Monday, December 25, 2017

Why Muslims don’t like to wish you a “Merry Christmas

If celebrating Christmas or wishing others a ‘Merry Christmas’ were allowed, it would have been stated in the Qur’an. In Christianity, Jesus is God and this is just plain ‘shirk’ (the worst sin in Islam). So being associated in any way with Christmas is haraam (forbidden) on every level.

Standup4Islam The fact is that Muslims should not be taking part in Christmas or other festivals that are not based in Islam, that do not uphold the principles that we have been taught by the Prophet Muhammad. Muslims need to start standing up for Islam and stop acting like non-Muslims. We are not Christians and do not hold to those false beliefs.

Muslims need to stop attending Christmas parties, the giving of presents, sending cards, or giving Christmas greetings. This is not Islamic. Muslims need to remember that we are ordered by Allah not to imitate the kufaar (filthy unbelievers). Muslim parents need to explain to the schools that their children only believe in Islamic values which is why their children should not be encouraged to take part in Christmas plays.

Islamic ruling on acknowledging, celebrating, or engaging in non-Islamic festivals such as Christmas is as follows: 

  • WE ARE MUSLIMS NOT CHRISTIANS
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by celebrating it
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by sending Christmas cards
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by buying Christmas presents
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by wishing others Merry Christmas
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by going to and holding Christmas parties
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by singing Christmas songs
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by telling your kids about a fictional figure like Santa Claus
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by doing secret Santa
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by going to your company Christmas party
  • It’s haraam to support the idea of Christmas, we should educate people on Islam instead
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by having one foot in Islam and one foot in Christianity
  • It’s haraam to support the idea of Christmas, you are after all celebrating SHIRK
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by buying your kids advent calendars
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by putting up a Christmas tree
  • It’s haraam to support the idea of Christmas by having your kids take part in Christmas nativity plays
  • Christmas is for Christians, Eid is for Muslims.
  • Christmas is a made-up, pagan festival 4 the Christians/non-Muslims. Eid is a Gift from Allah for the Muslims


Friday, December 22, 2017

VITA VYETU SI VYA DAMU NA NYAMA


"Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho." Waefeso 6:12

Ndio maana kina Meshaki, Shadraka na Abednego walipotupwa katika moto hawakuwa peke yao naye akawa ndani ya moto na kuwaokoa mwisho wa siku Mungu akajipatia utukufu kwa mfalme Nebukadreza (Daniel 3;28). Mungu wao akatukuzwa katika jamii yote ndiye Mungu aokoae ambaye ni Yesu Kristo Mungu Mkuu Tito 2:13.

Hata Danieli alipotupwa katika tundu la Simba wakali ndani ya tundu la Simba, Danieli hakuwa peke yake Malaika alikuwa naye akamlinda na Simba hawakumdhuru. Akatoka salama na Mungu wa Danieli akatukuzwa katika jamii YOTE YA DUNIA kuwa ndiye Mungu aponyaye, aokoaye na kutenda ishara na maajabu. (Daniel 6;25)

Unapopita katika jaribu nawe ukishinda Mungu wako anapata sifa kwa jamii na kutukuzwa ndio maana wakati mwingine lazima upite katika jaribu ili Mungu wako apate kutukuzwa nawe pia unaposhinda unapandishwa cheo katika ulimwengu wa roho huwi vilevile, Yesu aliposhinda alipewa mamlaka mbinguni na Duniani..

Basi kama kama upo katika majaribu usidhani unapita peke yako, Mungu aliye kuwa na Daniel yupo pamoja nawe. Unatembea naye katika hilo jaribu mwisho wake ushindi, sifa na utukufu zitamwendea Mungu wako aliyekushindia.

MBARIKIWE.

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu.

Tuesday, December 19, 2017

China Puts Entire Muslim Population in DNA Database…

China has created a DNA database for the whole population of a Muslim region that has been blighted by violence, a report said.
Authorities have collected DNA and other biometric data from the whole of the western region of Xinjiang, where hundreds have been killed in the past few years.
Violence has been rife in the region between Uighurs, a mostly Muslim people, and ethnic majority Han Chinese, which Beijing blames on Islamist militants.
Human Rights Watch denounced the government's campaign as a gross violation of international norms in their report.
The unrest has fuelled a sweeping security crackdown there, including mass rallies by armed police, tough measures that rights advocates say restrict religious and cultural expression, and widespread surveillance.
Authorities will collect DNA from the region that has been blighted by violence 
Chinese soldiers march on the streets of Urumqi in China's far west Xinjiang province 
Police are responsible for collecting pictures, fingerprints, iris scans and household registration information, while health authorities should collect DNA samples and blood type information as part of a "Physicals for All" programme, the New York-based group said in a statement, citing government a document.
Human Rights Watch's China director Sophie Richardson said: "The mandatory databanking of a whole population's biodata, including DNA, is a gross violation of international human rights norms, and it's even more disturbing if it is done surreptitiously, under the guise of a free health care program."
According to the Xinjiang-wide plan posted online by the Aksu city government in July, main goals for the campaign include collecting the biometric data for all people between the age of 12 and 65, and verifying the region's population for a database.
"Blood type information should be sent to the county-level police bureaus, and DNA blood cards should be sent to the county police bureaus for inspection," the plan said.
Police are responsible for collecting pictures, fingerprints, iris scans and household registration information 
Data for "priority individuals" should be collected regardless of age 
Data for "priority individuals" should be collected regardless of age, it said, using a term the government has adopted to refer to people deemed a security risk.
Government workers must "earnestly safeguard the peoples' legal rights", plan said, but it made no mention of a need to inform people fully about the campaign or of any option for people to decline to take part.
Xinjiang officials could not be reached for comment.
Health authorities collect DNA samples and blood type information 
Crime Finger Print
Authorities have collected DNA and other biometric data from the whole of the western region of Xinjiang 
Chinese Foreign Ministry spokesman Lu Kang, asked about the report by Human Rights Watch, accused the group of making "untrue" statements.
He told a regular news briefing in Beijing the general situation in the region was good.
Human Rights Watch cited an unidentified Xinjiang resident saying he feared being labelled with "political disloyalty" if he did not participate, and that he had not received any results from the health checks.
State media, reporting on the campaign checks, have said participation was voluntary.
The official Xinhua news agency in November cited health authorities as saying 18.8 million people in the region had received such physicals in 2017 for a 100% coverage rate.

    Mosque Imam Who Molested Four Children Gets 9-Year Sentence…

    A former imam at a Cardiff mosque who sexually abused children has had his prison sentenced reduced by four years.
    Mohammed Saji Sadiq, 81, was jailed for 13 years in July after being found guilty of .
    Mr Sadiq, from the Cyncoed area of the city, taught Koran Studies at the Madina mosque between 1976 and 2006.
    An attempt to overturn his conviction failed on Thursday, but his sentence was cut to nine years.
    Following a trial at Cardiff Crown Court the former part-time imam was found guilty of eight sexual assaults on a child under 13 by touching, and six indecent assaults.
    The allegations involved four girls and were said to have taken place between 1996 and 2006 at the mosque, then situated on Woodville Road in the city.
    Appeal court judges sitting in Cardiff dismissed his claim over his convictions.
    The Lord Chief Justice of England and Wales Sir Ian Burnett said he, Mr Justice Clive Lewis and Mrs Justice Nicola Davies were all in “no doubt the convictions are safe”.
    But he said the sentence was too high and reduced it to nine years.
    He had denied the charges involving four girls aged between five and 11 and blamed “politics” in the mosque for the accusations.
    https://kaplanherald.com/2017/12/15/cardiff-mosque-tutors-youngster-abuse-jail-sentence-lower/

    Sunday, December 17, 2017

    Buying Pork in Dubai

    Consumption of pork is strictly forbidden in Islam, due to passages in the Koran that expressly ban eating the meat or blood of “swine.” This means that pig meat in all its forms is illegal in many Islamic countries such as Kuwait and Saudi Arabia–although you’ll find beef salami, turkey bacon, and chicken sausages.
    Nevertheless, a number of supermarkets in Dubai have pork sections. Signposted as being for “Non-Muslims only” — but there are no ID checks or interrogations of the buyers — these are especially common in the parts of town where Western expats are concentrated. One such supermarket is mere minutes from my front door, where a corner of the supermarket sells several kinds of pork products. But in Dubai, the true… um… Mecca of infidel dining is the Waitrose supermarket in the Dubai Mall.
    It is one of the ironies of life that, having moved to the Islamic Middle East, I end up consuming more (and better pork) than I ever did in the US or Japan. This Pork Shop is enormous — larger than a Japanese convenience store — and has stunning variety that includes more than 20 types of dried sausages, 12 types of liver pâté, dozens of types of bacon, and countless other types of cuts and chops. Can you imagine a store dedicated to feasting on the flesh of swine in Muslim Arabia?
    Dining out is a different story. Pork is harder to find in restaurants than alcohol — while alcohol requires a mere license, pork requires non-Muslim cooks, separate fridges and freezers, and other operational difficulties to serve. Nonetheless, quite a few restaurants, including Kisaku (perhaps the most authentic Japanese restaurant in Dubai) serve pork, and it is not that uncommon to see on the menu in Dubai.
    http://cominganarchy.com/2010/11/26/buying-pork-in-dubai/

    Saturday, December 16, 2017

    Hyena Burger? Saudi Taste for Wild Meat Threatens Species Extinction




    Hyenas are being threatened with extinction because people across Saudi Arabia have developed a taste for the wild animal's meat.
    In 2008, the International Union for Conservation of Nature (IUCN) listed the striped hyena as "near threatened" as its population was estimated to be below 10,000.
    They are native to north and east Africa, the Middle East and central Asia. IUCN said that humans posed a major threat by poisoning the animals and hunting them for use in traditional medicines.
    "There is also illegal trade in skins, and body parts for use in traditional medicine, and they are often kept in cages for display purposes," the organisation said.
    "The species is commercially hunted in Morocco for use in traditional medicine, with various parts being used, especially the brain, and may fetch very high prices. Hunters may travel hundreds of kilometres to capture this species."
    However, hyenas are now under threat from people using them as a food source in Saudi Arabia.
    Under Islamic law, the meat of hyenas is considered halal, or lawful, even though the animal is wild.
    Aphrodisiac
    Saud Bin Mus'id al-Thubaiti, a member of the teaching staff at the faculty of Shariah at Umm al-Qura University, told the Saudi Gazette: "Whoever is in the state of consecration Ihram and hunts a hyena will have to slaughter a sheep as a penalty. As for other forbidden animals and birds, there is no penalty if a Muhrim hunts them."
    Eating hyena meat was also permitted by Al-Shabaab militants in southern Somalia last August. A resident of Kismayo told Hiiraan Online that since it was approved, restaurants have begun selling it and the price has risen so much so that it is now only affordable to wealthy people.
    Hyena meat is also eaten in areas of Pakistan and Iran, where it is also considered halal.
    Speaking to the Gazette, Abdulraheem Al-Otaibi said he loved the taste of the meat and championed its medicinal benefits: "Hyena meat has a unique taste and has an effect that is stronger than well-known aphrodisiacs."
    The newspaper said hyenas were being widely consumed by Saudis and were considered "a unique and scrumptious delicacy".
    Hunter Nasser Al-Thubaiti explained that he killed the animals and removed their innards immediately to prevent toxins leaking from the offal into the meat.
    Ahmad al-Bouq, director of the Wildlife Research Centre in Taif, said the threat to the species was dire.
    "Hyenas are threatened with extinction in the kingdom," Bouq said. "They are classified among the big beasts of prey, aside from the Arabian tiger and lynx."
    Source: http://www.ibtimes.co.uk

    USHAHIDI WA KIHISTORIA WA YESU


    Masimulizi kuhusu maisha na huduma ya Yesu yameandikwa katika Biblia, nayo hujulikana kuwa Injili, na yanaitwa kwa majina ya waandikaji wake, yaani, Mathayo, Marko, Luka, na Yohana. Kwa kuongezea, vyanzo vingine vya habari visivyo vya Kikristo vinaeleza kuhusu Yesu.

    TACITUS

    (c. 56-120 W.K., au Wakati wa Kawaida) Tacitus anajulikana kuwa mmoja kati ya wanahistoria mashuhuri zaidi wa Roma ya kale. Maandishi Yake yanaeleza kuhusu Milki ya Roma kuanzia mwaka wa 14 W.K. hadi 68 W.K. (Yesu alikufa mwaka wa 33 W.K.) Tacitus aliandika kwamba moto mkubwa ulipoharibu Roma mwaka wa 64 W.K., ilidhaniwa kwamba Maliki Nero alihusika. Hata hivyo, Tacitus aliandika kwamba “ili kumaliza uvumi huo,” Nero aliwalaumu Wakristo kuhusika na moto huo. Kisha, Tacitus alisema: “Kristo, ambaye ni chanzo cha jina [Mkristo], alihukumiwa kifo katika utawala wa Tiberio, kupitia hukumu iliyotolewa na mtesaji Pontio Pilato.”—Annals, XV, 44.

    FLAVIUS 

    Flavius Josephus (Yosefasi) ni mwanahistoria maarufu wa Kiyahudi. Katika uandishi wake unamrejelea Yakobo “ndugu yake Yesu, aliyeitwa Kristo” Kuna aya ya kutatanisha aya (18:3) ambayo yasema, “Sasa kulikuwa na huu wakati Yesu, mtu wa hekima, kama itakuwa kisheria kumwita mtu. Ni yeye alifanya maajabu, alikuwa Kristo, alitokea kwao akiwa hai tena siku ya tatu, vile unabii wa kweli ulikwishasema juu yake na vitu vingine elfu kumi vilisema kuhusu juu yake. “Tafsiri moja yasoma, “kwa wakati huu kulikuwa na mtu wa hekima aitwaye Yesu. Tabia yake ilikuwa nzuri, alijulikana kwa maadili mema. Na watu wengi kutoka kwa Wayahudi na mataifa mengine wakawa wanafunzi wake na hawakuacha huanafunzi wao. Waliripoti kwamba aliwatokea siku tatu baada ya kusulubiwa kwake; kwa hivyo alikuwa Masia, ambae manabii walisema makuu yake.”

    JULIUS

    Julius Africans anamnukuu Thallus mwanahistoria kwa mjadala juu ya giza lilokuja baada ya kusulubiwa kwa Yesu (Extant writings, 18).

    SUETONIUS

    (c. 69–a. 122 W.K.) Katika kitabu chake Lives of the Caesars, mwanahistoria huyo Mroma alirekodi matukio ya utawala wa maliki wa kwanza wa Roma hadi maliki wa 11. Katika sehemu anayoeleza kuhusu maliki Claudius anataja vurugu iliyotokea miongoni mwa Wayahudi huko Roma, ambayo huenda ilisababishwa na bishano kumhusu Yesu. (Matendo 18:2) Suetonius aliandika hivi: “Kwa kuwa Wayahudi walifanya vurugu mara kwa mara kwa kuchochewa na Kristo, [Claudius] aliwafukuza Roma.” (The Deified Claudius, XXV, 4) Ingawa dai lake kwamba Yesu alianzisha vurugu ni la uwongo, Suetonius aliamini kwamba Yesu alikuwa mtu halisi.

    PLINI MDOGO

    (c. 61-113 W.K.) Mtungaji huyo Mroma na msimamizi wa Bithynia (sasa Uturuki) alimwandikia Maliki Mroma Trajan jinsi ya kushughulika na Wakristo katika eneo lake. Plini alisema kwamba aliwalazimisha Wakristo wakane imani yao, na aliwaua wote waliokataa kufanya hivyo. Alifafanua hivi: “Wale . . . waliorudia kiapo kwa Miungu [ya kipagani], na kuabudu sanamu yako kwa kufukiza ubani na divai . . . na ambao mwishowe walimlaani Kristo . . . , niliwaachia huru.”—Pliny—Letters, Book X, XCVI.

    Mdhuluma wa Kibabeli (Sunhedrin 43a) anatibitisha kwamba kusulubiwa kwa Yesu siku ya pasaka na makisio kwamba Yesu alifanya uchawi na kuipa moyo fundisho potovu la Kiyahudi.

    FLAVIO YOSEFO

    (c. 37-100 C.E.) Mwanahistoria na kuhani huyo Myahudi alisema kwamba Anasi, kuhani mkuu Myahudi ambaye alikuwa na uvutano mkubwa wa kisiasa, “aliwashawishi mahakimu wa Sanhedrini [mahakama kuu ya Wayahudi] na kumleta mbele yao Yakobo, ndugu ya Yesu aliyeitwa pia Kristo.”—Jewish Antiquities, XX, 200.

    LUCIANA

    Luciana (Lucian) wa Samosata alikuwa mgiriki mwandishi katika karne ya pili anayekubali kwamba wakristo walimwabudu Yesu, na kuleta mafundisho mapya na alisulibiwa kwa ajili yao. Alisema kwamba mafundisho ya Yesu yalijumlisha undugu wa wakristo, umuimu wa kuokoka, na umuimu wa kukataa miungu. Wakristo waliishi kulingana na sheria ya Yesu, waliamini kuwa mili yao haiharabiki na walikuwa wakijulikana kwa kutoogopa kifo, na kutolea nafsi zao kwa hiari yao na kukataa utajili wa dunia.

    MARA BAR-SEAPION

    Mara Bar-seapion anatibitisha kwamba Yesu alifunzwa kuwa mtu wa hekima na maadili mema, alichukuliwa na wengi kuwa mfalme wa Israeli. Alisulubiwa na Wayahudi, na aliishi njia wanafunzi wake wanafundisha.

    Pia tuko na maandishi ya Wayunani (Injili ya kweli/The Gospel of Truth, Kitabu kingine cha Yohana/Apocryphon of John, Injili ya Thomasi/ The Gospel of Thomas, Makubaliano juu ya ufufuo/The Treaties on Resurrection na mengine) yote yanamtaja Yesu.

    Kwa kweli tunaweza kujenga injili kutoka kwa maandishi yasiyo ya kikristo. Yesu aliitwa Kristo (Josephus), alitenda “miujiza” aliwaongoza waisraeli kwa mafunzo mapya na aliangikwa siku ya pasaka kwa ajili yao (Ubebari wa kibabeli/ Babylonian Tulmud), katika Yuda (Tacticus), lakini alisema kuwa Mungu na atarudi (Eliezar), ambacho wanafunzi wake waliamini na kumwabudu kyeye kama Mungu (Pliny mdogo).

    TALMUD

    Mkusanyo huo wa maandishi ya kirabi ya Kiyahudi ya kuanzia karne ya tatu hadi sita W.K., huonyesha kwamba hata maadui wa Yesu waliamini kwamba alikuwa mtu halisi. Sehemu moja ilisema hivi: “Yesu Mnazareti alitundikwa mtini siku ya Pasaka,” hilo ni sahihi kihistoria. (Babylonian Talmud, Sanhedrin 43a, Munich Codex; soma Yohana 19:14-16) Sehemu nyingine inaeleza hivi: “Tusiwafundishe watoto katika njia itakayowaletea aibu hadharani kama Mnazareti,” jina ambalo nyakati zote lilirejelea Yesu.—Babylonian Talmud, Berakoth 17b, footnote, Munich Codex; soma Luka 18:37.

    ALBERT EINSTEIN

    Albert Einstein, mwanafizikia mzaliwa wa Ujerumani na Myahudi alieleza hivi: “Mimi ni Myahudi, lakini ninavutiwa sana na mfano mzuri wa Mnazareti.” Alipoulizwa ikiwa anaamini kwamba Yesu alikuwa mtu halisi, alijibu hivi: “Bila shaka! Hakuna mtu anayeweza kusoma Injili na akose kuamini kwamba Yesu alikuwa mtu halisi. Maneno yake yalifunua utu wake. Hakuna simulizi lingine lililo na mambo halisi kama hayo.”

    “Hakuna mtu anayeweza kusoma Injili na akose kuamini kwamba Yesu alikuwa mtu halisi.”—Albert Einstein

    Shalom

    Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu

    Friday, December 15, 2017

    JE, ISA NI JINA SAHIHI LA YESU WA BIBLIA?


    Katika somo letu hili tutajifunza kuhusu jina sahihi la Yesu/Yashua na tafsiri yake katika Kiarabu. Je, Isa ni jina la Yesu wa Biblia?

    Jibu sahihi la kihistoria na la wataalam wa kutafsiri litatupa ukweli halisi wa Jina la Yesu na kwanini alipewa Jina hilo katika " sherehe ya kumtaja " (Luka 2:21). Jina ambalo aliitwa na Mama yake, Baba yake wa Kambo, Ndugu zake na jamaa wengine, majirani zake , marafiki zake na wanafunzi wake wakati wa maisha yake duniani. Hakuna kutokuelewana kuhusu ukweli kwamba jina la Yeshua halikuwa la Kiarabu bali la Kiyahudi na Yesu/Yeshua mwenyewe aliishi katika Israeli, na alizaliwa katika familia ya Wayahudi wacha Mungu.

    Jina la Yesu bila ya shaka yeyote ile ni la Kiyahudi. (Maana yake ni “kweli”). Tafsir ya jina la Yeshua Kiebrania katika Kiingereza itakuwa ni Jesus. Jina la Yesu halikuchaguliwa kiholela na wazazi wake, lakini yeye alipata jina lake moja kwa moja kutoka kwa Mungu (Mathayo 1:21 , Luka 1:31) kwa sababu ya maana ya jina lake na nani alilileta, basi leo hii tunaelewa madhumuni ya Yesu kuzaliwa na kuja hapa duniani (Mathayo 1:21 ).

    Katika utamaduni na jadi ya Kiarabu. Jina la Yesu ni Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislam. Na hata leo, jina la Yasu linatumiwa na zaidi ya 99.99% ya Wakristo wote wa Kiarabu. Tembea katika kanisa lolote la Kiarabu huto sikia wanatumia jina la Isa, Sikiliza matangazo ya Wakristo wa Kiarabu katika Radio na Televisheni (za Kiarabu) huto sikiwa Mkristo anatumia jina la Isa, bali wanatumia jina la Yasu. Matangazo yote ya Kikristo katika Uarabu wanatumia jina la Yasu. Kamwe huto ona jina la Isa kama lilivyo kwenye Koran ya Waislamu.

    Katika jadi ya Kiarabu na utoaji wa tafsiri wa jina, jina sahihi la Kiebrania (Yeshua) ni Yasu katika Kiarabu. Kila uchaguzi wa tafsiri ya jina la kigeni katika lugha tofauti ni uvumbuzi wa binadamu.

    Kiisimu ipo wazi jinsi jina la Yeshua Kiebrania lilivyo tafsiriwa na kuwa Yesu Kiswahili na Jesus Kiingereza:

    Yeshua '(Kiebrania) -> Ιησους (Kiyunani) -> Yesu (Kilatini) -> Jesus (Kiingereza) -> Yesu (Kiswahili).

    Mpito muhimu ni kutoka Kiyahudi kwenda Kigiriki. Hatua hii ilifanyika miaka 200 kabla ya Yesu kuzaliwa. Watafsiri wa Septuaginta (LXX), classical Kigiriki tafsiri ya maandiko ya Kiyahudi, kutokaa Yeshua Kiebrania jina kama Ιησους katika Kigiriki. Injili ziliandikwa katika lugha ya Kigiriki ilitumia utamaduni huu wa kutafsir kwa muda mrefu.

    Kwasababu Kiyahudi na Kiarabu ni lugha mbili za Kisemiti, na zina uhusiano wa karibu, kuna baadhi ya sheria maalumu ambayo sauti/maneno/maandishi ya Kiebrania yanahusiana na ambayo sauti/maneno katika Kiarabu. Hasa, Neno la Kiebrania Shin mara kwa mara linatumika kama Dhambi katika Kiarabu, kwa mfano neno la Kiyahudi la amani, shalom ni sambamba na neno “salam” la Kiarabu. Kulingana na sheria za lugha na mahusiano kati ya Kiyahudi na Kiarabu, Yasu 'ni sahihi kwa Kiarabu na kwa Kiebrania ni Yeshua:

    Yeshua '= Yod + + Shin Waw +' Ain
    Yasu '= + Ya + Sin Waw +' Ain

    Tena, katika lugha sahihi, jina la Yasu ni Kiarabu sawa na Yeshua Kiebrania. Hivyo, katika utamaduni na jadi ya Kiarabu jina la Yasu ndilo sahihi na pekee kutokana na kiisimu. Mpito kutoka Yeshua kwa Yasu inafuata sheria ya kawaida ya mabadiliko fonetiki kutoka Kiyahudi na Kiarabu. Yasu ni jina la Kiarabu la Yesu. Kinyume chake, Yasu ndio jina lenye asili ya Yeshua.

    Early Hebrew (long form): Yehoshua' = Yod + He + Shin + Waw + 'Ain
    Later Hebrew (short form): Yeshua' = Yod + Shin + Waw + 'Ain
    Arabic (Christian): Yasu' = Ya + Sin + Waw + 'Ain
    Arabic (Muslim): 'Isa = 'Ain + Ya + Sin + Ya

    “Ya” na “Waw” ni maneno dhaifu, katika lugha ya Kiarabu, hufundisha kwamba mtu anaweza kurejea katika maneno mengine kama kuchukua juu ya aina mbalimbali (declension, inflection). Hivyo, mtu anaweza kuona kwamba fomula ya Kiislamu 'Isa kimsingi ni ya bandia/kutungwa na binadamu (inversion) (pamoja na mabadiliko ya Waw ili Ya) kwa Mkristo wa Kiarabu jina la Yesu ni Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislamu.
    Nategemea leo umejifunza tofauti iliyopo kati ya Jina la Yesu-Kiswahili, Yasu-Kiarabu na Yeshua-Kiebrani.

    Jina la Yesu Libarikiwe Sana

    Katika Huduma yake

    Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. 

    Copyright © Max Shimba Ministries 2013

    Thursday, December 14, 2017

    JE, UISLAM UNAHUSIANA VIPI NA NAMBA 666?

    Image may contain: text
    Neno “mpinga-Kristo,” linalotokana na neno ya Kigiriki linalomaanisha “dhidi ya (au badala ya) Kristo,” linafafanua mtu yeyote anayefanya mambo yafuatayo:
    Anakataa kwamba Yesu ndiye Kristo (Masihi) au anakataa kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.—1 Yohana 2:22.
    Anampinga Kristo, Mtiwa-Mafuta wa Mungu.—Zaburi 2:1, 2; Luka 11:23.
    Anajifanya kuwa Kristo.—Mathayo 24:24.
    Anawatesa wafuasi wa Kristo, kwa kuwa Yesu huona mambo wanayotendewa kana kwamba ni yeye anayetendewa.—Matendo 9:5.
    Anadai kwa uwongo kuwa Mkristo huku akitenda matendo ya uasi-sheria au ya udanganyifu.—Mathayo 7:22, 23; 2 Wakorintho 11:13.
    Wamebadili jina la Yesu Kristo na kumuita Isa bin Maryam. Jina ambalo sio tafsir ya Yesu kwa Kiarabu. Yesu kwa Kiarabu ni Yasu.
    Jinsi ya kuwatambua wapinga-Kristo:
    Wanaeneza mawazo ya uwongo kumhusu Yesu. (Mathayo 24:9, 11)
    Wanasema kwamba Yesu ni Bwana wao, lakini hawatii amri zake, kutia ndani amri ya kuhubiri habari njema ya Ufalme.—Mathayo 28:19, 20; Luka 6:46; Matendo 10:42.
    SASA TUUANGALIE UISLAM:
    Uislam umejengeka kupitia kitabu change kiongozi ambacho ni qruani. Kitabu hiki kina jumla ya sura 114 na maneno 6666! Kumbuka hesabu ya mpinga kristo ni 666! Sasa hapa ili shetani asijidhihishe wazi kwa Kuwa aliona Yesu amefunua siri hii kwa ulimwengu. Akaamua kuongeza sita moja nyuma ya mia sita sitini na sita.
    Kwa nini Bwana Yesu anatoa onyo lifuatalo? Na mwingine, malaika wa tatu, akafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana- Kondoo. (Ufunuo 14:9-10).
    Lakini hii haitoshi, moja ya dalili kubwa kabisa za mpinga kristo ni kuwaua na kuwafunga gerezani wafuasi wa YESU.
    Qruan imeagiza kwamba kama mtu ni mwislam kisha akaamua kuuacha Islam, mtu huyo auawe maana amekuwa kafiri!
    Tumeona mara kwa mara waislamu wakitekeleza mauaji na uharibifu wa mali za wakristo, wakichoma moto mahekalu. Mfano:Tumeona wakichoma moto makanisa hapa kwetu dar es salaam na sehem zingine.
    Kwa sura hii moja kwa moja uislamu ndiye mpinga kristo.!
    Hivi umewahi kujiuliza ni kwanini hawachomi moto nyumba za waganga wa kienyeji, lakini wanashughulika na wakristo tu! Ni kwa sababu misheni ya mpinga kristo sio kuwasumbua watu ambao wako chin ya shetani, Bali ni kuwataabisha wafuasi wa YESU na kuhakikisha hawaendelei kuwepo duniani.
    Rafiki, tuko katika dunia ya shida. Na hizi ni nyakati za mwisho, kaza mwendo ukimtazama Bwana maana siku zetu hazikawii kuisha. Mungu akupe nguvu za kuweza kushindana siku ya uovu kwa Jina la YESU.
    Shalom
    Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu

    KUMBE MASHIA NI MAKAFIRI NA SIO WAISLAM

    Image result for shia vs sunni
    Dini ya Waislam huwa wanajigamba wapo zaidi ya Watu Bilioni 1.6. Namba hii huwa inajumlisha dhehebu la Mashia, ambao sasa wanaitwa Makafiri na kutengwa kutoka Uislam. Mashia wapo karibia Milioni 350. Hivyo basi kwa hesabu ya haraka haraka Waislam bila ya Shia ni watu Bilioni 1.25. https://en.wikipedia.org/wiki/Islam_by_country
    JE, MASHIA WANASEMA NINI KUHUSU UISLAM?
    1. SHIA WANASEMA QORAN INA AYA ELFU KUMI NA SABA:
    Mashia hawaikubali Qor'an bali wanadai kuwa Qor'an hii ina upungufu na imebadilishwa na ina khitilaf na shaka ndani yake, hebu tuyatazame hayo wakiyazungumza wenyewe :
    يروي الكليني عن جعفر الصادق أنه قال :"إن القرآن الذي جاء به جبرائيل إلى محمد سبعة عشر ألف آية. "(الكافي 634/1).
    *Amepokeya Al'kulayniy kutoka kwa Jaafar As'waadiq yakuwa kasema :"Hakika Qor'an alokuja nayo Jibriil kwa Muhammad swalallahu alayhi wasalama ina aya elfu kumi na saba *"*
    *(Tizama kitabu Al'kaafii 1/634)*
    Bila shaka huu ni utatanishi ukilinganisha na Sunni wanao dai kuwa Qor 'an ambayo wanayo haizidi aya elfu sita ila kidogo, sasa hiyo ya mashia ina aya elfu kumi na saba, sasa sijuwi Qoran ipi ni sahihi. Huu ni Msiba Mkubwa sana. Soma kijarida cha http://maxshimba.blogspot.com/…/allah-ateremsha-matoleo-ish…
    2. MASHIA WANASEMA SUNNI NA MUHAMMAD WAMEKIPOTOSHA KITABU CHA ALLAH, JE HAYA MADAI NI KWELI?
    و قال أبو جعفر الباقر :أما كتاب الله حرفوا،..."(بصائر الدرجات لمحمد الصفار 17/8).
    *Na akasema imamu wao Abu Jaafar Al'baaqir :"Ama kitabu cha Allah wakakipotosha. "*
    *(Tizama kitabu Baswaa'iru Ad'darajaati cha Muhammad as'swafaar 8/17)*
    يروي ابن بابويه القمي :"أن يجيء يوم القيامة ثلاثة يشكون ،فذكر منها :المصحف ،يقول المصحف :يا رب حرفوني و مزقوني.. "(الخصال ص 83).
    *Alipokeya ibnu Baabawaihi Al'qumiy :"Vitakuja vitu vitatu siku ya kiyama vikilalamika na kushtaki, wakataja ndani ya vitu hivyo Mus'haafu, kuwa Mus'hafu utaema :Ewe mola,wamenipotosha na wakanichana. "*
    *(Tizama kitabu Al'khiswaalu UK. 83)*
    و يقولون عن مصحف فاطمة ،أن فيه مثل قرآنكم هذا ثلاث مرات،والله ما فيه من قرآنكم حرف واحد. "(الكافي 329-1/340)
    *Pia mashia wakasema kuusu mus'hafu wanao uwamini wao unaitwa faatwima, kuwa ndani ya mus'hafu huo kuna mfano wa mis'hafu mitatu ya kiSunni, pia wakaapa, wallah, katika mus'hafu wenu nyie waislam hamna herufi hata moja. "*
    *(Tizama kitabu Al'kaafii 1/329-340)*
    Angalia kijarida cha waandishi wa Quran: http://maxshimba.blogspot.com/…/kumbe-koran-haikuteremshwa-…
    MAELEZO YA MWANDISHI :
    Waislamu, katika mlango huu kuna hadith nyingi za Shia zinazodai kuwa Sunni wamebadili Qor an na kuipotosha pia wanadai kuwa Qor an ya ukweli ilokamilika inaitwa Faatwima alienda nayo Imamu wao wa kumi na mbili na siku atakuja ndo atakauja nayo.
    Hivyo basi Qoran walio nayo Sunni haikukamilika, hivyo basi madai ya Allah kusema katika qor an kuwa hii qor an haina shaka ndani yake ni ya Uongo na Qoran ya Muhammad inakuwa Bandia.
    Je tutauamini vipi Uislam unao pingana wenyewe kwa wenyewe? Kati ya Shia na Sunni ni nani mwenye haki ya kuithibitisha Quran.
    SOMA:
    KWANINI ALLAH ANAWAAMINI WAKRISTO KATIKA KUTHIBITISHA QURAN ZAIDI YA WAISLAM?
    ( فَإِن كُنتَ فِي شَكٍّ مِّمَّا أَنزَلْنَا إِلَيْكَ فَاسْأَلِ
    الَّذِينَ يَقْرَءُونَ الْكِتَابَ مِن قَبْلِكَ ۚ لَقَدْ جَاءَكَ الْحَقُّ مِن رَّبِّكَ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُمْتَرِينَ )
    يونس (94) Yunus
    Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako (Wakristo). Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.
    Allah anamwambia Muhammad kama ana shaka basi awaulize wasomao Kitabu kabla yake. Yaani awaulize Wakristo wasomao Injili, Zaburi, na Torati.
    Sasa wewe Muislam unatumia mamlaka gani au aya gani kubisha unayo fundishwa na Wakristo?
    Shalom
    Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu.

    TRENDING NOW