Sunday, September 10, 2017

KAMA ALLAH NI MUNGU, KWANINI ALIUMWA MACHO MPAKA YAKAWA MEKUNDU?

No automatic alt text available.


Allah (s.w) aliumwa macho na pia wakati wa mafuriko ya Nabii Nuhu (a.s) alilia mpaka macho yakawa mekundu.
“Wakati mmoja macho ya Allah yalikuwa yanauma, na Malaika walikwenda kumuona, na kwamba Allah alitokwa na Machozi, kwaajili ya Mafuriko ya Nabii Nuhu mpaka macho yake yakawa mekundu (Al Milal Wannihal J.1 uk.141)
Msiba mzito sana tunapo soma ushahid kuwa:
1. Allah ana macho kama viumbe.
2. Allah analia kama viumbe ambavyo ni kafiri.
3. Allah ana sifa za kibinadamu ikiwa ni pamoja na kutokwa machozi.
MKRISTO MWENYE KUJITAMBUA HAWEZI KUMFUATA ALLAH ANAYE UGUA MACHO KAMA VIUMBE
ALLAH ANA MACHO Na tunaamini kuwa Allah Anayo macho mawili kikweli, na hii inatokana na kauli Yake Subhaanahu wa Ta’ala Aliposema kumwambia Nuuh (‘Alayhis-Salaam):
وَاصْنَعِ الْفُلْكَ بِأَعْيُنِنَا وَوَحْيِنَا
"Na unda jahazi mbele ya macho yetu na kwa mujibu wa ufunuo wetu."
Huud – 37
Na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amesema:
"Pazia yake ni nuru, na lau kama Ataiondoa basi nuru ya Wajihi Wake ingeunguza kila kilichokifikia."
Na alipokuwa akihadithia juu ya Ad-Dajjaal alisema:
"Dajjaal ana chongo na Mola wenu Hana chongo."
Na tunaamini kuwa macho yetu hayamfikii kumuona Allaah.
Allaah Anasema:
لاَّ تُدْرِكُهُ الأَبْصَارُ وَهُوَ يُدْرِكُ الأَبْصَارَ وَهُوَ اللَّطِيفُ الْخَبِيرُ
"Macho hayamfikilii, bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari."
Al-An’aam – 103
Ndugu wasomaji, teyari mmesha elewa kuwa Allah ni kiumbe kama binadamu kwasabau ana macho na zaidi ya hapo aliugua macho.
Mungu awabariki sana.
Katika Huduma yake,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.
Max Shimba Ministries Org.
MAX SHIMBA MINISTRIES ORG ©2015. ALL RIGHTS RESERVED
Everyone is permitted to copy and distribute verbatim copies of this license document, but changing it is not allowed.

UK Muslim leader says celebrating Christmas is punishable by death according to the Koran

He tells the story of Khaled from the Koran to explain why Muslims are not allowed to celebrate Christmas because “Christmas is infidel (kufr)”


https://youtu.be/sqOfTpms2wE

NAKALA ZA QURAN ZATUPWA KWENYE JALALA NA UBALOZI WA SAUDIA MOROCCO

Image may contain: outdoor, water and nature
Waislamu katika mitandao ya kijamii wamebainisha ghadhabu na hasira zao dhidi ya Utawala wa Saudia kufuatia kitendo cha wanadiplomasia wake kuonyesha kutoheshimu hata kidogo nakala za Qur'ani Tukufu.
Gazeti la Ajel la Saudi toleo la Jumapili limeandika kuwa, kufuatia mvua kali na kuharibika mahala panapowekwa nakala za Qur'ani na vitabu vingine vya kidini, wakuu wa ubalozi waliwaamuru wafanyakazi wachukue vitabu vyote hapo na kuvipeleka sehemu maalumu kwa ajili ya kuviteketeza moto.
Imearifiwa kuwa, vibarua katika ubalozi huo walivipeleka vitabu hivyo, ikiwemo Misahafu, katika eneo la kutupa takataka lakini wakakaidi amri ya wanadiplomasia wa Saudia ya kuviteketeza moto. Ubalozi wa Saudia umewatuhumu wafanyakazi hao kuwa walilenga kuiharibia Saudia jina kwa kusambaza picha hizo katika mitandao ya kijamii.
Tukio hilo la Ubalozi wa Saudia nchini Morocco kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu linaajiri katika hali ambayo nchi hiyo ni mwenezaji mkuu wa itikadi potovu za Kiwahhabi, Kitakfiri na kigaidi duniani. Uwahhabi ni dini rasmi Saudia na kawaida hueneza tafsiri potovu za Uislamu jambo ambalo limepelekea Saudia kuchukiwa na Waislamu wengi duniani.
Mwezi Agosti, zaidi ya wasomi na maulamaa 100 wa Kiislamu kutoka maeneo yote ya dunia walikutana Grozny, mji mkuu wa Jamhuri ya Chechenia na kutangaza kuwa, pote la Uwahhabi si la Kiislamu kama linavodai.
Kikao hicho kilidhudhuriwa na wanazuoni wa ngazi za juu wa Ahul Sunna akiwemo mkuu wa Chuo cha Al Azhar cha Misri Sheikh Ahmad Tayyib, Mufti wa Misri Sheikh Shouqi Alam.
Mkutano huo uliowachukiza sana watawala wa Saudia pia ulihudhuriwa na Maulamaa wa Ahul Sunna kutoka nchi kama vile Syria, Jordan, Sudan, Pakistan, Indonesia, Malaysia na nchi kadhaa za Ulaya.

ROHO MTAKATIFU YUPO KILA MAHALI

Image may contain: sky, ocean, cloud, text and nature
Hebu tuangalie kama Roho Mtakatifu ana adhama za Mungu aliye hai. Sifa, moja ya Mungu ni kuwa, yeye yupo kila Mahali. Je, Roho Mtakatifu anayo hii sifa ya kuwa kila mahali? Fungua Zaburi 139:7-8, “nitaenda wapi nijifiche na Roho? ama nitakimbilia wapi mbali na uwepo wako? Nikipanda juu mbinguni, huko uko; nikifanya malazi yangu kuzimu, tazama uko huko,” Daudi anatuambia kwa kupitia Zaburi kuwa, huwezi kumkimbia Mungu.
Daudi anamtaja Mungu na au anamwita Mungu kuwa ni Roho. Hii sifa ya kuwa kila mahali ni ya Mungu pekee, na katika Zaburi 139: 7-8, tumesoma kuwa, Roho Mtakatifu yupo kila mahali. Tuendele na ushahidi zaidi wa kuwa kila mahali; katika Wakorintho wa Kwanza, hapa Mtume Paulo anasema yafuatayo 1 Wakorintho 2 aya ya 10 Lakini Mungu ameyajulisha kwetu kupitia Roho wake mtakatifu.
Kwa kuwa Roho huyachunguza mambo yote, naam, mambo ya siri ya Mungu. Kwa maana ni nani ayajuaye ya mwanadamu isipokuwa roho ya mwanadamu inayokaa ndani yake?
Vivyo hivyo, hakuna ajuaye mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.” Kama Roho Mtakatifu anafahamu kila kitu kilicho ndani ya Binadamu, ambao wametapakaa Duniani kote, basi kitendo cha kuwa kila mahali kwa wakati mmoja ni Mungu pekee ndie aliye na huo uwezo. Tuendelee kwa Ushihidi mwingine katika aya hiyo hiyo ya 10 ya Wakorintho wa kwanza Sura ya 2. Roho Mtakatifu ni Mungu kwasababu ana akili, hisia, na mapenzi yake. Katika Wakorintho wa kwanza 2:10 tumesoma kuwa Roho Mtakatifu hufikiria na hujua siri iliyo ndani yako. Hii sifa ya kufikiria na kujua, inavunja hoja ya Mashahidi wa Yehova kuwa Roho Mtakatifu ni “Nguvu”. Nguvu haina uwezo wa kufikiria wala kufanya maamuzi.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo.

JE WEWE UNAISHI KWA NEEMA YA YESU KRISTO AU SHERIA ZA MUSA NA SABATO?

Image may contain: text


SABATO SI SIKU
Upo ushahidi wa kutosha katika Biblia unaoonyesha kwamba sabato si siku katika juma. Bwana anapoongelea kuhusu safari ya wana wa Israeli anasema:
Kwa hiyo nalichukizwa na kizazi hiki, nikasema, Siku zote ni watu waliopotoka mioyo hawa ... hawataingia rahani mwangu. (Ebr. 3:10-11).
Pia imeandikwa: Maana ameinena siku ya saba mahali fulani hivi, Mungu alistarehe siku ya saba, akaziacha kazi zake zote; na hapa napo, Hawataingia rahani mwangu. (Ebr. 4:4-5).
Katika maandiko haya Mungu anasema kwamba, kutokana na kukasirishwa na uasi wa wana wa Israeli kule jangwani, alimua kwambahawataingia kwenye raha aliyokuwa amewaandalia. Neno rahani hapa, au kwa Kiingereza rest, ndilo hilohilo sabato. Ndiyo maana hapo juu katika Waebrania 4:4-5, anahusisha siku ya saba na kuingia rahani.
Lakini hebu tujiulize maswali yafuatayo ili tuweze kupiga hatua zaidi.
• Je, Israeli walipokuwa jangwani kwani hawakuwa wakitunza Sabato kama siku? Jibu ni ndiyo, waliitunza. Biblia inasema:Basi ikawa siku ya sita wakaokota kile chakula sehemu mara dufu, kila mtu pishi mbili; na wazee wote wa mkutano wakaenda na kumwambia Musa. Akawaambia, Ndilo neno alilonena BWANA, Kesho ni starehe takatifu, Sabato takatifu kwa BWANA ... (Kutoka 16:22-23).
• Kama basi waliitunza sabato, iweje tena Mungu aseme, ‘Hawataingia rahani mwangu’? Kama ingekuwa ni kumwuliza Mungu, mtu ungesema, “Bwana, unasemaje hawataingia rahani mwako wakati kila siku ya saba wanapumzika?” Hii ni ishara ya wazi kwamba sabato hasa si kupumzika au kutofanya kazi kimwili katika siku ya saba. Sabato ni jambo jingine tofauti na siku ya saba. Iko sabato halisi ambayo siku ya saba na kupumzika kwake vilikuwa ni kivuli chake tu.
• Jambo jingine la kujiuliza ni kwamba, japo ni kweli kwamba wale ambao Mungu alisema hawataingia rahani mwake walifia wote jangwani, lakini walikuwapo wengine wengi walioingia, yaani watoto wao. Sasa je, hao walioingia waliipata hiyo raha (Sabato)?
Mtu anaweza kujibu, Ndiyo, maana sote tunajua kuwa hata wakati alipokuja Bwana Yesu, alikuwa akifundisha mara nyingi kwenye masinagogi 'siku ya Sabato'. Kwa hiyo, mtu anaweza kusema, ‘Ndiyo, waliingia kwenye raha au kwenye sabato.’
Hebu sasa tumsome Mtume Paulo:
Kwa hiyo mtume Paulo anafundisha kuwa ni jambo la udanganyifu kuwafundisha watu washike siku ya Sabato. Kwa sababu ya wokovu wetu ndani ya Kristo (Wakolosai 2:11-15) Paulo anasema, “Basi, MTU ASIWAHUKUMU ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au SABATO; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.” (mstari wa 16).
Paulo anaanzisha mstari huo na neno hili, “Basi.” Kwa nini? Kwa sababu ya mistari 14 na15, “(Yesu) akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa isiwepo tena, akaigongomea msalabani; akiisha kuzivua enzi na mamlaka, na kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo.”
Walikuwepo watu wa dini – kama tunavyojua kwa kusoma hasa Matendo na Wagalatia – waliotaka wakristo waishi chini ya sheria, yaani, kushika mambo ya nje ya torati; kwa mfano watahiriwe au washike ‘siku’ ya torati. Paulo anafundisha hapo kama mtu akisema, “Lazima ushike sabato ili kumpendeza Mungu au kuokoka ‘kweli’, usimruhusu akuvute chini ya sheria hiyo na humjali kama anakuhukumu! Tunasoma kwenye Matendo 15 na Wagalaia juu ya watu waliojaribu kupotosha njia ya Ukweli kwa kuwalazimisha waumini wayarejee mambo ya torati ya Musa. Ni vivyo hivyo siku hizi. Wasabato wanawahukumu wakristo kwa sababu hawashiki siku ya sabato! Paulo aliwaonya wakristo juu ya watu wa dini kama hao hao!
Hayo ni mafundisho ya Agano Jipya. Hatuwezi kusema au kufundisha kwamba ni lazima tukusanyike siku ya Sabato (jumamosi). Kama fulani akifundisha hivyo anawadanganya watu, sawasawa na maneno ya Paulo. Au je, tunataka kusema Paulo alifundisha uongo? Au tunataka kutumia mstari mmoja dhidi ya mstari mwingine kana kwamba Biblia siyo neno la Mungu? Mistari yote ina muktadha (mazingira) yake! Nani aliyekupa wewe ruhusa na mamlaka kupendelea mstari mmoja na kuudharau mstari mwingine au kutokujali kabisa? Hakika hiyo haitokani na Mungu.
Ndugu msomaji, ningependa ufahamu kuwa wokovu wetu sisi Wakristo upo ndani ya Yesu Kristo, siyo kwa kushika Torati ya Musa kama ambavyo WASABATO “SDA" wanavyo amini, SIKU HAINA UWEZO WOWOTE ULE KATIKA MAISHA YAKO, LAKINI YESU NDIE MUWEZA WA KILA KITU NA YEYE NDIE ALIYEIUMBA HIYO SIKU YA SABA YA JUMA.
Wasabato hutumia hii aya kumhukumu Mtume Paulo kuwa alifundisha uongo Kwa mfano wananukuu, ‘Imeandikwa katika Kutoka 20:8-11 lazima tushiike sabato!’ Sasa, inamaana Mtume Paulo alikuwa anafundisha uongo alipo sema tuna haki ya kumtukuza na kumwabudu Mungu siku yeyote ile?
Mtume Paulo anatueleza kiuwazi kuwa, ni vigumu sana kumfuata Yesu kwa asilimia 100 na wakati huo huo unafuata sheria za Musa. Hebu tusome jinsi Mtume Paulo alivyo ianza baruka yake kwa Wagalatia “Nastaajabu kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo, na kugeukia injili ya namna nyingine. Wala si nyingine; lakini wapo watu wawataabishao na kutaka kuigeuza injili ya kristo. Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe. Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe.”
Hapa ni wazi kuwa Mtume Paulo alikuwa anaongea juu ya waumini ambao walikuwa wanataka kufuata sheria ya Musa. Ndio maana tunamsoma Mtume Paulo akitumia lugha au maneno makali kwa Wagalatia.
Hii tabia ya watu kupenda kushika sheria za Musa tunaiona kwa kanisa la SDA ambalo wanafuata sheria za Musa na kusahau kuishi kwa Imani kama jinsi ambayo Biblia inatufundisha katika Waebrania 11:6 Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.
Paulo alihuzunishwa sana, kwa sababu anasema wazi hivi “…..sasa mkiisha kumjua Mungu, au zaidi kujulikana na Mungu, kwa nini KUYAREJEA TENA MAFUNDISHO YA KWANZA yaliyo manyonge, yenye upungufu, ambayo mnataka kuyatumikia tena? MNASHIKA SIKU, na miezi, na nyakati, na miaka.”(Wagalatia 4:9,10).
“Maana yale YASIYOWEZEKANA kwa sheria, kwa vile ilivyokuwa DHAIFU kwa sababu ya mwili, Mungu, kwa kumtuma “YESU KRISTO” Mwanawe mwenyewe katika mfano wa mwili ulio wa dhambi, na kwa sababu ya dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili; ILI HAKI YA TORATI YATIMIZWE NDANI YETU sisi, tusioenenda kwa kufuata mambo ya mwili, bali mambo ya roho.” (Warumi 8:3,4).
Kwa hiyo, mtume Paulo anasisitiza, “Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au SABATO.”
Ningependa ufahamu kuwa kiwango cha haki ya Injili ya Yesu Kristo KIPO JUU ZAIDI ya kiwango cha Torati ya Musa. Imeandikwa, “torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.” Yohana 1:17:
SWALI KWAKO MSOMAJI, wewe unaishi kwa uongozi wa NEEMA YA YESU KRISTO AU UONGOZI WA TORATI YA MUSA?
Kumbuka kuwa sheria ambayo ipo nje yako haiwezi kuishinda neema ya Yesu ambayo inaishi ndani yako.
Shalom
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na mwokozi wetu.

SHIRIKA LA UCHAPISHAJI QURAN SAUDI ARABIA LAFILISIKA

No automatic alt text available.
LASHINDWA KUWALIPA MISHAHARA WAFANYAKAZI WAKE 1300 KWA ZAIDI YA MIEZI SITA.
WOTE SASA WAMEFUKUZWA KAZI
Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, wafanyakazi hao wamefanya maandamano hayo kulalamikia kitendo cha kutolipwa mishahara yao kwa miezi sita sasa. Wakati huo huo, Shirika la Kuchapisha Qur'ani nchini Saudia nalo limewafuta kazi wafanyakazi wake 1300 kwa kufilisika.
Wafanyakazi hao waliokuwa wakijishughulisha katika kituo kikubwa cha uchapishaji wa Qur'ani Tukufu cha Mfalme Fahd huko mjini Madina, walikuwa hawajalipwa mishahara yao kwa kipindi cha miezi tisa kabla ya kufutwa kazini. Awali watu hao sanjari na kutakiwa kuwasiliana na idara ya uajiri ya Shirika laOger la nchi hiyo, walitakiwa pia kusaini mkataba wa kuacha kazi.
Kushuka kwa bei ya mafuta, uungaji mkono kifedha kwa makundi ya kigaidi na kitakfiri huko Saudia na Iraq na kadhalika vita vya muda mrefu nchini Yemen ambavyo hadi sasa vimeigharimu Saudia kiasi kikubwa cha fedha, ni mambo ambayo yameufanya utawala wa Aal-Saud, kukabiliwa na matatizo makubwa ya kifedha. Hii ni katika hali ambayo, Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud ametoa amri ya kukatwa mishahara ya wafanyakazi wote wa serikali kwa ajili ya kuokoa bajeti ya serikali.
Itafahamika kuwa, Saudia ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa ukandamizaji wa wafanyakazi, na kwa mara kadhaa mashirika ya kutetea haki za binaadamu yamekuwa yakiilalamikia serikali ya kifalme ya nchi hiyo na kuitaka iheshimu haki za binaadamu.
Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, wafanyakazi hao wamefanya maandamano hayo kulalamikia kitendo cha kutolipwa mishahara yao kwa miezi sita sasa. Wakati huo huo, Shirika la Kuchapisha Qur'ani nchini Saudia nalo limewafuta kazi wafanyakazi wake 1300 kwa kufilisika.
Wafanyakazi hao waliokuwa wakijishughulisha katika kituo kikubwa cha uchapishaji wa Qur'ani Tukufu cha Mfalme Fahd huko mjini Madina, walikuwa hawajalipwa mishahara yao kwa kipindi cha miezi tisa kabla ya kufutwa kazini. Awali watu hao sanjari na kutakiwa kuwasiliana na idara ya uajiri ya Shirika laOger la nchi hiyo, walitakiwa pia kusaini mkataba wa kuacha kazi.
Kushuka kwa bei ya mafuta, uungaji mkono kifedha kwa makundi ya kigaidi na kitakfiri huko Saudia na Iraq na kadhalika vita vya muda mrefu nchini Yemen ambavyo hadi sasa vimeigharimu Saudia kiasi kikubwa cha fedha, ni mambo ambayo yameufanya utawala wa Aal-Saud, kukabiliwa na matatizo makubwa ya kifedha. Hii ni katika hali ambayo, Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud ametoa amri ya kukatwa mishahara ya wafanyakazi wote wa serikali kwa ajili ya kuokoa bajeti ya serikali.
Itafahamika kuwa, Saudia ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa ukandamizaji wa wafanyakazi, na kwa mara kadhaa mashirika ya kutetea haki za binaadamu yamekuwa yakiilalamikia serikali ya kifalme ya nchi hiyo na kuitaka iheshimu haki za binaadamu.
Suala linalozidisha matatizo ya kiuchumi ya Saudia mbali na matumizi ya ndani zaidi linahusiana na gharama kubwa za masuala ya kijeshi na sera za vita za watawala wa Riyadh. Kwa sasa Saudi Arabia inashika nafasi ya tatu baada ya Marekani na China katika orodha ya nchi zenye bajeti kubwa zaidi ya masuala ya kijeshi duniani. Mwaka 2014 Saudia ilishika nafasi ya kwanza kati ya nchi zinazonunuasilaha kwa wingi kutoka nje ya nchi. Mwaka huo Watawala wa kifalme wa Saudia walinunua silaha zenye thamani ya dola bilioni 604 kiwango ambacho kiliongezeka kwa asilimia 54 ukilinganisha na mwaka wa kabla yake. Wakati huo huo India ambayo ni miongoni mwa nchi kubwa muhimu duniani iliagiza silaha zenye thamani ya dola bilioni 57.5.

KUMBE SHETANI ANAISHI MAKKA




Ndugu zanguni huu ni Msiba mwingine kwa ndugu zetu. Amini usi amini habari ndio hii na ukweli leo unaanikiwa hapa.
Inapo fika siku ya 10 ya Zhu Al-Hijjah , wana Hijaa huondoka kutoka Muzdalifah, huku wakiokota Mawe wakiwa njiani. Kufuatana na Sunna, katika siku hii ya kwanza (10), wanaruhusiwa kuokoka Mawe Saba tu. NAJUA UNASHANGAA, HAYA MAWE NI YA NINI NA WAISLAM WANAELEKEA WAPI. Endele kusoma huu mkasa.

Nyakati za kupiga mawe Shetani:
Siku ya An-Nahr – Sikukuu mosi, usipige mawe mpaka jua lichomoze:
((Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alipokuwa Muzdalifah aliwatanguliza Minaa watu dhaifu na wazee na wanawake, akawaambia: “Musirushe mawe mpaka jua litoke”)) [Imepokewa na At-Tirmidhiy]
Mwenye udhuru anaweza kuchelewesha mpaka kabla ya Magharibi, lakini ni vizuri kupiga mawe baada ya kutoka jua na kabla haijaingia Magharibi kwa asiyekuwa na udhuru. (Baadhi ya Maulamaa wanajuzisha kupiga mawe baada ya Magharibi kwa udhuru, lakini bora ujaribu kupiga kabla jua kuzama).
Wakati wa kurusha mawe kwa siku mbili zilizobaki au siku tatu kwa wale wasiotaka kuharakisha, ni baada ya Zawal (wakati wa adhuhuri pale jua linaposogea kidogo baada ya kuwa katikati).

WANAPO FIKA "MINA", NDIO KAZI YA KUMPIGA MAWE SHETANI INAANZA.
1. Mahujjaj, hutupa mawe 7 'Jamrat Al-Aqabah'. Mahujjaj humtupia mawe Shatani huko Urabuni "MIRA" AKA MAKKA. Ndugu wasomaji, kumbe Shetani yupo Makka. Kumbe Shetani ni jamaa yao na wanampiga mawe.
Huu ni Msiba mkubwa sna kwa Waislam wanao enda Hijja ili wampige Mawe Shetani.
2. Mahujaj hurudi tena Mina na kuanza kumpiga Mawe Shetani na kuka usiku huko katika siku ya 11 na siku ya 12.
Hivi, Shetani ana Mwili mpaka wampige Mawe? Hivi Allah hawezi kummaliza Shetani mapka atumie watu kumpiga Mawe? Hakika kuna Shaka sana kwenye hii dini ya Allah.

Mahujaj hufanya hii kazi ya kumpiga Mawe Shetani katika siku ya 11, 12, na 13, na hufanya hii kazi wakati w Usiku na sio Mchana. Hapo sasa ndio utafahamu kuwa Shetani ni sehemu ya hii dini.
Kuomba Du’aaNi vizuri kuelekea Qiblah na kuomba du’aa baada ya kumaliza kupiga kila Jamaraat isipokuwa Jamaraat la mwisho. Hadiyth iliyosimuliwa na Al-Bukhaariy na Imam Ahmad inasema:
((Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alikuwa akeshapiga kila Jamaraat kwa mawe saba akisimama na kuelekea Qiblah na kuomba du’aa, isipokuwa baada ya kulipiga Jamaraat la mwisho hakusimama.)) [Imepokewa na Al-Bukhaariy na Imam Ahmad]

Siku Ya Kuharakisha
Ikiwa unataka kubaki hapo kwa mda wa siku mbili tu, basi siku ya tarehe Kumi na mbili Dhul Hajj ambayo hujulikana kama ni "Yawmul isti’ijaal" - Siku ya Kuharakisha – unapiga mawe na kuondoka Minaa kabla ya jua kuzama, na ikiwa utakawia kuondoka ukawepo hapo baada ya juwa kuzama itakubidi ubaki hapo siku moja zaidi. Ni vizuri kubaki usiku wa tatu ikiwa huna cha kukushughulisha.

Twawaaful Wida’a
Unapotaka kurudi nchini kwako baada ya kumaliza shughuli za Hajj, unatufu Twawaaful wida’a, (Twawaafu ya kuaga) nayo ni kama ifuatavyo:
Unatufu Al-Ka’abah mara saba na kufanya kama ulivyofanya katika Twawaafu za mwanzo, lakini mara hii bila ya kufanya Sa’ay baina ya Swafaa na Marwah.
NDUGU ZANGUNI,
Hii dini si ya Mungu wala hakuna sehemu kwenye Taurat au Injir au Zaburi ambayo Mungu anawaamrisha Waisrael wamtupie Mawe Shetani. Ndio maana huwa nasema kila siku kuwa, Allah hawezi kuwa Mungu wa Ada, Mungu wa Musa, Mungu wa Ibrahim, nk. Allah anaonyesha sifa tofauti kabisa na za Mungu wa Biblia.
Hivi Mtu na akili zako unaokota Mawe na kuanza kumpiga Shetani? Hakika hawa wamepotea wanao Mpiga Mawe Shetani.
HEBU SOMA TENA HIVI VIOJA NA UCHAWI WA KIISLAMUkishamaliza Twawaafu ya Ifaadhwah unarudi Minaa na unabaki hapo usiku wa tarehe 11, 12 na 13 kwa wasiokuwa na haraka. Hizo zinaitwa siku za Tashriyq. Inatosha kama utabaki hapo usiku wa tarehe 11 na wa 12 tu. Katika siku 2 au 3 hizo unapiga mawe Jamaraat zote tatu kila siku kwa mpangilio ufuatao.
Anza kupiga Jamaraat la mbali na Makkah, (Jamaraat dogo) kisha la kati, kisha Kubwa (Jamarat al Aqaba). Kila moja piga kwa mawe saba huku ukisema: "Allaahu Akbar", kila unaporusha jiwe. Hii ni kwa siku tatu zilizobaki.
Jamani. Nawasihi Wakristo wote duniani kuwaombea hawa Waislam wanao panda ndege na kwenda Makka kumpiga Mawe Shetani. Hawa ni vipofu na viziwi. Wnaihitaji upendo wa Yesu.
WAISLAM:
1. Hivi kumpiga Mawe Shetani kunawasaidia nini?
2. Wapi tunasoma kuwa Abrham alimpiga Mawe shetani?
3. Mbona huu utamaduni wa kupiga Mawe Shetani upo kwenye Quran peke yake?
Nawakaribisha kwa Yesu Mungu Mkuu.

Max Shimba Ministries Org.

KWANINI YESU ALIINGIA KWENYE SINAGOGI SIKU YA JUMAMOSI “SABATO”?



Kabla sijaanza kuelezea kwanini Yesu aliingia Sinagogi, ni vyema tukafahamu angalau kiufupi maana ya Sinagogi.

Sinagogi ni nyumba ya dini na ya jamii ya Wayahudi inayotumika hasa kusali. Jina hili Sinagogi linatokana na neno la Kigiriki συναγωγή sinagoge, likimaanisha "mkutano"; ni tafsiri ya neno la Kiebrania בית כנסת beit knesset, yaani "nyumba ya mkutano".

Wayahudi hutumia pia neno la Kiyiddish "shul" (=shule) kutajia sinagogi.
Sasa basi, baada ya kulewa maana ya Sinagogi, huto shangaa kuwa Wayahudi ndio watumiaji wa hayo Masinagogi na waliingia siku ya Saba “Sabato” kusali au kusoma “Shule” kama ambavyo neno hili hutamkwa katika Kiyiddish.

Hivyo, basi, haikuwa jambo la ajabu au kustaabisha tunapo soma kuwa Bwana Yesu aliingia ndani ya Masinagogi ili awafundishe Wayahudi kuhusu Ufalme wa Mbinguni. "Luka 4:16. alipokwenda Hapo Alipozaliwa Nazaret alipozaliwa na Siku ya Sabato(jumamosi) alikwenda katk#Sinagogi kama Ilivyokuwa Desturi Yake. Akasimama ili asome 17. akapewa kitabu cha nabii isaya akafunua mahali palipo andikwa "#Roho_wa_Bwana yuu Juu Yangu. Amenipaka mafuta Kuhubiriia maskini Habari njema "

Basi Wasabato wanapo soma hiyo aya teyari wanasema kuwa Yesu aliitunza Sabato kwasababu aliingia Sinagogi siku ya Saba ya Juma = Jumamosi. Haya madai hayana nguvu yeyote ile bali ni madai dhaifu. Kuingia Sinagogi siku ya Jumamosi hakukufanyi na au hakumfanyi mtu kuwa Msabato.

HILI DAI LA KUINGIA SINAGOGI naweza kulifananisha na dai la Waislam kuwa, eti, Yesu aliingia Sinagogi na hivyo Yesu ni Muislam. Waislam wao wana hoja ya kuwa Sinagogi ni Msikiti, basi ukiingia kwenye Sinagogi basi wewe ni Muislam HUKU WASABATO wana hoja ya kuwa Yesu kaingia SINAGOGI SIKU YA JUMAMOSI, basi Yesu ni Msabato. HOJA ZOTE MBILI ZA WAISLAM NA WASABATO NI DHAIFU.
Wakristo wa mwanzo hawakutumia Sinagogi katika ibada zao ndio maana Bwana wetu Yesu Kristo alisema hivi: Kwa mfano, baada ya kumtakasa mtu yule aliyejaa ukoma, Yesu alimwambia, “Asimwambie mtu, ila, Nenda ukajionyeshe kwa kuhani; ukatoe kwa ajili ya kutakasika kwako kama Musa alivyoamuru, iwe ushuhuda kwao.” (Luka 5:14). Haya maneno yanaashiria kuwa Yesu alipo fanya huu muujiza hakuwa kwenye Sinagogi na ndio maana alimwambia Nenda ukajionyeshe kwa kuhani; ukatoe kwa ajili ya kutakasika kwako kama Musa alivyoamuru, iwe ushuhuda kwao.” (Luka 5:14).

Hiki ni kipindi ambacho ni cha kiimani zaidi. Kimsingi hiki ni kipindi ambacho kinaendelea hadi sasa. Huu ni wakati wa kupumzika kazi za mwili za uovu, yaani kuacha dhambi na kuishi kwa kumtegemea Kristo. Ni maisha ya imani.

Imeandikwa: Njoni kwangu ninyi nyote wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha. (Matayo 11.28), yaani, nitawapa ‘sabato’. Pia ndiyo maana ya andiko lisemalo: Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato. (Matayo 12:8). Sabato iko kwake, si kwenye siku.

Ni maisha ya kujiachia mikononi mwa Mungu ambaye yeye ndiye anayeshughulikia kila kitu katika maisha yetu. Kazi yetu ni kuamini tu kuwa atafanya; naye hakika anafanya. Hilo ndilo pumziko! Hiyo ndiyo raha! Hiyo ndiyo starehe! Hiyo ndiyo Sabato!

Shalom
Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na mwokozi wetu.

ROHO MTAKATIFU HUTUOMBEA

Image may contain: cloud, sky, text, outdoor and nature
Warumi 8:26-27 Bibilia Takatifu (SNT)=12pt26 Hali kadhalika Roho hutusaidia katika udhaifu wetu. Kwa sababu hatujui kuomba ipasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa uchungu usioelezeka kwa maneno. 27 Na Mungu ambaye ana chunguza mioyo yetu anafahamu mawazo ya Roho kwa maana Roho huwaombea watakatifu kufuatana na mapenzi ya Mungu.
Katika aya hapo juu, tumesoma kuwa, Roho Mtakatifu anatuombea na kutusaidia katika udhaifu wetu. Hii sifa ya upendo usio na kipimo ni ya Mungu peke yake. Zaidi ya hapo, tunasoma kuwa, Mungu anachunguza mioyo yetu kwa kupitia Roho Mtakatifu. Kumbe basi, Roho Mtakatifu anafahamu mapenzi ya Mungu kwako.
Hii sifa ya Roho Mtakatifu kuwa na uwezo wa kufahamu nini Mungu anawaza inamfanya Roho Mtakatifu na yeye awe Mungu. Hakuna mwenye uwezo wa kufahamu mawazo ya Mungu, isipokuwa Mungu.
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.

NAKALA ZA QURANI ZATUPWA KATIKA MTARO WA MAJI TAKA

Image may contain: outdoor
Nakala takribani 500 za kitabu kitukufu cha Qurani القرآن الكريم zimegunduliwa katika mtaro wa maji taka katika mji wa Taif, nchini Saudi Arabia.
Kwa mujibu wa Afisa wa kamati ya kukuza na kufadhili mambo ya Qurani alisema tukio hilo liliripotiwa na mwanafunzi ambaye aliona msahafu katika mtaro wakati anaelekea nyumbani kwao maeneo ya Al-salama ambayo ni moja ya wilaya ya mkoa wa Taif.
Kampuni ya kuhudumia mifereji ya maji ilifungua na kukuta nakala zipatazo 500 za Qurani. Hii si mara ya kwanza kwa Quran Mtakatifu kukutwa imeharibiwa katika Saudi Arabia.
Mapema mwaka huu, Afisa wa gerezani la mkoa wa Al-Haer alitusi Qurani kiasi cha kupelekea maandamano katika sehemu mbalimbali za Saudi Arabia.
Kunajisiwa kwa Quran katika nchi ya Saudi Arabia ambayo ni jicho la Uislamu kumeibua hisia hasi katika ulimwengu wa Kiislamu.

TRENDING NOW