, apparently after hanging himself.

It’s good that he did himself in because the family and defense attorney were trying to have the charges dropped because of “mental issues,” the new favorite defense tactic for Muslim terrorists in the West.

King5  Arcan Cetin, the man charged with killing five people in a shooting at Cascade Mall in Burlington, Wash., last September was found dead Sunday night at the Snohomish County Jail.

The Skagit County Prosecutor’s Office said Arcan Cetin (pronounced AR’-jahn CHEHT-in) was discovered hanging in his cell just before 9 p.m. The office could not immediately say why Cetin had been transferred from Skagit County.

Cetin, 20, was charged with five counts of aggravated first-degree murder for the Sept. 23, 2016, killings. The charges alleged Cetin acted with “premeditated intent” when he used a rifle to kill a teenage girl, three women and a man at the Macy’s Women’s store inside the mall, 65 miles north of Seattle.

Killed in the shootings were Sarai Lara, 16, of Mount Vernon; Shayla Martin, 52, of Mount Vernon; Belinda Galde, 64, and her mother, 95-year-old Beatrice Dotson, both of Arlington; and Wilton “Chuck” Eagan, 61, of Lake Stevens (above).

Cetin had visited his mother and Marshall before the Sept. 23 shooting, and stole his stepfather’s .22-caliber Ruger rifle, which had been hidden under a bed, according to records acquired by The Associated Press.

Cetin’s stepfather, David Marshall, previously told the media that Cetin “has had mental health issues that we have been working on him with.”

Cetin in the mall during shooting rampage

Cetin entered through the Chuck E. Cheese restaurant just before 7 p.m. and headed for the Macy’s Women’s store, Mount Vernon Police Officer Dave Shackleton said in an arrest warrant affidavit.

Surveillance video shows Cetin shooting a teenage girl near some clothing racks and then shooting a man. He then headed for the cosmetics section where he shot two women who were hugging and trembling in front of the counter and one who was trying to hide behind it.

CCTV footage of the Muslim gunman shooting people in the mall

During interviews with police, Cetin admitted that he shot the five people at the mall, but did not provide a reason. (It’s always the same reason: ISLAM)

King5  Federal sources confirm to KING 5 that Cetin was not a U.S. citizen, meaning legally he cannot vote. However, state records show Cetin registered to vote in 2014 and participated in three election cycles, including the May presidential Democrat primary.


VENEZUELAN ‘Muslim’ Vice President has illegally issued passports to 10,000 Middle East Muslims, many of them terrorists


Vice President Tareck El Aissami, a child of Syrian Muslim immigrants to Venezuela, reportedly spearheaded the passport scheme, with the illegal delivery of at least 10,000Venezuelan passports to citizens of Syria, Iran, and other Middle East nations.

Members of Iran’s terror proxy Hezbollah “are moving freely” within the United States and Latin America, courtesy of Venezuelan passports issued by a Cuban company hired by Caracas, reports the UK-based Asharq Al-Awsat.

PanAm Post  El Aissami is a known entity in the world of US intelligence. He is allegedly a part of Venezuela’s state drug-trafficking network and has ties to Iran, Syria, and Lebanese terrorist group Hezbollah.  According to Bloomberg, the Trump administration imposed sanctions against Venezuelan Vice President Tareck El Aissami, after years of investigation by U.S. authorities into his alleged participation in drug trafficking and money laundering.

Nicolas Maduro, Venezuela’s president, right, waves to attendees while accompanied by Tareck El Aissami, Venezuela’s vice president

Venezuelan Colonel Vladimir Medrano Rengifo, former Director General of the Office of Identification, Migration, and Foreigners, explained that when current vice president of Venezuela, Tareck El Aissami, was minister of Interior Relations, he ordered him not to deport the citizens who entered the country with irregular documents.

According to the colonel, El Aissami ordered him to admit about 10,500 people. “The passports were legitimate and officially issued, but the people who carried the documents were not really Venezuelans,” he explained.

They were coming in a large Airbus plane that normally arrived twice a week in Caracas, on Tuesdays and Thursdays, with 380 to 390 passengers on board. “90% of the people who came on that flight had an irregular situation,” Medrano said.

In 2015, an official of the Cuban Criminal Investigations and Criminal Investigations Corps (CICPC), identified as Misael López Soto, who allegedly served as advisor to the Venezuelan embassy in Iraq, confessed that he witnessed the Venezuelan government handing diplomatic documents to terrorists in the Middle East.

López explained in a video that embassy employees sold Venezuelan visas, passports, identity cards and birth certificates to people in Syria, Palestine, Iraq and Pakistan who paid between USD $5,000 and USD $15,000 to obtain the documents “under the watch of the Venezuelan diplomatic authorities.”

In 2008, the US Treasury Department issued a statement saying that “it is extremely disturbing to see that the government of Venezuela employs and provides refuge for Hezbollah facilitators and fundraisers.”

The Washington-based Center for a Secure Free Society published a paper entitled “Canada on Watch: Assessing the Threat of Iran, Venezuela and Cuba to Immigration Security” in 2014. The authors conclude that Venezuela issued at least 173 Venezuelan passports to radical Islamists seeking to enter North America.

Tareck El Aissami represents a double danger for the United States and the world, given his connection with two serious crimes: terrorism and drug trafficking. According to the investigations carried out the criminal organization headed by El Aissami is one of the main suppliers of the drug network that Hezbollah operates in Europe.


JE, MELKIZEDEKI NA YESU NI MTU MMOJA? (SEHEMU YA PILI)


Kitabu cha Mwanzo mara kwa mara kinatutambulisha kwa kirefu maisha ya mwanzo wa jamii na sifa zetu ambazo kitabu kinatuonyesha. Bali Melkizedeki anatokea bila kutamkwa, bila taarifa za wazazi wake, na kupotea kwenye maelezo bila ya kutazamiwa.
Sasa ngoja nianze kuwafananisha na au linganisha Melkizedeki na Yesu:
JERUSALEM:
1. Melkizedeki alikuwa mfalme wa Salem (Yerusalemu). Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana. (Mwanzo 14:14 - 18).
2. Yesu yeye ni mfalme wa Yerusalem mpya. Ufunuo 21: 1 Kisha nikaona mbingu mpya na dunia mpya; maana mbingu ya kwanza na dunia ya kwanza zilikwisha kutoweka na bahari haikuwapo tena. 2 Ndipo nikaona mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, ukiwa umeandaliwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa bwana wake.
KUHANI MKUU:
1. Melkizedeki, ambaye jina lake linamaanisha "mfalme wa haki," alikuwa mfalme wa Salemu (Yerusalemu) na KUHANI MKUU zaidi wa Mungu (Mwanzo 14: 18-20; Zaburi 110: 4, Waebrania 5: 6-11, 6: 20-7: 28).
2. Yesu ni kuhani mkuu milele. Waebrania 6:20 inasema, "alimoingia Yesu kwa ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa KUHANI MKUU hata milele kwa mfano wa Melkizedeki."
MFALME WA AMANI:
1. Melkizedeki ni mfalme wa Salem (Amani). Waebrania 6:20....alikuwa mfalme wa Salemu (Yerusalemu)
2. Yesu nayeye ni mfalme wa Amani. Mfalme wa Amani (Isaya 9: 6)
HANA MWANZO WALA MWISHO:
1: Melkizedeki hana mwanzo wa siku zake, wala mwisho wa uhai wake; bali amefananishwa na mwana wa Mungu" (Ebrania 7: 1,3)
2. Yesu Kristo alikuwepo milele yote“...Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, Mimi niko.” (Yohana 8:58). “Na sasa, Baba, unitukuze Mimi pamoja Nawe, kwa utukufu ule Mimi niliokuwa nao pamoja Nawe kabla ya ulimwengu kuwako.” (Yohana 17:5)
SIFA YA UKUHUNI YA MELKIZEDEKI NA YESU ZINAFANANA. WOTE HAWAKUTOKA KATIKA KABILA LA LAWI.
Wayahudi wanahoji:'Ninyi Wakristo tuambieni kama huyu Yesu sasa anaweza kuwa kuhani wetu mkuu, mwenye kutoa maombi yetu na matendo yetu kwa Mungu. Lakini kuhani inampasa ukoo wake ujulikane, akithibitishwa katoka kabila ya Lawi. Na kwa vyovyote, ninyi wenyewe mnakiri Yesu alitoka kabila ya Yuda (Ebrania 7: 14). Tunasikitika, kwetu sisi Ibrahimu ndiye Kiongozi wetu mkuu na mfano (wa kuufuata) (Yohana 8: 33, 39), hatutamheshimu huyu Yesu'.
Kwa hiyo Paulo anajibu:
‘Lakini mkumbukeni Melkizedeki. Taarifa ya kitabu cha Mwanzo imetengenezwa ili kuonyesha kwamba kuhani huyu mkuu hakuwa na ukoo wa babu yeyote; naye Masihi kwa pande zote mbili anakuwa mfalme na kuhani, ambaye ukuhani wake ni wa kufuata mfano mzuri wa Melkizedeki (Ebrania 5: 6; Zaburi 110: 4).
MWANA WA MUNGU.
Yesu alikuwa na Baba (Mungu)-MWANA WA MUNGU (tazama Mathayo 1, Luka 3 na Yohana7: 27).
Melkizedeki katika Waebrania 7 aya ya 3 "alifananishwa na Mwana wa Mungu"; Waebrania 7:3 ....., bali kama alivyo Mwana wa Mungu, yeye adumu kuwa kuhani milele.
"Ametokea kuhani mwingine mithili ya Melkizedeki", Yesu (Ebrania 7: 15) naye amefanywa kuhani mkuu' kwa mfano wa Melkizedeki"(Ebrania 5: 5,6).
Lugha ya Waebrania kumhusu Melkizedeki haiwezi kuchukuliwa tu kwa maneno jinsi yalivyo. Ikiwa Melkizedeki kwa maneno halisi hakuwa na Baba wala mama, basi mtu pekee anaweza kuwa ni Mungu mwenyewe; ni mtu wa pekee asiye na mwanzo (1 Timotheo 6: 16; Zaburi 90: 2). Lakini taarifa hii haikubaliani na Ebrania 7: 4:"Angalieni jinsi mtu huyo alivyokuwa mkuu" na vile vile kwa ukweli wa kwamba watu walimuona Melkizedeki (ambapo Mungu hawezi kuonwa) na alimtolea dhabihu Mungu. Ikiwa ameitwa mtu huyo, basi huyo ilimpasa kuwa na wazazi halisi. Yeye kuwa,"hana Baba, wala Mama, na wazazi" kwa hiyo inabidi kutaja ukweli kwamba ukoo wa babu na wazazi wake taarifa zao hazikuandikwa. Taarifa za wazazi wa Malikia Esta hazikuandikwa, kwa hiyo maisha yake ya nyuma yameelezewa kwa namna hii. Mordekai"alimlea …..Esta, binti wa mjomba wake: kwa kuwa hana Baba wala Mama …… nao walipokufa Baba na Mama yake, yule Mordeklai alimtwaa kuwa binti yake yeye"(Esta 2: 7).
Bwana ameapa, Wala hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, Kwa mfano wa Melkizedeki (Zaburi 110:4)
Je, Melkizedeki na Yesu ni mtu mmoja? Hoja inaweza kufanywa kwa njia yoyote. Kwa uchache sana, Melkizedeki ni aina ya Kristo, anayeonyesha huduma ya Bwana kabla yake.
Ametokea kuhani mwingine mithili ya Melkizedeki", Yesu (Ebrania 7: 15) naye amefanywa kuhani mkuu'kwa mfano wa Melkizedeki"(Ebrania 5: 5,6).
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UNAWAFAHAMU MALAIKA WAKUU SABA WA MUNGU "ARCHANGELS OF GOD? (SEHEMU YA NANE)


MALAIKA MKUU URIEL
Malaika wanatajwa karibu mara 400 katika Biblia. Katika Kiebrania na Kigiriki, neno “malaika” linaweza kutafsiriwa kuwa “mjumbe.”
1 Wakorintho 14:33 inasema kwamba “Mungu si Mungu wa machafuko, bali ni wa amani.” Kwa hiyo, Mungu amewapanga wanawe wa roho katika makundi matatu makuu:
(1) Maserafi, ambao ni watumishi kwenye kiti cha Ufalme cha Mungu, wanatangaza utakatifu wake, na kuhakikisha kwamba watu wake wako safi kiroho;
(2) Makerubi, ambao wanategemeza enzi kuu ya Mungu; na
(3) Malaika wengine ambao wanatenda mapenzi yake. (Zaburi 103:20; Isaya 6:1-3; Ezekieli 10:3-5; Danieli 7:10)
Malaika Mkuu Urieli, ambaye jina lake linamaanisha "Nuru ya Mungu, Light of God." au Moto wa Mungu "Fire of God".
Jina la Urieli linalotajwa katika Biblia inayo tumiwa na Waluteri, Anglikana na Wakristo wa Ki-Orthodox wa Urusi.
Hili jina la URIEL linaweza gawanyika kama ifuatavyo.
U= Nafasi; RI = Nuru/Jua; EL = Mungu IKIMAANISHA NURU YA MUNGU na wakati mwingine anaitwa MOTO WA MUNGU.
Biblia inasema, Yesu atakuja “pamoja na malaika zake wenye nguvu katika MWALI WA MOTO.” Kusudi lao litakuwa ‘kuleta kisasi juu ya wale wasiomjua Mungu na wale wasiotii habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.’ (2 Wathesalonike 1:7, 8) Hatua hiyo itakuwa na matokeo makubwa kama nini kwa wanadamu! Wale wanaokataa kukubali habari njema ya Ufalme wa Mungu inayotangazwa leo duniani pote wataharibiwa. Ni wale tu ambao wanamtafuta Mungu (Walio okoka), wanatafuta uadilifu na upole ndio ‘watakaofichwa katika siku ya hasira ya Mungu.’—Sefania 2:3.
Mtumishi wa Elisha alikuwa ameamka mapema, akaona jeshi la Shamu lilikuwa limeuzingira mji ambao yeye na Elisha walikuwamo. Kwa hofu, akamwambia Elisha, “Ole wetu, Bwana wangu! Tufanyeje? [kwa maneno mengine, tutawezaje kutoka katika hali hii tukiwa hai? Kisha Elisha akamwambia mtumishi wake], Usiogope: kwa maana walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao. Elisha Akaomba [kwa MUNGU] akasema, BWANA, NAKUSIHI, mfumbue macho yake, apate kuona. Na BWANA akayafumbua macho ya mtumishi yule; naye akaona: Na, tazama, kile kilima kilikuwa kimejaa farasi na MAGARI YA OTO yaliyomzunguka Elisha pande zote” (2 Wafalme 6:15-17).
Jeshi lile lile au majeshi ya MUNGU ambayo Elisha alimwomba Mungu amuonyeshe mtumishi wake (mtumishi wa Elisha) ndilo jeshi lile lile ambalo MUNGU alitumia kuziangusha kuta za Yeriko (Yoshua 6:20). Yoshua alikutana na MKUU wa majeshi ya BWANA kule Yeriko katika njia hii : “Ikawa hapo, Yoshua alipokuwa karibu na mji wa Yeriko, akainua macho yake na kuangalia, na, tazama, mtu mwanamume akasimama kumkabili mbele yake, naye alikuwa na upanga wa wazi mkononi MWAKE; Yoshua AKAMWENDEA na KUMWAMBIA, Je! WEWE u upande wetu, au upande wa adui zetu? Naye akasema, LA; LAKINI NIMEKUJA SASA KAMA AMIRI WA MAJESHI YA BWANA [YESU kabla hajachukua mwili wa binadamu]. Naye Yoshua akaanguka kifudifudi mbele zake hadi chini, na kuabudu, na AKAMWAMBIA, BWANA wangu anamwambia nini mtumishi WAKE? Na AMIRI wa majeshi ya BWANA akamwambia Yoshua, Vua viatu vyako kutoka miguuni mwako; kwa kuwa mahali usimamapo ni Patakatifu. Na Yoshua akafanya vivyo.
“Basi mji wa Yeriko ulikuwa umefungwa kwa sababu ya wana wa Israeli: hapana mtu aliyetoka, wala hapana mtu aliyeingia. [Hii ilikuwa kwa sababu walijua kuwa MUNGU alikuwa pamoja na Israeli, na pia walijua kuwa MUNGU alikuwa anakwenda kuwaangamiza.] BWANA akamwambia Yoshua, Tazama, nimeutia Yeriko katika mkono wako, na mfalme wake, na mashujaa wake.
Katika kitabu cha Enoki, Nabii mkuu Enoki anatabiri kuhusu walinzi. Hawa walinzi ni malaika wa MUNGU, na ni jeshi la mbinguni la BWANA. Wakati mwingine wanasemekana kuwa malaika walinzi wa watakatifu wa MUNGU hapa duniani.
Kunao malaika wabaya (Malaika walio asi), na kuna malaika wazuri. Ufunuo 12:4 inasema kwamba theluthi moja ya malaika hawa – wale wabaya – walitupwa kutoka Mbinguni pamoja na kiongozi wao, Shetani mwenyewe (Luka 10:18). Lakini kumbuka, theluthi mbili ya malaika – wale wazuri – walibakia kwenye utumishi wa MUNGU. Wale wabaya, theluthi moja, si wabaya tu, bali ni hatari sana.
Ufunuo 16:1 inasema, “Kisha nikasikia sauti kuu kutoka Hekaluni, ikiwaambia wale malaika saba, enendeni mkavimimine vile vitasa saba vya ghadhabu ya MUNGU juu ya nchi.” Katika Danieli 4:13, “Mlinzi [malaika] na mtakatifu walishuka kutoka mbinguni” Wakileta hukumu ya MUNGU kwa mfalme aliyekuwa na kiburi Nebukadreza, aliyesema kwenye kitabu cha Danieli 4:30, “Mji huu sio Babeli kubwa nilioujenga mimi, uwe kao langu la kifalme, kwa uwezo wa nguvu zangu [badala ya nguvu za MUNGU], ili uwe utukufu wa enzi yangu [badala ya utukufu wa MUNGU]?”
Hii hapa ni hukumu ambayo MUNGU alimpa mlinzi ili kuifanya dhidi ya Mfalme Nebukadreza: “Hata neno lile lilipokuwa [bado] katika kinywa cha mfalme [aliyejawa na kiburi] sauti ilikuja kutoka mbinguni, ikisema, Ee Mfalme Nebukadreza, maneno haya unaambiwa wewe; Ufalme umeondoka kwako. Nawe utafukuzwa [na walinzi] mbali na wanadamu, na makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa kondeni ; utalishwa majani kama ng’ombe, na nyakati saba zitapita juu yako, hata utakapojua ya kuwa yeye ALIYE JUU SANA ndiye anayemiliki katika ufalme wa wanadamu, naye humpa AMTAKAYE ye yote. Saa iyo hiyo jambo hilo likatimizwa, likampata Nebukadreza: Alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani kama ng’ombe, na mwili wake ulilowa maji kwa umande wa mbinguni, hata nywele zake zikawa kama manyoya ya tai, na kucha zake kama kucha za ndege” (Danieli 4: 31- 33).
USIKOSE SEHEMU YA TISA .....MALAIKA MKUU RAPHAEL
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Australia: Muslims Beat Up African Train Passenger For Pointing Out Arabs Bring Crime Into The Country

A violent brawl between four men has been captured by a passenger on a train in Melbourne
So, a black man tells Arabs they are responsible for all the crimes. And what do they do? In response they commit a crime (!) and beat him up. For their senseless attack the victim is called a ‘racist’.
How was the statement “racism”? People don’t even know the meaning of the word racism. An opinion is an opinion. It’s not racism. Racism is an act whereby you deprive a person of the same legal rights that others have access to based on the idea that they are inferior to have the same rights. Racism is an act of deprivation. It’s tiring to read the poor grasph the media have of the word racism and how easily they use it for every small story of theirs.
The “witness” who claims ‘racist remarks’ were made appears to be an Indian – probably of Muslim background. Of course he will immediately jump on the ‘racism’ argument and sounds supportive of the Muslims gang who attacked a lone man. Why is the gang not deported from Australia? They give an appearance of being first generation migrants. What has Australia done to itself bringing this toxic lot into the country?
A violent brawl between four men has been captured by a passenger on a train in Melbourne.
The witness said the man on the ground who was being attacked was the one who initiated the fight.
‘He was bleeding from his lip because he suffered a lot of punches. And he deserved it too,’ the witness said.
He explained the altercation began with insults between the three Arabic men and the African man.
‘He (the African man) said ”Go back to where you came from” and ”All immigrants are a problem to this country and you bring all the crime here”,’ the witness said.
The witness (pictured) who was not identified, said the African man, who was left slumped on the floor after being attacked by three other men, was the one who started the fight
The witness (pictured) who was not identified, said the African man, who was left slumped on the floor after being attacked by three other men, was the one who started the fight.
After this, the insults turned to terrorism.
The witness said the African man told the three other men that all Arabic people were part of ISIS, and that’s when the physical fight began.
He said: ‘They just wanted to beat she s*** out of him and they did.’
Other passengers sought help from transit guards when the train pulled into Tottenham station.
The witness said the African man told the three other men that all Arabic people were part of ISIS, and that's when the physical fight began. Transit officers boarded the train (pictured) when it stopped at Tottenham station
The witness said the African man told the three other men that all Arabic people were part of ISIS, and that’s when the physical fight began. Transit officers boarded the train (pictured) when it stopped at Tottenham station.
One man was seen getting off the train and yelling ‘Look here, they’re fighting on the train. There’s one down on the ground now. They seem to be affected by alcohol.’
Transit guards are then seen rushing into the carriage.
According to 7 News police and transit guards spoke to the four men but none of them wanted to press charges or take the incident further, with each group blaming each other for the violence.
The witness to the incident said he thinks public transport needs more security.
Read more:
https://themuslimissue.wordpress.com/2017/04/16/australia-muslims-beat-up-african-train-passenger-for-pointing-out-arabs-bring-crime-into-the-country/

Monday, April 17, 2017

DAMU YA YESU ALIYO MWAGA KWA AJILI YA UKOMBOZI WETU INANENA MEMA

Image may contain: text
Tangia Agano la Kale, kila aina ya kafara iliyofanyika Damu ilitumika. Ndiyo maana hata sasa, wachawi na waganga wa kienyeji wakitaka kufanya kazi zao za uharibifu huhitaji damu, aidha ya wanyama kama kondoo, mbuzi, kuku n.k.
Damu inanena / au ina uwezo wa kuongea. WAEBRANIA 12:24…[na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.]
Yesu Kristo alimwaga damu yake kwa ajili ya ukombozi wetu – tumekombolewa na damu ya Yesu. (Waefeso 1:7; Wakol.1:20; 1 Petro 1:19; Ufunuo 5:19; Waebrania 9:12).
TABIA ZA DAMU
Damu ina uhai ndani yake. WALAWI 17:11….[Kwa kuwa uhai wa mwili u katika hiyo damu; nami nimewapa ninyi hiyo damu juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu; kwani ni hiyo damu ifanyayo upatanisho kwa sababu ya nafsi.]….
MWANZO 9:4… [Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile. 5 Hakika damu yenu ya uhai wenu nitaitaka; na kwa mkono wa kila mnyama nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa ndugu ya mtu nitataka uhai wa mwanadamu.]… Hii ina maanisha kwamba, kwa kuwa uhai u ndani ya damu, ndiyo maana wanasayansi wameshindwa kutengeneza damu, la sivyo wangeweza kutengeneza uhai pia.
Damu ina Sauti.
Damu inanena / au ina uwezo wa kuongea. WAEBRANIA 12:24…[na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.]
Damu inaweza kulia…. MWANZO 4:10…[Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi.]… Kwa hiyo Mungu alisikia sauti ya damu ya Habili ikilalamika, “Mungu nimeuawa bila sababu”. Yawezekana uliwahi kumwaga damu ya mtu, kwa kujua au kujua. Damu hiyo inalia hata sasa. Yawezekana uliwahi kutoa ujauzito kipindi Fulani. Yawezekana ulishiriki kumpa binti ujauzito na wewe ukatoa fedha ili afanye abortion (kutoa mimba). Damu zote hizo zinalia hata leo. Yawezekana ulikuwa na cheo na ukakitumi hicho cheo kwa naman ambayo mtu fualni alipoteza maisha yake kwa sababu yake.m damu ile inalia hata leo. Kwa sababu ulimwaga damu ambayo Mungu alisema nitaitaka.
Damu inaweza kutamka laana. MWANZO 4:11…[Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako; 12 utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani.]… Yamkini zipo laana zinaendelea kukupata wewe kwa sababu ya damu za aina hii. Au ipo damu iliyomwagwa na wachawi ili kukulaani wewe.
Damu ina uwezo wa kufuata. Damu yaweza kufuatilia kutoka ukoo mmoja hadi mwingineie, familia moja hadi nyingine, kizazi kimoja hadi kingine au hata taifa moja hadi jingine. MATHAYO 27:24….[Basi Pilato alipoona ya kuwa hafai lo lote, bali ghasia inazidi tu, akatwaa maji, akanawa mikono yake mbele ya mkutano, akasema, Mimi sina hatia katika damu ya mtu huyu mwenye haki; yaangalieni haya ninyi wenyewe.]…
Kwa damu yake mwenyewe Yesu aliingia mara moja tu katika patakatifu, ndio maana sisi tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, yaani, uwepo wa Mungu katika Roho. (Waebr.9:12; 10:19).
Matendo 20:28
Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake MUNGU, ALILOLINUNUA KWA DAMU YAKE MWENYEWE.
Ni Mungu gani mwenye damu huyu? Jibu liko wazi. Huyu ni Yesu Kristo. Huyu ndiye aliyetoa uhai wake na kumwaga damu yake msalabani; na hapo ndipo alipoanzisha Kanisa.
YESU NI MUNGU.
Shalom,
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

JE, MELKIZEDEKI NA YESU NI MTU MMOJA? (SEHEMU YA KWANZA)


Nini maana ya Kuhani?
Neno “Kuhani” katika Agano Jipya lina maana mtoto wa mfalme au mtumishi. Na makuhani wote kwenye maandiko ni lazima wawe na madhabahu na ni lazima watoe sadaka. Na hakuna mtu kwenye maandiko alikuwa na uwezo wa kutoa sadaka kwa ajili ya watu mbele ya Mungu.
Tofauti ya Nabii na Kuhani ni ipi?
Kazi ya manabii ni kutumikia Mungu kwa ajili ya watu. Lakini kazi ya Kuhani ni kutumikia Watu mbele ya Mungu.
Jina Melkizedeki limeonekana katika Biblia mara kumi (Mwanzo 14:18, Zaburi 110:4, Kitabu cha Waebrania - 5:6, 5:10, 6:20, 7:1, 7:10, 7:11, 7:15, 7:17).
Melkizedeki, ambaye jina lake linamaanisha "Mfalme wa haki," alikuwa mfalme wa Salemu (Yerusalemu) na kuhani mkuu zaidi wa Mungu (Mwanzo 14: 18-20; Zaburi 110: 4, Waebrania 5: 6-11, 6: 20-7: 28). Melkizedeki huonekana ghafla na kupotea katika kitabu cha Mwanzo ni ajabu kwa kiasi fulani. Melkizedeki na Ibrahimu walikutana kwanza baada ya Ibrahimu kushindwa kwa Kedorlaoma na washirika wake watatu. Melkizedeki iliwasilisha mkate na mvinyo kwa Ibrahimu na watu wake walokuwa wamechoka, kwa kuonyesha urafiki. Yeye alitawaza baraka kwa Ibrahimu kwa jina la El Elyon ("Mungu aliye juu zaidi") na kumsifu Mungu kwa kumpa Abraham ushindi katika vita (Mwanzo 14: 18-20).
Tunaona sifa mbili za Melkizedeki, kwanza mfalme na pili ni kuhani wa Mungu aliye juu. Salem ndiyo eneo ambalo mfalme huyu alitawala kulingana na mstari huu. Salem ina maana ya amani. Kwa hiyo Melkizedeki alikuwa mtawala wa sehemu yenye jina lenye tafsiri ya amani. Akiwa kama kuhani, anambariki Ibrahimu na anapokea zaka za Ibrahimu (mst 19-20).
Hatuwezi kusoma kuhusu Ukuhani wa Yesu mpaka kitabu cha Waebrania katika Agano Jipya. Na hapa mwandishi anamtukuza yeye kama Kuhani Mkuu wa pekee na wa milele. Yeye tu ni Kuhani Mkuu wetu na hakuna mwingine. Amekwisha mwaga damu yake kwa ajili yetu na damu yake inafaa milele.
Waebrania 6:20 inasema, "alimoingia Yesu kwa ajili yetu, mtangulizi wetu, amekuwa kuhani mkuu hata milele kwa mfano wa Melkizedeki." Tamko kwa mfano kwa kawaida laweza kuonyesha urithi wa kuhani wanaoshikilia ofisi. Hakuna waliotajwa kamwe, hata hivyo, katika kipindi cha muda mrefu kutoka Melkizedeki hadi kwa Kristo, kihoja kinachoweza kusuruhishwa kwa kuchukulia kwamba Melkizedeki na Kristo kweli ni mtu mmoja. Hivyo "mfano wa" umekabidhiwa ndani yake na kwake pekee milele.
Waebrania 7: 3 inasema kuwa ”hana baba, hana mama, hana wazazi, hana mwanzo wa siku zake, wala mwisho wa uhai wake, bali amefananishwa na Mwana wa Mungu; huyo adumu kuhani milele.”Swali ni iwapo mwandishi wa waebrania anamaanisha hii halisi au kitamathali.
Kama maelezo katika Waebrania ni halisi, basi ni vigumu kweli kuona jinsi itakavyotekelezwa kamili kwa mtu yeyote ila Bwana Yesu Kristo. Hakuna mfalme wa duniani "atakayebakia kuwa kuhani milele, "na hakuna binadamu wa kawaida“ ambaye hana baba wala mama.” Kama Mwanzo 14 inaelezea kuhusu imani ya kumufahamu Mungu, basi Mungu Mwana alikuja kumpa Ibrahimu baraka zake (Mwanzo 14: 17-19),akionekana kama Mfalme wa Haki (Ufunuo 19: 11,16), Mfalme wa Amani (Isaya 9: 6), na mpatanishi kati ya Mungu na binadamu (1 Timotheo 2: 5).
Ibraham alimpokeza Melkizedeki na zaka ( fungu la kumi) ya vitu vyote alivyokuwa amesanya. Kwa kitendo hiki Ibraham alionyesha kuwa alitambua Melkizedeki kama kuhani ambaye nafasi yake ya kiroho ilikuwa juu kuliko yake.
Katika Zaburi 110, zaburi ya kimasihi iliyoandikwa na Daudi (Mathayo 22:43), Melkizedeki ametolewa kama aina nyingine ya Kristo. Mada hii imerudiwa katika kitabu cha Waebrania, ambapo Melkizedeki na Kristo wote wamechukuliwa kuwa wafalme wa haki na amani.Kwa kudondoa Melkizedeki na ukuhani wake wa kipekee kama aina, mwandishi anaonyesha kwamba ukuhani mpya wa Kristo ni bora kuliko mpangilio wa zamani wa Walawi na ukuhani wa Haruni (Waebrania 7: 1-10).
Baadhi hupendekeza kwamba Melkizedeki alikuwa amepata mwili ulionekana kama Yesu Kristo, au Kristofani . Hii ni nadharia inayowezekana, ikikumbukwa kwamba Ibrahimu alikuwa amepata ziara kama hizo hapo awali. Chukulia Mwanzo 17 ambapo Ibrahimu alimwona na kuongea na Bwana (El Shaddai) katika umbo la mtu.
Kama maelezo ya Melkizedeki ni mfano, basi maelezo ya kutokuwa na nasaba/kisasi, hakuna mwanzo au mwisho, na huduma isiyo na mwisho ni tu kauli inayotia mkazo asili ya kiajabu ya mtu ambaye alikutana na Ibrahimu. Katika kesi hii, kimya katika maelezo ya Mwanzo kuhusu maelezo haya yana kusudi yanahudumu bora kwa kuunganisha Melkizedeki na Kristo.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

Saturday, April 15, 2017

NI MANENO GANI YALIANDIKWA KWENYE ANWANI JUU YA KICHWA CHA YESU PALE MSALABANI?


Image may contain: text
Kwenye Mathayo 27:37; Marko 15:26; Luka 23:38 na Yohana 19:19, ni maneno gani hasa yaliyoandikwa kwenye anwani juu ya kichwa cha Yesu?
Kwanza tuangalie mambo matano yanayohusiana na jibu, na kisha majibu mawili.
1. Kwanza kabisa hapakuwa na ujumbe mmoja, lakini kulikuwa na jumbe tatu, kama Yohana 19:29 inavyosema, anwani iliandikwa Kiaramu, Kilatini na Kigiriki.
2. Hivi ndivyo waandishi wa injili wanavyo ripoti:
Mathayo 27:37 inasema, "Huyu ni Yesu, Mfalme wa Wayahudi."
Marko 15:26, "Mfalme wa Wayahudi."
Luka 23:38, "Huyu ndiye Mfalme wa Wayahudi."
Yohana 19:19, "Yesu Mnazareti, Mfalme wa Wayahudi."
3. Waandishi wa kale walikuwa na kawaida ya kufafanua maneno badala ya kunukuu. Ripoti Tulizo nazo hapa ni sahihi, lakini hazina maelezo ya kina. Hivyo, kwa mfano, kama mwandishi mmoja alisema "Huyu ndiye Yesu, Mfalme wa Wayahudi", na mwingine alisema "Mfalme wa Wayahudi", wote wanaweza kuwa wanaripoti maneno yale yale. Mwandishi wa kwanza anaripoti maneno zaidi kuliko yule wa pili.
4. Papias, mwanafunzi wa Mtume Yohana, anaripoti kuwa Injili ya Mathayo iliandikwa kwanza kwa lugha ya Kiebrania (au Kiaramu?) na kisha ikatafsiriwa kwenye Kigiriki. Waandishi wengine waliandiki Kigiriki. Hivyo, kuna tafsiri kati ya maneno yaliyosemwa na yale yaliyoandikwa na waandishi wa Injili.
5. Bila kujali tofauti zilizopo kati ya anwani hizi tatu, Marko anaelekea kuripoti maneno yaliyopo kwa waandishi wote watatu.
Jibu la Kwanza: Jumbe hizi tatu kwenye lugha tatu tofauti zimeripotiwa kwenye Mathayo, Luka, na Yohana. Marko anaripoti maneno yaliyomo kwa waandishi wote watatu. Pilato huenda hakujua Kiaramu kwa hiyo ujumbe ungeweza kuandikwa kwa Kilatini, na kutafsriwa kwenye Kigiriki na Kiaramu ili kila mtu aweze kuusoma.
Jibu la Pili: Kwa kuwa waandishi wa injili waliripoti maneno yaliyokuwa yametafsiriwa, na mambo kama "Hii ni" yalitokea mara kwa mara kwenye tafsiri, tuna uhakika na ujumbe wa anwani, lakini hatuna uhakika na maneno halisi. Hata hivyo, kitu muhimu hapa ni ujumbe, siyo maneno halisi.
HAKIKA YESU NI MFALME WA WAFALME.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

UFUFUO WA YESU KRISTO


HOSANA: YESU AMEFUFUKA
UFUFUO WA YESU KRISTO
Ufufuo wa Yesu uliwatia moyo sana wanafunzi wake. Hakuwa mfu kama maadui zake walivyoamini. Yesu alikuwa hai akiwa kiumbe wa roho mwenye nguvu ambaye hakuna mwanadamu angeweza kumdhuru. Ufufuo wake ulithibitisha kwamba alikuwa Mwana wa Mungu na Mungu, na kujua jambo hilo kuliwatia moyo wanafunzi wake, wakawa na shangwe kubwa badala ya huzuni. Na pia wakawa na ujasiri badala ya hofu. Ufufuo wa Yesu ulikuwa muhimu sana katika kutimizwa kwa kusudi la Mungu na ulikuwa msingi wa habari njema waliyohubiri kwa ujasiri kotekote.
Mitume walijua kwamba ufufuo wa Yesu ulikuwa tofauti na ufufuo wowote uliotangulia. Watu waliofufuliwa mapema walifufuliwa wakiwa na miili ya kibinadamu na hatimaye walikufa tena. Yesu alifufuliwa akiwa na mwili wa roho ambao haungeweza kuharibika. (Soma Matendo 13:34.) Petro aliandika kwamba Yesu “aliuawa katika mwili, lakini akafanywa kuwa hai katika roho.” Zaidi ya hayo, “yuko mkono wa kuume wa Mungu, kwa maana alienda zake mbinguni; na malaika na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.” (1 Petro 3:18-22) Ufufuo wowote uliotangulia ufufuo wa Yesu ulikuwa muujiza wenye kustaajabisha, lakini ufufuo wa Yesu ulikuwa muujiza mkubwa hata zaidi.
TUNAJUAJE KWAMBA YESU ALIFUFULIWA?
Ufufuo wa Yesu ulitokeaje “kulingana na Maandiko”?
Kwanza, tunajua kwamba Yesu alifufuliwa kwa sababu ufufuo wake ulitokea “kulingana na Maandiko.” Neno la Mungu lilitabiri ufufuo huo. Kwa mfano, Daudi aliandika kwamba mtumishi “mshikamanifu” zaidi wa Mungu hataachwa katika Kaburi. (Soma Zaburi 16:10.) Katika siku ya Pentekoste ya mwaka 33 W.K., mtume Petro alionyesha kwamba maneno hayo ya kinabii yalimhusu Yesu. Alisema hivi: “[Daudi] aliona kimbele na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi wala mwili wake haukuona uharibifu.”—Matendo 2:23-27, 31.
Pili, tunajua kwamba Yesu alifufuliwa kwa sababu tuna ushuhuda wa mashahidi wengi. Kwa siku 40, Yesu aliyefufuliwa aliwatokea wanafunzi wake katika bustani ambamo kaburi lake lilikuwa, na pia aliwatokea njiani wakielekea Emau, na wakiwa sehemu nyingine. (Luka 24:13-15) Katika pindi hizo, aliongea na mtu mmoja-mmoja kutia ndani Petro, na pia aliongea na vikundi vya watu. Hata pindi fulani, Yesu aliyefufuliwa alitokea umati wa watu zaidi ya 500! Ushuhuda wa mashahidi wengi hivyo waliomwona Yesu aliyefufuliwa hauwezi kukanushwa.
Tatu, tunajua kwamba Yesu alifufuliwa kwa sababu wanafunzi wake walitangaza ufufuo wake kwa bidii. Walinyanyaswa, wakateswa, na kuuawa kwa sababu ya kutangaza kwa bidii ufufuo wa Kristo. Kama Yesu hangekuwa amefufuliwa, yaani, ikiwa huo ulikuwa uwongo, kwanini Petro alihatarisha uhai wake kwa kuwatangazia viongozi wa kidini kuhusu ufufuo wa Kristo ilhali viongozi hao walimchukia Yesu na kupanga njama auawe? Kwa sababu Petro na wanafunzi wengine walikuwa na uhakika kwamba Yesu alikuwa hai na alikuwa akiongoza kazi ambayo Mungu alitaka ifanywe. Isitoshe, ufufuo wa Yesu uliwahakikishia wafuasi wake kwamba wao pia wangefufuliwa. Kwa mfano, Stefano alikufa akiwa na uhakika kwamba wafu watafufuliwa.—Matendo. 7:55-60.
Ufufuo wa Kristo unatupatia ujasiri wa kuhubiri. Kwa miaka 2,000, maadui wa Mungu wametumia kila aina ya silaha kukomesha kazi ya kuhubiri habari njema—wametumia uasi-imani, dhihaka, vikundi vyenye ghasia, marufuku, mateso, na kuwaua watumishi wa Mungu. Hata hivyo, hakuna chochote, yaani, hakuna ‘silaha yoyote iliyofanywa juu yetu’ imekomesha kazi yetu ya kuhubiri kuhusu Ufalme na kufanya wanafunzi. (Isaya 54:17) Hatuwaogopi watumishi au watumwa wa Shetani. Yesu yuko pamoja nasi, na anatusaidia kama alivyoahidi. (Mathayo 28:20) Hatuna sababu yoyote ya kuogopa kwa kuwa hata adui zetu wafanye nini, hawataweza kamwe kutunyamazisha!
Yesu alisema: “Mimi ndiye ufufuo na uzima. Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima.” (Yohana 11:25) Kwa hakika, maneno hayo yenye kusisimua yatatimia. Yesu ana Mamlaka yote Mbinguni na Duniani ya kuwafufua wale wanaopata uhai wa kiroho mbinguni, na pia kuwafufua mabilioni ya watu wanaotumaini kuishi milele. Dhabihu ya Yesu inayofunika dhambi na pia ufufuo wake unatuhakikishia kwamba kifo hakitakuwapo tena. Je, kujua mambo hayo hakukupi nguvu za kuvumilia jaribu lolote lile na hata kukabili kifo kwa ujasiri?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

KWA NINI WAISRAELI WANASHEREHEKEA PASAKA KWA ZAIDI YA MIAKA 3500?

Image may contain: one or more people, crowd, outdoor and text
“Siku hii itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mtaisherehekea ikiwa sherehe kwa Yehova.”— Kutoka 12:14.
Ni sherehe ya Pasaka. Ilikuwa sherehe ya kukumbuka kukombolewa kwa taifa la kale la Israeli kutoka utumwani huko Misri. Tukio hilo linapaswa kuwa muhimu kwako. Kwa nini? Kwa sababu linahusiana na mambo fulani muhimu maishani mwako.
Hata hivyo, huenda ukasema: ‘Wayahudi ndio wanaosherehekea Pasaka, lakini mimi si Myahudi. Inanihusuje?’
Maneno haya muhimu yanajibu swali hilo: “Kristo pasaka yetu ametolewa dhabihu.” (1 Korintho 5:7) Ili tuelewe vizuri umuhimu wa maneno hayo ya kweli, tunahitaji kuijua Pasaka ya Wayahudi na kuona jinsi inavyohusiana na amri fulani waliyopewa Wakristo wote.
Ni nini kilichotukea kabla ya Pasaka ya kwanza?
Baada ya Waisraeli kuwa watumwa kwa miaka mingi huko Misri, Mungu alimtuma Musa na Haruni ndugu yake, wakamwambie Farao awaachilie huru watu Wake. Mtawala huyo wa Misri mwenye kiburi alikataa kuwaruhusu Waisraeli waende zao, hivyo Mungu akaipiga nchi ya Misri kwa mfululizo wa mapigo yenye kuangamiza. Mwishowe, Mungu alileta pigo la kumi lililoua wazaliwa wote wa kwanza Wamisri, na hivyo Farao akawaacha Waisraeli waende zao.— Kutoka 1:11; 3:9, 10; 5:1, 2; 11:1, 5.
Hata hivyo, Waisraeli walipaswa kufanya nini kabla ya kuachiliwa huru?
Ulikuwa wakati wa majira ya kuchipua ya mwaka wa 1513 K.W.K., katika mwezi wa Kiebrania wa Abibu, uliokuja kuitwa Nisani, wakati ambapo saa za mchana hulingana kwa urefu na saa za usiku. * Mungu alisema kwamba katika siku ya kumi ya mwezi huo, Waisraeli walipaswa kuanza kujitayarisha kufanya mambo fulani Nisani 14. Siku hiyo ilianza jua lilipotua kwa kuwa kulingana na Waebrania, siku ilianza na kwisha jua lilipotua. Katika Nisani 14, kila familia ilipaswa kuchinja kondoo dume (au mbuzi), kuchukua sehemu ya damu na kuipaka juu ya miimo ya mlango na sehemu ya juu ya mlango wa nyumba. (Kutoka 12:3-7, 22, 23) Kila familia ilipaswa kumla mwana-kondoo aliyechomwa kwa moto, mboga, na mkate usiotiwa chachu. Malaika wa Mungu angepita katikati ya nchi na kumchinja kila mzaliwa wa kwanza wa Misri, lakini Waisraeli waliotii wangelindwa, kisha Farao angewaruhusu waende zao.—Kutoka 12:8-13, 29-32.
Hivyo ndivyo ilivyotukea, na Waisraeli walipaswa kuendelea kukumbuka ukombozi wao.
Mungu aliwaambia hivi: “Siku hii itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mtaisherehekea ikiwa sherehe kwa Yehova katika vizazi vyenu vyote.
Nanyi mtaisherehekea kama sheria mpaka wakati usio na kipimo.” Mwadhimisho huo uliofanywa siku ya 14 ulifuatiwa na sherehe ya siku saba. Nisani 14 ndiyo iliyokuwa siku ya Pasaka, lakini siku zote nane za sherehe hiyo ziliitwa pia Pasaka. (Kutoka 12:14-17; Luka 22:1; Yohana 18:28; 19:14) Pasaka ilikuwa mojawapo ya sherehe rasmi (Sikukuu) ambazo Wayahudi walipaswa kusherehekea kila mwaka.—2 Nyakati 8:13.
Acheni tufikirie tena kilichotukia Misri. Musa alisema kwamba watu wa Mungu wangeendelea kusherehekea Pasaka; ilipaswa kuwa sharti “mpaka wakati usio na kipimo.” Wakati wa sherehe hiyo ya kila mwaka, watoto waliwauliza wazazi wao maana ya tukio hilo. (Soma Kutoka 12:24-27; Kumbukumbu 6:20-23) Kwa hiyo, Pasaka ingekuwa “ukumbusho” hata kwa watoto.—Kutoka 12:14.
Wakristo wa kweli hawasherehekei Pasaka ya Kiyahudi. Sherehe hiyo ilikuwa sehemu ya Sheria ya Musa, na hatuko chini ya Sheria hiyo. (Roman 10:4; Kolosai 2:13-16) Hata hivyo, tunakumbuka kwa uthamini kifo cha Mwana wa Mungu. Lakini kuna mambo fulani katika sherehe ya Pasaka iliyoanzishwa huko Misri yaliyo na maana kwetu.
Mwana-kondoo alipochinjwa kwa ajili ya mlo wa Pasaka, Waisraeli hawakupaswa kuvunja mfupa wake wowote. (Kutoka 12:46; Hesabu 9:11, 12)
Namna gani YESU “Mwana-Kondoo wa Mungu” aliyekuja kutoa fidia?
(Yohana 1:29) Alitundikwa mtini katikati ya wahalifu wawili. Wayahudi walimwomba Pilato aagize mifupa ya wanaume hao waliotundikwa ivunjwe. Hilo lingefanya wafe haraka na hivyo kuondolewa juu ya miti kabla ya Nisani 15, siku ya Sabato kuu. Askari-jeshi walivunja miguu ya wahalifu wawili waliotundikwa, “lakini walipokuja kwa Yesu, kwa kuwa waliona kwamba tayari alikuwa amekufa, hawakuivunja miguu yake.” (Yohana 19:31-34) Vivyo hivyo, mwana-kondoo wa Pasaka hakuvunjwa miguu. Kwa njia hiyo, mwana-kondoo huyo alikuwa “kivuli” cha jambo ambalo lingetukia Nisani 14, mwaka wa 33 W.K. (Ebrania 10:1) Isitoshe, mambo hayo yalitimiza Zaburi 34:20, na hilo linapaswa kuimarisha uhakika wetu katika unabii.
Ndio maana hii leo, sisi Wakristo tunasherekea Pasaka kwasabau Yesu ni dhabihu bora zaidi inayoweza kuokoa uhai milele.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW