Wednesday, August 16, 2017
Islam offers HELL and that is all

Allah Promised hell for his followers:
Sura 3:185, "Every soul shall have a taste of death: And only on the Day of Judgment shall you be paid your full recompense. Only he who is saved far from the Fire and admitted to the Garden will have attained the object (of Life): For the life of this world is but goods and chattels of deception."
Sura 3:185, "Every soul shall have a taste of death: And only on the Day of Judgment shall you be paid your full recompense. Only he who is saved far from the Fire and admitted to the Garden will have attained the object (of Life): For the life of this world is but goods and chattels of deception."
This Suras from Quran very clearly says that after death everyone will go to hell fire then judgment.. When a person went to hell fire then how and why it is possible that he/she can come out from hell fire and go to paradise.. no way.. This verse does not say anything about eternal life. This verse very clearly says that every believer in Allah is tasting death means they did not get the life while Jesus promised eternal life and heaven as we read in John 10:10 "The thief does not come except to steal, and to kill, and to destroy. I have come that they may have life, and that they may have it more abundantly.
And also every soul is going to hell fire till the day of judgment means they are not reaching heaven. So of course Allah promised hell fire for his believers. There is no chance to go to heaven once you go to hell. Jesus can save you when you are still in this world as He said in John 3:15 "that whoever believes in Him should not perish but have eternal life.
John 3:16 "For God so loved the world that He gave His only begotten Son, that whoever believes in Him should not perish but have everlasting life.
How a person can save himself/herself from hell fire when he/she is already in hell fire? And this verse says that they will be there till the time of Day of Judgment. Do you think a person who is already in hell will get a seat in heaven after judgment? Judgment is a day when people get their sentence and verdict.. and there are no second chances to "make it to heaven" once you have been cast into hell.
And he claims all those who don't follow Islam are going to hell..so according to Muhammad, everyone is going to hell...
And he claims all those who don't follow Islam are going to hell..so according to Muhammad, everyone is going to hell...
"If anyone desires a religion other than Islam (Submission to Allah), Never will it be accepted of him; and in the Hereafter he will be in the ranks of those who have lost."(Qur'an 3:85)
Allah promised hell fire for his followers
Jesus promised heaven for His followers.
Yet the Jihad martyrs are pumped up with grand illusions....
And what reward does Paradise bring to the jihad martyr? He is promised a palace of pearls in which are 70 mansions; inside each mansion are 70 houses and in each house a bed on which are 70 sheets and on each sheet a beautiful virgin. He is assured that he will have the appetite and strength of 100 men for food and sex.
Jesus promised heaven for His followers.
Yet the Jihad martyrs are pumped up with grand illusions....
And what reward does Paradise bring to the jihad martyr? He is promised a palace of pearls in which are 70 mansions; inside each mansion are 70 houses and in each house a bed on which are 70 sheets and on each sheet a beautiful virgin. He is assured that he will have the appetite and strength of 100 men for food and sex.
This is the fantastic dream that is fed to Muslim boys from their childhoods. Satan promised Jesus things similar to these and more, when he tempted Jesus in the desert.
To a Christian and any other true son or daughter of the true God, these things the Muslim hopes for are loathsome. To a woman it has to be a hell...
Shalom,
Max Shimba, a Bond-servant of Jesus Christ
KULIA NA KUSAGA MENO MILELE YOTE

Je, jina lako lipo ndani ya kitabu cha uzima?
Siku za mwisho zimekaribia, wenye dhambi tubuni, na watakatifu jiandaeni kunyakuliwa na Bwana, maana atakuja muda wowote sasa, tutanyakuliwa na tutaenda mbinguni, wenye dhambi wote, watatupwa kwenye ziwa la moto.
Luka 13:28 Ndipo kutakuwa na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka na Yakobo na manabii wote wapo katika ufalme wa Mungu, lakini nyinyi wenyewe mmetupwa nje!
(Luka 8:31, Ufunuo wa Yohana 9:1), na ziwa la moto, liwakalo na kiberiti ambapo watakao kuwemo watateswa usiku na mchana milele na milele (Ufunuo 20:10).
Huko kutakuwa na kulia na kusaga meno, ikiashiria machungu makali na hasira (Mathayo 13:42). Hapa ni mahali ambapo mdudu hatakufa wala makaa kuzimika (Marko 9:48). Mungu hafurahishwi na kufa kwa mtu muovu, lakini hutaka wazighairi njia zao mbaya ili waishi (Ezekiel 33:11). Lakini hatatulazimisha kumkubali; tukiamua kumkataa yeye. Hana budi kutupatia tulilolichagua – kuishi mbali naye.
Mpendwa, ni hatari kama nini ukikosekana kwenye Ufalme wa Mungu, hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutubu. Ndio maana tupo hapa kila siku kukumbushana kuwa, tuwe tayari na tuendelee kumfuata Yesu aliye kufa kwa ajili ya dhambi zetu.
HAKIKISHA JINA LAKO LIMEANDIKWA KWENYE KITABU CHA UZIMA.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
HAKUNA LISILOWEZEKANA KWA YESU MUNGU MKUU.

Ndugu, tukimuamini Mungu kwa mioyo yetu yote hakika yote yanawezekana.
Baba mmoja ambaye mwanawe alikuwa akisumbuliwa na pepo la kifafa alimleta mwanawe kwa wanafunzi wa Yesu nao hawakuweza kumpa suluhisho. Ndipo alipomfuata Yesu na kumwambia ukiweza naomba umponye mwanangu. Yesu alishangaa! Akauliza ukiweza? Akamwambia “ Yote yawezekana kwake aaminiye”
“Lakini ukiweza neno lo lote, utuhurumie, na kutusaidia. Yesu akamwambia, ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.” (Marko.9:22-23)
Hakuna jambo lililo gumu la kumshinda Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo.
Zekaria 8:6, Bwana wa majeshi alimwambia Musa; “ ingawa hili ni neon lililo gumu mbele za macho ya mabaki ya watu hawa, je, liwe neno gumu mbele za macho yangu?. Hata kama jambo ni gumu na linaonekaka kama halitawezekana mbele za macho yetu sisi wanadamu, Mungu wa Ibrahim Isaack na Yakobo, yaani Mungu wa Israel, anaweza yote. hakuna jambo lililo gumu la kumshinda Mungu wetu.
Mwanzo 18:14, Bwana alimwambia Sara mke wa Ibrahimu kuwa, Jambo gani lililo gumu linalomshinda Bwana? Mungu wetu anaweza yote. Mungu wetu ana nguvu, ni mkuu ni unique, na anaweza mambo yote. hafananishwi na chochote, hashindani na chochote wala yoyote, ni mkuu mno, nguvu zake hazichunguziki, mawazo yake hayachunguziki, na njia zake hazichunguziki.
Hesabu 11:23, Bwana Mungu wetu alimwambia Musa, Je, mkono wa Bwana umepungua urefu wake? Sasa utaona kwamba neno langu litatimizwa kwako au la. (soma mpaka isaya 59:1, kuwa mkono wa bwana si mfupi hata usiweze kuokoa….sikio lake si zito lisiweze kusikia, ila maovu yetu ndo kikwazo…., pamoja na yote hayo, hapa, Mungu alitaka kumwonyesha Musa kuwa hakuna jambo lililo gumu kwake.
Ayubu 42:2, Neno la Bwana kwa kinywa cha Ayubu linasema”najua ya kwamba waweza kufanya mambo yote, na ya kuwa makusudi yako hayawezi kuzuiliwa. Hakuna mtu wala kitu chochote kinachoweza kumzuia Mungu kufanya atakacho. Mungu akisema ndiyo hakuna mtu wa kusema hapana, na akisema hapana hakuna wa kusema ndiyo.
Ayubu 42:2, Neno la Bwana kwa kinywa cha Ayubu linasema”najua ya kwamba waweza kufanya mambo yote, na ya kuwa makusudi yako hayawezi kuzuiliwa. Hakuna mtu wala kitu chochote kinachoweza kumzuia Mungu kufanya atakacho. Mungu akisema ndiyo hakuna mtu wa kusema hapana, na akisema hapana hakuna wa kusema ndiyo.
Luka 1:37, Malaika alimwambia mariam kuwa, hakuna Neno lisilowezekana kwa Mungu. Kwa Mungu wa ibrahim isaka na Yakobo, Mungu wa kweli aliyeumba mbingu na nchi na vyote vijazavyo, anaweza yote.
Yeremia 32:17, Neno la Bwan alinasema “Aa! Bwana Mungu tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa, hapana neno gumu usiloliweza.
Efeso 3 :20, Neno la Mungu linasema, Basi, atukuzwe yeye awezaye kufanya mambo ya ajabu mno kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya nguvu itendayo kazi ndani yetu. Mungu anao uwezo wa kufanya mambo makubwa na ya ajabu kuliko yale tuliyowahi kuyaona,kuyaomba au kuyawaza. Mungu aweza kufanya mambo makubwa sana na ya ajabu.
Mathayo 19 :26, Yesu akawakazi macho akawaambia kwa wanadamu hilo haliwezekani, bali kwa Mungu yote yanawezekana. Yesu mwenyewe ndiye alitoa ahadi na ufafanuzi huu hapa kuwa, kwa Mungu yote yanawezekana.
Hivyo, hakuna sababu ya kuwa na hofu tumwombapo Mungu, tunajua kuwa Mungu ano uwezo wa kufanya mambo yote hata yale ambayo sisi tunayaona kama magumu sana.
Marko 10 :27, Yesu akawakazi macho akasema, « kwa wanadamu haiwezekani, bali kwa Mungu sivyo, maana yote yanawezekana kwa Mungu ». hakuna jambo liwalo lote lile ambalo Mungu linamshinda.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
JE, UNAFAHAMU KUWA MUHAMMAD NI MPINGA KRISTO?

Shalom wana wa Mungu. Leo nimeamua kunena juu ya Mpinga Kristo.
Mpinga-Kristo ni nani?
(1 Yohana 2:18) Neno “mpinga-Kristo,” linalotokana na neno ya Kigiriki linalomaanisha “dhidi ya (au badala ya) Kristo,” linafafanua mtu yeyote anayefanya mambo yafuatayo:
1. Anakataa kwamba Yesu ndiye Kristo (Masihi) au anakataa kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.—1 Yohana 2:22.
2. Anampinga Kristo, Mtiwa-Mafuta wa Mungu.—Zaburi 2:1, 2; Luka 11:23.
3. Anajifanya kuwa Kristo.—Mathayo 24:24.
4. Anawatesa wafuasi wa Kristo, kwa kuwa Yesu huona mambo wanayotendewa kana kwamba ni yeye anayetendewa.—Matendo 9:5.
Jinsi ya kuwatambua wapinga-Kristo
Wanaeneza mawazo ya uwongo kumhusu Yesu. (Mathayo 24:9, 11) na kumbatiza majina ya uongo kama Isa Bin Maryam.
JE, UISLAM NA MUHAMMAD UNASEMA NINI KUHUSU YESU KRISTO?
1 Yohana 2:22 Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana. 23 Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia.
VS.
Surat Mariam 88 Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!. 89 Hakika mmeleta jambo la kuchusha mno!
Quran inapinga kuwa Yesu sio Mwana wa Mungu. Ndio maana hatuwezi iamini wala amini aliye ipokea wala amini aliye ituma.
Muhammad said, Jesus is Not the Son of God and Christ! Who do you think Muhammad is?
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.
KWANINI ALLAH ALITEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA YESU NI MUNGU?
Ndugu msomaji,
Tunaendelea kujifunza kuhusu Uungu wa Yesu. Quran, Allah, Muhammad na Jibril kwa mara nyingine tena wanakiri kuwa Yesu ni Mungu.
Hii ni sifa nyingine ya Mungu pekee na wala si ya mwanadamu.
Quran 40:2-3 Uteremsho wa Kitabu umetoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye nguvu, Mwenye kujua. Anaye SAMEHE DHAMBI na anaye pokea toba, Mkali wa kuadhibu, Mwenye ukarimu, hakuna mungu ila Yeye; marejeo ni kwake.
Je, Bwana Yesu alikuwa na sifa hii ya kusamehe dhambi?
Katika tukio moja ambalo Yesu alionesha mamlaka yake ya Uungu kwa kusamehe dhambi na wakuu wa dini walioina hiyo kama kufuru kwani mwenye uwezo wa kusamehe dhambi ni Mungu pekee kwa vile hata wao hawakufahamu mamlaka ya Yesu ni Mungu
Marko.2:5-11 Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, UMESAMEHEWA DHAMBI ZAKO.Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao, Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu? Mara Yesu akafahamu rohoni mwake kwamba wanafikiri hivyo nafsini mwao, akawaambia, Mbona mnafikiri hivi mioyoni mwenu? Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende? Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye kupooza), Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.
Hili ni mojawapo ya matendo ya Yesu ***kusamehe dhambi*** aliyotenda kuonesha Uungu wake na mamlaka yake.
Sura ya 4
Sura ya 4
Ubinadamu wa Yesu na sababu ya kuitwa Mwana wa Mungu toka mamlaka ya Uungu.
Ndugu mpendwa msomaji tutakubaliana kuwa hilo ni moja kati ya maswali nyeti yanayoulizwa na watu wengi wanao hoji na kutafiti mamlaka haswa ya Bwana Yesu.
“Ubinadamu wake”
“Ubinadamu wake”
Chanzo cha maswali yote yanayo ulizwa juu ya Bwana Yesu kinaanzia mara tu Yesu alipovaa mwili wa kibinadamu tendo hilo kwa fikra za haraka tu linaweza kudhaniwa kuwa ndilo linaloshusha mamlaka yake ya asili kama Mungu. Pamoja na hayo mimi binafsi nichoelewa ni kuwa tendo hilo kamwe halishushi mamlaka bali linafunika mamlaka aliyokuwa nayo kwa kadri ya sababu…………
Ifuatayo:-
Ifuatayo:-
Mungu aliwahi kujifunua wazi katika nyakati za nyuma na wanadamu wakaangamia
Fuatilia:- kutoka 19:20-21 Bwana akaushukia mlima, juu ya kilele cha mlima; Bwana akamwita Musa aende hata kilele cha mlima; Musa akapanda juu. Ndipo Bwana akamwambia Musa, Shuka chini, uwaonye watu wasije wakapasua njia waje kwa Bwana kutazama, kisha wengi miongoni mwao wakaangamia.
“swali la kujiuliza”
“swali la kujiuliza”
Je! Mungu aje katika hali gani ili mwanadamu aweze kuikabili?
“Jibu”
“Jibu”
Ni lazima aje katika hali inayofunika uwazi wa mamlaka yake iliyo ya utisho kwa mwanadamu mdhambi.
Na anapokuwa katika hali ya ubinadamu ndipo anapoona njaa, kulia, kutembea, kusinzia na hali zote za ubinadamu anakuwa nazo na ndo maana Yesu ni Mungu 100% na mwanadamu 100%
Fuatilia kutoka 33:18,20 (Musa) Akasema, Nakusihi unionyeshe utukufu wako…. Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi
Sababu hiyo ya kimsingi ndiyo inayofanya Bwana Yesu kuchukua mwili wa kibinadamu kupitia Mariam kama tulivyo kwishaona. Hivyo mwili ya Bwana Yesu ulisitiri mamlaka kuu ya Uungu wake ambayo hainge kuwa busara kuufunua na kufanya binadamu kuangamia badala ya kuokolewa naye. Kwa kauli nyingine ni kuwa Mungu (Yesu) alitumia mwili huo ili kuwafikia waja wake kama tulivyoona hapo nyuma jinsi Mungu alivyojifunua hata kwa kichaka kwa kadri ya Qur-an tukufu. “Ubinadamu ni njia ya Mungu kusema na waja wake:”
Qur-an 42:51 ……….. Mungu husema na wajawake kwa njia ya:-
Ilhamu – sauti ya ndani ya moyo ya Mungu
Nyuma ya pazia – ishara ya kufunika mamlaka.
Nyuma ya pazia – ishara ya kufunika mamlaka.
Kwa kadri ya Aya hiyo tunaona Qur-an ikitaja “Pazia” kama chombo cha mawasiliano ya Mungu kwa wanadamu, pazia hii umaanisha ni kitu kinachofunika ili kuzuia kuonekana kwa uhalisi wa jambo kwa lugha nyingine Mungu wakati Fulani huamua kufunika uhalisi wake kwa kujifunua nyuma ya “Pazia”.
“Pazia ni nini Kibiblia?”
“Pazia ni nini Kibiblia?”
Waebrania 10:20 ……….. ipitayo katika “Pazia” yaani mwili wake.
Katika Biblia Pazia huashiria mwili wa Bwana Yesu, hivyo hiyo ni njia ya kimawasiliano kati yake na binadamu inayofunika mamlaka yake ya Asili ya Uungu ili binadamu kumudu kukutana naye.
1Timotheo 3:16 Mungu alidhihirishwa katika mwili
Ebrania 10:5 Mwili uliniwekea tayari
Filipi 2:7 alijifanya hana utukufu …….. akawa na mfano wa mwanadamu.
Kwanini aitwe Mwana naye ni Mungu?
Tendo la Bwana Yesu kuitwa Mwana wa Mungu linaanzia kwenye chanzo cha kutwaa mwili.
Yohana 1:14 naye neno akafanyika mwili akakaa kwetu nasi tukaona utukufu wake utukufu
kama wa Mwana pekee atokae kwa baba …………..
Andiko hii linaonyesha hatua kuu mbili yaani:-
Kufanyika mwili
Kuitwa mwana atokae Mbinguni.
Sababu kuu
Tendo la Yesu kuamua kuchukua jukumu la kutuokoa lilimladhimu siyo kufunika Utukufu wake (Uungu ) tu kwa mwili bali pia kubadili kitambulisho chake cha mamlaka
“Fatilia mfano huu”
Tendo la Yesu kuamua kuchukua jukumu la kutuokoa lilimladhimu siyo kufunika Utukufu wake (Uungu ) tu kwa mwili bali pia kubadili kitambulisho chake cha mamlaka
“Fatilia mfano huu”
Maji yanaweza kugeuka katika hali mbalimbali katika kile ninachojua maji hayo mara yanapo badiri hali tu pia tendo hilo huambatana na kubadilli jina, yaani mfano maji yanapoganda hayaitwi tena maji bali huitwa barafu
Swali:- Je barafu si maji?
Jibu:- la barafu ni maji ila yamebadili asili kwa muda na baadae hurejea.
Sababu ya Bwana Yesu kuitwa mwana inatokana na kusudi lake tu la kuja Duniani Kutukomboa hivyo alifanyika barafu toka asili ya maji (alifaninyika mwana toka asili ya Uungu kama njia ya Ukombozi) lakini asili yake ya Uungu inabaki palepale.
Fuatilia ushauri mwingine juu ya Uungu wa bwana Yesu katika mafungu yafuatayo:-
Fuatilia ushauri mwingine juu ya Uungu wa bwana Yesu katika mafungu yafuatayo:-
Yohana 14:7-10……… aliyeniona mimi amemwona Baba
Tito 2:13 ……. Yesu Mungu mkuu na mwokozi wetu.
Yohana 20:28 Bwana wangu (Yesu) na Mungu wangu.
Ndugu mpendwa ninaamini hofu na mashaka ya moyo wako juu ya mada hii yamepingwa na uondolewa kupitia uchambuzi huu, fanya maamuzi yako leo kwa kujenga upya imani yako juu ya mamlaka ya Bwana Yesu kama tulivyo jifunza.
Hitimisho
Yesu ni Mungu na hivyo yeyote anayehitaji kwenda mbinguni, njia pekee na pekee tu ni Kristo Yesu-‘Matendo 4:12 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
MUHAMMAD AKUFURU NA KUSEMA KUWA ALLAH ATAMWOZA MARYAM MAMA YAKE YESU NA MKE WA FIRAUNI AKIWA AKHERA

Ndugu zanguni,
Kila siku huwa nasema Muhammad ni nabii wa uongo na mpenda ngono.
Kufuatana na vitabu vya dini ya Uislam Muhammad anasema ifuatavyo:
Nabii wa Allah akasema: Mwenyezi Mungu atanioza kwa Maryan Mwana wa Imran pamoja na Mke wa Firauni na dada ya Nabii Musa. (Tabarani)" (Ibn Kathir, Qisas al-Anbiya [Cairo: Dar al-Kutub, 1968/1388], p. 381- as cited in Aliah Schleifer's Mary The Blessed Virgin of Islam [Fons Vitae; ISBN: 1887752021; July 1, 1998], p. 64;)
Kufuatana na Quran, Maryam ni mtoto wa Imran
Surat Al Imran
35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu; basi nikubalie. Hakika Wewe ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.
Surat Al Imran
35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu; basi nikubalie. Hakika Wewe ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.
36. Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke - na Mwenyezi Mungu anajua sana aliye mzaa - Na mwanamume si sawa na mwanamke. Na mimi nimemwita Maryamu. Nami namkinga kwako, yeye na uzao wake, uwalinde na Shet'ani aliye laaniwa.
Kama Quran inavyo sema hapo juu, Maryam ni mtoto wa Imran.
MASWALI KWA WAISLAM:
MASWALI KWA WAISLAM:
Kwanini Muhammad anapenda sana Wanawake?
Kwanini Muhammad anapenda sana kuchukua wake za watu wengine?
Vipi kuhusu wale wake 72 ambao ni bikira? Au Muhammad yeye atapewa wake kede kede kama ilivyo utamaduni wake?
MUHAMMAD NI NABII WA UONGO NA YUPO JEHANNAM ANACHOMEKA KWA MADHAMBI MAKUBWA MAKUBWA ALIYO FANYA.
Soma hii habari kwa Kiingereza hapa: http://www.answering-islam.org/Shamoun/mary.htm
"The Messenger of God ... said, ‘God MARRIED ME IN PARADISE TO MARY THE DAUGHTER OF 'IMRAN and to the wife of Pharaoh and the sister of Moses.’ (Tabarani)" (Ibn Kathir, Qisas al-Anbiya [Cairo: Dar al-Kutub, 1968/1388], p. 381- as cited in Aliah Schleifer's Mary The Blessed Virgin of Islam [Fons Vitae; ISBN: 1887752021; July 1, 1998], p. 64)
According to the Quran, Mary's father is called Imran:
"Behold! a wife of Ìmrán said: ‘O my Lord! I do dedicate into Thee what is in my womb for Thy special service: So accept this of me: For Thou hearest and knowest all things.’ When she was delivered, she said: ‘O my Lord! Behold! I am delivered of a female child!’ - and Allah knew best what she brought forth - ‘And no wise is the male like the female. I have named her Mary, and I commend her and her offspring to Thy protection from Satan, the Rejected.’" S. 3:35-36
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.
KWANINI ALLAH ALITEREMSHA AYA NA KUKIRI KUWA YESU NI MUNGU?

Ndugu msomaji,
Tunaendelea kujifunza kuhusu Uungu wa Yesu. Quran, Allah, Muhammad na Jibril kwa mara nyingine tena wanakiri kuwa Yesu ni Mungu.
Hii ni sifa nyingine ya Mungu pekee na wala si ya mwanadamu.
Quran 40:2-3 Uteremsho wa Kitabu umetoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye nguvu, Mwenye kujua. Anaye SAMEHE DHAMBI na anaye pokea toba, Mkali wa kuadhibu, Mwenye ukarimu, hakuna mungu ila Yeye; marejeo ni kwake.
Je, Bwana Yesu alikuwa na sifa hii ya kusamehe dhambi?
Katika tukio moja ambalo Yesu alionesha mamlaka yake ya Uungu kwa kusamehe dhambi na wakuu wa dini walioina hiyo kama kufuru kwani mwenye uwezo wa kusamehe dhambi ni Mungu pekee kwa vile hata wao hawakufahamu mamlaka ya Yesu ni Mungu
Marko.2:5-11 Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, UMESAMEHEWA DHAMBI ZAKO.Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao, Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu? Mara Yesu akafahamu rohoni mwake kwamba wanafikiri hivyo nafsini mwao, akawaambia, Mbona mnafikiri hivi mioyoni mwenu? Vyepesi ni vipi, kumwambia mwenye kupooza, Umesamehewa dhambi zako, au kusema, Ondoka, ujitwike godoro lako, uende? Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (hapo amwambia yule mwenye kupooza), Nakuambia, Ondoka, ujitwike godoro lako uende nyumbani kwako.
Hili ni mojawapo ya matendo ya Yesu ***kusamehe dhambi*** aliyotenda kuonesha Uungu wake na mamlaka yake.
Sura ya 4
Sura ya 4
Ubinadamu wa Yesu na sababu ya kuitwa Mwana wa Mungu toka mamlaka ya Uungu.
Ndugu mpendwa msomaji tutakubaliana kuwa hilo ni moja kati ya maswali nyeti yanayoulizwa na watu wengi wanao hoji na kutafiti mamlaka haswa ya Bwana Yesu.
“Ubinadamu wake”
“Ubinadamu wake”
Chanzo cha maswali yote yanayo ulizwa juu ya Bwana Yesu kinaanzia mara tu Yesu alipovaa mwili wa kibinadamu tendo hilo kwa fikra za haraka tu linaweza kudhaniwa kuwa ndilo linaloshusha mamlaka yake ya asili kama Mungu. Pamoja na hayo mimi binafsi nichoelewa ni kuwa tendo hilo kamwe halishushi mamlaka bali linafunika mamlaka aliyokuwa nayo kwa kadri ya sababu…………
Ifuatayo:-
Ifuatayo:-
Mungu aliwahi kujifunua wazi katika nyakati za nyuma na wanadamu wakaangamia
Fuatilia:- kutoka 19:20-21 Bwana akaushukia mlima, juu ya kilele cha mlima; Bwana akamwita Musa aende hata kilele cha mlima; Musa akapanda juu. Ndipo Bwana akamwambia Musa, Shuka chini, uwaonye watu wasije wakapasua njia waje kwa Bwana kutazama, kisha wengi miongoni mwao wakaangamia.
“swali la kujiuliza”
“swali la kujiuliza”
Je! Mungu aje katika hali gani ili mwanadamu aweze kuikabili?
“Jibu”
“Jibu”
Ni lazima aje katika hali inayofunika uwazi wa mamlaka yake iliyo ya utisho kwa mwanadamu mdhambi.
Na anapokuwa katika hali ya ubinadamu ndipo anapoona njaa, kulia, kutembea, kusinzia na hali zote za ubinadamu anakuwa nazo na ndo maana Yesu ni Mungu 100% na mwanadamu 100%
Fuatilia kutoka 33:18,20 (Musa) Akasema, Nakusihi unionyeshe utukufu wako…. Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi
Sababu hiyo ya kimsingi ndiyo inayofanya Bwana Yesu kuchukua mwili wa kibinadamu kupitia Mariam kama tulivyo kwishaona. Hivyo mwili ya Bwana Yesu ulisitiri mamlaka kuu ya Uungu wake ambayo hainge kuwa busara kuufunua na kufanya binadamu kuangamia badala ya kuokolewa naye. Kwa kauli nyingine ni kuwa Mungu (Yesu) alitumia mwili huo ili kuwafikia waja wake kama tulivyoona hapo nyuma jinsi Mungu alivyojifunua hata kwa kichaka kwa kadri ya Qur-an tukufu. “Ubinadamu ni njia ya Mungu kusema na waja wake:”
Qur-an 42:51 ……….. Mungu husema na wajawake kwa njia ya:-
Ilhamu – sauti ya ndani ya moyo ya Mungu
Nyuma ya pazia – ishara ya kufunika mamlaka.
Nyuma ya pazia – ishara ya kufunika mamlaka.
Kwa kadri ya Aya hiyo tunaona Qur-an ikitaja “Pazia” kama chombo cha mawasiliano ya Mungu kwa wanadamu, pazia hii umaanisha ni kitu kinachofunika ili kuzuia kuonekana kwa uhalisi wa jambo kwa lugha nyingine Mungu wakati Fulani huamua kufunika uhalisi wake kwa kujifunua nyuma ya “Pazia”.
“Pazia ni nini Kibiblia?”
“Pazia ni nini Kibiblia?”
Waebrania 10:20 ……….. ipitayo katika “Pazia” yaani mwili wake.
Katika Biblia Pazia huashiria mwili wa Bwana Yesu, hivyo hiyo ni njia ya kimawasiliano kati yake na binadamu inayofunika mamlaka yake ya Asili ya Uungu ili binadamu kumudu kukutana naye.
1Timotheo 3:16 Mungu alidhihirishwa katika mwili
Ebrania 10:5 Mwili uliniwekea tayari
Filipi 2:7 alijifanya hana utukufu …….. akawa na mfano wa mwanadamu.
Kwanini aitwe Mwana naye ni Mungu?
Tendo la Bwana Yesu kuitwa Mwana wa Mungu linaanzia kwenye chanzo cha kutwaa mwili.
Yohana 1:14 naye neno akafanyika mwili akakaa kwetu nasi tukaona utukufu wake utukufu
kama wa Mwana pekee atokae kwa baba …………..
Andiko hii linaonyesha hatua kuu mbili yaani:-
Kufanyika mwili
Kuitwa mwana atokae Mbinguni.
Sababu kuu
Tendo la Yesu kuamua kuchukua jukumu la kutuokoa lilimladhimu siyo kufunika Utukufu wake (Uungu ) tu kwa mwili bali pia kubadili kitambulisho chake cha mamlaka
“Fatilia mfano huu”
Tendo la Yesu kuamua kuchukua jukumu la kutuokoa lilimladhimu siyo kufunika Utukufu wake (Uungu ) tu kwa mwili bali pia kubadili kitambulisho chake cha mamlaka
“Fatilia mfano huu”
Maji yanaweza kugeuka katika hali mbalimbali katika kile ninachojua maji hayo mara yanapo badiri hali tu pia tendo hilo huambatana na kubadilli jina, yaani mfano maji yanapoganda hayaitwi tena maji bali huitwa barafu
Swali:- Je barafu si maji?
Jibu:- la barafu ni maji ila yamebadili asili kwa muda na baadae hurejea.
Sababu ya Bwana Yesu kuitwa mwana inatokana na kusudi lake tu la kuja Duniani Kutukomboa hivyo alifanyika barafu toka asili ya maji (alifaninyika mwana toka asili ya Uungu kama njia ya Ukombozi) lakini asili yake ya Uungu inabaki palepale.
Fuatilia ushauri mwingine juu ya Uungu wa bwana Yesu katika mafungu yafuatayo:-
Fuatilia ushauri mwingine juu ya Uungu wa bwana Yesu katika mafungu yafuatayo:-
Yohana 14:7-10……… aliyeniona mimi amemwona Baba
Tito 2:13 ……. Yesu Mungu mkuu na mwokozi wetu.
Yohana 20:28 Bwana wangu (Yesu) na Mungu wangu.
Ndugu mpendwa ninaamini hofu na mashaka ya moyo wako juu ya mada hii yamepingwa na uondolewa kupitia uchambuzi huu, fanya maamuzi yako leo kwa kujenga upya imani yako juu ya mamlaka ya Bwana Yesu kama tulivyo jifunza.
Hitimisho
Yesu ni Mungu na hivyo yeyote anayehitaji kwenda mbinguni, njia pekee na pekee tu ni Kristo Yesu-‘Matendo 4:12 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
Mungu awabariki sana.
Ni mimi Max Shimba, mtumwa wa Yesu Kristo,
For Max Shimba Ministries Org,
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2016. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.
MUISLAM ABADILI DINI NA KUWA MKRISTO BAADA YA KUSOMA AYA HII YA BIBLIA

WAISLAM WANAULIZA, WAPI YESU KASEMA "MIMI NI MUNGU"?
Kuna aya nyingi sana Yesu kasema yeye ni Mungu. Tatizo ni kuelewa unacho kisoma.
Hebu rejea hapa:
Ufunuo 1: 17 Nami nilipomwona, nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,
18 na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.
18 na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.
Nilipo itoa aya hii kwa Muislam kama uthibitisho, MUISLAM akaniuliza nani msemaji wa hiyo aya, Nikamjibu kwa maksudi ni- Mungu.
Muislam, akacheka kwa kebehi sasa wapi kwenye hiyo aya Yesu anasema yeye ni Mungu?
Kwanza tukubaliane yafuatayo:
1. Waislam wanakiri kuwa Mungu ni Mwanzo na Mwisho "Alpha na Omega"
2. Kwenye hiyo aya inatuambia kuwa Mungu ni Alpha na Omega, au sio?
3. Tukubali kuwa msemaji wa hiyo aya ni Mungu.
1. Waislam wanakiri kuwa Mungu ni Mwanzo na Mwisho "Alpha na Omega"
2. Kwenye hiyo aya inatuambia kuwa Mungu ni Alpha na Omega, au sio?
3. Tukubali kuwa msemaji wa hiyo aya ni Mungu.
SASA:
Turudi tena kwenye aya ya 18: MSEMAJI ANASEMA KUWA, "NAMI NALIKUWA NIMEKUFA" Je, Mungu tokea lini anakufa?
Turudi tena kwenye aya ya 18: MSEMAJI ANASEMA KUWA, "NAMI NALIKUWA NIMEKUFA" Je, Mungu tokea lini anakufa?
Muislam akabakia kimya na kuanza kujitafakari, baada ya Muda akasema kuwa Kama Alpha na Omega alikufa, basi huyo lazima awe ni Yesu.
Nikamwambia haswaa,
Bwana Abdullah akaendelea kusema, INAMAANA KUWA MUNGU ALIKUFA, maana kwenye aya ya 18 inasema "NIMI NALIKUWA NIMEKUFA". Nikamjibu tena, haswaa.
Baadae, ndugu yetu Abdullah akasema basi Yesu ni Mungu. Nikamuuliza, unakubali kuwa Mungu alijidhihirisha katika mwili? Ndugu yetu alikubali na nikamuongoza swala ya toba, papo hapo.
Leo hii, Abdullah si Muislam tena bali ni MFUASI YESU, MUNGU MKUU,
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo, Mungu Mkuu.
Subscribe to:
Comments (Atom)
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...