Sunday, July 1, 2018

Asili ya Uislamu

Image result for origin of islam
IJUE DINI YA UISLAMU NA ASILI YAKE
Na Mwalimu Eleutary H. Kobelo.

Utangulizi

Kwa miaka mingi waislamu duniani, wanatuhimiza sana sisi Wakristo tuache imani na dini yetu, ili tuingie katika dini yao ya uislamu. Waislamu wanasema dini yao ndio ya haki, mbele ya Mwenyezi Mungu, na tena wasema manabii wote walikuwa waislamu, wanaendelea kusema kuwa hata Bwana Yesu naye alikuwa mwislamu, waislamu wanaendelea kusema kwamba dini ya Islamu haikuchukua au kurithi hata chembe (kidogo) ya tabia ya mafundisho ya ibada za kikafiri, kushirikina na ujahili (yaani ujinga), kwani wanasema Uislamu ni dini safi kuliko zote. Swali la muhimu ni hili. Je, ni kweli kwamba dini ya uislamu haikuchua tabia na mafundisho ya ibada za kikafiri, kushirikina na ujahilia? Ilikujua yote hayo fuatilia kwa makini somo hili lililoandikwa na Mwalimu wangu Mwinjilisti Kobelo na kupitiwa upya nami Mwalimu Chaka.

Sehemu kuu tano za somo

  1. Je, manabii wote walikuwa waislamu?
  2. Maana ya neno Islam.
  3. Nani aliyekuja na dini ya kiislamu?
  4. Je, dini ya kiislamu imechua ibada za waarabu za zama ujahilia (yaani ujinga)?
  5. Wajibu wa mkristo baada ya kujua Uislamu.
1. Je, Manabii wote walikuwa waislamu?
Hoja kubwa ya waislamu ni kule kutuhimiza wakristo tukubali kuwa waislamu kwa kusema kwamba manabii wote wa Mungu walikuwa waislamu, hivyo wanataka tuache imani yetu tuwe waislamu. Lakini inafaa kwanza kuvichunguza vitabu vya kiislamu kuhusu ujio wa Qurani inafundisha nini? Na je, ni nani aliyeleta dini hiyo? Qurani ya Allah Mungu kama wanavyoamini waislamu inasimulia hivi;
Qurani 6:14 Suratul An-Am (Wanyama)
Sema: hakika nimeamrishwa niwe wa kwanza katika wenye kusilimu.
Katika aya hii tunaona Muhammad ndiye mtu wa kwanza kuamrishwa asilimu.
Imesimuliwa pia ya kwamba Muhammad S.A.W. alisema, “Sisi waislamu ndiyo wa mwisho kuja” hayo tunayasoma katika Sahih Al-Bukhari vol. ix Hadithi na 587.

Muhammad vilevile aliwaambia wafuasi wake wafuate njia ya waliowatangulia. “nchi kwa nchi, hatua kwa hatua hata kama ikiwa waliingia katika shimoni mwa mjusi” masahaba zake wakauliza “Layahud waal Na-swara? Yaani wayahudi na wakristo? Akawajibu Farman? Yaani nani zaidi? Hayo tunayaona katika Sahih Muslim vol. iv katika Al-lim, hadithi na 6448. Kutokana na jibu hili la Muhammad (S.A.W.) ni dhihiri kuwa dini ya Uislamu ilitanguliwa na dini yetu Wakristo na hata ile dini ya Kiyaudi.
  1. Manabii wa Mungu Yehova walifuata dini (njia) hii.
Tunaposoma maandiko matakatifu ya Biblia yanatufundisha kuwa manabii waliongozwa na huyu.

1 Petro1:10-11

katika habari ya wokovu huo manabii walitafuta tafuta na kuchunguza chunguza ambao walitabiri habari za neema itakayowafikia ninyi. Wakati upi na wakati wa namna gani ulioonywa na roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao.
1 wakorintho 10:1-4
kwa maana ndugu zangu,sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu. Wote wakapita kati ya bahari,wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingi na katika bahari; wote wakala chakula kilekile cha roho; wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata na mwamba ule ulikuwa ni kristo.
Katika aya hizi tunaona wazi wazi kuwa manabii wote waliongozwa na roho wa Kristo Yesu ambaye alikuwa ndani yao. Musa pamoja na watu wake pia walifuatwa na kristo naye aliwalisha na kuwanywesha. Wote waliongozwa na Bwana Yesu yeye mwenyewe aliwaita “watu wa Kristo” Soma Marko 9:38-41hii ni kwasababu Bwana Yesu ndiye kiongozi wetu. Tazama Mathayo 23:9, tena Bwana Yesu ndiye njia (dini) ya kweli na uzima Yohana 14:6 hivyo manabii wote walikuwa ni watu wa Kristo kwasababu roho yake Yesu ulikuwa ndani yaoikiwaongoza.
  1. Maana ya neno Islam
Neno islam ni la lugha ya Kiarabu. Maana yake ni “Utii” au “Amani” katika Qurani neno Islam limetajwa mara 38. ijapokuwa neno Islam limetajwa mara nyingi lakini neno hilo ni tofauti na dini ya uislamu hii ni kwasababu dini a Uislamu maana yake ni kujisalimisha chini ya amri za Allah au amani chini ya sheria za Allah. Qurani ya Allah Mungu kama wanavyoamini waislamu inasimulia kumhusu Muhammad (s.a.w.) hivi.
Qurani 6:163 Suratul Al-An-Am (Wanyama)
Na haya ndiyo nilivyoamrishwa na mimi ni wa kwanza wa wanaojisalimisha (kwa Mwenyezi Mungu).
Qurani 39:12 Suratul Az-zumar (Makundi/Vikosi)
“Na pia nimearishwa niwe wa kwanza wa (viumbe) wanaojisalimisha kwa Mwenyezi Mungu.”
  1. Nani aliyekuja na dini ya kiislamu?
Tunaposoma katika ufafanuzi wa aya ya 19-20 kati ka suratul Yusuf ulio ndani ya Qurani juzuu ya 12 chapa ya tatu ya kiswahili ukurasa wa 311 kuna maneno ambayo yanaelezea mtu aliyekuja na dini ya kiislamu hapa duniani na maneno yenyewe ni haya…
Unaona kwanza kulikuwako zaidi ya miaka 4000 kabla ya kuja dini ya kiislamu aliyokuja nayo Nabii Muhammad khalafu wakausingizia Uislamu kuwa ndio ulikuja na kuuza watu.
Kadiri ya ufafanuzi huu uliomo ndani ya qurani, na ushahidi wa vitabu maarufu vya hadithi za muhammad katika sahih Al-Bukhari na sahih muslim. Na vitabu mbalimbali vilivyoandikwa na masheikh wa dini ya kiislamu, inathihirika waziwazi kuwa dini ya uislamu imeletwa na kuanzishwa na Muhammad (s.a.w.) mfano mzuri wa mwanzo wa dini ya uislamu tunauona katika kitabu kiitwacho maisha ya nabii muhammad (s.a.w.) kilichotungwa na aliyekuwa kadhi mkuu wa zanzibar na baadaye nchi ya kenya marehemu sheikh Abdullah Saleh Al-Farsy. Katika ukursa wa 18 kuna maneno yanayo husu mke wa muhammad aliyeitwa khadija binti khuweylid nayo yanatuhadithia hivi…
Akarejea kwa mkewe bibi khadija, akamsimulia habari hii. Palepale bibi huyu akamwamini, akawa ndiye mtu wa awali kabisa kushehedusha shahada ya uislamu. Basi mwislamu wa mwanzo kabisa ni mwanamke.
Katika kitabu hicho hicho cha maisha ya nabii muhammad ukurasa wa 18 kifungu c. wametajwa waislamu wa awali kabisa nao ni hawa…
(i) Mwislamu wa kwanza
Bibi Khadija bint Khuweylid
Mtume aliamrishwa kufundisha dini siku ya jumatatu na bibi huyu alisilimu siku hiyo hiyo akafanya ibada na mtume usiku ule ule kabla ya mtu yeyote ulimwenguni huyu ndiye aliyefuzu kwelikweli.
(ii) Mwislamu wa pili
Sayyidina Ali bin Abi Talib bin Abdul Muttalib
Alipomwana mtume na bibi Khadija usiku ule wanafanya mpya aliwauliza, “hii ni ibada gani?” mtume alimfahamisha na akamtaka awe pamoja nao lakini yeye alikataa kwanza akasema mpaka niende nikamshauri baba yangu”. Mtume akamkataza kuitoa siri ile nje. Mara asubuhi ya usiku ule ule, kijana huyu akaja kwa mtume akampa habari kuwa yeye yu pamoja nao. Akawa ndiye islamu wa pili duniani. Aliposilimu alikuwa kijana wa miaka 10 hivi.
(iii) Mwislamu wa tatu na wa nne.
Zayd bin Haritha Al Ka’bi na Bibi Aymana.
Huru wa mtume na mwanawe wa kupanga alikuwa akikaa pamoja na mtume na akasilimu kama sayyidina Ali mchana wa jumane. Alisilimu yeye na mkewe, bibi ummu Aymana yaya wa mtume.
Hawa wote ndio waislamu wa awali kabisa ambao walisilimu mara baada ya muhammad s.a.w. kuleta dini ya uislamu ambayo alianzisha rasmi hapa duniani jumatatu ya siku ya 17 ya mwezi wa ramadhani sawa sawa na 27th december ya mwaka wa 610 baada ya kristo. Kabla ya muhammad dini ya kiislamu haikuwepo kabisa duniani.
  1. Je, dini ya uislamu imechukua ibada za waarabu wa zama za ujahilia (yaani ujinga)?
Wakati wa ujahilia (ujinga) kabla ya dini ya uislamu makureshi ambalo ni kabila la muhammad s.a.w. na waarabu wenzao, walikuwa wakiabudu miungu mingi yapata 360 hivi. Kawaida hiyo ya kuabudu kwao miungu mingi kumesimuliwa waziwazi katika quarani na vitabu mbalimbali vya kiislamu. Vitabu hivyo vimeandikwa na masheikh na wanachuoni wengi, nitawataja baadhi yao nazo ni hawa…
(i) Maulamaa sayyid Abul A’la Maududi
Katika kitabu chake kiitwocho katika kuufahamu uislamu ukurasa wa 42-44 kuna maneno haya…”Bara Arabu mwina wa kiza wafanya biashara waarabu walijikokota masafa marefu ilikuwa vigumu kwao kupata hata chembe ya elimu wachache waliojua kusoma na kuandika walikuwa wakiabudu mawe, miti, masanamu, nyota na pepo, kwa ufupi kila kilichowapitia akilini mwao, hawakujua hata kidogo mafunzo ya mitume waliowatangulia. Walikua na dhana kuwa ibrahimu na ismail walikuwa babu zao, lakini walikuwa hawajui kitu kuhusu mafunzo yao ya dini na Mungu waliyemwabudu.
(ii) Sheik Abdullah saleh Al-Farsy ambaye alikuwa kadhi mkuu zanzibar na baadaye nchini Kenya
Katika kitabu chake kiitwacho maisha ya nabii muhammad s.a.w. ukurasa wa 6 kuna maneno haya… “Hata ilipokuwa karibu atadhihiri mtume mapadiri wa kinasara na makuhani wa kiyahudi waliokuwa wakikaa bara arabu walikuwa wakiwataharisha majirani zao wa kiarabu waliokuwa wakiabudu masanamu;
Qurani imetaja miungu mbalimbali iliyoabudiwa na makureshi na waarabu wenzao zama za ujahilia
(i) Waliabudu maandazi.
Qurani 25:43-44 Suratul Al;- furqan (Qurani)
Je umemuona yule aliyefanya matamanio yake (kile alichokipenda). Kuwa mungu wake? Basi je, utaweza kuwa mlinzi wake (ukamhifadhi) na haya, na hali ya kuwa hataki?) au je, unafikiri ya kwamba wengi katika wao wanasikia au wanafahamu? Hawa kuwa hao ila ni kama wanyama bali wao wanapotea zaidi njia.
Ufafanuzi wa aya ya 43 ulio katika qurani juzuu ya 19 ni huu, “waarabu kwa ujinga wao wa kuabudu chungu ya miungu walikuwa baadhi yao wakiona chochote kile kikawapwndeza hukiabudu hata andazi lililokaa kwa sura nzuri.
Hapa tunaona kuwa qurani inasimulia wazi wazi kwamba waarabu waliabudu hata andazi na tena ni wajinga “yaani majahalia”
(ii) kuabuduwa kwa miungu ya sanamu.
Qurani 71 22-23 Suratul Nuh (Nuhu)
Na walifanya hila kubwa kubwa za (kubatilisha dini). Na waliwaambia (wafuasi wao): “Msiache miungu yenu wala msiwaache waddi wala suwa’a wala yaghuta wala ya’uqa wala Nasra”. (Majina ya waungu wao wa kisamu).
Hii ni miungu ya uongo ya sanamu ambayo iliabudiwa na waarabu mungu waddi alikuwa na umbo la mwanamke yaghuta umbo la simba, ya’uga umbo la farasi hayo yanapatikana katika kitabu kiitwacho “history of Islam kilichoandikwa na Pro. Masudul Hassan ukurasa wa 43
(iii) kuabudiwa kwa miungu iitwayo lata, uzza na manata
Qurani 53:18-20,23 suratul An-najm
kwa yakini aliona nabii muhammad mambo makubwa kabisa katika alama (Qudra) za mola wake.je mume waona lata na uzza? Na manata mungu wenu mwingine wa tatu, kuwa ndio waungu hao badala ya mwenyezi mungu?Hayakuwa hayo majina ya lata mungu mwanamke, na uzza mungu mwanamke mwenye enzi na manata, mungu mwanamke anaye neemesha ila ni majina tu mliwapa nyinyi na baba zenu…
(iv) kuabudiwa kwa Allah (s.w.) na majahilia (wajinga)
makureshi pamoja na waarabu wenzao ambao walikuwa wakabudu miungu mingi kama tulivyoona huko juu. Vilevile miongoni mwa hiyo miungu walimuabudu Allah (S.W.) ambaye ndiye aliyekuwa mungu mkubwa, na miungu ya hata na uzza na manata wakawaitakadi kuwa mi waungu wanawake ama wake zake Allah au watoto wake. Hayo tunayaona katika ufafanuzi wa aya ya 180 katika Qurani suratul Al- A’raf na pia katika kitabu kiitwacho history of isalmu kilichoandikwa na pro masudul hasan ukurasa 43. ushahidi wa wazi zaidi wa kuonyesha kuwa waarabu majahilia walimuabudu Allah tunaupata katika vitabu vifuatavyo…
(i) kuzaliwa kwa Muhammad S.A.W. mtume wa waislamu
maombi na dua ya abdul mutalib kwa Allah.
Tunaposoma kitabu cha maisha ya Muhammad S.A.W. kilitangwa na sheikh Farsy ukurasa wa 5 kuna maneno hayo…

Pale pale alfajiri alipokwisha kuzaliwa mtume alikwenda kuitwa babu yake kuja kumwona mjukuu wake. Babu huyu alifurahi sama na akamfunika manguo mjukuu wake, na akamfunika manguo mjukuu wake, akajikongoja naye mpaka kwenye Al-ka’ba akafungua mlango akaingia ndani, akasimama, akamwombea dua kwa mashairi mazuri ya kiarabu aliyoyatunga mwenyewe wakati ule ule, kisha akarejea naye na jua bado halikuchomoza.
Ushahidi wa wazi unaothibitisha kuwa baba yake Muhammad Abdul muttalib aliomba dua kwa Allah tunaupata tunaposoma utangulizi wa suratul al-fyl ulio katika juzuu ya ukurada wa 946 Qurani iliyotafsiriwa kwa kiswahili chapa ya nane tunasoma maneno hayo. “chifu mkuu wa makka zama hizo alikuwa Abdul muttalib, alikwenda al ka’ba pamoja na baadhi ya machifu wa kikuraish na akilishika komeo la chuma la mlango wa al-ka’ba, akamwambia Allah (S.W.0 kuilinda nyumba yake pamoja na wahudumu wake. Zama hizo kulikuwa na masanamu 360 ndani na kando ya Al- ka’ba.”
(v) imani ya Abdul muttalib ilikuwa hii.
Katika kitabu kilichoandikwa na mwanachuoni maarufu wa kiislamu aitwae ale muhsin barwani ukurasa wa 153 tunasoma maneno haya; “hapakutokea mwarabu ambaye alipewa jina hilo na babu yake tangu kuzaliwa kwake, na huyo babu hakuwa mkristo bali alikuwa akifuata mila za kishirikina.” Na wala hakujua taurati wala injili.
(vi) himizo la Muhammad (S.A.W.) kwa makureshi wenzie kuhusu mungu aitwae Allah.
Katika kitabu kiitwacho mkweli mwaminifu kilichotungwa na sheikh said moosa muhamed al kindy juzuu ya mwanzo na pili chapa ya kumi ukurasa wa 130 tunadoma maneno haya: “katika wakati wa ujaahiliya kabla mtume (S.A.W.) kupata utume alikuwa akiwaambia waru “enyi watu semeni laa ilaha illah laah mtafuzu” yaani hana mola ila Allah mtafuzu.
Huu ni ushahidi wa wazi kabisa ya kwamba Allah aliabudiwa na makureshi ma waarabu wenzao hao watu walikuwa washikina , wapagni na majahilia (wajinga). Kumbuka Muhammad alikuwa ni mkureshi naye aliposema “hapana mola ila Allh” alikuwa yupo za ujahilia na hakuwa anajua kitabu wala imanitazama Qurani 42:52 Suratul shuraa.
(vii) je, mungu anayeabudiwa ba waislamu jina lake ni nani?
Qurani 17:110 suratul ban israil wana wa Israel
sema: “mwombeni mwenyezi mungu kwa jina la Allah au muombeni kwa jina la rahman kwa jina lolote mtakalo mwita katika hayo itaifaa: kwani ana majina mazuri mazuri,” wala usiiseme sala yako kwa sauti kubwa wala usiseme kwa sauti ndogo, bali shika njia baina ya hizo katikati si kwa kelele wala kimya.
Katika aya hii tunaona jina la mungu anayeabudiwa ba waislamu anaitwa Allah.Katika qurani jina hilo limetjwa mara 2,866 kumbuka kuwa makureshi na waarabu wenzao waliokuwa washirikina wapagani na majahilia wajinga kabla ya uislamu walimuabudu mungu huyo aitwae allah swali muhimu je, waislamu hawakutithi mungu wa makureshi? Tafakari kwa makini.
(viii) mji mkuu wa makureshi na waarabu wenzao zama za ujahilia ambako walikuwa wanaenda kuhiji ni huu
Tunaposoma utangulizi wa suratul Quraysh katika juzuu ya 30 ukurasa wa 950-951 chapa ya nane ya Qurani ya kiswahili kuna maneno haya…kabila la kureshi lilikuwa limetawanyika kote hijaz hadi zama za Qusayy bin kilaab mmoja wa mababu wa mababu wa mtume (S.A.W.). kwanza kabisa Qusayy aliwakusanya makureshi pamoja huko makka, na hivyo kabila hili likawa wadhamini wa Al-ka’ba kwa msingi huo, Qusayy alikuwa akiitwa mujammi mkusanyaji wa wartu wa habila lake. Mtu huyu kwa busara yake aliweza kuasisi serikali katika mji wa makka, na akaweka mipango mizuri kwa ajili ya mahujaji wajao toka kote arabuni, na matokea yake ni kuwa makureshi walipata umaarufu mkubwa miongoni mwa makabila ya kiarabu.
Hapa tunaona kuwa zama za ujahilia na upagani kabla ya dini ya uislamu waarabu wote walienda kuhiji katika mji wa makka kwenye nyumba ya Al-ka’ba inayoitwa “Bait-ullah” yaani nyumba ya allah. Kumbuka nyumba hiyo hiyo wapagani wa kiarabu zama za ujahilia (ujinga) waliabudu miungu 360 na Allah ndiye mungu wao mkuu.
Mji mkuu wa hija kwa waislamu ni huu.
Qurani 3:96 suratul Al-aal-imran (watu wa imran)
kwayakini nyumba ya kwanza iliyewekwa kwa ajili ya watu kufanya ibada ni iloe iliyoko makka, na yenye baraka na uongozi kwa ajili ya walimwengu wote.
Qurani 22:27-29 suratul Al-Hajj. (Hijja)
Na (tukamwambia “utangaze kwa watu habari ya Hijja, watakujia, (wengine) kwa miguu na (wengine) juu ya kila mnyama aliyekonda kwa machofu ya njiani wakija kutoka katika kila njia ua mbali; ili washuhudee manufaa yao na ili wakushirishe kulitaja jina la mwenyezi mungu katika diku zinazojulikana fadhila zake na juu ya yale aliyowaruzuku, nao mi wanyana wenye miguu mine. Na kuleni katika wanyama hao na mlisheni mwenye shida na fakiri. Kasha wajisafishe toka zao, na watimize hadhiri zao na waizunguke nyumba ya kale (nyumba kongwe Al-ka’ba.)
Tunaposoma ufafanuzi wa aya ya 29 ulio ndani ya Qurani katika juzuu ya 17 kuna maneno haya; “kabla ya uislamu waarabu walikuwa wakiitukuza Al-ka’ba.Na kwa ilivyokuwa ni jingo la zamani sana waliita Al-Baytul’Atiq yaani nyumba ya kale.”
Kama vile waarabu wapagani, makafiri na majahilia mji mkuu wa Hijja ni makka kule Saudi Arabia ndivyo ilivyo kwa waislamu nao mji wao mkuu ambao wanaenda kuhiji ni makka. Isitoshe Qurani inasimulia kuwa makka ni mama wa miji soma hayo katika Qurani 6:92 suratul Al- An-Am (wanyama) waislamu popote walipo duniani wanaambiwa wanaposali waelekeze nyuso zao mahali maalumu,
Qurani inasimulia hivi
Qurani 7:29Suratul Al- Araf
Sema: mola wangu ameamrisha uadilifu, na ameniambia nikuambieni elekezeni nyuso zenu kwake wakati wa kila sala…
Je mola huyo ambaye anasema kuwaambia wenye kufuata Qurani waelekeze nyuso alipo huko ni wapi?
Qurani 27:91 suratul An-Naml
Bila shaka nimeamrishwa nimwabudu mola wa nji huu wa makka ambaye akadiri ya aya hizi tunaona kuwa qurani inasimulia kuwa mola huyo ni wa mji wa makka ambaye…
Katika ibada zao waislamu huelekeza nyuso zao kibla nako ni katika msikiti wa Al' ka’ba iliyoko makka Qurani 2:144-150 mola wa mji wa makka ndiye Allah ambaye aliabudiwa na waarabu washirikina zama za ujahilia, na ndiye huyo huyo anoyeabudiwqa na waislamu.
(ix) kuzunguka Al- ka’ba wakiwa uchi wakati wa ibada.
Kabla ya dini ya uislamu makureshi na waarabu wenzao walikuwa wakiizunguka Al-ka’ba “bait ullah’ yaani nyumba ya Allah wakiwa uchi wake kwa waume walikuwa wakiitikadi nguo ni kitu kinachopata uchafu kwa hivyo hakistahiki kuvaliwa wakati wa ibada hayo tunayaona katika kitabu cha maisha ya Muhammad ukura wa 4 kilichotungwa na shikh Abdullah saleh Al Farsy ambaye alikuwa kadhi mkuu wa Zanzibar baadaye nchini Kenya. Siyo Farsy peke yake ambaye aliyeandika hayo bali na mwanachuoni maarufu aitwae Abul A’la maududi katika kitabu chake kiitwacho katika kuufahamu uislamu ukurasa wa 43 aliwaelezea waarabu hivi: maisha yao yalikuwa ya kishenzi. Mambo yaoyalikuwa ya kishenzi na wakati wote walisherekea uzinzi kamari na ulevi.Kuteka nyara na kunyang’anya ulilokuwa useni wao, kuu na kutwaa wanawake kwa nguvu ndizo zilikuwa tabia zao halisi. Wakiweza kukao tupu uchi mbele za wenzao pasina haya wala hata kuona wamefanya jambo lolote la fedheha. Hata wake zao walikuwa wakiizunguka al-ka’ba uchi. Kwa ajili ya fikira za ujinga mtupu ati wa kuchunga heshima zao, waliwaua mabinti zao ili asije mtu akawa mkwa wao. Walikuwa wakiwaoa mama zao wa kambo baada ya kufa baba zao.Walikuwa wajinga hata wa mambo madogo ya kula, kuvaa na kunawa. Ama katika imani zao za kidini, walikuwa na ugonjwa ule ule uliotokana na uovu uliokuwa ukipoteza ulimwengu mzima.
Kumbuka Allah ndiye mungu waliomuabudu waarabu hao na nyumba yao ya ibada ni Al-ka’ba jambo la kushangaza maulamaa Abul A’la maududi ana sema kuwa waarabu hao walikuwa na uovu ulioupoteza ulimwengu mzima. Swalli je, kuzunguka Al-ka’ba na kumwabudu Allah ndio kuupoteza ulimwengu?
Je, waislamu wanapoenda Hijja wanaizunguka Al-ka’ba?
Kabla ya kujua mambo wanayoyafanya waislamu kule Al-ka’ba inafaa tujue jinsi Al- ka'ba ilivyo. Neno ka'aba ni la kiarabu lina maanisha kitu cha mirabo sita iliya sawa, ka’ba ni la kiarabu linamaanisha kitu cha miraba sita iliya sawa.Ka’aba ni jingo lenye ureru wa meta 12 upana meta 10 na urefu kwenda juu meta 15 jengo hilo lipo makka kule daudi Arabia. Jingo hilo limefunikwa na na mapazia meusi yaliyotariziwa aya za Qurani kwa herufi za kiarabu kwa kutumia uzi wa dhahabu halisi. Katika pembe ya mashariki ya ka’aba kuna jiwe jeusi katika kiarabu jiwe hili linaitwa “hajarul Aswad”.
Qurani inawaagiza waislamu wafanye ibada zao za Hija hivi…
(i) kuzunguka Al-ka’aba
qurani 22:29 suratul al-Hajj
Na kasha wajisafishe taka zao na watimize nadhitri zao na waizunguke nyumba ya kale (nyumba kongwe ya Al-ka’ba)
kadiri ya aya hii tunaona kuwa Allah anawaagiza waislamu waizunguke Al- ka’ba huko nyumba tuliona kuwa waarabu wapagani waliizunguka Al-ka’ba wakiwa uchi bila nguo je waislamu wao wanaizunguka Al-ka’ba wakiwa vipi?
Tunaposoma kitabu kiitwacho vipi uhiji kilichoandikwa na mwanachuoni wa kiislamu aitwae A. sulemani ukurasa wa 16 kuna maneno hayo: “ni haramu kuvaa nguo zilizoshonwa kwa mwanamume muhrim anayekwenda kuhiji makka kwenye Al-ka’ba (msikiti). Kushona hapa ina maana kushona kwa ajili ya kuvaliwa siyo kama kiraka, vazi linalozunguka mwili kama shati, suruali na kadhalika anaruhusiwa kufunga kwa pini au mkanda nguo za hiramu ili zisivuke yaani nguo mbili kama mgolole.
Kadiri ya maneno haya waislamu katika hija yao kule ka’ba wazunguka ka’ba wakiwa wanavaa nguo sisizo shonwa zinaitwa “ihram” yaani mashuka mawili meupe.
(x) ibada ya kuomba kubusu na kuliheshimu jiwa jeusi “hajarul Aswad” katika Al-ka,aba msikiti wa makka.
Makureshi pamoja na waarabu wenzao kabla ya uislamu walikuwa wakiheshimu sana nyumba ya allah al-ka’ba pamoja na jiwe jeusi liitwalo kwa kiarabu “hajaral Aswad” wakati huo wakiendeleza ibada zao za kishiriki kipagani na zilizojaa ukafiri. Jambo linalotuthibitia kuwa makureshi waliheshimu al kaba na jiwa jeusi tulipata katika kitabu cha maisha ya Muhammad (s.a.w) kilitungwa na sheikh Abdullah saleh Al-Farsy ukurasa wa 15-16 kuna maneno haya: “kujengwa kwa Al- ka’ba mtume alipokuwa na miaka 35 Al-ka’ba mtume alipokuwa na miaka 35 Al-kaba ilifanya nyufa kubwa, na ikakaribia kuvunjika, makureshi wakafanya shauri ya kuivunja na kujenga yote upya, Al-ka’ba ilikuwa haina sakafu…lakini Hajarul Aswad lilipokuwa likitaka kuwekwa mahali pake baina ya ukuta wa kusini na mashariki. Hapo ndipo walipogombana kilaukoo ukitaka mkubwa wao aliweke. Ugomvi ukashika nguvu. Kazi ikazuilika kwa muda wa siku tano, panangojewa vita tu, tumbo litakalo shinda ndilo liweke jiwe la Hajarul Aswad…mara kwa bahati nzuri aliingia mtume, alikuwa hakupata utume bado. Na hapo wote wakasema kwa umoja wao: “Hadhal Amin huyu yule mwaminifu na sote tumekubali” mtume akalichukua lile jiwe akalitia katila shali yake, akamwita kila mkubwa na ukoo; kisha akawaamrisha walichukue kiti mpaka mahjali pake. Hapo mtume akapokea akaliweka yeye kwa mikono wake na kwa radhi yao wote.
Huu ni ushahidi kuwa makureshi na waarabu wenzao kabla ya dini ya uislamu kuja walikuwa wanaihwshimu sana Al-ka’aba na jiwe jeusi lililokuwa ndabi ya msikiti huoj wa la’aba. Ambamo ndiyo sehemu waliokuwe wakizunguka wakiwa uchi wake kea waume, na hata Muhammad tunaoma alishiriki katika Al-ka’ba hiyo kwani na yeye aliweka hilo jiwe keusi na makureshi wote walikubali afanye hivyo. Swali la muhimu la kujuuliza je waislamu hawakurithi ibads hizo za ujahilia? Endelea…
Je, waislamu wanafanya ibada ya kuomba, kugusa, kubusu na kuliheshimu jiwe jeusi “Hajarul aswad”
Tunaposoma vitabu mbalimbali vya kiislamu tunaona namna ambavyo waislamu wanavyo fanya ibada ya kuliheshimu jiwe jeusi lililo katika msikiti mkuu wa makka uitwao Al-ka’ba unaofahamikakuwa ni “bait ullah” yaani nyumba ya Allah. Baadhi ya vitabu hivyo ni hivi…
  1. kitabu kiitwacho mkweli mwaminifu mtungaji sheikh said moosa muhamed al-kindy ya 3-4 chapa ya 14 ukurasa wa 75 kuna maneno haya; kasema mtume (S.a.W.) ya mwenyezi mungu katika Ardhi. Basi atakaye ligusa basi kafungamana na wenyezi.
  2. katika kitabu cha hadithi za Muhammad cha sahih al-bukhari vol. Ii ukurasa wa 397 hadithi na 682. kastika hadithi hii tunaambiwa kwamba “kila wakati mtume saw alikuja kwenye jiwe jeusi akalielekezea kikdolw na kusema Takbirt maana yake Allah ni mkuu.
  3. swahaba kwa mtume aliyeitwa umar bin khattab alilibusu jiwe jeusi al Al-ka’ba kasha akadema: “bila shaka nafahamu wewe ujiwe lisiloweza kumfaidia wala kumdhuru mtu yeyote. Kama nisingalikuwa nimemwons mtume )S>A.W.) akibusu mimi nisingalikubusuu” kiarabu chepesi cha maneno hayojni hivi; inna alamu annakha hajarul atadhura wala tanalwau.Walaula annahu tahiyyatu rasul Allah (S.A.W.) yakabalka makabul atukha.”
  4. kitabu kiitwacho vipi uhiji kilichoandikdwa na A-sulelman ukurasa wa 29-30 kuna maneno haya: Hajar-al Aswad (jiwe jeusi) “kabla ya kuanza kuzu\nguka Al-ka’ba ni uzuri kwanza kuliendea hajar-Al Aswad lililoko Al-ka’aba hapo husogea karibi ikiea inayumkinika kikaribia bila ya kuumiza watu unalikabili Hajar-Al Aswad una lieekea mkona na bila ya kusema unalikabili Hajar-Al Aswad unaliweka mkono na bila ya kusema unalibusu mara tatu na kuligusisha kipaji chako cha uso mara tatu kwa wawake kufanya hivi ni suna ikiwa hapana zogo la dwaru, ikiwa hulifikiri liashire kea mkono. Tena mtu hurudi kwenye Hajar-al Aswad na kuligusa, kulibusu mara tatu na kugusisha kipaji cha uso mara tatu kama vile mwanzo tena utasema Allahu Akbaaar mara tatu (huku ukilashiria hajar kea mikono yote miwili ikisha utaongeza “Alla humma iimana bika wartaddika bikitabika wafaa biahdika wattibaa lisunnat nabiyyika salla ila hu Alayhi wassalim.” Kiwsaili. “ewe mola kwa imani yengu juu yako na kuthibitisha kitabu chako na kutekeliza ahadi yako uya kufuata mwendo wa mtume. Tena hapo utapita kulipita Hajar-Al Aswad ukilielikea huku ukiendelea kuzunguka Al-ka’aba yote nzima.
  5. kumbuka tendo la kuzunguka Al-ka’aba lilifanya washirikina na dwapagani wa kiarabu zama za ujahilia kabla ya dini ya uislamu kuanza.Na waislamu noo huizunguka Al-ka’aba swali je, waislamu hawakurithi eneo la ibada za ujahilia tafakari.
Mungu wetu yehova anavyotufundisha kuhusu ibada ya jiwe.
Mambo ya walawi 26:1
Msifanye sanamu yeyote, wala msijisimamishie sanamu ya kuchonga, wala mnara, wala msiweke jifee lolote lililochorwa katika nchi yenu ili kilisujudia; kwa kuwa mimi ndimi Bwana mungu wenu.
Kadiri ya mafundisho ya mungu wet yehova ambaye wakristo tumuabudu ni kakosa makubwa kuchukua jiwe na kulisujudu. Tafakari kuhusu waislamu na matendo yao katika jiwe la jeusi “Hajarul Aswad.”
(xi) ibada ya kuzunguka majabali (vilimo) vya safaa na marwa huko makka kabla ya uislamu.
Qurani 2:158 suratul Al-Baaraqh (Ng’ombe jike) hakika safaa na marwa (majabali mawili yana yofanyiwa ibada ya kusai huko makka) ni katika alma za kuadhimisha dini ya mwenyezi mungu basi anayehiji kwenyu nyumba hiyo ar kufanya umra. Si kosa kwake kuvizunguka (vilima) hivyo viwili na anayefanya wema (atalipwa) kwani mwenyezi mungu ni mwenye shukrani na mjuzi wa kila jambo.
Ufafanuzi wa aya hiii ya 158 ulio katika qurani ni huu katika ibada ambazo hazisihi kufanywa ila makka ni hizi (a) Hijja na (b) umra. Na takriba zote mbili hizi ni sawa sawa ila zinakhitalifiana. Kidogo to. Moja katika hitilafu zao ni kuwa Hijja haifanyi ila miezi makhususi: na mwisho wa miezi ya Hijja ni kumi la mwanzo la mfungo tatu…ama mengine bi sawa. Nayo ni: (1) kuzunguka Al-ka’aba mara 7 (2) kwenda matiti mara 7 baina ya majabali hayo mawili ambalo moja linaitwa safaa na moja linaitwa marwa (3) kunyoa nywele au kuzikata.Majabali hayo kabla ya uislamu yalikuweka yamewekwa juu yake madanamu na makafiri wakiyaabudu. Basi ulipokuja uislamu. Waislamu wengine waliona labda si vizuri kufanya ibada haopo penye majabali hayo. Basi wakaambiwa kuwa si vibaya.
Maelezo ya aya hii yanafanana na yle yaiyo katika saqhih Al-Bukhari volii ukurasa wa 415-416 hadith no. 710 pale Asim alipomuuliza Anas bin maliki (A.S.) hivi: je, ulikuwa ukichukia kufanya tawaf (yaani kuzunguka) kati ya safaa na marwa? Akasema ndiyo kwaqsababu ni matendo ya kwaida (sherehe) iliyofanyofanyika wakati wa ujinga kutajua kabla ya uislamu kuja. Imesimuliwa pia kuwa Muhammad alifanjya tawwaf ya ka’aba na sa’I ya safa na marwa ili kuonyesha nguvu zake kwa safa na marwa. Hayo yamesimuliwa katika sahih Al Bukhari vol ii hadithi no.711. jambo linaloshangaza ni kuwa ibada hiyo ilifanywa na makafiri zama za ujahilia (ujinga) na waislamu nao wazunguka vilima hivyo isitoshe insshangaza kuona Allah mungu anayeabudiwa ba wislamu anayaita majabali hayo minshahilillah yaani alama za mungu au kwa kiingereza “symbols of Allah” hii ni ajabu kuona vilima vinaitwa hivyo.
Bwana yesu anatufundisha nini kuhusu ibada ya milima? Yohana 4:19-22
Yule mwanamke akamwambia bwana naona ya kuwa unabii, baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko yerusalemu ni mahali patupa sapo kuabudjiwa. Yesu akamwambia mama, unisadiki saa ubajyha ambayi gamtamwabudu baba katika mlima huu, wala kule yersalemu, ninyi mnaabudu msichokijua sisu tunaabudu tukijuacho kwa kuwa wokovu watoka kwa wayahudi.
Katika aya hizi Bwana Yesu anatuambia kuwa wale wanaofanya ibada katika mlima hawajui wachokiabudu. Ndugu tafakqari ibada ya waislamu katika vilima je, wanajua wanachokiabudu?
(xii) mwezi wa ramadhani.
Tunaposoma katika kitabu cha maisha ya muhammaf ukurasa wa 32 kilichotungwa na sheikh Farsy tunaona kuwa miezi iliyotumiwa na waarabu kabla yo dini ya uislamu ndiyo inayotumiwa ba waislamu. Kitabu hicho kinasomeka hivi…”Makka tangu kabla ya uislamu, ilikuwa ni mahali patakatifu kwa waarabu wote. Kila mwaka walikuwa wakija kuhiji miezi hii hii wanayoitumia sasa waislamu katika kuhiju kwao.
Waarabu walikuwa washirikina na wapagani majahilia. Walikuwa na mwezi wa ramadhan nalo ndio mwezi ambao dwaislamu wana amini kuwa Muhammad alipata utume. Tazama kitabu cha maisha ya Muhammad ukurasa 16-17.
Ibada ya kufunga katika mwezi wa Ramadhan kwa waislamu
Qurani 2:183 suratul Al-Baarah (Ng’ombe jike)
Enyi mlioamini mmelazimishwa kufunga (saumu) kama walivyoiazimishwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha mungu.
Imeelezwa katika sahih Bukhari volii Hadith 662 vol. Iii Hadith no. 219 na 220 pia vol vi Hadith no.31 ya kuwa Muhammad aliamuru waislamu wafunge siku ya Ashura siku ya 10 ya mwezi kwanza katika mwaka wa kiislamu yaani mweziuitwalo muharram) kufunga huko kaqbla ya uislamu ilikuwa ni desturi katika dini ya Hums na uislamu ukaichukua.
(xiii) kumpiga mawe shetani katika bonde la wadah muhassir.
Miongoni mwa tendo moja kubwa linalofanya na waislamu wanapofika hija huko makka ni kumpinga mawe shetani. Kitabu kiitwacho vipi uhiji ukurasa wa54,55,61 kuna maneno haya…”Mahujaji wanapofika bonde liitwalo wadi ah muhasisi karibu na mina ni suna kunyapuka hao huelikea jamrat al a quba (shetani mkubwa) na hupiga yale mawe saba waliyoyaokota muzdelifa baada ya kupiga mawe jamarati Al-Aqaba hufuatiwa na kuchinja.
Kwa sisi wakristo tunajua shetani ni roho ya uasi waefeso 2:1-5 na ni roho ya udanganyifu 1 Timotheo 4:1-2. Hivyo huwezi kumshinda shetani kwa kumpiga kwa mawe maana ni roho tu. Roho ni upepo au pumzi. Biblia inatufundisha kuwa tunamshinda shetani kwa njia ya imani sahihi ya mungu, kushika neon la mungu, dala, na maombi, hivyo tutamshinda shetani soma waefeso 6:11-18.
  1. Wajibu wa Mkristo baada ya kuujua uislamu.
Ninaamini kuwa imejifunza mengi kuhusu dini ya uislamu, na umeona mambo mengi yuanayotendeka na waislamu kule makka wakati wa hija. Mambo hayo yalifanywa na makureshi na waarabu wenzao kabla ya dini ya uislamu kuja, na tena umeona kuwa mungu tunayemwabudu wakristo hataki ibada zinazoshirikisha mawe na milima. Basi wajibu wako mkristo kuwafikishia injili waislamu na watu wa dini nyingine zisizomuamini Bwana Yesu, ili wamdwamini na wapate kuokolewa. Kumbuka injili ndio uweza wa mungu uletao wokovu Warumi 1:16. na tena injili ndilo neon la kweli Wakolosai 1:5.bwana akubariki sana ni mimi katika utumishi wa Bwana Yesu Mwalimu;

Eleutary H. Kobelo.

Saturday, June 30, 2018

Pat Condell is right about Islam and the Quran

Muslims Are Turning to Christianity in Iran!!

MOHAMMED TEACHES ABOUT DOWRY BEFORE MARRIAGE

Image result for prophet muhammad nakedness
Al Hadis, Vol. 2, p. 657, Oqbah-b-A`mer reported that the Messenger of Allah said, "The most equitable of the conditions of marriage is that you should fulfil that (dowry) with which you have made private parts lawful. Agreed.
In other words, the dowry is payment to use the wife's private parts.
In No. 57 of p. 659, Mohammed said that a handful of barley or dates is enough.
Next, we see how some sponsor is to give the bride away in order to be Sunnat, or lawful.

MOHAMMED'S LOW VIEW OF WOMEN

 Related image
Al-Hadis, Vol. 3, p. 137, Abu Sayeed al-Khodri reported that Mohammed was talking to a group of women when he said, "... I see the majority of you will go to Hell." The women asked why, to which Mohammed responded, "You often curse and are ungrateful to your companions." He then told them they had a basic defect in their religion, to which they responded, "How?" Mohammed answered, "Is not the attestation (knowledge and witness) of a women only worth half of a man's? And that is on account of her short intelligence." Attested by agreement
It is clear that Mohammed thought of all women as half-wits. This is no doubt why he forbid a man to walk between two women in Al Hadis, Vol. 1, p. 586 (64). The two women would become the equal of the man. That would be terrible to Mohammed who saw women, mentally, as children. Perhaps that is why he often favored his nine year old wife, Ayesha, and avoided his older wives.
Page 190
Al Hadis, Vol. 2, p. 692, Ibn Ma`sud reported from the Messenger of Allah who said, "A woman is like a private part (sex organ). When she goes out (walking) the devil casts a glance at her (in lust). Attested by Tirmizi.
To Mohammed, a woman was a walking vagina, which tells us more about his own mind than about women.
It is also clear that, to Mohammed, women were for one main use, copulation. This is why he required women to be completely covered from head to toe-- otherwise he had no control over his lusts. It is only reasonable that a walking vagina should be totally covered, right? This is what Al Koran, Sura 4:34 is talking about when it demands women obey their husbands and "guard what Allah has guarded" when their husbands are away. Nowhere, in Islam, in Al Koran or Al Hadith, is a Muslim man told to guard his private parts for his wife's sake!  Read that again please.  He can use his private parts anywhere he wants, even in sodomy with boys, without much rebuke from Allah.
Some writers claim that Mohammed gave no hope to Muslim women in Paradise. Not so, and here is their hope,
Al Hadis, Vol. 1, p. 211 (60), Omme Salmah reported that the messenger of Allah said, "Any female (wife or concubine) who dies while her husband was pleased with her will enter Paradise." Attested by Tirmizi.
This is clarified in the very next
Al Hadis, Vol. 1, p. 211 (61), Tal qe-b-Ali reported that the Messenger of Allah said, "When a man calls his wife to satisfy his desire, let her come to him though she is occupied at the oven." Attested by Tirmizi. 
So a wife can be certain of heaven if she is in the act of servicing her husband when he dies. Does this not explain why Mohammed's wives fought over him every night? Copulation is a sure ticket to Paradise. David Moses or the Children of God cult also taught this, as did Joseph Smith of Mormonism.
Mohammed expanded this:
Al Hadis, Vol 1, p. 220, Anas reported that the Messenger of Allah said, "When a woman says her five prayers, fasts her month, obeys her husband, and guards her private parts, let her enter Paradise by whichever door she likes." Attested by Abu Naveem.
Mohammed gives one Gospel or Injil for women other than that they provide a pure and eager vagina to your husband. What lofty spirituality! Indeed, lofted upon the Islamic phallus! Let us hear no more of this rubbish from the Mullahs about how well Islam treats its women.

Ayatollah Khomeini admonishes men-- on the use of the Libido:




A man can have sexual pleasure from a child as young as a baby. However, he should not penetrate; sodomising the child is OK. If the man penetrates and damages the child then he should be responsible for her subsistence all her life. This girl, however, does not count as one of his four permanent wives. The man will not be eligible to marry the girl's sister. 
Ayatollah Khomeini

It is better for a girl to marry in such a time when she would begin menstruation at her husband's house rather than her father's home. Any father marrying his daughter so young will have a permanent place in heaven. 
Ayatollah Khomeini

A man can have sex with animals such as sheeps, cows, camels and so on. However, he should kill the animal after he has his orgasm. He should not sell the meat to the people in his own village; however, selling the meat to the next door village should be fine. 
Ayatollah Khomeini 

(Quotes above are from Khomeini's book, Tahrirolvasyleh, vol. 4, Darol Elm, Gom, Iran, 1990, Source: Homa)

If one commits the act of sodomy with a cow, an ewe, or a camel, their urine and their excrements become impure, and even their milk may no longer be consumed. The animal must then be killed and as quickly as possible and burned. 
Ayatollah Khomeini 
(From The Little Green Book: Sayings of Ayatollah Khomeini, Political, Phylosophica, Social and Religious, with a special introduction by Clive Irving, ISBN number0-553-14032-9, page 47 Source: Homa)

Eleven things are impure: urine, excrement, sperm... non-Moslem men and women... and the sweat of an excrement-eating camel. 
Ayatollah Khomeini 
(From The Little Green Book, Source: Harwood's Mythology's Last Gods, 175)

Mohammed's libido

Related image

Much has been written about the libido, or sexual zeal, of Mohammed. In this section you will see the prophet at his most depraved. No person under fifteen years of age should read this section.
Dear Muslim reader, you will now have to face the side of Islam which is most revolting. I hope by now you have seen that something is very wrong in Islam, which cannot be hidden by the high-toned words of the Mullahs. In spite of Arab revisionists, the Koran, Hadith, and history expose Mohammed to the serious seeker for what he really is. I hope this picture will cause you to flee into the arms of The Lord Jesus Christ who will never embarrass you like this Mohammed.
Here is the foundation of Islamic sexual doctrine-- Mohammed's massive libido:
Sahih Bukhari Narrated Qatada: Anas bin Malik said, "The Prophet used to visit all his wives in a round, during the day and night and they were eleven in number." I asked Anas, "Had the Prophet the strength for it?" Anas replied, "We used to say that the Prophet was given the strength of thirty (men)." And Sa'id said on the authority of Qatada that Anas had told him about nine wives only (not eleven). Volume 1, Book 5, Number 268.
Narrated Muhammad bin Al-Muntathir: on the authority of his father that he had asked 'Aisha about the saying of Ibn 'Umar (i.e. he did not like to be a Muhrim while the smell of scent was still coming from his body). 'Aisha said, "I scented Allah's Apostle and he went round (had sexual intercourse with) all his wives, and in the morning he was Muhrim (after taking a bath)." Volume 1, Book 5, Number 270.
Fazlul Karim Maulana, Book 002, Number 0557: Hazrat Anas (Radiyallahu Anhu) reported: A Bedouin (villager) urinated in the mosque. Some of the persons stood up (to reprimand him or to check him from doing so), but the Messenger of Allah (Sallallahu Alaihi WaSallam) said: Leave him alone; don't interrupt him. He (the narrator) said: And when he had finished, he called for a bucket of water and poured it over.
Muslim (8:3309) - Muhammad consummated his marriage to Aisha when she was only nine. (See also Bukhari 58:234 and many other places). Bukhari (6:298) - Muhammad would take a bath with the little girl and fondle her.
Bukhari (93:639) - The Prophet of Islam would recite the 'Holy Qur'an' with his head in Aisha's lap, when she was menstruating.
Bukhari (6:300) - Muhammad's wives had to be available for the prophet's fondling even when they were having their menstrual period.
Tabari IX:137 - "Allah granted Rayhana of the Qurayza to Muhammad as booty." Muhammad considered the women that he captured and enslaved to be God's gift to him.?
Bukhari (62:137) - An account of women taken as slaves in battle by Muhammad's men after their husbands and fathers were killed. The woman were raped with Muhammad's approval.?
Abu Dawud 38:4458 - Narrated Ali ibn AbuTalib: “A slave-girl belonging to the house of the Apostle of Allah (peace_be_upon_him) committed fornication. He (the Prophet) said: Rush up, Ali, and inflict the prescribed punishment on her. I then hurried up, and saw that blood was flowing from her, and did not stop. So I came to him and he said: Have you finished inflicting (punishment on her)? I said: I went to her while her blood was flowing. He said: Leave her alone till her bleeding stops; then inflict the prescribed punishment on her. And inflict the prescribed punishment on those whom your right hands possess (i.e. slaves)”.
Sahih Bukhari 7.18 Narrated 'Ursa: The prophet asked abu Bakr for 'Aisha's hand in marriage. Abu Bakr said "but I am your brother." the prophet said, "you are my brother in Allah's religion and his book, but she (Aisha) is lawful for me to marry."
Sahih Bukhari volume 5, book 58, number 234 Narrated Aisha: the prophet engaged (married) me when I was a girl of six (years). We went to medina and stayed at the home of Bani-al-Harith bin Khazraj. Then I got ill and my hair fell down. Later on my hair grew (again) and my mother, um ruman, came to me while I was playing in a swing with some of my girl friends. She called me, and I went to her, not knowing what she wanted to do to me. She caught me by the hand and made me stand at the door of the house. I was breathless then, and when my breathing became alright, she took some water and rubbed my face and head with it. Then she took me into the house. There in the house I saw some ansari women who said, "best wishes and Allah's blessing and a good luck." then she entrusted me to them and they prepared me (for the marriage). Unexpectedly Allah's apostle came to me in the forenoon and my mother handed me over to him, and at that time I was a girl of nine years of age.
So, many years later, the Islamic scholars came up with an explanation, though they had NO clue if they were right or not. They were not there in Mohammed's day:
The permanent committee for the scientific research and fatwahs (religious decrees) reviewed the question presented to the grand mufti Abu Abdullah Muhammad al-Shemary, the question forwarded to the committee by the grand scholar of the committee with reference number 1809 issued on 3/8/1421 (Islamic calendar). After the committee studied the issue, they gave the following reply:
"As for the prophet, peace and prayer of Allah be upon him, thighing his fiancée Aisha. She was six years of age and he could not have intercourse with her due to her small age. That is why [the prophet] peace and prayer of Allah be upon him placed his [male] member between her thighs and massaged it softly, as the apostle of Allah had control of his [male] member not like other believers."
(Suhayli, ii. 79: in the Riwaya of Yunus i. I. Recorded that the apostle saw her (Ummu'lfadl) when she was a baby crawling before him and said, 'if she grows up and I am still alive I will marry her.' but he died before she grew up and sufyan b. Al-aswad b. 'Abdu'l-asad al-Makhzumi married her and she bore him rizq and lubab… [Ibn Ishaq, The Life of Muhammad, Karachi, p. 311]
Muhammad saw Um Habiba the daughter of Abbas while she was fatim (age of nursing) and he said, "if she grows up while I am still alive, I will marry her." (Musnad Ahmad, number 25636)
Narrated 'Aisha: The prophet and I used to take a bath from a single pot while we were junub. During the menses, he used to order me to put on an izar (dress worn below the waist) and used to fondle me. While in itikaf, he used to bring his head near me and I would wash it while I used to be in my periods (menses).
Sahih Bukhari volume 1, book 4, number 231: Narrated Sulaiman bin Aasar: I asked 'Aisha about the clothes soiled with semen. She replied, "i used to wash it off the clothes of Allah's apostle and he would go for the prayer while water spots were still visible. "
Bukhari (5:268) "The prophet used to visit all his wives in a round, during the day and night and they were eleven in number." I asked Anas, 'had the prophet the strength for it?' Anas replied, 'we used to say that the prophet was given the strength of thirty men. "
Quran 65.4: "A man can marry a girl younger than nine years of age, even if the girl is still a baby being breastfed. A man, however is prohibited from having intercourse with a girl younger than nine, other sexual acts such as foreplay, rubbing, kissing and sodomy is allowed. A man having intercourse with a girl younger than nine years of age has not committed a crime, but only an infraction, if the girl is not permanently damaged. If the girl, however, is permanently damaged, the man must provide for her all her life. But this girl will not count as one of the man's four permanent wives. He also is not permitted to marry the girl's sister."
I remind you that the Hadith, sayings of Mohammed, presented here are not of a lower authority than the Quran itself. The Hadith are actually much more important to Muslims than the Quran for codes of life and social rules.
It seems to me that the behavior of Muhammed would get him arrested in almost any nation on earth today except in Islamic nations. During his life, Mohammed was simply living as the filthy merchants of Mecca and south Arabia lived long ago. To you Muslims who read here, I invite you to consider the holiness of Jesus Christ and the Bible.

Tuesday, June 26, 2018

EXCLUSIVE: US freezes Palestinian aid budget



ers that US assistance to the West Bank and Gaza “that directly benefits the PA” be suspended unless the Secretary of State certifies that the Palestinian Authority has met four conditions: terminating these payments to terrorists, revoking laws authorizing this compensation, taking “credible steps” to end Palestinian terrorism, and “publicly condemning” and investigating such acts of violence.
The Taylor Force Act was passed as part of an omnibus $1.3 trillion spending bill on 23 March 2018. It was named for the US army veteran who was murdered by a Palestinian terrorist in Jaffa in March 2016, in an attack that injured eleven people.
A Senate Foreign Relations Committee aide told i24NEWS, “Our understanding is that US funding to the West Bank and Gaza is on hold pending an administration review.”
A US Embassy spokesperson told i24NEWS that assistance to the Palestinians remains under review at US President Donald Trump's direction.
"While the Taylor Force Act restricts aid to the Palestinian Authority, with very limited exceptions, the Palestinian Authority has the ability to ease those restrictions by ending the abhorrent policy of inciting violence against Americans and Israelis through payments to terrorists and their families," the spokesperson said.
Separately, i24NEWS understands that the West Bank and Gaza office of USAID -- the American international development agency -- has not received its budget for the upcoming fiscal year and therefore has not been able to put its projects out to tender.


The funding freeze has caused the suspension of certain programs run by international agencies. An official at the HALO Trust, which performs landmine clearance operations in the West Bank, told i24NEWS that it had suspended operations because the United States had stopped transferring funds at the end of May, leaving a major funding shortfall.
MANDEL NGAN (AFP)
The withholding of USAID’s total budget as well as third-party projects means the administration is taking an expansive interpretation of what assistance “directly benefits” the PA, viewing humanitarian projects that would otherwise need to be paid for by the PA as constituting direct assistance to that organization.
A Palestinian official confirmed the report, saying the Trump administration had told the PA in mid-January 2018 that it was reexamining its Palestinian aid budget. He said the United States had informed the PA after the emergency Organization of Islamic Cooperation meeting in Istanbul in mid-May, which convened in protest at the relocation of the US Embassy to Jerusalem and the situation in Gaza, that the assistance had been put on hold and placed under review.
The head of the PLO General Delegation to the US, Dr. Husam Zomlot, neither confirmed nor denied the report, saying only that if Washington decides to cut funding to the PA it would damage American interests in region and its vision of a two-state solution.
"If the US freezes its funding it means its freezing its vision," Zomlot told i24NEWS, calling any decision to freeze funding "very regrettable" and "very harmful and damaging to the US's interests and its allies' [interests]."
Zomlot further stated that "using financial means as a political tool and financial pressure as a political tool does not work," adding that such a move would not hinder the PA's legitimacy in the region.
"What will be affected is peace, not us," Zomlot asserted.
AP Photo/Evan Vucci, FileIn this May 23, 2017 file photo, President Donald Trump shakes hands with Palestinian President Mahmoud Abbas after making statements to the press in the West Bank City of Bethlehem
AP Photo/Evan Vucci, File
The United States was, until now, the world’s largest financial backer of the PA. Although it did not provide the PA direct budgetary assistance, unlike the European Union, it contributed massive funds for humanitarian projects in the West Bank and Gaza Strip as well as for UNRWA, the UN’s Palestinian refugee agency.
The total aid budget requested by the State Department for fiscal years 2018 and 2019 stood at $215 million annually for projects designed to boost the Palestinian economy, develop infrastructure, and boost institutional capacity among other goals.
The suspension of this aid means the Secretary of State has not certified that the Palestinian Authority has taken the steps the Taylor Force Act demanded. Palestinian Authority President Mahmoud Abbas has defended these payments as “social responsibility”.
The committee aide also confirmed that the State Department has submitted to Congress its criteria for determining assistance that directly benefits the Palestinian Authority, as the act required. The US State Department declined to share this unclassified report.
The PA has long had a policy of paying stipends to convicted terrorists in Israeli jails and to the families of dead militants. In 2017, the total budget for “prisoners’ payments” stood at $345 million, equivalent to half of the international contributions to the PA’s budget. The stipend is pegged to the length of the convicted terrorists’ prison sentences, meaning it is indirectly pegged to the severity of the crime.
The Trump administration slashed US payments to UNRWA in January 2018. UNRWA says $305 million have been withheld, plunging the agency into its “largest funding crisis ever” and forcing it to scramble for emergency contributions from other nations.
The funding cut comes at a time of an unprecedented diplomatic crisis between the United States and the PA, which is boycotting Trump administration officials and rejecting in advance the Israeli-Palestinian peace plan they intend to launch soon.
Eylon Levy is the i24NEWS investigative reporter. Follow him on Twitter @EylonALevy.
Senior Middle East Correspondent Mohammed al-Kassim and Junior Middle East Correspondent Emily Rose contributed to this report.


Monday, June 25, 2018

BIBLIA – NENO LA MUNGU LILILOVUVIWA

 

                         SOMO LA 1                     Ufafanuzi: 2 Petro 1:19-21

Tunapoanza kuangalia Biblia na ujumbe wake unasemaje hebu kwanza tujibu baadhi ya maswali ya kawaida yaliyoulizwa.

“Biblia Takatifu” maana yake nini?
Neno “Biblia limetoka katika neno la Kiyunani ‘biblos’ likiwa na maana “Kitabu”.  “Takatifu” ni neno lenye maana ‘weka kando” au “tenga”, likiwa ni jambo lililowekwa kando au limeweka wakfu kwa ajili ya Mungu kwa hiyo kuitwa “Biblia Takatifu”hiki kitabu kiliitwa hivyo kwa sababu kilionekana kuwa ni neno la Mungu lililovuviwa, kilitengeka kabisa toka katika vitabu vingine vyote vilivyowahi kuandikwa.

Biblia iliandikwa lini?
Kwa kweli Biblia ni mkusanyiko wa vitabu au maandiko ambayo yaliandikwa kipindi kirefu takribani miaka 1600 na waandishi wengi tofauti.  Vitabu vya kwanza viliandikwa na Musa karibu 1500 KK, ambapo cha mwisho kiliandikwa na Yohana Mtume kuelekea mwisho wa karne ya kwanza.

Kwa sababu gani Biblia imegawanyika katika Agano la Kale na Jipya?
Kama tukitazama orodha ya majina ya vitabu kabla ya dibaji tunaona kwamba Biblia ina vitabu 66. Waliofasiri waligawa hivi vitabu katika Agano la kale na Jipya miaka mingi baada ya kuwa vimeandikwa. Agano la Kale lina vitabu 39 vilivyoandikwa kwa kiebrania kabla ya kuzaliwa Kristo.  Agano jipya lina vitabu 27 vilivyoandikwa katika lugha ya Kiyunani –Kigriki baada ya Kristo.

Mahali gani ilipoandikwa Biblia?
Palikuwa na watu wengi ambao Mungu aliwachagua kuiandika Biblia zaidi ya muda wa kipindi kirefu.  Ingawa zaidi waliandika wakiwa katika nchi ya Israeli, walikuwepo baadhi kama Daniel na Ezekieli walioandika wakiwa Babeli na wengine kama Mitume walioandika wakiwa katika majimbo tofauti ya dola ya kirumi.  Ukweli wa kushangaza ni kwamba ingawa Biblia iliandikwa kwa kipindi hicho kirefu, sehemu nyingi tofauti na waandishi wengi, ujumbe wake ni kwa kulingana sawa na umekuwa mmoja.  Hali hii peke yake inaonyesha kwamba Mungu ndiye aliyekibuni.

Ni jinsi gani Mungu aliwafanya hawa watu waandike Biblia?
Kuna ushahidi mwingi katika Biblia unaotuambia namna Mungu alivyofanya ujumbe wake unakiliwe.  Mtume Petro anaeleza jinsi hii” … hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu Fulani tu.  Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu (2 Petro 1:20 –21).

Petro anaeleza ya kwamba Mungu aliteua watakatifu au watu wenye kumcha Mungu ambao kwao akawajulisha nia yake. Hawa watu waliandika ujumbe ambao walipokea toka kwa Mungu.  Haya maandishi yaliyounganika yamekuwa kitabu tunachokifahamu kuwa ni Biblia.
Ni kwa sababu gani Biblia iliandikwa?
Swali hili linajibiwa na mtume Paulo namna hii. “Kila andiko, lenye pumzi Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki ili mtu wa Mungu uwe kamili, amekamilika apate kutenda kila tendo jema” / 2 Timotheo 3:16 – 17).

Kwa sababu hiyo Biblia ilitolewa ili kumfundisha mwanadamu kuhusu Mungu na kusudi  lake, na kumwongoza katika njia ya maisha yampendezao Mungu na kuwapa thawabu wale wenye kumtii.

Ni jinsi gani tunaweza kuthibitisha ya kwamba Mungu yupo na kwa kweli Biblia ni Neno lake?

Hili ni swali lenye busara sana lakini jawabu halitatanishi wala si gumu kulifahamu, maana Mungu mwenyewe alitazamia, naye ametoa jawabu sehemu nyingi katika Biblia.  Moja kati ya hili ni katika unabii wa Isaya:-  Maana mimi ni Mungu wala hapana mwingine, mimi ni Mungu wala hapana aliye kama mimi, nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado; nikisema, shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote” (Isaya 46: 9-10).

Tazama kadhia ambazo Mungu ametoa hapa:

Yeye peke yake ni Mungu wala hayupo mwingine.  Ikiwa hii ni kweli basi Mungu wa Biblia peke yake ndiye Mungu wa ulimwengu, na kwa hiyo dini zote nyingine zenye kudai kumwabudu Mungu Mwingine sio za kweli.

Aweza kujulisha mambo yajayo.  Tunafahamu kwa kuona kwamba hakuna mtu wa kumtegemea awezaye kujulisha yajayo.  Katika Biblia Mungu anajulisha kabla matukio ambayo ni vigumu kubashiri, kunena kibinadamu lakini yametokea kwa usahihi kabisa.

Anauweza kutimiliza aliyoeleza habari zake kabla ya kutokea. Sio tu anauwezo wa kujulisha habari ya mambo yajayo, bali pia kuhakikisha yanatimia kwa wakati wake.

Kutokana na hili twaona kwamba Mungu ametoa njia iliyo rahisi sana ambayo kwayo mtafutaji halisi wa ile kweli aweza kupata jawabu la swali “Je! Yupo Mungu na Biblia ni neno lake? Hatutakiwi kuwa na akili nyingi mno au wenye elimu vizuri ili kutafuta jibu.  Inategemea upande wetu kuwa wanyoofu katika kupima mambo kwa maneno ya akili ambayo yameonyeshwa katika Biblia. Unabii ulio katika Biblia unathibitisha kwa nguvu kadhia yake kuwa ni pumzi ya Mungu.  Kwa kifupi tutaona baadhi ya unabii rahisi na kupima dai la Mungu kwamba aweza kujulisha yajayo.

Ukweli Mwingine wa kukumbuka

Biblia Agano la Kale ni dhahiri lilikamilika zaidi ya miaka 200 kabla ya kuzaliwa Kristo.  Septuagint (Tafsiri ya Kiyunani Agano la Kale) inatoa ushahidi wa kihistoria kuhusu jambo hili.

Gombo la Bahari ya Chumvi linasaidia katika kujua tarehe ya Agano la kale.
Ya kwamba Yesu Kristo aliwahi kuishi alihubiri Injili na kuuawa hayo yote yamesemwa dhahiri mbali na taarifa ya Biblia na wana historia walioishi kipindi kile kile yalipotokea.

Ukweli huu unaweza kuthibitishwa na Maktaba inayotegemewa na watu wote.

Katika ukweli huu uliothibitishwa kihistoria sasa tunaweza kupima iwapo Mungu aweza kujulisha hasa mambo kabla hayajatokea tukitambua kwamba utabiri uliofanywa katika Agano la kale umefanywa karibu miaka 250 kabla ya kutimi katika Agano jipya.

Unabii wa kusulubiwa Kristo
Ona kidogo  maelezo yaliyoanza katika unabii ulio katika Zaburi 22 kuhusu kusulubiwa Kristo na jinsi kila maelezo yalivyotimia.  Zaburi hii iliandikwa na Daudi miaka 1000 kabla ya kuja kutimia.

Zaburi  22        Tukio lilipotimilika
Mst 1               Maneno ambayo Kristo atanena akiwa msalabani              Mathayo 27:46
Mst 7-8            Matendo na maneno ya Wayahudi wakiwa kando ya msalaba     Math  27:39-43
Mst 16             Namna hasa ya kufa – kwa kusulubiwa.                                        Math 27:35
Mst 18             Namna ambavyo nguo zake zitagwanywa            Math 27:35; Yn 19:23-24

Ingekuwa vigumu kwa mwanadamu kubashiri matukio haya katika maelezo ya jinsi hii.  Maelezo mengine yanatutaka tu kuamini ya kwamba Yesu mwenyewe, wakati wa Wayahudi waliokana dai lake kuwa ni Masihi, na askari wapagani wa kirumi wote walishirikiana kutekeleza kumsulubisha Yesu na hivyo kutimiza unabii wa Agano la Kale, tena wakaona wawadanganye watu waamini ya kwamba Biblia si neno la Mungu.  Kamwe hili si wazo lenye akili wala ni lenye busara.

Sio tu Zaburi 22 ilibashiri kusulubiwa Kristo bali pia, katika aya ya 22, ufufuo wake.

Baadhi ya unabii kuhusu mataifa.
Nabii Isaya aliishi katika nchi ya Israeli kati ya mwaka760 – 700 KK katika siku zake dola kuu mbili zenye nguvu zilikuwa Ashuru iliyokuwa upande wa kaskazini na Misri upande wa Kusini.

Katika Sura yakeya 13 Mungu alifunuwa kupita kwake kuinuka na kuanguka kwa dola ya Babeli.  Tunatakiwa kutambuwa kwamba utabiri wake wa kwamba Babeli itakuwa dola yenye nguvu ulifanyika si chini ya miaka 100 kabla ya tukio.  Ingawa hivyo unabii wake sio tu unahusu kuinuka kwa Babeli bali pia kuangushwa kwake na Waajemi.  Waajemi waliiangusha Babeli mnamo mwaka 536 KK, kwa hiyo utabiri huo uliafanyika karibu miaka 200 kabla ya kutokea.

Sio tu Isaya alinena kuharibiwa utawala wa Babeli, bali alisema ya kwamba mji hautakaliwa nao utakuwa jangwa.  Huu ulikuwa ni utabiri wa ajabu kwa mji ambao katika siku zake ulikuwa ni mmojawapo wa maajabu ya ulimwengu wa kale (Isaya 13:17-22) .
Hata hivyo hayo sio yote! Tena Isaya alitaja jina la mfalme atakaye iangusha Babeli – Mtu aliyeitwa Koreshi (Isa 45: 1-2) kwa kuongelea hili, Isaya alieleza amri, atakayotoa Koreshi, ya kuwataka Wayahudi waliotawanyika katika dola yake warudi Yerusalemu na wajenge tena Hekalu ambalo liliharibiwa na Wakaldayo (Isaya 44:27-28: Ezra 1:1-4)

Unabii huu unakwenda mbali zaidi ya ubashiri awezao kuufanya mwanadamu.  Ni Mungu tu awezaye kujulisha yajayo.

Ona unabii huu ulikuwa na maana gani katika ulimwengu wa leo.  Ulikuwa na lazima.

Kutabiri taifa litakalokuwa likitawala ulimwengu miaka 100 tangu hapo
Tena likatabirika taifa litakalo angusha nguvu hii ya kwanza miaka 200 tangu hapo.
Ukataja mtawala wa taifa hili la pili.
Na kutaja amri ambayo atatoa alipofikia kuwa na mamlaka

Ni wazi hali hii haiwezekani kwa mtu kutabiri.  Walakini, Mungu kupitia nabii wake Isaya alifanya hivi kikamilifu.  Kwa hivi Mungu hawezi tu kutabiri yajayo, bali pia anaweza kutimiliza kwa usahili wa kushangaza.

Ajabu ya Unabii wa Danieli.
Daniel aliishi kati ya mwaka 600 – KK 534. Unabii wake ulitabiri;
Kuanguka kwa utawala wa Babeli (Daniel 5:25-31)
Kuinuka na kuanguka kwa utawala wa Waamedi na Waajemi (Dani 8:20)
Kuinuka na kuanguka utawala wa Uyunani (Dn 8:21)
Kuharibiwa mji wa Yerusalemu na Warumi mnamo 70 BK (Den 8:9-11)
Mwaka wa Kusulubiwa Yesu Kristo (Dan 9: 24 – 27).

Usahihi wa unabii wa Daniel umeshangaza watu ambao wamekuwa wakiichunguza ‘kweli’ kwa uhalisi, nao wameweka katika hali ngumu wenye mashaka na mafundisho ya dini na wasioamini kuwa yupo Mungu.

Mungu amejulisha nini yajayo?

Tunaweza kusoma Biblia kwa ujasiiri, tukijuwa ya kwamba kama Mungu ametimiza unabii wake wakati uliopita, kwa hakika atatimiza alichotabiri kwa wakati ujao.

Haya ni matukio kwa kifupi tuonayo kabla yake yaliyotabiriwa kipindi chetu.

Kutakuwa na hali ya kuanguka kwa uadilifu na heshima katika jamaii (Luka 17:26-30)

Wayahudi watarejea katika nchi ya Israeli, na Yerusalemu kuwa kitovu cha mivutano ya kimataifa (Zekaria 12: 2-3; Ezekieli 38: 8,12)

Yesu atarudi mwenyewe na wa kuonekana wazi duniani (Mdo 1: 9-11)
Mungu ataanzisha Ufalme wake duniani ambao utaingia mahali pa utawala wa binadamu (Daniel 2: 44)
Ufalme huu utatimiza sala ya Bwana “ Ufalme wako uje, Mapenzi yako yatimizwe duniani, kama yalivyo mbinguni” (Mathayo 6: 9-10)
Yerusalemu utakuwa makao makuu ya huo  ufalme (Yeremia 3:17)
Yesu  Kristo atakuwa Mfalme kipindi hicho (Ufunuo 11: 15, 18)
Katika siku hiyo wakazi wa dunia kwa hiari watajifunza njia ya Mungu wala hakutawa na vita tena (Isaya 2:2-4)

Je! Kuna ujumbe binafsi katika Biblia ulio kwa ajili yetu?

Naama upo.  Mungu anawapa wanaume na wanawake tumainila kushiriki ulimwengu huu mpya na Bwana Yesu Kristo ajapo. Huu ujumbe wenye tumaini unaitwa Injili, ambao unamaana habari njema za ufalme wa Mungu ujao, na wokovu toka dhambi na mauti kupitia Bwana Yesu Kristo .  Huu ni ujumbe ambao Kristo na Wafuasi wake waliuhuribiri (Marko 16:15-16).

Muhutasari wa Maana
Biblia ni neno lenye pumzi ya Mungu, limetolewa kwa uwezo wa Roho Mtakatifu / 2 Petro 1:20-21)
Ilitolewa ili binadamu aweze kufahamu mpango na kusudi la Mungu na aweze kuwelewa njia zake (2Timotheo 3:16-17)
Kutimia kwa usahili unabii wa Biblia unathibitisha ya kwamba Mungu yupo na kwamba Biblia ni neno lake lililovuviwa (Isaya 46:9-10)
Unabii ambao bado haujatimia unajulisha kwamba Yesu Kristo atarudi hivi karibuni hapa duniani kusimamisha ufalme wa Mungu duniani (Dan 2:44 Math, 6;9 – 10; Mdo 1:9-11)

SOMO LA 1 –Maswali.

1.         Maneno “ Biblia Takatifu” Maana yake nini?
2.         Kuna vitabu vingapi katika Biblia?
3.         Ni jinsi gani Mungu alifanya Biblia hata ikaandikwa?
4.         Ni kwa sababu gani Mungu akafanya Biblia ikaandikwa?
5.         Ni kwa nini Unabii ni moja ya ushahidi mkubwa wa kwamba Biblia ni neno la Mungu?
6.         Baadhi ya matukio gani ambayo Mun

Ancient Jewish Wedding Ceremony: “No man knows the day or hour, only the Father”

  The Ancient Jewish Marriage Rite: A Detailed Exposition of Betrothal, Preparation, and Consummation Dr. Maxwell Shimba Shimba Theological ...

TRENDING NOW