Wednesday, February 21, 2018

Armed gangs WIPE OUT 15 villages in mass Christian slaughter in Nigeria

Nigerian Farmer struggles with Fulani attacks on his land

 

CLOSE
0:10
/
1:25
Loaded: 0%
Progress: 0%
 
UP NEXT:

May vows to 'protect and enhance' the UK's natural environment

Dozens of people have been killed after the gangs ransacked towns and villages to clear them of all aspects of the Christian faith.
Houses belonging to believers have also been razed with authorities doing little to help, an anti-persecution watchdog claimed. 
Open Doors spoke to one Christian who described the broad daylight attack carried out by a group of Fulani - one of Africa’s largest ethnicities. 
A spokeswoman said: “One attack took place in broad daylight, as people were about to go to church.
“The assailants chased and killed the villagers and burned down nine churches and many more houses.”
Nigeria Christian persecutionGETTY
Churches are regularly attacked in Nigeria in waves of Christian persecution

Church roof COLLAPSES in Nigeria and kills hundreds

Christian persecution is a major problem in Nigeria which has been exacerbated by the spread of radical Islamic teaching and practice. 
The shocked witness said Christians needed more protection from the country’s leader or lives would continue to be lost. 
They said: “Despite several calls to the governor and his deputy, and other security apparatus, the government remained silent as the atrocities continued.
“The Fulani were able to carry out their deadly attack. They stayed for hours in the vicinity, moving at will, unchallenged.”
Nigeria Christian persecutionGETTY
Christians are subject to waves of oppression and attacks in Nigeria
Details of the attack, which took place in north-eastern state of Adamawa earlier this year, have only just emerged.
In the central state of Nasarawa, 25 villages have been destroyed since January 15. 
Again, the predominately Christian victims said they had been abandoned by leaders. 
A spokesman for the Concerned Indigenous Tiv People group said: “Since the outbreak of the crisis on January 15 this year, due to the Fulani /herdsmen attack on our villages, leading to the displacement of Tiv in their ancestral homes, the Nasarawa State Governor, Tanko Almakura, has done very little to bring the situation under control.”
Christian persecutionGOOGLE MAPS
Fifteen villages were attacked in the state of Nasarawa
Other attacks have taken place in Benue State and across the Middle Belt region of the country. The Army has now been deployed to certain areas in order to stop the violence. 
A spokeswoman for Open Doors said: “Believers experience discrimination and exclusion, and violence from militant Islamic groups, resulting in the loss of property, land, livelihood, physical injury or death; this is spreading southwards. 
“Corruption has enfeebled the state and made it ill-equipped to protect Christians. Rivalry between ethnic groups and raids by Fulani herdsmen compound the persecution. Converts face rejection from their Muslim families and pressure to recant.”

KUVAA HIRIZI NI DHAMBI?

Image may contain: one or more people


Hirizi ni nini?
kitu cha kuvaa mwilini kama vile karatasi iliyo na maandishi maalumu, kipande cha mti au uganga uliofungwa kwenye nguo, ngozi, n.k. kinachoaminiwa kuwa ni dawa ya kujikinga na madhara.
Mungu anasemaje kuhusu hii ‘sayansi ya kiafrika’?
Naamini umeshasikia mara nyingi watu wakisema, “Jisaidie na Mungu naye atakusaidia.” Siwezi kukataa lakini kama ni Mungu huyu ninayekuambia habari zake hapa, Yeye anasema kinyume kabisa cha hayo. Imeandikwa: Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, wala usizitegemee akili zako mwenyewe. Katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyosha mapito yako. (Mithali 3:5-6).
Sasa watu wengi wanasema kuwa kwenda kwa waganga ni katika jitihada hizo za kujisaidia. Bwana wa majeshi anasema hivi: Msiwaendee wenye pepo, wala wachawi; msiwatafute, ili kutiwa unajisi na wao; Mimi ndimi BWANA, Mungu wenu. (Mambo ya Walawi 19:31)
Na anaonya kwa ukali kabisa kuwa: Na mtu yule atakayewaendea wenye pepo, na wachawi, ili kuzini pamoja nao, nitakaza uso wangu juu ya mtu yule, nitamtenga na watu wake. (Mambo ya Walawi 20:6). Kuzini inaweza kumaanisha maana hii ya kawaida tunayoifahamu, lakini pia kibiblia, Mungu anaichukulia nchi kama mke. Nchi inapomwasi Bwana (yaani mume wake) na kwenda kwa miungu mingine, basi inakuwa inafanya uzinzi).
Pia Mungu anasema: Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri, wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu. Kwa maana mtu atendaye hayo ni chukizo kwa BWANA. (Kumb 18:10-12).

JE, NI KWELI MUHAMMAD NDIYE MSAIDIZI ALIYETABIRIWA NA YESU?

Image may contain: text


Je, unazijua sifa kumi za kipekee za huyo Msaidizi aliye tabiriwa na Yesu?
Bwana Yesu katika Yohana 14 aya ya 15 mpaka 17 akizungumza kuhusu Msaidizi na kuweka sifa za Msaidizi alisema haya:
Mkinipenda, mtazishika amri zangu. Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ILI AKAE NANYI HATA MILELE, ndiye ROHO wa kweli, ambaye ulimwengu HAUWEZI KUMPOKEA, Kwa kuwa HAUMWONI WALA HAUMTAMBUI, bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, Naye atakuwa NDANI yenu."
Hapo tunapata sifa kumi za huyo Msaidizi, kama ifuatavyo:
1. MSAIDIZI ATAKAA NA SISI MILELE:
Hiyo ndio sifa ya kwanza ya Msaidizi, lazima akae na sisi milele. Je, Muhammad yuko wapi sasa? Kama Muhammad ndiye huyo Msaidizi mbona amekufa ametuacha, kwa nini hakukaa na au hakai na sisi Milele kama ilivyo tabiriwa?
Hapo utagundua kuwa Muhammad sio Msaidizi, maana Msaidizi wetu hafi, Yesu Kristo alisema "Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele ". Yohana 14:16. Sasa mbona Muhammad alishakufa kitambo sana. Hivyo Muhammad hana sifa ya kuwa Msaidizi.
2. MSAIDIZI NI ROHO,
Wala Sio kiumbe cha kawaida kama mwanadamu. Yesu alisema "ndiye ROHO wa kweli, ambaye ulimwengu HAUWEZI KUMPOKEA, Kwa kuwa HAUMWONI..." Yohana 14:17. Uthibitisho rejea Yohana 15:26 "Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo ROHO wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia" Soma pia Yohana 16:13,"Lakini yeye atakapokuja, huyo ROHO wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake"
Je, Muhammad ni ROHO? Muhammad sio Roho, ila alikuwa mtu na sasa ni marehemu. Hivyo Muhammad hana sifa ya kuitwa Msaidizi.
3. MSAIDIZI HAONEKANI WALA HATAMBULIKI NA ULIMWENGU:
Hiyo ndio sifa nyingine ya Msaidizi. Haonekani kwa sababu ni Roho. Rejea Yohana 14:17 "ndiye ROHO wa kweli, ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, Kwa kuwa HAUMWONI WALA HAUMTAMBUI, bali ninyi mnamtambua..."
Je, Muhammad alikuwa HAONEKANI? Au Je ulimwengu haukumtambua marehemu Muhammad? Ukweli ni kuwa Muhammad alikuwa ANAONEKANA, maana alikuwa MWANADAMU na alitambulika na Ulimwengu. Kama Muhammad hakuwa anaonekana, Waislam thibitisheni leo, ili tujue ukweli.
Yesu pia aliwaambia wanafunzi, "bali ninyi mnamtambua..." Kumbe Msaidizi wanafunzi walikuwa wanamtambua, sasa ukisema Msaidizi ni Muhammad, je wanafunzi wa Yesu walikuwa wanamtambua mtume Muhammad? Walimuona wapi? Maana mpaka wanakufa, Muhammad hakuwepo. Hivyo Muhammad tena hana sifa ya kuitwa Msaidizi.
4. MSAIDIZI ANAKAA NDANI YETU:
Hii ndio sifa nyingine ya huyo Msaidizi, kwamba sharti akae ndani ya mioyo ya watu. Rejea Yohana 14:17 "...bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, Naye atakuwa NDANI yenu"
Ili Muhammad awe Msaidizi, lazima uwepo ushahidi kuwa, Muhammad alikuwa anakaa ndani ya watu. Kitu ambacho hakipo kabisa! Maana mtume Muhammad hakuwahi kukaa ndani ya mioyo ya wanafunzi wa Yesu. Kwanza atakaaje ndani yetu wakati alishakufa? Je marehemu aweza kukaa ndani ya mioyo ya wafuasi wa Yesu? Hapa tena mtume Muhammad S.a.w amepoteza sifa ya kuitwa Msaidizi.
5. MSAIDIZI ALITUMWA NA MUNGU KWA JINA LA YESU:
Yohana 14:26 "Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia."
Ili Muhammad awe Msaidizi, lazima uwepo ushahidi kuwa Muhammad alitumwa kwa jina la Yesu, cha ajabu ni kuwa hakuna muislam anaeweza kukubali kwamba, mtume Muhammad alitumwa na Allah kwa jina la Yesu. Hii inamfanya mtume Muhammad anapoteze tena sifa ya kuitwa Msaidizi.
6. PIA MSAIDIZI ALITUMWA NA YESU KUTOKA KWA BABA:
Yesu aliwaahidi wanafunzi kuwa atawatumia Msaidizi, rejea Yohana 15:26, "Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia" soma pia Luka 24:49" "Na tazama, nawaletea juu yenu ahadi ya Baba yangu, lakini kaeni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.
Hakuna sehemu ambayo Muhammad amedai kuwa alitumwa na Yesu, hata Waislam wenyewe hawakubali kwamba Muhammad alitumwa na Yesu, wanaamini alitumwa na Allah. Kwa hiyo Muhammad siyo Msaidizi, maana hakutumwa na Yesu.
7. MSAIDIZI LAZIMA AMSHUHUDIE YESU:
Yohana 15:26, Lakini ajapo huyo Msaidizi, nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia.
Cha ajabu ni kuwa Muhammad, anayedaiwa kuwa Msaidizi, hakuwahi kumshuhudia Yesu, Ila alimshuhudia kiumbe mwingine tu aitwaye Allah! Kwa sababu hiyo tena, Muhammad hawezi kamwe akawa Msaidizi, maana hakumshuhudia Yesu.
8. MSAIDIZI SHARTI AMTUKUZE YESU NA ATWAE MAFUNDISHO YA YESU AWAPE WATU:
Yohana 16:13-14 Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake. 14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari.
Ili mtume Muhammad awe Msaidizi, alitakiwa amtukuze Yesu na atwae katika yaliyo ya Yesu awapashe watu habari. Je Muhammad alifanya hivyo? HAPANA! Badala yake Muhammad alimtukuza kiumbe mwingine anayeitwa Allah, Muhammad hakuwahubiri watu Mafundisho ya Yesu, bali alihubiri mafundisho ya Allah, hivyo Muhammad hana sifa ya kuitwa Msaidizi.
9. MSAIDIZI LAZIMA AWAFUNDISHE NA KUWAKUMBUSHA WANAFUNZI YOTE ALIYOSEMA YESU:
Msaidizi alitakiwa kufanya hivyo kuanzia kwa wanafunzi wa Yesu, rejea Yohana 14:26 Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia.
Sasa Muhammad yeye alikuja kuzaliwa baadaye sana, wakati ambapo wanafunzi wa Yesu walishakufa zamani sana, hakuwahi hata kukaa nao awafundishe na kuwakumbusha kile alichosema Yesu. Na hata katika mafundisho yake, Muhammad hakuwahi kufundisha wala kukumbushia kile alichosema Yesu, badala yake alikuja kupingana na Yesu, mfano Yesu alisema yeye ni MWANA WA MUNGU, Muhammad akaja kupinga, akasema Mungu hana Mwana. Hivyo basi Muhammad hana sifa ya kuwa Msaidizi.
10. MSAIDIZI ILITAKIWA AJE ENZI ZA UHAI WA WANAFUNZI WA YESU, TENA WAKIWA BADO HAWAJATAWANYIKA YERUSALEMU:
Yesu Kristo baada ya kufufuka katika wafu, aliwaambia Wanafunzi wake, wasitoke Yerusalem,
Matendo 1:4 "Hata alipokuwa amekutana nao aliwaagiza wasitoke Yerusalemu, bali waingoje ahadi ya Baba, ambayo mlisikia habari zake kwangu",
Luka 24:49, Yesu anawaambia wanafunzi, "Na tazama, nawaletea juu yenu ahadi ya Baba yangu, lakini kaeni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu", Tukio la kuja kwa Msaidizi lilitokea Yerusalem, siku ya Pentekoste, Ndipo Msaidizi alipowashukia wanafunzi, soma Matendo ya Mitume 2:1-5:
1 Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja.
2 Kukaja ghafula toka mbinguni uvumi kama uvumi wa upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi.
3 Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao.
4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.
5 Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu watauwa, watu wa kila taifa chini ya mbingu."
Hivyo ndivyo ahadi ya kuja kwa Msaidizi ilivyotimia. Sasa Muhammad hawezi kuwa Msaidizi, kwa sababu
(Moja):, Muhammad hakuwepo enzi za uhai wa wanafunzi wa Yesu, alikuwa Hajazaliwa bado, Na kwa mujibu wa maelezo ya Yesu, Msaidizi lazima angekuja wakati bado mitume wako hai.
(Mbili): Ujio wa Msaidizi ulitokea Yerusalem, siku ya Pentekoste. Lakini Muhammad hajatokea Yerusalem, na aliyeshuka siku ya Pentekoste hakuwa Muhammad, isitoshe, wakati huo Muhammad hata mimba yake tu haikuwa imetungwa!
Kama Muhammad ndie Msaidizi basi alitakiwa awashukie mitume siku ya Pentekoste kule Yerusalem.
Hivyo basi, Muhammad sio msaidizi ambaye tuliahidiwa na Yesu Kristo Mungu Mkuu, kwasababu ameshindwa na hana sifa zote kumi hapo juu za Msaidizi.
Usikose soma la “Je, Msaidizi aliye tabiriwa na Yesu Kristo Mungu Mkuu ni nani?”
Shalom,
Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu.

WAISLAM WAMERUHUSIWA KUNYONYA TUPU ZA WAKE ZAO

Image may contain: text


HII DINI NI LAANA KWELI KWELI
Sita tafsir hii mada kwa sababu ni graphic, lakini habari ndio hii. Ndugu zetu wameruhusiwa kunyonya tupu za wake zao.
From the Sahih Al-Bukhari
Oral Sex in Sahih Al-Bukhari [4] by Sahih Hadith of Sahih Al-Bukhari by Imam Al-Bukhari & Urdu translation of the Hadith.
At the time of the Hudaibiya treaty, in a fit of rage Abu Bakr told Urwa bin Masud Thaqafi[1]:
“Suck the clitoris/vagina ( ‏بظر : English translation clitoris. [7], [8]) of Laat”.[2][3]
Oral Sex is not haram according to a Pakistani sect, but disliked, see [9] & [10].
Shaving of the pubic hair is often favored as well in Islamic tradition.[11].
From the History of Al-Tabari
وكان عبد مناة بن كنانة تزوج هند بنت بكر بن وائل ...... أبو بكر امصص بظر اللات واللات طاغية ...
تاريخ الطبري - الطبري ج 2-
“Suck the clitoris/vagina of Laat”.
Vagina Sucking: It is Hygenic And Allowed In Islam.
If a man inserts his penis in his wife’s mouth, it is said to be halal, and others said that it is not disliked.” (al-Fatawa al-Hindiyya, 5/372)
KWA KIFUPI TU:
1. Waislam wameruhusiwa kunyonya uchi wa mbele wa wake zao.
2. Waislam wameruhusiwa kunyonya kisimi.
3. Mke anaruhusiwa kunyonya uuume wa mumewe.
Shalom

ALLAH S.W.T ANAMUHESHIMU SANA MWANAMKE WA KIISRAEL KULIKO MWANAMKE WA KIISLAMU!






Allah S.W.T Mungu anayeabudiwa na Waislamu Misikitini, ameonesha heshima kubwa sana kwa mwanamke wa Kiisrael, kuliko kwa mwanamke wa Kiislamu.
Katika Uislamu mnyama anayeitwa Mbwa anahesabika kuwa ni mnyama najisi, yaani mchafu, na hata anayehusiana naye kwa ukaribu naye huhesabika kuwa ni najisi katika Uislamu.
Lakini linapokuja suala la mnyama huyo huyo mbwa ikiwa anayehusika naye ni Muisraeli, Allah humsamehe dhambi zake bila kujali kwamba amehusika na mbwa.
Hii inaonesha kwamba Allah anawaheshimu sana Waisraeli kwa Uisraeli wao tu hata kama wamehusika na matendo mabaya, huku, hali ikiwa ni tofauti pale Muislamu anapohusika na mnyama huyo kwa namna yoyote ile.
Katika kitabu cha hadithi sahihi za Uislamu kiitwacho Sahih Al-Bukhari-kitabu kinachofuata kuaminiwa katika Uislamu baada ya Qurani-Juzuu 4, Hadithi Na.673, kuhusu mwanamke wa Kiisraeli, imeandikwa:
“Narrated Abu Huraira (r.a): The Prophet (peace be upon him) said, “While a dog was going around a well and was about to die of thirst, an Israel prostitute saw it and took off her shoes and watered it. So Allah forgave her because of that good deed.”
(Tafsiri: Imesimuliwa na Abu Huraira (radhi za Allah ziwe naye): Nabii alisema, “Mbwa alipokuwa akizunguka zunguka kisimani akiwa karibu kufa kwa kiu, kahaba wa Kiisraeli alimwona na akatoa viatu vyake na kumnyweshea maji. Hivyo, Allah alimsamehe ukahaba wake kwa sababu ya tendo lake lile jema.”)
Kwa upande wa Uislamu hali ni tofauti, mwanamke huyo wa Kiislamu yeye thamani yake amefananishwa na Mbwa na punda.
Katika kitabu cha Hadithi sahihi za Kiislamu cha Al – Lu’lu’ war- Marjan kitabu cha 1 Hadithi na. 90 ukurasa wa 163), imeandikwa,
“Hadithi ya Aisha (r.a) kutoka kwa Masruq (r.a) amesema vilielezwa mbele yake (Aisha) vinavyokata sala, mbwa, punda na mwanamke, akasema mumetufananisha na punda na mbwa” Walahi Mtume (s.a w) alisali nani niko juu ya kitanda kati yake na Qibla nimelala na inanijia haja lakini naona vibaya kukaa nikamuudhi Mtume (s.a w) kwa hiyo ninapenya miguu mwake ili nitoke.”
Katika hadihi hii Aysha mke mdogo kabisa wa Muhammad s.a.w analalamika kujikuta anafananishwa thamani yake na mbwa na punda, wakati yeye ni binadamu. Aliolewa na Muhammad akiwa na miaka 6 akashiriki tendo la ndoa akiwa na miaka 10.
Mwanamke wa Kiisareli pamoja na ukahaba wake bado Allah alimheshimu kwa utu wake na Uisraeli wake. Khaba anaweza kutubu ndiyo maana alisamehewa.
Mwanamke katika Uislamu ameitwa pia kwamba yeye ni mkosi. “Hadithi ya Ibn Umar (r.a) amesema, kuwa Mtume wa Allah (s.a.w) amesema, “Hakuna ‘adwa (kuambukiza) wala Tiyara (mkosi), ama mikosi ipo katika maeneo matatu, Mwanamke, Nyumba, na Mnyama. (Al – Lu’lu’ war- Marjan kitabu cha 3 Hadithi. 1439 uk. 836)
Kutokana na habari hizo mbili kutoka imani tofauti, lakini zote zikimhusu mwanamke, binafsi ninagundua kwamba, unyonge wa wanawake katika Uislamu unasababishwa na wao kuwa Waislamu, wala si Uanawake wao.
Ingekuwa ni kwa sababu ya Uanawake wao, basi tungemuona Allah akiwa mkali na akimdhalilisha pia kahaba wa Kiisareli na kumsamehe.
Mwanamke wa Kiislamu anayeamua kuukataa unyonge na kudhalilishwa kwa aina hii hana chaguo jingine isipokuwa kutafuta mahali atakapothaminiwa.
Imeandikwa,
“26 Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu.27 Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu. 29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.” (Galatia 3:26-29).....................Imeandikwa na na Mtafiti, Mwinjilisti Kaka Daniel Mwankemwa

VIZUIZI VYOTE NAVIVUNJA KWA JINA LA YESU.


Image may contain: outdoor and nature

POKEA UKOMBOZI WAKO SASA KWA JINA LA YESU
Fahamu kwamba magonjwa na umasikini siyo mapenzi ya Mungu kwako:
Magonjwa na umasikini au kutofanikiwa, ni sehemu ya LAANA juu ya mtu asiyetaka kuisikiliza sauti ya BWANA Mungu na kufanya maagizo yake [KUMBUKUMBU 28:15-28]. Yesu alifanyika laana kwa ajili yetu kwa kupigiliwa msalabani ili baraka zitufikie [WAGALATIA 3:13-14]. Kwa kupigwa kwake Yesu na hatimaye kusulubishwa msalabani, alitukomboa kutoka katika:-
(a) Dhambi [MATHAYO 26:28; 1 PETRO 2:24].
(b) Magonjwa na udhaifu wote [MATHAYO 8:14-17; ISAYA 53:4-5;
1 PETRO 2:24].
(c) Umasikini [ 2 WAKORINTHO 8:9].
Magonjwa na udhaifu wote, umasikini na dhambi; zote ni kazi za Ibilisi ambazo zilivunjwa na Mwana wa Mungu [1YOHANA 3:8].
Watu tuliookolewa, hatuko tena chini ya laana. Hivyo kama unavyozikataa na kuzipinga dhambi,vivyo hivyo inakupasa kuyakataa na KUYAPINGA MAGONJWA na Udhaifu wote, na kuukataa umasikini. Hivyo usiseme “Labda ni mapenzi ya Mungu niugue” au “Huenda anataka kunifundisha kwa ugonjwa”. Ni mapenzi ya Mungu UWE MZIMA WA AFYA – Yeye anaitwa YEHOVA-RAPHA AU “BWANA NIKUPONYAYE” [SOMA KUTOKA 15:26; YEREMIA 30:17; YEREMIA 33:6; ZABURI 103:3; YOHANA 10:10; 3 YOHANA 1:2].
Mungu ana njia nyingi za kukufundisha. Hakufundishi kwa kumruhusu shetani akuletee magonjwa!
Ukisema ni mapenzi ya Mungu uugue, basi ujue unazidi kumpa nafasi shetani akutese zaidi. Mapenzi ya Mungu, ni Neno la Mungu.
Shetani akijua kwamba hulijui neno lililoandikwa, atakutesa! Usimpe nafasi Ibilisi kwa kuzungumza yaliyo kinyume na Neno la Mungu.
Mara zote, yapinge magonjwa ukijua kwa kufanya hivyo unampinga shetani; naye atakimbia. Shetani ndiye mleta magonjwa yote. Shetani ndiye aliyeleta magonjwa juu ya Ayubu na kutofanikiwa kote. Ayubu hakujua akasema ni Mungu! Usiwe kama Ayubu. Mjue mbaya wako Shetani! [Angalia WAEFESO 4:27; YAKOBO 4:7; AYUBU 1:12-16; AYUBU 2:2,7].
Hivyo kumbuka kwamba usitumie “Ikiwa ni mapenzi yako” katika kuomba juu ya ugonjwa.
Tunatumia maneno haya pale tu tusipokuwa na uhakika wa jambo. Uhakika juu ya ugonjwa uko tayari katika Neno. Ni mapenzi ya Mungu uwe mzima.
Shalom

ALLAH ALIUMBA GIZA SIKU YA NGAPI?

Image may contain: text

NILETEENI AYA ILI NISILIMU

Katika Surat al a naam Allah anasema yeye alitengeneza Giza na Mwangaza.

Sasa hili giza liliumbwa siku ya ngapi?

Waislam nileteeni aya.

HII AYA INASEMA ALLAH KAUMBA KWA SIKU MBILI (2)

Quran 41:9. Sema: Hivyo nyinyi mnamkataa aliye umba ardhi katika siku mbili, na mnamfanyia washirika? Huyu ndiye Mola Mlezi wa walimwengu wote. 

+

HAPA ALLAH ANAUNGANISHA MAWINGU NA ARDHI KWA SIKU NNE(4)

Quran 41:10. Na akaweka humo milima juu yake, na akabarikia humo na akakadiria humo chakula chake katika siku nne. Haya ni sawa kabisa kwa wanao uliza 11. Kisha akazielekea mbingu, na zilikuwa moshi, akaziambia hizo na ardhi: Njooni, kwa khiari au kwa nguvu! Vyote viwili vikasema: Tumekuja nasi ni wat'iifu.

+

HAPA ALLAH ANAZITENGENEZA MBINGU KWA SIKU MBILI (2)

Quran 41:12. Basi akazifanya mbingu saba kwa siku mbili, na akazipangia kila mbingu mambo yake. Na tukaipamba mbingu ya chini kwa mataa na kwa ulinzi. Hichi ndicho kipimo cha Mwenyezi Mungu Mwenye Kujua.

HIZI ZOTE KWA PAMOJA NI SIKU NANE (8)

Siku mbili kwa ajili ya viumbe wa dunia, basi siku nne kujaza ardhi na milima baraka, na chakula kwa ajili ya wakazi wake wote, na mwisho kwa siku mbili zaidi ili kujenga mbingu saba na kujenga nyota yao. Hii inaongeza hadi 2 + 4 + 2 = siku 8 kinyume na siku 6 zilizotajwa katika aya nyingine.

Giza liliumbwa siku ya ngapi? Waislam mbona mnakimbia mada? Nipeni aya ili nisilimu.

Shalom.

KWANINI BIBLIA INAITWA TAKATIFU NA QURAN INAITWA TUKUFU?

No automatic alt text available.

Maana ya neno "takatifu"?
Neno moja la takatifu ni "takatifu, takaswa, tukuza." Wakati Mungu alipozungumza Musa kwenye kichaka kilichokuwa kinachomeka, Alimwamuru atoe viatu vyake kwa sababu alikuwa amesimama juu ya "ardhi takatifu," ardhi iliyofanywa takatifu kwa kuwepo kwa Mungu. Kwa sababu Mungu ni mtakatifu, maneno anayosema pia ni takatifu. Kwa njia hiyo hiyo, maneno ambayo Mungu alimpa Musa juu ya Mlima Sinai pia ni takatifu, kama vile maneno yote Mungu amewapa wanadamu katika Biblia. Kwa kuwa Mungu ni mkamilifu, maneno yake ni kamilifu (Zaburi 19: 7). Kama Mungu ni mwenye haki na safi, ndivyo Neno Lake (Zaburi 19: 8).

“Biblia Takatifu” maana yake nini?
Neno “Biblia limetoka katika neno la Kiyunani ‘biblos’ likiwa na maana “Kitabu”.  “Takatifu” ni neno lenye maana takaswa au ‘weka kando” au “tenga”, likiwa ni jambo lililowekwa kando au limeweka wakfu kwa ajili ya Mungu kwa hiyo kuitwa “Biblia Takatifu”hiki kitabu kiliitwa hivyo kwa sababu kilithibitishwa kuwa ni Neno la Mungu lililovuviwa, kilitengeka kabisa toka katika vitabu vingine vyote vilivyowahi kuandikwa.

Biblia pia ni takatifu kwa sababu imeandikwa chini ya uongozi na ushawishi wa Roho Mtakatifu. "Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafudisho, na kwa kuwaonya watu makossa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; ili mtu wa Mungu awe kamili, amekamilishwa apate kutenda kila tendo jema" (2 Timotheo 3:16-17). Neno la Kigiriki linalotafsiriwa "Mungu-akapumua" ni Theopneustos, kutoka theos, maana "Mungu," na pneo, maana yake "kupumua au kupumua juu." Tunapata neno la Kiingereza la nimonia kutoka kwa mizizi hii ya Kigiriki. Kwa hivyo, Mungu wetu Mtakatifu, kwa mtu wa Roho Mtakatifu, kihalisi alipumua maneno matakatifu ya Maandiko kwa mwaandishi wa kila kitabu cha Biblia. Mwandishi wa Mungu ni mtakatifu; Kwa hiyo, kile anachoandika ni kitakatifu.

Maana nyingine ya takatifu ni "kutengwa." Mungu aliweka taifa la Israeli mbali na watu wa wakati wake kuwa "ufalme wa makuhani na taifa takatifu" (Kutoka 19: 6). Vivyo hivyo, Wakristo huwekwa mbali na wasioamini ambao hutembea katika giza, kama ilivyoelezwa na Petro: "Lakini ninyi ni watu waliochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa Mungu, ili mtangaze sifa za yeye aliyeita ninyi kutoka gizani mkaingia kwenye nuru yake ya ajabu." Hii "kutenga" ni kipengele cha utakatifu ni kweli ya Biblia kwa sababu ni kitabu kilichotenganishwa na zingine zote. Ni kitabu pekee kilichoandikwa na Mungu Mwenyewe, kitabu pekee kilicho na uwezo wa kuwaweka huru watu (Yohana 8:32), kubadili maisha yao na kuwafanya wenye hekima (Zaburi 19: 7), kuwatakasa na kuwafanya kuwa watakatifu (Yohana 17:17). Ni kitabu pekee kinachotoa uzima, faraja, na matumaini (Zaburi 119: 50), na ni kitabu pekee kitatakachodumu milele (Mathayo 5:18).

QURAN TUKUFU:

Quran Tukufu maana yake nini?
Tukufu maana yake "heshimiwa". Hivyo Quran tukufu maana yake Quran yenye kuheshimwa kama tunavyo weza sema Muheshimiwa Rais. 

Qur'an (kwa Kiarabu: القرآن) ni kitabu kitukufu "kilicho heshimiwa" cha Uislamu. Qur'an inatazamiwa na Waislamu kama "Neno la Allah lenye heshima na sio neno TAKATIFU kama Biblia. 

Hivyo basi, Quran imepewa tu heshima lakini haina utakatifu wowote ule ambao ni sifa ya Mungu. Hata maiti nazo hupewa heshima kama jinsi ambavyo Quran inapewa heshima. Hatujawai sikia maiti inaitwa takatifu la hasha.

Shalom 

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu

SIFA YA MPUMBAVU

Zaburi 54:1 Za 107:17; 74:22; 10:4; Mit 10:23; Rum 3:10 Mpumbavu anasema moyoni mwake,
“Hakuna Mungu.”
Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa,
hakuna hata mmoja atendaye mema.
SASA MSOME MPUMBAVU HAPA.
Shahada: LA ILAHA ILLALLAH Muhammadur Rasulullah, Quran 3:18 na soma hapa pia (Sahih Al-Bukhari, Volume 4, Book 56, Number 725)
Hakuna Mungu ila Allah na Muhammad ni Mtume wa Allah. Hii ni Shahada wanayo sema Waislam au mtu anaye taka kuwa Muislam.
Maneno hayo manne "lâ ilâha illâ allâh" yana maanisha hivi:
:
lâ = HAKUNA, no, not, none, neither
ilâha = MUNGU, a god, deity, object of worship
illâ = ISIPOKUWA but, except (illâ is a contraction of in-lâ, literally if not)
allâh = ALLAH, allâh
KUMBE KUANZIA ALLAH, MAREHEMU MUHAMMAD NA WASEMA SHAHADA WOTE NI WAPUMBAVU.
Shalom

TRENDING NOW