Tuesday, June 6, 2017

HATUUTAKI UISLAMU KWA KUWA MUHAMMAD ALIROGWA

No automatic alt text available.

Hadithi ya Aisha (r.a) amesema Mtume (s.a.w) alirogwa, mpaka akawa anaona kama anawaingilia wakeze na hali ya kuwa hawaingilii sufiyan mmoja wa wapokezi wa hadhithi hii amesema ndiyo uchawi mbaya mno unapokuwa namna hivi… (Alu-lu-lu wal-marjan, uk 822, hadithi na. 1412)

HAATUUTAKI UISLAMU KWA KUWA QURAN NI KITABU KINACHOTUMIKA KUFANYA UCHAWI

Image may contain: one or more people and text
Mchawi huandika moja ya sura katika Quran au baadhi ya za Quran kwa kutumia damu ya hedhi au kutumia uchafu mwingine wowote, kama vile kinyesi cha binadamu, wanyama, kisha mchawi anasoma tarasimu ya kishirikina shetani wa kijini utokea na mchawi humuomba msaada wa jambo analolitaka, na huyo jini hukubaliana nae kwa mashariti watakayo kubaliana (Kitabu cha sina za majini, UK9)

HATUUTAKI UISLAMU KWA KUWA MUHAMMAD HAJUI KAMA ATAINGIA PEPONI AU MOTONI

Image may contain: 1 person, text
Qur’an 46;9 (Surat Al-Ahqaf) Sema; mimi si kiroja (mpya) katika mitume wala sijui nitakavyofanywa, wala mtakavyofanywa ninyi, sifuati yaliyofunuliwa kwangu, sikuwa mie lolote, ila ni muonyaji tu ninayedhihirisha..
Hadithi ya Abu Huraira (r.a) amesema, Mtume wa Allah (s.a.w) amesema, “Hakuna yeyote miongoni mwenu atayeokolewa na amali yake” Wakasema hata wewe mtume wa Allah? Mtume (S.A.W) akasema, “Wala mimi isipokuwa anifunike Allah kwa rehema zake; hivyo fanyeni amali njema kwa uadilifu” (Bukhari Hadithi Na. 470, Juzuu ya 8)
Hadithi ya Aisha kutoka kwa Mtume (s.a.w) amesema, “Fanyeni yaliyo sahihi na yatekelezeni, na furahini kwa kuwa hakuna yeyote atakayeingiziwa peponi kwa amali (matendo) yake” Wakauliza ‘hata wewe mtume wa Allah?’ Mtume (s.a.w) akasema, ‘Hata mimi isipokuwa kama Allah atanifunika kwa rehema zake” (Bukhari Hadihthi Na. 474, Juzuu ya 8)
Sasa kama mtume mwenyewe hajui hatima yake siku ya mwisho kuna haja gani Wakristo tunaojitamua kuufuata UISLAMU? Yaani tumwache Yesu mwenye uhakika na watu wake na kile atakachowapa wanaomfuata.
Yohana 10;27-28
27 Kondoo wangu waisikia sauti yangu, nami nawajua, nao wanifuata. 28 Nami nawapa uzima wa milele, wala hawatapotea kamwe, wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.
Eti tuufuate Uislamu chini ya kiongozi Muhammad ambaye hajui hatima yake kama ataenda peponi, au ataenda motoni, bila shaka kwa Mkristo anayejitambua hawezi kuwa Muislamu.

HATUUTAKI UISLAMU KWA KWA KUWA ALLAH ANAE ABUDIWA NA WAISLAMU ANAISHIA JAHANAMU

Image may contain: one or more people and fire
Hadithi ya Anas Ibni Malik (r.a) kuwa Mtume (s.a.w) amesema jahanamu itaendelea kusema, “Je, kuna nyongeza”? Mpaka Allah atakapoweka humo unyayo wake na hapo utasema, Qat Qat (inatosha inatosha) naapa kwa nguvu zako na zile sehemu zake nyingine zitakaribiana na kuwa pamoja” (Bukhari Hadithi Na. 654, Juzuu ya 9)

UISLAM NI DINI YA KULAZIMISHANA

Image may contain: 2 people, text
KWANINI ALLAH NA MUHAMMAD WANALAZIMISHA WATU WAJIUNGE NA UISLAM?

KUMBE UISLAM SIO DINI YA AMANI.

Uislam unafundisha nini kuhusu kulazimishana katika dini?
Ndugu msomaji,
Waislam wameembiwa wapigane na Makafiri au wawauwe au wakubali kujiunga na dini ya Muhammad. Uislam hauruhusu waumini wa imani zingine au dini zingine waabudu kwa uhuru. Ndio maana kwenye nchi za Kirabu kama Uarabuni kwenye Makkah, huko hakuna kanisa hata moja. Allah hapendi uhuru wa kuabudu.
Surat Tawba 29. Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
Surat Al Anfaal 38. Waambie wale walio kufuru: Wakikoma watasamehewa yaliyo kwisha pita. Na wakiyarudia basi imekwisha pita mifano ya wa zamani.
39. Na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na Dini yote iwe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. Lakini wakiacha, basi hakika Mwenyezi Mungu anayaona wanayo yatenda.
Surat Tawba 5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
Surat Al Baqaara 193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu.
Surat Al Imran 84. Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
Juhudi za Muhammad za kuutanganza Uislam bila ya chuki ziligonga mwamba. Kwa miaka 13 Muhamamd alikuwa na watu 100 tu ambao wengi wao walikuwa ni ndugu zake na jamaa zake. Baada ya kushindwa vibaya sana kuutangaza Uislam kwa kutumia amani, Muhammad akabadilisha mbinu ya kuutangaza Uislam na kuteremsha hizi aya hapo juu za kulazimisha watu wajiunge na dini yake, au lasivyo watakiona cha mtema kuni, kama sio kuuliwa kabisa. Aliwaambia wafuasi wake kuwa Allah amemuamrisha kuwalazima watu wajiunge katika dini yake ya Uislam.
Katika miaka yake ya mwishoni. kabla ya kifo chake, Muhammad hakujali tena kwamba watu wanajiunga au, la, bali alikuwa analazimisha kila mtu ajiunge na Uislam kwa kutishia kifo. Hii ni pamoja na adui yake mkubwa Abu Sufyan na mke wake Hind. Kutokana na wana historia wa Kiislam, Abu Sufyan alikwenda kwa Muhammad kutaka wawe na amani baada ya chuki kubwa ya Muhammad, lakini Muhammad alimlazimisha kujiunga na Uislam, la sivyo alimwambia atamuua. Maneno halisi ambayo Muhammad alimwambia ni haya "Nyenyekea na shahadia kuwa hakuna Mungu ila Allah na Muhammad ni Mtume wake au ukikataa utakatwa kichwa chako" Soma Ushahdi katika Ibn Ishaq/Hisham 814. Hivyo basi Abu Sufyan akakubali.
Mji mzima wa Mekkah ulisaliti amri, pale Muhammad alipo uvamia akiwa na kundi lake. Wengi walikataa lakini walilazimishwa kuingia Uislam na walio kataa walikatwa kichwa na Muhammad mwenyewe.
Wengine walifukuzwa kutoka Mekka baada ya hija ya mwisho Soma Quran 9:5. Wakristo na Wayahudi walio kuwa Urabuni wakati huo, nao walipatwa na hii shida/balaa ya Muhammad kulazimisha kujiunga na Uislam au unauwawa. Wengi walipewa chaguo moja wajiunge na Uislam au wafukuzwe kutoka kwenye ardhi zao. SOMA Sahihi Muslim 19:4366.
Kabla hajafa, Muhammad alituma majeshi yake kwenda kuwalazima Wapagani wa Kiarabu kujiunga nae, kabila la al Harith. Aliwaambia wamepewa chaguo moja tu kujiunga nae au atawauwa wote kwa upanga. Lakini hilo kabila la kipagani liliogopa na kiunga nae. Baadae Muhammad akawalaani Wakristo wote na Wayahudi. SOMA Sahihi Bukhari 8:427.
Kutoka na al Shafi : "The Ordinances of the Quran", Muhammad alilazimisha watu wajiunge nae au aliwauwa watu walio mkataa. Soma Bukhari 53:386.
Vinyo hivyo, Abu Kabkr, aliye chukua baada ya Muhammad, alifanya Jihad mbaya zaidi katika nchi za jirani kwa watu walio ukataa Uislam. Katika Barua iliyo tumwa kwa Persians, Abu Bakr alisema kuwa "Silimuni na muwe waislam hapo mtakuwa huru na kama mkikataa basi eleweni kuwa nimekuja kwenu na Jeshi la Kiislam ambalo linapenda kuuwa watu, kama jinsi ninyi mnavyo penda maisha/uhai"
Hizi sifa za Muhammad sasa zinaonekana kwa akina Boko Haram, Al Qaeda, Al Shabab. Ushahid wa huu utamaduni vile vile upo kwa ISIS ambao wameuwa mamilioni ya watu huko Syria. Hata kule Afrika katika nchi ya Naijeria, Boko Haram wamekuwa mstari wa mbele kutekeleza amri hii ya Muhammad ya kuuwa Wakristo. Waislam wao wanaamini kuwa kufanya hivi ni kutekeleza matakwa ya Allah na watapewa Akhera kwa kulazimisha watu wajiunge na Uislam. Bukharu 52: 254.
Muhammad vile vile alilazimisha Wayahudi walipe JIZYA. Eti, kwasababu wamekataa kujiunga na dini yake. Hii ilikuwa ni mbinu ya kuwaumiza na kuwatesa Wayahudi, ili wajiunge na Uislam dini ya Muhammad. Bukhari na Ahmed (5114 au 4869, inategemea na tafsir)
Kitu kimoja inakubidi uelewe ni kuwa, katika Uislam, matendo ni zaidi ya kuamini katika Allah. Hata hivi leo, ukienda kwenye nchi zenye Waislam wengi, huwa hawapendi uwepo wa imani au dini nyingine. Mfano Saudi Arabia, kule Zanzibar, Somalia, nk.
Mwishoe, mtoto wa Abu Sufyani, Muawiyah, alifanikiwa kuuteka na kumshinda mtoto wa kufikia wa Muhammad, Ali. Vilevile alimlisha sumu Hassan, mmoja wa wajukuu walio pendwa na Muhammad. Mjukuu wa Abu Sufyan aitwaye Yazid, akawa Caliph na akawa mkuu wa mjukuu wa Muhammad, Hussein.
Huu ndi Uislam na jinsi unavyo lazimisha watu wajiunge nao, tofauti na Ukristo ambao wao hawalazimishi, bali wafundisha kuhusu Yesu. Katika Ukristo hakuna kulazimishana kama kwenye Uislam wa Muhammad.
1. Je, Mungu gani huyu anaye tumia Mapanga kulazimisha watu kujiunga nae?
2. Je, Mungu gani huyo anaye uwa watu na kudai kuwa hiyo ndia njia ya kwenda Akhera?
3. Kwanini katika Biblia hakuna kulazimishana?
4. Kwanini hakuna Mitume katika Ukristo ambao wanatumia Mapanga na Visu kulazimisha watu wajiunge na Ukristo kama ilivyo kwenye Uislam?
5. Kwanini kwenye Ukristo Mungu wake hana chuki kubwa kama Allah wa Uislam?
Leo tumejifunza kuwa katika Uislam kuna kulazimishana tofauti na ilivyo kwenye Ukristo. Zaidi ya hapo, Allah sio Jehova Mungu wa kwenye Biblia, maada matendo yao hayafanani kabisa. Hivyo, si kosa kusema kuwa Adam, Ibrahim, Daudi, Yesu na Mitume wote wa kwenye Biblia hawakuwa Waislam na wala hawakumuabudu Allah.
Mungu awabariki sana.
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
For Max Shimba Ministries Org.
Such are the perils of forcing others to say that you are a prophet when they do not believe it to be true.

MUHAMMAD KAWARUHUSU WAISLAM KULA NYAMA YA FISI

Image may contain: one or more people and outdoor
Sayyidina Ibn Ammar (RA) alisema kuwa, siku moja alimuuliza Jabir Jbn Abdullah (RA) kuhusu uwindaji wa FISI. Alinijibu na kusema, inaruhusiwa kuwinda Fisi. Nilimuuliza, Je, tunaruhusiwa kula, na akanijibu kuwa Kula Fisi ni Halal (Inaruhusiwa kula Fisi).
Nikamuuliza tena, Je, Nabii wa Allah(SAW) aliruhusu kula Fisi? Jabir r alinijibu na kusema. NDIO, Nabii wa Allah aliruhusu kula Fisi. [Abu Dawud 3801, T 1798, Ibn e Majah 3085, Ahmedl4456]
9- Kitabu cha HAJJ
Kama tulivyo soma hapo juu, Waislam wameruhusiwa kula nyama ya Fisi. Zaidi ya hapo, Muhammad aliendelea na kuruhusu kula nyama za mijusi.

MUHAMMAD KASEMA KULA NYAMA YA MIJUSI NI HALAL

Image may contain: 1 person, sunglasses and outdoor
Sahih Muslim Kitabu 21, 4788 Idadi :
Ibn 'Umar taarifa kwamba kulikuwa na baadhi ya watu na Mtume wa Allah (amani iwe juu yake) miongoni mwa maswahaba wake alikuwepo Sad. Basi ililetwa nyama ya Mjusi na mwanamke miongoni mwa wake wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (amani iwe juu yake) alisema: Ni nyama ya mjusi. Hapo Nabii Muhammad alisema: Kuleni hiyo nyama ya Mjusi kwa kuwa ni halali…

MUHAMMAD AWARUHUSU WAISLAM KUNYWA MIKOJO NA MAZIWA YA NGAMIA AMBAYE NI HARAMU KATIKA [WALAWI 7: 4]

Image may contain: 1 person, standing
Hata hivyo Muhammad aliwaamuru baadhi ya watu kumfuata mchungaji wake na kunywa maziwa na mikojo ya ngamia.
Bukhari juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 6 na.589, 590 uk.398, 399 na juzuu ya 7 kitabu cha 71 sura ya 29 na.623 uk.418.
Muhammad pia alisema kuwa mkojo wa ngamia ni dawa nzuri. Ibn-i-Majah juzuu ya 5 kitabu cha 31 na.3503 uk.38.
Baadhi ya Waislam waliambiwa kunywa mkojo wa Ngamia, waliishia kuwa waasi na kumuua mchungaji. Muhammad aliamuru wakatwe miguu na mikono yao na macho yao yachomwe. Sunan Nasa’i juzuu ya 1 na.308-309 uk.255-256. Tazama pia Bukhari juzuu ya 4 kitabu cha 52 sura ya 152 na.261 uk.162.
Sasa, kama Ngamia ni haramu katika Mambo ya Walawi 7 aya ya 4, kwanini Muhammad aliruhusu Waisla wale Nyama yake na kunywa Mikojo na maziwa yake?
Mbona Muhammad na Allah wanaruhusu kula na kunywa mikojo na Maziwa ya Ngamia ambaye ni haramu kwenye Mambo ya Walawi?

NABII SAMWELI WA KWENYE BIBLIA (SEHEMU YA KWANZA)

Image may contain: 1 person, sitting
UTANGULIZI:
Samweli (kwa Kiebrania: שְׁמוּאֵל Šəmuʼel, maana yake labda ni "Anayemsikiliza Mungu" au Mungu Amesikia au Jina la Mungu) ni mtu muhimu wa Historia ya wokovu ya Agano la Kale. https://www.britannica.com/biography/Samuel-Hebrew-prophet
Katika Biblia anatajwa kama mwamuzi na kama nabii, naye ndiye mwanzilishi wa ufalme wa Israeli.
Habari zake zinasimuliwa katika Vitabu vya Samweli.
Vitabu viwili vya Biblia ya Kikristo vinaitwa kwa jina la Samweli, ambaye kwa njia yake Israeli ilianza kuwa na umoja zaidi na hatimaye kuwa ufalme. Badala ya kila kabila kujitegemea, yote 12 yalikubaliana yawe na kiongozi mmoja wa kudumu ambaye cheo chake kirithiwe na mwanae. Kwa umoja huo waliweza kushinda maadui wao wengi.
Vitabu hivyo vimekusanya kumbukumbu zote kuhusu mwanzo wa ufalme (1070-972 hivi K.K.), yaani kuhusu Samweli mwenyewe na wanaume wawili aliowapaka mafuta watawale Israeli kwa niaba ya Mungu: kwanza Sauli, halafu Daudi. Kumbukumbu hizo zilikuwa nyingi na tofauti, hivyo tunakuta humo tata nyingi kuliko katika vitabu vingine vyote vya Biblia. Hasa mna hoja za kukubali mfumo wa ufalme na hoja za kuukataa.
Ukuu wa Samweli ulidokezwa kwanza na uzazi wake wa ajabu, kwa kuwa mama yake, na, alikuwa tasa akampata baada ya kusali na kuweka nadhiri (1Samweli 1). Hivyo baada ya miaka michache alihamia Shilo kwenye sanduku la agano kama mtumishi wa kuhani Eli.
Hapo mwanzo vitabu viwili vya Samweli vilikuwa kitabu kimoja, kikionyesha mfululizo wa historia ya Israeli kuanzia wakati wa Waamuzi mpaka wakati wa utawala wa Mfalme Daudi.
Vitabu hivyo havimtaji mwandishi wake, ingawa kuna fununu kwamba baadhi ya habari zake zilitokana na ripoti zilizokuwa zimeandikwa na Samweli, Nathani, Gadi, Daudi na waandishi wa kitabu cha Yasheri (1 Samweli 10:25; 2 Samweli 1:18; 1 Nyakati 27:24; 29:29).
Habari za vitabu hivyo viwili zinachukua muda wa miaka themanini hadi mia moja.
Mafungu ya kwanza ya 1 Samweli yanaendelea kueleza habari za historia ya Israeli tangu wakati wa kitabu cha Waamuzi.
Wakati wa kuhani Eli, maisha ya Israeli upande wa kisiasa na wa dini yalifuata mfano wa wakati wa Waamuzi, watu walipomwasi Mungu na kuanguka chini ya utawala wa mataifa ya jirani (1 Samweli 2:12, 32; 3:11-13; 4:10-11, 18; taz. Amu 2:13-15).
Lakini Samweli aliyekuwa mkubwa katika Waamuzi wote, alipofaulu kuwahamasisha watu kuondoa miungu yao na kumrudia BWANA, Yeye BWANA katika neema yake aliwaokoa watu wake kutoka kwa maadui zao waliokuwa wamewanyanyasa (1 Samweli 7:3-6, 13, 15-17; taz. Amu 2:18; 3:9, 15).
Lakini Samweli hakuweza kuleta mabadiliko ya kudumu katika taifa, tena wanawe hawakufaa kumrithi, na watu walidai iingizwe serikali ya kifalme, kama ilivyokuwa katika mataifa ya jirani yao (1 Samweli 8:1-5). Baada ya kuimarishwa kwa ufalme sawa sawa, uongozi siku zote ungekabidhiwa au kurithiwa kutoka kwa baba hadi mwanawe (1 Samweli 8:19-22).
Basi, Sauli aliwekwa kuwa mfalme wa kwanza wa Israeli, lakini Samweli aliwaonya watu kwamba jambo hilo lisingeondoa matatizo ya taifa. Chini ya Waamuzi Waisraeli waliadhibiwa kwa ajili ya kuasi na kutokuamini kwao (1 Sam 12:9-11), na chini ya wafalme wangeadhibiwa kwa sababu hizo hizo (1 Sam 12:13-15).
Wakati wa kwanza wa ufalme wa Israeli mambo mengi ya utawala yalifanana na ule wa Waamuzi, hasa kwa jinsi viongozi walivyopewa nguvu maalumu ya Roho wa Mungu, ili waweze kuwaokoa Waisraeli kutoka kwa watawala wa kigeni, na kutimiza kazi nyingine walizopewa (1 Samweli 10:6; 11:6, 11; taz. Amu 3:10; 6:34; 11:29; 14:6, 19).
Sauli alipomwasi Mungu na kukataliwa, Roho wa Mungu alimtoka naye akaja juu ya Daudi (1 Samweli 16:13-14). Kinyume cha Sauli, Daudi alijinyenyekeza mbele ya Mungu, naye alitamani kutimiza mapenzi yake (Zaburi 89:20; Matendo 13:22).
Kwa Daudi wakati mpya kabisa ulianza, na hatimaye Waisraeli waliimarika kitaifa na kufanikiwa, kama walivyokuwa wametamani kwa muda mrefu. Vitabu vya Samweli vinaeleza habari za utawala wa Daudi ambaye, katika nyakati zote zilizofuata, alihesabiwa kuwa mfalme bora wa Israeli, na mzazi mkuu wa Masiya aliyeahidiwa (2 Samweli 7:12-16; Mt 22:42; Lk 1:32-33).
***Muhtasari wa 1 Samweli***
1:1-7:17 Israeli chini ya Eli na Samweli
8:1-12:25 Kuanzishwa kwa ufalme
13:1-15:35 Ushindi wa kwanza wa Sauli
16:1-19:24 Kuinuka kwa Daudi
20:1-31:13 Sauli amwudhi Daudi
***Muhtasari wa 2 Samweli***
1:1-4:12 Vita vya wenyewe kwa wenyewe baada ya kifo cha Sauli
5:1-10:19 Daudi aimarisha ufalme wake
11:1-20:26 Matatizo katika nyumba ya Daudi
21:1-24:25 Mambo mengine
Baada ya kusoma UTANGULIZI wa Vitabu viwili vya Samweli, sasa turudi na kujifunza ni kivipi Samweli aliupata UNABII wake. ‘Sema, kwa Maana Mutumishi Wako Anasikiliza’
USIKOSE SEHEMU YA PILI.
Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

MUISLAM ABDALLA LIKUKULA WA TEMEKE – KILAKALA KAIKOJOLEA QURAN

No automatic alt text available.
Kijana wa Kiislamu aitwaye Abdalah Likukula – wakiwa kwenye mjadala pamoja na vijana Wakristo, Waislamu wale wakaanzisha ajenda ya kukojolea Quran kuwa ukiikojolea tu uume utakuwa mrefu mpaka chini, kijana wa Kiislamu Abdalah Likukula akawaambia kuwa huo ni uongo msidanganye watu, basi wakabishana ndipo kijana mmoja wa Kiislamu akaenda Msikitini kuchukua Qurani na Kumwambia Likukula hebu kojolea tuone, ndipo kijana huyu ambaye ni Muislamu akawaambia leteni box ili iloane vizuri basi ili kukamilisha ubishi wao – Likukula akaikojolea Qurani ndani ya box, akasema tuone kama ume wangu utakuwa mrefu.
Waislamu badala ya kusubiri uume wa Muislmu yule uwe mrefu, wakakimbilia Msikitini na kusema kuna mtu kakojolea Quran, wakatoka mpaka eneo la tukio kisha zogo likaanza wakampeleka kituo cha Polisi Kilakala kisha kituo cha Polosi Chang’ombe, Waislamu wengine waliposikia wakaenda Polisi wakifikiri ni Mkristo kisha Likukula akapeleka Mahakamani wilaya ya Temeke.
Wakati kesi ikiendelea Abdalla Likukula akamwambia Hakimu wa PP, kuwa nashangaa hawa Waislamu badala ya kuacha uume wangu uwe mrefu eti wananipeleka Polisi, kisha mahakamani, lakini yupo aliyeleta Quran, na wale tuliokuwa tunabishana naomba wote waletwe mahakamani.
Wale jamaa waliposikia nao waletwe Mahakamani wakakimbia mpaka leo hawapo Kilakala. Kwa tukio hili hatujawaona Waislamu wakiandamana na kuvunja magari, kuiba vitu na kuchoma Misikiti kwa kukojolea Qurani yao, kisha kesi ile ilifutwa na kijana aliachwa huru.
Haya ni matokeo ya kuaminishwa. Eti ukiikojolea Quran sijui utapata madhar.

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration

The Angelic Guardianship in Psalm 91:11: A Scholarly and Inspirational Exploration By Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological Institute A...

TRENDING NOW